Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104808 articles
Browse latest View live

Infant Baby Flushed Down In Toilet Pipe After Student Gives Birth And Runs

$
0
0
A young female student in a university in china reportedly gave birth to a baby girl and flushed her down the toilet pipe.

According to eyewitness reports, the girl has been hiding the pregnancy from the start and when she gave birth she decided to flush the baby down , but unfortunately for her, the toilet pipe wasn’t wide enough for the baby to be flushed down . After flushing the new-born she she ran away and the baby started crying immediately and other students in the hostel called for help to rescue her

But firemen were unable to rescue the child from above (pictured during the rescue mission).Fire Brigade spokesman Tao Fang told a local newspaper: read their statement .
“It was impossible to get the baby out from above. She had fallen into the toilet and gone down the pipes were she had got stuck between the third and fourth floors. We used an angle grinder to break open the pipeline on the third floor and we could then push the child up to colleagues on the fourth floor where she was handed to medics who were waiting to take her to hospital.”
The mother of the child was tracked down by police men and was rushed to the hospital

Kim Kardashian Flaunts Her Huge Butt In Most Tightest Jeans On Earth

$
0
0
American Super Star TV reality show host Kim Kardashian is no doubt one of the most endowned creation on earth. It must be difficult having a bum the size of Kim Kardashian’s.

We struggle to get into a pair of jeans sometimes but we imagine it must have taken the reality TV queen a LOT of effort to get into these tight denim pants.

Maybe her rapper husband Kanye West helped to yank them up over her incredible curves and jiggle the zip, because it can’t have been achieved single-handedly.

Thinking about it, we did see two trusty male helpers rubbing sand on her famous

Usione Mwanaume Katulia Kwenye Ndoa Ukajua Kaendewa kwa Mganga, Uganga Tunao Wenyewe

$
0
0

Jana tulikua na kamjadala karefu kidogo kuhusu hawa wandugu kitu gani wanataka ili watulie ndoani. Nami nimeyachuja, nikaongeza na tu chumvi kidogo ili kunogesha. haya si maneno yangu. Ni yakwao wenyewe. Mwenye macho na asome na mwenye kusikia asikilize sauti yake mwenyewe ikisoma....... Usione mwanaume katulia na mkewe ukaanza kuuliza mke kamwendea kwa mganga yupi,uganga tunao wenyewe wanawake shutu kuwajibika;

1. Kumjali mumeo kadri uwezavyo. Usipo mjali wengine wataja saidia kumjali. Mfano …..kuna watu hapa hata hawajui leo mume wake kava nini!! Wengine hata soksi za waume zao haawajui ziko ngapi. Mume anaenda kazini hata hukumbuki kava shati rangi gani. Akipita na kimada mbele yako unaanza kujiuliza, sijui ndo Yule……. Mbona shati ka lake??? Hivi leo alivaa shati ile eh……! Jipange mwanamke

2. Jifunze kuhusu mapenzi na mbinu mpya…. Hii nadhani wanasema ubunifi uwe mara dufu hasa chumbani. Sio mbaya hata mkizungumza na wanawake wenzenu mkapata maujuzi mapya. Style zile apendazo mumeo ndo mwake. Basi hata japo uliza mume wangu vipi hii… nah ii je!! Na Msijisahau, yale masham sham ya uchumba yaendelee mpaka kwenye ndoa.

3. Tuwaelewe waume zetu kutokana na hali zao. Mfano kachoka, anamatatizo. Usiwe wakati wa sisi kuanza lawama. Mume kapata msiba, wewe ndo unapeleka shida zako. Atakuona hovyooo kabisa.

4. Usafi wa nyumba, mwili mzima bila kusahau kinywani. Na uvae vizuri uvutie. Hapa hasa ni usafi na kujipenda. Usione uvivu kujipamba ukiwa kwako na mumeo. Shurti bi mdachi unukie vizuri. Chmba chako sio kinanuka mikojo ya mtoto. Na wanao pia wawe wasafi jamani.Mume anazidi kupata hamasa ya kuwa karibu na familia. Mjitunze vizuri kipindi cha uzazi…. Sio mnanuka maziwaaaa. Yani mazingira yooote yawe ya kushawishi. Nyumbanyingine ukikanyaga tu sakafu, mchaka kama upon je.

5. Jikoni pia uwe mbunifu. Na upate nafasi ya kumpikia mumeo chakula wewe mwenyewe sio kila siku dada wa kazi ndo mpishi. Mume asipate hamu ya kula baa. Kama ni mpenzi wa pombe basi aishie kunywa tu, msosi ataupata kwa mkewe.

6. Kelele majumbani. Hapa wanawake tuache midomo. Kitu kidogo maneno kibao. Kila saa wewe tu ndo unaekerwa. Huishi lawama. Mara nyingine tuchague kukaa kimya, au hata kama tunasema basi kwa sauti ya chini. Si vizuri kumpandishia mumeo sauti hata kama kakosea sema nae tara tara. Na tone zetu ziwe zile za mahaba. Sio umekaza sauti ka unaamrisha gwaride mweh!!!

7. Mnapokosa mkubali makosa na muombe msamaha. Wanaume wanapendaga kuonekana wao ndo kichwa na wanaheshika. Sio unarekebishwa tabia na mumeo, unaishia kununa siku tatu ndani hapaeleweki. Umenunaaaaa hatari.

