Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live

Wazazi wa Mke Wangu Wamehamia Kwangu Kabisa, Nyumba imegeuka Bujumbura

$
0
0
Baba na mama wa mke wangu walikuja mwaka 2011 kututembelea hapa Dar, ilikua wakae mwezi mmoja then warudi kijijini
lakini cha kushangaza hivi ninavyozungumza nanyi tarehe 30-06-2015 jumanne, hawajaondoka kurudi kijijini kwao hadi Leo miaka takribani minne tangu 2011 January

Kijijini kwao si kubaya kihivyo, kuna nyumba ya bati, kulikua na mifugo na mashamba lakini vyote hivyo vilikufa kutokana na kutelekezwa na mwenyewe ambao wamekimbilia kwetu Dar. Ni nyumba tu ndo ipo pale ila imekua pagala.Ndugu wengine wapo mjini ila mikoa tofauti.

Madhara yatokanayo na wakwe kukaa kwetu:-

(1) Kila tukigombana namke wangu au kutofautiana hata kwa jambo dogo sana, kesho yake atawaeleza wazazi wake, jioni yake wataniita kulizungumza, hadi nakereka, kila siku nawekwa chini hata kwa Yale ambayo zamani tulimaliza chumbani

(2) Kwa muda waliokwisha kaa baba mkwe amefanya nyumba yangu kama kwake, anatoa amri kana kwamba yeye ndo mwenye mji, anawa amrisha familia yangu chakula cha kupika ambacho ni kinyume na nitakavyo mm, na taratibu zingine za kikoloni

(3) Kabla hawajaja 2011, tulikua na Chumba special cha wageni wetu maalum self contained, ambacho sasa tumewapa wao hivyo wageni wetu tunawalaza kwa watoto, watoto tunawahamishia kwa house girl, kama wageni ni wengi house girl hulala sebuleni, jambao ambalo huwa linaniudhi sana sana

(4) Gharama za maisha zimekua kubwa, kuishi kwao, afya zao, mahitaji yao ni juu yangu, ukijumlisha na familia yetu mzigo unakua mkubwa sana

Wakuu, kwa hali hii nimeshindwa kuendelea hivi najitaji way out, niliamua kukaa na wife tuweze kujadiliana kuhusu wazazi kurudi kijijini lakini kinyume na matarajio yangu uligeuka ugomvi mkubwa sana, akasema kama siwataki wazazi wake niseme wazi badala ya kujifanya namshauri,

Tangu siku hiyo ni visa tupu, kadai kwamba wazazi wake hawaendi kokote, kama nimemchoka anadai nimwambie aondoke yeye na wazazi wake, baada ya kuona diplomacy imeshindikana ikanibidi niwe mkali, ingawa sikufika hatua ya kumtamkia kwamba nawafukuza wazazi wake

Nimekua nikimuuliza "" hivi kule kijijini wazee wako walifanya kosa gani hadi kufikia hatua hawataki tena kurudi pamoja na misaada yote tuliokua tukiwatumia? Anakaa kimya

Mbona mimi wazazi wangu wapo kijijini wanaishi vizuri tu na wanayapenda maisha ya kule? Na tunawatumia misaada na wameridhika?

Ingawa sote mimi na wife tunafanya kazi ila kama mwanaume mimi ndo nabeba karibu robo tatu ya gharama za uendeshaji familia i .e ada za watoto na bill mbali mbali na kadhalika

Juzi nimekutana na a primary school friend, tulipotezana miaka mingi sana, she was so bright in school, she is successful, anafanya kazi katika health sector, tulikutana katika function flan tukabadilishana business cards, tumetoka out kwa maongezi ya kawaida kama mara tano hivi, tumekumbushana vitu vingi sana vya enzi hizo, tuli enjoy sana kuongea pamoja

Hivi karibuni alini invite kwa ajili ya lunch Jumamosi moja nyumba ni kwake, aliniuliza napenda nn nikamwambia Biriani,
So akaniambia niende kwake ameaandaa Biriani.Tulikula pamoja, na tuka watch movie, although hakuna kibaya kilichotokea kati yetu ila nilimueleza matatizo yaliyopo Kwangu, akaniambia kama vipi tunaweza kuwa pamoja ila nichague sehemu moja yeye hawezi ku share.

