Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live

First Photos of Female Suicide Bomber Who Blew Herself Up During Police Raid in Paris

$
0
0

Hasna Aitiboulahcen
Hasna Aitiboulahcen, was the female suicide bomber who blew herself up during the police raid in the northern Paris suburb of Saint-Denis on Wednesday.
Hasna Ait Boulahcen's brother says she had no interest in religion and never read the Koran, her friends describe her as carefree and party loving. Her brother says she had a troubled childhood and grew up in foster homes, the mastermind of the terror operation, Abdelhamid Abaaoud was her cousin. French police say they saw her head and part of her spine fly through a window when she blew herself up.



Alikiba Atolea Ufafanuzi Post ya ‘Utata’ Aliyoandika Instagram, na Ampongeza Diamond Kwa Ushindi wa AFRIMA

$
0
0
Alikiba ametolea ufafanuzi post yake ya Instagram iliyozua mjadala kwa mashabiki mbalimbali wa muziki ambao waliipokea kwa hisia tofauti.

Siku ya Jumatatu Nov.16 Muimbaji huyo wa single mpya ‘Nagharamia’ aliandika, “Asanteni sana najua mmepiga kura sana lakini nilikuja kugundua baada ya kufuatilia kuwa kuna mambo yanaendelea ya watu wanadiriki hata kupoteza pesa zao kwaajili yangu ila nawaomba fans msinielewe vibaya I will always be there for you #hapakazitu #kingkiba,post ambayo baadae aliifuta.

Kupitia kipindi cha Ala Za Roho cha Clouds Fm na Diva The Bawse, king Kiba amesema kuwa watu walimuelewa vibaya kwenye post hiyo na ndio sababu kubwa ya kuamua kuifuta,

watu walinielewa vibaya mimi nilikua nawaambia mafans wangu, sababu wao ndo wananipigia Kura mimi sikumaanisha kuhusu tuzo walinielewa vibaya” alisema Kiba.

Hata hivyo licha ya kwamba yeye hakushinda kipengele hata kimoja kati ya vinne alivyotajwa kuwania kwenye tuzo za AFRIMA 2015, lakini hakumpongeza hata msanii mmoja wa Tanzania aliyeshinda ambao ni Diamond na Vanessa Mdee. Kusuhu hilo Alikiba alisema,

Siwezi ku-post kitu kuhusu Kushinda Kwao, unajua hakuna uzalendo. watu wangapi wanafanya Vitu vizuri hawapongezwi? Mimi nafanya vingapi? Sisi sio wazalendo…Unajua watu mimi hawanijui Wanahisi kama mimi nina ringa hivi au nina wivu, ila mimi nawapenda wasanii wote pia mziki mzurialisema Alikiba.

Alipoulizwa kuhusu uhusiano wake na Diamond ukoje kwa sasa, ndipo alimpongeza Platnumz kwa ushindi wa tuzo 3.

Mimi sina tatizo na Diamond, nasikia kashida tuzo 3, nampongeza Sana sababu tumepata mtu ambaye anatutambulisha kimataifa ni Kitu poa Sana…Mimi na Diamond we are goodalimaliza Alikiba.

SHAMEFUL ACT! Bride Raises Wedding Gown to Twerk with Bare As$ [Video]

$
0
0

The bride in the video below raises her wedding gown to twerk with her bare bu*tt. Is she under the influence of alcohol? Find out. A young lady raises up her already transparent wedding gown and twerks with her n@ked b*utt during what looks like an after wedding party. The video which has gone viral shows her twerking around a pole on a platform that looks like one set up for Stripers

Wazanzibari Wanaoishi Uingereza Waandamana Wakitaka Maalim Seif Sharif Hamad Atangwe mshindi wa Kiti cha Urais

$
0
0
Wazanzibari wanaoishi nchini Uingereza jana walifanya maandamano wakidai haki ya kutangazwa ushindi wa Chama Cha Wananchi (CUF) katika uchaguzi mkuu wa Zanzibar uliofanyika Octoba 25 mwaka huu

Maandamano hayo yaliandaliwa na Jumuiya ya Zanzibar Welfare Association (ZAWA) ambapo wazanzibari hao walitoka maeneo mbali mbali katika miji yao na kukusanyika katika eneon la  Downing Street kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron na uongozi huo kukabidhi barua yao yenye malalamiko kutaka suala la Zanzibar lishughulikiwe.

