Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

WHY SECRET BALLOT IS NOW SITTA'S NIGHTMARE

$
0
0
The chairman of the Constituent Assembly, Mr Samuel Sitta, today embarks on what could be his baptism of fire since his election to the sensitive position over a week ago.

Mr Sitta will attempt to solve one of the thorniest issues yet to bedevil the CA, with the 629 members so far failing to agree on what mode of voting should be adopted by the assembly.

The matter was so divisive that it was left pending when the committee that formulated the CA regulations under Prof Costa Ricky Mahalu presented its report.

Not even a reconciliatory team named by the then interim chairman, Mr Pandu Ameir Kificho, could break the deadlock on the method of voting.

Many CA members and independent commentators view how Members the Constituent Assembly (MCAs) should vote as an important weapon in winning  in sticky points of the new constitution making process in the face of any stark political differences or vested interests.

Some  MCAs have told The Citizen that the high stakes on whether an open or secret vote should prevail has been heightened by early signs that the ruling CCM was hell bent on pushing its own agenda.      

“We know CCM has a direct interest with the open voting system with President Kikwete and Mr Sitta having already taken sides on this. Therefore the MCAs shouldn’t  allow it to happen,” Mr John Mnyika told The Citizen yesterday.

Mr Mnyika, who is also the Ubungo MP from the opposition Chadema, cautioned that adopting an open voting system would mean CCM will bulldoze its way  through. “It will kill democracy and public interest at the altar of political demigods,” he said.

While those who overwhelmingly voted for Mr Sitta say he should be given the benefit of doubt to remain neutral, others argue his CCM membership, and the President’s weekend address to the CA that left little doubt what he expects of the process – lives him with little room to manoeuvre.

“Sitta is now faced with making a tough decision to either side with CCM that has expressly told its MPs and other inclined members to settle for nothing other than open voting,” said a CCM member who asked not to be named due to the sensitivity that his party has attached to those it viewed as ‘rebels’ advocating the secret vote.

He said a secret vote will enable members make independent decisions. “Some of us from CCM have not been swayed by President Kikwete’s position and will not change the resolve to back secret vote,” said the MP from the Lake Zone.

He advised that Mr Sitta to look for a mutual consensus on the matter before proceeding. Mr Sitta was not immediately available yesterday for comment but soon after his election, he was quoted as pledging to steer the house fairly, and that he will be guided by the wider interest of the nation.

He pledged last Friday that stalemate on the voting method will be resolved this week ahead of naming of various committees to embark on the job proper.          

Mr Mnyika pleaded with fellow MCAs to defeat any party propaganda and instead defend their right of a secret vote.

However, he added that the decision to go for open or secret vote will depend on who will become the steering committee chairperson. He added that the decision will also depend on who will be selected to join the chairman’s advisory committee.

Mr Ezekiah Oluoch said MCAs had already agreed to reach a consensus by sidelining selfish interests.

 “I cannot speak for others but I believe in the secret vote…. this will ensure privacy and security to all MCAs,” the trade unionist said.

Yesterday, CCM’s publicity and ideology secretary, Mr Nape Nnauye, said the CA should be left alone to decide on the matter.

BUNGE LA KATIBA NA WANANCHI WAKO NJIA PANDA

$
0
0
Kwa neno moja unaweza kusema kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na wananchi kwa ujumla wako “njiapanda”.

Hii ni baada ya hotuba ya ufunguzi wa Bunge hilo iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuibua mambo mazito ambayo kimsingi yanatofautiana na mapendekezo yaliyomo katika Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa bungeni na mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.

Huku wananchi wakijiuliza nini hatima ya Bunge hilo baada ya hotuba hiyo, baadhi ya wajumbe ambao wiki hii ndiyo wanaanza kujadili rasimu hiyo, watakuwa katika wakati mgumu wa kuamua wafuate maoni ya nani, kati ya viongozi hao wawili.

Ingawa Rais Kikwete amesema mara kadhaa kuwa wajumbe wa Bunge la Katiba ndiyo waamuzi. Mambo mengi aliyoibua yanaonyesha kutokubaliana kwake na baadhi ya maoni ya wananchi yaliyomo katika rasimu, ambayo Jaji Warioba amewahi kusema kuwa yanatakiwa kuheshimiwa.

