Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Millard Ayo Abanwa Kuhusu Uhusiano wake na Jokate, Lulu Michael na Wolper

$
0
0
Mtangazaji mwenye sauti nzito Bongo kupitia Clouds FM, Millard Ayo, Jumatatu iliyopita alibanwa azungumzie uhusiano wake na warembo wenye majina makubwa nchini, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’,  Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo alimfungukia mmojammoja.

Katika mahojiano maalum na Kipindi cha Sporah Show, mtangazaji alimbana Millard akimtaka aseme ukweli kuhusu warembo hao ambapo  alianza kwa kumzungumzia Lulu kuwa hajawahi kuwa mpenzi wake zaidi ya kumfahamu katika sanaa.

“Kuhusu Lulu! Hapana sijawahi kabisa kuwa na uhusiano naye. Yaani hata kuwaza sijawahi. Namfahamu kuwa ni mwigizaji na ni mtu ambaye nimekuwa nikimfuatilia kupitia kazi zangu za utangazaji,” alisema mtangazaji huyo staa.

Millard aliendelea kupangua, ikafika zamu ya Wolper. Alikana vikali kuwa naye hata kujuana kwao si kwa ukaribu. Alisema:


“Haa! Wolper ndiyo kabisa, nimekuwa nikimuona na kumsikia tu, wala sikuwahi kumuwazia kwa lolote lile isipokuwa ninamjua kama msanii wa Bongo Muvi na huwa nakutana naye kama ninavyoweza kukutana na mtu mwingine yeyote ambaye hatujuani.”

Kwa upande wa Jokate, hapo alipiga kituo kidogo na kuanza kumzungumzia kwamba, amemfahamu miaka mingi na alikuwa akimpenda kama ‘girl friend’ wake kwani wakati anasoma alishawahi kupanda naye daladala na wakapiga stori.

“Nampenda Jokate kwa sababu mpole, anatoka katika familia ya wachakarikaji, hivyo nimekuwa nikimshirikisha katika mambo yangu. Nampenda kwa sababu hiyo ila huwezi kuamini, nilipotezana naye na baadaye tumekuja kukutana tayari yeye ni maarufu na sikuwahi kumwambia chochote juu ya kumpenda kwangu kwa kuwa tayari ana ‘boy friend’ wake.

“Jokate naye anamjua mchumba wangu ingawa hajawahi kumuona. Kwa sasa namchukulia kama dada yangu tu kwa kuwa hakuna popote ambapo nimewahi kutoka naye kimapenzi hata kwa dakika moja zaidi ya kuwasiliana naye kikazi. Mara kadhaa nimekuwa nikimtafuta hata kama ni usiku wa manane nikiwa na jambo na huwa sisiti kumshirikisha,” alisema Millard.

Kwa upande wa Jokate baada ya kufikishiwa taarifa ya maneno ya Millard alishangaa, akasema yeye hajui chochote. Kwanza aliwekewa mtego kama angeuingia kwa kuambiwa Millard amemtaja yeye kuwa ni mchumba wake, akashtuka na kusema:

“Huh! Kasema hivyo lini? Maana mimi sijasikia lolote na siyo kweli kama ni mpenzi wangu na sijui kwa nini kaongea hivyo. Kwa kweli sijasikia wala kuongea naye.”

Wolper yeye alipoulizwa juu ya maneno ya Millard kwamba hawajahi kuwa karibu kwa jambo lolote zaidi ya kuonana barabarani alishtuka:

“He! Ni kweli lakini. Hata mimi namwonaga tu. Hivi yupo kwani hapa Bongo? Sina koneksheni ya kitu chochote na yeye.”

Lulu alipotafutwa juzi, simu yake iliita kwa muda mrefu lakini hakupokea.

Kuhusu Millard na Jokate, baadhi ya vyombo vya habari vimewahi kuripoti kuwa wako karibu kiasi kwamba, maswali ni mengi kuliko majibu.

Kwenye ‘bethidei’ ya Millard iliyofanyika Januari 26, mwaka huu nyumbani kwake, Ubungo Msewe jijini Dar, Jokate alishiriki kwa kumpelekea keki ya ‘kumuwishi’ ambayo ilizua utata.

