Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Mwizi wa gauni la Lupita Nyong’o alirudisha baada ya kugundua ni feki na halina thamani ya $150,000

$
0
0
Mwizi aliyeiba gauni la muigizaji Lupita Nyong’o alilovaa kwenye tuzo za 2015 Oscars ameamua kulirudisha baada ya kugundua kuwa ni feki na halina thamani iliyotajwa.

Gauni hilo la Calvin Klein lililotengenezwa maalum kwaajili ya Lupita, lilimvutia mwizi huyo kulinyemelea na kuliiba baada ya kudaiwa kuwa na thamani ya $150,000 (zaidi ya shilingi milioni 274).

Mwizi huyo aliwapigia simu mtandao wa TMZ na kuwaelekeza alipoliacha begi lenye gauni hilo, na TMZ walitoa taarifa polisi ambao walilifatilia na kulikuta limerudishwa hotelini lilipoibiwa lakini likiwa limewekwa bafuni chini ya sinki.

Mtu huyo aliiambia TMZ kuwa aliliiba gauni hilo kwenye chumba cha Lupita baada ya kukuta mlango ukiwa wazi, na kubandua vigolori viwili na kuvipeleka kwa wataalam wambao walimwambia ni za bandia.

Mwizi huyo aliongeza kuwa aliamua kurudisha gauni hilo na kuwapigia simu TMZ ili kuumbua uongo wa mastaa wa Hollywood, na ulimwengu ujue kuwa gauni hilo halina thamani iliyotajwa.

Meet the girls who share same body but have two heads – See how they look (Photos)

$
0
0
Abigail and Brittany Hensel are conjoined twins from Minnesota. Being conjoined, they have had many struggles throughout their lives. Soon after they were born, doctors gave their parents the bad news; the twins would not survive very long. 

The girls are now 25 years old and are featured in a show, titled: Abby and Brittany, which will show viewers how their every days lives are.
 
These girls are one of the rarest set of dicephalus twins in the world! It is very rare to be born conjoined (1 in 40,000) and it is even more rare to survive after birth (1% of the 1 in 40,000)! The fact that Abby and Brittany are alive and well is a miracle. Abby and Brittany came to be when a fertilized egg failed to separate inside the womb.
 
They have two hearts, two spines joined at the pelvis, four lungs, two esophagi, three kidneys, one ribcage, one liver, a partially shared nervous system and a shared circulatory system. From their waist down, all organs are shared including the reproductive system, intestines and bladder. Abby, the right twin can’t feel anything on the left side of body while Brittany, the left twin can’t feel anything on her right side.
have two heads
Despite the fact that the twins can only feel their half of the body they share, they still are able to type, play piano, bowl, play volleyball, ride a bicycle, play softball, and swim, etc.
 
They were actually born with three arms, one arm was removed surgically at the time of birth. During their life, they have been operated on several times, but the twins have remained in good health. The twins have been in the media several times in their lives. At the age of six, they appeared in Oprah Winfrey show and on the cover of Life magazine.
 
They stayed out of the media for 10 years, and then when they were 16 the girls were filmed for a TLC documentary. If features them pa’s’sing their driver’s test; each twin controls the steering wheel with one arm. Their mother wondered which twin would get the speeding ticket if they were ever pulled over. The girls have to cordinate everything together and they don’t always have the urge to eat or sleep at the same time either.
 
Their parents have encouraged the twins to develop individual personalities. They have exposed the twins to the media, but have purposely kept it limited for the sake of the girls and their other 2 children. Although the two girls are individuals and they have the urge to sleep and eat at different times, they still coordinate among themselves to work as a single body.
 
Clothes have to be made special order for the twins because they have 2 necklines. In order to show their own styling and tastes, the girls have leggings made with different colors on each leg. They wear different shoes on each foot for the same reasoning as well. Abby and Brittany have always been treated as two separate identities.
 
They even buy 2 movie tickets when they go to the theater. Their parents never thought of getting the twins separated. One of them might die or get physically handicapped for the rest of her life, so it just really wasn’t an option for them. The girls were always treated as two separate individuals. Patty (Abby and Brittany’s mother) said “when children ask the girls if they have two heads, they say they don’t, but that each has their own head.
 
