Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live

DIAMOND AWACHANA BASSATA..BAADA YA KUONDOA NYIMBO KADHAA KATIKA KILL AWARDS

$
0
0
Baada ya nyimboz ya SNURA (MAJANGA), TEMA MATE TUWA CHAPE ya MADEE na JUX (UZURI WAKO) kuondolewa katika KILI Awards hiki ndicho alicho kisema msani Nassib Abdul A.k.A DIAMOND PLATNUMZ…. 
“ikiwa kweli tunalengo la kutoipotosha kimaadili jamii yetu na vizazi vyetu pendwa, nafikiri ni vyema tungeanza kuzuia Video na nyimbo za kutoka nje, kuliko kuzuia nyimbo na video za nyumbani ambazo uchafu wake Haufikii hata robo ya uliopo kwenye Nyimbo zinazopewa kipaumbele toka nje… Hii ni sawa na kuzidi kuukuza mziki wa nje huku tukiudidimiza na kuua mziki wetu… Will the target of reaching our goals ever be achieved?? #Ni_Mtazamo_tu” 



LIPUMBA SNUBS SITTA'S APPOINTMENT

$
0
0
Dodoma. In what appears to be the opposition’s discontent with developments in the Constituent Assembly (CA), the national chairman of the Civic United Front (CUF), Prof Ibrahim Lipumba, stunned members when he snubbed CA chairman’s appointment in the crucial committee.

Mr Lipumba’s decision came just a few minutes after the chairman of the CA, Mr Samuel Sitta, announced a team of five members of the Steering Committee which included only one member from the opposition.

The CA chairman announced five members of the Steering Committee, amid criticism from members. They include Ms Mary Chatanda (Special Seats -CCM), Prof Ibrahim Lipumba (CUF), Mr Amos Mpanju (People with Disabilities), Fakharia Khamis Shomari (Special Seats - CCM) and Hamoud Abuu Jumaa (MP for Kibaha Rural -- CCM).

But in a quick reaction, Prof Lipumba stood up and said he was aware the ruling CCM was planning to bulldoze the opposition by ensuring that their agenda sails smoothly through the Steering Committee and that he was not ready to be used under the umbrella of the opposition.

Mr Sitta said he only had five positions and he could not include many more members from the opposition because if he did so it would mean he was segregating others. “We appointed Prof Lipumba because he is the leader of a strong opposition party and chairman of the Coalition of Defenders of the People’s Constitution (Ukawa). Therefore all queries from the opposition can easily be channelled through the CUF leader,’’ he said.

INASIKITISHA WATOTO WATEKETEA KWA MOTO WAKIWA WAMELALA TABORA

$
0
0

Watoto hao walipokuwa wamelala na kuteketea kwa moto ambao chanzo chake inadhaniwa kuwa ni hitilafu za umeme.

Miili ya watoto wawili wa familia moja Daniel Paul(8)na mdogo wake Emmanuel Paul(3) ambao wamepoteza maisha baada ya nyumba waliokuwa wakiishi kuteketea kwa moto huku wakiwa wamelala ndani majira ya saa moja asubuhi peke yao  huko eneo la mtaa wa Rufita Mwanza road Tabora mjini.

ANGALIA VIDEO SHABIKI WA MAN U AKIMTUKANA MOYES BAADA YA KUFUNGWA JANA NA MAN CITY

$
0
0

"You've lost the fans tonight, you don't deserve the fans,"

'He's the biggest fool in Manchester': Watch Man United fan slam David Moyes after derby defeat 

KWANINI WANAWAKE WANAPENDA KUCHORA TATOO NYUMA YA KIUNO ?

$
0
0
Tujuzane Jamani kama unajua ina Maana Gani......