MARKSON BEAUTY PRODUCTS Inakuletea Dawa za Kurefusha Nywele, Kukuza Makalio, Kupunguza Tumbo, Kung'arisha Ngozi na Zingine Nyingi

$
0
0


MARKSON BEAUTY PRODUCTS 2015
Je Unapenda Kuongeza Hips, Makalio, Urefu na Unene wa uume na Nguvu za Kiume bila Madhara? Markson Beuty tunakupatia hizo na Zingine nyingi zenye matokeo ya haraka na uhakika zisizo na kemikali wala madhara ..Tuna uzoefu wa Miaka 15 na Bidhaa zetu ni za mimea na Matunda na zimethibitishwa

1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=. 
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.  
7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

 

Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.


NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa Markson Beauty na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.


Wema Sepetu Anahita Msaada Wako wa Hali na Mali

$
0
0
Uongozi ni utumishi. Naamini kama kijana nina uwezo wa kutumikia vijana wenzangu, mama zangu na nchi yangu kwa ujumla. Hili jukumu langu na letu sote.

Nimeamua kwa dhati kuwatumikia wananchi wa Singida na nchi yangu kwa ujumla endapo nitachaguliwa na chama changu.

Ili nifanikiwe katika hili nahitaji mchango wenu wa mawazo, hali na mali. Najua kila mmoja ana mchango wake katika kulifanikisha hili.

Naomba nitumie nafasi hii kuwaombeni wote michango yenu bila kujali itikadi, jinsia, umri au kigezo chochote. Mchango wako wowote utatusogeza karibu kufikia lengo letu.

Tafadhali kwa anayependa kuchangia anaweza kutuma mchango kupitia namba +255655106538 ambayo imesajiliwa kwa Jina la Ahmed Hashim Ngahemela... Asanteni sana...

Wemasepetu on instagram

Wapatikana Hai Siku 5 Baada ya Ajali ya Ndege

$
0
0
Mama mmoja amepatikana hai pamoja na mwanawe siku tano baada ya ndege walimokuwa wakisafiria kuanguka mwituni huko Colombia.
Mkuu wa jeshi la wanahewa la Colombian amesema tukio hilo ni la maajabu.
''Kwa hakika hatujawahi kuona mtu ameishi baada ya ajali mbaya kama hii''alisema Kanali Hector Carrascal.

Bi Murillo alikuwa na majeraha madogo huku mwanawe akionekana kuwa na afya nzuri.
Bi Maria Nelly Murillo, 18, na mwanawe wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja walipatikana siku 5 baada ya ndege ya Cessna waliokuwa wakisafiria kuanguka katika msitu mkubwa ulioko katika jimbo la Choco.

Bi Murillo alikuwa na majeraha madogo huku mwanawe akionekana kuwa na afya nzuri.
Ndege hiyo yenye injini mbili ilikuwa ikisafiri kutoka Quibdo, hadi mji wa Nuqui iliyoko kwenye pwani ya Pacific kabla ya kuanguka siku ya jumamosi.
Hadi kufikia sasa haijulikani nini kilichosababisha ajali hiyo.

Hadi kufikia sasa haijulikani nini kilichosababisha ajali hiyo.
Kundi la waokoaji waliofika katika eneo la ajali walimpata rubani wa ndege hiyo akiwa ameaga katika chumba cha rubani.
Hata hivyo milango ya ndege hiyo ilikuwa wazi na abiria waliokuwemo hawakuwepo.
Kundi la waokoaji lilianza shughuli ya kuwatafuta na baada ya siku tatu wakawapata bi Murillo na mwanawe.


Walipelekwa Hospitalini
Kwa hakika ni Muujiza mkubwa kuwapata wakiwa hai''alisema Kanali Hector Carrascal.
Walipelekwa hospitalini kwa matibabu mjini Quibdo.

Linah Alinasa Penzi la Kaka Yake Zari ( Mpenzi wa Diamond)

$
0
0
Mrembo anayefanya poa kunako Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’, anadaiwa ‘kujiegesha’ kimahaba kwa shemeji yake Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye William Bugeme ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka wa Zarina Hassan ‘Zari’ kiukoo.

Ndani ya Ukumbi wa Triple 7 uliyopo Kawe jijini Dar hivi karibuni, mwandishi wetu aliwaona wakiingia sambamba na kukaa beneti kama mtu na mpenzi wake jambo lililozua maswali kibao kutoka kwa wateja waliokuwepo ukumbini hapo.

Mbali na kunaswa siku hiyo, pia mwandishi wetu amekuwa akiwashuhudia mara kadhaa wawili hao wakiwa pamoja katika kumbi mbalimbali za starehe jijini Dar.

Mara ya mwisho, Linah na Boss Mtoto walikuwa pamoja kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Kili Music zilizofanyika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, mapema mwezi huu.