Maandamano hayo yalifanyika kwa lengo la kuongeza shindikizo kwa mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuchukua hatua za haraka ya kuhakikisha Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inakamilisha kazi ya kutangaza matokeo ya uchaguzi huo.

Zanzibar  iliingia katika mkwamo wa kisiasa baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salum Jecha Octoba 28 kutangaza kuufuta uchaguzi wote kwa madai kwamba ulikumbwa na matatizo mbali mbali.

Wakati jecha akitoa tangazo la kufuta matokeo bila ya kushauriana na tume yake alikuwa tayari ameshatangaza matokeo ya kura za urais za majimbo 31 kati ya 54 ya Zanzibar pia washindi wa nafasi za uwakilishi na udiwani katika majimbo hayo walishatangazwa na walishakabidhiwa vyeti vyao.

Rashid Ali ambaye ni kiongozi wa ZAWA  alisema jana kuwa wamewasilishwa barua hiyo wakiamini kwamba suala la Zanzibar litashughulikiwa ili wananchi wa Zanzibar waweze kuendelea na maisha yao ya kawaida.

Mwakilishi wa ZAWA, Hassan Khamis alisema wameamua kupeleka barua kwenye ofisi za waziri Mkuu wakiamini suala hilo litashughulikiwa ikiwa ni pamoja na serikali ya Tanzania kuchukua hatua madhubuti na za haraka kaika kushughulikia suala hilo ambalo limewaweka wazanzibari roho juu.



Lipumba Amtahadharisha Rais Magufuli Kuhusu Dr. Shein Kuhudhiria Bungeni Leo

$
0
0
Wakati Rais John Magufuli akitarajiwa kuzindua na kulihutubia Bunge leo, ametahadharishwa kutoambatana na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kwa maelezo kuwa si rais halali wa Zanzibar kikatiba.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Profesa Ibrahim Lipumba alisema Zanzibar haina Rais, hivyo kiongozi huyo kushiriki Bunge kwa nafasi hiyo ni kuvunja Katiba ya nchi.

Profesa Lipumba aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha CUF, ameungana na msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) walioutoa mjini Dodoma juzi wakidai kuwa Dk Shein hapaswi kuingia kwenye ukumbi wa Bunge wakati Rais Magufuli atakapohutubia.

Alishauri endapo kuna ulazima wa Rais wa Zanzibar kuhudhuria, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) itangaze matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa urais wa Zanzibar na rais aliyeshinda aapishwe.

Lipumba pia amemtaka Rais Magufuli kutumia nafasi yake ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Tanzania kuishauri ZEC kurejea matokeo ya uchaguzi uliofanyika Oktoba 25 na kumtangaza mshindi.

Wazanzibari hawawezi kuruhusu uchaguzi kurudiwa,” alisema Lipumba.

Alisema anashangazwa na hatua ya Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete kuondoka madarakani na kumwachia Magufuli mgogoro wa Zanzibar. Alisema Kikwete alipaswa kuhakikisha matokeo yanatangazwa na mshindi anaapishwa.

Alisema Kikwete alipoingia madarakani alionyesha kusononeshwa na mgogoro wa Zanzibar na kuahidi kuupatia ufumbuzi wa kudumu lakini inashangaza kuona akiondoka madarakani huku kukiwa na mgogoro mkubwa.

Ninamuomba Rais Magufuli asilifumbie macho suala hili, awaeleze wenzake wa CCM waache kumuwekea vikwazo katika kipindi chake hiki cha kuliongoza Taifa,” alisema Profesa Lipumba.

