Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live

Watumishi wa Afya Wanaomiliki Hospitali, Kliniki, Maduka ya Dawa Kuchunguzwa

$
0
0
SERIKALI imetangaza kuwachunguza waganga na wauguzi, wanaomiliki hospitali, kliniki na maduka ya dawa baridi ili kubaini kama wanahusika na upotevu wa dawa kwenye hospitali za Serikali.

Akizungumza ofisini kwake juzi, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alisema Desemba 26 alipotembelea Hospitali ya Ocean Road, aliamua kuunda kamati ya watu watano kuchunguza kama wanahusika na upotevu wa dawa hospitalini hapo na sehemu nyingine.

Alisema bodi ya hospitali hiyo aliyoiunda wiki mbili zilizopita, nayo imeshaanza kufanya kazi ya kubaini chanzo cha uhaba wa dawa hospitalini hapo.

“Hata ukisoma tamko langu, hatukatazi watumishi wa umma wa sekta ya afya kumiliki hospitali, kliniki au maduka ya dawa, lakini tunachoangalia ni namna gani tunaondoa mgongano wa kimasilahi,” alisema.

“Nimeenda Ocean Road, wagonjwa wanakufa kwa kukosa dawa, tusubiri kamati itoe taarifa.”

Alisema katika ziara yake aligundua madudu mengi ikiwamo pia fedha za bajeti ya dawa zilizokuwa zikipangwa kwa ajili ya hospitali hiyo, kutofika kwa wakati.

Waziri Mwalimu alisema asilimia kubwa ya wagonjwa wanaotibiwa hospitalini hapo ni maskini,na kwamba watu wenye uwezo hutibiwa katika hospitali kubwa za kulipia na wengine wanatumia bima ya afya.

“Kwa kuwanyima dawa wanaokuja hospitali hizi ni sawa na kuwanyanyasa,” alisema Waziri Mwalimu.

“Bajeti ya dawa inayopangiwa hospitali hiyo imeonekana nyingi zilikuwa hazifiki kwa wakati. Nimeshamuagiza katibu mkuu wa wizara yangu ahakiki kila fedha zinazopelekwa kwa ajili ya kununua dawa wizarani.”

Wasichana wa Nairobi! See What This One Posted on Social Media to Tempt Kenyan MEN (PHOTOs)

$
0
0

It seems like every Nairobi lady wants to be the next socialite in town and that’s why ladies are flooding social media with photos of their b00ty hoping that they will catch the attention of other social media users.

See what this one posted...



Lukuvi Aagiza Watumishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kufanya kazi hadi Usiku, Abaini Urasimu Mkubwa Wizarani

$
0
0


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewaagiza watumishi wa wizara hiyo katika kitengo cha huduma kwa wateja, kufanya kazi hadi usiku ili kuhakikisha wanawahudumia kwa muda wananchi wengi wanaofika katika kitengo hicho na kuondoka bila kupata huduma stahiki.

Waziri Lukuvi alitoa maagizo hayo jana alipofanya ziara katika kitengo hicho na kubaini kuwepo urasimu mkubwa unaopelekea wananchi kushindwa kupata huduma kwa wakati. 

Baada ya kuzungumza na baadhi ya wananchi waliofika katika kitengo hicho, alibaini kuwepo wananchi ambao wamekuwa wakifuatilia hati zao kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio lakini alipoagiza wapewe hati hizo zilipatikana mara moja.

“Watu wasirudi bila kuhudumiwa. Na kama ni wafanyakazi watabaki mpaka usiku, tutafanya utaratibu wa hao wafanyakazi wanaobaki mpaka usiku. Wafanyakazi wabaki muda zaidi lakini kila anayekuja katika kituo kile lazima ahudumiwe,”alisema Lukuvi.

Pia, Lukuvi aliagiza kufungwa kwa mitambo itakayosaidia kutoa huduma za kieletroniki. Alisema kuwa uanzishwe mfumo wa kuwasiliana na wananchi wanaohitaji huduma katika kitengo hicho kwa njia ya barua pepe, whatsap, simu na kadhalika.

Naye Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo ambaye pia ni kamishna Mkuu wa ardhi, Dk Moses Kusiluka alisema kuwa katika utoaji wa huduma hukutana na changamoto inayotokana na baadhi ya watu wanaotaka kujipatia hati kwa njia za udanganyifu bila kuwa na nyaraka za kisheria husasan wanapokuja kuwawakilisha watu wengine.