That’s what we have encouraged them to do, to develop their own individuality as much as possible.” They buy two separate cinema tickets, separate meals and two different birthday cakes for them. When the girls were younger, they made sure to scold the right girl and not just scold them as one person. Since the girls are two separate people, one twin can get sick while the other stays healthy. Abby and Brittany rarely fight.

RAILA insists He Won The 2007 & 2013 Elections – UHURU/ RUTO & KIBAKI Rigged Him out

$
0
0
Former Prime Minister, Raila Odinga, on Thursday said he won the 2007 and 2013 General Elections only to be rigged by agents of status quo who fear his leadership style.

Speaking on the seventh anniversary of the agreement that saved the country from civil war, Mr Odinga said him and former President Mwai Kibaki received calls and emissaries from leaders of permanent members of the UN Security Council who asked them to form a Coalition Government in 2008.

“I talked to various Heads of State and Governments. Africa was not left behind and the President of Ghana, as Chairman of the AU, spoke to me and Kibaki before initiating the Committee of Eminent Persons led by Dr Kofi Annan. UN Secretary-General, Ban Ki-Moon, came to push for peace and resolution of the crisis,’’ Raila said.

Raila said were it not for Koffi Annan, the country would have gone to the dogs since everybody was planning how to kill his neigbour.

“My election was rigged and my supporters had gone mad. They knew I won the election and that is why they were expressing anger by demonstrating,” Raila said.

He said the same thing would have happened in 2013 but he calmed his supporters after his victory was stolen by President Uhuru Kenyatta and his Deputy, William Ruto.

Ushauri wa Bure Kwa Ali Kiba Baada ya Kutoa Wimbo Mpya, Tafuta Watu wa Kukutungia Nyimbo

$
0
0

Anyways,  leo nimepata chance  ya kusikiliza nyimbo mpya ya Ali Kiba fasta fasta….
I like Ali Kiba’s music but I think he needs to grow kimuziki. Mie naona toka arudi kwenye gemu nyimbo zake zimeshuka kiwango sio nzuri kama za zamani… Au labda tuseme yani  nyimbo zake zote ni vile vile yani hazina tofauti.Yani they sound identical.Anabadilisha vitu vidogo vidogo sana…… Nyimbo zake za zamani zilikuwaga nzuri sana , ila pia yawezekana za sasa hivi zinaoneka sio nzuri sababu zimefanana na za zamani…Yani nyimbo ya Ali Kiba hata uamshwe usingizini bila kusikia hata sauti ukisikia biti tu unajua nyimbo ya Ali Kiba….lol….

Kwenye issue ya kiwango cha nyimbo kushuka hayuko peke yake hata besti ake  Diamond pia nyimbo zake zimeanza kushuka kiwango…. Mie naona tatizo lipo hapa…. Ni kwamba wamesha maliza material zao zooooote  nzuri…. Ni sawa  na kwenye mashindano ya kukimbia unapoanza kukimbia unakimbiaje fastaaaaa kama gari vile, ila mwisho wa mashindano nguvu zinaisha unaweza hata anza tembea…Mie naona ndo kama hawa vijana, wameshaandika all the best stuff they have sasa material zimekwisha inabidi wafanye tu ili mradi watoe new single….

Yani kwa Ali Kiba kwa jinsi alivyo under pressure sababu ya hiyo ya likinganishwa na Diamond naona hii new single imemwangusha kabisa yani na sasa ni dhahiri kuwa yeye ni number 2.
Well, kunapokuwa na tatizo lazma tutafute na suluhisho… Tumeshajua tatizo sasa hivi ni unandishi wa nyimbo sio kwamba hawajui kuimba kama zamani. Talent zao zipo pale pale au hata labda zimeongezeka kutokana na experience ila problem is hawana tena material ya kuandika nyimbo. I think hata VANESSA MDEE  na  JUMA JUX   wanaface   the same problem. Yani Vanessa na Juma Jux wana swaga za hatariiiiiiiii, yani wamekaa kimamtoni ile mbayaa ila tatizo ni nyimboooooooo, nyimbo hazina viwango vileeeee…..Well wafanyaje sasa???

