Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104796 articles
Browse latest View live

TAKUKURU KWA KUSHIRIKIANA WADAU WA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA WAANDAA TAMASHA JIJINI ARUSHA

$
0
0
DSC_0043
Afisa Mtendaji Mkuu wa Megamark Ltd. Chedi Ngulu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari juu ya maadhimisho ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwa Bodi ya ushauri wa Umoja wa Afrika ya kupambana na Rushwa yaani African Union Advisory Board on Corruption (AUABC) na Tamasha la wasanii lenye lengo la kufikisha ujumbe juu ya Madhara ya Rushwa kwenye Jamii, Kati kati ni Emmanuel Atenga toka (AUABC) na Stephane Ndilimbaye toka AUABC.
--
Na.Mwandishi wetu
TAASISI YA KUPAMBANA NA KUZUIA RUSHWA (TAKUKURU) kwa kushirikiana na Bodi ya Ushauri wa Umoja wa Afrika katika Mapambano dhidi ya Rushwa (AUABC) na Megamark Ltd wameandaa tamasha kubwa litakalowashirikisha wasanii mbali mbali toka Tanzania, Kenya na Uganda katika kuadhimisha miaka 10 tangu bodi hiyo ya Afrika katika maswala ya Rushwa kuanzishwa.

Akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Takukuru jijini Dar es Salaam, Afisa Mtendaji Mkuu wa Megamark ltd, Chedi Ngulu amesema kuwa lengo la tamasha hilo ni kufikisha ujumbe kwa umma juu ya kupambana na Rushwa na kuelezea madhara ya Rushwa kwenye jamii na nchi kwa ujumla.
DSC_0063DSC_0075
Bw. Emmanuel Atenga (wa pili kushoto) kutoka na Bodi ya Ushauri wa Umoja wa Afrika katika Mapambano dhidi ya Rushwa (AUABC) akizungumza na waandishi wa habari juu ya Tamasha hilo litakalofanyika tarehe 7 mwezi ujao katika viwanja vya General Tyre Arusha. Kulia ni mmoja wa wasanii wataoimba kwenye Tamasha hilo Fid Q na wa pili kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Megamark Ltd. Chedi Ngulu na kushoto ni Stephane Ndilimbaye kutoka AUABC.

“Muziki upo katika asili ya waafrika na umekuwa ukitumika kuburudisha lakini zaidi kufikisha ujumbe wenye kujenga na kurekebisha jamii (Hadhira) iwe ni nyimbo, kughani ambayo tunatambua kwa njia ya Rap na ngoma za asili, lakini tumechagua muziki kama njia rahisi ya kufikisha ujumbe hasa kwa vijana kuhusu madhara ya Rushwa,” amesema Ngulu.

Amesema kuwa katika tamasha hilo nyimbo mbalimbali zitaimbwa katika kuelezea matatizo ya Rushwa kwenye jamii na hasa kuelimisha vijana umuhimu wa kukataa Rushwa kwa sababu vijana ndio nguvu kazi ya taifa na asilimia 75 ya watu nchini ni vijana.

“kwa mantiki hii, tumeandaa onyesho lenye anuani isemayo “Rushwa sio” ikimaanisha rushwa haina manufaa na ni yenye kutakiwa kupigwa vita kwa gharama yoyote ile,”
DSC_0095
Msanii Fid Q akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamasha hilo.
“Onyesho hili litafanyika Arusha tarehe 7 mwezi wa kumi na mbili katika viwanja vya General Tyre kuanzia saa saba na nusu mpaka saa kumi na mbili jioni na litahusisha wasanii wenye kukubalika na jamii,” alisisitiza

Kwa upande wake, Emmanuel Atenga toka Kitengo cha Mawasiliano (AUABC) amesema Board hiyo ya Umoja wa Afrika ya kupambana na rushwa imepata mafanikio kwa kuanzisha vitengo vya ufatiliaji kwa wanachama wa Umoja wa Afrika wenye lengo la kusaidiana katika mapambano dhidi ya Rushwa.

Amesema mapambano dhidi ya rushwa Afrika yanahitaji nguvu ya pamoja kwa ksuhirikisha jamii wakiwemo wasanii katika kuhamasisha mapambano ya kukataa Rushwa kwenye ngazi zote ndani ya nchi na bara zima la Afrika.
DSC_0036
Mwandishi wa habari wa Gazeti la Nipashe akiuliza swali wakati wa mkutano huo.
DSC_0039
Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo.

RUSHWA SIO-KAA TAYARI KWA MUSIC SHOW YA NGUVU PALE ARUSHA VIWANJA VYA GENERAL TYRE 7/12/2013

$
0
0

Afrika ni bara lenye wingi wa rasilimali. Na ni kutokana na wingi huu wa rasilimali bara hili limekuwa ni 

chanzo cha rasilimali kwa bara lenyewe, mabara mengine na ulimwengu wote kwa ujumla kwa miaka, 

miongo , na karni nyingi zilizopita. Raslimali mali hizi haziishii kwenye madini na malighafi nyingine, bali 

pia zipo katika rasilimali watu na vipaji mbali mbali walivyokuwa navyo. 