8. Msijibweteke. Maisha ya sasa ni kusaidiana. So jishughulishe mtoto wa kike. Ukiwa na kakitega uchumi kako si mbaya. Hata mume anakuheshim.

9. Mnapokuwa na watoto mjitahidi kugawa muda kwa ajili ya mtoto na kwa ajili ya mumeo pia. Na msiwe wavivu kutoa unyumba kisa una watoto

kama kunanililo sahau ongezea.......

Mzee Malecela amekitaka Chama cha Mapinduzi Kumchukulia hatua kali za kinidhamu Lowassa

$
0
0

Maneno aliyosema mwl. Nyerere kuwa IKULU sio pango la walanguzi usikimbilie kwenda IKULU ni mahali patakatifu mtu yeyote anayekimbilia IKULU bila kujiuliza mwogopeni hafai kuwa Rais. Maneno hayo ya mtu kukimbilia IKULU aliyarudia kuyasema Waziri mkuu mstafu mzee John Malecela.

Mzee john malecela amekitaka chama cha mapinduzi CCM kumchukulia hatua kali waziri wa zamani aliyefukuzwa na bunge la Tz Edward Lowassa kwa kitendo cha kugawa fedha nchi nzima kugawa Boda boda nchi nzima kugawa Tisheti nchi nzima zilizoandikwa kwa jina lake Lowassa.

Mzee malecela amesema mtu huyo hafai kuwa kiongozi hafai kuwa hata Balozi wa nyumba 10 anagawa fedha ili awe Rais ananunua urais kwa fedha pesa hizo atazirudisha kwa njia gani? Kwa nini asipumzike kama nilivyopumzika mimi na maswala ya urais mtu huyo hafai.

Mzee malecela amesema wapo baadhi ya wapambe wake wamekuwa wakisema Lowassa anataka urais ili atimize ndoto zake hata akipewa wiki mbili zinatosha kutimiza alichotamani kwa muda mrefu jiulizeni hapo kuna kitu gani nyuma ya pazia kilichojifich Pia mzee malecela amesema sizungumziii wizi wa Lowassa tuhuma zake maana kila mtu anajua Lowassa jinsi alivyo.

Mzee malecela amesema nawashangaa sana baadhi ya watu wanasema Lowassa mchapa kazi ana maamzi magumu sio kweli mimi namfahamu vzr sana Lowassa nilifanya naye kazi ofisini kwangu nikiwa waziri mkuu lkn nilishangaa sana kusikia Lowassa ameteuliwa kuwa waziri mkuu nilisema kijana huyo hatadumu kwa muda mrefu kwenye hiyo nafasi.

Mzee malecela amesema Watanzania waliona Lowassa alipokuwa waziri mkuu alianzisha njia tatu mkoa wa dar es Salaam ili kupunguza foleni bila kufuata sheria zilizowekwa watu wengi sana walikufu na wengine wameshakuwa vilewa wa miguu pia aliagiza jengo la golofa 10 lilipo masaki karibu na nyumbani kwake livunjwe.

Jengo hilo lilifunjwa na suma JKT. bila kufuata sheria matokeo yake serikali ilishindwa na kuamliwa na mahakama kumlipa mwenye Jengo hilo mamilioni ya pesa serikali ililipa hela za umma na aliyesababisha upotevu wa fedha za umma ameachwa yupo anadunda mitaani mambo mengi yalitokea kipindi akiwa waziri mkuu leo hii ndio awe mwenye maamzi magumu.

Mungu anamjua Rais aajaye chama kinamjua atakaye kuwa Rais pia serikali inajua urais wa nchi hautafutwi kwa namna hiyo ameongea mzee John Malecela waziri mkuu mstafu wa Tanzania.

Waliomuiba Albino Pendo Wakamatwa Mwanza

$
0
0
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amesema watu wote waliohusika ‘kuiba’ mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Pendo Emmanuel (4) katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba, Mwanza, wamekamatwa.