I think hapa mie nimeona kuna fursa kubwa sana ya uandishi wa nyimbo Yes asilimia kubwa ya artists wengi wa marekani huwa wanaandikiwa nyimbo zao. Especially baada ya kuwa kwenye gemu for a while maana na wao huwa wana run out of material au aideas ndo hapo inabidi wanunue..

Kwa mfano one of the most popular hits in the world ule wa I will always Love you wa Whitney Houston – yeye aliununua tu,ule wimbo uliandikwa na mtu mwingine. I think uliandikwa na Dolly Parton. So kama Whitney angetaka sifa za kujifanya yeye anajua kuimba na kuandika songs zake mwenywe basi sidhani kama angejulikana dunia nzima kama alivyojulikana baada ya huo wimbo alioununua kwa Dolly Parton.  Au tuseme Michael Jackson, mnaikumbuka ile nyimbo yake ya Thriller wakati tuko watoto tulikuwa tunaipenda balaaaa, na ilikuwa number 1 hit all over the world. Guess what Michael Jackson hakuandika ule wimbo aliununua kwa mtu anaitwa Rod Temberton.
Yani kuna watu wanakuwa mamilionea kwa kuandikia waimbaji nyimbo. So jamani mie naona its time sasa watokeee professional song writters Tanzania waanze kuwaandikia hawa waimbaji wetu nyimbo. Kama sio hivyo ndo hivyo wataendelea kutoa nyimbo zisizo na viwango mpaka mwisho watasahauliwa maana kuna new artisits ambao wana nyimbo zao mbili tatu kaliiiiii watatoa tutawapenda then tutawasahau hawa.

Kama wanataka kubaki on top of the game for many years inabidi waanze kununua nyimbo sasa.

Source: U-turn


Picha:Mwigizaji Lucy Komba Awarambisha Watu Ndimu.....

$
0
0
Vijimambo: Mwigizaji wa filamu na mrembo mwenye kujivunia rangi yake, Lucy Komba ambae kwasasa anaishi Ulaya pamoja na mumewe Janus, usiku wa jana alibandika picha hizi mtandaoni akiwa anadendeka na mumewe wakiwa sehemu ya wazi na kuandika maneno ambayo bila shaka walengwa wamemuelewa.

“Zisikutishe kelele za mende wakati kunguru akikuona anakukimbia kwa woga”-Lucy aliandika.

Wadada wa town wanakwambia kwa picha hizi bidada amemaliza,watu wasiowapenda na kuleta figisu figisu lazima watafute ndimu...kwani limao hapa mjini zimebaki za kuungia mboga tu.

Mzee wa Ubuyu

MZEE YUSUPH: Nasikia Raha Sana Kuwa na Wake Wengi

$
0
0
Unafahamu kama Mzee Yusuph anasikia raha kuwa na wake wengi, huku akihakikisha anawatimizia wote mahitaji yao? Fuatana nami ufahamu mengi zaidi kuhusiana na suala la ndoa kwa nguli huyo wa muziki wa taarabu hasa wenye vionjo vya mahaba.

Swali: Katika maisha yako umeoa mara ngapi?

Mzee Yusuph: Nimeoa mara tano, nilioa mke wa kwanza tukashindwana nikamuacha, wa pili nikamuacha, wa tatu pia nilimuacha lakini wa nne na wa tano nipo nao.

Swali: Kuna sababu kubwa ambayo unaamini mwanamke akiifanya, huwezi kuvumilia zaidi ya kumuacha?

Mzee Yusuph: Sina kosa maalumu, inapotokea mwanamke anakuwa mjuba nafahamu ameshachoka ninamuacha aende zake, lakini kukwambia kuwa hili ni kosa maalumu mwanamke akifanya namuacha sina.

Swali: Mke wa kwanza ulioa ukiwa na umri gani?

Mzee Yusuf: Naona una nichimba, sijui mpaka nikaangalie cheti changu cha ndoa ila nilioa Zanzibar.

Swali: Inasemekana kuwa unampenda sana Leyla kuliko mke mdogo Chiku. Je, hilo lina ukweli?