Anyway, sijajua kwa nn hajaolewa hadi Leo ingawa yupo kwenye mid 30s . Ila aliniambia kwamba kwenye health sector shule inachukua Muda mrefu kumaliza kuliko sector zingine ukichukulia kwamba alifanya na masters pia.Waheshimiwa kwa kweli nilikua suffocated kwa Muda mrefu nyumbani kwangu walau sasa nimepumua kidogo

Nalileta hili tatizo mikononi mwenu kwa ufumbuzi zaidi, mke wangu nampenda ila kwa sasa hatuelewani kabisa, chanzo ikiwa ni wazee wake ingawa na mengine mengi yameingia hapo hapo

Nilimuomba rafiki yake kipenzi azungumze nae kiutu uzima amweleweshe kuhusu wazazi kutuachia nafasi ya kupumua lakini hivi navyozungumza nanyi urafiki ulikufa, aliambiwa anathubutu vipi kuingilia ndoa yetu! Ukawa ndio mwisho Wa urafiki wao, na hadi sasa naambiwa natembea nae wakati si kweli

Au nikubali pendekezo la moreen? Mengine yatajijua huko mbele?

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 1 July 2015

$
0
0

























Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe 1 July 2015

EWURA yapandisha Mafuta kwa Ongezeko la Wastani wa Shilingi 200 Kwa Lita

$
0
0
Kumekucha watanzania na wapiga kura wa nchi hii.Wakuu wa EWURA huku wakiwa na nyuso za bashasha kana kwamba wanatangaza jambo jema,wametangaza Bei mpya ya nishati ya mafuta.

Mafuta yamepanda kwa wastani wa TShs 200 kwa lita.Sababu kubwa ikiwa na kupanda kwa dola.Wachumi mtuambie hii italeta madhara makubwa kiasi gani kwa mtanzania wa kawaida.

--------------------------

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 1 JULAI 2015

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini.

Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 1 Julai 2015. Pamoja na kutambua bei kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo:-

(a) Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote yaani Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimebadilika ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe 3 Juni 2015.

Kwa Mwezi Julai 2015, bei za rejareja kwa Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimeongezeka kama ifuatavyo: TZS 232/lita sawa na asilimia 11.82 TZS 261/Lita sawa na asilimia14.65 na TZS 369 /lita sawa na asilimia 22.75 sawia.

Kwa kulinganisha na toleo la mwezi uliopita, bei za jumla kwa mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa nazo zimeongezeka kama ifuatavyo: TZS 232.35/lita sawa na asilimia 12.49 TZS 261.15/lita sawa na asilimia 15.57 na TZS 369.41/lita sawa na asilimia 24.32.

Mabadiliko haya yametokana na mabadiliko ya bei za mafuta katika soko la dunia, kuendelea kudhoofu kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani pamoja na mabadiliko ya tozo za Serikali katika mafuta kuanzia mwezi wa Julai 2015.

Kwa kulinganisha thamani ya Shilingi dhidi ya dola ya Marekani kwa machapisho ya bei za mwezi Juni na Julai 2015, Shilingi ya Tanzania imepungua thamani kwa TZS 175.11 kwa dola ya Marekani sawa na asilimia 8.65.

(b) Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2008, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za bidhaa za mafuta.

Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu manunuzi ya bidhaa za mafuta.

(c) Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani ilimradi bei hizo ziko chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na fomula iliyopitishwa na EWURA na ambayo ilichapwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 7 la tarehe 4 Machi 2015.

(d) Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana bayana na yakionyesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta kutoka kwenye vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja na adhabu itatolewa kwa kituo husika.

(e) Wanunuzi wanashauriwa kuhakikisha kuwa wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo, tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa mafuta kwa bei ya juu kuliko bei kikomo; ama endapo utakuwa umeuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.

Huu ni Mwezi mgumu kwa Mwanamuziki Diamond Platnumz..Angalia hii Ratiba Hapa

$
0
0
King of Afro pop anazidi kupata tatizo la kutokupumzika kutokana na kuwa hot cake ambapo kila sehemu wanamuhitaji akatoe show licha ya kuwa na gharama kubwa sana anayotoza kuperform kila show

Sasa >> Nana media tour Nigeria ambapo amesafiri na team yake watu 5, na gharama zote zimelipwa na cocacola mpaka watakapo rudi Tanzania kupitia campaign ya #Iamareason

3, July >> Nigeria road to mama

4, July >> Tanzania, sherehe ya miaka 80 ya Yanga, jangwani

8, July >> Singida, with Mohammed Dewji

18, July >> South Africa, MTVMAMA2015 ambapo atatumbuiza na NEYO

24, July >> Kilimanjaro Miss ambassador ambapo show inaweka rekodi kuwa na viingilio vikubwa nje ya dares salaam
30,000/=, mpaka 300,000/=

25, July >> South Africa, African achievers awards ambapo amekuwa nominated kama Most inspiring icon

Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano, 2015/ 2016

$
0
0
OWM-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2015.Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali.

Jumla ya wanafunzi 55,003 wakiwemo wasichana 23,303 na wavulana31,700 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi.

