Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104807 articles
Browse latest View live

5 Kenyan Celebrities Who Are Getting Old But Not Getting Married....They Fear Commitment The Way A Politician Fears Impeachment

$
0
0
Maybe they are keeping their private/love lives away from the public, but that’s highly unlikely. We are all wondering why these celebrities have remained bachelors and spinsters for so long.

Unlike a woman, a man’s stock value doesn’t really decline as he ages, which means that he gets to take his sweet little time when playing the field and deciding on who to wife up. When it comes to celebrities, we know that we don’t know all of their business but some of these fine, single, 40-something celebrities got us confused. For example, why is Maina Kageni still on the market and how come we rarely see him out with nobody? Is it that many of these people don’t want to settle for one person?

With the plethora of celebrity weddings that have taken place recently, it seemed necessary to shed some light on some of the stars who aren't planning to walk down the aisle anytime soon. Here are 5 celebrities who all keep being asked the same question all the time- “Utaoa lini?”

Maina Kageni

Maina doles out sound advice for a living but at 40+ years of age, can’t show that it’s worked for him. Playing a role that spans being guru and relationships therapist, Maina cajoles, endears and enables his audience in ways unimaginable. So how does one of the most popular presenters of the past decade rarely get photographed with a date? We know the ladies love Maina and a single Maina is much more enticing to fans than a committed one, but dayum…

Caroline Mutoko

Love her, hate her, agree with her policies or abhor them, people come together on two points about Caroline Mutoko. First, they marvel at her amazing achievements as a power-woman, and second, they wonder about her love life.

A seismic force in feminism, our lives will be flipped upside down if at all Caroline Mutoko, the unofficial representative for eternal bachelorette-dom decides to tie the knot. The former Kiss 100 radio queen has been candid about her resistance to marriage ever since she got known. Let’s just say she’s a mini-Oprah of sorts.

Cess Mutungi

A gleeful provocateur, Cess has always been disinterested in marriage topics. The only time she was seen kissing a man was when she kissed…..uuumm…..Maina Kageni. She has — by sheer will, incredible diligence and raw, hard work — created an iron reputation for herself. Perhaps she just doesn’t see where a man will fit.

She has a voice that emanates breathtaking passion and depth. Though besieged by male attention, Sheila has been unable to settle down. Has she been heartbroken too many time? Well it’s possible since she’s been with the likes of bad boys such as Prezzo

Munene Nyaga

Is Munene Nyaga a legendary singular? Speculation has been rife that he does have a Mrs. Right who he decides to conceal from the public. The Nation presenter is notoriously tight-lipped about his private life. He maintains a modest home in one of Nairobi’s popular surburbs and embraces anonominty like he doesn’t want to be famous anymore. Fact is, he isn’t married yet.


Nini Chanzo cha Usagaji kwa Wanawake Bongo ?

$
0
0
Heshima kwenu mabibi na mabwana.

Nimekua nikijiuliza mara kwa mara kuhusiana na suala la usagaji kwa wasichana bila kupata jibu stahiki.Baadhi ya wasichana wanadai kwamba kuachwa na wapenzi wao mara kwa mara kunachangia kwa kiasi kikubwa wao kujiingiza katika mapenzi ya jinsia moja,

wengine wanadai kwamba shule za boarding zinawasababishia kujiingiza katika mambo haya kwani muda mwingi wanakua wao wenyewe tu bila kujichanganya na wavulana.

Nini maoni yako wewe mwanajamvi,karibuni wakinadada muweze kutupa ukweli wa hili jambo,wavulana pia mnaruhusiwa kuchangia chochote ili tupate mawazo tofauti tofauti.

Asanteni

Pinda Atoboa Siri za Sababu za Mwakyembe Kuhamishwa Wizara

$
0
0
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametoboa siri sababu za Rais Jakaya Kikwete kumhamisha Dk. Harrison Mwakyembe (pichani) katika Wizara ya Uchukuzi kwenda Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Akizungumza juzi na mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Kyela, alisema Rais Kikwete alimhamisha Dk. Mwakyembe katika Wizara ya Uchukuzi kwa sababu anaifahamu vyema Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kuwa alishawahi kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Masharika na pia mwanasheria.

“Dk. Mwakyembe amehamishiwa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutokana na kuwa anaielewa vizuri na pia ni mwanasheria aliyebobea hivyo Rais Kikwete aliona atakuwa msaada mkubwa katika kuisaidia nchi,” alisema.

Hatua ya Waziri Mkuu Pinda kutoa ufafanuzi huo kulifuatia kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi walihoji kwanini Dk. Mwakyembe amehamishwa Wizara ya Uchukuzi ambayo aliimudu vyema kwa kudhibiti vitendo vya wizi hususani katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) na upitishwaji wa dawa za kulevya katika viwanja vya ndege.

