Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Nina Ugonjwa wa Kupenda Wanawake Naweza Fanya lolote Nimpate Mwanamke...

$
0
0
Hili jambo kipindi cha nyuma sikuona kama ni tatizo lakini sasa naanza kuona ni tatizo. siku nimekaa nikapiga mahesabu ya idadi ya wanawake nliotembea nao ni zaidi ya 500 hao ndio ninawakumbuka. huwa nachanganyikiwa kabisa nikiona mwanamke....sijafaham kama nilirogwa au ni nini. nimetembea mikoa kama 8 hivi tanzania huko nimeacha kilio tu maana nimepiga mahesabu nina watoto wa nje mpaka sasa 17. moja ya tatizo langu kubwa huwa sipendi kabisa kutumia kinga.

naweza nikatumia kinga bao la kwanza ila ujue kuendelea hapo yaani huwa navaa natumia baaaye naichomoa ili nipige issue kavu baada ya saa moja au mawili ndo naweza kumaliza. nikivaa kinga ndo inaweza ikafika kesho. wanawake wameshanijua yaani wakitaka pesa wananionesha tu k zao..wakionesha basi naishiwa nguvu yaani hata nikiwa na hasira vipi nikioneshwa K.U basi naachanganyikiwa nakuwa kama bwege tu.

nakumbuka kuna siku moja nlikuwa na dada mmoja room kwake tunapiga story huku tunaangalia movie..mara ikaja sehem ya movie wanafanya tendo hilo la ndoa.nikajawa na hamu ile mbaya nikaanza kumuomba yule dada...yule dada alinambia hawezi nipa maana sijatulia kabisa. tena mbaya zaidi akanionesha kuwa unaiona hii....huku akifunua na kunionesha hakuwa amevaa nguo ya ndani. akanambia unaiona hii??? sikupi hata kidogo we hujatulia" siku ile nililia sana kulilia anipatie ile issue...nlilia kama masaa matatu hivi na nikamwambia yule dada achukue kadi yangu akachukue pesa zooooote zilizopo kwenye account yangu akirudi anipe... akagoma akasema kama nipo serious basi nimrushie pesa kwenye simu yake. nikaangalia kwenye account nlikuwa na 450,000. nlimrushia ndo akanipa issue. nlipomaliza ndo akili ilinirudia nlijilaumu sana maana nlimpa pesa yangu yooote. mwezi mzima niliteseka.

siku nyingine nliahirisha safari kabisa kumkimbizia dada mmoja ambaye alikuwa anaishi buguruni kwa mnyamani nlimfutatilia toka mwenge wakati mimi nlikuwa naenda mbezi.ilibidi niahirishe safari yangu nimfate mpaka kufika buguruni kwa mnyamani yule mtoto ndo akakubali tukae sehemu tule chips kuku ndo tuwekane sawa.

sasa nawaza nifanyeje jamani pamoja ya kuwa ndo udume wenyewe lakini daaaah mwenzenu napenda sana kukuchi. napenda ,napenda napenda...na nikiona nachanganyikiwa kabisa hata siwezi kufikiri vizuri.

By Brian

Ujumbe wa Samatta kwa Waliotamani Genk Ingepangwa Kundi Moja na Man United

$
0
0
Mchana wa August 26 2016 shirikisho la soka barani Ulaya UEFA lilichezesha droo ya kupanga makundi ya michuano ya UEFA Europa League, droo ilichezeshwa na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta ilipangwa Kundi FC na timu kama Athletic Bilbao ya Hispania.


Baada ya makundi kupangwa na KRC Genk kutopangwa na kundi moja na Man United, Samatta alitumia ukurasa wake wa twitter na kuandika ujumbe unaotafsirika kama ni utani, kwa mashabiki ambao walikuwa wanatamani Genk ipangwe kundi moja na Man United.

Mbwana Samatta  ✔@samatta77
Wote mnaosikitika kwann genk aijapangwa na man u kwenye group moja mungu anawaona, itakuwa huruma zenu mmekopesha😐

Tumuige Maalim Seif ama Lowassa?

$
0
0
Maalim Seif Akikataa kusalimiana na Shain
Kufuatia kitendo cha maalim Seif kugoma kumpa Shain mkono kuna kamtindo kalianzishwa kakupiga picha za kuigiza tukio hilo huku ikishabikiwa kuwa ni kitendo cha kishujaa.
Lowassa akisalimiana na Kinana


Alikiba kuilaani rasmi bongo flava September

$
0
0
Yule Mwana Dar es Salaam, Kingkiba, Balozi wa wanyama, Msanii pekee aliyetoboa Kimataifa bila Collabo, Kiboko ya Wizkid, Fundi na Master wa game ya mziki wa Africa "Alikiba" ambaye kwa sasa ndiyo msanii anayeongoza Kulipwa fedha nyingi kwenye Show kuliko msanii yeyote Yule East Africa.