Katika vipaji vyetu, moja ambayo imekuwa ikitumika kwa karne nyingi hapa afrika kiasi tunaweza 

kusema ni katika asili yetu , ni ile tutakayo zungumzia hivi punde.

muziki upo katika asili ya waafrika.na umekuwa ukitumika kuburudisha lakini zaidi kufikisha ujumbe 

wenye kujenga na kurekebisha jamii hadhira. Iwe ni nyimbo, kughani amabayo hivi leo tunatambua kwa 

jina la RAP, au hata iwe katika ala za vyombo mbali mbali kama marimba, ngoma na kadhalika.

Ni katika nyimbo ujumbe unahifadhiwa kwa ajili ya vizazi vijavyo, na ni katika nyimbo ujumbe 

unafikishwa kwa jamii iliyopo huku ukiwaburudisha ili walengwa walazimike kusikiliza ujumbe kwa hiari 

Sisi wana Meggamark entertainment, tukishirikiana na wadau AUABC na PCCB tuko hapo.

Dhumuni letu ni kutumia sanaa hizi ambazo zinaonekana kuwafikia wananchi wengi zaidi kwa mkupuo 

kufikisha ujumbe ambao tunaamini una manufaa si tu kwa walengwa wa awali, bali pia kwa walengwa 

wa vizazi vijavyo katika bara zima la afrika.

Tunaamini kwa kwa kufanya hivi tunayo nafasi ya kufikisha ujumbe kwa namna ambayo ujumbe huo 

unapokelewa, na zaidi kubebewa na wananchi na wengine wote wenye kufikiwa. 

Kwa mantiki hii, tumeandaa onyesho lenye anuani isemayo “rushwa sio” ikimaanisha rushwa haina 

manufaa na ni yenye kutakiwa kupigwa vita kwa gharama yoyote ile. Onyesho hili litafanyika Arusha 

tarehe 7 mwezi wa kumi na mbili mwaka huu katika viwanja vya General Tyre kuanzia saa saba na nusu 

mchana mpaka saa moja na nusu jioni. Litahusisha wasanii wenye kukubalika na jamii kubebea ujumbe 

huu ili uweze kufikishwa kwa wananchi tukitegemea matokea mazuri yenye manufaa kwa wasikilizaji, 

wananchi wa Tanzania, na bara zima la afrika kwa ujumla. Kati ya wasanii watakaoshiriki ni pamoja 

na Fid Q, Chindo, Izzo Business, ROMA, Naziz (kutoka Kenya), Vanessa Mdee, Linah, Stamina, 

na kundi la Weusi lionaloundwa na Joh Makini, Niki Wa Pili, G-Nako, na Lord Eyes. Wasanii 

wengine ni pamoja na Mama C, Lumumba Band, Mo Plus, Frost, Fido, Kekuu, Bu-Nako, Jambo 

Squad, Dogo Janja, Chaba and P-Culture. Tamasha hili litawapa nafasi pia wasanii mbali mbali 

Tunaomba ushirikiano wenu katika hili , tukiamini mapambano dhidi ya rushwa ni jukumu la kila mmoja 

wetu na ni kwa manufaa ya bara zima kwasababu sisi ni afrika, na afrika ndio sisi.

MTIKILA "KUNA CHADEMA MBILI-"CHADEMA CHUMBANI NA CHADEMA SEBULENI"

$
0
0
Mchungaji Christopher MTIKILA azidi kupiga msumali wa MOTO katika JENEZA la Chadema mashumbulizi yake yamuelekea Edwin MTEI

"Amemtuhumu mmoja wa wanzilishi na m/kiti wa kwanza wa chadema Edwin MTEI, akidai kuwa ni muasisi wa dhana ya UKABILA na UKANDA katika chama hicho huku m/kiti wa sasa Freeman MBOWE na Katibu wake SLAA wakidaiwa kuboresha mfumo huo KISASA zaidi kwa kuweka NAKSH NAKSH"

Hata kinacho wafukuza Zitto na wenzake ktk Chadema ni matokeo ya kuota mizizi kwa mfumo wa UKABILA na UKANDA ambao hauruhusu mwanachama yoyote kuhoji mapato na matumizi ndai ya chama"

WATANZANIA waelewe Chadema si chama cha siasa na VIONGOZI wake si wanasiasa wa kweli, kwani hawana MAONO wala MALENGO ya kuwakomboa watanzania

KWA UJUMLA NI GENGE LA WALAJI TU!!!

Ndani ya chadema kuna kundi linaitwa "BIG EIGHT " ambalo linaudwa na wazee wa KICHAGA na kiongozi wao mkuu ni Edwin MTEI akisaidiwa na akina Mariale na Ndessamburo,

Hawa ndio wenye chadema yao ambapo moja ya MAJUKUMU yao ni kulinda maslahi ya kichaga ndani ya chama,Kuna Chadema mbili kuna chadema ya CHUMBANI na Chadema ya SEBULENI"

Source gazeti la Umma Tanzania 4/12/2013

LOOO! HUYU BINTI JIRANI YANGU MAJANGA MATUPU ANANITEGA MPAKA NAKARIBIA KUSHINDWA UVUMILIVU

$
0
0
Huyu binti ambaye anaishi opposite my flat, anaishi na dada yake mkubwa, amemaliza elimu yake ya secondary. Mimi na dada yake tupo jirani sanakama majirani as if family moja. Dada yake siku za kazi huwa anaondoka asubuhi anarudi usiku. Pindi nikiwa nimerudi nyumbani baada ya kutoka kazini mida ya alasiri mdogo wake uja kwangu sababu ubaki peke yake anakuwa bored. Binafsi kiukweli huwa naienjoy company yake ikapelekea tuwe na ukaribu ambao binafsi nilimchukulia kama mdogo wangu.