Urais 2015: Profesa Muhongo Aumbuka CCM Makao Makuu

$
0
0
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Waziri aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Profesa Sospeter Muhongo, jana aliumbuka  baada ya Chama chake kukataa kupokea lundo la makasha ya CD (santuri) zenye picha za wadhamini wake 675.

Badala yake, alielezwa kwamba, hakuna kipengele kinachoruhusu kuwa na kumbukumbu hiyo.

Profesa Muhongo, alirejesha fomu yake ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, saa 9:57 asubuhi na kumkabidhi Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) na Oganaizesheni, Mohamed Seif Khatibu kwenye makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma.

Baada ya kukabidhi fomu za wadhamini wake katika mikoa 15 aliyopita, Profesa Muhongo alitoa pia makasha 15 yenye CD za picha ambazo alidai amefanya hivyo ili kuonyesha hajapita njia ya mkato akidai anaamini mtu sahihi atakayeweza kuwavusha watanzania kwa sasa, ni yeye na si mgombea mwingine kati ya makada wote waliojitokeza kutaka kumrithi Rais Jakaya Kikwete.

Alipomaliza kuzungumza na kisha kukabidhi CD hizo, Khatibu alisema:”Bahati mbaya katika Daftari la kurejesha fomu za CCM za kugombea kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwaka 2015 hakuna mahala panapoonyesha kwamba utapaswa kukabidhi CD ulizonipa…wanaangua (vicheko).”

Baada ya kuelezwa hivyo, aliondoka na kuziacha CD hizo kwa Khatibu.

Profesa Muhongo alijiuzulu uwaziri wa Nishati na Madini, baada ya kuhusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na baadaye kutangaza nia ya kugombea urais.

Kituko Sakata la Mama Mjamzito Aliyejifungulia Bafuni baada Ya Wauguzi Kumfukuza

$
0
0
SIKU mbili baada ya tukio la wauguzi wawili wa zahanati iliyopo Kijiji cha Shishiyu, Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu kudaiwa kumfukuza mama mjamzito aliyejifungulia bafuni katika nyumba iliyopo jirani na zahanati hiyo, uongozi wa halmashauri hiyo umewahamisha kituo cha kazi wauguzi hao badala ya kuwachukulia hatua.

Wauguzi hao (majina yanahifadhiwa), wanadaiwa kumfukuza mama aliyekuwa mjamzito Rotha Bujiku baada ya kufika katika zahanati hiyo ili aweze kupatiwa huduma ya kujifungua.

Akizungumza na waandishi wa habari juu ya hatua ambazo zimechukuliwa kwa wauguzi hao, Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Trasiasi Kagenzi, alisema wauguzi hao wamehamishwa kituo cha kazi na kupelekwa katika kituo kingine.

Alisema uongozi wa halmashauri umeona kabla ya kuwachukulia hatua za kinidhamu, uwahamishe kituo ili kuokoa maisha yao kwa kuwa wakazi wa kijiji hicho walikuwa wanataka kuwadhuru.

Aliongeza kuwa, hawakuona haja ya kuanza kuwachukulia hatua za kisheria wakati maisha yao yapo hatarini hivyo wamewanusuru kwanza na baadaye watachukuliwa hatua za kinidhamu.

"Suala la kuwahamisha na kuwachukulia hatua za kinidhamu ni vitu viwili tofauti...tukumbuke kuwa, kumchukulia mtumishi wa umma hatua za kinidhamu kuna taratibu zake.

"Kutokana na hali hiyo, tumeona hatua ya awali ni kuwatoa katika zahanati hii kwa sababu wananchi walitaka kuwadhuru kwa kitendo walichokifanya," alisema Kagenzi.

Alisema uongozi ulikaa na kutafakari kwa kina wakaona kuna haja ya kunusuru maisha ya wauguzi hao wakati utaratibu wa kuwachukulia hatua za kinidhamu ukiendelea na kuwahamisha kituo cha kazi hakizuii wasichukuliwe hatua.

Kagenzi alisema watumishi hao watachukuliwa hatua za kisheria baada ya uchunguzi kufanyika na kusisitiza kuwa, afya ya mama huyo na mtoto wake zinaendelea vizuri, huduma katika zanahati hiyo pia zinaendelea baada ya kupelekwa wauguzi wengine.

Aliongeza kuwa, wauguzi hao wamepelekwa katika vituo viwili tofauti ambapo mmoja kapelekwa Kituo cha Mwasayi kilichopo Kata ya Masanmwa, mwingine kapelekwa Zahanati ya Magereza Malya iliyopo Kata ya Buzinza na Mganga Mfawidhi amepelekwa Zahanati ya Bugalama ambazo zote zipo wilayani humo.