YANGA NA AZAM WAZIDI KUKABANA KOO..WOTE WASHINDA LEO

$
0
0
Vilabu vya Azam FC na Yanga SC leo vimeendelea kukabana koo katika mbio za ubingwa wa ligi kuu Vodacom baada ya vyote viwili kupata ushindi kwenye michezo yao waliyokuwa wakicheza leo hii.
Azam FC ikiwa katika dimba la Mkwakwani ilikuwa ikicheza na Mgambo JKT na matokeo ni kwamba wamefanikiwa kushinda kwa magoli 2-0.
Magoli ya Azam yalifungwa na Brian Omony na John Bocco Adebayor.
Kwa upande wa Yanga ambao leo walikuwa wakicheza na Tanzania Prisons kutoka Mbeya katika uwanja wa taifa – matokeo ni Yanga wameshinda 5-0.
Magoli ya Yanga yalifungwa na Emmanuel Okwi, Mrisho Ngassa, Hamis Kiiza alifunga mawili na nahodha Nadir Haroub Cannavaro aliyefunga kwa penati.

MLINZI WA OBAMA AFUKUZWA KAZI KWA KULEWA CHAKARI AKIWA KAZINI

$
0
0
Jarida la Washington Post nchini Marekani limeripoti kwamba askari watatu ambao ni walinzi wa president wameachishwa kazi kwa muda na kurudishwa nyumbani ili uchunguzi ufanyike.
Askari mmoja kati ya hao alikutwa amelewa pombe chakari kwenye hoteli moja huko Amsterdam ambapo Obama alienda kwa ajili ya mkutano wa mambo ya Nuclear.
Msemaji wa idara ya upelelezi Marekani alikataa kutoa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo ingawa alisisitiza kuwa watatu hao wameachishwa kazi kwa muda huku uchunguzi ukiendelea.
Mwaka 2013 majasusi wawili waliondolewa katika kikosi cha ulinzi cha Rais Obama kufuatia tuhuma za kuhusika na kashfa ya ngono na utovu wa nidhamu.
Mwaka 2012 majasusi kadhaa waliachishwa kazi kufuatia madai kuwa walikodi makahaba walipokuwa mjini Cartagena Colombia.

KUNA NJAMA YA KUVURUGA BUNGE LA KATIBA

$
0
0
Kuna njama. Maneno haya mawili ndiyo yametumiwa na pande mbili zinazopingana ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, kuelezea hali iliyojitokeza jana wakati wa kikao cha Bunge hilo kuhusu mvutano wa mabadiliko ya kanuni.

Njama zinazoelezwa na pande hizo ni za kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya, zikirejea yaliyotokea jana jioni ikiwamo zomeazomea hali iliyomlazimu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kuliahirisha Bunge hadi leo jioni.

Baada ya kuahirisha Bunge hilo, Sitta alikutana na waandishi wa habari na kusema kwamba kuna njama za baadhi ya wanasiasa kutumia vurugu kuhujumu mchakato wa upatikanaji wa Katiba, badala ya kujenga hoja.

Bila kuwataja wanasiasa hao, Sitta alisema ikiwa hawataki kuendelea na mchakato huo, basi waondoke na kuwaacha wenye nia njema.

“Wanasiasa hawa wamedhamiria kuvuruga mchakato wa Katiba, tuhuma ambazo tumetuhumiwa leo na Lissu (Tundu) ni uongo na uzushi, mimi sihusiki na kupeleka marekebisho ya kanuni kwenye Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge,” alisema Sitta.

Sitta alikuwa anajibu mchango wa mjumbe wa Bunge, Tundu Lissu alioutoa mapema kwenye kikao cha jioni, akipinga kilichoelezwa ni njama za kutaka kubadili kanuni kinyemela ili kumsaidia mwenyekiti kulidhibiti Bunge.

Sitta alisema kwa kuzingatia kanuni ya 59 (1), Kamati ya Uongozi ina mamlaka ya kupeleka marekebisho ya kanuni ili kuliwezesha Bunge kufanya kazi vizuri.

Alisema hoja kwamba haiwezekani kufanyika mabadiliko hata kabla ya kuanza kutumika kanuni, siyo ya msingi kwani kila kitu kinabadilika kutokana na mazingira yake.