Alisema kuiminya demokrasia Zanzibar ni kuwapa fursa watu wenye itikadi kali kuwashawishi Wazanzibari hasa vijana kuamini kuwa hawawezi kupata haki kwa kupitia sanduku la kura.

Alisema endapo kauli ya Wazanzibari kupitia kura zao haitaheshimiwa, wananchi wake watapoteza imani kuwa hawawezi kupata mabadiliko kwa njia ya kidemokrasia.

Hili ni jambo la hatari sana, si kwa Wazanzibari pekee, bali kwa Watanzania wote na ukanda mzima wa Afrika Mashariki…tusijenge mazingira ya kuwapa fursa watu wanaotaka mabadiliko kwa njia haramu,” alisema Lipumba.

Alisema kitendo cha CCM kukataa matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar kinaweza kuliingiza Taifa kwenye mgogoro wa kisiasa na kiusalama, Magufuli akatae kupelekwa huko,” alisema Profesa Lipumba.

Akizungumzia mtazamo wake juu ya Serikali ya Magufuli, Profesa Lipumba alisema ameanza vizuri kwa kutamka nia yake ya kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za umma kwa kupiga marufuku safari za nje.

Alisema hatua hiyo ni ishara kuwa ataweza kuwatumikia Watanzania kwa moyo.

Alimtaka Rais Magufuli kutekeleza dhamiri yake ya kupambana na ufisadi kwa kuwafungulia mashtaka na kuwafunga wote waliochota fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow.

Ni vema pia akaunda baraza dogo la mawaziri na ajiwekee vipaumbele vichache vyenye tija kwa Taifa na wananchi atakavyoweza kuvisimamia kwa karibu,” alishauri Lipumba.

High School Madness > Rotten Girls Caught On Camera Doing Stuff Well Preserved For Huddah Monroe And Vera Sidika

$
0
0
The last time I checked, secondary education was still not free. Parents cough substantial amounts to send their sons and daughters to high schools but the things some students do…


Just the other day high school students were busted smashing each other, smoking bhang and doing other unimaginable stuff in a bus.

Even before that disturbing memory could fade, another video has popped up showing high school girls reenacting scenes best seen at night clubs.

The girls are seen hauling up their skirts to expose their not so pleasing panties before they shook their bones infested butts.

Surprisingly there were also dudes present who were daggering them!

Watch the clip below:

Naibu Spika Wa Bunge, Tulia Ackson Mwansasu Jana Alizomewa na Wabunge wa UKAWA Baada Ya Kushindwa Kujibu Swali

$
0
0
Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson, amekalia kiti hicho kwa kuanza kuonja 'joto la jiwe' baada ya kushindwa kujibu swali lililomtaka aeleze muda gani aliojiunga na Chama cha Mapinzuduzi (CCM) huku akikumbana na zomea zomea kali kutoka kwa wabunge wa vyama vya upinzani.

Mtafatuku huo uliibuka ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana, wakati Dk. Tulia alipokuwa akijinadi kwa wabunge kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi wa Naibu Spika.

Nafasi hiyo ilikuwa ikiwaniwa pia na Mbunge wa Kaliua (Cuf), Magdalena Sakaya, ambaye kura 101 alizopigiwa hazikutosha kumfanya akalie kiti hicho dhidi ya Dk. Tulia aliyepata kura 250.

Hata hivyo, swali lilosababisha bunge hilo kuvurugika lilitoka kwa Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko (Chadema), ambaye alimtaka Dk. Tulia atoe ufafanuzi muda wa uanachama wake ndani ya chama hicho, na kama mtumishi wa serikali ataje siku aliyotangaza kuachia ngazi na kujiunga na CCM kwani sheria na kanuni za utumishi wa serikali inamzuia kujiunga na chama chochote cha siasa.