Wauguzi hao walifanya tukio hilo juzi kwa kile kilichodaiwa mama huyo walishampa maelezo ya kwenda kujifungulia katika Hospitali ya Wilaya hiyo kutokana na kujifungua mfululizo ambapo alikuwa amekwenda kujifungua mtoto wa 11.

Wolper: Mimi ni Freemason Kitambo tu

$
0
0
Mtoto mzuri katika tasnia ya uigizaji Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Twiga wa Jangwani’ amesema haoni sababu ya kuukana uanachama wa taasisi ya Wajenzi Huru (Freemason) kwani ni dini kama zilivyo zingine na kama katiba inavyoelekeza, kila mtu anayo haki ya kujiunga na dini au taasisi yoyote ya kuabudu kulingana na matakwa ya imani yake.

Akiongea na mwandishi wetu, Wolper alisema ni kweli yuko katika kundi hilo huku akishangaa watu kustaajabu kuona mtu yuko Freemason wakati walioanzisha dini hiyo ni binadamu kama wengine.

“Freemason si ni taasisi au dini kama zingine? Kuna ajabu gani mimi kuwa mwanachama? Tena nataka nikuhahakikishie kuwa, nimekuwa muumini halisi wa Freemason kwa muda mrefu sasa,” alisema Wolper.

Nicki Minaj Displays Her Sizzling Hot body For you to See

$
0
0
Nicki Minaj who is currently shooting a music video 'All Eyes On You shared these hot photos on her page.

LUPITA NYONG’O to charge Ksh 10,000 to any Kenyan who wants to dine with her.

$
0
0
Next week, Oscar award winner, Lupita Nyongo, will jet into the country in her first official visit to Kenya after she won the Oscar in 2014.

According to sources, the celebrated actress will arrive on Monday for the home-coming tour that will include art mentorship activities as well as an awareness campaign on wildlife conservancy efforts in the country.

However, not many Kenyans will have the opportunity to dine with the internationally recognized actress.

Apparently, Lupita will be charging Ksh 10,000 per head at a gala dinner she will be hosting at the Villa Rosa Kempinski hotel on Thursday, next week.

The invite does not state whether the Sh10, 000 will cater for food and drinks, but one clear statement reads, “Limited tickets on sale.”

A corporate table for 10 that will cost Sh100, 000 is also available.

See the banner below.


Just Like Jaguar, Diamond Platnumz is Done Collaborating With Nigerian Stars

$
0
0
Bongo’s finest, Diamond Platnumz has called it a day in collaborating with Nigerian artists.

Unlike Jaguar however, the Tanzanian has made the decision for different reasons.

According to reports, including Tanzania’s Bongo5, Diamond revealed the news in an interview with Cloud FM. He disclosed that his ‘last collabo would be KCEE’s and after that no more (working with) Nigerians.’

The reason for the move ‘is to avoid any monotony in his music and that he has achieved the goal of penetrating his music into Nigeria.’

He also revealed that his music might be taking a new direction as DRC’s Ferre Gola and Togo’s Toofan have expressed their interest in collaborating with him.

- See more at: http://nairobiwire.com/2015/06/just-like-jaguar-diamond-platnumz-is-done-collaborating-with-nigerian-stars.html#sthash.g74hT5SV.dpuf

Jokate Yamkuta Makubwa...Ashushiwa Mvua ya Matusi Kutoka Kwa Mashabiki Wake Baada ya Kufanya Hili

$
0
0
Mwanamitindo  na Msanii wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo, maarufu kama ‘Kidoti’ amejikuta akiambulia matusi ya nguoni kwa kosa la kumpongeza msanii mwenzake wa Bongo Fleva, Ali Kiba baada ya kutwaa tuzo tano za Kili Music Awards zilizotolewa mwezi huu jijini Dar.

Mwanadada huyo ameioga mvua hiyo ya matusi katika akaunti yake ya Mtandao wa Kijamii wa Intagram kwa watu tofauti kwa kile kilichodaiwa kuwa anahaha baada kuachwa na Mbongo Fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’ ambapo ameamua kufanya hivyo ili kuupoza mtima wake na kwa sasa kuna taarifa kwamba Ali Kiba ndiye anayemmiliki mtoto huyo.

Baada ya kutokea ishu hiyo, Mwandishi alimtafuta Jokate ili kusikia anazungumziaje hilo ambapo alisema: “Nashindwa kuielewa jamii inataka mtu aishi vipi, lakini yote kwa yote siwezi nikamkandia mtu kwenye muziki wake, kwa upande wangu mimi ni shabiki wa Ali Kiba kwa sababu ninapenda kazi zake na hakuna wa kunizuia kufanya chochote juu yake.”