Mzee Yusuph: Halina ukweli wowote ndiyo maana nipo nao wote. Nakili kuwa kama binadamu huwezi kuwapenda wote sawa, lakini najitahidi kama tulivyoamrishwa na dini niwatimizie wote sawa na ndivyo ninavyofanya.

Mashallah! Katika kuwajali sawa najisifu mwanaume nimejipanga kuhakikisha hakuna anayenung’unika.

Sababu ya watu kusema nampenda sana Leyla kuliko bi mdogo ni kutokana na kuwa naye muda mwingi kwa sababu tunafanya kazi pamoja na kazi yetu inatukutanisha na watu wengi ambao hawauoni upande wa pili.

Ninapotoka na Chiku hawatajua kwa sababu hawatakuwa pamoja nasi. Na zipo safari nyingine nje ya kazi natoka na Leyla na hakuna anayefahamu pale wanapotuona mara nyingi tunakuwa kazini siyo matembezini.

Swali: Kuna tofauti gani ya kuwa  na mke mmoja au wengi?

Mzee Yusuph: Tofauti ipo kulingana na malengo ya muoaji, kuna wanaooa kwa mapenzi, kupata watoto wengi pia wapo wanaooa kwa ajili ya kukuza uchumi.

Hayo yote yameainishwa hata katika dini yetu ya Kiislamu, unaweza kumuoa mtu kwa ajili ya kumstiri labda alikuwa hapati mume. Vile vile unaweza kumuoa kwa kukuza kipato kwa sababu anaweza kuwa mchakarikaji mambo yakawa sawa nyumbani.

Lakini kwangu mimi ni mapenzi tu hakuna kingine, nimewaoa wake zangu kwa sababu nawapenda hayo mengine ni majaaliwa yanayokuja baada ya kuwaoa kwanza.

Wanaodhani kuoa wake wengi ni kwa ajili ya shughuli ya faragha pekee siyo kweli kuna vitu vingi vinatazamwa.

Asikuambie mtu kuwa na wake wengi kuna raha yake, unajidai, unajinasibu ukiwa nao wamekuzunguka, huku ukisikiliza manukato tofauti kutoka kwao na kila mmoja akikudekea anavyotaka na ukimudu kuwahudumia ndiyo raha zaidi, kama ambavyo mimi nafanya.

Swali: Kuna tabia ya wake wenza kutopatana, unakabiliana vipi na tatizo hilo?

Mzee Yusuph: Siyo tatizo ndiyo raha ya ndoa ya wake wawili, maana ukisema tatizo kwani lazima kuwa nao. Nakabiliana nalo kwa kuwa wote wangu najua jinsi ya kuwatuliza na wakanielewa.

Kizuri zaidi ninapokuwa nao hakuna anayeonyesha kukerwa na mwenzake wote wapo huru kuniambia chochote wanacheka na kufurahi, kama kuna hali tofauti wanapokuwa wawili hainishughulishi hadi niwaone ndiyo nitaliita tatizo maana watakuwa wameshanishinda.

Waimbaji Linah Sanga na Recho Wafanya Mambo ya Aibu Kweupe

$
0
0
Hamnazo? Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi.

Tukio hilo la aibu lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda, lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa la kuogelea (swimming pool) ndani ya Hoteli ya Regency-Mikocheni jijini Dar ambapo kulikuwa na ‘bethidei’ ya Recho.Awali, mastaa hao walianza kwa kulishana keki kwa staili ya njiwa (kwa mdomo), jambo lililoibua minong’ono mahali hapo.

Kama haitoshi, baada ya tukio hilo, wawili hao waliweka mapozi tata wakipiga picha zilizowaonesha nusu utupu huku vinguo walivyovaa vikiacha wazi sehemu kubwa ya maumbile yao nyeti.

“Duh! Hawa watoto sasa ni too much, waone walivyojiachia na vivazi vya aibu, yaani hawatazamiki mara mbili,” alisikika mmoja wa wahudhuriaji wa pati hiyo.Baada ya kunasa tukio hilo, mwana-habari wetu aliwafuata wawili hao kutaka kujua kulikoni kujiachia kihasara-hasara ambapo waliomba waachwe wafanye yao.