“Nakuomba utulieleze sisi wabunge kwa kuwa wewe ulikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kwa mujibu wa sheria inafahamika wazi kuwa mtumishi wa serikali hasa katika ngazi yako hukutakiwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Tunaomba utuambie lini ulijiunga na CCM, hasa kwa ukizingatia hivi karibuni ulisimamia kesi ya mita 100,” aliuliza Matiko.

Swali hilo lilimfanya Spika Job Ndugaye ambaye alikuwa akiendesha kikao hicho kuwauliza wabunge kama linafaa kujibiwa. Wabunge hasa wa upinzani walijibu kwa sauti kwamba hilo ni swali na linapaswa kujibiwa.

“Mheshimiwa Dk. Tulia haya jibu swali hilo,” Ndugai alimtaka kujibu.

Dk. Tulia wakati akijibu alionekana kutumia muda mwingi kufafanua vifungu vya katiba na sheria vinavyozungumzia zuio hilo, jambo ambalo wabunge wa kambi ya upinzani walionekana kutoridhika nalo.

“Kama ulivyosema mimi ni mwanasheria, katiba nimeisoma, sheria zinazozungumzia utumishi wa umma nimezisoma na kanuni zake nimezisoma…nasema hivi kanuni nimezisoma, sheria nimezisoma,” alisema na kukatishwa na sauti za wabunge zikimtaka kujibu swali.

Kutokana na hali hiyo, Spika Ndugai aliingilia kati kwa kuwaomba wabunge kuacha kumzonga mgombea na vizuri wangemsikiliza kama walivyofanya wakati Sakaya akijinadi.

“Mheshimiwa spika yapo makundi matatu ya watumimishi wanaokatazwa kuwa wanachama na vyama vya siasa, kwanza ni wanajeshi ambao ni polisi na wanao…,” alijibu Dk. Tulia na kukatishwa na zomeazomea kutoka kwa wabunge.

Hata hivyo, Spika Ndugai alisimama na kumuamuru Katibu wa Bunge kuendelea na taratibu za uchaguzi.

Baada ya uchaguzi, Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilillah, alimtangaza Dk. Tulia mshindi baada ya  kupata kura 250 sawa na asilimia 71.2 wakati  Sakaya akipata kuta 101 ambazo ni sawa na asilimia 28.8 za kura zote.

Alisema wabunge wote waliosajiliwa walikuwa 369, lakini  idadi ya waliopiga kura ni 351.

Kutokana na matokeo hayo, Spika Ndugai alimtangaza Dk. Tulia kuwa Naibu Spika wa Bunge hilo na kumuapisha rasmi kuanza kazi yake hiyo mpya.

KIAPO: Kassim Majaliwa Aapishwa Rasmi Ikulu Ndogo Dodoma Kuwa Waziri Mkuu

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, asubuhi hii amemuapisha Mbunge wa Ruangwa, Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania mjini Dodoma.


Hafla ya Kumuapisha Mh. Majaliwa imefanyika kwenye Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma na kuhudhuliwa na viongozi mbalimbali wa serikali wakiwemo, Makamu wa Rais wa Tanzania, Bi. samia Hassan Suluhu, Rais wa Zanziba, Dk. Ali Mohammed Shein, Makamu wa Rais Msitaafu, Dk. Gharib Bilal, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Job Ndugai na Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson, Wabunge, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange, Wabunge na wageni wengine.

KIAPO CHA WAZIRI MKUU - NOV.20.2015| TBC

Mh.Kassim Majaliwa akila kiapo cha utumishi na baada ya hapo amekabidhiwa katiba ya nchi na Rais Magufuli kama nguzo au muongozo katika kazi zake.

Posted by Simu.TV on Friday, November 20, 2015

Nina Wasiwasi na Naibu Spika Kama Atalihimili Bunge Hili

$
0
0
Sina wasiwasi ni elimu yake wala uwezo wake wa kujieleza, ila nina wasiwasi na hekima yake na busara zake kama zinaweza kustahimili mikiki mikiki ya bunge kama alivyoonyesha Anne Makinda.

