Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104796 articles
Browse latest View live

SIX PACKS ZA DIAMOND ZAWAPAGAWISHA MABINTI WA KI KENYA

$
0
0
Wadada wa Kenya Wapagawa na Six Packs za Diamond alipokuwa akiogelea katika Bwawa Moja Huko Nairobi alipoenda week iliyopita ..Wadada wengi walio kuwa wakishuhudia tukio hilo la kuogelea la diamond na wacheza show wake walisikika wakisema No wonder Diamond is Getting Fine Girls wa Kibongo....Na wengine wakimsifia jinsi alivyoumbika

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU-HAWA NI WATU WALIOMDHIHAKI MUNGU NA KUKUTWA NA MAKUBWA

$
0
0
MUACHE MUNGU AITWE MUNGU
WATU WALIOMDHIHAKI MUNGU NA KUKUTWA NA MAKUBWA
1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)
Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

2. TANCREDO NEVES (RAIS WA BRAZIL)
Alisema kwamba endapo angepata kura laki tano kutoka katika uchaguzi mkuu wa Brazil na kuwa rais, hata MUNGU asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa, akapata kura zaidi ya hizo, akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa, akafariki dunia.

3. CAZUZA (MWANAMUZIKI WA BRAZIL)
Alipokuwa katika shoo yake ndani ya jiji la Rio De Janeiro, alichukua sigara, akaanza kuivuta, akachukua nyingine na kisha kuirusha juu na kusema "Mungu, hiyo yako, chukua nawe uvute"

Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ambayo iliyaharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote yule.

4. MTENGENEZAJI WA MELI YA TITANIC.
Baada ya kutengeneza meli ya Titanic, mwanahabari akamuuliza ni kwa kiasi gani ilikuwa salama nae akajibu "Ni salama sana, haiwezi kuzama na hata Mungu hawezi kuizamisha"
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu Titanic.

5. BON SCOTT (MUIMBAJI)
Mwimbaji huyu ambaye alitamba miaka ya 70 alitoa wimbo wake mmoja mwaka 1979 wenye maneno haya
"Don't stop me; I'm going down all the way, down the highway to hell'.

Tarehe 19 February mwaka 1980, alikutwa amekufa baada ya kupaliwa na matapishi yake.

6. Mwanamke mmoja alikuwa akihofia sana kuhusu ulevi wa marafiki wa mtoto wake. Wakati wanataka kuondoka na gari, akamshika mtoto wake mkono garini na kumwambia "Binti yangu, Mungu awatangulie katika safari yenu" Yule binti akajibu "Gari imejaa mama, huyo Mungu labda akae kwenye boneti la gari".

Baada ya masafa fulani ya safari yao, gari lile lilipata ajali kiasi ambacho hata polisi hawakujua ni aina gani ya gari lilikuwa.

Lilikuwa limebondeka sana na watu wote walikutwa wamekufa. Kilichowashangaza polisi, trey la mayai wala halikuonekana kuguswa na hakuna hata yai moja lililokuwa limevunjika na wakati gari lilibondeka mpaka kutokutambulika.

7. CHRISTINA HEWITT (MWANDISHI WA HABARI)
Huyu alikaririwa akisema hivi "Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya...kibaya na kibaya kama Biblia"
Siku chache baada ya kusema maneno hayo, mwili wake ulikutwa umeunguzwa na moto ambao haikujulikana mpaka leo ule moto ulisababishwa na nini.

8. MARILYN MONROE (MUIGIZAJI)
Huyu alifuatwa na Bill Graham na kumwambia kwamba alitumwa na Roho wa Mungu kwa ajili ya kumhubiria. Alimkaribisha ndani, akamsikiliza kwa makini, alipomaliza akasema "Simhitaji Yesu wako, unaweza kuondoka nae". Wiki moja baadae, alikutwa amekufa katika makazi yake. Polisi walijaribu kuchunguza kipi kilimuua, mpaka leo hawajapata jibu.

TUKESHE TUKIOMBA KWANI HATUJUI SIKU WALA SAA

MFANYABIASHARA MKUBWA WA MADAWA YA KULEVYA TANZANIA AKAMATWA

$
0
0
Dar es Salaam. Anti-drugs police have arrested a man believed to be the country’s most wanted drug kingpin. Ali Khatibu Haji, popularly known as Shikuba, was arrested at Julius Nyerere International Airport (JNIA) last Sunday after two years of an intensive manhunt. The 44-year-old is considered one of the most powerful and influential drug barons in Tanzania. He is said to be the leader of a cartel operating principally in East Africa but with a reach as far as China, Brazil, Canada, Japan, the United States and the United Kingdom.

He was charged last week with trafficking in a record 210 kilograms of heroin worth around Sh10 billion. Police seized the drugs in Lindi in January 2012 and have linked him with the haul. Shikuba reportedly fled to South Africa the same day the drugs were seized and has since been in hiding.

It is not clear how he sneaked into the country and managed to get a new passport but on February 28, the manhunt paid off. Investigators had been on his trail in Dar es Salaam before cornering him at the airport as he prepared to leave the country.