Wakizungumzia tofauti hizo, mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Oluoch alisema kauli za Rais Kikwete na Jaji Warioba zimezidi kuwagawa wajumbe wa Bunge hilo kwa maelezo kuwa tangu awali wajumbe hao walikuwa wamegawanyika katika makundi mawili; ya wanaotaka muundo wa Muungano uwe wa serikali tatu na wale wanaotaka serikali mbili.

Alisema kama suala la muundo wa Serikali likishindikana kupatiwa mwafaka ni vyema likarudishwa kwa wananchi ili wapige kura ya maoni kuchagua aina wanayoitaka, kisha suala hilo lirejeshwe tena katika Bunge la Katiba kwa ajili ya kuboreshwa.

“Rais alipoanza kuzungumza alikuwa kama mkuu wa nchi lakini mwisho wa hotuba yake aligeuka kuwa mwenyekiti wa CCM. Kifupi alichokizungumza kimekwenda tofauti na wadhifa wake,” alisema.

Naye Deo Filikunjombe alisema: “Nadhani kwa hotuba hizi mbili, kazi ya wajumbe wa Bunge la Katiba itakuwa rahisi. Maana sasa wameshajua uzuri na ubaya wa serikali tatu na mbili.

“Hata kama kutakuwa na tofauti, wananchi ndiyo watakuwa wa mwisho kuamua kama Katiba hii ipite au isipite. Tunachotakiwa wajumbe ni kuwa makini na uamuzi wetu.”

Naye Yusuf Manyanga alisema: “Bunge la Katiba limejaa watu wenye busara. Sidhani kama tutashindwa kuelewana maana hata katika biashara ya utumbo inzi ni wengi lakini utumbo unauzika.”

Katika hotuba yake aliyoitoa Ijumaa iliyopita Rais Kikwete aligusia mambo saba ya msingi yaliyomo katika rasimu ya Katiba na kutaka yatazamwe kwa kina, huku akibainisha kuwa mengine hayawezekani kutekelezeka.

WANASOKA WA AFRIKA WASAMBAA KILA KONA DUNIANI

$
0
0
Ni hali ambayo imekuwa kama kawaida kwa wachezaji wa Afrika kutafuta kwenye klabu mbalimbali barani Ulaya.

Kutokana na hali ya uchumi iliyopo katika nchi za Afrika, kijana anayecheza soka kwenye viwanja vyenye vumbi kwa sababu ya kukosekana viwanja bora hujikuta akiwa na ndoto ya kujiendeleza kucheza soka nje ya Afrika ili aweze kufanikiwa kimaisha kwa kutumia kipaji chake.

Lakini wakati wachezaji wengi wa Afrika wakiwa na ndoto za kucheza soka katika Ligi Kuu za England, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Ureno na Hispania, ripoti iliyotolewa na Shirikisho la Soka Kimataifa (FIFA) hivi karibuni inaonyesha wachezaji wa Afrika wamezidi kumiminika sehemu mbalimbali za dunia kutoka Albania hadi Yemen kwa ajili ya kutafuta ‘malisho’.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya FIFA, katika kipindi cha miaka 25 iliyopita, ukiacha nchi zilizokuwa zikitamba kisoka barani Ulaya, wachezaji wa Afrika wameingia mpaka katika nchi za Ulaya ambazo zilikuwa hazitambi kisoka.

Ripoti hiyo inaonyesha katika miaka ya 1990 wachezaji wa Afrika walikuwa katika timu kubwa tu za Ulaya zinazoshiriki kwenye ligi za juu za nchi, lakini hivi sasa wachezaji wa Afrika wamesambaa mpaka kwenye ligi mbalimbali za chini.

FIFA inasema idadi ya wachezaji wa Afrika itaendelea kuongezeka barani Ulaya. Pia wachezaji wa Afrika wana nafasi kubwa nje ya bara la Ulaya na sasa wengi wapo katika Ligi Kuu ya Marekani, Vilevile wapo katika nchi za Mashariki ya Kati wanacheza soka na kunufaika na fedha zinazotokana na mauzo ya mafuta.

Ukitazama Ligi ya Mabingwa Asia, msimu uliopita kulikuwa na wachezaji wengi wa kiafrika kwa sababu wanacheza soka katika ligi mbalimbali za bara hilo kama ligi ya India, Indonesia, China na nyingine nyingi.

Katika hali ya kushangaza, taarifa ya FIFA inaonyesha wachezaji wa Afrika ni wachache katika Ligi ya Mabingwa ya Amerika ya Kusini.