Akizungumza wakati akiwaapisha wakuu wapya wa wilaya wa mkoa huo jana, Manju Msambya (Misungwi), Zainab Rajab (Sengerema) na Pili Moshi (Kwimba), Mulongo alisema watu wote waliohusika wamekamatwa na hivi sasa bado hawafahamu kama mtoto huyo yupo hai ama mfu.
“Wezi wale baada ya kumuiba mtoto Pendo walimleta katika hoteli moja hapa jijini Mwanza, kisha kuwakabidhi watu walionekana wanunuzi, lakini wote hao wamekamatwa akiwamo mmiliki wa hoteli hiyo,” alisema Mulongo.
Alisema serikali ipo kazini wakati wote, ndiyo maana inafanya kazi usiku na mchana kuwasaka watu wote waovu mkoani Mwanza ambao hawawezi kusalimika kwa kile watakachokifanya.
Hata hivyo, alisema watu hao waliofanya uhalifu huo akiwamo baba wa mtoto huyo, Emmanuel Shilinde, wanashikiliwa na polisi huku mtu wa mwisho aliyetoweka na mtoto huyo toka hotelini hapo akiendelea kutafutwa.
Mulongo hata hivyo hakuweza kuitaja hotel wala mmiliki wake na wangine waliohusika na tukio hilo lilitokea Desemba 27 mwaka jana, lakini Shilinde akituhumiwa kuhusika zaidi na tukio hilo kutokana na kuamua kufanya hivyo kwa sababu alikuwa ana watoto wawili albino.
Mkuu wa mkoa huyo aliwataka wakuu wa wilaya wapya, kuhakikisha kushughulikia changamoto za wapiga ramli, kuangalia utoaji wa vibali kwa waganga wa jadi ili kudhibiti matyukio ya utekaji na mauaji ya albino.
Hata hivyo, alishangazwa na maneno yanayotolewa na watu kuhusiana na mauaji hayo kuwa yanatokana na masuala ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu.
Katibu wa chama cha maalbino mkoa wa Mwanza, Mashaka Tuju, aliishutumu serikali kwa kushindwa kuchukua hatua stahili tangu mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) yalipoanza miaka tisa iliyopita.
Amesema kwa miaka tisa serikali inahangaika na kudai inachukua hatua lakini hakuna hatua yoyote inayoonekana mpaka sasa huku albino wengi wakiwa wanaishi vijijini katika nyumba zisizo na ulinzi thabiti, lakini utakuta viongozi wa serikali wanaenda huko pale linapotokea tatizo la mauaji ya watu hao.
Tuju amewashambulia mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza, Antony Diallo, naibu waziri wa nishati na madini, Charles Kitwanga na mbunge wa Magu, Dk. Festus Limbu, kwa kushindwa kufanya juhudi zozote za kuwalinda na kuwatetea albino.
Katika kipindi cha miezi miwili, watoto Pendo Emmanuel wa Kwimba na Yohana Bahati (mwaka mmoja) wa kijiji cha Ilelema Chato, walitekwa na watu wasiojulikana.

Nuhu Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Ngono Alizoweka Mtandaoni

$
0
0
Mwanamuziki Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Intragram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga,picha hiyo
ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi.Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajiri ya video yake mpya ya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka.
Baada ya juzi usiku Nuhu mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa wake mashabiki zake walionyesha kutofurahishwa na kitendo hicho na wengihne kufikia hatua ya kutukana huku wengine wakidai kuwa amemdharirisha mpenzi wake huyo ambae ni mama wa watoto wawili.lakini baada ya hapo Nuhu aliifuta picha hiyo alipogundua hali ya upepo imekuwa tofauti na vile ambavyo yeye alidhania.
Anapenda mwenyewe kuzalilishwa huyo @shilolekiuno kwani ni picha yake ya kwanza???? ... nawapenda lakini wameniuziii toka wapost ule ujinga,na kujisahaulisha kama wee ni mama wa mabinti wakubwa tu sijui wanajifunza nini wakiona hizo picha..."Kapost mpenz wake yuko maziwa wazi yale sio mapenzi unaitwa uzalilishaji Wa wanawake Hao ni baadhi ya mashabiki waliotoa yao ya moyoni baada ya kuiona ile picha ya Nuhu wakiwa pamoja na Shilole.
"Naomba niombe radhi kwa waliochukizwa na picha niliopost usiku wa jana.Lakini naweza sema pia ile ilikuwa ni video yangu mpya ya wimbo wangu wa Zimataa.So ilikuwa ni promotion picture.Ila mwisho wa maneno yangu ni kuomba radhi kwa lililotokea."
Hata baada ya kuomba radhi hali ya mashabiki bado ilikuwa ileile ni watu walionyesha kukerwa na kitendo kile bado waliendelea kutukana na kusababisha hata post ya kuomba radhi pia kuifuta katika Accouny yake hiyo ya Instragram.

AliKiba kutoka na wimbo mpya kesho

$
0
0
Msanii alietamba kwa muda mrefu na ngoma yake ya Mwana AliKiba kesho anaratajia kuachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Chekecha,kupitia ukurasa wake wa Intragram baada ya kuonyesha picha inayoonyesha ujio wake mpya mashabiki wa Ali Kiba

wameonyesha walikuwa na shauku kubwa ya kusikia kazi mpya wa King Kiba.
Baadhi ya mashabiki wa Kiba wameitabiria makubwa ngoma hiyo licha ya kwamba bado hawajaisikia na kusema kuwa huenda unaweza kuwa wimbo wa Taifa tena kwa namna utakavyotamba na kupokelewa mitaani.
Jumaa_salim "Hope itakuwa nyimbo ya taifa kama zilizopita, mwenye kipaji ni kama perfume lazima harufu isikike. Ali Kiba unajua"
Baby_anney "Jamani can't wait maana napenda sana kazi zako hamna mfano wake my favorite @officialalikiba"
Frank Mugasa "Yani naisibiri kwa hamu ngoma iyo inipoze machungu ya kufungwa na monaco"
Moja ya mstari ambao unapatikana katika kazi mpya ya Alikiba unasema "Kama mapenzi ghorofa yamejaa Kariakoo"
Ali kiba aliachia nyimbo zake mbili Kimasomaso na Mwana tarehe 25/July/2014 baada ya kimya cha muda mrefu na baadae kuna nyimbo mbili zilitoka ambazo kwa mujibu wa Ali Kiba alidai kuwa hakuzitoa bali zimevuja ila alidai kuwa atakachokifanya ni kuzifanya nyimbo hizo ziwe katika kiwango kizuri ili ziweze wafikia mashabiki kwa ubora zaidi na ziweze kuchezwa katika vituo mbalimbali vya redio.