Mwishoni mwa mwezi uliopita, wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), walifanya mkutano Jijini Nairobi na Rais Kikwete alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa EAC huku Waziri Mwakyembe akichaguliwa

Kiuno Bila Mfupa Champonza Ray C, Mwenyewe Akiri Alitupiwa Pepo la Madawa ya Kulevya Kwa Sababu ya Kiuno Chake

$
0
0
Kama ulikuwa hujui kwanini Ray C alijikuta kwenye madawa ya kulevya chukua hiii...Mwenyewe amefunguka na kusema kiuno ndio kiliumiza wengi na wenye roho mbaya kumtupia pepo la madawa ya kulevya kumpoteza....Soma hapa alivyofunguka :

"Haka kademu kaliumiza wengi na hako kakiuno dah kalikuwa homa ya jiji na ndio maana kakarushiwa pepo la madawa maana kalikuwa kanasumbua sana kimuziki na kimvuto!ndio maana hakuna hata msanii mwinzie aliempa hata pole mwee!tatizo kanyota kake ndo kalimletea majanga maana kanyota kake kalin"gara sana ndio maana kakapewa mtihani mgumu ili kaadhirike na pengine kapotee kabisa lakini kana bahati mungu nae alikapenda sana na ndio sababu kamepewa nafasi nyingine ya kuishi na kutimiza mallengo yake!tatizo wabaya wake wana hasira ile mbaya kwanini kamerudi tena?kwanini kabishi kufa kama paka?kwanini kamerudi tena kwenye muzikj?kwanini hakajafa!!!kwanini ziko nyiiiiiiiingi?????kwanini kaliokolewa na mkubwa wa nchi????kwanini Rais alikasaidia????mxuiiiiiiiiiii KWANINI NYIIIIIIINGI?MWEEEEE BAHATI YA MWEZIO USIILALIE MLANGO WAZI!NDO HIVYO TENA NDO ISHAKUWA!!!!WE KAA UJIULIZE KWANINI KWANINI!!!!WAKATI UNALISUBIRI JIBU MWENZIO NIKO MBALI TAYARI!ZE PROBLEM IS ZE NYOTA!!!!!Ndo jibu labda!Kwanini my foot"


Je unaamini kweli wapo wanao muonea wivu Ray C kwasababu ya kiuno bila mfupa na hatimaye kumtupia pepo la Madawa ya Kulevya?

Kenya Overtakes US/ UK in Fast Growing Economies - Is it UHURU/ RUTO or RAILA/ KIBAKI?

$
0
0
Kenya has been ranked the 3rd fastest growing economy in the world and 1st in Africa in 2015 thanks to the able leadership of President Uhuru Kenyatta and his Deputy, William Ruto, who are doing everything to turn the economy and improve the lives of the people. (or is it?)

This is according to a survey by Bloomberg Business.

According to the survey, Kenya’s economy will grow by 6% in 2015 compared Africa’s largest economy – Nigeria - whose growth this year is projected to increase to 4.9%.

Kenya and Nigeria are the only African countries that have featured in the top 20 list of the fastest growing economies in the world.

China still remains the fastest growing economy in the world followed by Philippines.

Here is the full list of top 20 fastest growing economies in the world at 7.3% while big economies like USA and UK are projected to grow by a paltry 3.1%;-

1.       China

2.      Philippines

3.      Kenya

4.      India

5.      Indonesia

6.      Singapore

7.      United Arabs Emirates

8.     Malaysia

9.      Peru

10.  Nigeria

11.   Colombia

12.  South Korea

13.  Taiwan

14.  Poland

15.   Mexico

16.  Turkey

17.   Saudi Arabia

18.  Ireland

19.  Kazakhstan

20. United States of America

Ladies Now Propose To Men... Ladies, Are You Already Getting This Desperate?

$
0
0
Life was beautiful in the days of our fathers and grandfathers, but things have changed since ladies started their wild claim of equal rights with men.

The last census in Nigeria showed that there are more women than men and the last governorship election in Osun State showed that the women voting population is over 50%. So, why is the craze of one-man/one-woman increasing in this setting?

Who will marry the left over ladies? If babes continue with this craze of one-man/one-woman, things like this will be rampant. Ladies, be guided!


Tanzania Yetu na Viongozi Wenye Milioni Kumi za Mboga

$
0
0
VIONGOZI wamekuwa mstari wa mbele kuitangaza nchi hii kuwa ni maskini, na kwamba huyo ni adui wa kwanza kupambana naye akifuatiwa na ujinga na maradhi.

Kwa fikra ungedhani wanachokisema wanakimaanisha, kumbe hali haiko hivyo! Sitakosea nikisema umaskini wanaouzungumzia pengine ni wa wananchi siyo wa Tanzania kwa sababu nchi hii haijapata kuwa maskini wakati wowote.