Mtandao wa Mkito Watoa List ya Nyimbo za Bongo Flava zilizo Downloadiwa zaidi...Nahreel na Team yake Watawala Chat ya HipHop

$
0
0
Mtandao wa kuuza nyimbo za wasanii wa mkitodo.com leo umetoa listi ya wasanii ambao nyimbo zao ziliongozwa kwa kupakuliwa katika mtandao ndani ya mwaka 2015. Wimbo wa #ChekechaCheketua wa @officialalikiba umeongoza kwa kupakuliwa mara nyingi zaidi kwenye mtandao huo kwa muziki wa aina zote - ukipakuliwa mara 47,000 ukifuatiwa na #MpakaNizikwe wa @yamoto_band , nafasi ya 3 imekamatwa na wimbo wa @vanessamdee #NobodyButMe , Mapenzi au Pesa ya @naytrueboy na @diamondplatnumz ukifuatia na nafasi ya 5 ikikamatwa na #ShauriZao wa @belle9tz 
@joh_makini na familia yake ya kimuziki ya #GoodMusicFamily wameitawala chati ya nyimbo za Hip Hop zilizopakuliwa zaidi.
Katika chati iliyohusisha muziki wa Bongo Fleva pekee katika nyimbo 5 zilizopakuliwa zaidi Alikiba ameingiza nyimbo mbili pamoja na #Nagharamia na @bellachristian1 , huku wakiungana na @naytrueboy @momusic na mwadada @ruby_na_yule akifunga dimba baada ya wimbo wake wa kwanza kabisa #NaYule kupakuliwa zaidi ya mara 25,000. #Asante2015 

TCRA Yazipiga Faini ya Milioni 25 Kampuni Za Simu ( Tigo,Halotel,Zantel na Airtel ) Kwa Kushindwa Kuwalinda Wateja Wake Kiteknolojia

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

HATUA ZA KISHERIA NA KIUDHIBITI KWA MAKAMPUNI YA SIMU YALIYOSHINDWA KULINDA WATEJA WAKE KITEKNOLOJIA NA KISHERIA KUHAKIKISHA USALAMA WA MAWASILIANO YAO

1. Katika shughuili zake za udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini, Mamlaka ya Mawasilaino Tanzania imepokea malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano dhidi ya kuwepo mazingira yasiyo salama katika huduma za mawasiliano na hivyo kusababisha kufanyika kwa vitendo vya utapeli unaofanywa kwa kutuma jumbe za udanganyifu na kulaghai, hivyo kusababisha watu kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu.

 Kwa mfano kupokea ujumbe kutoka namba unayoifahamu ukikuagiza utume fedha au ujumbe wa kashfa au matusi wakati hautoki kwa mhusika mwenye namba. Mamlaka imepokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja na malalamiko mengine hupelekwa Polisi. Kwa miezi miwili tu, matukio 42 yameripotiwa Polisi pamoja na TCRA ambayo tukio moja tu linakuwa na ulaghai wa takribani milioni 25 peke yake.

2. Tarehe 16 Oktoba, 2015 Mamlaka iliwakumbusha watoa huduma za simu nchini juu ya wajibu wao kuchukua hatua za kusheria na kitaalamu ili kulinda watumiaji dhidi ya utumaji wa jumbe za kilaghai na kuchukua hatua mara moja kuzuia mitandao yao kutumika kutuma jumbe za udanganyifu na kulaghai.

Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Mamlaka tarehe 16 Desemba, 2015 Mamlaka ilibaini kuwa  kampuni za Benson Informatics Limited (inayojulikana kama Smart), MIC Tanzania Limited (inayojulikana kama Tigo), Airtel Tanzania Limited, Viettel Tanzania Limited (inayojulikana kama Halotel) and Zanzibar Telecom Limited inayojulikana kama Zantel) zimeshindwa, zimepuuzia na zimekataa kufuata maagizo ya Mamlaka kuchukua hatua mara moja kuzuia mitandao yao kutumika kutuma jumbe za kilaghai kinyume na Kanuni Na.8(a) ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta ya mwaka 2011 [the Electronic and Postal Communications (Computer Emergency Response Team) Regulations, 2011].

