Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Video: Msichana Apagawa na Wimbo mpya wa Ali Kiba Atuma Video Akikata Maono Kupita Kiasi

$
0
0

Wimbo mpya wa Ali Kiba Chekecha ni Shida..Embu Angalia Hii Video Hapa Chini Jinsi Huyo Demu anavyozungusha Hicho Kiuno...
Angalia Hapa chini:

I am Still a V!RG!N and am Waiting for the Right Girl, ERIC OMONDI Reveals

$
0
0
Eric Omondi has rubbished rumours on social media and said today that he is not a father to any child and that he has never had s*x in his lifetime.

Eric told a local daily that he is still a v!rg!n and he is waiting for the right girl to lose his v!rg!n!ty to. He said this when he was asked if he was the father of Citizen TV’s Jacque Maribe’s son.

These Photos Of Diamond Platnumz Grabbing His Girlfriends B*uttocks Will Make You Feel Like Crying

$
0
0
The 34 years old and mother of three has been having such a great time with Diamond, at least based on what she posts on Instagram every day.
They say age ‘don’t matter’ when it comes to love; Diamond who is only 25 seems to have swept Zari off her feet this time.

Diamond and Zari Hassan were recently in Zanzibar for the holidays and from the pictures she is posting, it was all about what lovers do best.
Zari Hassan posted these pictures;herbehind being grabbed firmly  

Mkasa Mzima ilivyoanza Hadi Padri Feki wa Kikatoliki Kukamatwa Huko Morogoro Huu Hapa

$
0
0
Siri ya mafanikio ya Padri feki, Josephat Asenga, aliyekamatwa mkoani Morogoro, katika kuongoza Misa ya Kanisa Katoliki kwa kufuata taratibu zote maalumu bila kutiliwa shaka, imebainika.
Asenga aliyetumia vitambulisho feki, alipojitambulisha kwa uongozi wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maria Madeko mkoani Morogoro, alipopewa fursa ya kuongoza Misa, alitekeleza wajibu huo wa kipadri bila kuacha shaka.

Akizungumza na mwandishi, kiongozi mmoja wa Kanisa Katoliki (jina limehifadhiwa), alithibitisha  kuwa Asenga alipofika Parokiani hapo kati ya Mei na Juni mwaka jana, hakutiliwa shaka hata kidogo kuwa si Padri.

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, Asenga alifika kanisani hapo akiwa amevaa mavazi ya kipadri na kujitambulisha kuwa yupo nchini kwa mapumziko, akitokea nchini Marekani, alikodai ndipo anakofanyia shughuli zake za upadri katika Jimbo Kuu la New York.

Mbali na kuvalia mavazi ya kipadri, Asenga pia alionesha kitambulisho na kusababisha uongozi uamini kuwa ni Padri na kumpa makaribisho ya Padri mwenzao.

“Alipoonesha kitambulisho tulimwamini na jinsi alivyokuja na mavazi ya upadri na muonekano wake alionao, haikuwa rahisi kumtilia shaka,” alisema kiongozi huyo.

Baada ya kupata makaribisho ya kipadri, Asenga kwa mujibu wa kiongozi huyo, aliomba apangiwe zamu ya kuongoza misa ya Jumapili iliyofuata na kukubaliwa.

Kiongozi huyo alithibitisha kuwa Asenga aliongoza vyema misa hiyo, kwa kufuata taratibu zote za kanisa hilo kama zinavyofuatwa na mapadri wengine.

Kwa kawaida Misa katika Kanisa la Katoliki, huanzia  Sakestia, sehemu ambayo mapadri na waministranti, ambao ni wasaidizi wao, huvaa majoho na kusali kabla ya kuingia kanisani wakisindikizwa na nyimbo.

Baada ya kuingia madhabahuni, Padri hubusu madhabahu kabla ya kualika waumini katika Misa.

Mualiko huo hufuatiwa na maelezo kidogo na kuanza Ibada ya Kitubio, ambayo waumini hutubu dhambi zao na kujiweka tayari kusikiliza neno la Mungu.

Ibada ya kusomwa neno, kwa kawaida masomo matatu kutoka vitabu vya Agano la Kale na Jipya katika kitabu cha Bibilia Takatifu, Padri huanza kutoa mahubiri.