He had been at the airport for an hour before officers from the anti-drugs task force descended on him and arrested him at around 1 p.m. as he was about to board a South African Airways flight. The head of the Anti-Drugs Unit (ADU), Mr Godfrey Nzowa, told The Citizen on Sunday: “It’s true that we got him. His arrest is a major milestone in our efforts to nab the big fish. He is among the suspected powerful and influential traffickers.”

Entries in his passport indicate that Shikuba had in the past two years frequented Canada, the United Kingdom, the United States, China, Japan and Brazil. The passport was issued in Zanzibar in June last year.

Shikuba has also been charged with the murder in 2007 of a young Tanzanian who died in China after reportedly swallowing drugs. According to police reports, Shikuba used the victim as a courier. He was acquitted, though, after the Director of Public Prosecution dropped the charges for lack of sufficient evidence.

Two years later, officers from ADU arrested Shikuba and asked the Ilala district court to place him under the watch of the police and courts because they had reliable information that he was a notorious drug dealer operating in and outside the country. The court ordered him to report to ADU once a month for a year. One of the security officers who took part in the arrest told The Citizen on Sunday that the suspect was “big-headed” upon his arrest. He reportedly refused to cooperate with the police and told them he would only speak in court.

After his arrest, Shikuba was driven to Central Police Station under tight security. He was taken to Lindi the following morning and charged with trafficking in drugs.

The Citizen on Sunday has reliably learnt that authorities in US and UK are also on his trail over similar accusations. Shikuba was among 12 people appearing on the list of suspected notorious drug dealers released by a Tanzanian prisoner in Hong Kong last year. He is also among 122 suspected drug dealers who were arrested between 2007 and 2008 and put under court and police supervision.

Anti-drugs officials in Tanzania have for the past year intensified the war against drug trafficking and registered significant success at transit points such as airports. Dozens have been arrested in the past year at JNIA and Kilimanjaro International Airport. Early last month, authorities impounded 201 kilograms of heroin worth $5.5 million (Sh9 billion) hidden in an Iranian ship. The development came just a few weeks after the Canadian military ship Toronto impounded 265 bags of heroin weighing more than 280kgs aboard a vessel while patrolling the Indian Ocean.

OSTAZ JUMA AWAOMBA RADHI WATANZANIA KWA KUMDAHALILISHA PNC

$
0
0
OSTAZ JUMA "NDUGU KWANZA KABISA NAOMBA NIWAOMBE RADHI KWA YOYE YALIYOTOKEA NA KUBWA ZAIDI NI JUU YA POSTI AMBAYO ILIKUWEPO HAPA KWENYE ACCOUNTI YANGU, UKWELI NI KWAMBA HAIKUWA POSTI AMBAYO MIMI BINAFSI NILIIANDIKA, KUNA WATU WENYE NIA MBAYA NA MIMI WALI-HIKE AKAUNTI YANGU NA KUPOSTI HICHO WALICHOANDIKA.. NAWAOMBA MNISAMEHE WALE AMBAO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE WATAKUWA WAMEKWAZIKA NA POSTI HIYO, NASISITIZA KWAMBA HAIKUWA POSTI YANGU NA NDIO MAANA NILIPOFANIKIWA KUIPATA TENA AKAUNTI YANGU NIMEIFUTA NA KUANDIKA UJUMBE HUU.... SISI NI WATANZANIA NA NCHI YETU NI YA AMANI NAMI PIA NI MPENDA AMANI, TUDUMISHE AMANI YETU."

LINAH AWEKA PICHA YENYE UTATA MTANDAONI...AKIWA AMELALIWA

$
0
0
Kama ni mtihani hapo swali lingekuwa hivi ....Describe the Above Picture using few words

JAMANI MIMI NAHISI KUJARIBIWA NA HUYU DEMU..

$
0
0
Ni mdada tunaheshimiana sana na pengine amekuwa kama adopted sister kwa upande wangu, anajua A - Z kuhusu majanga yangu na wadada wa mjini na pengine anatumia muda wa kutosha kunishauri.
Sasa hali ni tofauti siku tatu zilizopita consecutively siku ya kwanza kaniomba nimpeleke akaogelee swimming pool bila shida nikampeleka anachojoa vinguo vyake mbele yangu huku akinitaka tuogelee wote huku viungo vyake vyote tete vinamvuta kila aliye lijali!!!!!!! 
tulichelewa kufika kanitaka twende kwake kwanza kufika kaniganda nilale kwake eti anaogopa nikadhani labda ntalala peke yangu stori stori na mimi mpaka mzee nikahisi usingizi kanipeleka chumbani kulala kanipigisha tena stori hadi nikapitiwa na usingizi bila kujua nimeshituka tumekumbatiana ahsubuhi ila nilijikuta na nguo zangu na yeye yuko na nguo zake alizokuwa amevaa kadai naye alipitiwa na usingizi!!!!
Kesho yake kila mtu kashika 50 zake jioni kanitafuta tukapita club tukapiga moja baridi moja moto tukaenda kulala kwake maana anaogopa mpaka apate msichana wa kazi, sijajua kwa kuwa nilikunywa sijui alinishawishije tukalala chumbani kwake nimeamka nikajikuta niko na bukuta yeye na shimizi ila nadhani hatuku du!!!!!!!!!
Kesho yake jioni aliponitafuta nilimwambia najisikia vibaya na nalala kwangu mzee si akaibuka home nikajidai naumwa oh!!!! full huduma mara juisi, mara matunda, mara msosi huku kavaa nusu ut.upu mwisho wa siku kadai hawezi lala mbali na mgonjwa tukalala sote! Sasa leo kadai hawezi kulala wala kushinda bila mimi namheshimu sana jamani sijajua namuepukaje hapa?
Kama wewe ulikutwa na mambo haya please wewe ulitatuaje? ndugu zangu nisaidieni jamani!