WOLPER, HUSNA WAMGOMBEA MKONGO

$
0
0
Stori: Shakoor Jongo
KUCHAMBANA, kutoleana lugha chafu ndiyo ishu iliyopo kwa sasa kati ya nyota wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper na mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2011 iliyomtoa mlimbwende Salha Israel, Husna Maulid kufuatia madai kwamba, wanamgombea mwanamume Mkongo aliyejulikana kwa jina moja la Mwami.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, Husna ndiye aliyeanza kuwa na uhusiano na Mkongo huyo mwaka jana na kila anapofika nchini hutanua naye kwenye ‘viwanja’ mbalimbali.

“Husna ndiye mwenye mwanaume, akija Bongo wako wote, lakini hivi karibuni ghafla tu, jamaa kaja na kuwa na Wolper, Husna kapigwa chini, sijui Wolper alimpatia wapi?” kilisema chanzo hicho.

Jumamosi iliyopita, Uwazi lilimtafuta Husna na kumuuliza kuhusu madai hayo ambapo alifunguka kwa kusema:
“Ni kweli kabisa, Wolper amenichukulia mwanaume wangu. Mi nimemshangaa sana. Halafu eti ananitumia meseji za ajabu ajabu mimi, eti anasema hajanichukulia bali ni bwana ‘ake siku nyingi (huku akionesha meseji hizo).

Baadhi ya meseji hizo zinaonesha Husna akijibu mapigo upande wa pili huku akishambulia kwa maneno makali kufuatia madai kwamba anatembea na Mkongo wake.

“Jana (Ijumaa) alikwenda naye hoteli…(anaitaja jina) iliyopo Masaki (Dar), wakala chakula kisha wakaenda kulala hoteli… (pia anaitaja jina). Mimi najua kila kitu,” alisema Husna akionesha hasira.
Kwa mujibu wa Husna, awali siku hiyo alitaka kwenda kumfumania Wolper na Mkongo huyo kwenye hoteli waliyokuwa wakila chakula lakini machale kama yalimcheza wakaondoka.

Baada ya kuzungumza ana kwa ana na Husna, Uwazi lilimsaka Wolper kwa njia ya simu ili kumuuliza lakini hakupokea. Wakati mwingine simu yake ilipopigwa ilionekana kuwa bize.

Hata hivyo, ili kumpa nafasi zaidi ya kujieleza, Wolper alitumiwa meseji saa 5:05 asubuhi ikiwa na mashitaka yote ambapo ‘ilideliva’ kwenye simu yake, lakini pia hakuijibu mpaka saa 10:13 jioni wakati gazeti hili linakwenda mitamboni.
GPL

SANAA HAILIPI, WENGI WANAISHI MAISHA YA KUIGIZA!

$
0
0
SOKO la filamu limekua, maisha ya vijana wengi yamebadilika kutokana na sanaa hiyo. Hata hivyo bado kuna changamoto kadhaa; malipo ya wasanii na mikataba mibovu imeendelea kuwa kilio kwao.
Hilo linawafanya waendelee kubaki palepale licha ya kupanda kwa hatua nyingi takriban miaka saba iliyopita. Sinema kwa sasa, imebaki kuwa na manufaa zaidi kwa msambazaji badala ya msanii ambaye kimsingi ndiye mhusika mkuu katika utayarishaji.

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba amefafanua mengi kuhusu changamoto zilizopo katika sanaa hiyo.

UJUMBE WA LEO KUTOKA KWA RAY C KUJA KWAKO

KAZI NI KAZI BORA MKONO UENDE KINYWANI....NAIPENDA NCHI YANGU MAARUFU

$
0
0
Haijalishi wewe ni Mwanamke au Mwanaume...Tujenge nchi yetu..Naipenda Nchi yangu

MPENZI WANGU ANAPENDA PICHA MPAKA ANAKERA..!! KILA SAA PICHA

$
0
0
Nimejaribu kumkanya sana bado tu haachi tabia hiyo ya kupiga piga picha, Bora basi hata picha zenyewe ziwe za maana, Picha zake ni shida tupu, yani za utata, unaweza hata ukafa kwa presha ukiziona, ni hatari sana. Naombeni ushauri jamani maana nimeshasema mpaka nimechoka..!!