3. Tarehe 18 Disemba, 2015 Mamlaka iliwaamuru watoa huduma za mawasiliano waliotajwa hapo juu kufika mbele ya Mamlaka na kujieleza kwa nini hatua za kisheria zisichukuliwe dhidi yao kwa kuvunja sheria na kanuni ya 8(a) ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielectroniki na Postal ya Mwaka 2011 [the Electronic and Postal Communications (Computer Emergency Response Team) Regulations, 2011] kwa kushindwa kuweka mazingira salama kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano.

4. Watoa huduma walifika na kutoa maelezo ya utetezi kati ya tarehe 21 na 23 Desemba, 2015.

5. Baada ya kuwasikiliza na kutilia maanani utetezi wa watoa huduma na kwa mujibu wa uchunguzi na majaribio uliofanywa na Mamlaka, Mamlaka imejiridhisha kuwa mitandao ya watoa huduma waliotajwa hapo juu haikuwa salama na kuwa watoa huduma hao walishindwa kufuata maelekezo ya Mamlaka juu ya kuweka mazingira salama katika huduma wanazotoa.

Hivyo Mamlaka imejiridhisha kuwa watoa huduma wamekiuka matakwa ya Kanuni ya 8(a) ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielectroniki na Postal ya mwaka 2011 (The Electronic and Postal Communications (Computer Emergency Response Team) Regulations, 2011) inayowataka watoa huduma kuweka mazingira ya mitandao salama kwa kuchukua hatua za kusheria na kitaalamu ili kulinda watumiaji dhidi ya uhalifu ikiwa ni pamoja na utumaji wa jumbe za kilaghai kupitia mitandao yao.

6. Kwa mujibu wa Kifungu cha 17 cha Jedwali la Pili katika Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta, Sura ya 306 ya Sheria za Nchi, kinachoipa Mamlaka uwezo wa kutoa adhabu kwa Wenye Leseni dhidi ya uvunjifu wa Sheria, Kanuni na Masharti ya Leseni, Mamlaka ya Mawasiliano imetoa:

A. Onyo kali kwa Kampuni za:
(i) Benson Informatics Limited (inayojulikana kama Smart),
(ii)  MIC Tanzania Limited (inayojulikana kama Tigo),
(iii)  Airtel Tanzania Limited,
(iv)  Viettel Tanzania Limited (inayojulikana kama Halotel), na
(v) Zanzibar Telecom Limited (inayojulikana kama Zantel).

kwa kushindwa kutimiza matakwa ya Kanuni ya 8(a) ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Postal ya mwaka 2011  [the Electronic and Postal Communications (Computer Emergency Response Team) Regulations, 2011] kwa kushindwa kuweza mazingira salama kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano.

B. Imeamuru Kila Kampuni husika:
(i)   Kuhakikisha kuwa, kuanzia siku ya kutolewa kwa amri hii, inaweka mazingira salama katika mtandao wake yatakayozuia utumaji wa jumbe za kilaghai (yaani ‘spoofed messages’) na matishio mengine ya kiusalama;
(ii)   Kulipa faini ya Shilingi za Kitanzania Milioni Ishirini na Tano (Shs 25,000,000.00) kwa Mamlaka ya Mawasiliano kabla ya tarehe 29 Januari, 2016; na
(iii) Endapo Makamuni haya yatashindwa kutimiza amri Na.2 hapo juu, Mamlaka itachukua hatua zaidi za kisheria na kiudhibiti dhidi ya Kampuni ya Simu husika.

7. Aidha, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania inapeda kuchukua fursa hii kuwatahadharisha wananchi kuwa makini na jumbe za kuwataka kutuma fedha bila ya kuwa na uhakika. Inashauriwa kuhakiki ujumbe husika kwa kupiga simu na kuongea na mhusika kabla ya kufanya maamuzi ya kutuma fedha hata kama namba inayotumika unaijua.

Vilevile wawe makini wanapopokea jumbe zinazoonesha zinatoka kwa mtu fulani wanayemjua kumbe ni matapeli wanaotumia ulaghai kwa njia hii ya “spoofing”.

IMETOLEWA NA
Dkt. Ally Y. Simba
MKURUGENZI MKUU
30 Disemba, 2015

Picha: Shilole Afuta Tattoo ya Nuh Mziwanda Kifuani, Yasemekana Penzi Lao Limeingia Mchanga!

$
0
0
Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.

Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.
Tatoo Mpya


Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila mmoja amefuta picha zao za pamoja kwenye akaunti zao za Instagram. Pia weekend iliyopita Shishi alifanya sherehe nyumbani kwake ambayo hakusema sababu ya sherehe hiyo, lakini hakuwa na Nuh na wala hakupenda kumzungumzia pale alipoulizwa na marafiki aliowaalika.