TAMKO LA KUKAA NJIA KUU KWA STAILI HII HALITAWEZEKANA

$
0
0
Mhhhh Mweee Kwa staili hii kweli tutafika ?
Eti huu ndio utamu wa Mume...........

ACT YASHUSHA BENDERA ZA CHADEMA HUKO KIGOMA,WANACHAMA 3500 WA CHADEMA WAJIUNGA ACT

$
0
0
Chama cha Alliance For Change and Transparency Mkoa wa Kigoma,kimeshusha Bendera ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA tawi la Ujiji  stendi ya zamani na kupandisha bendera ya (ACT) wakati wa uzinduzi rasmi wa matawi sita katika manispaa ya kigoma ujiji.
  Akizungumza na wananchi wa eneo hilo, Katibu wa ACT Mkoa Athuman Kabogo alidai lengo la kushusha bendera hiyo ni hatua ya kukataa kugeuzwa kuwa vibaraka wa watu wengine kwa kukosa haki ya kuhoji na kuwania nyadhifa za chama hicho na
hivyo  kuanzisha  ACT kama chama cha  wanyonge kinachoweza kuwasikiliza na kutoa haki kwa kila mmoja
  Kabogo aliwataka wanachama wahitaji, wachukue kadi za ACT ili chama kipate usajili kamili kwa mujibu wa sheria,kanuni na taratibu husika pamoja na kutoa michango endelevu ,ikiwa ni jitihada za makusudi kuhakikisha chama kinasonga mbele
kwa maslahi ya Taifa.
  “Wananchi nyie ni chachu ya chama kuwepo kwenye mchakato wa uchaguzi mdogo wa wenyeviti wa serikali za mitaa kwa kukiamini  na kukipatia ridhaa kiweze kuleta
mabadiliko ya kimaendeleo” alisema Juma Ramadhan aliyekuwa katibu kampeni wa CUF kigoma.
  Kwa upande wa Katibu ACT Kanda Magharibi Wiston Moga alisema, lengo la chama ni kuleta mabadiliko kwenye ulingo wa siasa,ambapo wao wamedhamiria kutetea maslahi  ya umma kwa lengo la kuondoa mfumo wa maslahi binafsi ambayo ni chachu ya vyama vya siasa kushindwa kuleta mabadiliko chanya kwa wananchi.
  Katika ziara hiyo ya uzinduzi wa matawi ya chama husika,ACT kimefanikiwa kufungua matawi kwenye kata sita kati ya kata 19 zilizopo katika manispaa ya kigoma ujiji,huku baadhi ya viongozi kutoka UPD,CHADEMA na CUF wakijiunga na chama hicho
kwa kudai wanahitaji chama chenye uchungu na kukabiliana na changamoto za wanyonge.
  Hata hivyo  wanachama 3500 wa chama cha Democrasia na Maendeleo Chadema katika tawi la Ujiji mkoani Kigoma wamehamia chama kipya cha Alliance For Change and Transparency (ACT).
 Na Magreth Magosso, Kigoma

BEEF LA YANGA NA AZAM TV LAFIKA PABAYA...KUNANI JAMANI? WHO IS BEHIND THIS?

$
0
0













 Statement ya MGB!!
My attention has been drawn to reports emanating from a section of Yanga SC’s leadership, insinuating that the rights holders was behind the unfortunate incident where Tanzanians were unable to view the match.
As per the contract we signed with Yanga, we were to broadcast the match in Middle-East and North-Africa.
 The mandate to televise in Tanzania territory was not in our domain.
Yanga FC signed a contract with MGB, and within the stipulated time frame, MGB wired a deposit from their account account in Egypt to Yanga’s bank account.
But we encountered an unfortunate beyond our reach and our team from Cairo couldn’t board their flight on time.
Despite a written letter on Egyptian Embassy letter-head by the deputy ambassador that MGB is a reputable agency, despite guarantee’s from TFF president, Jamal Malinzi and the Egyptian Ambassador in Egypt, despite numerous guarantee’s by Al Ahly FC management that they will pay the cash after the match, Yanga FC were adamant.
When they finally saw sense, it was unfortunate that Star TV had already made their way back to their offices and it was too late.

The matter has not only caused discomfort to Tanzanians, but Egyptians as well and has left a sour taste in an era where  countries are trying to build relations, and especially in football where we are in the era of player transfers and knowledge sharing.