“Kamati ya Uongozi ndiyo ilipeleka waraka wa mabadiliko ya kanuni kwa Kamati ya Kanuni na Haki kwa kuzingatia kanuni, lakini hata kabla ya kujadiliwa na kamati husika inaonekana kuna wajumbe ndiyo wameichukua na kuifikisha bungeni,” alisema Sitta.

Alisema kwa kiasi kikubwa marekebisho ambayo yangesomwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Pandu Ameir Kificho, yalilenga kutoa ufumbuzi wa kanuni ya 37 na 38 juu ya upigaji kura ama uwe wa wazi au siri.

Sitta alisema pamoja na hilo, kulikuwa na marekebisho ya msingi kama kuweka utaratibu mzuri wa majadiliano katika kamati pia kuweka utaratibu wa vikao vya Bunge kuanzia Jumatatu hadi Jumapili.

“Mengi ambayo alikuwa anayasema Lissu kama ni takataka hayakuwapo katika taarifa ya Kificho,” alisema Sitta.

VITUO VYA TELEVISION VYA TANZANIA VINAKOSA UBUNIFU

$
0
0
Sijui ni kutokuwa na ubunifu wa vipindi au ni Uvivu, nakereka sana na hizi chaneli zetu kuonesha chaneli za nje mfano
tbc_cctv
itv_bbc, aljazeera
star tv_dw
chanel ten_sky news
na wakati hizo chanel zote tunazipata kwenye ving'amuzi hususan dstv muwaige wenzenu wa kenya hawaonyeshi hayo machanel mnazidi tu kuwapa promo tengenezen vipindi vyenu kuwenu wabunifu mnapoteza airtime bure tu

MWANAMUZIKI H-BABA AKUTWA KITAA AMEMBEBA MTOTO WAKE MGOGONI

$
0
0

Mwanamuzi Maarufu wa Bongo Flava H-Baba Hivi Karibuni amekutwa amembeba mtoto wake mgogoni kwa kutumia mbeleko kama wabebavyo wamama huku akiwa hana habari na mtu alipoulizwa alisema yeye anapenda kumsaidia mke wake (Flora Mvungi ) Kulea mtoto kwani ni Jukumu lao wote wawili........Any COMMENT?

WEMA SEPETU "ALL I NEED IN THIS LIFE I SWEAR. JUST ME AND MY BABY"

$
0
0
She shared this pic on Instagram with a caption "All I need in dis life I swear, jus me nd my baby....."

HATIMAYE COLONEL MUSTAPHA AWAOMBA RADHI WANAWAKE WA AFRIKA MASHARIKI

$
0
0
Baada ya Nyota Ndogo wiki iliyopita kufanya maandamano na wanawake wengine mjini Mombasa Kenya kupinga kile walichokiita ‘udhalilishaji dhidi yao’ uliofanywa na rapper Colonel Mustafa na kumtaka awaombe radhi, mkali huyo wa ‘Lenga Stress’ amekuwa mpole na kuomba radhi

Mustafa ameliambia gazeti la The Star la Kenya:

“Wana sababu za msingi kama wanawake. Nawaomba radhi wanawake wote wa Afrika Mashariki waliochukizwa na picha lakini ningependa kusema kuwa, wanawake kwenye picha hizo hawakulazimishwa kupose. Siku hizi uanamitindo umeingia kwenye kugeuza mwili kuwa sanaa.”

Picha zilizoleta utata ni zile alizopiga Huddah Monroe.

OSTAZ JUMA AKAZIA UCHUMBA KWA JOHARI

$
0
0
Na Gabriel Ng’osha
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi.

Habari zilizolifikia Amani kutoka kwa chanzo chetu zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.

“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini kubwa zaidi ni kamera kubwa, nzuri ya kisasa kwa ajili ya kerekodia filamu,” kilipasha chanzo hicho.

Amani lilifanikiwa kumpata Ostaz kwa njia ya simu, akafafanua: “Ni kweli nilikuwa Afrika Kusini. Kuhusu Johari, ni kweli si mke wangu? Nimemletea zawadi nyingi sana, achana na hiyo kamera unayosema.