Msanii Temba Kutoka TMK Wanaume Apandishwa Mahakamani kwa Kutishia Kuua

$
0
0
Msanii kutoka TMK Wanaume Family, Amani James aka Mh Temba jana amefikishwa katika mahakama ya mwanzo ya Temeke jijini Dar es salaam akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua kwa kisu kutokana na wivu wa mapenzi.

Kwa mujibu wa Nipashe, Temba alipandishwa kizimbani na kusomewa mashitaka yake mbele ya hakimu Claudia Frank wa mahakama hiyo.
Mheshimiwa Temba alifikishwa mahakani hapo mapema saa 3:00 asubuhi huku akiwa amefungwa pingu chi ya ulinzi wa askari kanzu wa kituo cha Mkoa wa Kipolisi Chang’ombe.

Aliwekwa chini ya ulinzi katika kituo cha mahabusu ya mahakama hiyo kabla ya kusomewa mashitaka yake. Kesi hiyo imesajiliwa mahakamani hapo kwa namba 371 chini ya kifungu cha 89 kidogo cha (2) (a) sura ya 16 ya mwenendo wa sheria ya Makosa ya Jinai.

Akisomewa mashitaka na karani wa mahakama hiyo, Joyce Ngamesha, alidaiwa kuwa Januari 28, mwaka huu, saa 1:00 jioni katika baa ya Scorpion Iiliyopo Temeke jijini Dae es salaam, mshitakiwa alimtishia kumchoma kisu Godrey Deogratius ama Sulla.

Mshitakiwa alikana mashitaka hayo na yupo nje kwa dhamana.

Hakimu Frank alisema kesi hiyo itasikiliza ushahidi March 11, mwaka huu,. Kabla ya kufikishwa mahakamani hapo, Mshitakiwa alifikishwa katika kituo cha polisi cha Chang’ombe akituhumiwa kutishia kumchoma kisu mlalamikaji kwa madai ya kuwa na mahusiano wa kimapenzi na mke wa msanii huyo.

Ilidaiwa kuwa mshitakiwa alimtishia kumchoma kisu mlalamikaji huku akijua ni kinyume na sheria.

Source:Nipashe

Breaking News: Chid Benzi Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Miwili Jela au Kulipa Faini ya sh. 900,000

$
0
0

Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.

Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa hayo.

Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.

Hata  hivyo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo   imemwachia  huru mwanamuziki huyo  baada ya kulipa faini ya 900,000/

Hatimaye Kinyesi cha Mwalimu Kilichokuwa Kwenye Chumba Chake Kwa Miezi Kadhaa Chateketezwa

$
0
0
Manispaa ya Temeke leo imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila Gaudensia Albert baada ya maofisa wa afya wa manispaa hiyo kuchukua hatua hiyo ili kunusuru afya za wakazi wa eneo hilo.

Kazi hiyo ilifanyika majira ya saa tisa alasiri katika eneo la Yombo, Kisiwani Kata ya Sandari jijini Dar es chini ya uangalizi wa Jeshi la Polisi na wakishirikiana na Mwanyekiti wa Mtaa huo, Yahya Bwanga.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini wakati wa zoezi hilo, Ofisa Afya wa Manispaa ya Temeke, Floyd Tembo alisema tukio hilo walilipata juzi juzi jioni, baada ya kulipata waliwatuma Watendaji wa Afya wa Kata hiyo wafanye utafiti wakujua tatizo hilo lilikuwa na ukubwa gani.

“Baada ya kufanya utafiti wao pia walimpata mhusika, ambapo tulischukua jukumu la kwenda kumhoji Mkuu wa washule hiyo ili kujua kama mwalimu Gaudensia alikuwa na akili timamu au la, hata hivyo, Mkuu wa shule atueleza kuwa alikuwa na akili timamu,”alisema Tembo.

Alisema pamoja na kuutekeza mlundikano huo wa kinyesi pamoja mikojo na matapishi bado wanaendelea na utaratibu wa kumfikisha mwalimu huyo kwenye vyombo vya sheria ili haki iweze kutendeka.

“Hili tukio halihusiani na ugonjwa wa akili inawezekana kuna tatizo lingine ingawa hatuwezi kuamini mambo ya ushirikina lakini haiwezekani mwalimu kama yule ajisaidie na kuhifadhi uchafu kama ule ndani,”alisema.

Aidha, alisema mwalimu huyo hakuweza kufika kwenye eneo la tukio hali iliyofanya mlango wa chumba chake uvunjwe chini ya uwaangalizi wa polisi.

Tembo, alisema mwalimu huyo alishindwa kutokea kwenye eneo la tukio kwa vile alipelekwa Hospitali ya Temeke kisha kuhamishiwa Haspitali ya Taifa muhimbili kwa ajili ya kupimwa afaya baada ya kupata mshituko ambao umesababishwa na taarifa hizo.

Afisa Afya wa Usafi wa Mazingira, Jumamne Muhogo, alisema uchafu walioubaini ulikuwa ni uchafu wa kinyesi, mikojo na matapishi inasemekana kuna kipindi alikuwa anatapika.

Pia alisema kipo kifungu cha sheria, walifika pale maofisa kutoka idara mbalimbali kupima uzito wa tukio, ambapo kama wangemkuta wangemkamata kwa hatua za kimfikisha mahakamani.
Mhogo, alisema hata kama alikuwa mtaalamu wa sayansi, alikuwa amehifadhi uchafu ule kwa ajili ya utafiti basi hayo yote angekwenda kuyaeleza mahakamani.

