Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Message From Juma Mwapachu To UKAWA and Lowassa Supporters.

$
0
0
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.

Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.

We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.

CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.

Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.

He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.

On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country

Huyu Dada Anajiita Jack Wolper Ameweza Sana Kwenye Hizi Kampeni

$
0
0
Yaani huwezi kumfananisha na activist yeyote. Yaani ukichunguza post zote za siasa alizopost Insta utakubaliana na mimi kwamba ameonesha ubunifu wa hali ya juu na weledi wa kumnadi Lowasa na CHADEMA. Hata yeye peke yake kwa quality ya post zake ni zaidi ya akina Wema, Aunt na wengineo ukiwajumlisha wa kambi ya Magufuli. Yaani japo nlikua simjui ni nani ila kupitia post zake nimeona ni mdada anaejielewa kiasi kushinda hao celebrities wengine. Na hata ubongo wake utakuwa na IQ kushinda hao wengine...

Nyinyi wenzangu mlioko insta sijui mmeona vip ukiweka uchama pembeni.

Kwa hiyo huyu Wolper mi nampa alama A na moja kwa moja namtunuku degree ya heshima " HONORIS CAUSA FIRST CLASS"

Family Demands Justice For Driver Killed by His Boss For Causing Him About Sh 400, 000) Loss That He Paid as Fine For Overloading.

$
0
0
Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam are holding city businessman Hussein Jeta for shooting to death a driver of one of his trucks allegedly for causing him $200 (about Sh 400, 000) loss that he paid as fine for overloading.

 According to the deceased’s brother-in-law Samwel Mwakalobo, Mr Jeta who owns Tripple A Company shot David Kalangula, 34, twice after he accused him of neglect violating traffic rules that caused the police to fine him.

 “Mr Kalangula was driving from the Democratic Republic of Congo to Dar es Salaam and when he reached at a weigh bridges in DRC, he was fined $200 for overloading,” Mr Mwakalobo told The Citizen.

 Unaware of what will turn out to be his tragic fate, Mr Kalangula obeyed the law and paid the amount.

 The victim arrived in Dar es Salaam on Saturday and later on Tuesday around 6pm went to meet his boss Jeta at the company’s Mbagala KTM offices to give him a feedback of his trip to DRC.

 The in-law said after explaining to his boss on what he encountered during his trip, his boss in collaboration with three other people started beating him mercilessly before he draw a gun a shoot him to death.

 “Fellow drivers who were around when the incident happened informed me that some fellow drivers and a watchman held his hand tightly to allow Mr Jeta to attack him,” Mr Mwakalobo narrated.

He said Kalangula tried unsuccessful to escape beating before his boss finally decided to shoot him twice on his shoulder and stomach.

 “From the account of fellow employees who were there there is no way Mr Jeta said can claim the murder was not pre meditated…I don’t know how he can escape liability,” he noted.

 Mr Mwakalobo told the Citizen that other drivers told him that Mr Jeta had a record of mistreating his workers by beating them up and drag them to police.

 One of the drivers who talked to The Citizen on condition of anonymity said Mr Jet has in many incidents beaten and threaten to kill his employees, and called for police intervention.

 Mr Mwakalobo said his family has received the new of the death of their loved one with shock and was demanding justice

The body of the deceased who is survived by a widow Oliver Donatus and three children will be transported to his Mbarali town in Mbeya after postmortem.

“We are preparing to take our body currently preserved at Muhimbili National Hospital (MNH) to his Kibamba Shule home where the last respects would be paid before we travelled to Mbeya for burial,” he explained.    

The accused, Mr Jeta, who was arrested yesterday around 9pm near his office in Mbagala, is remanded at Chang’ombe police station, Temeke Regional Police Commander, Andrew Satta, confirmed.

“Investigations into the matter were still going on and the accused will be taken to court anytime we are done with preliminary investigations, the Temeke police boss said on telephone interview.

The transport services in the Dar es Salaam-Morogoro high way came to a standstill for seven hours yesterday after over drivers abandoned over 80 trucks at Misugusugu in Kibaha, Coast regiona in protest of the death of their colleague.

 The drivers said that allegation of Mr Jeta that Kalangula stole 300 litres of oil from his tanker was not the truth.

It took leaders of the association of truck drivers UWAMATA, the police and Coast regional police commander to temporarily end the strike.

They agreed that all truck belonging to Triple A should not be allowed to leave until after authorities deal with Mr Jeta within one week.

Source: Citizen

Lowassa: Kama nikishindwa Urais nina ng'ombe nitaenda kuendelea na maisha yangu kijijini

$
0
0
Ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Mtangazaji wa BBC Zuhura Yunus katika kipindi cha Dira ya Dunia usiku huu. " nikishindwa Urais nina ng'ombe nitaenda kuendelea na maisha yangu kijijini.

Mabeste Adai Hawezi Kujuta Kujichora Tattoo ya Jina la Mpenzi Wake

$
0
0
Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana.

Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake.

“Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo kwenye maisha yangu,” alisema. “Tayari tupo na mtoto na ndio ni kitu ambacho kitatuunganisha.

Kwahiyo yeye ni part ya maisha yangu. Ndio maana nikamchora sio kuna siku moja nitamsahau. Mimi nimechora kwa ridhaa yangu na yeye kachora kwa ridhaa yake na yote tumefanya kwa sababu ya maumivu tuliyopitia kwenye maisha yangu,” aliongeza Mabeste.

Uliokuwa uongozi wa Young Dee watoa ofa ya video moja kwa kundi alilojitoa la Mtu Chee

$
0
0
Baada ya uongozi wa Million Dollar Boys (MDB) uliokuwa ukimsimamia Young Dee kusitisha kufanya kazi na rapper huyo, CEO wa kampuni hiyo na studio za Authentic, Millian ametoa ofa ya video kwa kundi la Mtu Chee ambalo Young Dee pia amejitoa.
mtu chee
Kundi la Mtu Chee lililoanzishwa na rappers Stamina, Country Boy na Young Dee, leo wameachia single mpya bila Young Dee huku wakiwa wamemwongeza Young Killer kwenye single hiyo.
Young Dee alikaririwa hivi karibuni akidai kuwa uongozi wake (MDB) ulimzuia kuendelea kuwa member wa kundi hilo.
Millian amethibitisha kutohusika katika maamuzi ya Young Dee kujiondoa Mtu Chee, kwa kujitolea kuwapa ofa ya video ya wimbo mmoja kundi hilo.
Kupitia post ya Instagram ya Country Boy, Millian alicomment kwa kuandika;
“Natoa offa ya kuwafanyia music video yenu moja bure wanangu. Dee farasi sana alivyosema Eti management yake imemzuia kufanya Kazi Na nyie @countryboytz @youngkillermsodoki @staminashorwebwenzi”
Country boy alijibu;
“thanx bro tunapokea na tunajua umuhimu wako kaka mkubwa Asante tupo tayari”
maxi na mtu chee
Source:Bongo5

Dr. Magufuli Ashindwa Kuhutubia Baada ya Kuzomewa Ubungo

$
0
0
Angalia Video Hapa Chini ujionee...Hii imetokea leo hapa Dar Maeneo ya Ubungo tena zikiwa zimebakia siku 3 tu ifike siku ya Uchaguzi 

  
Source:Jamii Forums

Lowasa Ajikanyaga kanyaga Leo Alipokua Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC Swahili

$
0
0
Siasa zetu za hapa kwetu ambazo wakati mwingine wanasiasa wanawaandaa waandishi wa habari ili wawaulize maswali yakuwapendelea leo imekua tofauti baada ya mh Lowasa kukutana na maswali ya BBC na Kuyajibu juu juu bila kuingia kwa undani zaidi:

BBC:Mh Lowasa unasema kwamba utatoa elimu bure kuanzia chini mpaka chuo kikuu hizi pesa zitapatikana vp?
Jibu:Pesa zipo nyingi tu kwenye gesi,tuna madini....!
BBC:Lakini ulishakua waziri mkuu vp hili lilishindikanaje ukiwa waziri mkuu?
Jibu:Tulijenga shule za kata nyingi sana.
BBC:Lakini elimu haikua bure mh Lowasa?
Jibu:Nadhani unanionea.
mmmmmh!
Kesho atahojiwa Magufuli ndipo watu watatofautisha hawa wawili.
Kimsingi Lowasa ka fail kukutea hoja zake na jibu ni raisi tu kwamba hizi ni ahadi zisizotekelezeka ndio maana anashindwa kujieleza sawasawa.


MAGAZETI Magazeti ya Tanzania leo October 22, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews

$
0
0
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Octoba 22, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko hapa
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

VIDEO: Mahojiano Ya BBC Na Mgombea Urais Wa UKAWA, Mh. Edward Ngoyai Lowassa - Oktoba 21, 2015

$
0
0
Zuhura Yunus alimhoji Lowassa akiwa nyumbani kwake Monduli, Arusha na kwanza akataka maelezo zaidi kuhusu kipaumbele chake cha elimu.

Mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo...

Edward Lowassa: Watanzania wengi sana hawapati elimu, hawapati elimu inayopasa, elimu bora. Unajua dunia ya sasa imebadilika. Dunia ni Teknolojia. Ajira za dunia huzipati kama huna elimu inayopasa. Na sisi elimu tunayotoa kwa kweli hatuwezi ku-compete katika dunia ya leo.

Zuhura Yunus: Lakini Mhe. Suala ni hilo la bure. Kwa sababu tayari tunajua walimu wamekuwa wakilalamika sana mishahara yenyewe ni midogo. Hizo fedha zitatoka wapi, za mpaka watu waende bure?!

Edward Lowassa: Mbona wanazoendeshea mashangingi zinatoka wapi? Kuna mashangingi makubwa sana ya Milioni 230 mtu mmoja. Utakosa hela za kugawa kwa ajili ya wanafunzi? Au kwa mfano, pesa za gesi, tuna gesi nyingi tu kutoka kusini sasa hivi.