Redio na TV Zitawalipa Wasanii, Asilimia 60 ya Muziki Utaochezwa Lazima uwe wa Nyumbani – Nape

$
0
0
Wakati baadhi ya wasanii na wadau mbalimbali wa burudani nchini wakiendelea kuwa na hofu juu ya mfumo mpya unaovitaka vituo vya redio na runinga kuwalipa wasanii mirahaba inayotokana na kucheza kazi zao, serikali imesema imeunda sheria ambayo itavifanya vishindwe kuepuka kucheza nyimbo za wasanii wa ndani.

Akizungumza na Bongo5 Jumanne hii kwenye uzinduzi wa filamu ya ‘Home Coming’ Mlimani City jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye alisema sheria hiyo inazitaka TV na Redio zenye vipindi vya burudani kuhakikisha 60% ya content ni ya nyumbani.

Tumeshatangaza kuanzia tarehe moja mwezi wa kwanza 2016 kila muziki wa msanii utakaopigwa kwenye redio ma television utalipiwa,” alisema.

Sheria ilishasainiwa na tumekubaliana na watu wa COSOTA wataisimamia na tumeweka kampuni ya kusimamia muziki umepiga mara ngapi na TV gani.”

Mimi nataka watu waniamini historia yangu, waamini watu watalipwa na haki yao wataipata na jasho lao watalipata. Nilichowaambia kila jambo jipya lazima litakuwa na mapungufu ila sheria ndio zitatuongoza, kila redio na TV zenye vipindi vya burudani wanatakiwa kuhakikisha 60% ya content wanayoitoa iwe ya nyumbani, hakuna wakukwepa hili,” alisisitiza Nape.

Pia Nape alisema tayari ameshakaa na wahusika wa nyombo vya habari na kuzungumzia namna ya utekelezaji wa suala hilo.

Vyombo vya habari ndio wamekuwa wakinisukuma kufanya hivyo, kwahiyo kama wao ndio wameamua hivyo sisi ulikuwa ni utekelezaji na naamini kila kitu kitaenda sawa.

Ali Kiba Ampagawisha Jokate na Kujikuta Akisema Maneno Haya Bila Kuficha

$
0
0

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jokate Mwegelo, amemsifu msanii mwezake Ali Salehe ‘Ali Kiba’ kwa kutumbuiza muziki na ‘live Band’ kitu kinachoongeza mvuto kwenye maonyesho yake.

Akizungumza na MTANZANIA, Jokate alisema Ali Kiba ni mfano wa kuigwa kwa sababu muziki unakua na soko la kimataifa linahitaji wasanii wanaotumia ala za muziki wawapo jukwaani.

Ali Kiba ni mfano wa kuigwa, wasanii tusipende kutumia CD kwenye majukwaa tunadumaza vipaji vyetu ni vyema tukafahamu mashabiki pia wamechoka mtindo wa ‘Play Back’,” alisema Jokate.

Aliongeza kuwa alishawishika kuhudhuria onyesho la Funga Mwaka na Ali Kiba kwa sababu alijua burudani inayotolewa na msanii huyo huwa ni ‘live’ kwa kutumia ala za muziki.

Waziri Mkuu Aibua Ufisadi Kigoma......Atoa siku Mbili Kwa Katibu Tawala wa Mkoa Kukamilisha Uchunguzi ,Ataka Apewe Taarifa ya Maandishi Januari Mosi, 2016

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Eng. John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo la KIGODECO na viwanja 12 vya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ambao unadaiwa kukiuka taratibu.

Ametoa agizo hilo leo mchana (Jumatano, Desemba 30, 2015) kwenye ukumbi wa NSSF, mjini Kigoma wakati akizungumza na viongozi na watendaji mbalimbali wa mkoa huo alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake ya siku mbili mkonai humo.

Waziri Mkuu Majaliwa amesema anazo taarifa kuwa jengo hilo liliuzwa kwa sh. milioni 370/- pamoja na jengo jingine la MIBOS kwa sh. milioni 50/- licha ya kupewa barua na Mkuu wa Mkoa huo kusitisha uuzwaji wa jengo pamoja viwanja hivyo, bado liliuzwa.