It was a good opportunity for Tanzanian players to showcase their talent to the Middle-East and North Africa, generate interest and maybe get requests from foreign clubs for players to transfer thereby boosting revenues of the club but due to the unfortunate circumstance, this was not to be. And moreso that Yanga won, it would be a household name world over with people watching clips on Youtube of the goal scorer.NA SHAFIH DAUDA

SHIRIKA LA UMEME TANESCO HATARINI KUFILISIWA

$
0
0
Dar es Salaam. Wakati Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likipandisha bei ya umeme kwa zaidi ya asilimia 40, limetakiwa kulipa zaidi ya Sh844.8 bilioni, kwa kampuni zilizoifungulia kesi mbili tofauti kwa kukiuka mkataba wa kukodisha mitambo ya kuzalisha umeme ya Kampuni ya IPTL.

Baada ya shirika hilo kushindwa kesi hiyo, sasa limepoteza pia haki ya kumiliki mitambo ya IPTL ikiwa ni mwaka mmoja tu kabla ya muda wa kuikodisha ufikie kikomo na mitambo hiyo iwe mali ya Tanesco kwa asilimia 100.

Mkataba huo wa kukodisha mitambo hiyo wa miaka 20 ulioingiwa mwaka 1995, ulikuwa ufikie kikomo mwaka 2015.

Kiasi hicho cha fedha ni sawa na kiasi cha fedha ambazo kinapangwa kwa ajili ya bajeti za wizara nyeti nchini.

Wakati Tanesco ikitakiwa kulipa deni hilo la Sh884.5 bilioni, mapato yake kwa mujibu wa bajeti ya 2012/2013, ni kati ya Sh60 bilioni na Sh70 bilioni kwa mwezi, huku matumizi yake yakiwa Sh11 bilioni.

Taarifa ambazo gazeti hili limezipata, zinaeleza kuwa Tanesco ilikuwa na kesi mbili, moja iliyofunguliwa jijini Dar es Salaam na nyingine Washington DC nchini Marekani.

Kwa upande wa kesi ya jijini Dar es Salaam, hukumu yake ilitolewa na Jaji John Utamwa wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Januari 17 mwaka 2014 saa 8:30 usiku.

Hukumu hiyo imeanza kuzua maswali mengi kiwa baadhi ya watu wakihoji kwa nini itolewe usiku na siyo mchana.

Hukumu nyingine ni ile iliyotolewa Februari 12 mwaka 2014 na Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji cha Washington DC nchini Marekani.

Katika kesi ya jijini Dar es Salaam, mdai alikuwa ni VIP Engineering and Marketing LMT pamoja na Independent Power Tanzania (IPT).

Wajibu madai katika kesi hiyo walikuwa ni Pan Africa Power Solutions T (LTD), Benki Kuu ya Tanzania ambako Tanesco walikuwa wamefungua akaunti maalumu (ESCROW Account), Stanbic Tanzania Ltd pamoja na UBL Bank Tanzania LTD.

Kwenye kesi ya Washington, Standard Charted Bank (Hong Kong) Limited, iliishtaki Tanesco kwa kukiuka mkataba wa kushindwa kuwalipa ushuru wa Dola za Marekani 2.5 milioni kila mwezi.

Fedha hizo zinatokana na benki hiyo kununua madeni ya Kampuni ya IPTL, iliyokopa katika Benki mbalimbali za Malaysia.

Baada ya hukumu hizo, fedha ambazo Tanesco ilikuwa ikiziweka kwenye Akaunti Maalumu kwenye Benki Kuu ya Tanzania (ESCROW Account) ambazo zilikuwa zimefikia Dola za Marekani 270 milioni (Sh432 bilioni), zimechukuliwa na Pan Africa Power Solutions T Ltd ambayo pia kwa sasa inamiliki mitambo ya IPTL kwa asilimia 100.

Pia kwenye kesi ya kukiuka masharti ya mkataba ya kushindwa kuwalipa kwa wakati fedha ambazo walikuwa wanadaiwa. Katika hukumu hiyo iliyotolewa Washington, Tanesco imetakiwa kuilipa Standard Charted Bank (Hong Kong) Limited Dola za Marekani 258 milioni sawa na Sh412.8 bilioni.

Hukumu hiyo ilielekeza kuwa, VIP ilipwe Dola za Marekani 67,500,000 sawa na Sh109.1 bilioni, fedha ambazo tayari zimeshalipwa.

Mmiliki wa Kampuni ya VIP

Mmiliki wa Kampuni ya VIP, James Rugemarila alikiri kuuza asilimia 30 ya hisa zake ilizokuwa nazo IPTL, ingawa hakuwa tayari kutoa maelezo zaidi akisema yatatolewa na mwanasheria wake.

“Maswali yako ni ya kisheria zaidi, labda mwanasheria wangu wiki ijayo atatoa ufafanuzi zaidi, kwa sasa hayupo. Ninachoweza kusema ni kweli tumeuza hisa zetu,” alisema Rugemalila.

Jaji Kiongozi, Jundu

Naye Jaji Kiongozi, Fakihi Jundu alisema kuwa hawezi kuthibitisha moja kwa moja kuwa hukumu ya kesi hiyo ilitolewa usiku.

“Sina uhakika kama hukumu hiyo ilitolewa usiku, lakini mahakama kutoa hukumu baada ya jua kuzama siyo mara ya kwanza, kuna wakati mtu alikuja kufungua kesi akitaka Rais asiapishwe, hukumu ile ilitolewa usiku,” alisema Jundu.