Kivumbi kilikuwa jumatano iliyopita, aliingia kwangu akiwa amevaa tight ya ajabu Looh!! Huku akiwa amebeba nguo nyingine, makalio yalivyo kuwa yametokezea Mmmm. Sitopenda kumtaja ni kabila gani ila lieleweke ni binti wa kanda ya ziwa aliye zaliwa hapa Dar

Kutokana na maelezo yeke ameniambia amenunua hiyo nguo anataka mawazo ya mtu mwingine. Mbele ya macho yangu jamani alivua nguo akabakiwa nab brouse sehemu ya tumbo yote ipo wazi na kilichonifanye nusu nizimie ni kwa mara ya kwanza kumuona msichana ana nywele zimepanda mpaka sehemu ya kitovu (Garden Love) tumbo la uduara hivi kisha akavaa nguo aliyo kuwa amekuja nayo. Nilicho mwambia nguo imempendeza. 

Cha kushangaza baada ya kumwambia nguo imempendeza akaenda chumbani kwangu kubadilisha, punde nika notice amefungua mlango wa toilet. Then nikasikia makelele ikanilazimu niingie chumbani. Nikakuta mlango wa toilet umerudishiwa, nikataka kufamu kulikoni. Akaniita akilalamika msuli wa mguu umembana. Kuingia ndani laula lakwata hata siwezi elezea. Nikajikaza kisabuni nikamsaidia kutoka toilet nikampa taulo ajifunge then nikamkalisha kitandani. Kisha alipo pata nafuu akarudi kwao.

Siku ya ijumaa iliyopita, alikuja kuniomba nimsaidie ku upload picha zake kwa fb, nikaunganisha simu yake na laptop yangu. Akanielekeza folder nika click nikakuta picha zake za kama amezaliwa vile Mmmm jamani. Akajifanya kama amekosea akanionyesha folder nyingine nika uploaded picha zake

Kwa mawenge niliyoyapata nilimwachia laptop aendelee na mafacebook yake. Aijapita mda mrefu akanionyesha picha yake aliyepiga makalio akaniambia nicoment. 
Kiukweli mimi ni senior bachelor age yangu 35 nipo na senior bachelor girlfriend wangu ambaye kwake ni kama nimekula yamini, huyu binti anamiaka 17 tu. 
Nifanyeje?

INADAIWA WAYNE ROONEY AMEPOTEZA NGUVU ZA KIUME BAADA YA KUPANDIKIZA NYWELE BANDIA

$
0
0
Mchezaji nyota wa timu ya Manchester United na England, Wayne Rooney anadaiwa alipoteza nguvu zake za kiume baada ya upandikizaji wa nywele mwaka jana


Kituo cha runinga cha KTN cha nchini Kenya, kimedai kuwa Rooney amekuwa akimsumbua doctor wake kumtaka amrudishie pesa zake baada ya kupata madhara ya kupoteza nguvu za kiume kutokana na kupandikizwa nywele bandia kwenye kipara chake,hali iliyopelekea kusababisha mgogoro mkubwa ndani ya familia ya mchezaji huyo.

CHADEMA HAKUKALIKI VIONGOZI WAZIDI KUJIUZULU-SINGITA NAPO KIMENUKA

$
0
0
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(chadema),Mkoani Singida, Wilfred Kitundu, amejiuzulu rasmi nafasi hiyo akipinga maamuzi ya Kamati Kuu kuwavua nyadhifa za uongozi viiongozi watatu akiwemo Zitto Kabwe aliyekuwa Naibu Katibu Kuu wa Chama hicho. 

Viongozi wengine ni Dk Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba ambao wanadaiwa kukisaliti chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Kitundu alisema kinachoendelea ndani ya chama hicho kwa sasa ni udhalilishaji wa demokrasia ya kweli na kuwa ubabaishaji.

Aliongeza kuwa uamuzi aliochukua ni hiari yake bila kushawishiwa na mtu huku akidai kuwa na dhamira ya kulinda  demokrasia ya kweli ili kuhakikisha inatekelezwa kwa vitendo na si kuimbwa tu kwa maneno.
"Mimi ni mwananchama wa kwanza kujiunga na Chadema Mkoani hapa, ninayoheshima kubwa na sipo tayari kuipoteza kwa kukubali kuwa sehemu ya udhalilishaji huu wa demokrasia,"alisema

"Nitaendelea kuwa mwaminifu na mwadilifu ili kuleta haki na Demokrasia siku zote na sitorudi nyuma" alisema M/kiti huyo aliyejiuzulu. Aliongeza kuwa, "Kitendo cha Kumvua nyadhifa za uongozi Zitto Kabwe na wenzake si kizuri na kimeacha maswali mengi yanayoulizwa na wanachama wake,"alisema Kitundu.