At The End Fahari ya Mwanamke ni Mwanaume...Mambo ya Kujisifia U Single Mother ni Mbwembwe tu ila Moyoni Inakusuta

$
0
0
Nikakumbuka mada nyingi zilizowahi kutolewa hapa kutetea single parent family nikaanza kuzitafakari na kuona hazina ukweli wowote na kwamba kwa namna moja au nyingine zinapotosha kizazi hiki cha sasa.

Naturally, a female should be possesed by a male hiyo ndio fahari na usalama wake kutokana na alivoumbwa na mwenyezi Mungu. Mwanamke anasikia fahari, protection na safe sana akiwa na mume around, Haya mengine ni kujifariji tu hakiyanani.

Msipotoshe jamii kwasababu katika ujana mlikosea na kajikuta nje ya qualification za kuwa na familia yenye baba na mama kwa pamoja. Au kwsababu ya matakwa fulan fulan usipotoshe jamiii kuwa single parent family ndio mpango. Maana kwa upande mwingine that is selfish.

Beijing things and technology ni kati ya vyanzo vya kuwafanya wanawake wengi wajifariji kuwa inawezekana kuwa na familia zao bila kuhitaji wanaume but ukweli unabaki palepale kuwa wanawahitaji wanaume. Tusiendelee kuharibu jamii, kama uliharibu na ikashindikana kuishi na mwenza wako basi jitahidi watoto ulionao kuwaambia ukweli sio kuwajengea chuki kuhusu mzazi mwenzio na wakajikuta wanachukia ndoa. Madhara yake ni makubwa kuliko unavojifurahisha kwa kauli unazowapandikizia watoto wako.

Turudi katika lengo la Mungu kumuumba Adamu na Eva ambalo ni kutengeneza couple itakayotimiza makusudi ya Mungu kwa kusaidiana lakini pia kuzaa watoto watakao lelewa na wazazi wao.

GOOD MORNING!

Picha Mpya za Shemeji/Wifi Yetu Kwa Diamond Zari The Lady Boss

$
0
0
 This is why Team Wema Doesn't Like her..Just look at her new amazing photos..



Ray C Supports Government Move to Ban Twerking (Vigodoro) in Tanzania

$
0
0
Popular dance move, twerking, is now illegal in Tanzania.

The Tanzanian government has banned the provocative dance move because it undermines their culture. To show how serious they are, police have been carrying out frequent crackdowns in clubs to arrest anyone caught in the act.

Popular Tanzanian songstress Ray C has thrown in her support in favor of the ban saying it is inappropriate.

“We must censor what we do otherwise we will be bringing up an immoral generation,” she said.

“Some of the things we do on TV are totally wrong, but since we are role models, the young people watching us at home think that it is okay since we endorse them. Showbiz must be responsible!” she said.

Koletha 'Wanawake Mastaa Tuhongwe na Wanaume Kwa Malengo'

$
0
0
MSANII wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koletha’ amewataka mastaa wa kike kuzitumia vizuri fedha wanazohongwa na vigogo kwa kuwekeza kwenye miradi ili ziwanufaishe.

Koletha alisema suala la wasanii wengi wa kike kuishi kwa kutegemea wanaume wakware lipo wazi kabisa, isipokuwa wengi wao wanajisahau kwa kuzitumia hovyo kwa starehe badala ya kuwekeza kwenye miradi.

“Wasanii wengi wanategemea kuhongwa lakini wawe makini na hao wanaowahonga, kama ni gari wapewe kadi na chochote kile kiwe na uthibitisho ili mwisho wa siku wasiumbuke na kuchekwa lakini cha muhimu zaidi ni kuwekeza kwa maisha ya baadaye maana wengi wanaishia kujivunia nyumba za kifahari za kupanga wakati uwezo wa kujenga upo,” alisema Koletha.