“Lengo ni kuweka uchumba wangu  na yeye sawa. Nilitamani sana kusafiri naye lakini sikutaka kufanya hivyo ili kuweka usawa, mke wangu asione nimeegemea zaidi kwa mke mdogo.”

Alipoulizwa kwa nini amemuita Johari mkewe, haraka alisema: “Ndoa ipo karibu, nimeshaamua Johari awe mke wangu wa pili. Wadau wasubiri waone, uzuri ni kwamba dini yangu si kikwazo.”

hagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi.
Habari zilizolifikia Amani kutoka kwa chanzo chetu zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.

“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini kubwa zaidi ni kamera kubwa, nzuri ya kisasa kwa ajili ya kerekodia filamu,” kilipasha chanzo hicho.

Amani lilifanikiwa kumpata Ostaz kwa njia ya simu, akafafanua: “Ni kweli nilikuwa Afrika Kusini. Kuhusu Johari, ni kweli si mke wangu? Nimemletea zawadi nyingi sana, achana na hiyo kamera unayosema.
“Lengo ni kuweka uchumba wangu  na yeye sawa. Nilitamani sana kusafiri naye lakini sikutaka kufanya hivyo ili kuweka usawa, mke wangu asione nimeegemea zaidi kwa mke mdogo.”

Alipoulizwa kwa nini amemuita Johari mkewe, haraka alisema: “Ndoa ipo karibu, nimeshaamua Johari awe mke wangu wa pili. Wadau wasubiri waone, uzuri ni kwamba dini yangu si kikwazo.”
GPL

UKWELI KUHUSU TREY SONGZ KUWA SHOGA!

$
0
0


Jana katika mitandao mbali mbali ya kijamii ilionyesha snap inayodaiwa kupigwa katika akaunti ya msanii Trey Songz  na kudai kuwa amekubali mbele ya jamii kwa yeye ni "Shoga", katika snap hiyo inayodaiwa kupigwa katka akaunt ya Trey Song tarehe 25/03/14  saa 17:48 iliandika kuwa “I think it’s time to finally tell my fans. All games and jokes aside…I’m gay”

ALI KIBA AUKANA WIMBO WAKE MPYA"SIFAHAMU LOLOTE KUHUSU HUO WIMBO WANGU MPYA"

$
0
0
Siku kadhaa baada ya kusambaa wimbo ulioaminika kuwa ni wa Ali Kiba ukiwa na jina la Rosa, mwimbaji huyo ameukana wimbo huo na kudai hafahamu lolote kuhusu wimbo huo na hata hajawahi kuusikia.

“Nyimbo zipo lakini sija release nyimbo, sijatoa nyimbo so far na sijui nani ameimba na sijawahi hata kuusikia.” Amesema Ali Kiba.

Mwimbaji huyo ameongeza kuwa watu wameona yuko kimya na wameamua kutoa wimbo kwa jina lake kitu ambacho hakina mantiki na kwamba anadhani watu hao wamefanya makusudi au wametumia sayansi ya sauti ku-fake sauti yake.

Amesema hajui lengo la mtu aliyefanya, “I think ni trick moja ambayo imefanywa sielewi na nani lakini I don’t know if in a good way or bad way”.

Ameiweka positively pia kuwa huenda aliyeiimba ni mtu anaemkubali yeye kama role model wake.


SNURA"NITAPUNGUZA VIUNO KATIKA VIDEO ZANGU ILA KWENYE SHOW NITAZIDISHA MAUNO"

$
0
0
Mwimbaji wa bongo flava ambaye pia ni muigizaji wa filamu za kitanzania, Snura amesema kuwa amepunguza viuno kwenye video za nyimbo zake kutokana na kukosolewa na hata kutolewa kwenye baadhi ya vipengele vya KTMA.

Akiongea katika kipindi cha Mitikisiko ya Pwani cha 100.5 Times Fm na Dida Shaibu, Snura ameeleza kuwa hata kabla BASATA hawajapiga stop ushiriki wa nyimbo zake kwenye kinyang’anyiro cha Kilimanjaro Tanzania Music Awards alikuwa ameshabadilika kwa kuwa tayari video yake ya ‘Nimevurugwa’ ilikuwa imefungiwa.