Wizara wazungumza

Mkurugenzi wa Tanesco Felchesmi Mramba alitafutwa kupitia simu zake za mkononi, lakini zilikuwa zikiita bila kupokelewa.

MWANAMUZIKI BARNABA AJIFANINISHA NA DIAMOND NA KUPOST PICHA YA SIX PACKS ZAKE WATU WAMPONDA

$
0
0
Mwee Barnaba Boy Alitupia picha hiyo Instagram na mara hiyo hiyo watu wakaanza kuponda na kumpa ushauri .....Jamani hizo ni Six packs ama two Packs ...Nenda Gim Broooodah

LUPITA NYONG'O ASHINDA TUZO YA OSCAR MAREKANI USIKU WA KUAMKIA LEO

$
0
0
Mwigizaji mahiri wa Kenya, Lupita Nyong'o amenyakua tuzo ya Oscar kupitia filamu ya ‘12 Years a Slave’ huko Los Angeles nchini Marekani

Beauty, Grace, Intelligence, and Flawless skin! I'm so happy for her, she's gorgeous and she definitely deserved that award. It's good to finally see a dark skinned female in Hollywood, hopefully she opens the door for many more

Ms. Lupita, you are what was missing from Hollywood.

I'm glad you've finally arrived

Watch Video hapa:

WOLPER ATESWA NA USAGAJI

$
0
0
Stori: Mayasa Mariwata
MWIGIZAJI Jacqueline Wolper, amesema anaumizwa sana na tetesi zinazozagaa kama moto wa kifuu kitaani kuwa anajihusisha na vitendo vya usagaji.

Akizungumza na paparazi wetu kuhusiana na skendo hiyo, mwanadada huyo alisema, akiwa kama mwanamke anayejitambua na kumtukuza vyema Mungu wake jambo hilo limekuwa likimuumiza.

“Roho inaniuma sana kuhusiana na hizo taarifa sijui niongee nini ili jamii inielewe kile nitachokizungumza, ni ngumu sana kufanya hicho kitu ambacho najua hakimpendezi Mungu kivyovyote vile,” alisema Wolper.
Credits:Global Publishers

KUHUSU KUTEKETEA KWA MALI ZA KANUMBA HII NI STORI KAMILI

$
0
0
Stori: Joseph Shaluwa na Erick Evarist
MASKINI! Stori zilizozagaa mitaani kuhusu mali za aliyekuwa mkali wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Kanumba zinasema kuwa, zimeuzwa na kampuni aliyoiacha, Kanumba The Great Film imefilisika, Ijumaa Wikienda linakupa ripoti iliyoshiba.

Habari zinadai kuwa baada ya kifo cha Kanumba Aprili 7, 2012, mali alizoziacha zinafujwa, hakuna utaratibu mzuri wa kusimamia mamb

na kwamba, uzalishaji wa sinema katika kampuni yake ni mdogo tofauti na enzi za uhai wake.
Chanzo chetu cha habari ambacho ni mmoja wa wasanii wa filamu Bongo aliye na ukaribu na familia hiyo, alisema ni kweli kuna tatizo la usimamizi na uendelezaji wa mali za marehemu lakini akasema ni jambo la kawaida kwa sababu marehemu ameondoka na mbinu zake.

“Kila mtu ana nyota yake kaka, asikudanganye mtu, lakini pia kila mmoja ana namna anavyojua kuendesha biashara zake, sasa Kanumba alikuwa na mikakati yake, hawa walioachiwa nao wana mikakati yao. Mfano, hawataweza kutoa sinema nyingi kwa sababu soko la waliobaki si kubwa kama ilivyokuwa kwa Kanumba.

“Angalia hata ushindani... hivi kweli Seth (Bosco, ‘mdogo wa Kanumba’) anaweza kupambana na magwiji kama JB (Jacob Steven) au Ray (Vincent Kigosi) sokoni? Watu waache lawama,” alisema msanii huyo ambaye aliomba hifadhi ya jina.
MDOGO WAKE ABANWA
Waandishi wa habari hizi walifunga safari hadi Sinza–Mori, Dar zilipo Ofisi za Kanumba The Great Film na kuzungumza na mdogo wa marehemu Kanumba, Seth Bosco ambaye alisisitiza kampuni ya marehemu kaka yake haijafilisika kama maneno yalivyozagaa mitaani.

“Hao wanaosema eti kampuni ya Kanumba imefilisika wanakurupuka tu, hawana cha kufanya lakini nataka kuwahakikishia kuwa, hatujayumba ila tunakabiliwa na changamoto za kawaida tu kama inavyokuwa kwa kampuni nyingine,” alisema Seth.

KUHUSU LEXUS
WIKIENDA:Tulisikia gari alilokuwa akitembelea marehemu Kanumba, Toyota Lexus limeuzwa. Ni kwa nini na liliuzwa kwa bei gani?
SETH: Kama familia tuliamua kuliuza kwa sababu ya gharama za uendeshaji. Lile gari linatumia mafuta mengi sana na matengenezo yake ni makubwa na hatukuona sababu za kuingia kwenye gharama kubwa za namna hiyo.