Viongozi kwa mantiki, siyo wananchi. Hutaeleweka ukimuita waziri mwananchi; yeye mwenyewe atakushangaa na jamii itakushangaa pia kwa kuwa wananchi ni wakazi wa huko ushwekeni wanaolalia mihogo na majani ya maboga. Siogopi nikisema hivi!

Enzi za Mwalimu ilikuwa sawa, viongozi na watumishi wa umma kuitwa wananchi kwa sababu hawakuwa na tofauti ya mapato kama ilivyo hivi sasa. Mwenyekiti wa kijiji enzi hizo alishinda shamba akilima na kuvuna, leo kazi ya mwenyekiti ni kuwatisha Mamantilie na kujipatia fedha haramu.

Mawaziri wa utawala wa rais wa kwanza wa Tanzania, Julius Nyerere waliagizwa kutoka ofisini na kutembelea vijiji vya ujamaa kushiriki kazi za kujenga taifa. Mawaziri wa siku hizi wengi wao wanashinda maofisini kucheza dili za kuihujumu nchi! Aibu.

Ni Tanzania hii ya Nyerere aliyekufa maskini ina wanaoweza kusimama hadharani na kutamka kuwa shilingi milioni 10 ni fedha za mboga! Je, viongozi kama hao watakuwa na kiasi gani ambacho watakiita cha ujenzi?

Milioni 10 alizoziita waziri wa zamani wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka kuwa ni mboga, eti ni sawa na za kununulia kisamvu sokoni, wakulima wa pamba watano watazihangaikia kwa mwaka mzima wakizitafuta kwa kupigwa na mvua na jua. Lakini waziri wa awamu hii anaziita fedha za mboga!

Kauli hii inaweza kuwa ya mshtuko kwa sababu imesikiwa na akina ‘yahe’ lakini ni ukweli ulio wazi kwamba, viongozi wengi serikalini kiasi hicho ni cha mboga, wenyewe wanajijua na serikali inaelewa kuwa ina sampuri ya viongozi wa namna hiyo.

Nina ushahidi wa hiki ninachokisema! Miaka kumi iliyopita nilikuwa na rafiki zangu ‘tulioshea’ mihogo ya kuchoma barabarani na kunywa ‘maji ya viroba’ lakini leo wanakula kwenye hoteli za nyota tano, kisa wamepewa nafasi za uongozi! Wanatumia fursa kujitajirisha.

Wakati hayo yanafanyika ukiingia kwenye katiba ya sasa utakutana na Ibara ya 132 ambayo inatambua uwepo kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma; kifungu kidogo cha kwanza kinatamka wazi pamoja na mambo mengine, sekretarieti hiyo itakuwa na jukumu la kuchunguza mienendo ya viongozi wa umma na kujiridhisha kama wanafuata maadili ya utumishi. Swali inafanya hivyo?

Tujiulize; ni lini hii sekretarieti hiyo ilishatoa ripoti kuwa tumemchunguza kiongozi fulani na kubaini amekiuka maadili na hivyo kupendekeza adhabu zichukuliwe dhidi yake?

Kama hakuna, ukimya wake unamaanisha viongozi hawajitajirishi kwa kutumia vyeo vyao? Na kama hivyo ndivyo hawa akina Tibaijuka na wenzake waliohojiwa juzi walikuwa wanafanya kazi mbinguni?
Nimesema mara nyingi, wizi wa mali ya umma siyo dhambi tena kwenye nchi hii, ikitokea umetajwa kuiba ujue hujaiba bali umekosana na wakubwa, hivyo wanakutoa kafara.

Kwa msingi huo hatuwezi kuongoza taifa kwa weredi kwa kufuata wakubwa wanataka nini, bali katiba yetu inatutaka tufuate miongozo ipi!  Tuwe fea, viongozi wameeneza mahekalu nchi nzima kila mtu anafahamu; wanahonga majumba mpaka kwa hawara zao, tumepata kuwauliza mali wametoa wapi? Au ndo ka-mfumo ka’ kula na kipofu kosa ni kumshika mkono? Nachochea tu!
GPL

Ni kweli nimekopi filamu ya kihindi – mwandishi wa filamu mpya ya JB

$
0
0
Mwandishi filamu za Jacob ‘JB’ Stephen, Daniel Manege amemtetea muigizaji huyo kuwa hakuwa na makosa ya kuigiza filamu ya ‘Mzee wa Swagga’ ambayo ni kopi ya filamu ya kihindi, Ladies Vs Ricky Bahl.

Manege aliyeiandika filamu hiyo pamoja na zingine zikiwemo Dereva Taxi, Nakwenda kwa Mwanangu, Shikamoo Mzee, Bado Natafuta zingine, ameandika ujumbe kupitia Facebook na kudai kuwa JB si mtu wa kulaumiwa bali ni yeye mwandishi.