Mahubiri yakiisha, Misa huendelea kwa sadaka na baadaye, Padri huongoza waumini kuanza kukumbuka maelezo ya siku ambayo Yesu Kristo alitoa Sakramenti katika Chakula cha Mwisho kwa wanafunzi wake akitaka wamkumbuke.

Kwa kawaida, eneo hilo ndipo Padri kwa mamlaka aliyopewa, hufanya mageuzi ya sakramenti kuwa Hostia Takatifu, kwa maneno mengine hubariki mkate kuwa Mwili wa Kristo na divai kuwa Damu ya Kristo.

Kwa Wakatoliki, eneo la mageuzi ni eneo muhimu na ndio waumini hutuma maombi kimya kimya, wakiamini ndio Kristo anashuka mwenyewe.

Baada ya kutumikia Kanisa na kukubalika, Asenga aliaga kuwa anarudi nchini Marekani kwa kuwa muda wake wa mapumziko, umekwisha na kuagwa na Kanisa.

Wakati uongozi  wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Maria Madeko, ukiwa na imani kuwa Asenga ni Padri na amerejea New York, kuendelea na Utume, walipata taarifa za kushangaza kutoka kwa baadhi ya waumini, wakidai wamekutana na Asenga mitaani.

Mbali na taarifa hiyo ya kukutwa mitaani na waumini wake, taarifa zaidi zilieleza kuwa amekuwa akiishi na mwanamke katika eneo la Ujenzi, kinyume na desturi za mapadri wa Kanisa Katoliki duniani, ambao hawaruhusiwi kuoa.

Baada ya taarifa hizo, kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, Asenga aliwekewa mtego na  Paroko wa Parokia hiyo ya Mtakatifu Maria Madeko, Malt Dyfrig Joseph.

Paroko huyo inadaiwa aliwaomba waumini wamshawishi Asenga afike parokiani hapo na baada ya kufika, alihojiwa na Paroko huyo na kudai kuwa alipata upadirisho katika Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Kamanda huyo, baada ya Paroko huyo kupata maelezo hayo, alifanya mawasiliano na Katibu wa Jimbo hilo la Dar es Salaam na kujibiwa kuwa hakuna jina la Padri huyo.

Mtego wa pili kwa mujibu wa Kamanda Paulo, ulifuata kwa Paroko huyo kutoa taarifa Polisi kuhusu uwepo wa Padri feki, ambaye aliaminiwa kwa kiwango cha kuruhusiwa kuongoza Misa.

Taarifa hizo zinasema Alhamisi ya wiki hii, saa 10:30 jioni, Asenga alimpigia simu Paroko huyo na kuomba ampangie kazi ya kuendesha Misa Jumapili ya leo parokiani hapo, na kukubaliwa ambapo Paroko huyo alimtaka afike kanisani.

Baada ya kufika, taratibu za kujulisha Polisi zilifanywa na askari walipofika kanisani hapo, walimkamata mtuhumiwa huyo.

Kwa mujibu wa Kamanda Paulo, baada ya kufanya mahojiano na Asenga, alikiri kuwa yeye si Padri na    walipokwenda nyumbani kwake kufanya upekuzi, walimkuta akiwa na majoho saba ya upadri.

Taarifa zaidi tulizozipata jana, zilibainisha kuwa Asenga huenda kwa kutumia mbinu hizo hizo, alishaaminiwa kuongoza Misa katika mkoa wa Kilimanjaro katika maeneo ya Uru na Moshi na mkoani Singida.

Mbali na kukubalika katika mikoa hiyo, lakini taarifa zaidi zilibainisha kuwa Asenga alifanikiwa kote huko kuongoza Misa na kuaminiwa, kutokana na mafunzo ambayo aliwahi kupata huko nyuma.

Inadaiwa Asenga alianza kupata mafunzo katika Seminari ya Kanisa Katoliki ya Uru, ambako alipata mafunzo ya elimu ya sekondari.