Woman Charged With Killing Nigerian Girl With Butt Injections Claims Amber Rose Was Her Client

$
0
0
Transgender woman Padge-Victoria Windslowe who is facing trial over the death of Nigerian dancer Claudia Aderotimi after a botched cosmetic surgery, told the court she couldn’t be blamed for Claudia’s death because she was good at her job and had many high profile clients, including Amber Rose. The woman swore under oath that Amber started receiving injections from her before she became famous and continued until two days before the 2011 death of  Claudia.

Under cross-examination, Padge-Victoria (pictured right) said that Kanye West dropped off Amber at her clinic for one procedure when they were dating. She also claimed she was supposed to perform a “correction” on Nicki Minaj that never happened.

About Amber Rose, she said “Amber was like a walking billboard. She brought a lot of girls from VH1.”
Asked by Assistant District Attorney Carlos Vega why they would choose an unlicensed practitioner over a LA plastic surgeon, Windslowe said, “I was the best, and I don’t mean that to be cocky.”

Photos : Girl Kills Self After Boyfriend Dumped Her For Best Friend

$
0
0
So sad!A young Nigerian girl has taken her life after her boyfriend dumped her for her best friend.
According to a close source,the deceased body was found at the back of a building few days after her boy friend dumped her.She however declined to say the name of the deceased and her boy friend.


Kigogo Mbaroni Mwanza Mauaji ya Albino na Fedha za Bandia

$
0
0
Kigogo mmoja wa chama ambaye jina lake halikutajwa wala chama anachotoka anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujihusisha na mauaji ya albino na utengenezaji wa noti bandia.
Magazeti Mengi yameripoti leo yakisema kigogo huyo anahusishwa na mbio za urais bila kumtaja Jina

Je ni Kigogo Gani Huyo ? na anatoka Chama Gani ? Kama Mdau Unajua Embu Tupia Jina Hapa

Masogange Did it Again...Showing off Her Blessed FIGA And the New Boyfriend

$
0
0

Agness Masogange and the New Boyfriend

Masogange Did it Again...Showing off  Her Blessed FIGA And the New Boyfriend

Kiongozi wa Team Wema Sepetu DougieMasta Amjibu Ray C..Ampa Michambo ya Haja

$
0
0
Baada ya Ray C Kuwashukia Team Wema Sepetu na Kuwapa Vidonge vyao sasa kubwa la maadui Dogiemasta kutoka Instagram ambae ndio mtari wa mbele kumlinda Wema kwa lolote amefunguka haya hapa chini kuhusu RAY C kupitia Instagram:

'Halooooo ya kisoda kinakwangua mpaka karoti...wewe Rayc mala..ya tu utaniambia nini wewe ndio sina kazi ya kuniingizia pesa ila nina kazi halali ambayo imesibitishwa na tbs UMBEA NDIO KAZI YANGUb eti unajitia nakugombanisha na mastaa wenzio hivi wakiitwa mastaa na wewe unatoka staa mla unga kwani mwenzetu wewe nyoka maana unga anakula nyoka staa teja staa tapeli staa mwizi wa wanaume za watu hahaha sijawahi kuona haya huo ustaa wako wa nini Ray c ulikuwa enzi izo now jiite tu rehema maana kwanz upo kama mpila wa ma..vi shapeless usoless pesaless unamadeni mpaka kwenye macho yako afu unajitiaa staa...staa hata kwenye red carpet hawakujui..

 Acha kubadili mada lipa pesa za watu tapeli mkubwa wew unamtia wema kwenye mada zako za utapeli yeye ndo anakuchamba au tutolee shobo zako mbinuko sis...na nyie mbwa wengine mnajitia namtengenezea wema maadui mnitolee utumbo wenu sijaomba commnt zenu sawa nyege zenu na miwasho yenu ndo ilowaleta...huyu mijicho akiamua kumchukia wema ni juu yake ila so long as tunajua tupo wengi tunaomkubali sasa kama anaonea wanyonge tumkalie kimya Ray c hukoo kwa mateja wenzenu kwetu wema tu so...hii ni accnt yang yes namtetea wema ila atakaeleta umbea malalamiko toka kwa so called superstaa vijiko tunamtililisha vile vile ...nitoleeni unafki wenu hapa wakichambwa wengine vihere here kucommnt masta nyoko mxiuu wakiwekwa mnao wapenda mnajitia walokole sasa nihivi leo nitakichambisha mpaka kieleweke pesa atatoa au atoi hilo ndo jibu....MM NDO DOUGIEMASTA usipanic kabla sijakupanikisha maana utakimbia mji...halooooo KAOGEEEEEE LAKN HATA UKIOGAA KWENYE MZIKI ULISHA OZA KITAMBO UKANUKA TUKAKUZIKA NA RIP TUMEKUPA SO TUMA REQUEST KWA SIR GOD UKAUMBWE UPYA HAHAHA'