“Kwanza kabisa ningeanza kwa salam kwenu nyote na naamini muwazima wa afya. Nimeamua kuandika ujumbe huu baada ya kuona na kupigiwa simu chache kuhusu uvumi wa filamu Mzee wa Swagga kuwa imekopiwa. Nijibu jibu fupi bila kusita kuwa kweli Story imekopiwa na original Story inaitwa Ladies Vs Ricky Bahl na mimi ndiye niliyemshauri JB kuichukua Story hiyo yenye maudhui ya kuvutia,” ameandika.

“Nataka nieleze sababu ya kufanya hivyo ila kabla sijaeleza sababu ningependa kuwaambia wale wote wanaotumia skendo hii kuyarefusha mambo haya kuwa kwenye ulimwengu wa filamu ni jambo la kawaida duniani watu kuchukua maudhui ya story na kuyatengeneza katika mazingira yao endapo maudhui hayo yataelimisha au kukosoa au kufurahisha kuhusu jambo..watakaoendelea kulalamika baada ya ujumbe huu ni dhahiri wanania zao nyingine na si kujenga.”

Kwanza kabisa mimi ndiye mwandishi mkubwa wa filamu za JB kuanzia enzi za DJ Ben, Dereva Taxi, Nakwenda kwa Mwanangu, Shikamoo Mzee, Bado Natafuta mpaka hii Mzee wa Swagga na hizo nyingine zote zikiwa ni original scripts kutoka kwenye ubongo wangu. Filamu anazofanya JB ni Romantic Comedies na Inspirational Comedies kwa hiyo yeye huwa anapenda maudhui ya kuentertain zaidi yani filamu zenye kuchangamsha na kuburudisha tofauti na waigizaji wengine kama Single Mtambalike anayependelea filamu za ugentleman zaidi (haya ni kutokana na kukaa nao na kuzungumza nao na kuwafahamu kwa kina)

Sasa kuhusu Mzee wa Swagga, JB alitengeneza filamu mfululizo zenye maudhui tofauti na alizozoeleka, kama Hukumu ya Ndoa, Mikono Salama ambazo sikuziandika mimi na nakiri kuwa hazikufanya vizuri sana sokoni. Sababu ya filamu hizi kuandikwa na watu wengine ni sababu nilikuwa nashughulika na Script ya filamu yangu mwenyewe niliyoproduce mwaka jana October inayoitwa SAFARI YA GWALU (bado haijatoka mpaka mwezi wa 3 mwishoni), aliyoigiza Gabo kama kijana anayerudi shule ya msingi baada ya kupigika na maisha.

Filamu hii imenichukua mwaka mzima kuanzia kuiandika mpaka kuja kuproduce, kuandika ilianza January-march 2014 hivyo sikupata nafasi kumuandikia JB tangu tulipotoa BADO NATAFUTA na CHARLE MVUVI (bado haijatoka). Baada ya filamu hizi mbili (Hukumu ya Ndoa na Mikono Salama) JB alinieleza angetamani nimuandalie Filamu na Mzee Majuto wakati huo wakiwa safarini kwenda Uturuki ili wakashoot Uturuki iwe filamu kali. Wakati nikiandaa filamu hiyo mshtuko mkubwa ukaja kwa misiba ya mfululizo ya wana Tasnia wenzetu iliyopelekea Safari ya JB na Mzee Majuto ya Uturuki kufa na hivyo kufanya hata script niliyoandaa kukosa msisimko tena.

Baada ya matatizo JB alitaka filamu inayofanana na Senior Bachelor, DJ Ben na Nakwenda kwa Mwanangu, akiigiza kama mburudishaji zaidi na kwa kuwa sikuwa na Idea mpya kwenye kichwa na muda ulikuwa unaenda sana na anahitajika kupeleka filamu yake kwa msambazaji ikabidi nitafute story itakayofanana na JB mburudishaji tunayemfahamu muda mrefu, kwa kuwa mimi ni gwiji wa filamu haikuwa ngumu kutafuta na ndipo tukaipata Ladies Vs Rick Bahl, JB aliipenda ila sote tulikuwa na wasiwasi kwani JB ni muoga sana wa kuandikwa vibaya, nikamwambia jambo ambalo nataka niwaeleze nanyi leo. Jambo ambalo lilimfanya JB kukubali niandike script mpya kupitia kisa kile na kuiproduce..