Zuhura Yunus: Kwahiyo nahisi tukitegemea gesi kwa sasa haitokuwa sawa. Kuna namna nyingine?

Edward Lowassa: Kwanza kwamba gesi haitokuwa sawa si kweli. Ghana walikuwa na mgogoro kama hivi hivi. Lakini wakaruhusiwa kukopa Gas Reserve. Unakopa Gas Reserve kwamba itakapofika mwaka fulani nita.....kiasi fulani, nitawalipeni kodi lenu. Ingawa wanasema mpaka 2020, tunaweza kuanza kutumia kwa kukopa.... ... kuwekeza katika miundo mbinu na rasilimali zinazostahili.

Zuhura Yunus: Kitu gani kimefanya mpaka sasa hivi isiwezekane (elimu) kuwa bure? Maana'ke unasema inawezekana lakini kwanini mpk sasa?

Edward Lowassa: Waulize walionitangulia.

Zuhura Yunus: Mheshimiwa, wewe umekuwa, tukizungumzia suala hilo la waliokutangulia, umekuwa katika chama cha CCM kwa takribani miaka 35, kwahiyo ulikuwa katika serikali hiyo, bila shaka ulikuwa na uwezo wa kutekeleza hayo ya elimu bure, lakini.....

Edward Lowassa: Ukitaka kutekeleza ni yule mwenye mamlaka. Ama ni waziri, ama ni waziri mkuu ama ni rais. Lakini vilevile, nilipokuwa waziri mkuu nimesimamia elimu. Tulijenga shule za sekondari kwenye kila kata ya nchi hii.

Zuhura Yunus: Hilo ni jambo jema wote kupata elimu lakini si ya bure. Na ambapo ulikuwa katika nafasi ya Uwaziri Mkuu ambayo ulikuwa na uwezo wa kupendekeza hilo la elimu bure..

Edward Lowassa: 
Mimi sioni kwanini unaugua habari ya bure! Inawezekana. Hivi huko Ulaya wanatoza shule kodi?

Zuhura Yunus: Sikatai mheshimiwa kwamba inawezekana, lakini nani atatekeleza? Kwa sababu kila mtu anaahidi, kila mtu anasema, lakini watekelezaji..

Edward Lowassa: Watanzania wanipe Mandate tarehe 25 Oktoba utaona nitakavyoitekeleza.

Zuhura Yunus: Lakini ulikuwa na nafasi hiyo zaidi.. Umechukua nafasi nyingi za uwaziri mheshimiwa, mpaka Waziri Mkuu si jambo dogo hilo..

Edward Lowassa: Nisikilize basi. Ndio maana naomba nafasi hiyo sasa. Tarehe 25 Oktoba wakinipa Mandate hiiyo utaona utekelezaji wake. Na mimi nakuahidi Wallahi itakuwa maajabu!

Zuhura Yunus: Kwahiyo unatakiwa uwe rais ndio uweze kutekeleza hayo, sio? Huwezi kuwa waziri tu, waziri mkuu, mbunge..

Edward Lowassa: Kuna mambo ambayo waziri huna mamlaka nayo.

Zuhura Yunus: Kwahiyo uliwahi kushauri suala hilo likakataliwa?

Edward Lowassa: Nina hiyari ya kukataa na kukubali.. Kusema kwamba nilishauri au sijashauri siwezi kusema!

Zuhura Yunus: Ufisadi: Una mkakati gani wa kupambana nao? Manake ufisadi huo uko katika ngazi ya juu mpk ya chini

Edward Lowassa: Hilo ni swali gumu, refu na lingetaka mjadala wake peke yake. Mimi nimetafakari, kwa kuanzia tu, tuanze na One stop center. Ambako huko huduma za serikali zinapatikana. Kwahiyo nikija, dirisha hili linapata hiki, dirisha hili linapata kile, nikiondoka nimemaliza kazi. Tupunguze kidogo urasimu.

Zuhura Yunus: Na katika ngazi ya juu? Hizo ni katika ngazi za chini lakini kuna viongozi...

Edward Lowassa: Ngazi ya juu ningetaka kulitafakari kidogo. Wametoa taarifa juzi ya PPA ya hali ya Ufisadi ulivyo nchini na kuorodhesha wizara zile ambazo zinaongoza.

Zuhurua Yunus: Unajinadi Mabadiliko. Ni mabadiliko gani hasa?

Edward Lowassa: 
Baada ya miaka 50 ya kujitawala, tunataka mabadiliko katika nchi yetu.

Zuhura Yunus: 
Mabadiliko hayo unahisi kwa upande wa UKAWA ndio yanaweza yakafanyika?

Edward Lowassa
: Sio nahisi tu, naamini hivyo.

Zuhura Yunus: Kuna tofauti gani ambayo unahisi kule ulishindwa kufanya utaweza kufanya wakati ukiwa UKAWA?