“Katibu Tawala wa Mkoa kaa na Mkurugenzi wa Manispaa, Mhandisi wa Manispaa na Mhasibu na unipatie taarifa kwa maandishi ifikapo Jumamosi hii,” alisema Waziri Mkuu huku akishangiliwa.

“Nataka kujua nani alifanya tathmini ya jengo, ni kwa nini jengo liliuzwa kwa thamani hiyo, je ndiyo thamani halisi ya jengo? Ni kwa nini RC alipozuia, utaratibu uliendelea? Je, utaratibu wa uuzaji ulifuatwa? Ni kwa nini viwanja viliuzwa chini ya thamani,? Katibu Tawala kaa na watu wako na uniletee hiyo taarifa kwa maandishi. Tukigundua kuna mianyamianya tutachukua hatua za kinidhamu,” alisema.

Viongozi walioagizwa kukutana na Katibu Tawala wa Mkoa ni Mkurugenzi wa Manispaa, Eng. Boniface Nyambele; Mhandisi wa Manispaa, Eng. Boniface William na Mhasibu wa Mapato wa Manispaa, Ndg. Bawili Mkoko.

Kuhusu uuzwaji wa jengo na viwanja, imebainika kuwa Mkuu wa Mkoa huo, Luteni Kanali (Mst), Issa Machibya alizuia uuzaji huo kwa barua ya tarehe 16 Juni 2015 akitaka viwanja hivyo vitumike kwa matumizi ya manispaa na mchakato huo usitishwe hadi mwakani lakini agizo lake lilipuuzwa na jengo likauzwa kwa sh. milioni 370 ambayo ni bei ya kiwanja pekee.

Tuhuma nyingine zinazopaswa kuchunguzwa ni pamoja na matumizi ya sh. milioni 809 kwa ajili ya ujenzi wa maabara.

Kiasi hicho kilitolewa kutoka kwenye fedha za miradi ya maendeleo (Capital Development Grants-CDG), Mradi wa Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Mifugo (ASDP), Mradi wa Uendelezaji Miji (Tanzania Strategic Cities Programme –TSCP) na Miradi ya Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (SEDP).

Inadaiwa kwamba Mkurugenzi huyo kwa kushirikiana na baadhi ya watumishi wa idara ya mipango na fedha walitumia ujenzi wa maabara kama kigezo cha kuchota fedha hizo bila kutoa taarifa kwa wakuu wa idara husika ambao walikasimiwa fedha hizo.

Tuhuma nyingine ni manunuzi hewa ya vipuri (spare parts) vyenye thamani ya sh. milioni 8 na manunuzi hewa ya stationeries yenye thamani ya sh. milioni 4.6/-. Haya yanadaiwa kufanywa Julai 25, mwaka huu na Mkurugenzi huyo akishirikiana na Mhasibu Mkoko.

Waziri Mkuu amerejea jijini Dar es Salaam mchana huu.
(mwisho)

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU, 
JUMATANO, DESEMBA 30, 2015

I Am Beautiful But I Don't Know Why Men Don't Approach Me

$
0
0

Hello, I am lady Johana aka the boss girl. I am working with UN and as well doing business. I am 35 years old, single, financially stable and independent. I stay in Dar es Salaam, in my own home. I am beautiful as you can see but I don't know why men don't approach me even my male workmates fear me.

I am not that rude but I don't know why men fear me. I am looking for a guy / man between 20-40 years for love, fun, company and marriage. I don't mind whether he is poor, I am ready to finance him, spend with / on him. He should be ready to settle down with me. I am ready for an HIV test with him. If interested in me, pls drop your details and I will contact you personally. NB, don't bother if ur not ready to settle down.