Tattoo ya Wema Sepetu Mgongoni Mwa Kajala..Is it Still There??

$
0
0
Wema Sepetu na Kajala Masanja Walikuwa Marafiki wa kufa mtu , baada ya Wema Kumlipia Kajala Mil 13 ili aachiwe kutoka Gerezani Kajala alijichora Tattoo mgongoni mwake yenye jina la Wema , Sasa am just wondering kama hiyo tattoo bado anayo baada ya urafiki wao kuvunjika kwa muda mrefu?

Hii hapa ndio ilikuwa habari ya Kajala kujiweka Tattoo ..bonyeza Hapa:

Kajala Aamua Kujichora Tattoo ya Wema Sepetu Kumuenzi

‘My Girlfriend Sléeping With My Dad’ – Boy Seeks Advise

$
0
0

I caught my 18 years old girlfriend making love with my Dad. My name is Peter, am 23 years old. I have been in love with my girl who is 18 years old. We have been datingfor 2 years now. She was caring and loving. She told me she’s a vírgin and we had agreed to have s*x after marriage.
We were only concentrating on our studies. She could come home at any time. I stay with just my dad and two little sisters. Early this week I had taken my little sisters to my auntie’s place. When I returned home, I found my girlfriend in bed with my dad.

This was terrible and shocking but that’s not all.

That very day my dad chased me away from home. My GF never bothered to call me to say anything about it since then. But today she called me, crying that I should forgive her for what she did.

Friends I am confused cos I truly loved her but I don’t know what to do.

Is right for her to be sleeping with my father? Should I forgive her or I move on? Since the incident I’ve been staying with my auntie. Please I need helpful advise.



Issue ya Faiza Ally Kunyang'anywa Mtoto na Mbunge Sugu Yatinga Bungeni..Mbunge Adai Faiza Ally Ameonewa Kwa Sugu Kutumia Siku Moja Mahakamani na Kushinda

$
0
0
MR II SUGU NA MTOTO WAKE
Imeendelea kuwa ishu ambayo kila mtu anaiongelea kwenye kona yake anachokiona sahihi, wapo wanaokosoa Mahakama kuamisha Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kupatiwa mtoto wake na Faiza Ally ambaye ni mzazi mwenzake.

Wa kwanza kuwasha kipaza sauti alikuwa Mbunge Martha Mlata >>>“Tuna Mbunge mwenzetu amemnyanyasa mwanamke mwenzetu ametumia siku moja Mahakamani kumnyang’anya mtoto wa miaka miwili.. Mbunge huyu anajijua kwa sababu mwanamke huyo anaitwa Faiza.. Faiza arudishiwe mtoto wake”>>>

Ikaja time ya Mbunge David Kafulila >>>“Hii nchi ina mihimili mitatu, Bunge, Mahakama na Serikali… Tuheshimu maamuzi ya Mahakama”>>>

Waziri Saada Mkuya alikuwa wa mwisho kuongelea ishu hiyo hiyo>>> “Kama mama na mimi nilipoisikia ile taarifa nilipata uchungu, kila binadamu ana mapungufu yake lakini mtotto alelewe na mama yake”>>>

Binti wa Advanced Level Sec Ananikosesha Raha Ndani ya Ndoa Yangu

$
0
0
Wajumbe mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 Ni Mwajiriwa wa Serikali, nimeoa na nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3.
Licha ya kwamba niko kwenye ndoa, lakini ilitokea siku moja asubuhi nikiwa barabarani na gari langu nikitokea nyumbani kwangu Mitaa ya Kihonda Magorofani nikielekea kazini Morogoro mjini.Nilikutana na Mwanafunzi kavaa sare za shule na alikuwa akielekea shuleni nae.Nilisimamisha gari na kumuuliza kama anaenda shuleni maana baada ya kuona sare alizovaa niliweza kutambua ni shule gani anasoma.Baada ya kumuuliza kama anaenda shule aliitikia kwamba anaenda shuleni, nilitoa Lock ya Milango ya gari nikamwambia apande nimsogeze kidogo.

Cha kushangaza niliona akifungua mlango wa mbele na kuingia maana nilikuwa peke yangu.Niliondoa gari tayari kuendelea na safari,tukiwa njiani niliweza kumuuliza jina lake, wazazi wake kadharika tulipeana hadi namba za simu.