Ukweli ni kuwa duniani kote watu wanapoona maudhui ya story ya nchi au taifa jingine kuwavutia wanaweza kuchukua maudhui hayo na kuyatumia kutengeneza filamu za maudhui yale kwenye mazingira yao. Kuna Filamu nyingi hapa Tanzania na Nigeria na Bollywood Hata Hollywood zimefanyika hivyo na si dhambi. Kama Tanzania tazama filamu Ya BEST MAN ya Hemedi na Yussuf Mlela, ni copy ya BEST MAN ya Morris Chestnut na Taye Diggs… Nollywood filamu Ya GUARDIAN ANGEL ya Ramsey Noah ni copy ya Filamu HATYA ya Bollywood ya Govindah…Pia filamu za ROMEO AND JULIET developed kutoka kwa William Shakespears plays zimekopiwa Bollywood kwenye filamu iliyoleta Mabadiliko makubwa Bollywood ya QAYAMAT SE QAYAMAT TAK kama nasema uongo mtu aziangalie na kuja kunikosoa na nitaleta dazeni ya filamu zilizokopiwa kutoka nchi na nchi. Ila nataka kuuliza swali mbona nyingine zilizokopiwa hapa Tanzania toka nje hazikuzungumziwa kama Mzee wa Swagga? Nadhani jibu ni sababu JB ameitendea haki filamu hiyo, ila tusiende huko

Jambo jingine, mnapokaa kulaumu mjue kazi ya kuwapa watazamaji kitu wanachotaka kila siku na kuwafanya wakupende si suala dogo, tunaumiza vichwa mchana na usiku. JB si kwamba namfagilia sababu namuandikia ila huwa anaumia sana kutafuta story mpya na ukweli hata mimi nateseka sana kutengeneza vitu vipya na ukitazama mtu huyu mmoja atengeneze filamu 6 au 7 kwa mwaka na zote mzipende na kufurahia inahitaji kujitoa kwa hali ya juu. Nikiwa kama mwandishi kihalali nahitaji kuandika script 2 tu kwa mwaka ili nitoe vitu vikali, unapoelemewa na mzigo ni rahisi kuharibu kazi na kwa kuwa tunajitahidi (mimi na JB) kuwapa mnachopenda basi huwa tunatafuta kila njia kutowakwaza mashabiki, naomba mtuhurumie nasi kwani mazingira ya kazi ni magumu mno.

Kwa haya niliyoandika ningependa kuwaambia tusiwe watu wa kulaumu na kuhukumu, mimi kuproduce filamu yangu mwaka jana kumepunguza kujitoa kwangu kuandaa filamu kali za JB, mimi ndiye wa kulaumiwa na si JB. Na kwa niaba ya mashabiki wa JB nawaomba radhi kama kwa namna moja au nyingine mmejisikia vibaya ila kwa niliyoeleza mtaungana nami kuwa si dhambi kufanya hivyo inapobidi na tushirikiane kupeleka gurudumu hili mbele. Mimi ndiye mwandishi bora wa script na natambua jukumu langu kama mwandishi simkingii kifua JB bali nasimamia kile ninachokifanya kama Professional. Naomba tuache kuongea na tushirikiane kuboresha filamu zetu.”

Shamsa Ford 'Wanaosema Nimeachana na Mume Wangu Labda Wanamtaka'

$
0
0
MSANII wa filamu anayetamba na Filamu ya Chausiku, Shamsa Ford amewafungukia watu wanaoeneza taarifa kuwa ameachana na mumewe, Dickson Matoke kwamba hakuna kitu kama hicho.

Akizungumza na Uwazi, Shamsa alisema kuwa hajaachana na mumewe huyo na wote wanaosema hivyo watakuwa wanamtaka.“Bado nipo na mume wangu tena kajaa tele, nashangaa hao wanaosema kuwa tumeachana labda wanamtaka,” alisema Shamsa.

Naziz: Nadra Kuona Msanii wa Kenya Katika Mabango Barabarani kama ilivyo Bongo

$
0
0
Tumezoea kuona wasanii mbalimbali wa Tanzania wakipata ‘endorsement deals’ za makampuni na picha zao kutumika kwenye mabango makubwa ya matangazo barabarani, kitu ambacho kwa mujibu wa Naziz ni nadra kukiona nchini Kenya.

Rapper huyo wa Kenya, Naziz amesema kuwa anaamini kuwa Tanzania ndio inaongoza kufanya vizuri kwenye sanaa ya muziki ikifuatiwa na Uganda na ya tatu ni Kenya.

Naziz ambaye yupo nchini amesema kinachosababisha sanaa ya muziki Kenya ikue taratibu ni kukosekana kwa umoja pamoja na support ya kutosha kutoka kwa makampuni.

“Nadhani nyie ndio mnaongoza kwenye hiyo sekta (muziki),” Naziz ameiambia XXL ya Clouds Fm. “Sio rahisi Kenya kwenda barabarani na kukuta msanii kwenye mabango makubwa, kwasababu corporate haisupport muziki wa Kenya, ni tofauti na hapa corporate ina support.”

“Naweza kusema Kenya tulianza vizuri sana tulikuwa miongoni mwa wale wa mwanzo Afrika mashariki kuwa na endorsements, lakini imefika sehemu kwasababu hakuna umoja…ndio sababu industry ya Kenya imestop kidogo kukua.”