Waandishi, Viongozi wa Dini, Wahadhiri Wanaipenda CCM au Wanaiogopa

$
0
0
Miaka ya nyuma kipindi cha Mwinyi na Mkapa makundi haya yalisaidia sana kukikosoa chama na serekali. Alipoingia JK hadi mda huu wapo kimya ama wanashabikia kila jambo. Nini kimetokea?Ndio maana serekali ya Jk ikawa na mapungufu mengi. Kuna ushahidi hii ya Magufuli ikawa na madhaifu zaidi kama haya makundi yataendelea kujitoa ufahamu.Tazama dhuluma ktk chaguzi,bomoabomoa,zuio la mikutano, ujambazi na mauaji,rushwa,huduma mbovu lakini waliishabikia CCM..Uchafu na majipu yaliyotumbuliwa ni fedheha kubwa kwa haya makundi. Fedheha zaidi wanapoanza unafiki na pongezi kwa marundo.Kanisa katoliki lina dosari kubwa nahisi chama kina mfumo wake humo.Wahadhiri hawa wa leo na majukumu yao ya chama Serekali za wanafunzi na matawi yao.Vituo vya tv na makada wao.Kina Makwayawahenga .Watangazaji wanatetemeka kusoma habari hasi ya CCM au serekali huku wakikejeli hata kupotosha kuhusu umuhimu wa upinzani na demokrasia. CCM ikitumia nguvu hila ktk chaguzi haya makundi yannanywea na kuĵifanya ''amani kwanza, amani muhimu,,, lakini hawaikemei CCM.Nimepunguza heshimaa yangu kwa maaskofu,makardinali,Maprof ,ma doctor .Naziheshim baadhi ya NGOs

JF

Waziri Lukuvi: Kitengo cha huduma kwa wateja cha Wizara ya Ardhi, sasa Kufanya kazi hadi Usiku

$
0
0
Serikali imekiagiza kitengo cha huduma kwa wateja cha Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kufanya kazi hadi usiku.

Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya MakaziMheshimiwa WILLIAM LUKUVI amekiagiza kitengo cha huduma kwa wateja cha wizara hiyo kifanye kazi hadi usiku ili kuwahudumia kikamilifu wananchi wanaohitaji huduma za kitengo hicho.

Mheshimiwa LUKUVI ametoa agizo hili wakati wa ziara ya kushtukiza katika kitengo hicho akifuatana na maofisa wa wizara hiyo kuzungumza na waanchi waliokwenda kutafuta huduma ikiwa ni pamoja na kutafuta hati zao walizokuwa wakizidai tangu mwaka 2006.

Akielezea jinsi kitengo hicho kinavyofanya kazi, Kamishina Mkuu wa Ardhi ambaye pia ni Kaimu Katibu Mkuu Dakta MOSES KUSILIKWA amesema watumishi wa kitengo wanafanya kazi kwa uangalifu na uadilifu hata kuweza kuwabaini watu wanaokwenda kutafuta hati ambao ni matapeli .

Katika hatua nyingine zoezi la kuweka alama ya "X" katika nyumba zilizopo katika bonde la Mkwajuni jijini Dar es salaam limeanza rasmi na wananchi wote wanapaswa kuondoka wenyewe kabla ya nyumba zao hazijabomolewa ifikapo Januari Tano mwakani.

Chanzo: ITV

Waziri wa fedha Dr. Philip Mpango, akataa kuwa Waziri ombaomba

$
0
0
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema kamwe hatapenda kuwa waziri ombaomba wa fedha, bali atahakikisha anaelekeza nguvu katika kukusanya kodi ili nchi iweze kujitosheleza kwa mapato ya ndani.

Aidha, amesema atahakikisha mifumo ya kodi inakuwa rafiki kwa wafanyabiashara na wawekezaji ili wasikimbie kulipa kodi, huku akiahidi kuangalia jinsi ya kuachana na kodi zenye kero kwa Watanzania.

Aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati alikabidhi ofisi kwa Kaimu Kamishna Mkuu mpya wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata.

Kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha wiki iliyopita, Dk Mpango alikuwa Kaimu Kamishna Mkuu wa TRA, wakati Kidata alikuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

“Sipendi kuwa waziri wa kuombaomba hivyo nitaelekeza nguvu zangu katika ukusanyaji kodi na kuona nchi yetu inajitegemea kwa mapato ya ndani kwa kiasi kikubwa, lakini ili kufanya hivyo ni lazima kuziba mianya ya mapato…” alisema Dk Mpango.

Kinondoni Moto: Uchunguzi Dhidi ya Mhandisi Mussa Natty wasuasua

$
0
0
Ni kama wahusika wametishwa na hatua ya wakinga-kifua wa Mhandisi Mussa Natty. Pamoja na kurejea Dar es Salaam, kutokea babati, kwa ajili ya uchunguzi dhidi yake kwa tuhuma zinazomkabili, hadi sasa Mamlaka husika zimeshindwa kuanza uchunguzi huo.

Mhandisi Mussa Natty alikuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni kabla ya kuwa Mkurugenzi wa Mji wa Babati huko mkoani Manyara alikosimamishwa kazi kupisha uchunguzi. Anakabiliwa na tuhuma mbalimbali za ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo ile maarufu ya kuuzwa kwa fukwe ya Coco.