Kifo cha Captain Komba Chamfungua Macho Lemutuz..Aanza Kupunguza Unene wa Mwili

$
0
0
LE MUTUZ NATION LIVE STRAIGHT TALK!!;- Morning people U know binadam mwenye akili siku zote hujifunza kwa kuona bila kusubiri kuambiwa.....sihitaji kuambiwa kulichomuua Captain Komba for sure after all is said and done kilichomuua ni UNENE tu hamna lolote lingine I mean kama ni ugonjwa ulianzia kwenye UNENE....now I took a note na tayari nimeshaanza mazoezi tena leo asubuhi I realiza that nilikuwa nimejizembea sana toka nirudi bongo lakini now I got a wake up call na msiba wa Komba.....na it is my hope kila mtu mwenye akili timamu amejifunza wala huhitaji kuambiwa na mtu kwamba Moyo wa Marehemu lazima ulikuwa umezidiwa na mafuta....I mean wote tutakufa anyways ila ni muhimu kuchukua tahadhari badala ya KUJIUA mwenyewe!, PEOPLE KAMA NI MNENE KULIKO INAVYOTAKIWA CHUKUA TAHADHARI ANZA MAZOEZI! CHANGE YOUR LIFESTYLE NOW! JAMANI ASUBUHI NJEMA SANA! - le Mutuz

Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards

$
0
0
Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za 16 za Vodafone Ghana Music (Awards), VGMA 2015.

Majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo yametajwa kwenye hoteli ya La Palm Royal Beach Hotel jijini Accra, jana Ijumaa, February 27.

Diamond ametajwa kuwania kipengele cha msanii bora wa Afrika (African Artiste of The Year).

Wasanii wengine watakaowania kipengele hicho ni pamoja na Tiwa Savage (Nigeria),AKA (South Africa), Don Jazzy & The Mavin Group, Patoranking (Nigeria) na Yemi Alade (Nigeria).

Mshindi kwenye kipengele hicho atapatikana kwa 40% za kura za wananchi, 30% ya kura za Academy na asilimia 30 ya kura za Board.

PICHA:Ufunguzi wa Duka Jipya la “Viwalo” la Nargis Mohammed

$
0
0






Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Nargis Mohammed hivi juzi  amefungua duka jipya la mavazi  ya wanawake ikwa ni muendelezo wa maduka yake yanaofahamika kwa jinala la fashoonista .

Hapo juu ni baadhi ya picha za ufunguzi wa duka hilo lililopo Nyumbani Lounge karibu na Best Bite, jijini Dar.

Hongera sana Nargis.

Jose Chameleone Reveals Why He Is One Of The Richest Artistes In Africa

$
0
0
The Ugandan singer has always amazed many with the kind of lifestyle he leads. Flashy cars, massive wealth and tours across the globe define Jose Chameleone whose music is also undisputed.

But many do not still understand where and how Jose Chameleone has managed to acquire his wealth. All they know is Chameleone is rich.

Ghafla Kenya went into depths to find Chameleone and had an exclusive interview with the veteran Ugandan artiste who revealed the source of his wealth.

Chameleone is a humble man and when he speaks of his wealth, he does not look surprised. Neither does he brag about it. It is probably because he understands what he has gone through to be where he is.

Chameleone reveals that contrary to what people think, he is one of the most hard-working artistes in Africa.

He believes that he is the most hardworking artiste the continent has ever seen and says that he is happy that his hard work has managed to pay off.

The singer also talks about his future and his family. He says reveals what he plans to do for his children.

Here is what he said:
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images