  
Kati ya wanafunzi waliochaguliwa 29,744 wakiwemo wasichana 11,450 nawavulana 18,294 sawa na asilimia 54.08 watajiunga na masomo ya Sayansina Hisabati; na wanafunzi 25,259 wakiwemo wasichana 11,853 nawavulana 13,406 sawa na asilimia 45.92 wamechaguliwa kusoma masomoya Sanaa na Biashara.

Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka 2015 wataanza muhula wa kwanza tarehe 18 Julai, 2015 na hakutakuwa nafursa ya mabadiliko yoyote ya shule. 

  
Wanafunzi wote wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangwa kwa wakati. Endapo mwanafunzi atachelewa kuripoti kwa zaidi ya siku 14 kuanzia tarehe ya mwisho yakuripoti, nafasi yake itachukuliwa na mwanafunzi mwingine aliyekosa nafasi.

Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano naVyuo vya Ufundi mwaka 2015 inapatikana kwenye tovuti ya OWMTAMISEMI
ya www.pmoralg.go.tz

Imetolewa na Katibu Mkuu,



MAELEKEZO: Matokeo yanatoka kwa kituo kizima ulichofanyia mtihani.

Jinsi  Ya  Kupata kituo  chako: 
Kwenye kisanduku anza kuandika jina la kituo ulichofanyia mtihani na usubiri, jina lililokamilika la kituo litajimalizia lenyewe ikiwemo namba ya kituo. 

Mfano: Iyunga, Halafu  Subiri  kidogo  ili  ijimalizie  yenyewe 

Ukishachagua utabofya neno 'retrive' na utapata majina ya shule yako yote uliyotoka. 

<< BOFYA  HAPA  KUONA  MAJINA>>

Kigogo wa Bandari Afumaniwa Ndani ya Mwezi Mtukufu...Ajipiga Faini ya Mil 30..Kisa Kizima Nimekuwekea Hapa

$
0
0
GPL
WE acha tu! Hii ni habari ya kushangaza sana ambayo ilinaswa na paparazi wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers juzikati ambapo mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ally Mwamwanza ambaye ni afisa katika kitengo cha ‘makontena’ bandarini Dar, kudaiwa kunaswa na mke wa jirani yake, Gibson Mtinge aliyetajwa kwa jina moja la Khadija.


Licha ya wote wawili kuishi Mbezi ya Kimara, lakini kisanga hicho kilichojiri mwishoni mwa wiki iliyopita saa 12 asubuhi kilichukua nafasi maeneo ya Tegeta-Kibaoni jijini Dar es Salaam.

OFM YAKATIZA
OFM ilikuwa katika pilikapilika ya kusaka matukio ya usiku katika viwanja mbalimbali vya Jiji la Dar. Wakati inapita nje ya nyumba hiyo, kelele za ‘hoya! Hoya’ ziliifanya OFM kupiga kambi hapo kusikiliza.

OFM NDANI YA GETI
Hoya! Hoya zilipokomaa, ndipo OFM ilipoamua kusukuma geti na kuzama ndani ya mjengo huo wa maana na kukutana na kasheshe ya mwaka, wanaume wawili wakitwangana.Mwanaume aliyejitaja kuwa ni mfanyabiashara wa kusafirisafiri ambaye ndiye Gibson alidai amemfumania Ally akiwa na mkewe kitandani kwenye chumba kimoja ndani ya nyumba hiyo.


“Huyu jamaa nimemkuta na mke wangu. Huwezi kunifanyia hivi bwana Ally. Halafu wewe ni jirani yangu kabisa,” alifunguka Gibson kwa sauti yenye kuweza kufanya lolote kwa wakati huo kama si Mungu kumdhibiti shetani.

MTUHUMIWA ALITOKA KWAKE MUDA WA DAKU
Habari zaidi kutoka kwenye kinywa cha Gibson zilisema kuwa, Ally alikuwa akimtongoza mkewe kwa siku nyingi. Ikafika mahali, mke huyo akachoka na kumweleza mumewe ambapo waliweka mtego.

Siku hiyo, inadaiwa Ally alichati na mwanamke huyo akitaka waonane, mke akamwambia hayupo Mbezi wanapoishi, amelala Tegeta kwenye nyumba ya dada yake kwa vile dada huyo amekwenda Mbeya. Kwa hiyo kama  anataka yeye aende Tegeta.


“Jamaa katoka kwake Mbezi saa 10 alfajiri,  muda ambao watu wanakula daku kwa ajili ya mfungo. Alimuaga mkewe anakwenda kazini,” alisema Gibson huku akivuja jasho maana Ally naye ni bonge.
Ina maana taarifa hizo, Gibson alipewa na mke wake ambaye alikuwa akichati na Ally!

MAJIRANI WAINGILIA KATI
Majirani wa eneo hilo, baada ya kusikia sekeseke walizama ndani na kufanya kazi ya ziada kuwatuliza na kumtaka Gibson amwache Ally avae nguo.