Edward Lowassa: Miaka ya nyuma kabisa Mwalimu amesema, akitambua kwamba ndani ya CCM huwezi kupata mabadiliko, nje ya CCM ndio unaweza kubadilika kwa sababu ni mfumo. Nahitaji kubadilisha mfumo mnzima.

Zuhura Yunus: Lakini Mheshimiwa ukisema sera za CCM.. Una kama Miezi kadhaa tu ulikuwa humo humo. Na bilashaka kama usingekatwa ungebaki na mfumo na sera hizo hizo za CCM, si ndio?

Edward Lowassa: Unanionea! Mimi nimekuwa mbunge wa kawaida toka miaka 8 iliyopita, sikuwa na madaraka yoyote katika nchi, nilikuwa mjumbe wa vikao lakini sikuwa na madaraka katika nchi.

Zuhura Yunus: 
Baadhi ya wapinzani wanasema kutokana na nafasi hii kubwa ya urais, wamekuwa wakizungumzia afya yako. Wewe unawaambiaje?

Edward Lowassa: 
Afya yangu nzuri kabisa!

Zuhura Yunus: 
Kwa mfano, ikatokea hukufanikiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nini mipango yako?

Edward Lowassa:
 Nitakuja kuchunga Ng'ombe. Nina Ng'ombe, nitakaa na Ng'ombe wangu kijijini na kuendelea na maisha..

Picha 16 Za MAFURIKO Ya Lowassa Huko Tanga- Jana Oktoba 21

$
0
0
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akipunga mkono wakati akiwasili kwenye Viwanja vya Indian Ocean katika mkutano wa kampeni mjini Tanga jana Jumatano 21/10/2015
















CHADEMA Wafichua Mbinu Zilizopangwa Kuvuruga Uchaguzi wa Jumapili hi

$
0
0
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi (kulia) akifafanua jambo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Prof. Abdallah Safari
**
ZIKIWA zimebaki siku tatu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimefichua mikakati iliyopangwa kuvuruga uchaguzi huo.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi amebainisha mipango ‘ovu’ inayoratibiwa ili kuvuruga uchaguzi mkuu huku mipango hii ikishirikisha baadhi ya makampuni ya simu za mkononi, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na wakurugenzi wa uchaguzi katika majimbo mbalimbali.

Munisi ametaja baadhi ya mipango hiyo kama ifuatavyo, huku akitahadharisha watakaoshiriki mipango hiyo kuwa wataliingiza taifa katika machafuko bila sababu ya msingi.

Mpango wa kukata mawasiliano ya simu na data; upo mpango wa kuzuia mawasiliano ya simu za mkononi kwa kusitisha huduma ya kupiga na kupokea simu, kuzuia ujumbe mfupi wa maneno (sms), kuzuiwa kwa intaneti (data) na hivyo mawasiliano kuwa magumu, hasa wakati wa matokeo kubandikwa vituoni.

Mpango huu unatajwa kuwa na lengo la kukwamisha watu kuwasiliana na kupeana matokeo yatakayokuwa yakibandikwa vituoni ili kujumlisha na kupata matokeo ya jumla ya nafasi za udiwani, ubunge na urais. Utekelezaji wa mpango huu utashirikisha baadhi ya makampuni ya simu ambayo hakutaka kuyataja.

“Tunaziomba kampuni za simu zenye mpango huo, kuacha mara moja kwani zitajiongeza katika orodha ya watuhumiwa watakaoenda ‘The Hague’ mara baada ya uchaguzi kumalizika,” alieleza Munisi bila kuyataja makampuni hayo kwa kuwa bado chama hicho kinakusanya vielelezo.

Mpango wa kukata umeme maeneo yenye nguvu kubwa ya upinzani; maeneo ambayo vyama vya upinzani vina nguvu kubwa umeme utakatwa baada ya giza kuingia ili kuhakikisha mchakato wa kuhesabu na kujumlisha matokeo unaingia dosari na hata vurugu kutokea ili katika taharuki hiyo wizi wa kura uweze kufanyika.

Baadhi ya wakurugenzi wa uchaguzi kutoruhusu mawakala wa akiba wa upinzani kuapishwa; wakati uapishaji wa mawakala ukiendelea katika maeneo mbalimbali nchini, baadhi ya maeneo vyama vya upinzani vinazuiwa kuapisha mawakala wa akiba na wakurugenzi kutaka mawakala waape idadi sawa na idadi ya vituo vya kupigia kura.

Mkakati huu unalenga kuvifanya vyama vya upinzani vikose mawakala wa akiba iwapo itatokea dharura miongoni mwa wale walioapishwa, dharura zinazoweza kujitokeza ni kuumwa, kusafiri nje ya vituo, au kutekwa kabla ya kufika katika vituo vyao.