Baada ya kumaliza kwa mafanikio masomo yake katika seminari hiyo, alichaguliwa kujiunga na Seminari ya Kibosho, ambayo inatajwa kuwa maalumu kwa ajili ya kutoa elimu ya falsafa kwa wanafunzi na wengi ni wanaotarajiwa kuwa mapadri.

Mafanikio aliyoyapata katika masomo ya falsafa katika Seminari ya Kibosho, yalimwezesha kujiunga na  Seminari ya Kipalapala, ambako inaelezwa ndiko kunakotolewa mafunzo ya Liturgia, ambayo nayo ni sehemu ya mafunzo wapewayo wanafunzi wanaotarajiwa kuwa mapadri.

Ingawa taarifa za mafunzo aliyopata zinatiliwa shaka, lakini namna alivyoongoza Misa bila kutiliwa shaka, imesababisha baadhi ya waumini kuanza kumjadili, ili kufahamu hasa nia yake ilikuwa ipi.

Kutokana na taaluma nyingine aliyonayo ya uhasibu, amesababisha baadhi ya waumini kuunganisha matukio na uwezo wake na kuamini kuwa huenda hakuwa akitafuta  sadaka.

Mmoja wa waumini aliyezungumza nasi kwa sharti la kutotajwa jina, alidai kuwa huenda Asenga alikuwa na njama za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafadhili mbalimbali.

Kwa mujibu wa madai ya muumini huyo, watu wa aina ya Asenga, ambaye ana taaluma na uwezo wa kipadri, wana njia nyingi za kujipatia kipato, hivyo inawezekana alidanganya wafadhili wake kuwa yeye ni Padri ili apate ufadhili huo.

Muumini huyo alikwenda mbali na kudai huenda masharti ya ufadhili huo, ni kupata picha au sauti yake akiongoza Misa kanisani.

“Inawezekana kuna mahali aliomba ufadhili kwa ajili ya kitu fulani na aliwadanganya kuwa yeye ni Padri, ndio maana akaamua kuomba zamu ya kuongoza Misa.

“Utapeli umeingia mpaka kwenye nyumba za ibada kweli? Wanadamu tumekosa hofu ya Mungu!” Alihoji muumini huyo na kuasa jamii kuwa macho, kwa kuwa hivi sasa matapeli ni wengi na kila siku wanatoka na mbinu mpya.

Amber Rose atikisa Instagram na picha ya nusu Utupu.

$
0
0
Alichokisema Baada ya Kupost Picha hiyo hichi Hapa chini:
U Guys Love Slut Shaming Huh? Good. I feed off that shit. # HowtobeAbadBitch 💋 (@amberrose)

LULU Michael na Madai ya Kulipwa Mil.15 Kwa Kucheza Movie Moja

$
0
0

Sidhani kama kuna producer apa bongo mwenye kifafa cha akili, ambaye ataweza kumlipa LULU mil 15 kwa movie moja tu. Ki Ukweli  hakuna movie yeyote aliyowahi kuigiza LULU na kuweza kuvunja rekodi ya mauzo kuliko filamu nyingine yoyote hapa nchini na kuweza kuwashawishi ma producer kuweza kumtumia kwenye movie zao ata kwa dau la mil 5 tu.

Nina uhakika LULU anaweza kuongoza kwa mauzo ya magazeti ya udaku apa nchini, ila sio kwenye filamu za kibongo, huo ndio ukweli.

Siwezi kumlipa Shamsa ford (CHAUSIKU) laki Mbili na nusu kwenye movie ya CHAUSIKU then nikamlipe LULU mil 10 akaigize FOOLISH AGE, that is foolish.

Ni upuuzi kumlipa RIYAMA ALLY laki tatu kucheza filamu ya FUNGU LA KUKOSA nikamlipe LULU mil 6 kucheza movie ya FAMILY CURSE.

Ni laana kumlipa ODAMA (Jennifer kyaka) laki tatu kucheza filamu ya ODAMA ukamlipe LULU mil 8 kucheza movie ya FAMILY DISASTER.

Hakuna awezaye kumlipa NISHA (salma jabu) laki moja na nusu kucheza filamu ya ZENA NA BETINA ukamlipe LULU mil 20 kucheza movie ya HOUSEBOY.