“Tayari mimi nimeshabadilika kabla hata hatujafika huko kwenye Kili kwa sababu ilifungiwa muda kidogo kabla mambo ya Kili hayajaingia. Na wimbo wangu wa Ushaharibu nilikuwa nimeshafanya video pia, unajua nilikuwa nimeshafanya video ya Ushaharibu. Wimbo wangu wa Ushaharibu ukitoka watu watajua ni jinsi gani nimeweza ku-change.” Amesema Snura.

Ameeleza kuwa sio kwamba kwenye ‘Usiharibu’ hakutakuwa tena na uchazaji ule wa kukata viuno bali atapunguza kidogo.

“Kweli kwenye video sio kwamba hakuna kabisa kiuno ila nimepunguza. Nilichokifanya nimepunguza, nimeacha viuno ambavyo ninauhakika kwamba siwezi kufungiwa jamani. Sijakatika kama kwenye Nimevurugwa. Wakati nafanya wimbo wa Nimevurugwa sikuhisi kama naweza nikafungiwa kiukweli. Laiti kama ningejua nisingeweza kufanya vile. Nilichukulia kama ni ubunifu na utundu wangu ndio maana nikafanya vile.” Snura ameeleza.

Hata hivyo, amedai kuwa kuna mashabiki wake ambao wangependa kuona anacheza kama alivyokuwa akicheza zamani hivyo ataendeleza mchezo huo kwenye shows zake atazofanya kwenye kumbi.

“Najua nina mashabiki wale ambao wanakuwa wanapenda sana viuno, naomba wanivumilie kwenye video hawataweza kuona viuno kama vile ambavyo wao wanavihitaji, watakutana tu na kiuno cha kawaida. Ila kwa wale ambao wanaoweza kufika kwenye show zangu…kwenye show naweza kujiachia kama kawaida.”

Amefafanua kuwa havitakuwa viuno vitakavyokiuka maadili ya kitanzania na kuongeza kuwa yeye binafsi hapendi kuonesha jinsi anavyoweza kukata viuno.

“Lakini toka naanza kwenye muziki, nimefanya research nisipokatika…unajua kuna show nafanya nimesimama, lakini mashabiki wanalalamika wanataka kunipiga ‘sio  wewe yaani wewe sio Snura kabisa, tunataka miuno’. Mimi nimfanya biashara sina jinsi inabidi nikatike ili niwafurahishe wateja wangu ili waweze kujaa kwenye show ili waweze kuingia kwenye show ili waweze kunikubali..mimi natafuta riziki.

VICTORIA KIMANI" SIDHANI KAMA KUNA KITU KAMA FREEMASON AU ILLUMINATI"

$
0
0
Victoria Kimani, mwimbaji aliye chini ya usimamizi wa Chocolate City yenye makao makuu nchini Nigeria ameeleza kile anachoamini kuhusu uwepo wa freemason au Illuminati kwenye muziki muziki wa Kenya na imani yake kuhusu suala hilo.

“Ngoja niwaambie kitu, sidhani kama kuna kitu kama Illuminati au vyovyote vile ilivyo. Sidhani watakuja Kenya na kuwachukua wasanii wetu kwa sababu hatuna hata twitter verification. Hatuna hata video za nyimbo zilizohit zaidi ya milioni kwenye YouTube. Kwa hiyo sidhani kama niko kule lakini ninawa-apreciate kwa kunifikiria kwenye fikra zenu za timu ya illuminate. Mimi sio sehemu ya shirika ama jamii yoyote ya ‘secret society’.” Victoria Kimani ameuambia mtandao wa Ghafla wa Kenya.

Ameongeza kuwa yeye ni mwanamuziki ambaye yuko chini ya Chocolate City ambao wana imani ya Kikristo na endapo akijaribu kufanya kitu kama hicho wangemzingua.