Nafikiri wote tunaujua uwezo wa Prof. Muhongo kielimu lakini alifeli somo la hekima.

Najua bunge lina sheria zake kanuni zake miiko yake na desturi zake, lakini ni mara ngapi tumeona sheria zikikiukwa na wabunge wenyewe.

Kama tukisema yeye atakuwa "Iron Lady" kuwa kila mbunge akikosea anamhukumu kulingana na kanuni atafukuza wangapi, naje kama atafukuza karibu nusu ya wabunge ataonekana ni Naibu Spika mzuri au kiti kimemshinda.

Tuchukue mfano wa refa wa mpira wa mguu anayewatoa wachezaji kwa red kadi kila wanapofanya rafu, hivi timu ikibaki na nusu ya wachezaji huyo refa atakuwa bora?

Najaribu tu kumwangalia huyu Naibu Spika asije siku moja akatoa machozi kwa kuzomewa au kuulizwa maswali ya kuudhi akakiaibisha kiti.

Namuomba sana Spika Job Ndugai ajaribu kumsaidia msaidizi wake.

Tujadili kwa mstakabali wa nchi yetu.

By QuinineJamii Forums

Yanayojiri Bungeni Dodoma Muda Huu..Wabunge wa Ukawa Walianzisha na Kutolewa Nje ya Bunge na Spika

$
0
0
Wabunge  wanaounga  umoja  wa  Katiba  Ya  Wananchi, UKAWA  wametolewa  nje  ya  ukumbi  wa bunge  muda  huu  baada  ya  kugoma  kutambua  ujio  wa  Dr Shein bungeni  na  kuanza  kuzomea  huku  wakisema  Maalim Seif....Maalim Seif

Spika  wa  bunge,Job Ndugai  aliwataka  wabunge  hao waache kuzomea  na  badala  yake  wakae chini  lakini  wakakaida, hali  iliyomfanya  awaamuru  watoke  nje kwa  hiari  yao  kabla  nguvu  ya  dola  haijatumika  kuwatoa.

These Are The Children You Get After Smoking Shisha, Eh! Eh! (PHOTO)

$
0
0


These are the children you get after smoking shisha, Eh! Eh! (PHOTO)

Kiuno Cha Chupa! VERA SIDIKA Is a Real s3x goddess, See These Photos

$
0
0

Kiuno Cha Chupa! VERA SIDIKA Is a Real s3x goddess, See These Photos



Model Maarufu Bongo Aibua Shutuma Nzito Kwenye Tasnia ya Mitindo..Adai Tasnia Imejaa Machoko ili Usonge Mbele ni Lazima Uwakaze

$
0
0
Model wa Kiume Anayejulikana kama @calisah Huku Instagram Ameibuka na Tuhuma nzito iliyopo kwenye Tasnia hiyo ya Mitindo na Urembo ...

Ameandika Haya Kwenye Ukurasa Wake wa Instagram:

|Sikutaka kuandika chochote kuhusiana na tuzo za swahilifashionweek. Ila naamini waliopo kwenye category zote ndio waliostahili kuwepo...

Na naamjni waliangalia vigezo vyao na kuhisi pengine wao ndio waliostahili. Mtazamo wangu kwa upcoming models wote wanaotamani kesho na kesho kutwa kuja kua model km mimi au mwingine yeyote. Tambueni hii tasnia imeandamwa na machoko (gays) sasa basi...... hawa watu wanahisi wanauwezo wa kukontro models wake kwa kukidhi haja zao. Na ikiwa utaenda nao sawa bc watakutumia vizuri na watamtumia mtu mwingine yeyote mwenye muonekano mzuri kwakua wao wanajua kua ili usongee mbele ni lazima uwakaze. 