Baada ya siku mbili alinitumia msg iliyosomeka hivi."Shikamoo, Habari ya kazi?Nimeona sio vizuri kukaa kimya wakati juzi ulinisaidia nikawahi shuleni.Jioni Njema na karibu nyumbani." Bahati mbaya hiyo msg sikuweza kuijibu maana nilikuwa niko na wife na zaidi niliifuta baada ya kuisoma.Baadae nilitafuta nafasi nikampigia kumjulisha msg yake nimeipata akadai amefurahi sana kusikia sauti yangu.Na mimi kama mwanaume nikamuomba atafute muda japo siku moja tukutane tena tuongee.Alikubali na kuniahidi nimtafute siku za Ijumaa jioni, Juma mosi na jumapili maana hizo siku anakuwa free.

Ilipofika Ijumaa nilimtafuta tukaenda Hotel moja nje kidogo ya Mji tukaongea sana na ikafikia hata mimi nikamwambia namtaka, alionekana mpole na akakubali ombi hilo pia akaomba tukutane siku inayofuatia ambayo ni Juma Mosi.Tuliingia kwenye gari nikamuacha jirani na nyumbani kwao na mimi nikarudi kwangu

Jumamosi mida ya saa 8 alinibeep nikampigia then nikamwambia ajiandae ndani ya nusu saa nitampitia. Time ilipofika nilimpitia sehemu tuliokubaliana tukaelekea sehemu husika, huko huko ndio tulipeana mapenzi(Nilimgegeda effectively). Baada ya siku hiyo kugegeda ikawa Continuously.

Ila shida imekuja sasa huyu binti anadai nimpeleke nyumbani kwangu ili nikamtambulishe kwa Mke wangu ili wafahamiane. Nimejaribu kumshauri kwamba yeye bado ni mwanafunzi hivo atulie kwanza amalize masomo yake lakini hanielewi

Anadai kila siku asubuhi niwe nampeleka shuleni na jioni kumrudisha kwa gari langu.Hilo nalo nikamshauri kwamba isiwe kila siku ila pale tukapoona inafaa bado haelewi.

Nimemkataza kunipigia simu au kutuma msg hasa mida ya usiku maana mke wangu atanielewa vibaya hilo nalo haelewi

Amechukua namba ya simu ya mke wangu kwenye simu yangu bila mimi kujua na kumpigia simu mke wangu nae akiwa kazini kwake akimtaarifu kuwa yeye ni mke mwenzie na baadae kurusha msg kibao akidai huo ni utambulisho tosha.Kwa ujumla siku hiyo hayo yote yalipotendeka mimi na mke wangu hatukulala kwa amani kabisa,Wife alilia karibu akataka kukesha.

Nilimfuata yule Binti nikamuonya vikali nusura kuchapa makofu na nikamwambia simuhitaji tena ila yeye kakomaa kwamba kama nataka kumpiga sababu ya mke wangu basi na nikimuacha anajiua na kuacha ujumbe.Ameenda mbali kuniambia kwamba nimemuharibia akili zake maana toka nifanye nae mapenzi hana hamu kabisa ya kusoma au kwenda shuleni.

Wakuu nifanye hapo, Kuna hatari mbili ambazo ni:
1. Ndoa kuvunjika (Wakati tayari tuna mtoto)
2. Kwenda Jera (ukizingatia huyu ni Mwanafunzi)

Naomba mchango wenu

Mbunge Sugu Atoa Chozi Bungeni..Adai Suala la Mtoto wake na Faiza Ally ni la Kifamilia..Adai Bado Hajamchukua Mtoto Kutoka Kwa Faiza

$
0
0
Jana Katika Bunge Huko Dodoma Mheshimiwa Mbunge Mlata Alisemama Haya:

"Tuna Mbunge mwenzetu amemnyanyasa mwanamke mwenzetu ametumia siku moja Mahakamani kumnyang’anya mtoto wa miaka miwili.. Mbunge huyu anajijua kwa sababu mwanamke huyo anaitwa Faiza.. Faiza arudishiwe mtoto wake"

Sugu leo amesimama Bungeni na kulitokea Ufafanuzi swala hilo na Mahakama kumpa haki ya kumlea mtoto kutoka kwa Mama yake Mzazi Faiza Ally..

“Mheshimiwa naibu spika, kwa vile masuala haya binafsi mimi na mzazi mwenzangu na binti yetu, yameletwa hadharani mbele ya bunge tukufu, kwa vile masuala haya ni binafsi na ya kiunyumba yamevishwa joho la haki za wanawake na watoto na tuhuma nzito kutolewa juu yangu, mimi nalazimika kwa masikitiko makubwa na moyo mmzito kabisa kuyazungumzia hadharani mbele ya bunge lako tukufu,” alisema Sugu.