Hata hivyo kwa pointi ya twit

TUHUMA NZITO DHIDI YA WAZIRI MKUU NDANI YA BUNGE LA KATIBA

$
0
0
Dar es Salaam. Hali ya hewa jana ilichafuka kwenye Bunge la Katiba baada ya mjumbe Ezekiel Wenje kuwatuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda na baadhi ya mawaziri kuwa waliwahonga baadhi ya wajumbe wa kundi la 201.

Katika tuhuma hizo, Wenje alimtaja Waziri Profesa Jumanne Maghembe, Dk. Shukuru Kawambwa na Gaudensia Kabaka akisema kuwa walitoa rushwa ya vyakula, maji na vinywaji kwa wajumbe hao ili waunge mkono msimamo wa serikali mbili.

Kauli hiyo, iliyotolewa katika mjadala wa mabadiliko ya kanuni, ilisababisha mawaziri hao kunyanyuka kujibu tuhuma hizo, huku Wenje akisisitiza kuwa aliyoyasema ni kweli tupu.

Vilevile baadhi ya wajumbe wanaotoka katika kundi hilo walicharuka na kujaribu kujitetea huku mmojawapo akitishia kuwa iwapo Wenje asingeomba radhi, asingetoka ndani ya Bunge hilo.

Hoja ilipoanzia

Wenje, ambaye pia ni mbunge wa Nyamagana (Chadema), alianza kwa kueleza kwamba wapinzani “walilia” sana kuwa Bunge la Katiba lisingekuwa na usawa kutokana na Chama cha Mapinduzi kuwa na wajumbe wengi, ndipo ikaonekana wapatikane wajumbe wengine 201, lakini jambo la ajabu ni kwamba walioteuliwa katika kundi hilo asilimia 80 ni makada wa CCM akiwamo mzee maarufu ambaye ameingizwa kama mganga wa jadi.

Ingawa hakumtaja jina, Wenje alikuwa anamaanisha kada mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru aliyeteuliwa kupitia kundi la waganga wa jadi.

Kuhusu rushwa, Wenje alisema:“…Sasa kuna wajumbe wa kundi la 201 walipelekwa kwa Profesa Maghembe na Dk. Kawambwa wamepeana rushwa, vikao vingi vilifanyika usiku. Hii haikubaliki.”

Baada ya kauli hiyo ya Wenje, Profesa Maghembe alisimama ghafla huku akionekana kutaharuki, ambapo Makamu Mwenyekiti Samia Suluhu Hassan alimpa nafasi ya kujieleza.

Profesa Maghembe alikiri kuwakaribisha baadhi ya wajumbe wa kundi hilo, akieleza kwamba ilikuwa ni katika hali ya ukarimu uliozoeleka miongoni mwa jamii ya Kitanzania.

“Kuna kundi lipo hapa ambalo linafanya kazi ya kudhalilisha wenzao. Ni kweli niliwaalika kwa chakula wajumbe hao kwa taratibu za kawaida, lakini hakuna mbunge hapa anayeshindwa kujinunulia chakula, hakuna anayeweza kupewa rushwa.

“Kwa sababu hiyo ninaomba kiti chako kimtake mjumbe aliyewasilisha hoja hiyo aniombe radhi. Wenje aniombe radhi,” alisema Profesa Maghembe akiwa katika hali ya hasira, huku kukiwa na sauti za kuzomea na kushangilia kutoka kwa wajumbe.

Makamu mwenyekiti pia alifanya jitihada za kuwataka wajumbe kuwa wavumilivu, huku akitoa nafasi kwa Dk. Kawambwa kujieleza akisisitiza kwamba ni tuhuma nzito.

Kawambwa alisema: “Ni kweli nilikutana nao; ni wajumbe ambao wanatoka kwenye taasisi zinazojihusisha na masuala ya elimu, lakini mbona wameshafanya mikutano yao mingine mingi ambayo mimi hawakuniita. Kama mtu akiwa hana hoja bora akae chini.”

Makamu Mwenyekiti alimtaka Wenje aombe radhi kutokana na kauli yake, lakini katika hali ya kushangaza mjumbe huyo alisisitiza kwamba Profesa Maghembe na Dk. Kawambwa wamekiri.