Simaanishi kuwa LULU sio muigizaji mzuri ila kiwango chake kwenye tasnia ya filamu bado sana , she has a long way to go, asifananishe umaarufu Wa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii na kiwango cha uigizaji wake kwenye tasnia ya filamu.

Diamond Platinumz Akaliwa Kooni na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

$
0
0
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imemtaka meneja wake kutoa nyaraka zinazoonyesha Mikataba ya Diamond ndani ya siku saba (7).
Inaelekea kuna jambo haliko sawa!

Mwanamuziki Hemed PHD Katika Skendo ya Utapeli..Achukuliwa RB Asakwa Usiku na Mchana

$
0
0
Kha! RB namba KTN|RB/11213/2014 –UTAPELI inamsaka msanii wa muziki na sinema za Kibongo, Hemed Suleiman ‘PHD’ tangu mwaka jana, akidaiwa ‘kuchikichia’ nguo za shilingi laki saba, mali ya aliyekuwa Mtangazaji wa EATV,  Nasra Dattani ‘Lady Naa’ ambaye alimkabidhi begi lake la nguo baada ya kumaliza kurekodi filamu iitwayo Catherine.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Lady Naa alisema kuwa alimvumilia Hemed kwa muda mrefu kwani alimpa mzigo huo na kumuomba akaushushe dukani kwa rafiki yake maeneo ya Kinondoni lakini hakufanya hivyo na alipokuwa akimkumbusha alikuwa akimwambia kuwa atampelekea.

“Kila nikikutana naye nilikuwa namuomba anirudishie anasema nifanye lolote na kinachonishangaza amezipeleka wapi maana mle kulikuwa na nguo za kike ambazo nilizitoa Uingereza,” alisema Lady Naa.

Alidai kwamba baada ya kumzungusha kwa muda mrefu ndipo alipoamua kumfungulia kesi kwenye Kituo cha Polisi cha Kijitonyama, Dar ambapo hadi leo anasakwa. Baada ya habari hizo kulifikia gazeti hili, mwanahabari wetu alimwendea hewani Hemed lakini namba yake haikupatikana hivyo jitihada zinaendelea.

Mwigizaji Dokii Ajipumzisha Kwa Kocha wa Yanga..Mwenyewe Asema Haya.....

$
0
0
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Ummy Wenslaus ‘Dokii’ ameanzisha urafiki wa karibu sana na Kocha wa Timu ya Yanga, Hans van der Pluijm, Raia wa Uholanzi.

Ukaribu wa Dokii na kocha huyo ulichipukia kwa kasi Januari, mwaka huu walipokutana katika Kombe la Mapinduzi, Zanzibar kisha kuzidi kuwasiliana kwa ukaribu hadi kuwafanya wapenda ‘ubuyu’ wautilie mashaka.

Alipotafutwa Dokii ili aweze kuufafanua zaidi ukaribu wao kama umejiongeza zaidi na kuwa wapenzi, alijibu kwa kifupi tu pasipo kufafanua zaidi.“Hakuna tatizo mimi kuwa naye karibu, namkubali na yeye ananikubali pia. Ni mshkaji sana jamaa.”
Kocha huyo hakupatikana hewani alipotafutwa lakini jitihada zinaendelea.
GPL

Hivi Mnajua Kuwa Penny Kapata Mrithi wa Diamond? Kama Hamjui Basi Hiyo Ndiyo Habari ya Mjini

$
0
0
Live! Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’, baada ya kukaa muda mrefu akiwa ‘singo’ tangu aachane na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kupata mrithi wa msanii huyo aliyetajwa kwa jina moja la Swedi.

Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina kimedai kuwa, Penny na Swedi wanaishi pamoja maeneo ya Mwananyamala jijini Dar na wamekuwa wakioneshana mahaba nilegeze hata mbele za watu huku mara kadhaa wakitupia picha zao za pamoja kwenye mitandao ya kijamii.

“Hivi ninyi mnajua kuwa Penny kapata mrithi wa Diamond? Kama hamjui basi hiyo ndiyo habari ya mjini.
“Kwa taarifa yenu wanapika na kupakua na hakuna asiyejua hilo, kama vipi fuatilieni mtapata ukweli,” alidai mtoa habari huyo.