“Mheshimiwa naibu spika binti yangu Sasha Desteria anaishi Dar es Salaam na mama yake tangu alivyozaliwa tarehe 26 September 2012 na katika kipindi chote hicho mimi nimempelekea mama yake takriban shilingi 500,000 kwa mwezi kwaajili ya matunzo ya binti yetu kila mwezi. Aidha tangu awe na umri wa miaka miwili mimi nimemlipia Sasha ada yake ya shule takribani milioni 3 kila mwaka ambayo ni shilingi 750,000 kwa semester. Malipo haya ni nje ya fedha za nguo, chakula, vifaa vya kuchezea watoto pamoja na kulipia gharama za television za watoto ya cartoon katika kipindi chote tangu binti yangu alipozaliwa.

10852938_800529123337629_414595070_n
Faiza na Sasha

Mheshimiwa naibu spika, mzazi mwenzangu anayedaiwa kuwa mwanamke mnyonge na mheshimiwa Mlata, ni mwanamke anayejulikana katika kumbi za starehe karibu nchi nzima kwa kutokuwa na haya mbele ya hadhara wala mbele ya jamii. Ni mwanamke katika sherehe za tuzo za Kilimanjaro Music Awards zilizofanyika jijini Dar es salaam mwezi mmoja uliopita, alivalia nguo ambazo ziliacha sehemu zake za siri hadharani ili mpita njia azione. Picha zake katika mavazi hayo zilisambaa katika mitandao ya kijamii ya kuleta fedheha kubwa kwangu binafsi na bila shaka kwa watanzania wote wanaojali maadili katika masuala ya mavazi ya hadharani.

Kabla ya hapo picha zake nyingine wakati amevalia nepi ya mtoto yaani Diapers na kisha kusambaza katika mitandao ya kijamii. Kama angetaka mheshimiwa Mlata angeweza kupata taarifa hizi kabla ya kurusha tuhuma nzito ndani ya bunge tukufu,” alisisitiza Sugu.

Pia Sugu alizungumzia jinsi alivyolipeleka suala lake mahakamani mpaka mahakama kutoa uamuzi wa kutaka Faiza amkabidhi mtoto kwa Sugu.

“Mahakama ya mwanzo Manzese iliridhika na ushahidi wangu kwamba mzazi mwenzangu hakuwa na maadili yoyote ya kuweza kumlea mtoto wetu. Mahakama hiyo iliamuru kwamba binti yetu Sasha Desteria akabidhiwe kwangu ili niweze kumlea katika mazingira ya maadili ya usawa kwa mtoto na kwa umri wake. Hivyo mheshimiwa naibu spika kile ambacho kimedaiwa na mheshimiwa Mlata cha uporaji wa mtoto kiukweli ni amri halali ya mahakama ya Manzese iliyotolewa baada ya kusikiliza pande zote kuzingatia ushahidi uliotolewa.”

Hata hivyo Sugu alisema bado hajamchukua mtoto huyo kutoka kwa Faiza, na kwamba kuna uwezekano wa kufanyika mazungumzo ya kifamilia kulimaliza suala hilo kwa amani.

Mwisho Sugu alipomaliza Kuongea Alionekana Akitokwa na Machozi Usoni Mwake...

Je una Ushauri Gani kwa Sugu ?

Ukweli Kuhusu Mgombea Edward Lowassa Kupendelewa na Vyombo vya Habari Mbio za Urais 2015

$
0
0
Nimekuwa Nikifuatilia kwa Makini sana hizi Mbio za Urais 2015 Kile ninachokiona na Kama Vile mgombea Huyu Edward Lowassa Anependelewa na Vyombo vya Habari Kila Kona iwe Magazeti, Blogs na TVs...Habari zake zinapewa Airtime sana na kuandikwa sana ...
Je kuna nini Kinaendelea ?

Dume Kabisa...Tena Jirani yenu au Mnaishi nalo Nyumba Moja. Ulione Linavaa Gauni, Kujipaka Makeup na Kuvaa Viatu vya Mchuchumio....Utajisikiaje?

$
0
0
Dume kabisa...tena jirani yenu au mnaishi nalo nyumba moja. Ulione linavaa gauni, Kujipaka makeup na kuvaa viatu vya mchuchumio....utajisikiaje?