Msimamo wa Chadema Mkoani humo(Singida)
Kitundu alisema msimamo wa chama hicho Mkoani humo ni kulaani, kupinga na kukemea maamuzi hayo ambayo yamejaa chuki, hofu na wasiwasi mwingi hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu ndani ya chama.

Katika barua yake ya kujiuzulu ambayo alimwandikia Katibu wa chama hicho Mkoani humo, Kitundu alisema Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe anapaswa kutoa neon ili wanachama na wananchi waendelee kukielewa chama hicho vizuri badala ya kukigawa vipande.

"Msimamo mwingine ni kumtaka Bw Mbowe na Katibu Mkuu Dk Wilbrod Slaa, kuitisha mara moja mkutano wa Baraza Kuu la chama ili kutoa maamuzi ya suala hili kwani lilifanywa na watu wachache kwa maslahi yao,"alisema

Alishauri suala hilo kuwa ni la msingi sana na maamuzi ambayo yanatolewa yanatakiwa kuwa makini ili kudumisha hali ya utulivu ndani ya chama, alioongeza kuwa sababu nyingine kufanaya chama kiendeleze umaarufu wake.
Kitundu mbali na kushika nafasi ya Mwenyekiti wa chama Mkoa, pia aliwahi kuwa muasisi na mlezi wa chadema.

TAARIFA YA CHADEMA MKOA WA ARUSHA BAADA YA OFISI ZAO KUCHOMWA MOTO

$
0
0
Matukio yanayokiandama chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] yamezidi kuchukua nafasi ambapo mkoani Arusha watu wasiojulikana wameshutumiwa  kuchoma moto ofisi za chama hicho  Jumanne tar 03 Dec 2013 asubuhi na kusababisha uharibifu mdogo.

Katibu wa Chadema mkoa wa Arusha Mchungaji Amani Golugwa amesema ‘Mpaka hivi sasa tunavyoongea eneo la ofisi ndani ya ofisi kabisa eneo la bafu na choo limeungua na upande wa juu wa bati umeungua na kikubwa zaidi walitaka kuingia chumba cha computer room ambacho tunahifadhi data kwa wanachama wetu kwa kanda nzima ya kaskazini majimbo 33 sasa hivi’
‘Sasa baada ya kushindwa hiyo ndo wakatengeneza shoti ya umeme pakashika moto, tunamshukuru Mungu tu kwamba huu moto haukuendelea sana kwa hiyo athari haipo kwenye nyaraka zozote wala kwenye machine zilizopo hapa ofisini’ – Golugwa

JOKATE MWOGELO KATIKA MUONEKANO MPYA-KAPENDEZA AMA LA?

$
0
0

Waonaje Hapo kapendeza ama Kachemka?


TABIA YA LULU KUPIMA UKIMWI MARA KWA MARA YAWASHTUSHA WATU

$
0
0
Gazeti moja la udaku Hapa nchini limehoji tabia ya Msanii wa Bongo Movies Lulu Michael Kupima Ukimwi Mara kwa mara Likidai ana nini mpaka Kila Mara afanye hivyo ..Limesema Wengi wanahohiji Kwa vile wanahisi kuwa anabadilisha wanaume mara kwa mara so kila wakati inabidi Apime ...Mmhhh kazi Kweli Kweli..

BWANA SAMATTA AIPELEKA KILIMANJARO STARS ROBO FAINAL KOMBE LA CHALENJI

$
0
0
Msambuliaji wa Kimataifa Bwana Samatta Jana Aliitoa Kimaso maso Tanzania Baada ya Kufunga Goli Pekee dhidi ya Team ya Burundi lililoipeleka Kilimanjaro Stars Robo Fainali Katika Mashindano ya Challenge yanayoendelea huko nchini Kenya....Dogo Noma Sanaaaaa

NISHA AMCHALENGE ADAMU JUMA WA NEXT LEVEL- ADAMU JUMA ATOA YA MOYONI

$
0
0
Baada ya Mtayarishaji wa Video Anaye kuja juu kwa Kasi kipindi hichi Nisha Kupost Picha hiyo hapo na maneno ambayo inaonekana ni dogo kwa Next level kampuni anayomilikiwa na Adamu Juma...
Adamu Aliandika maneno haya hapa chini Baada ya Dongo Hilo...


PAPA FRANCIS ADAIWA KUTOROKA USIKU MAKAO YA VATICAN

$
0
0
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amedaiwa kutoroka usiku Makao Vatican ili apate fursa ya kwenda kutoa misaada kwa walemavu na watu wasiojiweza.

Tetesi za Papa Francis kuwatembelea maskini hao usiku kwa kujificha zimekuja baada ya mahojiano yaliyofanywa na Askofu Mkuu, Konrad Krajewski ambaye kazi yake kubwa ni kukusanya fedha toka kwa wasamaria wema na kuwapelekea maskini.

Imeelezwa kuwa Askofu Krajewski amekuwa akiambatana na Papa Francis wakati mwingine na kwenda kuwapa misaada maskini maeneo ya vijiji, mjini Vatican.

Askofu Krajewski alisema tangu zamani alipokuwa Askofu Mkuu wa Jimbo la Buenos Aires, Papa Francis amekuwa akipenda kwenda mijini nyakati za usiku na kuwatembelea wenye shida mbalimbali.