Katika kujiridhisha, waandishi wetu walianza kufuatilia kwa kufika kwenye nyumba anayoishi Penny na kukuta imefungwa ila baadhi ya majirani walidai kuwa, wanajua uhusiano wa Penny na Swedi kwani wanawaona kila siku wakiingia na kutoka.

Penny alipotafutwa kupitia simu yake ya mkononi ili afunguke juu ya hilo, iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa sms hakujibu hadi tunakwenda mtamboni hivyo jitihada za kumpata ili aweke mambo sawa zinaendelea.

Tukio lingine la Mtoto Albino Kukatwa Kiganja cha Mkono hili hapa, Mama yake Ajeruhiwa Vibaya

$
0
0
LICHA ya Serikali, jamii na jumuiya ya kimataifa kukemea ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), bado kuna wanaoendelea kung’ang’ania mila potofu za kuamini kwamba bila ya ushirikina unaohusishwa na matumizi ya viungo vya albino, hawawezi kufanikiwa kimaisha, iwe katika kisiasa au kibiashara.

Hayo yanathibitishwa na kuendelea kuripotiwa kwa matukio ya ukatili dhidi ya albino, ambapo usiku wa kuamkia jana, watu wasiojulikana walimshambulia na kumkata kiganja mtoto mwenye umri wa miaka sita, Baraka Cosmas na kisha kutokomea nacho kusikojulikana.

Tukio hilo lililotokea katika kijiji cha Kipeta Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga, ambako mtoto huyo anaishi na wazazi wake, Cosmas Yoram (32) na Prisca Shaaban.

Tukio hilo limethibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa , Jacob Mwaruanda.

Alisema tukio hilo ni la saa 8 usiku wa kuamkia Jumapili wakati mtoto huyo akiwa amelala na mama yake. Baba wa mtoto huyo hakuwepo wakati huo.

Akielezea zaidi, Kamanda Mwaruanda alisema usiku huo kikundi cha watu wasiojulikana walivamia nyumba alimolala Baraka na mama yake mzazi, Prisca wakiwa na silaha za jadi, ikiwemo mapanga na fimbo na kuanza kumshambulia kwa kumcharaza viboko Prisca baada ya kukataa kuwapatia mtoto huyo, mwenye ulemavu wa ngozi.
  
“Baada ya kuingia ndani ya nyumba hiyo walimwamuru mama mzazi wa mtoto Baraka kuwakabidhi mtoto huyo, lakini alikaidi ndipo walipoanza kumshambulia kwa kumpiga kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kumjeruhi vibaya … 
  
“Waliingia ndani baada ya kuvunja mlango wa nyumba hiyo, ndipo katika patashika hiyo wavamizi hao walimkata mtoto Baraka kiganja cha mkono wake wa kulia na kuondoka nacho kusikojuliakana,” alibainisha.

Aliongeza kuwa wakati hayo yakitokea, baba mzazi wa mtoto huyo inadaiwa alikuwa amelala katika nyumba ya mkewe mdogo kijijini humo.

Kwa mujibu wa Mwaruanda, mtoto huyo amelazwa katika katika Kituo cha Afya cha Kamsamba wilayani Momba mkoani Mbeya kwa matibabu akiwa pamoja na mama yake mzazi.

“Watu watatu ambao majina yao yamehifadhiwa, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa mahojiano na uchunguzi zaidi kuhusu tukio hilo unaendelea ili kuwasaka wahusika na kiungo hicho cha kiganja cha mkono wa mtoto Baraka,” alisisitiza Kamanda.

Fellas, This is How Ladies at The Club Decide if They are Going Home with You

$
0
0
Picking up women at the club is an art that no longer requires one to be a smooth talker. The trick to having women swooning over you is a fat wallet that is synonymous with buying them lots of drinks.

The fatter the wallet the luckier you get and ladies have an interesting way of finding out if you are getting some later that night or you are just wasting their time.

Here is a photo of how they go about that:


Lupita Nyongo and Empire’s ‘Cookie’ Full of Praise for Each Other

$
0
0
Lupita Nyong’o and Taraji Penda Henson, the star of Fox’s hit drama ‘Empire’ were full of praise for each other on social media last week.