“Maghembe amekiri aliwaita wafugaji na wavuvi ndiyo waliokula chakula cha rushwa, pia wapo wengine walienda kwa Waziri Gaudensia Kabaka, kuna ushahidi mama mmoja siwezi kumtaja jina hapa alikwenda huko akafukuzwa, nitakupa jina lake mwenyekiti baadaye. Aliambiwa kwamba anatoa siri… hoja iliyojadiliwa huko ilikuwa ni kwamba msimamo ni wa serikali mbili… rushwa ya chakula, maji na bahasha walipewa,” alisema Wenje na kusababisha kulipuka kwa kelele zaidi.

Wenje aliongeza kuwa kuna wajumbe wengine walikwenda hadi kwa waziri mkuu ambako walikula, walikunywa hadi saa 7:00 usiku.

Alisema wengine walikwenda kwa Gaudensia Kabaka (Waziri wa Kazi na Ajira) na walikula na kunywa na kupewa bahasha.

Baada ya Wenje kukaa, baadhi ya wajumbe wa kundi la 201 walichachamaa wakitaka kutetea hadhi yao, akiwamo mjumbe kutoka kundi la wafugaji, Esther Juma aliyesema hawatendewi haki kama kundi kusema kwamba walihongwa.

Alisema yeye ana ng’ombe 3,000 na asingeweza kwenda kupokea rushwa ya chakula na kumtaka mbunge huyo kuwaomba radhi la sivyo asingetoka mlangoni.

Wakati mjadala huo ukiendelea, mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta aliyekuwa ametoka kwa udhuru, alirejea kimya kimya, na kumtaka Wenje kueleza iwapo anadhani kauli yake haikuwaudhi baadhi ya wajumbe.

Wenje alikiri kuwa ni kweli baadhi ya wajumbe wameudhika kutokana na ukweli aliosema dhidi yao na kuwaomba radhi kwa ukweli huo.

Kauli hiyo ilimfanya Sitta kutangaza kuwa anapeleka suala hilo kwenye Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge na uamuzi utakaotolewa atautangaza bungeni.

KUNDI LA UKAWA LAWA TISHIO BUNGENI..LAPANGWA KUSAMBARATISHWA

$
0
0
KUNDI la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalowashirikisha wanasiasa wa vyama vya upinzani, maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limekuwa mwiba mkali kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kinapanga mikakati kulisambaratisha.

Ukawa inayoongozwa na vinara wa vyama vikubwa vya CHADEMA, CUF, NCCR-Mageuzi pamoja na vingine vidogo visivyokuwa na wabunge, inaonekana kuwa mwiba kwa Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta kwa kudhibiti uvunjwaji wa kanuni ili kuibeba CCM.

Awali CCM ililipuuza kundi hilo na kulibeza, lakini baada ya kuona nguvu yake wakati wa kumtetea Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba apewe muda wa kutosha, hofu ilitanda.

BABA MDOGO AMEINGIA GHAFLA CHUMBANI KWANGU NA KUNIKUTA UCHI NIKIVAA NGUO, SASA ANATANITAKA

$
0
0
Baba mdogo wangu ananitaka kimapenzi, alikuja gafla chumbani kwangu na kuingia bila kupiga hodi kuniambia kwamba mama amezimia gafla kutokana na ugonja wa kifafa unaomsumbua.

Bahati mbaya wakati anaingia chumbani kwangu gafla alinikuta nikiwa uchu nikiwa nimevaa chupi tu, sasa toka wakati huo amakua akiniangalia kwa macho ya kimapenzi na anataka kutoka na mimi out anasema kuna jambo anataka kuongea na mimi.
Nimefikiria kumwambia kaka yake , lakini  nahisi nikimwambia baba  naweza kufanya tatizo kuwa  kubwa zaidi, naombeni  ushauri wanajamii forums, sababu sasa ameanza kunitumia message za mapenzi usiku, na huyu ni baba yangu mdogo na amenipita miaka mingi kwa kweli, namheshimu na naogopa kumjibu vibaya.
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live




Latest Images