“Amekuwa akionyesha dalili ya kupenda kunisindikiza kwenda kuwapa misaada maskini, pindi nikiondoka kwenda kufanya kazi hiyo,” alisema Padri Krajewski.

Hata hivyo, alipoulizwa iwapo Papa aliwahi kwenda naye nje ya mji kwa ajili hiyo, Askofu Krajewski, alisita kujibu swali hilo.

Wakati huohuo, gazeti la Huffington Post limeripoti kuwa walinzi wa Uswisi, wamethibitisha kuwa Papa amekuwa akizunguka maeneo mbalimbali usiku akiwa amevalia mavazi ya kawaida ya wachungaji na kuwapa misaada, wanaume na wanawake wenye shida mbalimbali.

Tangu kuteuliwa kwake, papa Francis amevipamba vichwa vya habari duniani baada ya kuonekana akijaribu kuvaa kofia za polisi wa zimamoto, kuwaruhusu vijana wadogo wa kiume kuibusu miguu yake na kuwapigia simu waumini wake na kuzungumza nao.

Hivi karibuni, aliripotiwa katika vyombo vya habari akiwabusu na kuwafariji waumini walemavu katika Kanisa la Mtakatifu Peter, huku taarifa nyingine zikionyesha kuwa ametuma fedha zake binafsi kwa wahamiaji na wanaohangaikia mafao yao.

Alipokuwa Askofu Mkuu wa Jimbo la Buenos Aires, Papa Francis alifahamika kwa kutoroka usiku na kuwatafuta watu, kuzungumza nao na wakati mwingine kuwanunulia chakula.

Mapapa wengine waliopita pia wametajwa kutoroka usiku, kwa mfano papa John wa X111 alikuwa na tabia ya kutoroka usiku na kwenda mitaa ya Rome kufurahia uzuri wa jiji hilo, wakati Papa Pius wa X11alivalia kama Mfaransa wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia na kwenda mipakani kuwasaidia Wayahudi wa Kirumi kisha kuwaweka katika sehemu salama.

SINTAH AMUUNGA MKONO FLORA LYIMO KWA JINSI ANAVYOTANGAZA BIASHARA YAKE MTANDAONI

$
0
0
Alichokiandika Sinta Kuhusu Jinsi Flora lymo anavyotangaza Biashara online:
Biashara ni matangazo na inapendeza sana ukiitangaza mweyewe muhusika kwa mfano mie nauza wedding dresses kutwa natangaza humu na navaa pia, na yeye Flora anauza  mother's union  so mpeni deal masela akamate mahela na hii xmass inakuja anakusafirishia buree kabisa na fasta, Mother's union oyeahhh

biashara ni matangazo na na itakuzika wewe mwenyewe ukiitangaza na kutuonyesha mfano kama utapendezaje ukiivaa, sasa ushatangaziwa Mother's union sasa kazi ni kwako kuagiza white, pink or red light special.

ciao 


nipo busy ku advertise my business
wedding dresses

support Flora Lymo kununua chupi aina ya mother's union ili umuonyeshe baby xmass iko tofauti.....

SINEMA YA BABY MADAHA NA DIAMOND BADO INAENDELEA,DIAMOND NAE AFUNGUKA NA KUMPONDA BABY MADAHA

$
0
0
ACHANA na mabifu yaliyotangulia, hili ni jipya kabisaa! Msanii wa sinema na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ameingia kwenye bifu zito na Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ na kudai staa huyo wa Wimbo wa Number One ni mzinzi ‘fuska’, Amani lina mkanda mzima. 


Bila kumung’unya maneno, mapema wiki hii, Baby Madaha alimvaa Diamond ambaye ni Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB) akimtuhumu kuwa na tabia za kifuska.
Baby Madaha alidai hata muziki anaoufanya Diamond kamwe hauwezi kulingana na mafanikio makubwa ya jina lake zaidi ya kubebwa na skendo tu.

CHOKOCHOKO ZILIVYOANZA
Kupitia mitandao ya kijamii, ilivuja posti ambayo ilidaiwa kutoka kwa Baby Madaha ikimpaka Diamond kuwa siyo mwanamuziki kama ilivyo kwa wasanii wengine wenye uwezo mkubwa, akitolea mfano Elias Barnaba wa THT.
Sehemu ya posti hiyo ilionesha kuwa, Diamond si msanii wa muziki bali ni mzinzi f’lani hivi anayefanya biashara ya muziki kupitia mapenzi.

“Siku wanawake maarufu nchini Tanzania watakapojitambua na kuacha kulewa penzi la Diamond, huo ndiyo utakuwa mwisho wa maisha yake kimuziki kwa sababu hatakuwa na jipya na hivyo soko lake litaporomoka,” ilisomeka posti hiyo.
UKWELI NI UPI?
Baada ya ishu hiyo kugeuka habari ya mjini na kuibuka kwa makundi mawili yanayokinzana, Amani lilimtafuta Baby Madaha ili kujua ukweli wa posti hiyo ndipo akatiririka aya za kuthibitisha kuwa picha haziivi, hamkubali Diamond na kudai hata kimuziki hamkubali kwani anaamini wapo wanamuziki wanaofanya vema katika gemu kuliko yeye.