MTUHUMIWA AJIPIGA FAINI
Baada ya vuta nikuvute iliyochukua muda wa saa 3, Ally alikiri kutenda kosa hilo na hivyo kuamua kujipiga faini mwenyewe kwa kusema atampa jamaa huyo mwenye mke kiasi cha shilingi milioni 30 kama fidia ya ugoni.
OFM ilimshuhudia Ally akiyaweka maelezo yake hayo kwenye karatasi na kuanguka ‘signecha’ huku  akitazamwa na mashahidi wawili ambao nao walimwaga wino.

Mke: Asha Buheti wa Bongo Movies Amezaa na Mume Wangu wa Ndoa

$
0
0
Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha
MAJANGA! Mwanamke aliyejitambulisha kuwa ni mke wa ndoa wa jamaa aliyemtaja kwa jina la Ally Msangi, Rosita Yashira ameibuka na madai mazito kuwa staa wa filamu za Kibongo, Aisha Bui eti amezaa na mumewe huyo.

Akizungumza kwa njia ya mtandao wa kijamii wa WhatsApp akiwa nchini Peru barani Asia, mwanamke huyo alisema kwamba Aisha amemwibia mumewe huyo ambaye amemtelekeza na watoto wawili na hatoi matumizi.

Alidai kwamba, alifunga ndoa na Msangi, mwenye uraia wa nchi mbili, Tanzania na Peru, mwaka 2007 ambapo wamejaliwa watoto wawili lakini mumewe alibadilika na kuwa na uhusiano na Aisha hadi akaamua kuhamia Tanzania na kuzaa naye.

“Mbaya zaidi Aisha amekuwa akinitumia picha akiwa na mume wangu, akinidhihaki kwamba niwaache wale bata.
“Inauma sana kwa sababu ni miezi saba sasa mume wangu hajui tunaishije na watoto na uwezo anao lakini hatumi matumizi yoyote, ukweli nateseka mno, kwa sasa mtoto mmoja anaumwa, sina fedha za kumtibu.

“Nchi yangu iko kwenye hatari kila siku milio ya bunduki inasikika, hatuwezi kwenda nje kutafuta mahitaji na hata watoto wanacheza ndani, Aisha kaniharibia maisha,” alisema mwanamke huyo.

AISHA ANASEMAJE?
Ili kupata mzani wa habari hiyo, mapaparazi wetu walimtafuta Aisha na kumsomea mashitaka hayo ambapo alisema:
“Ninachojua huyo alikuwa mke wa Msangi lakini wameshaachana na watoto anawahudumia kama kawaida lakini zaidi muulize mhusika baba Paloma (baba mtoto wake, Msangi)  mwenyewe atakueleza ukweli ila najua mapenzi ni kama kiti cha daladala, ukisimama mwenzio anakaa.”

MWANAUME AFUNGUKA
“Hizo habari siyo za kweli, huyo mwanamke alikuwa mke wangu kweli lakini mwenyewe ndiye aliyezingua tukaachana na hivi sasa anashughulikia talaka lakini huwa namtumia fedha za matumizi, hata wiki hii nimeongea naye na nimemtumia fedha.

“Aisha nimekuwa naye baada ya yeye kunizingua kuhusu kumtumia picha za kumdhihaki hilo suala siyo la kweli kabisa,” alisema Msangi.
GPL

Vitu Nilivyopenda Kwenye Video Mpya ya ALI KIBA iliyotoka Jana na Kuacha Gumzo Mitandaoni..

$
0
0
Nimependa jinsi furaha ilivyo tawala kwenye video hii. Nimependa jinsi stylist alivyochagua rangi za nguo za wahusika ambazo zimeendana vyema kabisa na rangi za kuvutia zilizowatala kwenye location. Rangi za nyumba, magari ziko on point balaa – kila kitu kinaonekana kiliweka kwa hesabu kali sana hapa. Navutiwa mno na yule dancer wa kike aliyekuwa anaangalia gari lake lililoharibika na Alikiba aliposogea kutaka kumsaidia wakaanza kucheza, connection na chemistry hatari sana hapo inaonekana – kama wanafahamiana kitambo.

Wale dancers wanaocheza mbele ya kiduka chenye spika mbele yake wako on point. Yule demu point 5 aliyevaa kofia kama ya Michael Jackson yuko on point na kapendeza sana – Alikiba pia anaonekana kummudu vyema. Quality nzuri kabisa inayovutia machoni. Picha hazijapikwa wala nini – natural kabisa! Kimsingi hii ni video kali na niamini kuwa itaufanya wimbo huu kuwa mkubwa zaidi Afrika. I love it. Watch it, Enjoy and stop comparing!
Shout Outs kwa @officialalikiba na director @mejialabi ‪#‎TeamTanzania‬

By Fredrick Bundala

Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya

$
0
0
SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.

Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.

Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho kilimshirikisha Mbunge wa jimbo hilo, Kangi Lugola, viongozi wa Serikali ya Kijiji cha Nambaza na Kata ya Nansimo.

Alisema vitendo vya kishirikina wanavyofanyiwa walimu hao ni udhalilishaji mkubwa ambao hauwezi kuvumiliwa na kumlalamikia Ofisa Tarafa ya Nansimo, Bw. Jonas Nyeoja kwa kuzembea na kutochukua hatua za haraka.

Alisema Bw. Nyeoja alipaswa kuwakamata watuhumiwa 15 ambao wanalalamikiwa kuwatesa walimu kwa kuwafanyia vitendo vya kishirikina na kuwafikisha katika vyombo vya dola.

"Nimemuagiza Ofisa Tarafa (Nyeoja), akawakamate watuhumiwa ambao orodha ya majina yao ninayo na wafikishwe kwenye vyombo vya dola wakati tukiandaa maeneo ya kuwahamisha kwani wamekosa sifa za kuishi kijijini hapo na wenzao hawawataki," alisema.

Aliongeza kuwa, kuendelea kuwakumbatia watu hao ni kusababisha machafuko kijijini kwani upo uwezekano wa wananchi kuchukua sheria mkononi na kuwaweka walimu katika hofu, kukosa molari wa kazi.

Kwa upande wake, Bw. Lugola ambaye alilazimika kusitisha vikao vya bunge na kwenda jimboni kwake kushughulikia tatizo hilo, akiwa katika mkutano wa hadhara alioufanya kijijini hapo, alitokwa na machozi baada ya kuelezwa jinsi walimu hao walivyofanyiwa vitendo vya kinyama kwa kuwadhalilisha na kuwaondolea utu wao.

Katika mkutano huo, wananchi mbali na kuwataja wahusika wa vitendo hivyo hadharani, walimtaka Bw. Lugola ahakikishe watu hao wanahama haraka jimboni humo kabla hawajachukua sheria mkononi hatua ambayo itakuwa na madhara, umwagaji damu.

Bw. Lugola aliwaeleza wananchi hao kuwa yuko pamoja nao ili kuhakikisha watu hao wanahama jimboni kwake, lakini kwa kuwa hana mamlaka ya kufanya hivyo kesheria, atalifikisha suala hilo kwa Mkuu wa Wilaya mwenye uwezo wa kufanya hivyo kisheria.

Katika mkutano huo, pia alikuwepo Diwani wa Kata ya Nansimo, Sabato Mafwimbo, Ofisa Tarafa (Nyeoja), Ofisa Mtendaji Kata ya Nansimo, Bryceson Mashauri, Mratibu Elimu Kata, Pius Kijoriga na Mwenyekiti wa Kijiji cha Nambaza, Leonard Mtelalilwa.

Jana Bw. Lugola aliongozana na viongozi hao pamoja na polisi kwenda kijijini Nambaza kuwakamata watuhumiwa hao kutokana na agizo la Mkuu wa Wilaya na kusema kama polisi watasita kuwakamata watuhumiwa kwa lengo la kuwalinda, yeye atamkamata hadi mtu wa mwisho.

Watu hao wanadaiwa kuwaingilia kimwili na kuwafanyia walimu vitendo hivyo usiku wakiwa wamelala pamoja na kuchukua nyaraka zao mbalimbali zikiwemo vitambulisho na kadi za benki (ATM) kwa njia za kishirikina.

Pia wachawi hao wamekuwa wakijisaidia haja kubwa na ndogo katika vitanda vya walimu hao, kuweka vyakula, unga na mboga na wakati mwingine walimu hujikuta wamelazwa chini wakiwa utupu na chakula hubadilishwa kishirikina ambapo kama walikuwa wakila wali na nyama ya kuku, ghafla unakuwa ugali na maharage.

Treni imegongana na gari aina ya Costa iliyokuwa imezidisha abiria. Watu 4 wamefariki na 30 wamejeruhiwa.

$
0
0
Watu wanne wamekufa na wengine 30 kujeruhiwa leo Kilosa baada ya basi dogo aina ya coaster kugongana na treni.
Maiti na majeruhi wamepelekwa hospitali ya wilaya Kilosa

Mwigizaji JOHARI Ajuta Kuachana na Aliyekuwa Mpenzi wake wa Kwanza McDonald...Mpenzi wangu wa Sasa Ananichanganya na Wanawake Wengine

$
0
0
Brighton Masalu
BLANDINA Chagula ‘Johari’ ambaye ni mwigizaji mkongwe Bongo, amejuta kuachana na aliyewahi kuwa mpenzi wake, Donald Mwakamele ‘McDonald’ kwa kusema kuwa angeendelea naye, angekuwa mwanamke mwenye heshima.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, staa huyo alisema vurugu za kimapenzi anazokutana nazo kila mara, zimekuwa zikimfanya arudishe mawazo nyuma ya kwamba, angeendelea na uhusiano na McDonald, angekuwa na maisha yasiyokuwa na mateso ya kihisia.