Taraji, who plays Cookie in the series which premiered in January this year, has a huge adoring fanbase especially here in Kenya. Kenyans will be delighted to know that Taraji rates our very own Lupita. Like they say, ‘real recognizes real.’

She took to Instagram to gush about the ’12 Years A Slave’ star. Sharing photos of Lupita she posted, “That #ANYwayYouSliceIt kinda beauty. I LOVE YOUR SPIRIT @lupitanyongo your inner beauty SHINES!!!! #InnerBeauty only enhances the outer! #YouROCK pretty lady!!!!!”

Lupita caught wind of the humbling praise and responded in kind. She posted,

Wow, thank you tarajiphenson for your instagram post. Your work has been a shining example for me. May our paths cross soon so that I might salute you! You, the epitome of your name Taraji: #confidence #desire #expectation #hope. #SwahiliTruths.”

How awesome would it be if Lupita made a cameo appearance on Empire? Dreams are valid after all.

Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono

$
0
0
Kumekuwa na tabia ya wanawake kutoa rushwa ya ngono makazini Kwa Research yangu Ndogo nimegundua

Asilimia 60 ya wanawake wanaopata hivyo vitu makazini ni kwa kutoa rushwa ya ngono

30 ni kwa ajili wao wana watu wanaowajua

10 wao wameingia kwa njia ya kawaida

Hii imetokea sana hata humu ndani wapo wahanga mbalimbali ya wanawake mbalimbali walioingia kwenye hii disaster kwa pande zote mbili
Wanaume name
Wanawake

Nilichogundua kuwa hii kitu haiepukiki kwani kwa mfumo wa maisha ulivyo tight halafu inatokea chance ya mtu kukupa kazi au cheo ila tu kwa kigezo cha akuvue chip I kiukweli ni asilimia 1% tu watakataa ila wote waliobaki wanakubali

So hili tatizo haliwezi kwisha leo wala kesho na kwa jinsi hali ya ajira inavyozidi kwenda mambo yanazidi

Uongozi wa Diamond waongea kuhusu barua ya TRA iliyosambaa mtandaoni

$
0
0


Kuna barua iliyosambaa mtandaoni weekend hii inayoonekana imetoka kwenye mamlaka ya mapato nchini, TRA ikiutaka uongozi/kampuni inayosimamia kazi zake kuwasilisha nakala za mkataba wa makubaliano kati yao kuhusiana na masuala ya promotion katika kipindi cha kuanzika mwaka 2010 – 2014.

Barua hiyo pia inaongeza kuwa:"Unatakiwa pia kuwasiliasha vielelezo vya ushahidi kuhusiana na huduma iliyofanyika na kiasi cha fedha kilicholipwa kulingana na ajira ya Abdulmalik Naseeb.”


Hata hivyo uongozi wa Diamond umedai kuwa barua hiyo nao wameiona kupitia mtandaoni lakini haijawafikia mkononi.

 

“Tunasikia tu kwenye mitandao hatuna taarifa nayo, maana hawajawasiliana na sisi,” amesema Salam, mmoja wa mameneja wa Diamond Platnumz.

 

“Inashangaza kuona kitu kwenye mitandao bila ya kuambiwa mhusika mkuu, tumechukulia kama changamoto zilizopo kwenye maisha,” ameongeza.

 

Diamond bado yupo nchini Nigeria alikoenda kutumbuiza kwenye ‘The Africa Magic Viewers’ Choice Awards 2015’.


Wema Sepetu Aukana Wimbo Wa Diamond Platnumz

$
0
0

Wakati hit single ya Diamond Platnumz, Ntampata Wapi inatoka mwaka jana, watu wengi waliamini kuwa wimbo huo amemwandikia ex wake, Wema Sepetu.

Tetesi hizo zilienea baada ya kubainika kuwa wawili hao wameachana tena. Hata hivyo Wema amedai kuwa si kweli.

“Leo nasema rasmi kuwa hii nyimbo hakuniandikia mimi,” Wema aliiambia Radio 5 ya jijini Arusha.