“Tukio hili kwa manispa ya Temeke ni la kwanza kutokea yani inaekekea huyu mtu hana akili ya kawaida kama angekuwa na akili za kawaida asingeweza kufanya na mna hii,”alisema.


Umati mkubwa wa wakazi wa eneo hilo walikusanyika kwa wingi tangu saa tatu asubuhi wakisubiri kazi hiyo hadi ilipofnyika saa tisa jioni na wataalamu wa manispaa hiyo.

Wataalamu hao walimwagia dawa uchafu huo kisha kuanza ubeba na kutumbukiza chooni kwa uangalifu mkubwa.
Walipomaliza walvisafisha vyombo hivyo kwa kutumia dawa ambazo zimeweza kusaidia kuondoa harufu mbaya iliyokuwa imezagaa hewani.

Awali, Sajenti wa Jeshi la Polisi  Ramadhan Kagolo, alisema aliwajibika kusimamia kuvujnjwa kufuli la chumba hicho kwa vile kazi iliyokuwa ikifanyika ilikuwa ni kwa ajili ya kulinda afya ya jamii.

Tukio hilo ambalo limekuwa likifuatiliwa na majirani hususan jana wakati wa uteketezaji lilitokea Februari 22 mwaka huu.

Lulu Ayashukia Magazeti ya Udaku, VISA na LETE MAMBO

$
0
0
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo ameamua kuwapa makavu laivu magazeti hayo kwa kile ambacho Lulu anadai wamekuwa wakimbandika kwenye kurasa zao ya mbele kila leo kwa stori za kuungaunga.

“Okay...Acha nitoe PROMO bila Malipo tu maana inawezekana watu wana uhitaji...
Kwahyo kuna Magazeti yanaitwa VISA Na LETE MAMBO (tutambue uwepo wao kwanza) Sasa Sina uhakika kama ni masharti ya Boss zao Au ni sheria yao kutopitisha muda bila sura yangu kwenye magazeti yao tena Kwa story za kujitungia tu...Sitaki mnidhihirishie Kwamba bila SURA YANGU kwenye makaratasi yenu biashara haifanyiki....mtajiuliza Kwann nimekuja kuwaweka insta,mnajua sababu....mnajifanya ni ma bingwa wa kuchukua Habari kwenye mitandao Ya kijamii Na kuziboresha kwa uongo...Ichukueni na HII basi....!!

Kama kweli mna uhakika hata bila sura yangu kwenye makaratasi yenu kazi/biashara itakuwepo kama kawaida naomba mnidhihirishie hata ndani Ya miezi 3 tu....otherwise Basi niwe boss wenu mana bila mimi hamna mishahara...!

Endeleeni na madudu yenu...ila msije kukaa kwenye RIGHT ANGLE Mta Love show..!
NAJUA MTAPITA TU Cjui kama mna account humu ningewatag kbsa..!”-Lulu aliandika kwenye ukursa wake wa Instagram.

Bila shaka ujumbe umefika, ila nadhani hii pia kwao itakuwa stori pia.

Mzee wa Ubuyu

Mpiganaji wa Islamic State Anae Wachinja Mateka wa Huko Syria Atambuliwa..Ni Raia wa Uingereza

$
0
0
Mwanaume ambaye amekuwa akitekeleza mauaji ya mateka wa kundi la wapiganaji wa Islamic State ajulikanaye kwa jina la utani "Jihadi John",ametambuliwa.
Bwana huyo ambaye taswira yake akiwachinja mateka kwa kisu bila huruma ndiyo nembo ya wapiganaji hao sasa ametambuliwa kuwa anatokea Uingereza.
Shirika la Habari la BBC limetambua kuwa jina lake kamili ni Mohammed Emwazi.
Emnuazi ameonekana kwenye video kadhaa ya mauwaji ya mateka wa mataifa wa magharibi, akiwemo Mmarekani James Foley, Raia wa Uingereza, Alan Henning na mwaandishi habari wa Japan, Kenji Goto.

Inaaminika kuwa Emwazi ni raia wa Uingereza na hasa anatokea magharibi mwa London.
Yamkini Emnuazi aliyezaliwa Kuwaiti na mwenye umri wa kati ya miaka 20 -29 alikuwa amefahamika sana na vyombo vya usalama lakini kwa sababu za kiusalama haikuwezekana kumtambua.
Anaaminika amewahi kuishi Somalia mnamo mwaka 2006 na anauhusiano mkubwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabab nchini humo.
Polisi nchini Uingereza imeziomba vyombo vya habari kutosambaza habari ambazo hawajazithibitisha kumhusu jamaa huyo kwani uchunguzi unaendelea.
Hata hivyo bado habari za kina kumhusu Jihadi John hazijatolewa.
Mwandishi wa maswala ya Usalama wa BBC Tomi Oladipo anasema kuwa vyombo vya usalama vya serikali za mataifa yanayokaribia Somalia sasa yana kila sababu ya kutahamaki.