Hata hivyo, bila kumtaja, Johari alisema mpenzi aliyenaye kwa sasa anampa ‘stresi’ nyingi kwa kumchanganya na wanawake tofauti, jambo ambalo hakuwahi kukutana nalo katika maisha yake ya kimapenzi na McDonald.

Alisema kuwa, licha ya kuwa ni muda mrefu tangu kutengana kwao, bado wana uhusiano wa kawaida, ikiwemo kusalimiana na kubadilishana mawazo ya kimaisha na kwamba kama mwanamke anayehitaji faraja ya kweli, huingiwa na maumivu ya kuukosa uwepo wa mwanaume huyo na haiwezekani kurudiana kwani McDonald ana familia.

“Unajua stresi za mapenzi ninazokutana nazo zinanifanya nikumbuke mbali sana, uhusiano wangu na McDonald ulikuwa wa furaha sana, mpenzi wangu wa sasa ananiumiza kwa mengi, lakini kubwa ni kunichanganya na wanawake wengi,” alisema Johari.

Licha ya kukataa kumtaja mpenzi wake wa sasa, huko nyuma Johari aliwahi kudaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ ambaye kwa sasa ni mpenzi wa mwigizaji Chuchu Hans.
GP

Kimenuka: Zitto to Disclose Names Behind ‘Swiss Billions’

$
0
0
After years of dilly-dallying and secrecy by the government on who owns much cash in offshore accounts, the Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) party will finally reveal the names of those involved on July 4.

But Attorney General George Masaju who revealed in February that the report on the same matter was ready and that it would be tabled in Parliament chose to keep mum when The Citizen demanded to know when it would be presented as the House’s life comes to an end on July 9.

President Jakaya Kikwete is expected to address the National Assembly on July 9 and later dissolve Parliament to pave the way for the country’s General Election slated for October 25.

Yesterday, ACT-Wazalendo party leader Zitto Kabwe told a news conference, barely a day after he completed his tour of different regions, that he would provide a list of 99 bigwigs behind the Swiss Billions at a public rally.

Mr Kabwe and other party leaders had for the last three weeks been traversing various regions to popularize the party and the newly launched Tabora Declaration which seeks to revive the now defunct Arusha Declaration.

Addressing a news conference, Mr Kabwe said on July 4, the party will hold a huge political rally at Mwembeyanga grounds in Dar es Salaam where he would reveal the names of people with ofshore accounts in the and the amount of cash they had stashed.

The ACT-Wazalendo party’s move comes at a time when a big cloud still hangs over the ‘Swiss Billions’ even as Mr Masaju made a revelation that the report of a taskforce led by the Prevention and combating of Corruption Bureau (PCCB) director general Edward Hosea was ready.

Mr Hosea revealed in February, just few days after he was appointed AG, to succeed former AG, Judge Fredrick Werema, who resigned following the Tegeta escrow account scandal.

Addressing editors in Dar es Salaam at his maiden press conference, Mr Masaju said the final report would be tabled in Parliament any time. He stressed that Parliament would then debate the document and decide on the next course of action.

However, almost five months down the line, the report has been shelved and the government is still silent. At Parliament grounds in Dodoma, the AG appeared to run away from questions on the controversy surrounding the matter. When asked by The Citizen to give any statement on the promise he made before editors in February, the AG said: “I cannot comment on that issue because everything here depends on Parliament’s schedule.

The Citizen further sought comment from Deputy Speaker of the National Assembly Job Ndugai concerning the ‘Swiss Billions’ report, but MrNdugai said his office was yet to receive it.

“We understand this matter was being pushed by the former Kigoma North MP, but as of today the government is yet to bring the report to the office of the Speaker and I think you should contact the AG,’’ he said.

A Man Who Lived Close To LUPITA NYONG’O For 3 yrs Reveals Her Ugly Side.

$
0
0

After word got out that celebrated actress Lupita Nyong’o was charging Kenyans Ksh 10,000 to dine with her at Villa Rosa Kempinski, many people took it to social media and criticized her for that move.

They felt that the Hollywood based actress had let fame get into her head and she was now feeling like a small god.

Otuma Ongalo, who is a former Senior Editor at the Standard Newspaper, has come out to reveal how the once humble Lupita has become too proud after gaining international fame.
Otuma claims that he once shared a tiny office with Lupita’s mum for three years and she was a humble lady. However, the internationally recognized actress now feels too big and she can no longer shake the hands with “raiyaa” (common mwananchi).