KUVAA CHENI ZA MGUUNI (KI KUKU), INA MAANISHA NINI, NA JE NI SAWA

$
0
0
Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu urembo huu wa kuvaa cheni za miguuni. Wengi wamekuwa wakisema kuwa cheni hizo zinamaanisha kwamba mvaaji anaonyesha kwamba yeye anaweza mapenzi ya kinyume na maumbile, au analika pande zote tetesi hizi zimeleta mchanganyiko kidogo kwenye urembo huu.

Watu wengine wamediriki hata kukataza kabisa wapenzi wao wasivae urembo huo, mimi binafsi siwezi kuongozana na mtu amevaa kitu kama hicho. Haya sasa kazi kwako mdau, wewe unaonaje ni sawa urembo huo kutumika, na je mwenza wako akivaa urembo huo, utaafiki..!!?

SONGSBIRD RAY C SHARES DISTURBING PICTURE OF HERSELF AS A DRUG ADDICT (PHOTO)

$
0
0
Songbird Ray C Shares Disturbing Picture Of Herself As a Drug Addict (PHOTO)

Tanzanian songbird Rehema Chalamila aka Ray C is a lucky girl because she escaped death narrowlyand she owes her life to Tanzanian President and adoptive dad Hon. Jakaya Kikwete. That was two years ago when an entertainment magazine published a photo of Ray C deeply asleep and in a very bad state.

The photo left many in shock as it was clear that she was so deep into drug addiction and her appearance had even changed from that of a hot lady to a junkie who was just who had lost hope in life. The photo captured the attention of Tanzanian President Jakaya Kikwete who took her under her wings and saw to it that the ‘Sogea’ artiste was taken to a rehabiltation centre .

She is now a reformed woman and is back to her beautiful self once again. Ray C has clearly learnt her lesson and she is now stretching out her hand to help people who were still wallowing in the sea of drug addiction. She recently called out her ex boyfriend ( who according to her revelation is the one who introduced her to drugs) asking him to change his ways and seek help for his drug problem. Ray C is not ashamed of her past but very proud of her present and she has now shared the pictures that showed her in a very bad state asking her fans to keep off drugs,

“STOP USING DRUGS PEOPLE…..DRUGS KILL….MLIOKO TOKENI JAMANI!!!THANK YOU GOD…….FREE AT LAST.”
We are happy for Ray C and we hope that others learn from her mistakes and seek help before it is too late.

TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

$
0
0
Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa Tangazo la Serikali Na.110 la Mwaka 2012.

Tume ilikusanya maoni na kuandaa Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imewasilishwa kwenye Bunge Maalum.
Kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 3,

Rais amepewa mamlaka ya kuvunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba baada ya Rasimu ya Katiba kuwasilishwa Bungeni.

Mnamo tarehe 18 Machi, 2014 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba aliwasilisha Rasimu ya Katiba kwenye Bunge Maalum.

Kutokana na hatua hiyo, na kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Jamhuri ya Muungano alivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba tarehe 19 Machi,2014 kwa Tangazo la Serikali Na.81 la tarehe 21 Machi, 2014.

Hivyo kwa Tangazo hilo, shughuli zote za Tume ya Mabadiliko ya Katiba zimemalizika rasmi tarehe 19 Machi, 2014.

Imetolewa na;
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
Dar es Salaam.
25 Machi, 2014

JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA

$
0
0
Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa hayupo tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi ya mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke aliyeko Afrika Kusini.
Akipiga stori na gazeti hili, Kabula alisema: “Ndoa yangu itakuwa na Bushoke tu. Sijali umbali wetu, lakini naamini siku moja atakuja na atanioa. Uhusiano wetu uko poa na tunawasiliana vizuri kila wakati,” alisema Kabula na kuongeza:

“Siwezi kusema atakuja lini lakini nawaambia kabisa wanaonizengea, watafute kitu kingine cha kufanya, mimi na Bushoke kilichobaki ni ndoa tu.”
GPL

DIAMOND ANYANG'ANYWA GARI NA CHIEF KIUMBE...LAWEKWA YADI KUUZWA

$
0
0
Stori: Mussa Mateja na Shakoor Jongo

LILE gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 alilokuwa akitanua nalo staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ liko sokoni linapigwa bei.
Gari hilo linalomilikiwa na pedeshee maarufu Bongo, Mohammed Kiumbe ‘Chief Kiumbe’ limewekwa sokoni baada ya staa huyo kuchemsha kutoa fedha za kulinunua pamoja na kupewa muda wa kufanya hivyo.