Taarifa za uhakika zinaonesha kuwa Mhandisi Natty, pamoja na kuwa na nyaraka za kutosha zinazomsafisha, anaondolewa matatizoni na Wakurugenzi wawili waliomtangulia katika Manispaa ya Kinondoni ambao ndiyo hasa waliokuwepo wakati mambo anayotuhumiwa nayo Mhandisi Natty yakitendeka.

Kutokana na kuachwa kando kama washukiwa, Wakurugenzi hao wa zamani na waliomtangulia Mhandisi Natty wameonesha utayari wao 'kumtetea' Mhandisi Natty popote. Pia, Mbunge wa Ubungo na Diwani wa Kata ya Ubungo, Kubenea na Jacob, wameapa kuanika ukweli mambo yakianza kunoga.

Mamlaka zimetishika. Zimepunguza kasi. Zinajiuliza mara mbilimbili. Zinatafakari uwezekano wa kuanza upya kwa kuhusisha watu wapya!

By Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam/JF

Nyumba 100 Zawekwa X Jangwani, Vurugu Zatawala

$
0
0
Zoezi la uwekaji alama nyekundu katika zaidi ya nyumba 100 zinazotakiwa kubomolewa kwenye bonde la Mto Msimbazi, Jangwani limemalizika chini ya ulinzi mkali wa polisi baada ya vurugu za wananchi kuigomea serikali katika zoezi hilo.

Zoezi hilo lililoanza leo majira ya saa nne asubuhi likiongozwa na Mwanasheria wa NEMC, Machare Heche lilisababisha vurugu zilizotokana na wananchi kukataa kuwekewa alama hizo huku wakidai kuwa zoezi hilo alikustahili kufanyika kutokana na kusimamishwa kwa zoezi hilo hadi Januari mosi mwakani.

Alipohitajika kuzungumzia zoezi hilo kwakuwa alikuwepo wakati tukio zima hadi kumalizika kwakwe, Heche aligoma kuzungumzia zoezi hilo kwa kudai kuwa mzungumzaji mkuu ni Waziri anayehusika na Mazingira, January Makamba au Mkurugenzi wa NEMC.

Miongoni mwa malalamiko ya wananchi waishio katika bonde hilo ni kutaka jengo la Stendi ya mabasi yaendayo haraka pia liwekewe alama na hatimaye kubomolewa kwa sababu ya kuwa jengo hilo lipo bondeni sawa na nyumba zao,

Aidha wameiomba serikali kuongeza siku zaidi za maandalizi ili waweze kuhamisha vitu vya majumbani kwani muda uliotolewa hautoshi kufanya maandalizi.

Ikumbukwe kuwa zoezi la kubomoa nyumba zilizopo mabondeni lilianza Desemba 17 mwaka huu na kusitishwa baada ya siku tatu na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi hadi Januari 5 kwa kigezo cha kutoa nafasi kwa watu waliojenga katika maeneo hayo kuondoa wenyewe mali zao .

Rais Magufuli atangaza safu mpya ya Makatibu Wakuu, Eliakim Maswi apelekwa TRA

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu Ikulu jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, na kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakisikiliza kwa makini.

=======

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI​

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.
Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
1. Katibu Mkuu Kiongozi
Balozi - Ombeni Sefue

2. Katibu Mkuu Ikulu
Peter Ilomo

3. Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora
Dkt. Laurian Ndumbaro

4. Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Mhandisi Mussa Iyombe (Katibu Mkuu)
Dkt. Deo Mtasiwa (Naibu Katibu Mkuu - Afya)
Bernard Makali (Naibu Katibu Mkuu - Elimu)

5. Ofisi ya Makamu wa Rais
Mbaraka A. Wakili ( Katibu Mkuu)
Mhandisi Ngosi Mwihava (Naibu Katibu Mkuu)

6. Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge, Sera, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu)
Erick Shitindi (Katibu Mkuu Kazi na Ajira)
Mussa Uledi (Katibu Mkuu Bunge)
Dkt. Hamis Mwinyimvua (Katibu Mkuu - Sera)

7. Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Dkt. Frolence Turuka (Katibu Mkuu - Kilimo)
Dkt. Mashingo (Katibu Mkuu Mifugo)
Dkt. Budeba (Katibu Mkuu - Uvuvi)

8. Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Mhandisi Joseph. Nyamuhanga (Katibu Mkuu - Ujenzi)
Dkt. Leonard M. Chamuliho (Katibu Mkuu - Uchukuzi)
Profesa Faustine R. Kamuzora (Katibu Mkuu - Mawasiliano)
Mary Sassabo (Naibu Katibu Mkuu Mawasiliano)

9. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Dkt. Yamungu Kayandabira (Katibu Mkuu)
Dkt. Moses Kusiluka (Naibu Katibu Mkuu)

10. Wizara ya Maliasili na Utalii
Meja Jenerali Gaudence S. Milanzi (Katibu Mkuu)
Anjelina Madete (Naibu Katibu Mkuu)

11. Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
Dkt. Adelhem James Meru (Katibu Mkuu - Viwanda)
Profesa Adolf F. Mkenda (Katibu Mkuu - Biashara na Uwekezaji)
Mhandisi Joel Malongo (Naibu Katibu Mkuu)

12. Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
Maimuna Tarishi (Katibu Mkuu)
Profesa Simon S. Msanjila (Naibu Katibu Mkuu)
Dkt. Leonard Akwilapo (Naibu Katibu Mkuu)

13. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Dkt. Mpoki Ulisubisya (Katibu Mkuu - Afya)
Sihaba Nkinga (Katibu Mkuu - Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto)

14. Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Profesa Elisante Ole Gabriel Mollel (Katibu Mkuu)
Nuru Halfan Mrisho (Naibu Katibu Mkuu)

15. Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Mbogo Futakamba (Katibu Mkuu)
Mhandisi Kalobero Emmanuel (Naibu Katibu Mkuu)

16. Wizara ya Nishati na Madini
Profesa Justus W. Ntalikwa (Katibu Mkuu)
Profesa James Epifani Mdoe (Naibu Katibu Mkuu)
Dkt. Paulina Pallangyo (Naibu Katibu Mkuu)

17. Wizara ya Katiba na Sheria
Profesa Sifuni Mchome (Katibu Mkuu)
Suzan Paul Mlawi (Naibu Katibu Mkuu)
Amon Mpanju (Naibu Katibu Mkuu)

18. Wizara ya Mambo ya Ndani
Jaji Meja Jenerali Projest A. Rwegasira (Katibu Mkuu)
Balozi Hassan Simba Yahaya (Naibu Katibu Mkuu)

19. Wizara ya Fedha na Mipango
Dkt. Silvacius Likwelile (Katibu Mkuu)
Dorothy Mwanyika (Naibu Katibu Mkuu)
James Dotto (Naibu Katibu Mkuu)
Amina Hamis Shaban (Naibu Katibu Mkuu)

20. Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa
Dkt. Aziz Mlima (Katibu Mkuu)
Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi ( Naibu Katibu Mkuu)

21. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Job D. Masima (Katibu Mkuu)
Immaculate Peter Ngwale (Naibu Katibu Mkuu

Makatibu wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wote ambao hawajatajwa katika orodha hii watapangiwa kazi nyingine.

Katika hatua nyingine Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Eliakimu Maswi kuwa Kaimu Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na ametengua uteuzi wa Naibu Kamishina wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. Lusekelo Mwaseba, ambaye atapangiwa kazi nyingine

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
30 Desemba, 2015


Leaked VIDEO of University Girl Doing it in Private, Lord Have Mercy.

$
0
0

There’s this student from University of Nairobi who decided to unleash her hot dance moves that can put most local video vixens to shame.

The curvaceous lady can really shake it and this will definitely drive many Kenyan men crazy.


Director Nisher Haijui Sexual Orientation yake?

$
0
0
Kwenye tease ya Mkasi, Director mkali bongo Nisher ameulizwa "Are you straight?" akabaki kujiumauma.... Kabla hajajibu swali hilo ikakatwa hiyo part ili kuleta uhondo jumatatu ijayo...Usikose Kutazama Episode hiyo ya Mkasi....

Does that mean he is gay?

Nafasi za Kazi
Bonyeza www.ajirayako.com

Kamanda Suleiman Kova, Astaafu Rasmi Jeshi la Polisi Tanzania!

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, Ametangaza asubuhi ya leo katika kipindi cha kumekucha cha ITV kwamba anastaafu rasmi kazi yake ya Upolisi.

Tunamtakia kila la heri huko aendako.

Lowassa Afunguka....Gwajima ni Mnafiki......

$
0
0
Hivyo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.

Kweli magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.

Nafasi za Kazi
Bonyeza www.ajirayako.com
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live




Latest Images