Iwapo mawakala hao watakosekana kwa dharura, baadhi ya vituo watabaki mawakala wa CCM pekee kwani hakutakuwa na mawakala wa akiba wa kuziba nafasi zao kwa kuwa ni lazima mawakala wawe wamekula viapo vya kisheria ili kupata uhalali wa kufanya kazi hiyo.

Reginald Munisi ameleza kuwa Chadema na Ukawa kiujumla wamejipanga vyema kuzikabili mbinu hizo chafu huku akiwaonya wale watakaoshiriki mipango hiyo kuachana nayo mara moja kwani tayari imefahamika na wanaweza kukumbana na nguvu ya Umma.

Madai ya Kumuua Mwigizaji Kanumba LULU MICHAEL Mahakani Tena...

$
0
0
Stori: Na Brighton Masalu
MAMBO yameiva! Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ (20) yu mbioni kupanda tena Kizimba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kwa ishu yake ile ya madai ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii wa filamu nchini, marehemu , Amani lina ripoti mkononi.
Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka ndani ya mahakama hiyo jijini Dar, kesi hiyo ilisimama kwa muda wa mwaka mmoja na zaidi kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wa mahakama, lakini sasa matatizo hayo yameisha hivyo kesi hiyo itaanza kurindima siku yoyote kuanzia sasa.
NI BAADA YA MWAKA MMOJA NA MIEZI NANE
Tangu kusimama kwa kesi hiyo, mwaka 2013, ilitarajiwa kuanza tena kusikilizwa Februari 17, 2014 lakini ikakwama kutokana na matatizo mbalimbali ya kimahakama.
ITAANZA UPYA
Kwa mujibu wa mtoa habari wetu, mwendesha mashtaka wa serikali atamsomea mashtaka upya Lulu lakini neno la msingi kwenye mashtaka hayo ni; mnamo Aprili 7, 2012 anadaiwa kumuua bila kukusudia, Steven Kanumba.
“Baada ya kuulizwa, Lulu akiwa kama Elizabeth Michael atajibu anachotaka kutoka moyoni kulingana na ukweli anaoujua kisha jaji atampangia tarehe ya kurudi tena,” alisema mtoa habari huyo.
MAHAKAMA ITATUMIA MWONGOZO WA JAJI MKUU
Tofauti na madai ya awali kwamba, kesi hiyo ingeendeshwa kwa siku 730, habari za uhakika zinasema kuwa, kesi itakapoanza safari hii haitasimamishwa mpaka siku ya hukumu. Kwa hiyo itategemea na kasi ya hakimu husika.
“Lakini pia, kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman anayoitoa kila Siku ya Sheria Duniani (Februari 3) kwamba kesi zote za jinai zisipitishe miaka miwili, itazingatiwa,” kilisema chanzo.
Kikaongeza: “Lakini nadhani ikianza safari mwaka huu, naamini mpaka mwaka 2017 itakuwa imemalizika kama sheria ya miaka miwili itazingatiwa.”

Marehemu  Steven Charles Kanumba ‘The Great’ enzi za uhai wake.

CHENI BADO MDHAMINI

Chanzo hicho kilisema kuwa, bado mcheza sinema maarufu Bongo, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ anaendelea kutambulika na mahakama kama mdhamini wa Lulu. Kwa hiyo, anatakiwa kuendelea na jukumu la kumlinda Lulu ili asiruke dhamana (asitoroke, asikiuke masharti ya dhamana).
MASHAHIDI WAJIPANGE
Chanzo kilisema baadhi ya mashahidi muhimu nao watapewa taarifa ya kimaandishi ili tarahe ya kesi wafike mahakamani.
Mashahidi hao ni Dokta Kidume ambaye alikuwa akimtibu Kanumba pia ndiye alikuwa mtu wa pili kufika kwenye chumba cha marehemu mara baada ya kuanguka na kupoteza maisha.
Seth Bosco naye anatakiwa kujiandaa kupokea wito huo kwani yeye siku ya tukio alikuwa nyumba moja na marehemu (vyumba tofauti). Yeye alimshuhudia Kanumba akiwa katika hali mbaya baada ya kutoelewana na Lulu na kukimbia kwenda kumwita Dokta Kidume.
WAKILI WA LULU AZUNGUMZA
Peter Kibatala ni wakili maarufu jijini Dar. Yeye ndiye mwanasheria katika kesi ya Lulu. Amani lilimtafuta ili kujua hatima ya kesi hiyo na madai kwamba iko njiani kuanza upya. Alisema:
“Aaa! Sijajua. Lakini kwa kawaida mahakama itakapoona mambo yameanza, kesi inatakiwa kuanza kusikilizwa itatakiwa kutoa taarifa siku sita kabla.”
AMZUNGUMZIA LULU
Wakili Kibatala alikwenda mbele zaidi kwa kusema kuwa, mteja wake (Lulu) amekuwa akimpigia simu mara kwa mara akitaka kujua tarehe ya kesi yake kuanza tena.
“Hata Lulu mwenyewe amekuwa akinipigia simu kuulizia ni tarehe ngapi kesi yake itaanza tena. Nitapewa taarifa siku sita kabla,” alisema mwanasheria huyo.
LULU PRESHA INAPANDA
Naye rafiki wa karibu wa Lulu, akizungumza na gazeti hili huku akiomba hifadhi ya jina lake, alisema:
“Ninyi mnaandika Lulu siku hizi anakunywa sana pombe. Mnajua hayuko sawasawa. Ile kesi yake ya kumuua (bila kukusudia) Kanumba inamtesa sana kichwani.
“Ukimya wa kesi unamfanya ashindwe kujua hatima yake. Kila akikumbuka anampigia simu wakili wake. Mbaya zaidi kuna watu wanamwambia kesi inaweza kukaa kimya kwa muda mrefu halafu siku moja ikalipuka na kuwa nzito. Kwa hiyo wakati mwingine mjue hilo.”
WASOMAJI WETU
Baadhi ya wasomaji wa Magazeti Pendwa ya Global Publishers  wamekuwa wakipiga simu chumba cha habari na kuulizia kama kesi ile ilifutwa kinyemela au kihalali.
“Jamani Global, mimi shida yangu ni kuulizia kuhusu ile kesi ya Lulu na Kanumba. Hivi bado ipo au ilishafutwa kinyemela. Maana si mnajua watu maarufu tena huenda kuna kubebana,” aliwahi kuuliza msomaji mmoja.
LULU ASAKWAJumatatu na Jumanne iliyopita, simu ya Lulu ilipopigwa iliita muda mrefu bila kupokelewa. Hata hivyo, baadhi ya watu wake wa karibu walisema Lulu huwa hapokei simu ambayo jina halipo kwenye simu yake.
Source:GPL