Na usipo wakaza utaanza kuona safari yako inaanza kua ngumu na watatafuta njia yeyote ili wakuzime na ikiwemo kutaka kupandisha watu juu ambao walikua hawapo kwenye hiyo level ili tu wakuoneshe kua wao wanapower. Kuna ma_disigner wengi sana ktk hii tasnia yetu. Msibabaike kwa vitisho na msikubali kuuza utu wenu ili mpate show au kuwepo kwenye award yoyote, mkifanye hivyo mtatumiwa na kuachwa na kisha wao kwenda kutafuta wengine, they always looking for what new. Sijakasirika kutokuwepo kwenye tuzo za swahilifashionweek or nah kwani nilijua muda mrefu kua siwezi kua huko na ndio maana hua sijishulishagi kwenda hata kwenye cast, na sijawahi kwenda kwenye cast yoyote ya swahilifashionweek tangu inaanza.

Cz I naw evrythng. ..... Models kama hamtakua makini mtaendea kutumiwa kwa kuafurahisha watu kila cku, sitaki na wala sitataka kua kua kwenye award yoyote na wala hakuna quma yeyote ninarmuogopa cz hakuna anaenipa hela ya kula kati yenu nyote, taftani hao models wenye njaa.... wawakaze halafu ndio muwape tuzo zenu, "Ushauri wangu kwa models wengine ambao wamekua_dissaponted. Tulieniii..... tengenezeni portfolio zenu nzuri na mtafute kazi nje ya nchi.... tuige mfano kwa @daxx_cruz @flavianamatata na wengine waliotangulia... mkibaki hivyo hamtafkia kokote kwa kutegemea wakina @martinkadindaofficial na kina @mustafahasanali they got nothing to help u... Hakuna yeyote kati yao mwenye uwezo wakukuangusha ikiwa utajiweka vizuri na kufokas soko la mbele. Msikubali kubaika na kuuza utu wako ili mpate jina bila ya hela|  Calisah

Job & Employement Opportunity-Management Accountant_ MOGAS Tanzania Ltd

$
0
0
Job Vacancy > Management Accountant 
Location > Dar Es Salaam
Position Type > Full Time
Organization Type > CompanyWebsite >  http:// www.mogasoil.com
MOGAS Tanzania Ltd



Application Deadline: 27 Nov 2015
MANAGEMENT ACCOUNTANT POSITION DESCRIPTION:

From The Guardian, 20th Nov 2015

2) JOB TITLE: Management Accountant (1 post).

Job Profile
Reporting to: Chief Accountant
Location: Dar-es- Salaam-Tanzania

Education
Holder of Bachelor of Degree of Commerce major in
Accounting or Finance, post graduate Diploma of its equivalent from a reputable and recognized higher learning institution. .

Qualification:
ACCA/CPA or equivalent.
4-5 Years' Experience in the Oil and Gas Industry
Duties & Responsibilities
Maintenance and reconciliation of Stock control ledgers
Responsible for costing of the products.
Maintained supplier ledger and other payable account.
Maintain the prepaid and advances ledgers.
Maintain Debtors control Accounts.
Handling Statuary account like PAYE /NSSF/SDL / VAT and other taxes.
Preparation and analysis of Management Information Report.
Undertake monthly stock taking and reconciliation of stock balances
Responsible for Reconciliation of third party stock
Analysis the variance in stocks ,and fix it
Any other duties as may be assigned by supervisor from time to time


APPLICATION INSTRUCTIONS:

Attach relevant certificates and CV with at least 3 referees.
Deadline 1 (one) week from the date of this advertisement.
Apply to Human Resource Manager.
MOGAS Tanzania Ltd
P.O. Box 70284
Bandari Road - Kurasini
Dar es Salaam.
Tell: Office: + 255 22 2851020/2850474
Fax: +255 736 50288914
Email: admin-tz@mogasoil.com

JE Unakichukuliaje Kitendo cha ZITTO KABWE Kubaki Bungeni Wakati Wabunge wa Upinzani Wote Wametoka Nje ?