Mwezi September kwenda kushusha Laana 5 takatifu kupitia nyimbo mpya atakazoenda kuachia 2 zake binafsi na 3 alizoshirikishwa na wasanii wa ndani na nje ya nchi,

Wajuzi na watafiti wa duru za Burudani Africa Mashariki, Wanabashiri kuwa huenda ikawa ndiyo mwanzo na mwisho wa kufunga rasmi nyufa za mziki wa bongoflava ambazo zimekuwepo kwa miaka mingi, Ambapo kwa sasa wasanii wengi wamevamia game na kukop mziki wa Nigeria bila kuzingatia misingi ya mziki wetu wa asili, Mbaya zaidi na wengine kufika mbali kutumia kiki za kihafidhina na kununua tuzo ili kupush mziki wao unaosuasua.

Note:
Kila atakayesikia project hizo mpya za KingKiba, Hakuna hata mmoja atakayethubutu kumaliza luku yake kusikiliza nyimbo zenye unaijeria, kiki na promo za kipuuzi.

Mwimbaji Ruby Akimbilia EFM Radio Baada ya Ugomvi wa Maslahi Kati ya Mwimbaji Huyo na Clouds FM

$
0
0
Pichani Ruby akiwa Kwenye Tamasha la EFM
Mwimbaji Ruby ambae alikuzwa na kulelewa na Clouds FM Baada ya Kufanya vizuri katika mashindano ya Fiesta Diva Nyota miaka kadhaa iliyopita amejikuta katika ugomvi wa kimaslahi na walezi wake Clouds FM baada ya kushindwana malipo katika Matamsha ya Fiesta yanayoendelea hivi sasa..

Ruby kwa sasa inaonekana amekimbili kwa washindani wa Clouds FM ambani ni EFM Radio, Radio hiyo mpya ambayo ni washindani wa Clouds FM kwa jijini Dar es Salaam wamechukua fursa hiyo na sasa wanamtumia katika matamasha yao ya Mziki Mnene Sehemu mbali mbali...

Je unaona ni sahihi Ruby Kufanya hivyo?

Chocolate Zinavyohusishwa na ‘Uwezo wa Akili’ Kwa Wanafunzi Darasani

$
0
0
Wakati wazazi wengi nchini wakihaha kudhibiti ulaji holela wa vitu vitamu kwa watoto wao ili kuimarisha afya ya kinywa. utafiti mpya wa hivi karibuni umeibuia mapya baada ya kubainika kuwa ulaji mzuri wa chocolate unaweza kuongeza uwezo wa kufikiri na hivyo kutoa fursa kwa watoto kufanya vizuri darasani.

Aidha, utafiti huo umebaini vilevile kuwa ulaji wa chocolate husaidia kupunguza kasi ya kawaida ya kuzeeka kwa walaji itokanayo na kuongezeka kwa umri. Ripoti ya utafiti huo ilitolewa hivi karibuni, inabebwa na utambulisho usemao ‘ulaji wa chocolate huongeza utendaji kazi wa ubongo” na kwamba ”unaweza kusaidia mtu kutozeeka haraka licha ya umri kuzid kumtupa mkono’

Utafiti huo uliochapichwa mwezi huu katika jarida la Appetite, umebaini kuwa kumbukumbu na uwezo wa kufikiria ufumbuzi wa mambo magumu kuwa katika kiwango cha juu kwa watu wanaokula chocolate kwa wingi. Matokeo hayo yameripotiwa kutoathiriwa na umri wa mlaji, uzito wa mwili wala aina nyingine za ulinganifu wa jumla wa kiafya .

Inaelezwa zidi kuwa utafiti huo unaonyesha kuwapo kwa uhusiano mkubwa kati ulaji wa kila mara wa chocolate na matokeo ya majaribio kuhusu uwezo wa uubongo katika kufikiri hata hivyo utafiti huo haujathibitishwa kwa asilimia 100 juu ya uhakika wa kisayansi juu ya kile kilichobainishwa.

Aidhja imeonekana watu wanotumia zaidi chocolate walikuwa na lishe bora zaidi na pia kunywa pombe kwa kiasi kidogo, na makundi yote yalitegemea uwezo wa kukumbuka mambo kupitia kiwango chao cha ulaji wa Chocolate.