“Because nilikuwa naisikia hii nyimbo hata wakati tulipokuwa kwenye uhusiano alikuwa akiimba, akiind kwahiyo ilikuwa tu ni moja ya nyimbo zake kama anavyoandika nyimbo zote lakini nadhani tu timing ya kutoka ndio kidogo imekuwa na utata because kaitoa timing ambayo watu wote wakadhani kamuimbia Wema but in real sense noo,” aliongeza Wema.

Kingwendu Amsamehe Aliyembaka Mkewe

$
0
0

MSANII wa vichekesho Bongo, Rashidi Mwinshehe ‘Kingwendu’ amefunguka kwamba japokuwa alipata maumivu ya moyo baada ya jirani yake kumbaka mkewe, Mama Maua ameamua kumsamehe.

 Kingwendu alisema mara nyingi mkewe alikuwa Akimwambia kuhusu jirani huyo kumtongoza lakini akawa anamkatalia lakini siku hiyo alimvizia na kutimiza azma yake ambapo baada ya hapo alikimbia mpaka leo hajarudi ila amemsamehe kwa kuwa hata Mungu anasamehe mara nyingi.

“Mimi nasali sana hivyo nimeamua kumsamehe huyo jamaa kwa sababu hata Mungu huwa anatusamehe mara nyingi, alishawahi kumtuma dada yake aje kuniomba msamaha maana yeye alikimbilia huko Kilwa na mimi na mke wangu tuko vizuri ninampenda sana na najua halikuwa kusudi lake ila mwanaume huyo alimsumbua kwa muda mrefu,” alisema Kingwendu.

Taarifa Kuhusu Kifo cha Mama Maria Nyerere si za Kweli

$
0
0
TAARIFA RASMI: Ujumbe unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mama Maria Nyerere kafariki SI SAHIHI. Ukiupata ujumbe upuuze na Usiusambaze.....

Ushauri Kwa Agness Masogange..Acha Kupost Makalio Insta Nafasi Uliyonayo Haija Mara Mbili na Umri Unazidi Kwenda

$
0
0
Kwa mtu ambaye ametokea kwenye maisha ya kawaida kama Aggy, bila shaka nafasi hiyo adimu aliyoipata angeitendea haki, either kwa kujiendeleza kielimu au kibiashara. Ni mda mrefu umepita toka binti huyo mrembo apate shavu la kuishi kwenye ardhi ya Madiba yenye kila aina ya starehe bila kufanya kitu chochote cha maendeleo.

Ki ukweli Dada yetu huyu kajibweteka mno, hata kama umepata mwanaume mwenye Pesa kama Bakhresa, kujituma muhimu. Umebahatika kupata Uraia uko na watu ambao wanakusaidia kusogeza maisha mbele lakini naona mwenzetu umekazana kupost picha za makalio mpaka tunaona kizunguzungu huko Insta.

Kuna watu wanatamani hizo nafasi usiku na mchana ila hawazipati. Mbaya zaidi ni lugha ambayo unatumia siku hizi huko Insta yani hadi aibu kuongea, mtu unakaa nchi za watu kwa miaka zaidi ya mitatu unashindwa kufanya juhudi za kujua lugha za wenzetu ambao wameendelea? Sio wote wanaoenda nchi za watu wanafanikiwa kimaisha ila pia kuna vitu tunajifunza tunapotembelea nchi za watu either viwe vizur au vibaya.

Kuna watanzania wengi tu ambao wamefanya mabadiliko kwa kuzitumia fursa za kutembelea nchi za watu na kuleta mabadiliko kwenye maisha yao na jamii kwa ujumla, mfano halisi Sporah Njau na Watanzania wengine ambao hawajulikani.

Tunajua wazi kuwa Elimu yako haitoshi na wala hauna kipato kikubwa cha kuweza kusababisha uishi maisha bila kumtegemea mtu. Ila ni vizur ukajikumbusha ulipotoka, umepata bahati jiongeze, maisha yanabadilika ipo siku watu unaowategemea hawatakuwepo tena. Soma hata vi short course vikusaidie kukabiliana na maisha au fungua hata biashara.

Bahati haiji Mara Mbili..

By Warumi

Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo

$
0
0
Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo.....

Jisomee Hapa Chini:

Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images