$
0
0
JE Unakichukuliaje Kitendo cha ZITTO KABWE Kubaki Bungeni Wakati Wabunge wa Upinzani Wote Wametoka Nje Kushinikiza Maalim Seif Atangazwe Mshindi wa Urais Zanzibar?
Toa Maoni yako


LIVE TOKA BUNGENI: Rais Magufuli Ampa Hongera Zitto Kabwe Kwa Kutokuleta Fujo Bungeni na Kubakia Ndani ya Bunge Wakati Ukawa Wametoka

$
0
0

LIVE TOKA BUNGENI:Muda huu Rais Magufuli Anatoa Hotuba yake ndani ya Bunge na Amempa Hongera Zitto Kabwe Kwa Kutokuleta Fujo Bungeni na Kubakia Ndani ya Bunge Wakati Ukawa Wametoka Baada ya Kutolewa na Spika kutokana na Utovu wa nizamu walioonyesha kwa Kupiga Makelele

Woman Who Died in Paris Raid Was Not Wearing Suicide Belt, The Skull Found On The Pavement Was Not Hers.

$
0
0

Investigators sorting through body parts from the flat raided by French police on Wednesday now believe Hasna Aitboulahcen, the woman who died there, was not the one wearing a suicide belt, a Police source said.

Headlines flashed around the world this week that Aitboulahcen had become Europe's first woman suicide bomber, after officials said they believed she had blown herself up at the scene of the raid in a northern Paris suburb.

One of the dead has been confirmed as Islamist militant Abaaoud. The other has yet to be identified.
"The initial findings from the special police indicated that it (the suicide belt wearer) was her," said the source. "But the skull we found on the pavement was not hers."
The fighting at the flat was so intense that not only were the police unable initially to identify the bodies, it took more than a day for investigators to establish that there had been three people and not two.

Nyumba na Makazi Yaendelea Kubomolewa Mbezi Beach, Kinondoni Dar......Tazama Video Hii Ujionee Ghorofa Hili Linavyoporomoshwa

$
0
0

Kijiko cha Manispaa ya Kinondoni kikibomoa nyumba ya Deus Kisisiwe iliyopo Block J Mtaa wa Libermann Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Ofisa wa Polisi akichukua picha wakati kijiko cha Manispaa kikiendelea na ubomoaji.
Manispaa ya wilaya ya Kinondoni kushirikiana na Wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wakiwa wameweka tangazo lao katika ukuta wa uzio wakimaanisha eneo hilo lisitumike kwa maana ya maeneo ya wazi.
Nyumba nyingine eneo hilo nayo ikisubiri kubomolewa na manispaa ya Kinondoni.
Ubomoaji ukiendelea.
Familia ya nyumba inayotakiwa kubomolewa na manispaa wakitoa samani za ndani ili kupisha ubomoaji.
Ubomoaji ukiendelea katika maeneo ya Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam.
Wazee wa kazi wakiwa katia geti la nyumba inayotakiwa kubomolewa maeneo ya mtaa wa Libermann Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam
Ubomoaji wa uzio wa nyumba maeneo ya Libermann Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam  mara baada ya kubisha hodi na kutokufunguliwa.
Uzio umebomolewa na watu wakiwa ndani kwaajili ya ubomoaji wa nyumba hiyo ambayo imejengwa maeneo ambayo ni ya wazi.
Magari yakiwa ndani ya nyumba inayotakiwa kubomolewa.
Magari yakitolewa nje ili kupisha ubomoaji wa nyumba maeneo ya Libermann Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam .
Wenyeji wa nyumba ambayo imeanza kubomolewa uzio wakitoa vitu ndani ili kupisha ubomoaji wa nyumba hiyo.
Wakazi wa nyumba nyeupe inayobomolewa wakitoka nje ya nyumba baada ya kuanza kubomolewa na manispaa ya Kinondoni.
Wananchi wakihamisha vitu kupisha bomoabomoa.
Wananchi wanaangalia jinsi manispaa inavyobomoa nyumba Mbezi bichi jijini Dar es Salaam

Tazama  Video Ya Tukio

Magufuli Awaita UKAWA ‘Watoto’.....Spika Awapa Onyo Kali, Asema Atakuwa ‘Mbabe’ Kama Watarudia Tena

$
0
0
Rais John Magufuli amelaani vikali kitendo cha Wabunge wa Vyama vya Upinzani kuzomea leo bungeni.