SOURCE: NIPASHE

Godbless Lema Agoma Kula Kwa Saa 48

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ( Chadema) anayeshikiliwa katika mahabusu ya kituo kikuu cha Arusha Mjini amegoma kula kwa zaidi ya saa 48 sasa tangu alipokamatwa


Lema alikamatwa juzi alfajiri akiwa nyumbani kwake Njiro Arusha kwa tuhuma za kutoa maneno ya uchochezi  na kushawishi watu kwa njia ya mtandao waandamane Septemba mosi.


Jana Meya wa Arusha, Calist Bukhay alisema Lema amegoma kula


Alisema Lema aligoma kula akidai kuwa alifanyiwa udhalilishaji mbele ya watoto wake wakati polisi walipokuwa wakitekeleza agizo la kumkamata.


"Ni kweli amegoma kula tangu jana (juzi) alipokamatwa.Alisema askari polisi walipkwenda kumkamata walimfanyia vitendo vya udhalilishaji mbele ya watoto wake na kumnyanyasa bila kujali yeye ni kiongozi wa wananchi.


"Sasa  yeye ameshikilia msimamo wake kuwa kwa kuwa polisi walikuwa wamepanga kumuua wakati wa kumkamata, basi ni bora akafa kwa njaa.


"Chakula kimekuwa kikipikwa na kupelekwa na mkewe ,lakini bado amegoma kukila.Baada ya tukio hilo, polisi walituita ili kujaribu kumshawishi ale mchana, akagoma" Alisema Meya Calist.

Jamaa Ampiga Daktari Risasi...Kisa Kaona Uchi wa Mke wake Alipokuwa Akijifungua

$
0
0
SAUDI ARABIA: Mwanamume mmoja akamatwa na Polisi kwa kumpiga risasi mwanaume mtaalamu wa afya ya uzazi aliyemsaidia mkewe kujifungua, akisema ni haramu kwa mwanamume kuona uchi wa mkewe.

Inasemekana kuwa mtuhumiwa alikasirishwa na wasimamizi wa hospitali waliomruhusu daktari Muhannad al Zabn kumsaidia mkewe kujifungua.

Bundi atua CUF: Prof. Lipumba, Sakaya, Mbunge wa Mtwara Mjini na Wengine Kadhaa Watemwa

$
0
0
Profesa Ibrahim Haruna Lipumba na wafuasi wake 10 watimuliwa rasmi uanachama wa chama cha wananchi (CUF). Wengine wapewa onyo kali.

Hayo ni maamuzi ya Baraza Kuu lililoketi leo huko Zanzibar.

Kwa taarifa zaidi fuatilia press conference ya chama kesho saa 5 asubuhi itakayosomwa na Mhe. Mazrui.

Wabunge Magreth Sakaya na Mbunge wa Mtwara mjini nao wanadaiwa kuvuliwa uanachama.

Abdul Kambaya (Mkurugenzi wa Habari) naye kavuliwa uanachama.

Madai ya Mh.Lema kugoma kula hayana mashiko

$
0
0
Mh mbunge wa Arusha mjini amegoma kula tangu amewekaa maabus zinaendelea kusambaa kwa kasi,hiii ni baada ya maelezo yaliyotolewa na meya wa jiji la arusha bwana Calist Lazaro ambapo amesema Mh.Lema amelazimika kugoma kula baada yakutoridhika na ukamatwaji wake ambao ameutafsiri kama udhalilishwaji mbele ya familia yake.

Nalazimika kusema madai ya muheshimiwa mbunge Kugoma kula niyamsingi ila ameyafanya kwa kukurupuka,kiasi chakukosa mashiko,haswa kwa wanaomshikilia, mh lema Hajatuambia ni nini hasa anataka afanyiwe ili arejee kula kama kawaida,alipaswa kuliambia Jeshi la Polisi kama walimkamata kwakumdhalilisha mbele ya familia yake,basi polisi Wakaombe radhi kwa familia na watoto wake ndio arejeshe hali yake ya kula kama kawaida,

Niwazi watu wote wanaotumia njia hii kudai haki huweka masharti ambayo yakitekelezwa hurejea kula kama kawaida,mh Mbunge hoja yake ya msingi lakini ameishia kusema amegoma kula Kwa sababu amekamatwa kwakudhalilishwa mbele ya familia yake,ingependeza kama angeenda mbali zaidi kuliambia Jeshi la Polisi lifanye jambo gani ili arejee kula kama kawaida.

Baada ya kusema hayo naomba nimpe pole za dhati mh lema,sote tunafahamu maabusu sio pazuri Mh LISU alikaaa siku moja akatupa ushuhuda MAABUSU sio pazuri,LEMA umekaa siku Tatu tunakila sababu kukupa Pole.