Awali, iliripotiwa kuwa gari hilo ni mali ya Diamond ambaye alikuwa akitamba nalo kila pembe ya Jiji la Dar huku akijinasibu kwamba amelishalipa fedha za kutosha kwa ‘Big Boss’, Chief Kiumbe.

Wengi waliamini na kumweka Diamond au Sukari ya Warembo katika matawi ya juu kutokana na kumiliki gari hilo lenye thamani kubwa na lililojaa vikorombwezo vingi ndani yake.

Picha za Diamond akiwa ndani ya gari hilo zilionekana kwenye magazeti huku akikaririwa kwamba analimiliki kihalali gari hilo aina ya Toyota Landcruiser V8 lenye thamani ya shilingi milioni mia moja na laki moja (100,100,000).

Siku chache zilizopita, Chief Kiumbe alimnyang’anya Diamond gari hilo kwa kile kilichodaiwa kuwa staa huyo alishindwa kutoa ‘mpunga’ wa kulinunua pamoja na kukaa nalo kwa muda mrefu.
Baada ya hapo gari hilo likapotea machoni mwa watu kwa kutojulikana lilipokuwa limefichwa ingawaje ilidaiwa kuwa Chief Kiumbe alikuwa ameliweka stoo.

Mapaparazi wa Risasi Mchanganyiko walilitafuta gari hilo kwa udi na uvumba, ndipo walipobaini kwamba  lilikuwa limewekwa sokoni katika yadi moja iliyopo maeneo ya Kijitonyama, Dar likipigwa bei.
Waandishi wetu walifika katika yadi hiyo na kujifanya wanunuzi na kuambiwa kuwa gari hilo lilimshinda Diamond.
“Hili gari lina vitu vingi vizuri, ukiwa na ‘sensa’ ndipo unapoweza kuondoka nalo kwa sababu halitumii funguo, bila hivyo huwezi, Diamond ameshindwa kulinunua,” alisema jamaa aliyekutwa katika yadi hiyo. 
Waandishi hao walitajiwa bei na kupewa nafasi ya kulikagua gari hilo kila kona, hatimaye waliondoka ndani ya yadi hiyo wakiahidi kurudi na mkwanja ili kufanya kile kilichomshinda Sukari ya Warembo.
GPL

SHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA

$
0
0
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya

KWA mara nyingine, staa anayekimbiza kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’ ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo anayechipukia katika muziki wa Bongo Fleva, Nouh Mziwanda, Risasi Mchanganyiko limeinasa.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, Shilole kwa sasa hasikii wala haoni kwa Nouh pamoja na kwamba wawili hao wanaonekana kuwa na tofauti kubwa ya kiumri , Shilole akionekana kuwa mkubwa zaidi ya Nouh.

“Shilole ni kama anambemenda  Nouh lakini ndiyo hivyo, haoni wala hasikii, kila siku wako pamoja kama kumbikumbi,” kilisema chanzo chetu.

Waandishi wetu waliwafuatilia wawili hao kwa nyakati tofauti na kufanikiwa kuzinasa picha zao walizozipiga katika mikao ya kimahaba.
Baada ya kuzinasa picha hizo, mapaparazi wetu walimtafuta  Nouh na kumweka mtu kati kuhusu uhusiano wake na Shilole.

“Ni kweli ninatoka na Shilole ni mpenzi wangu na sidhani kama nitakuja kuachana naye maana tunapendana sana na nimevutiwa na mavituz yake,” alisema Nouh.
Kuhusu tofauti ya umri wake na ule wa Shilole, Nouh alisema umri huwa haumati katika mapenzi.

“Mapenzi ni mapenzi na umri utabaki kuwa namba tu, ni vyema  mtu ukaongozwa na hisia zako kuliko kuhofia umri wa mtu ndiyo maana miye ninakula vinono,” alisisitiza.
Pia, Nouh alisema hakutarajia kukubaliwa na  Shilole baada ya kumtokea walipokutana  katika  studio moja jijni Dar na sasa wamekolea kwenye penzi motomoto.

“Nampenda Shishi, nafanya kila njia nimshawishi awe mke wangu wa ndoa,” aliongeza. 
Hata hivyo, Shilole alipozungumza na waandishi wetu alipatwa na  kigugumizi kukubali uhusiano wake wa kimapenzi na kinda huyo wa Bongo Fleva.