Kuhusu bei lililouziwa, kwa kweli sifahamu. Kama unavyojua baada ya mtu kufariki dunia, huwa kuna msimamizi wa mirathi, yeye ndiye anayejua kuhusu hilo.

UZALISHAJI
WIKIENDA: Kipindi cha Kanumba, alikuwa akitoa sinema nyingi sana, nadhani kama sikosei ilikuwa moja kila baada ya miezi miwili wakati mwingine kila mwezi sinema moja lakini baada ya yeye kuondoka, uzalishaji hakuna tena.  
Mfano mpaka sasa kuna sinema mbili tu sokoni tangu alipokufa ambapo inakaribia miaka miwili sasa. Tatizo ni nini?

SETH: Ni kweli, lakini si kwa sababu ya tatizo la fedha – ni uhitaji. Unajua kuna changamoto nyingi sana kwenye tasnia yetu. Ni kweli mpaka sasa tumetoa sinema mbili; Malaika na Wonderful Girl ambayo tayari iko kwa msambazaji lakini bado haijaingia mitaani.

Mwaka huu ndiyo tumeanza, kuna kazi moja tunaifanya sasa hivi, ingawa si ya kwetu, sisi tunasimamia kwenye production (kuizalisha) lakini mipango ya mwaka huu ni mikubwa, mapema sana, tutaanza kurekodi kazi yetu nyingine, kwa sasa siwezi kusema jina lake ila inakuja

OFISI VIPI?
WIKIENDA: Kwa nini muda mwingi ofisi inakuwa imefungwa tofauti na ilivyokuwa kwa marehemu Kanumba?
SETH: Kaka hii ni kampuni, sisi tunafanya biashara na mteja wangu hahitaji kunifuata. Mimi mteja wangu ni Steps, ambaye namtayarishia kazi kisha nampelekea.

Milango inaweza kuwa imefungwa lakini kazi za ‘editing’ zikawa zinaendelea ndani au tukafunga ofisi lakini tukawa location tunarekodi, kuna tatizo gani hapo?
WIKIENDA: Lakini marehemu alikuwa anauza hadi filamu hapa ofisini? Imekuwaje siku hizi?

SETH: Hatujawahi kuuza sinema hapa ofisini ila tulikuwa tunaweka kama mfano wa kazi zilizowahi kufanywa na marehemu – si za watu wala kampuni nyingine. Lengo lilikuwa kuwapa watu wanaotutembelea (bure), si kwa kuwauzia.
Bila shaka maelezo hayo ya Seth yatakuwa yamejibu maneno yote yanayosemwa mitaani.
Credits:Global Publishers

"NAMCHUKIA OSTAZ JUMA HATA SALAMU YANGU SIWEZI KUMPA"NEY WA MITEGO

$
0
0
Mkasa wa Ostaz Juma na PNC linaweza kutajwa kuwa moja kati ya matukio yaliyozungumzwa zaidi kwa wiki iliyopitwa kupitia mitandao ya kijamii na baadae kuwa topic kwenye radio na television wiki iliyopita.

Ingawa wasanii wengi walilaani kitendo hicho, rapper wa Manzese, Nay wa Mitego yeye aliiambia Bongo Dot Home ya 100.5 Times Fm kuwa kitendo alichokifanya Ostaz Juma kupost picha zinazomuoenesha PNC akimpigia magoti, kwa upande wake amemkosea yeye hata kuliko PNC mwenyewe.

“kumpigia mtu magoti kwa ajili ya kuomba msamaha ni sahihi. Lakini kuna upigiaji wa magoti mwingine ambao baadae unaweza kuonesha picha mbaya kuwa umedhamilia kumdhalilisha. Halafu Ostaz Juma hana nidhamu halafu ni mtu ambaye hajitambui. Vijisenti anavyovipata nadhani ndivyo vinampa jeuri ya kudhalilisha wasanii wenzetu, sio kitu kizuri. 

"Mimi tangu nilipoona hizo picha nilisema siwezi kumpenda hata siku moja, hata salamu yangu siwezi kumpa. Siwezi kumheshimu hata kidogo. Nitamdharau kuliko kitu chochote, kuliko mtu yeyote aliyewahi kunikosea sana. Ila katika watu ambao waliowahi kunikosea, nafikiri mimi Ostaz Juma amenikosea kupita maelezo. Kuliko alivyomkosea PNC mwenyewe.” Nay wa Mitego

MWEE! ETI KISA CHA KAJALA KULISHWA SUMU NI MUME WA MTU

$
0
0
Wiki iliyopita muigizaji wa filamu nchini Kajala Masanja alikiri kuwekewa sumu wakati alipokuwa kwenye show ya mwanamuziki Izzo Buzness. Star huyo aliwahi hospitalini na hali yake kuwa nzuri. Hata hivyo star mmoja wa filamu akizungumza na Swahiliworldplanet kwa sharti la kutoandikwa jina lake alisema kuwa Kajala alifanyiwa kitendo hicho cha kifedhuli kutokana na madai ya kutembea na mume wa mtu ambaye anadaiwa kumpangishia nyumba ya kifahari "kachukua mume wa mtu huyo Kajala, yes kuna libaba limempangia nyumba nzima so nahisi ndiyo sababu ya kuwekewa sumu" kilisema chanzo hicho.