Nawasilisha

CHADEMA Wakanusha Taarifa Zinazosambazwa Mitandaoni Kuwa Mbowe Ameahirisha Operesheni ya UKUTA.

$
0
0
CHADEMA inapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusu andiko linalosambazwa mitandaoni likimnukuu Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe kuwa ameahirisha Operesheni UKUTA na maandalizi ya Septemba 1.

Tunaomba umma upate taarifa sahihi kuwa Mwenyekiti Mbowe hajafanya mkutano na waandishi wa habari mahali popote pale kuzungumzia kuahirisha Operesheni UKUTA inayoendela nchi nzima wala kuzuia maandalizi ya Septemba 1.

Kupitia taarifa hii, chama kinawataka viongozi, wanachama, wafuasi, wapenzi na mashabiki wa CHADEMA na Watanzania wote wazalendo na wapenda haki, kupuuza andiko linalosambazwa mitandaoni .

Msisitizo unaendelea kutolewa kuwa Operesheni UKUTA ambayo imelenga kusimamia utawala unaoheshimu Katiba ya Nchi na kulinda sheria na maandalizi yanaendelea nchi nzima.

Imetolewa na;

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
CHADEMA

Lema Aendelea Kugoma kula akiwa mahabusu, Mwanasheria Wake Kufungua Kesi Mahakama Kuu Leo

$
0
0
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), ameendelea kugoma kula kwa siku ya tatu mfululizo tangu alipokamatwa Oktoba 26 mwaka huu, nyumbani kwake mjini hapa, akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi.

Lema alikamatwa siku hiyo saa 12 alfajiri akiwa nyumbani kwake, Njiro,  na hadi sasa anashikiliwa katika mahabusu ya kituo kikuu cha polisi mjini Arusha.

Kutokana na kuendelea kugoma kula, Wakili wake, John Mallya amesema leo saa sita mchana atakwenda Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha kufungua kesi ya kutaka mteja wake afikishwe mahakamani.

Malya jana alisema katika kesi hiyo atashirikiana na Chadema kuwashtaki mwendesha mashitaka mkuu wa Serikali na mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai, Mkoa wa Arusha.

Tangu mbunge huyo akamatwe amegoma kula kwa  kile anachodai kupinga udhalilishwaji aliofanyiwa na polisi wakati wa kukamatwa.

Pia, Lema anasema alinyanyaswa mbele ya watoto wake nyumbani kwake huku wakijua yeye ni kiongozi na amechaguliwa na wananchi.

Neema, mkewe Lema,jana alithibitisha kwamba  mumewe amegoma kula.

“Anaendelea kugoma kula mpaka sasa kwa sababu  hata sasa nimetoka polisi asubuhi kumpelekea chakula, lakini amekataa kula.

“Lakini nilipouliza pale polisi kuwa wanampeleka lini mahakamani, nilijibiwa wanaendelea kumhoji,”alisema Neema.

Juzi, Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo, alithibitisha kukamatwa kwa Lema na kueleza kuwa alihojiwa dhidi ya matamshi ya uchochezi na kuwa atafikishwa mahakamani baada ya kukamilika   uchunguzi.

Kwa mujibu wa Kamanda Mkumbo, Lema anatuhumiwa kuwachochea wakazi wa Arusha kuandamana Septemba mosi, mwaka huu kuhamasisha kile kinachoitwa Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (Ukuta).

Nafasi za Kazi CVPeople Africa, Sales Executives

$
0
0
SALES EXECUTIVE (2 Positions)
Automotive, Dar es salaam, Tanzania

Our client is a busy Motorcycle company in Tanzania they are offering an excellent opportunity for an experienced Motorcycle Sales Executives to join their team. The ideal candidate will be responsible in achieving agreed sales targets for both motorcycles and related products.

Job Description 
Assist supervisor with attaining retail sales and profitability plans.
Provide excellence customer service to all of the customers
Search and identify new customers to maximize sales.
Plans an effective sales targeting approach to the assignees sales territory.
Respond to customer inquiries suggestions, complaints and other details.
Technical Advice To Customers
Stock Take & Control


Education Level:
Qualifications Minimum: Diploma in a business related field.


Click HERE to Apply

KAMPUNI ya Mbowe Imebakiza Siku Moja Kulipa Deni la Billioni 1.3/= Kwa NHC

$
0
0
KAMPUNI ya Mbowe Hotels Limited (MHL) imebakiwa na siku ya leo tu, kuwa tayari imelipa deni la Sh bilioni 1.3 ya kodi, ambalo inadaiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ili  kujinasua katika hatari ya kuondolewa katika jengo la shirika hilo, lililopo katika makutano ya mitaa ya Mkwepu na Indira Gandhi (Makunganya) jijini Dar es Salaam.