VOA, Kipindi cha Straight Talk Africa, Lowassa will win

$
0
0
Lowassa can win election, katika kipindi cha Straight Africa mgeni kwenye kipindi amesema kuwa Edward Lowassa ana uwezekano mkubwa wa kushinda kwa sababu ana wafuasi wengi ambao ni vijana na ndio wapiga kura.

Hatimaye Mama Maria Nyerere Ampigia Kampeni Magufuli

$
0
0
CCM tayari wameshatengeneza video ya mama Maria Nyerere akiwaomba akina mama wotewampigie kura Magufuli. Video hii iko inasambaa Whatsup.

Kaongea mengi kuwa ni mchapa kazi na Mwadilifu. Swali langu kwa bibi angu mama Maria, ikiwa CCM itashindwa, heshima yote tunayokupa sisi wananchi itakuwaje? Maana yake wote watakaoongoza rohoni mwao watakuwa wanajua kabisa hukuwapenda ila basi.

Ni bora mama ungebaki neutral. Na ungejikita kutuombea tuchaguane kwa Amani ili uendeleee kuwa Mama wa Taifa.

Ila tutasamehe tukiamini imekulazimu, maana hakuna jinsi

UKAWA Watishia Kutoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Jumapili

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinachoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimetishia kutoshiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi amesema wanadhamilia kutoshiriki katika uchaguzi huo kutokana Tume yaTaifa ya Uchaguzi (NEC) kutokuwa na msimamo katika kazi zake.

Anasema zikiwa zimebaki siku tatu wananchi kuelekea kwenye uchaguzi mkuu lakini NEC hadi sasa haina msimamo na kuonekana kuyapuuza madai mengi yenye hoja yanayotolewa na Ukawa.

Akiyataja baadhi ya madai ambayo NEC imeyapuuza ni kutotoa ushirikiano wa kufafanua juu ya upigaji kura kwa watu ambao hawakuona majina yao kwenye daftari la kupiga kura na kutotoa sababu ya utofauti wa namba za kupigia kura kutoka kwenye daftari na kwenye kitambulisho.

Munisi ameongeza kuwa, NEC wamepuuza kutoa ufafanuzi juu ya picha ambazo haziitajiki katika upigaji kura, kutoa ufafanuzi juu ya listi mpya ya wapiga kura iliyosemwa na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva, kwamba kutakuwa na watu wa ziada ambao hawapo kwenye daftari, Je, wanatoka wapi na wapo wangapi? Amehoji.

Kwa mtindo huu ambao NEC inaenda nao wa kukubali watu wasiokuwa kwenye daftari wapige kura na hata wasiokuwepo kwenye orodha wapige kura mbona hawakutushirikisha sisi wadau wa uchaguzi? Inaweza kupelekea uvunjifu wa amani. Hilo ndio bao la mkono ambalo lilisemwa na hatutaki litokee,” anasema Munisi.

Munisi amesema sababu nyingine kubwa ambayo inaweza kupelekea wasishiriki kwenye uchaguzi ni kuhusu madudu yaliyopo ndani ya daftari la wapiga kura, ambapo hadi sasa NEC haijatoa jibu linaloeleweka juu ya makosa ambayo yalionekana kwenye daftari.