Hata hivyo Kajala alijaribu kutafutwa ili kutolea ufafanuzi madai hayo lakini kwa siku mbili hakuweza kupatikana.
CREDIT : SWAHILI WORLD PLANET

REHEMA FABIAN LAIVU NA KIBABU CHA KIZUNGU

$
0
0
Stori: Shakoor Jongo
KhAA! Mshiriki wa Shindano la Miss Kiswahili mwaka 2009 ambaye kwa sasa yuko nchini China akijitafutia maisha, Rehema Fabian amenaswa laivu akiwa kimahaba na kibabu cha kizungu.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu, mnyetishaji wetu ambaye naye yuko nchini humo alisema kuwa kwa sasa mrembo huyo anajiachia na babu huyo ambaye kwa kumwangalia harakaharaka anaweza kuwa sawa na mjukuu wake.
“Unajua mapenzi ya wazee ni mazuri sana, kwanza wanajua kubembeleza, isitoshe hawakupi msongo wa mawazo mara kwa mara kama yalivyo mapenzi ya vijana na ndiyo maana Rehema akaona bora ajiachie na kibabu,” alisema mtonyaji huyo.

Baada ya kupata ‘infomesheni’ hizo, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Rehema ili kujiridhisha kuhusiana na stori hiyo ambapo kwa upande wake alianza kucheka kisha kudai aachwe ale ujana.
“Ahaha! Mshaanza mambo yenu, niacheni jamani nile ujana,” alisema Rehema.
Credits:GPL

HABARI NYINGINE KUHUSU TELEX FREE KUCHUNGUZWA RWANDA

$
0
0
The government is investigating the operations of a business that has attracted many Rwandans with its quick cashback philosophy, typical of pyramid schemes also known as Ponzi schemes.
TelexFREE, an Internet-based service, requires new members to pay more than $1,570 (Rwf1,067,600) and post three advertisement links to start earning $100 (Rwf68,045.26) weekly. By recruiting new members, one stands to earn bonuses, it claims.
TelexFREE has been banned in Brazil and is under investigation in the US and other countries around the world on suspicions that it could be a Ponzi scheme.
Emmanuel Bayingana, the official in charge of Competition at the Ministry of Trade and Industry, confirmed that TelexFREE was being investigated.
“We are doing an assessment of the operations of TelexFREE,” Mr Bayingana said. “The investigations will determine the way forward. The assessment will be concluded next week.”
He noted that the ministry, Rwanda Development Board (RDB) and the central bank will come up with a position, especially if the business is found to be risk-prone.
The government has been strict on pyramid schemes and multi-level marketing businesses with a number of them, including Questnet, banned from operating in Rwanda.
At the TelexFREE offices in the Kigali suburb of Remera near the taxi park in a new complex that also houses Bank of Kigali, a few office staff members lurk around trying to win more clients.
“It’s a profitable business. You can join and make $100 a week. I make the same every week by just posting three links,” one of the staff members only identified as Hakim said in an attempt to convince the writer to join the scheme.
TelexFREE is a multi-level Internet marketing scheme which uses VoIP technology to share advertisements online. Fred Ndoli, one of the members and an active recruiter, maintains that the business is genuine.
Recoup investment
“People are making money,” Mr Ndoli said. “I earn $100 a week after investing in it. I post links from a computer or using my phone. It takes only five minutes.”
Mr Ndoli said he only joined two months ago but was confident he would recoup his investment and make even more money soon. He insisted that those crying foul failed to fulfil their part of the agreement.
“I think they failed to post links,” he said. “You make money by posting links. If you don’t post links, you don’t make money.”
Three people who lost their savings in the scheme told Rwanda Today they were told that they failed to “post links” to recover their money.

One of them, who joined recently, said he was informed that once one fails to post links they forfeit their investment.“It’s a risky business. It means that you have to have Internet everyday, wherever you are, because if you fail to post you lose your money,” the member said on condition of anonymity.
Efforts to reach the country director of TelexFREE, Fred Nyakana, were futile as calls and messages to his phone went unanswered. When we visited the offices, Mr Nyakana was said to be in a meeting.
Many members say they are making money but experts in such multi-level marketing businesses contend that those who join first make money while those who join later “only pay those who recruited them.”
According to Ted Nuyten, an international home-business marketing expert, such schemes usually collapse after more people join. When the business starts becoming passive and stagnated, the founders pull out, leaving hundreds, if not thousands, of complainants behind.
In a review Mr Nuyten did for TelexFREE, he does not recommend people to join the scheme basing on some facts around the said business. He says the fact that it was banned in Brazil qualifies it as a Ponzi scheme.
“In fact, in Brazil, TelexFree has been shut down since June of 2013, its assets frozen, they have been ordered not to recruit any new people in the country and they not to pay any commissions and bonuses,” Mr Nuyten noted.
“They have lost a number of appeals to have the injunction against them lifted, not to mention that they have been fined for not meeting the various requirements in Brazil to operate as a VoIP company.”
He added that TelexFREE was under criminal investigation in Brazil after it diverted its earnings, amounting $88 million (Rwf61 billion), to secret accounts to avoid legal action and that in the United States regulatory bodies were closely watching the Brazil situation.
“Anyone involved with TelexFREE is either new to the industry and/or knows nothing about regulatory compliance as it relates to a network marketing company and opportunity,” he said. “TelexFREE is a very high-risk investment opportunity.”
Mr Nuyten also pointed out that the fact that somebody was making money did not make the scheme legal or legitimate.