Rapper huyo wa Necessary Noise ameongeza kuwa wasanii wanaochipukia Kenya wanapata ugumu kutokana na matatizo yaliyopo kwenye industry yao.

“Hatuna msanii mkubwa wa Kenya mpya ambaye ametoka ndani ya miaka sita iliyopita hamna, watu wanaoushikilia muziki ni wale wale waliokuwepo.”

Wimbo wa Marehemu Kapteni Komba Wamliza Rais Kikwete

$
0
0
Wimbo wa John Komba aliouimba katika msiba wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1999, jana uliibua majonzi na kusababisha viongozi mbalimbali, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, kutoa machozi ulipoimbwa kumuaga mbunge huyo.

Wimbo huo uliobadilishwa maneno yanayohusu Mwalimu Nyerere na kuingizwa yanayomtaja mbunge huyo wa Mbinga Magharibi, mbali na Rais Kikwete ulimliza pia Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Yusuf Makamba na waombolezaji wengine.
Sehemu ya mashairi ya wimbo huo uliokwenda kwa jina la “Nani Yule” ulioimbwa na wanamuziki mbalimbali wa bendi nchini, na kuwatoa watu machozi iliimbwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.

“Kapteni Komba familia yako umeiacha na nani, chama chako umekiacha na nani, nenda baba msalimie Mwalimu, mweleze hali ya Watanzania ilivyo hivi sasa, mweleze hali ya nchi yetu ilivyo hivi sasa hasa wakati huu, msalimie Mzee Kawawa Simba wa Vita”
Baadhi ya wanamuziki walioshiriki kuimba wimbo huo ni King Kiki, Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Mlata, Jose Mara ambaye ni mwanamuziki wa bendi ya Mapacha Watatu na Luiza Mbutu wa African Stars.

Wakati wanamuziki hao wakiendelea kuimba wimbo huo, idadi ya watu wanaolia ilizidi kuongezeka, hasa wanafamilia ndugu na jamaa wa marehemu.
Waombolezaji walisikika wakilia huku wakisema, “Jamani alikuwa akitunga nyimbo kuwaimbia wenzake waliofariki dunia, sasa leo anaimbiwa yeye.”

Pepo la Fukuza Fukuza Makocha Lahamia Azam FC, Haya Ndio Yanayojiri Ndani ya Team Hiyo

$
0
0
HALI si shwari ndani ya klabu ya Azam baada ya uongozi wa klabu hiyo kumtupia virago kocha wake mkuu Mcameroon Joseph Omog.

Mbali na Omog, mwingine aliyetupiwa virago ni msaidizi wake namba mbili Ibrahim Shikanda raia wa Kenya.

Habari za uhakika kutoka ndani ya uongozi waAzam zimesema Omog na Shikanda wamefutwa kazi kutokana na mwenendo mbaya wa timu kwenye michuano ya kimataifa na ile ya Ligi.

Azam imetupwa nje ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa jumla ya mabao 3-2 na El Merreikh ya Sudan. Katika mechi ya kwanza iliyofanyika kwenye uwanja wa Azam Complex Chamazi Azam ilishinda mabao 2-0, lakini ikafungwa mabao 3-0 katika mechi ya marudiano iliyochezwa mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Khartoum Sudan.

“Kocha amefutwa kazi kwani uongozi umeona hastahili kuendelea kuifundisha Azam, hana mbinu za ushindi, tangu achukue timu imekuwa ikifanya vibaya sasa yeye na Shikanda wamefukuzwa na timu itakuwa chini ya kocha msaidizi Mganda George Nsimbe ,” alisema mtoa habari wetu.

Azam pia ambayo ndiyo bingwa mtetezi wa Ligi Kuu bara, haifanyi vizuri licha ya kushika nafasi ya pili kwenye msimamo ikiwa na pointi 27, lakini imekuwa ikipata ushindi kwa tabu katika mechi zake.

Omog aliyeanza kazi Desemba 2013 akichukua mikoba ya Stewart Hall kutoka Uingereza ameiongoza Azam katika mechi 55 kwenye michuano yote ambapo imeshinda mechi 30, imetoka sare mara 14 na kupoteza mechi 11.

Aidha ikiwa chini yake, Azam ilitwaa taji la Ligi Kuu kwa mara ya kwanza Mei mwaka jana.

Marehemu Komba Asimangwa Mitandaoni, Familia Yalalamika

$
0
0
MTOTO wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi (CCM), John Komba, amelalamikia baadhi ya wananchi wanaosambaza kashfa za baba yake. Anaripoti Sarafina Lindwino…

Gerald Komba, mtoto wa tatu wa hayati John Damian Komba amesema, mitandao karibu yote ya kijamii kumejaa “nukuu chafu za baba yake.” Nukuu hizo, ni zile mbazo alizitoa wakati wa uhai wake.