Sababu nyingine ya kutaka kutoshiriki amesema, “Hatuna imani na ujumlishaji wa matokeo ya kura kwa njia ya mashine zao za kujumlisha kwani zinamapungufu mengi. Tuliomba tume itumie njia ya kawaida kwa njia ya kalukuleta ili kila mtu alidhike lakini walidai tunawaingilia kazi zake. Sisi hatutakubali,” amesema Munisi.

Kwa mujibu wa Munisi amesema, hadi sasa bado wanaendelea na uchunguzi kwenye madaftari ya wapiga kura ambapo amesema wameshakagua katika mikoa tisa na kubaini matatizo mengi zaidi yakiwemo ya picha hewa, picha za watu wawili na majina ya kiume kwenye picha za kike.

“Hapo hatujafanya katika majimbo yote tulifanya baadhi. Bado tunaendelea na uchunguzi hadi kesho, tukiona makosa yanazidi kiwango cha kufanya uchaguzi usiende vizuri basi tunaiomba NEC ipeleke uchaguzi mbele,” amesema Munisi.

Aidha, ameitaka NEC kutoa orodha maalumu ya vituo vya kupigia kura kwani hadi sasa Ukawa bado hawajajua idadi kamili ya vituo hivyo wanashindwa kuwaapisha mawakala kwa idadi ya vituo kubadilishwa kila siku.

Katibu Mwenezi wa CCM Nape Nnauye Apata Ajali Mbaya ya Gari

$
0
0
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amepata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam.
Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi  alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.
Katika gari hilo, Nape alikuwa peke yake na ndiye alikuwa akiendesha gari hilo ambapo amepata majeraha madogo  ila anaendelea vizuri.
Akizungumza na mtandao huu, Nape amesema: “Namshukuru Mungu nimetoka salama na nawaomba wananchi wasiwe na hofu japo ajali ilikuwa mbaya maana gari lilipinduka mara kadhaa, nimepata majeraha madogomadogo na michubuko ila ni mzima.
Gari limeharibika vibaya ila ninachoshukuru nilikuwa nimefunga mkanda na ‘air bag’ nazo zimenisaidia.”
Kabla ya ajali hiyo, Nape alikuwa jijini Dar es Salaam ambapo aliungana na mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Pombe Magufuli aliyekuwa na mikutano kadhaa ya kampeni katika jiji la Dar na baada ya shughuli hiyo alikuwa akirejea Lindi kuendelea na kampeni kwenye jimbo lake la Mtama.

Source:GPL

Muonekano wa Gari ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye, Toyota Land Cruiser Baada ya Kupata Ajali Mbaya Jana Usiku

$
0
0
 Muonekano wa gari ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye, Toyota Land Cruiser baada ya kupata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam.

Magufuli Asimamisha Jiji La Dar.......Asema Tanzania Inahitaji Rais Mkali. CHADEMA Wampokea Kwa Ishara Ya Vidole Viwili Juu

$
0
0
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema nchi inahitaji rais mkali ili mambo yaende huku akishangazwa na mmoja wa vigogo kufungua kesi kupinga mradi wa maji.

Amesema watu wa aina hiyo watakiona na anamuomba Mungu kwa siki tatu zilizobaki apewe urais kwa vile hao ndiyo ataanza kushughulika nao.

Kauli hiyo aliitoa   Dar es Salaam jana kwa nyakati tofauti katika mikutano ya kampeni iliyofanyika   Kigamboni, Mbagala, Temeke, Ubungo na Kinondoni.

Alisema hayuko tayari kuona watu wanaendelea  kupoteza maisha kwa   kipindupindi huku kigogo huyo akikimbilia mahakamani.

Kitendo cha kigogo huyo  kufunga njia ya maji kwa kujenga bomba la majitaka kimesababisha wananchi wa   Dar es Salaam  kupoteza maisha kwa kuugua kipindupindu, alisema.

Ninajua hapa Temeke kuna mtu amekimbilia mahakamani na kukwamisha mradi wa maji lakini mahakama haitoi haki kwa wakati.

“Zimebaki siku nne ninichague kuwa rais, mtu anachelewesha mradi wa maji kwa kwenda mahakamani ngoja nipate urais. Amejenga juu ya njia ya maji watu wanakufa kwa kipindupindu haki ya Mungu ngoja nipate urais.

“…tunahitaji rais mkali mambo yaende kesi ni lazima iamuriwe kama Serikali tumeshindwa tukate rufaa. Tena huyo mtu aliyefungua kesi ana udugu na mmoja wa wagombea wa Ukawa,” alisema Dk. Magufuli.

Mgombea huyo wa urais alisema  atakapochaguliwa Jumapili atakwenda kuanza na hilo.

“Haiwezekani, haiwezekani, haiwezekani mradi wa maji una manufaa wao wanakunywa maji ya Kilimanjaro wananchi wanateseka. Lakini watu wachache kwa tamaa zao na madaraka yao wanakwamisha.