Here’s what the former Standard Newspaper Senior Editor had to say on Lupita’s current behaviour.

Is it true that Lupita Nyong'o is now asking people to cough out 10k just to dine with her? I can't believe that this humble girl is now so overpriced. For almost three years I shared a tiny office with her mum and she was always there doing one or two errands for us though those were the days she was Miss Malaika. I have watched her grow as a high school leaver but she was also a good actor with local outfit. What I can't believe is that she is now too big to even shake my hand.

Girls! Girls! Sell your own body in peace and stop stealing HUDDAH’s identity

$
0
0


Huddah Monroe is dealing with an identity thief from Congo who has been using her photos to swindle men off their money. Now, Huddah is watermarking her photos to bring this to an end.

Here is what she said;

Kisses….. I really hate to water mark my pictures but there’s a person who is making guys think I’m from Congo , the name on FB is Yvonne Bongongo , she/he has been using my pics on FB asking men for money , You are not lucky anymore! I got this….. Identity Thief!”

Davido anatafutwa na askari wa kitengo cha kuzuia Dawa za kulevya Nigeria,sababu iko hapa

$
0
0
Staa wa Nigeria Davido anatafutwa na [Askari wa kitengo cha kuzuia Dawa za kulevya Nigeria ] National Drug Law Enforcement Agency (NDLEA).

Chanzo cha habari kimesema video yake ya ‘Fans Mi’ aliyofanya na Meek Mil iliyotazamwa na watu zaidai ya milioni moja kwa sasa Youtube imeonyesha matendo ya ununuaji wa dawa za kulevya yasiyotakiwa kuonekana kwenye tv.

Ofisa wa NDLEA, Mitchell Ofoyeju amesema  “The agency considers the musical video, ‘Fans Mi’ inappropriate and indecent. It has the tendency to negatively influence and induce drug use and trafficking. Besides, it is counter-productive on the campaign against drug production, trafficking and abuse. The agency is also investigating the matter and will take necessary action,” .

Sipo na Shilole Hivi Sasa - Nuhu Mziwanda

$
0
0
Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo leo alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Tweet

Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole amepanga.
"Hapana sipo na Shilole kwa sasa mimi nipo kwangu"
Lakini kauli ya Nuhu haina maana kuwa mapenzi yao yamekufa lahasha bali amempisha mwenzake katika kipindi cha mfungo wa ramadhan kutokana na misingi ya imani ya mpenzi wake na kudai kuwa licha ya hilo hivi sasa yeye mwenyewe anakwake na anamaisha yake mwenyewe.
Maswali mengi ambayo mashabiki wa ukurasa wa EATV walikuwa wakiyauliza yalikuwa ni kuhusu maisha ya mapenzi kati yake na Shilole hivyo walikuwa wakihitaji kufahamu mambo mbalimbali ambayo huenda wanaona kama yanazushwa na jamii hivyo ilikuwa ni sehemu ya wao kupata ukweli, mashabiki wengi walikuwa wakiiuliza inakuaje anakubali kupigwa pigwa na mwanamke kama mtoto na hapo ndio Nuhu Mziwanda alipoweka wazi suala hilo la yeye kupewa kichapo na Shilole.
"Hamna mapenz bila kugombana na siku zote ukitaka kudumu na mwanamke usimuonyeshe ubabe sababu mwanaume wa kweli hapigi na hata kama ukipigwa kibao na mwanamke hauwezi kufa hivyo ni vema kua kama mwanaume na kusamehe"
Mbali ni hilo Hit maker huyo wa Bilima alikana suala la yeye kulelewa na Shilole na kusema kuwa yeye ana maisha yake na mpenzi wake huyo ana maisha yake pia hivyo halelewi kama ambavyo baadhi ya watu wanavyosema mitaani kuwa analelewa na kutunzwa na Shilole.
"si kweli mimi silelewi maana nina maisha yangu na shishi ana maisha yake so tumekutana tu kimapenzi ila watu wanajudge tofauti ila wanapaswa kutambua kuwa mimi na maisha yangu na Shishi pia ana maisha yake binafsi,ni mapenzi tu yanafanya kuwa kitu kimoja"

MATUMIZI YA LUGHA
Msanii huyo amekiri wazi kuwa yeye lugha ya kiingereza si lugha yake hivyo makosa ambayo anakuwa anayafanya katika matumizi ya lugha hiyo ni ya kawaida sababu tu si lugha yake ila anazidi kujifunza zaidi ili aje kuwa na matokeo mazuri katika kutumia lugha hiyo ya kiingereza, hivyo anakubali wazi kuwa kile alichokuwa amepost katika mitandao yake ya jamii haikuwa makusudi bali ni bahati mbaya na yote ni sababu ya kutofahamu lugha hiyo kwa undani zaidi
"kingereza si lugha yangu nilikosea kweli ila bahati mbaya ila nazidi kujifunza, hivyo tegemeeni matokea mazuri kwenye hiyo lugha toka kwangu"