“…tuseme ukweli, Diamond ni mfanyabiashara siyo mwanamuziki. Kuhusu hiyo posti iwe ni mimi nimeandika au si mimi lakini kimsingi hayo maneno yanamstahili kabisa. Mzinzi tu.
“Diamond anabebwa na media (vyombo vya habari). Kuna wanamuziki wengi wazuri sembuse yeye? Ana nini haswa?” alihoji Baby.

AMANI LAMGEUKIA DIAMOND
Baada ya kusikia maelezo ya Baby kwa kifupi, Amani lilimuweka ‘pending’ kwa muda na kumwendea hewani Diamond ili liweze kujua upande wake analizungumziaje bifu hilo ambalo lilikuwa likienea mitandaoni kama moto wa kifuu.
Tofauti na matarajio ya mapaparazi wetu kwamba huenda angejibu mashambulizi makali kwa Madaha, Diamond au ‘Sukari ya Warembo’ aling’aka huku akimponda mwanadada huyo na kumshangaa:

DIAMOND SASA
“Daaah! Huko ni kunishusha…mimi na huyo (Baby) wapi kwa wapi kamwe huwezi kunilinganisha na mtu ambaye yupo chini yangu sana, nikijibizana naye nitajishusha tu. Ingekuwa ni mtu mkubwa mwenye levo yangu hapo ningesema natakiwa kusema neno.
“Hana lolote huyo anatafuta ‘kiki’ tu kupitia mimi, nipo na dili zangu za maana nipoteze muda kwake? Atafute wa levo yake na wala si mimi.”

UZINZI VIPI?
Alipoulizwa kuhusu suala la uzinzi ambalo Baby Madaha aliumaanisha katika posti yake, Diamond aliendelea kukazia kuwa hana muda wa kupoteza kwa mtu kama Baby Madaha ambaye kimsingi ni kama ardhi na mbingu.
“Huyo anatafuta kiki tu, aachane na mimi…mbona hatufanani kabisa mimi na yeye wapi kwa wapi?” alikazia Diamond a.k.a Weka Mbali na Watoto Wazuri wa Kike.

BABY AREJEA HEWANI
Wakati mapaparazi wetu wakimalizana na Diamond, kilongalonga kimoja cha paparazi wetu kilikuwa kikionesha kinaita, ilivyokatika ya Diamond, Baby akapanda hewani kwa mara nyingine.

Safari hii alimchana laivu: “Nimeisoma upya posti yenyewe, kilichopo humu ni ukweli mtupu. Hakuna hata tone la uongo, wewe utamlinganisha Diamond na mtu kama Barnaba? Huyu ni mfanyabiashara tu, hajui kuimba kwa kutumia vyombo kama mimi.
“Diamond hawezi kupiga chombo hata kimoja cha muziki atajiitaje mwanamuziki? Anastahili kabisa ujumbe huu.”

UFUSKA
Mapaparazi wetu walilazimika kumtwanga swali Baby Madaha kuhusiana na ufuska ambao ulikuwa umetajwa katika maelezo ya awali, kama endapo Diamond ni mzinzi au yeye ndiyo mzinzi.
Katika maelezo yake, Baby Madaha aliwashangaza mapaparazi wetu kwa kutaja namna gani anaweza kumuita Diamond mzinzi. Sikia:

Amani: “Umesema Diamond si mwanamuziki, je, suala la uzinzi ni nani analo kati yako na yeye?”
Baby: “Mimi si mzinzi. Diamond ndiyo mzinzi tena sana tu.”
Amani: “Uzinzi wake upo wapi?”
Baby: “Kitendo cha kubadilisha wanawake, kufumaniwa na Wema Sepetu akiwa na Jokate Mwegelo ndiyo uzinzi wenyewe huo.”

Amani: “Kwani wewe hujawahi kuwa na wanaume tofauti? Hujawahi kufumaniwa?”
Baby: “Mimi sijawahi, yeye amewahi na hakuwahi kukanusha hivyo inadhihirisha kuwa ni kweli. Kwangu mimi kila aliyetajwa kutoka na mimi kama haikuwa kweli, nilikanusha mara moja yeye mbona hakanushi?”
Amani: “Kwani Diamond alifumaniwa na nani?”
Baby: “Acha hizo, kwani hukumbuki kipindi cha Wema? Mara alinaswa na Aunt mara na… yule ndiyo mzinzi sasa.”

KWANI WALITONGOZANA?
Kuhusu suala la kutongozwa, Baby alisema Diamond hajawahi. Cha kushangaza zaidi, alisema hata kama ikitokea siku staa huyo akamtongoza kamwe hawezi kumkubalia kwani hawaendani hata kidogo.
Alisema yeye ni mtu wa kutembea na vigogo na si vitoto kama Diamond.

“Hana hela, kamwe siwezi kumkubalia. Ni mtu ambaye ana vihela mbuzi sasa mtu kama yeye mimi wa nini? Ndiyo maana aliwahi kukimbiwa na mwanamke kwa kuwa hana hela.
“Tena yule mwanamke akaenda kwa kigogo mwenye hela, mimi na yeye ni mbalimbali kabisa. Hata muziki ninaofanya hauwezi, mimi ninaimba RnB yeye anafanya Pop, tuko tofauti kabisa,” alisema Baby pasipo kumtaja mwanamke aliyemkimbia Diamond.