Rais Magufuli ameeleza kuwa tabia iliyofanywa na wabunge hao inaonesha jinsi ambavyo hawajakomaa kisiasa na kuwaita watoto huku akimpongeza Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kwa kuendelea kubaki Bungeni.

“Ndio maana nimempongeza sana Mheshimiwa Zitto. Mheshimiwa zitto umekomaa na naamini hata wana CCM kule Kigoma walikuchagua,” alisema rais Magufuli.

“Mmeona tuna kazi kubwa, bado tuna watoto wengi. Tuendelee kuwavumilia, nadhani na watanzania wameona,” aliongeza.

Aliwataka wabunge wote kusimama pamoja bila kujali itikadi zao za vyama na kuwasisitiza kuwa wanapaswa kuhakikisha kuwa Bunge la 11 linakuwa bunge la kihistoria na kuacha masuala ya kupigana vijembe, kuzomeana na kutoka nje.

Kwa upande wake Spika wa Bunge hilo, Job Ndugai alimuomba radhi rais Magufuli na Shein kwa kile kilichoanywa na wabunge wa Ukawa huku akiahidi kuwa hali hiyo haitajirudia tena.

Ndugai aliwaonya wabunge kuwa kitendo kilichofanywa ni cha aibu hivyo hatawavumilia tena na kwamba wabunge wanaweza kumfanya akawa Spika mpole ama kumfanya awe Spika ‘mbabe’.

“Mnaweza kunifanya nikawa Spika mbabe sana… leo iwe mwisho. Ni kwa sababu wazee hawa walikuwepo. Lakini wazee hao wasipokuwepo, wakifanya tena tabia hii, basi… nisiseme sana,” alisema.

Vera Sidika's Big 'Makalio" Causes A Huge Commotion In Naija. You Will Not Believe Some Nasty Things People Are Saying

$
0
0

Vera Sidika gained prominence for a huge behind that had men selling land for just a moment in the sun with the bootylicious socialite. This was after her big debut in P-Unit’s ‘You Guy’.

She then went on to appear in a D’Black and Davido video a few months later. But she proved that she belonged in the spotlight as Prezzo’s main girl in ‘My Girl’.

Miss Sidika then exported her talents once again to Naija as the main girl in Kcee’s and Harrysongz’ ‘Ebaeno’ and D'Prince x Don Jazzy x Baby Fresh’s ‘Bestie’.

And her behind is really driving Nigerians crazy judging from some of the comments on the video:

Noise Maker: Taaaa! The girl's ukwu is not real.

Super tee :OMG! The lady with D'prince will make a blind man cum without touching....lol!

Kay Kay :ohhhhhhhh god... i promised myself i wouldn't beat my snake for the next two days and then i go and click my way to this video..... oh well....

kingsley uwandulu :This video is all about the ASS and nothing. the Prince actually wanted to touch that ASS for real. the model does look like Lira galore with the ass. Nice Video

Abbey Adeyemi : 90% of the budget of this video must have been spent on the model and I'm sure there was a clause for a 'love scene'. You go D'Prince

Odu Oba Ara : Body full of silicone, skin bleaching, liposuction, tummy tuck etc...when does this become a definition of African beauty? Abeg find correct babes put inside video ojare. lol

jolly nnene: I tell u beautiful girls full naija wit correct body naija babes set ooo I no kno y them import this fake woman for d video

MaI D: Let's be serious here, I am a girl that likes men but if I had a bestie with a shape like THAT I would still try to hit on her just for the principle. Now D'Prince means to tell me he's managed to be just a "bestie" to her ? hm.. okay oo

James Odikpo :The song isnt bad, but i get tired of seeing the same Nyash every 15 seconds, and i doubt its real.

Viewing all 104793 articles
Browse latest View live




Latest Images