Wanasema mimi ni mkali, hapana nina hofu ya Mungu, tunaomba kesi hii iamuriwe kama tumeshindwa tukate rufaa,” alisema Dk. Magufuli

Mgombea huyo wa urais alisema yeye ni mtu wa uamuzi makini anayekuja kuijenga Tanzania mpya na yenye matumaini kwa watanzania wote.

Alisema anashangazwa na watu wanaohangaika na uamuzi mgumu kwani wanaofanya hivyo ni majambazi, wezi na mafisadi pekee.

Dk. Magufuli, alisema ataongoza taifa kwa umakini kwa kuleta maendeleo ya kweli.

Alisema anashangazwa na watu wanaopita na kujinasibu kwa kuleta uamuzi mgumu wakati ndiyo walioleta matatizo katika nchi na hata kusababisha kero ya umeme kila kukicha.

Watakuja wapinzani wetu na kusema eti wanakuja na uamuzi mgumu, jamani uamuzi mgumu hufanywa na majambazi, wezi na wauaji wa watu wenye albino. Inashangaza sana hawa watu msiwakubalie hata kidogo.

… hivi jana itokee upate mume au mke anayetamba kwa kuwa na uamuzi mgumu si atakunyonga kitandani. Eti atafanya uamuzi mgumu mbona hujinyongi kwa kamba?  Mimi kwangu Magufuli kazi tu,” alisema Dk. Magufuli.

Akizungumzia ujenzi wa daraja la Kigamboni, Dk. Magufuli alisema litakamilika mwezi ujao na wananchi wa eneo hilo watavuka bure ila watu wenye magari ndiyo watakaolipa ada.

Alisema yeye ni mtu anayesimamia sheria hivyo katu hawezi kuzivunja   kwa kutoa ahadi za uongo kwa lengo la kutafuta kura za watanzania.

“Daraja la Kigamboni litakamilika mapema mwezi ujao na litakapokamilika wakazi wa Kigamboni watapita bure ila wenye magari watalipia kama ilivyokuwa kwenye kivuko cha pantoni.

Kigamboni ya sasa imekuwa na maendeleo na kwa sababu mbunge wenu, Dk. Ndugulile (Faustine) ni mfuatiliaji nami nawaomba mumchague ninamuhitaji.

“Alipambana kwa ajili ya yenu na sasa ninasema hapa Rais Jakaya Kikwete amenisaidia sana kwa kuiteua Kigamboni kuwa wilaya nami kazi yangu itakuwa ni kuleta maendeleo ya kweli,” alisema.

Mgombea huyo wa urais alisema kwa mujibu wa sheria, ardhi ni mali hivyo kwa Kigamboni kujengwa mji mpya ni hatua kubwa ya maendeleo.

Dk. Magufuli aliwataka wakazi hao kuhakikisha wanasimamia haki zao ikiwamo kumiliki ardhi yao na hata kushirikiana na wawekezaji.

Ardhi ni mali na hapa Kigamboni sasa mji mpya   wakija wawekezaji kwanza wawape noti na hata mshirikiane pamoja kutokana na ardhi yenu,” alisema.

Chadema wampokea Ubungo  huku  wakimshangilia  Lowassa
Mgombea huyo wa urais wa CCM alipofika katika Kituo cha Mabasi Ubungo, alisimamishwa na wafuasi wa Ukawa  ambao  walimnyoonshea  vidole  viwili  juu  huku  wakimshangilia  Mgombea  wao  kwa  kuimba  Lowassa!!!  Lowassa!!

Baada  ya  hali  hiyo,Magufuli  aliwasalimia wafuasi  hao  wa  Ukawa  kwa  ishara  ya  salamu  zao  na  kuwaambia  kuwa  maendeleo  hayana chama.

Maendeleo hayana chama iwe Chadema, CCM, CUF na hata Ukawa mimi kwangu ni kazi tu,” alisema.....Tazama  Video  Hii

Serikali jijini Dar es Salaam Imeagiza Baa Zote Kufungwa Mkesha wa Siku ya Uchaguzi

$
0
0
Serikali jijini Dar es Salaam imeagiza baa zote zinazouza pombe mpaka asubuhi kusitisha shughuli hiyo mkesha wa siku ya uchaguzi ili kuimarisha usalama Jumapili ijayo.

Aidha, imesisitiza kwamba kila mwananchi atakayekwenda kupiga kura ahakikishe anarudi nyumbani baada ya shughuli hiyo badala ya kukaa katika vikundi kusubiri matokeo vituoni.

Agizo hilo lilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, katika ibada maalum ya kuliombea Taifa amani na mvua, iliyoendeshwa na Askofu Charles Gadi wa Kanisa la Huduma ya Good News for All Ministry, jijini Dar es Salaam jana.

Askofu Gadi katika maombi yake alisisitiza suala la amani na kumuomba Mwenyezi Mungu alete mvua ili mabwawa yanayozalisha umeme yajae maji nishati ya umeme ipatikane nchini kwa uhakika.
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images