TUJIKUMBUSHE PANDE ZOTE
Diamond aliwahi kuripotiwa kutoka kimapenzi na ‘totoz’ kibao wakiwemo yule wa mwanzo aliyemzingua aitwaye Sarah, Rehema Fabian, Jacqueline Wolper, Upendo Mushi ‘Pendo wa Maisha Plus’, Wema Sepetu, Natasha (Video Queen wa Wimbo wa Moyo Wangu), Najma (aliwahi kuwa mpenzi wa Mr. Blue), Jokate Mwegelo, yule demu wa Kenya na aliyekuwa mwigizaji aliyefulia ambaye ni mke wa mtu.

Kwa upande wake Baby Madaha anayekimbiza na ngoma yake ya Summer Holiday

Source:GPL

WEMA NA KADINDA KUNAN-NI UMENEJA TUU AU?

$
0
0
Katika Pita Pita zangu nimekutana na habari hii katika Gazeti moja linaloitwa Visa..Habari yenyewe inahoji ukaribu wa Wema Sepetu na Manager Wake Martin Kadinda....Limeandika hivi ....
Madam Wema na Manager wake bado Wanawapa Maswali yasiokuwa na Majibu Watu wengi kutoka na utaratibu wao wa kazi na Maisha wanayoishi kwa sasa....
Mtu mmoja wa karibu wa wiwili hao amenyetisha na kusema Martin Kadinda Toka Awe na Wema Sepetu hawajahi Kumtambulisha Girl friend wake kwa mtutu yoyote hata watu wa karibu na yeye..
Pia kwa upande wa Wema Mtu huyo amesema kuwa Toka Wema ahamie kwenye Jumba Lake la Kifahari Hajawahi hata siku moja kumuingiza mwanaume zaidi ya marafiki zake wa kawaida..hao marafiki zake hufika na kuondoka lakini inasemakana Martin siku zingine huwa analala Japo hajasema kama ni chumba kimoja ama ni tofauti ...Kitu ambacho kinaacha maswali mengi sana kwa mashabiki wa hawa wawili...
Maswali mengi yamekuja kutokana na picha zao za Utata wanazopiga kama Msanii na Manager wake 

LULU "TOKA NITOKE JELA SIIJUI NGONO" ABADILI NUMBER MARA 13 KWA USUMBUFU WA WAKWARE NA WASAGAJI

$
0
0



Elizabeth Michael "Lulu " Amedai hajakutana na mtu yoyote kimapenzi toka atoke Jela ...Kwa mujibu wa chanzo chetu Muigizaji huyo nyota amesema licha ya Vishawishi vingi  vya wanaume na wasagaji lakini hakuna alie bahatika kumnasa mpaka sasa 
Inasemekana toka apatwe na Masahibu ya Kanumba Lulu ni Kama mtu Aliyeng'atwa na Nyoka kwa kuogopa hata kuguswa na Nyasi..
Lulu Ameshabadilisha number mara 13 na tatu kuepukana na Usumbufu .

TASNIA YA BONGO MOVIES CHALI-KANUMBA ALIONDOKA NA KILA KITU-SASA WAMEBAKI KUHAHA NA KUBADILI FANI

$
0
0
Je ni kweli Steven Kanumba ameondoka na Kila kitu?
Tangu Alipofariki Tasnia ya filamu Tanzania ni kama imelala usingizi wa Pono, Potelea mbali hata kama kuna watu bado wanaingiza mamilion ya pesa lakini ukweli ni kwamba mvuto wake unaendelea kupotea ..Nani anabisha?

Kwa kudhihirisha hilo Tazama wasanii wa kike wanavyojiingiza kwenye fani zingine zinazolipa ..Hawataki tena kupaka poda za location bali wanataka kukata viono kama Ray Majukwaanii...Mabadiliko na Maisha ya Shilole na Snura ni Mfano Tosha kabisa..

Kanumba alikuwa ni kila kitu biashara ya Filamu ilifanyika kupitia yeye..mzunguko wa soko uliundwa kupitia kanumba..Alisafiri kutoka mashariki kwenda magharibi, kaskazini na kusini kwa sababu ya tasnia ya filamu tu hakuwa akisafirisha Unga wala Pembe za ndovu..
Hivi sasa wasanii wa filamu hawavumi kupitia kazi zao, Ukimtazama mtu kama Ray utagundua kazi zake zilikuwa zinavuma kwa msukumo wa Ray lakini sasa zote chali ...Sasa anavuma kwa kugonganisha vimwana badala ya kuingiza movies mpya mtaani...

Kinacho Imaliza Bongo Movies kwa sasa ni Ubinafsi, Haraka , Mipango Butu na Tamaaaaa....

This is Wake up Call...

NANI ANABISHA-HII NDIO INTERVIEW YA DIAMOND ALIYOFANYA KENYA KWA KIINGEREZA TU

$
0
0
Tanzanian ‘My Number One’ hitmaker Diamond Platinumz made an appearance on Coke Studio Africa this past weekend. We had the chance to catch up with him and talk to him about his music and his style.
Here’s what he had to share:
What inspired the name Diamond?