IMANI ZA KISHIRIKINA
Baadhi ya mashabiki wamekuwa wakisema kuwa msanii huyo anajihusisha na imani za kishetani kwa kutumia alama ya 666 katika mitandoa yake ya kijamii,lakini yeye amekuja kuweka wasa na kusema kuwa yeye anamuamini Mungu hivyo hana imani hizo lakini pia amesisitiza kuwa haamini kama namba hizo zinatumika na watu wanao amani ushetani,
"Sina imani hizo na siamini kama hiyo namba ni illuminat na kingine ukiamini hiyo namba ni illuminat basi itakudhuru ila mimi na muamini Mungu tu"
Katika safari yake ya Maisha Nuhu Mziwanda anasema hataweza kusahau kamwe siku aliyosafiri na kwenda nje ya nchi halafu akaachwa kwenye treni na wenyeji wake anadai hiyo siku katika maisha yake haitakuja kusaulika kirahisi,na kwa kumalizia aliweza kuweka wazi kuwa anatarajia kuja kufunga ndoa na Shilole na kuoana naye kama Mume na Mke kwa sababu anamiini kuwa wanapenda na ndiyo maana bado wapo pamoja sasa kwa mwaka wa pili katika mahusiano yake.

Nilipewa Hirizi Nikaimeza, Nilitaka Nikitongoza Wanawake Nisikataliwe. Hali imekuwa Mbaya Sasa, Dada Yangu wa Damu Ananitaka Sasa

$
0
0

Natumaini mko poa,nilipokuwa kijana na balehe nilikuwa napenda sana wasichana, yaani nilikuwa natamani sana wanawake wazuri wote wawe wangu, siku mmoja niliposafiri kwenda kijijini kwetu, nikakutana na vijana wa kule kijijini tulikuwa tunapiga story kuhusu mambo ya wasichana, ndipo tukafikia hizo story za kutumia madawa kuwavutia wanawake ndipo kijana mmoja akaniambia babu yake ana dawa nzuri sana ya hizo mambo.

Kwa vile kipindi kile nilikuwa napenda sana wasichana nilimwambia anipeleke kwa babu yake nikachukue hiyo dawa, nilipofika kule nikamwambia yule babu shida yangu ya kupata dawa ya mvuto kwa wasichana, yule babu akaniambia ana dawa mbili ya kuoga na ya hirizi nichague ipi, nikachagua ya hirizi, akaniambia natakiwa nimeze hiyo hirizi ndogo na akanipa na dawa ya maji ninywe ikiwa imechanganywa na damu sijui ni ya mnyama gani.

Baada ya kumeza hirizi na kunywa ile dawa ya maji, yule babu akaniambia kuanzia siku hiyo hakuna mwanamke atakaye nikataa nikimtongoza. Sasa imepita miaka kumi na moja, sijawahi kukataliwa na mwanamke yoyote niliyemtongoza na nimeshakula pesa za wanawake wengi.

Sijawahi kumuomba hela mwanamke akaninyima labda asiwe nayo. Sasa hivi juzi kati, dada yangu nae ameanza kunitongoza anadai anavutiwa na mimi kimapenzi, anasema amevumilia sana ameshindwa imebidi aniambie, najaribu kumuepuka lakini wapi.

Jamani hii dawa inanitesa sana, najuta kuitumia. Imenifikisha pabaya.

Naombeni ushauri wenu.

Mchungaji Mwingira wa Kanisa EFATHA Atakiwa Kupima DNA ni Baada ya Madai ya Kumpa Mke wa Mtu Mimba

$
0
0
Mahakama Kuu ya Tanzania imeamuru Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha Ministry, apimwe DNA kufuatia madai ya kumpa mimba mke wa mtu. 

-Alimpa mimba mwanamke aitwaye Philiss Nyimbi na kuzaa mtoto aliyeitwa Daudi Mwingira.

Beyonce Shares Sexy Bikini Photos

$
0
0

Beyonce is on a roll as she just shared stunning photos rocking a sexy one-piece on her website..Ejoy


Just incase you forgot! Pregnant Kim K shares sexy throwback bikini photos

$
0
0

Sometimes, pregnant women love to reminisce about their perfect pre-baby bump bodies .Kim is no different.The reality star has been sharing sexy bikini pics taken in the Dominican Republic in 2012..

Fine woman!


Viewing all 104809 articles
Browse latest View live


Latest Images