MKURUGENZI EROLINK ATOROKA NCHINI

$
0
0
MKURUGENZI wa Kampuni ya uwakala wa ajira ya Erolink Tanzania Limited ametoroka nchini baada ya serikali kubaini kuwa ameikosesha kodi ya zaidi ya sh bilioni tatu kwa miaka mitatu.

Tanzania Daima imedokezwa kuwa mkurugenzi huyo ajulikanaye kwa jina la Elvis Rogers Kamanyile, aliondoka nchini na familia yake kuhofia hatua za kisheria ambazo zinaweza kuchukuliwa kwa kosa la kukwepa kodi.

Aidha, chanzo chetu kilidokeza kuwa mkurugenzi huyo aliondoka nchini kwa madai ya kwenda kutibiwa ingawa madai hayo yanasemekana kutokuwa na ukweli ndani yake. Habari zilizopatikana zilidokeza kuwa hivi sasa kampuni hiyo ya Erolink ipo katika mchakato wa kubadili jina ili kuepuka kesi ya madai ya kukwepa kodi inayokuja mbele yake, huku baadhi ya viongozi serikalini (majina yanahifadhiwa) wakiwa mstari wa mbele kufanikisha zoezi hilo.

“Hivi sasa Erolink ipo katika mchakato wa kubadili jina ili kupoteza ushahidi lakini pia kama hiyo haitoshi zoezi hilo linasimamiwa na baadhi ya viongozi wazito serikalini, kutokana na baba wa mkurugenzi huyo aliwahi kuwa mkurugenzi wa moja ya benki kubwa hapa nchini ili kuhakikisha sakata hilo linazimika kwa sheria kutofuata mkondo wake,” kilisisitiza chanzo hicho.

Hofu ya mkurugenzi huyo inakuja baada ya agizo la Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, alilolitoa wiki mbili zlizopita la kupiga marufuku utaratibu wa mawakala kuajiri wafanyakazi wanaowatafutia.

Badala yake aliwataka mawakala husika wakiwamo Erolink kuwahamisha wafanyakazi waliokodishwa kutoka kwao na mawakala wengine kwenda kampuni husika moja kwa moja na kuwa waajiri halali katika kipindi cha mwezi mmoja.

Kwa mujibu wa Waziri Kabaka, kuhusiana na uchunguzi uliofanywa kwa kampuni 13 ulibaini kuwepo kwa ujanja unaotumiwa na mawakala wanane kutofuata na kuzingatia sheria na taratibu ambapo mwisho wake hukwepa kodi na kujipatia faida kwa kutotoa haki za msingi kwa wafanyakazi kama inavyofanywa na Erolink.

Mbali ya hayo, uchunguzi pia ulibaini kutokuwapo kwa tahadhari kwa wafanyakazi wanaoajiriwa kwa utaratibu huo ikiwemo kukosa haki za kijamii kama likizo ya uzazi, matibabu na sheria za mifuko ya hifadhi ya jamii.

Waziri Kabaka alibainisha kuwa uwepo wa kampuni za mawakala wanaoajiri watu unaleta mfumo wa kibaguzi katika mishahara kwa kazi za aina moja, kukosa fursa ya kujiendeleza kielimu na mafunzo, kukosekana kwa uasalama na uhakika wa ajira huku wafanyakazi wakilipwa mishahara ya kima cha chini kinyume cha sekta wanayofanya kazi.

Hata hivyo kampuni nyingi za uwakala hapa nchini ikiwamo Erolink zinakiuka sheria ya ajira na uhusiano kazini namba 6/2004 inayomtaka mwajiri kuchukua hatua stahiki kwa kuhakikisha wafanyakazi bila kujali jinsia zao wanalipwa mshahara linganifu kwa kazi zenye uzito na thamani sawa.

Pamoja na katazo hilo Tanzania Daima limebaini kuwapo kwa wafanyakazi wa kigeni wanaohusishwa katika utaratibu wa kukodishwa ambao Waziri Kabaka aliwataka kuhakikisha wanaomba vibali huku akisisitiza kwamba waajiriwe na kampuni zinazowakodisha.

LORD EYEZ AHUSISHWA NA TUKIO JINGINE LA UWIZI ARUSHA

$
0
0
Mwaka jana ni mwaka ambao memba wa kundi la Weusi ambaye aliwahi kuwepo Nako 2 nako Lord Eyez,kuhusu kuhusishwa na wizi wa mali za msanii mwenzake Ommy Dimpoz,sasa hii imetokea Arusha kwenye wizi unaomhusisha tena Lord Eyez,sikiliza kupitia 87.9 Clouds Fm Arusha.
Bonyeza play kusikiliza.
Viewing all 104796 articles
Browse latest View live




Latest Images