“Ninawaomba Watanzania wenzagu kuacha kusambaza maneno ya kashfa kwenye mitandao, haswa baada ya mhusika kufariki dunia,” ameeleza Gerald.
Kile anachoita Gerald nukuu chafu, ni ila hadi kufikia leo huko kwenye mitandao ya kijamii kumejaa nukuu zake  chafu ambazo alikuwa akizitoa enzi za uhai wake.

Gerald ameeleza jinsi anavyoumizwa na maneno ya mitandaoni kuhusiana na kifo cha baba yake.
Ametaja moja ya nukuu ambayo imeshika kasi kwenye mitandao ya kijamii, ni ile ambayo baba yake aliitoa katika kipindi ambacho mjadala wa Katiba Mpya ulipamba moto.
Mwanasiasa huyo alijiapiza kuwa ikiwa “Katiba mpya yenye muundo wa Serikali Tatu itapita, nitaingia mstuni.”

“Sasa imetosha. Nawaomba wamuache baba yangu. Kama alihukumiwa tangu akiwa hai, basi huu sasa uwe muda wa kumuombea ili aweze kupumzika kwa salama,” ameeleza kwa sauti ya unyonge.
Amesema, “Nawaomba wananchi wenzangu, waachane na maneno hayo. Yanaumiza familia. Tumuache Mungu atoe hukumu yake juu yake.”
Maneno mengine ambayo yanakumbukwa kwa Komba ni pale aliposema, “Warioba shida. Shida. Shidaaaa.”

Nukuu nyingine ambayo Komba ametwishwa katika mitandao ya kijamii ni ile inayosikika akisema, “…Chadema haitochukua madaraka wakati bado nikiwa hai.”
Wanaochangia mijadala hiyo wanaonyesha kufurahishwa na kifo chake kwa kusema, “…Komba amevuna alichopanda.”

Mchangiaji mmoja katika mtandao wa MwanaHALISI Forum amesema, “Komba ameingia msituni na kuliwa na nyoka.”

Shirika la Tanesco Lakiri Kuwepo na Madudu Katika Mfumo wa LUKU

$
0
0
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kutoa huduma kwa wateja wake wanaotumia meta za LUKU kutokana na hitilafu iliyojitokeza katika mtambo wa kuuza vocha tangu Februari 27 mwaka huu. Anaandika Deusdedit Jovin

Tangu Ijumaa ya Februari 27, wateja wa TANESCO wamekuwa wakihaha kutafuta huduma ya LUKU bila mafanikio. Kuna matatizo ya aina tatu yameripotiwa na wateja wa TANESCO mpaka sasa.

Baadhi ya wateja waliojaribu kununua vocha kupitia kwa mawakala wa TANESCO walishindwa kupata huduma kwa kuwa mfumo ulikuwa hautoi majibu.

Wateja wengine walifanikiwa kununua vocha za LUKU kupitia simu zao za mikononi, lakini vocha hizo zikakataliwa na mita za TANESCO zilizosimikwa majumbani mwao.
Pia, kuna wateja waliojaribu kununua vocha za LUKU kupitia simu zao za mikononi lakini pesa ikakatwa bilakupatiwa vocha yoyote ya LUKU.
Kwa siku zote hizo hakuna taarifa iliyotolewa kwa umma kueleza tatizo lililopo,- hali ambayo iliwafanya baadhi ya viongozi wakiwemo mawaziri kulizana masawali yasiyo na majibu wakati wakiwa kwenye hafla ya kuaga mwili wa hayati Kapteni John Komba.
Msemaji wa TANESCO, Adrian Severin, alipoulizwa  kuhusu tatizo lililopo, alisema kuwa mfumo wao wa kompyuta unaotumika kuuza vocha za LUKU una matatizo tangu Ijumaa ya Februari 27.
“Ni kweli mfumo wetu wa kompyuta una matatizo. Tayari mafundi kutoka Afrika Kusini wako kazini kunusuru hali,” amesema.
Severin alieleza kwamba, mara baada ya kupata malalamiko kutoka kwa wateja walifanya jitihada za kumtaarifu mtaalam aliyewauzia mfumo huu kwa ajili ya matengenezo. Mtaalam huyo alithibitisha kwamba mtambo ulikuwa na matatizo makubwa.
Alisema kwamba, mpaka Jumapili matengenezo hayo yalikuwa yanaendelea yakiwa yametatua nusu ya tatizo.
“Mafundi walifanikiwa kuuwezesha mtambo kuzalisha vocha kwa wateja wanaojaribu kununua kwa njia ya simu lakini vocha hizo zikakataliwa na mita za TANESCO,” alieleza.
Alipoulizwa kuhusu hatua walizochukua mafundi baada ya tatizo hilo jipya, alisema, “baada ya kupata taarifa hii mpya mafundi waliuzima kabisa mtambo ili kupata fursa ya kuuimarisha zaidi.