Shilole alisema Nouh ni rafiki yake kama walivyo marafiki zake wengine.
Waandishi wetu walipomuonesha picha zao walizokuwa wamekaa katika mikao ya  kihasarahasara, Shilole aliangua kicheko na kisha akasema:

“Mh! Sina la kuwajibu kama picha zinasema mimi na Nouh ni wapenzi haya.”  
Hii siyo mara ya kwanza kwa Shilole kuripotiwa kutoka na Serengeti Boy, siku za nyuma alishawahi kuripotiwa na gazeti dada na hili la Ijumaa Wikienda akisema anapenda kutoka na ‘Serengeti Boys’.
GPL

MASHABIKI WA MAN U WAELEKEZA HASIRA ZAO KWA MOYES NA ALEX FERGUSON

$
0
0
Shabiki akimtukana David Moyes
Kichapo cha bao 3-0 walichopata jana kutoka kwa Manchester City kimewakasirisha mashabiki wa Manchester United, na wameamua kuelekeza hasira zao kwa kocha Davidi Moyes na Sir Alex Ferguson.

Shabiki akimtukana David Moyes

Kufungwa huko kulipandisha hasira za mashabiki wa timu hiyo ambapo wale waliokuwa karibu na David Moyes walilazimika kushikwa na walinzi wakitaka kumshambulia huku wengine wakielekeza hasira zao kwa Ferguson.

Mashabiki wanalaumu uamuzi wa Ferguson kumwachia mikoba Moyes kama kocha wa Manchester United.

SIJUTI KUZALIWA MWANAMKE, NAHONGWA SI HONGI, SI PIGI NAPIGIWA-MBONA RAHAA.

$
0
0
Hata Sikumbuki mara ya mwisho lini kununua Vocha...Nikiguna tu vidume vinanitumia vocha wala siombi .....Nahongwa mie Babu eeehh Mimi Sihongii....Sijutii Kuzaliwa Mwanamke..Raha tupu

WANAO TEMBEA NJE YA NDOA NI MATAAHIRA NA WANA IQ NDOGO

$
0
0

Wengi wa watu wetu ni Mataahira, ni kwamba tu hatujakuwa na utaratibu wa kuwacheki watu wetu, lkn naamini idadi ni kubwa sana inaweza kuwa zaidi ya 30%!

Ukiangalia kuanzia Magomvi Majumbani mpaka Ngono Zembe ndio utaliona Hilo, Watu wanaotembea Nje ya ndoa ni Mataahira, yaani wana IQ ndogo kuliko wale wasiotembea nje ya Ndoa!
Kwa maana nyingine IQ zao hazitoshi kuweza kumudu Maisha ya kawaida, ni sawa na Watu wanaofanya Uhalifu pia ni Mataahira wana IQ ndogo...

MBOWE:NI KWELI UKAWA TULIFIKIRIA KUJITOA BUNGE LA KATIBA

$
0
0
Akihojiwa na Sauti ya Ujerumani Mbowe ambaye pia ni mwenyekiti wa UKAWA amekiri kwamba ni kweli mpango wa kujitoa upo na kwamba wamekubaliana kuvumilia kwa muda kuwapa Ccm muda wa kufikiria mara mbili kuaha kuvuruga mchakato. "Ni kweli wazo la kujitoa lilikuwepo tangu jana na katika kikao cha leo, lakini tumesihi wenzetu kuvumila kidogo huku tukiwapa nafasi wenzetu kujaribu kerekebisha hali inyoendelea."

Amesma pia kwamba UKAWA hawalalamikii nafasi katika kamatia bali uvunjifu wa makusudi wa kanuni.

HAYAWI HAYAWI SASA YAMEKUWA..ALI KIBA ATOA WIMBO MPYA-SIKILIZA HAPA

$
0
0
Baada ya Muda mrefu kukaa bila Single Mpya kutoka kwa mkali Ali Kiba sasa Mkali huyo ameamua kutoa Single hii hapa chini ..Embu Isikilize hapa alafu useme kama Itabamba:

MAHABA NIUWE...DIAMOND AKIWA AMEVAA WIGI LA WEMA SEPETU..MAPENZI MATAMU

$
0
0
Mahaba nipige makonde...Mahaba nikaushe damu...Diamond akiwa amevaa Wigi la Wema....Mapenzi matamu sana.
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images