The name Diamond really started as a joke while I was singing in Wasafi before I became famous. In the beginning, I didn’t like the name and I would get annoyed every time I was referred to as Diamond. As a musician it can be a bit difficult to change your name last minute. Getting people used to your new name is an uphill task that I wasn’t ready to undertake. Since the name had stuck and I already had a large fan base that knew me as Diamond, I decided to maintain it.
How would you describe your music?
I describe my music as Bongo Flava. It’s a mixture of Afro Pop, R&B, hip hop and Arabic flavor.
What inspires your music?
I get my inspiration from the society and through my own life experiences.
Which musician inspires you and why?
I am inspired by Usher Raymond because of his undeniable vocal prowess and his breathtaking performances. Usher started singing at a tender age and despite the changing times, he has managed to retain his place as one of the greatest R&B musicians of all time. Usher is one guy I would like to collaborate with in the near future.
You are an award winning musician, how does that feel?
It feels great! I mean it shows that my fans appreciate what I am doing. I spend a lot of time in the studio with the hope of producing hit songs. The more I get awarded, the more pressure I get to remain relevant in the ever changing music industry. You know music is very dynamic, what was cool or hot last year is obviously not this year. I always ensure I stay abreast with the new music trends. Perhaps that is the reason I always scoop various awards.
What’s your biggest achievement?
I have achieved a lot! I thank God for my success so far, it wasn’t easy. Despite the fact that my mother can take care of herself, just being able to cater for her expenses on her behalf brings me great joy. I consider that as my biggest achievement. A lot of people make it and forget where they came from but not me, the place my mother holds can never be taken over by fame, money or my music career in general.
Tell me a bit more about your mother
Singing is one of the most fulfilling ways I express myself, and my mother had the necessary starting tools to help me. I started singing at tender age like Usher (laughs), and if my memory serves me right I remember I was in class five and by then. I couldn’t write my own lyrics therefore I would do an impression of some songs and practice repeatedly until I got the lyrics right. However my mother saw the talent in me and eventually she started writing lyrics for me. She always encouraged me to open my mouth in front of others and sing. It seems obvious but it takes a lot of courage, enormous desire and passion to sing in public. My mother instilled all the necessary requirements I needed to succeed in the music industry in Tanzania. She has played a very huge role in my life; she was and still is my mentor to date. Once I got to high school, my mother asked me to focus more on my studies and to put music aside. Nonetheless I continued writing and singing secretly because I felt as though music was my destiny.  As soon as I was done with secondary school, I remember I had to sell a ring my mother had given me to enable me to get a recording deal. Making it wasn’t as easy as it seems now. Then I had to lie to her that the ring had dropped into the pit hoping and praying that the songs I had recorded hit. Unfortunately selling the ring bore no fruits because those songs didn’t make it to the corridors of any radio station. Luckily, I met Papa Misifa who had heard my songs and from there, my music took a turn for the better. We released my first hit Nenda Kamwambie in 2009 and the rest is history.
What are your future plans?
Music is my main source of income currently but you never know what tomorrow holds for you. I have ventured into various businesses on the side to ensure I remain financially stable just in case I am unable to sing or dance in future (God forbid). I own a recording label called WCB where I manage and mentor a couple of upcoming artists. My main aim is to take the Tanzanian music industry into further heights.
How is the Tanzanian music industry?
The Tanzanian music industry is just like any other industry. There’s cut-throat competition among artists, a lot of imitation also, so you really have to strive to excel. However I think the competition is healthy as it keeps us (musicians) on our toes and also enables us to produce enjoyable and entertaining music.
What does music mean to you?
Music means a lot to me! Apart from earning me a living, music also gives me some sort of fulfillment. Money is secondary to me and has never been my main motivation to sing. Though nowadays the pursuit of money is almost directly linked to the pursuit of happiness. Many people argue that money is equal to happiness. However this mindset has led many people down a path that doesn’t suit them leaving them frustrated at their work places. The secret is to follow your dream, or pursue something you are good at and you will definitely succeed.

MIZENGO PINDA:MSHAHARA WANGU KAMA WAZIRI HAUZIDI SH MILION 6

$
0
0
Waziri Mkuu amedai bungeni muda huu kwamba mshahara wake hauzidi Tsh. 6mil na akadai wanaodai analipwa zaidi ya hapo ni uzushi mkubwa kiasi kwamba yeye ni mkopaji tu katika mabenki na kuwa mshahara huo ni pamoja na mapato ya mkewe. 

Source: Leo Bungeni -TBC

WASTARA "MTAMUONA MPENZI WANGU SOON KULIKO KUENEZA HABARI ZA UONGO"

$
0
0
Wastara amefunguka na kuliambia Gazeti moja la Udaku Maarufu hapa Bongo Kuwa Amechoka kusikingiziwa uongo wa kuhusishwa na wanaume mbali mbali ikiwemo huyo Mr Bond ambae Karibia Week mbili watu wanasema sema kuwa ndio mrithi wa Sajuki.."Nachukia Sana watu wakifatilia maisha yangu Binafsi Badala ya kazi zangu nitamuanika mpenzi wangu soon kuliko kueneza habari za uongo zinazohusu mapenzi ..Iwe ni Bond wanaye Msema ama mwingine"
Viewing all 104796 articles
Browse latest View live




Latest Images