Alipoulizwa aseme kama TANESCO wanao mfumo kwa ajili ya matumizi ya dharula pale mfumo wa kawaida unapokuwa na hitilafu alisema, “security modules (program za kulinda usalama wa kompyuta) tulizo nazo hazina nakala ya dharula kwa hapa Tanzania”.
Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud, alipotafutwa ili aeleze ni kwa nini wizara iliiruhusu TANESCO kununua mtambo wa malipo ya LUKU nje ya nchi na kuacha usimikwe huko alikuwa mkali.

“Sisi wizarani tunatengeza sera tu. Mambo ya utendaji walize TANESCO,” alitamka kwa ukali.
Alipoambiwa kwamba uamuzi wa kutafuta huduma nje ya nchi na namna ya kuendesha huduma vinaongozwa na sera za wizara, alisema “hakuna mtambo uliosimikwa nje ya nchi. Nenda pale Ubungo Makao Makuu ya TANESCO utaukuta mtambo wa LUKU kwenye server room (chumba cha kompyuta kubwa).”
Hata hivyo, hapo awali, msemaji wa TANESCO Adrina Severin aliliambia gazeti hili kwamba sehemu ya mitambo ya LUKU iko Afrika Kusini na kwamba wataalam wanaoendelea kutatua tatizo hili wako kule kule sasa hivi.

Meet Nyambura: A Professional LADY By Day but a Malaya at Night

$
0
0
A well endowed lady named, Wilfreda Nyambura, has been exposed by her colleagues as a professional lady by day but when darkness sets in, she starts selling her flesh to rich men.

Apparently, she has been in the business for the last five years and this has enabled her buy a house in South B and two flashy guzzlers.

On a good night, she makes around Ksh 80,000 since most of her clients are top businessmen, celebrities and young corporate CEOS.

Check her out; we shall soon publish the list of popular celebrities who have tasted her flesh.

Ney wa Mitego Apima Ngoma Kwa Hiari Ayaweka Majibu Yake Hadharani..Majibu Haya Hapa

$
0
0
Hongera Ney Wa Mutego na wengine waige mfano wako! Sio lazima mtubandikie majibu kwa mitandao lkn iwe utaratibu kupima afya ili ujipange kimaisha... na isiishie kwa HIV tu, magonjwa ni mengi ni muhimu kujifahamu kuepukana na mengi.

Majibu yake Ndo haya Hapa chini:

Afya njema ndo mpango mzima!

OMG! See how this beautiful young girl exposed and disgraced herself after drinking too much alcohol

$
0
0
Another set of pictures from an irresponsible girl just surfaced the net now after she got drunk from a friend’s birthday party.

According to reports reaching me here, i heard she got so loosed and she was screaming while the party was on that she wants to enjoy her life and that everyone should do same Cos you only live once (Y.O.L.O) and for that silly reason, see where she landed herself after consuming high quantity of Alcohol.

Mke wa Rapper Noorah wa Ice Cream, Camila Afariki Dunia

$
0
0
Mke wa rapper Noorah, Camila Kingwalu amefariki dunia jana nyumbani kwao Morogoro baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Akizungumza na Bongo5, ndugu wa karibu wa marehemu ambaye hakutaka kutajwa jina lake, amesema Camila baada ya kuanza kuugua alirudi nyumbani kwao mpaka mauti yalipomkuta hapo jana.

“Kweli amefariki alikuwa kwao Morogoro na bado haikujulikana alikuwa anaumwa nini na mume wake naye anaumwa yupo kwao Shinyanga,” amesema.

“Kwahiyo msiba upo Morogoro, kuna mtu ambaye anaelekea Morogoro sasa hivi akifika kule tutajua kila kitu. Morogoro alienda muda kidogo baada ya kuachana na mume wake. Baada ya kuachana, Noorah akaenda kwao na mke wake akaenda kwao. Hawakubahatika kuwa na watoto,” ameongeza.

“Marehemu alikuwa anaitwa Anna Kigwalu lakini baada ya kuolewa na Noorah akabadilisha jina na kuitwa Camila.”

Tunampa pole Noorah kwa msiba huo.

~Bongo5

Now We Are Here!!.....Wema SepetuTeam Will Faint After Seeing This photo of Kitumbo

$
0
0
Someone Sent this picture of Zari the Lady Boss looking so pregnant to me this  Morning with the Below Caption ...
Now we are here!!.....Wema and Penny will faint after seeing this photo....

Guys is this really?  

New AUDIO | Yamoto Band - Mpaka Nizikwe | Download/Listen

$
0
0
After Introducing Ali Kiba's New Song Three Days Ago  Today Am presenting a New smash hit from Yamond Band-Mpaka Nizikwe.......You can Listen or Download from the Link Below...

Download Hapa chini:
Download Link
Viewing all 104807 articles
Browse latest View live




Latest Images