Bwana huyo aliwahi kushirikiana na kundi la Al Shaabab
Kwa sababu Kuhusika kwake na kundi la Al Shaabab kisha akajiunga na kundi la Islamic State ambalo kwa wakati mmoja lilikuwa linashindana na wanamgambo wa Al Qaeda kuhusu yupi kati yao anayeushawishi
mkubwa
Ishara kuwa Al Shabab inazingatia msimamo mkali wa kidni hata zaidi ya Al Qaeda.
Kwa sababu itakumbukwa kuwa Al Qaeda ilipinga hatua kali ya kuwachinja mateka nchini Iraq na Syria.
Emnuazi ambaye amekuwa akiwabeza mataifa ya Magharibi kabla ya kuwakata shingo naaminika kuwa mtaalamu wa maswala ya kompyuta alisomea chuo kikuu cha Westminster.
Kwa mujibu wa mwandishi wa BBC bwana huyo anaaminika kuwa alikwenda Syria mwaka wa 2012, lakini kabla ya wakati huo majasusi wa Uingereza na Marekani walikuwa hawajajua tishio lake.

Kwanini Baadhi ya Kina Dada Hupenda Wanaume Wahuni na Makatili (Bad Boys) na Kudharau Wapole?

$
0
0
Utakuta kila mara anapigwa anatukanwa na kugundua ana Wasichana wengine lakini yumo tu kazi ni kulalamika kwa mashoga zake, huko watamshauri aachane na huyo jamaa katili na muhuni lakini utakuta anawadharau anaenda tena.

Naamini hili halipo kwa Wakurya tu ni wanawake in general hawapendi watu soft. Kweli hawa viumbe ni wa ajabu sana wakati mwingine si mke wa mtu ni mpenzi tu chuoni ama uraiani hata kwenye mashule wanapigwa tu na kuendelea kuwa na Body Boys

Wakati mwingine ni kama wanachokoza ili wapigwe maana wakionywa jambo flani wanarudia kisha wanapigwa halafu wanaunda jopo la kuomba msamaha.



Je ni Tatizo la Kisaikologia ama ndo Nyota za Punda?

Mr Bond Afunguka Kuhusu Tetesi za Kuwa na Watoto Wanne zilizosababisha Wastara Kuzimia

$
0
0
Bond baada ya habari yake kutoka gazetini kuwa ana watoto watatu na mmoja amezaliwa majuzi ...lulu (kimwana manywele)anadai alimpigia wastara kumwambia kuwa demu wa bond kajifungua (ikadaiwa wastara akazimia)lulu kasema aliamua kusema siri hiyo sababu Bond alimzingua(lulu aliwahi kuwa demu wa Bond...Bond kafunguka hivi:....

"Binadamu wengine bana wanadhani ustar unakuja kwa kuandikwa kwenye magazeti tu.
Yaani mtu anakosa kazi ya kumfanya aandikwe magazetini basi anaona andikwe kupitia watu.. eti unawafata watu wa magazeti na kuanza kusema uongo kisa uonekane unanijua sana.. dah eti nina watoto wanne? We unawajua? Mama zao wataje basi, na magazeti mengine uchwala kweli ati mtu anakuja kuwaambia muandike kitu nanyi mnaandika..ntakuja kuwaambia mjiandike na nyinyi..huna ushahidi wowote na jambo unaandika kweli? 
Ila ipo siku yenu mtafurahi tu in shaa allah...kila jambo linakuja kwa sababu.. alhamdulillah..."

Mrembo Bongo Movies Atamani Kupata Mtoto..ila Wakumpa Mimba Ndio Shida..Changamkia Dili

$
0
0
Staa wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan amesema kuwa anatamani kupata mtoto wa pili kwa sababu mtoto wake wa kwanza amefikisha miaka 10, tatizo hana wa kuzaa naye.

Akipiga stori na Mwandishi Tiko alisema yeye ni ‘mgonjwa’ wa watoto wachanga na anahisi sasa ni muda muafaka ila tatizo mwanaume aliyenaye hana mpango wa kupata mtoto.

“Yaani acha tu, mpenzi niliyenaye naona kama hajajiandaa maana hata nikiongelea ishu ya kubeba mimba, naona ananipotezea lakini kiukweli nahitaji mtoto wa pili,” alisema Tiko.

Haya Wadau wa Zali la Mental Mpo ?
-------------
You build on failure. You use it as a stepping stone. Close the door on the past. You don't try to forget the mistakes, but you don't dwell on it. You don't let it have any of your energy, or any of your time, or any of your space.
By Johnny Cash

Share Your Comment Below Using Facebook or Blogger Comment Box

Mke wa Mtu Anaswa Akifanya Mapenzi na Chemba Kwenye Gari Live

$
0
0
BIASHARA ya kuuza miili imezidi kushamiri katika viunga vya Jiji la Mwanza na mwanzoni mwa wiki hii Kitengo Maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers, kilifanya zoezi lingine kubwa baada ya kumnasa mwanamke mmoja akifanya mapenzi ndani ya gari katika eneo la Kirumba, Ijumaa lina data kamili.

Baada ya kutajiwa maeneo yanayosifika kwa biashara hiyo maarufu kama uchangudoa, OFM ambao juzikati walilifumua danguro lililopo maeneo ya Liberty jijini hapa, Jumanne wiki hii lilifanya matembezi katika eneo hilo ili kubaini jinsi biashara hiyo haramu inavyofanyika.

Majira ya saa tisa za usiku, katika eneo lililopo jirani na Villa Park, OFM ilishuhudia wanawake wengi wakiwa wamesimama na kujinadi kwa wanaume waliokuwa wakiwafuata na kuzungumza nao biashara kama wauzao vitu halali.