Hatupaswi kuwahukumu mashoga lkn pia hatupaswi kukaa kimya na kuwafurahia, ikibidi tuomboleze kabisa huku tukiwaombea....kama huyo mkaka wengi mnamjua! Yaani huyu ni makusudi kabisaaaa.....watu kama hawa Mh. Stephen Wassira akipata urais wangesombwa awamu ya kwanza wapelekwe kulima vijijini..tena kabla ya kupatiwa matrekta wapewe majembe ya mkono....walime na wakomae kama wanaume hawatarudi kwenye laana hizi....hizo zote njaa!!! Mxiiiiuh...

Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ alivyosimama na maneno yake Bungeni baada ya ishu ya mtoto wake kuzungumzwa.

$
0
0
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.

Ombi likapokelewa kwenye meza ya Naibu Spika leo June 26 2015 >>>”Nimepokea ombi maalum la kuwasilisha maombi binafsi kutoka kwa Mbunge Joseph Mbilinyi kwa hiyo namruhusu” >>> Naibu Spika Job Ndugai.

“Asante sana Naibu Spika, naomba nitoe maelezo binafsi jana tarehe 25 June 2015, Mbunge Martha Mlata alidai kuwa kuna Mbunge wa CHADEMA amempora mwanamke mmoja mtoto mdogo wa miaka miwili na amempora wakati Mbunge huyo amekuwa hatoi matunzo kwa mama yake… Mlata aliwataka Wabunge wote wanawake kuungana kukemea kitendo alichodai kimefanywa na Mbunge huyo”



“Hakutaja jina la Mbunge aliyemhusisha na madai yake ila alidai kuwa ni msanii mwenzake… hata hivyo alitaja jina la mwanamke anayedaiwa kunyang’anywa mtoto kuwa ni Faiza. Mbunge aliyelengwa na mashambulizi ni mimi Joseph Osmond Mbilinyi, mimi ndiye baba wa mtoto Sasha Desderia Mbilinyi anaedaiwa kuporwa kwa mama yake, na Faiza aliyetajwa ni Faiza Abdallah Ally ambaye ni mzazi mwenzangu na mama mzazi wa Sasha Desderia“

“Watu wazima hawapendelei kuzungumzia mambo binafsi hadharani… Nadhani sitakosea kusema hata Mheshimiwa Martha mwenyewe asingependa kuzungumzia matatizo yaliyopelekea ndoa yake kuvunjika“


“Mimi ni mmoja wa watu wazima wenye akili timamu ndio maana sijazungumzia hadharani kuhusu uhusiano wangu na mzazi mwenzangu Faiza Ally na mtoto wetu Sasha… Sasha ameishi na mama yake tangu alipozaliwa mwaka 2012, katika kipindi chote nimempelekea mama yake laki tano kila mwezi, nimemlipia ada ya shule Milioni 3 kila mwaka.. Mlata kama angekuwa anataka kujua angeniuliza ningempatia taarifa hizi kabla hajarusha tuhuma nzito“

Sugu 10“Mwanamke anayedaiwa kuwa mnyonge anajulikana katika kumbi za starehe nchi nzima, picha zake zilisambazwa katika Mitandao ya Kijamii na kuleta fedheha kubwa kwa watu wanaojali maadili ya mavazi, picha zake nyingine akiwa amevaa diapers zilisambaa mitandaoni na Martha Mlata angeweza kupata ukweli wa mambo haya kabla hajarusha tuhuma mbele ya Bunge“

Sugu 7“Nilienda Mahakama ya Mwanzo Manzese, niliwasilisha ushahidi kwamba mzazi mwenzangu asingeweza kumlea mtoto.. Mahakama ilimwita akajitetea, June 23 Mahakama iliridhika na ushahidi wangu, ikaamua mtoto akabidhiwe kwangu ili nimlee. Kilichodaiwa kuwa ni uporaji wa mtoto kiukweli ni amri ya Mahakama, Mlata hakuwahi kuonekana Mahakamani, nina mashaka hata kama anamfahamu mtoto mwenyewe au mama anayemwita mwanamke mnyonge“

“Mashauri haya hayakupaswa kuwekwa hadharani kama alivyofanya Martha Mlata… Nimesikitishwa na Martha Mlata kuzungumza mambo binafsi. Pamoja na Mahakama kunipa haki, mtoto bado yuko kwa mama yake kwa sababu mimi ni mstaarabu… nimetoa nafasi ili Majadiliano ya kifamilia yafanyike… Naomba mjadala huu usiendelee zaidi ya hapa” >>> Mbunge Joseph Mbilinyi.
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images