Baadhi ya waliokubaliana waliondoka kuelekea kusikojulikana na wengine, walisogea pembeni na ‘kujisevia’ kwenye maeneo ya giza.Lakini katika hali ya kushangaza, mwanamke mmoja akiwa na mwanaume, alionekana akiingia katika gari moja lililokuwa limeegeshwa katika eneo linalojulikana kama Magereji, lililopo pembeni ya Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa na OFM lilipowafuatilia, liliwabamba wakifanya mapenzi.

Wakati wakianza kupigwa picha mfululizo, mwanaume alifanikiwa kukimbia kwa kupitia dirishani na kutokomea bila kunaswa na kamera, wakati mwanamke alijikuta katika fedheha kubwa na kuanza kuomba msamaha kuwa picha yake isisambazwe kwa vile ataaibika.

Ijumaa: Sasa kwa nini unafanya biashara hii?
Mke wa mtu: Ni shida tu jamani, mume wangu kanitelekeza, naombeni mnisaidie msinitoe gazetini maana ndugu zangu wala hawajui kama nafanya biashara hii?

Baadaye katika uchunguzi wake, OFM ilibaini kuwa mlinzi wa gereji iliyopo eneo hilo ndiye amekuwa akitoa nafasi ya makahaba hao kutumia magari yanayolazwa eneo hilo kwa kuwatoza kiwango cha fedha ambacho hata hivyo hakikufahamika mara moja ni kiasi gani.

Hata hivyo, uchunguzi wa OFM umebaini kuwa machangudoa wengi wanaojiuza katika vijiwe vya Mwanza, wanatoza kati ya shilingi elfu nane hadi kumi kwa huduma ya muda mfupi, wakati wale wanaohitaji kulala nao, wanalipishwa kati ya shilingi 25,000 hadi 30,000.

Ijumaa linalaani biashara hii na linawatahadharisha wanaoifanya kuiacha la sivyo yatawakuta makubwa ikiwa ni pamoja na kuaibika kwa picha zao kuanikwa gazetini.

GPL
------------------
Forgiving does not erase the bitter past. A healed memory is not a deleted memory. Instead, forgiving what we cannot forget creates a new way to remember. We change the memory of our past into a hope for our future.
By Lewis B. Smedes

Share Your Comment Below Using Facebook or Blogger Comment Box

You will never believe what DIAMOND had to say about ZARI, he is just using her, it’s business

$
0
0
Speaking for the first time about his relationship with Ugandan socialite, Zari Hassan, Diamond revealed that their “love affair” was planned and it’s all about business.

According to Diamond, he is using his relationship with Zari to penetrate the Ugandan market which has not been receptive. So far, his music is now doing well in Uganda courtesy of his affair with Zari.

Diamond also said that he dumped Wema Sepetu because she betrayed him and she had “killed” several of his babies while claiming that she was not ready to be a mother.

VIDEO! High School Form 1 Students Forced to KISS & do Bad Manners as Others watch

$
0
0
Below is a video from a mixed school where two form one students were forced to kiss and caress as their seniors enjoyed the free show and later posted it on social media;

Watch Video Here:

Kesi Yangu imenifundisha Mengi, Nilikuwa Nipo Tayari kwa Adhabu Yoyote– Chidi Benz

$
0
0
Rapper Chidi Benz kwa sasa ni mtu huru baada ya Alhamis hii kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini ya shilingi laki tisa. Amelipa faini hiyo.

Akizungumza leo kwenye ‘You Heard’ ya Clouds FM, Chidi amesema amejifunza mengi kupitia kesi hiyo.

Nimejifunza kwa sababu kuna maisha halisi ambayo nimeishi kati hapo na matatizo. Ni maisha ambayo yamebadilisha sehemu kubwa sana ya maisha yangu,” amesema Chidi. “Kwanza watu wote wanafahamu tukio hili lilinitokea na nimemalizana nalo. Pia sijaisumbua mahakama, nilikubali kwamba ni kweli nimekutwa na hivyo vitu na ni kweli nilikutwa navyo na nikikataa ni sawa sawa na ujinga kwamba adhabu ni lazima nitapewa tu. Nilikuwa nipo tayari kwa adhabu yoyote,” ameongeza.

“Unajua mimi nimefanya tukio ambalo limeonekana ni tatizo kubwa sana kutokana na unajua sisi tunaishi na maadui kuna maadui wengine wanatengeneza suala lako kuonekana kubwa sana. Kwahiyo hakimu kaangalia huyu amekosea na amekubali anaweza akawa mfano kwa wengine. Kwahiyo watu wengine wajifunze na wajiweke sawa na wasafiri.”

Chidi amedai kuwa ni mama yake ndiye aliyeilipa faini hiyo.

Mama yangu mzazi na rafiki yangu siwezi kumtaja, watu wawili tu ndo walikuwa pamoja na mimi. Mama yangu mzazi ameshughulikia kila kitu, faini pesa kulipa kila kitu kafanya yeye mama yangu mzazi. Kwahiyo mama yangu mzazi pekee ameshughulikia, namshukuru sana.”

We all have life storms, and when we get the rough times and we recover from them, we should celebrate that we got through it. No matter how bad it may seem, there's always something beautiful that you can find.
By Mattie Stepanek

Andrew Chenge AGOMA Tena Kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma.....Aomba Aruhusiwe kukata Rufaa Mahakama kuu

$
0
0
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ameendelea kupambana ili Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, lisiendelee kusikiliza shauri lake, licha ya pingamizi lake kutupiliwa mbali jana.

Chenge amewasilisha ombi la kukata rufaa Mahakama Kuu dhidi ya uamuzi wa baraza hilo, uliotolewa jana na kusomwa na Jaji Hamisi Msumi, ukisema madai yaliyowasilishwa kwenye pingamizi la mbunge huyo, hayalihusu baraza hivyo shauri linapaswa kuendelea kusikilizwa kama ilivyopangwa.

“Tumeliangalia kwa makini pingamizi hili (la Chenge) na kuipitia amri ya Mahakama Kuu inayozuia suala la akaunti ya Escrow kujadiliwa na tumejiridhisha kuwa, Baraza hili halihusiani na orodha ya watu waliotajwa kwenye amri hiyo waliyowekewa pingamizi,” alisema Jaji Msumi.

Alisema baraza hilo limebaini katika amri hiyo, yako makundi yaliyotajwa kutojihusisha na suala hilo hadi pale Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi katika kesi ya msingi na katika makundi hayo, Baraza hilo la Maadili halikutajwa.

Alisema pia pingamizi kubwa, lililowekwa katika amri hiyo ni kuzuia kupelekwa bungeni na kujadiliwa kwa taarifa ya ukaguzi maalumu wa miamala ya Escrow na masuala ya umiliki wa IPTL.

“Hivyo basi, Baraza limeona hoja iliyowasilishwa na kukabidhiwa na mlalamikiwa haina msingi, hivyo imekataliwa,” alisema Jaji Msumi.

Chenge ang’ang’ana
Baada ya uamuzi huo, Chenge aliomba kuwasilisha hoja yake ya kukata rufaa akisema, “sina nia ya kubishana, ila nataka kuwasilisha nia ya kukata rufaa kwenda Mahakama Kuu, kupinga uamuzi huu wa Baraza ili suala hili litolewe uamuzi upya”.
 

Alisema anashangazwa na wanasheria wa baraza hilo, ambao hawajatumia muda wao ipasavyo kwa kwenda masjala ya Mahakama Kuu na kupitia amri hiyo ya Mahakama Kuu na kujiridhisha, kwa kuwa amri hiyo iko wazi, pana na imegusa maeneo mengi kuliko inavyofikiriwa.

“Naomba nitumie haki yangu ya kukata rufaa na kwenda Mahakama Kuu, naomba nipatiwe mwenendo mzima wa kesi, sasa sijui Baraza hili lina utaratibu wa kukata rufaa au mimi ndio nitalitambulisha suala hili kwa mara ya kwanza,” alihoji Chenge.

Kwa upande wake, Jaji Msumi alisema baraza hilo limemruhusu mbunge huyo ambaye pia aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akate rufaa dhidi ya uamuzi wa baraza hilo Mahakama Kuu, jambo litakalosaidia pia kuweka historia ya kisheria.
 

“Ni vyema tuachie Mahakama Kuu ambacho ni chombo cha juu kuliko Baraza hili, ili itueleze kama ni sahihi sisi kuendelea na shauri hili au la, kwa sasa sina uhakika kama kanuni zimetengwa kuhusu masuala ya rufaa kwenye Baraza hili,” alisema.

Alisema endapo Mahakama Kuu itaamua baraza hilo lisiendelee kusikiliza shauri hilo, shauri hilo halitasikilizwa, lakini ikiamuru liendelee, litaendelea kumhoji Chenge na kesi yake ya kukiuka maadili ya uongozi wa umma.

Juzi Chenge alisomewa rasmi mashitaka yanayomkabili na Mwanasheria wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Hassan Mayunga, ambayo ni pamoja na kutumia madaraka yake vibaya alipokuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kushauri Serikali iingie mkataba wa miaka 20 na kampuni ya IPTL.
 

Aidha, anadaiwa baada ya kustaafu wadhifa huo wa uanasheria mkuu wa Serikali Desemba 24, mwaka 2005, mwaka 2006 aliingia mkataba wa kuwa mshauri mwelekezi wa kampuni wa VIP Engineering and Marketing Limited iliyokuwa na hisa za asilimia 30 kwenye kampuni ya IPTL.

Lakini, pia mwanasheria huyo anadaiwa na baraza hilo, kuingia mkataba na kampuni ya VIP, uliompatia manufaa ya kifedha ya Sh bilioni 1.6 kinyume na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma na fedha hizo ziliingizwa Februari 5, mwaka jana katika akaunti ya mlalamikiwa namba 00120102523901, iliyopo kwenye Benki ya Mkombozi Tawi la St Joseph jijini Dar es Salaam.

Baada ya kusomewa mashitaka hayo juzi, mbunge huyo alikataa kesi hiyo kusikilizwa na kuwasilisha pingamizi hilo la kutaka suala hilo kutoendelea kusikilizwa kwa kuwa tayari kuna kesi ya msingi Mahakama Kuu inayoendelea kusikilizwa.
-----------
Take those chances and you can achieve greatness, whereas if you go conservative, you'll never know. I truly believe what doesn't kill you makes you stronger. Even if you fail, learning and moving on is sometimes the best thing.
By Danica Patrick

Viewing all 104808 articles
Browse latest View live




Latest Images