Jengo hilo ni maarufu kutokana na kuendesha shughuli mbalimbali za starehe na burudani kutokana na kuwepo kwa Club maarufu ya Billicanas.

Hatua hiyo inatokana na notisi mbili zilizotolewa; moja na Shirika la Nyumba la Taifa Juni 24, mwaka huu, ikitishia kuvunja makubaliano a mkataba wa ukodishaji wa jengo hilo, na kufuatiwa na notisi ya Kampuni ya Udalali wa Mahakama ya Fosters, ambazo zote zinamalizika muda wake leo.

Hata hivyo, jitihada za gazeti hili za kupata maelezo ya kampuni hiyo ya udalali wa Mahakama jana ili kujua hatua zitakazochukuliwa baada ya kuisha kwa muda huo leo, zilishindikana jana. Chanzo cha uhakika kililiambia gazeti hili kuwa kampuni hiyo ya MHL inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ilikuwa haijalipa deni hilo.

Mbowe alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, akilihusisha deni hilo na masuala ya kisiasa, kwa madai kuwa suala hilo linakuzwa na kupotoshwa ili kumnyamazisha katika harakati za kisiasa, bila kukiri uwepo wa shauri baina ya pande hizo mbili juu ya deni hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemiah Mchechu, alithibitisha kuwepo kwa mpango wa kuiondoa kwa nguvu kampuni ya Mbowe katika jengo hilo, alipozungumza na gazeti hili, akizungumzia masuala mbalimbali ya shirika hilo katika ujenzi wa nyumba za makazi ili kuunga mkono mpango wa serikali wa kuhamishia makao makuu mkoani Dodoma.

“Ni kweli kwamba tumemkabidhi mpangaji wetu huyo (Mbowe) notisi ya kumuondoa. Kampuni ya Hoteli za Mbowe ni miongoni mwa wateja wetu watatu ambao ni wadaiwa sugu wa kodi ya pango kwa wateja binafsi nchini,” alisema Mchechu.

Mchechu alisema suala hilo ni la kibiashara na halina uhusiano wa aina yoyote na masuala ya kisiasa, kama ilivyodaiwa na Mbowe alipozungumza na vyombo vya habari hivi karibuni.

“NHC haina uhusiano na masuala ya kisiasa wala kujihusisha nayo, hatuna uhusiano wowote na masuala ya Umoja wa Kupambana na ‘Udikteta’ (UKUTA). Namuomba Mbowe atambue kuwa hili suala ni la kibiashara na si vingine,” alisema Mchechu.

Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa NHC na MHL, wamekuwa na mgogoro wa muda mrefu kutokana na kampuni hiyo kushindwa kutekeleza makubaliano ya kimkataba ya ukodishaji wa jengo hilo, ulioingiwa na pande hizo mbili mwaka 1997.

Kutokana na mzozo huo, Februari 16, mwaka jana, Shirika hilo la Nyumba liliandika barua kwa Kampuni ya MHL kuijulisha azma yake ya kuvunja mkataba huo kutokana na kukiukwa.

Chanzo cha habari cha kuaminika, kililiambia gazeti hili kwamba hatua hiyo ya NHC kuandika notisi ya kuvunja mkataba, ilitokana na Kampuni ya Mbowe kushindwa kujibu na kusaini hati mpya ya makubaliano ya namna ya ukodishaji wa jengo hilo uliowasilishwa kwa kampuni hiyo Januari 18, 2015.

MKAPA Apongezwa Kuwakutanisha Rais Magufuli na Lowassa

$
0
0
BAADHI ya viongozi wa dini na wasomi, wamempongeza Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa kwa hatua yake ya kuwakutanisha Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Wamesisitiza kuwa hatua hiyo, inaonesha jinsi ambavyo demokrasia na amani imekomaa nchini. Viongozi hao walikutana juzi katika Misa Takatifu ya kuadhimisha Jubilee ya Miaka 50 ya ndoa ya Rais mstaafu Mkapa na mkewe, Anna, iliyofanyika juzi kwenye Kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay, Dar es Salaam.

Viongozi wa dini waliozungumza na gazeti hili na kupongeza hatua hiyo ni Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba la Kanisa Katoliki, Mhashamu Methodius Kilaini, Askofu wa Kanisa la Good News for All Ministry, Dk Charles Gadi na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum.

Kwa upande wa wasomi, gazeti hili lilizungumza na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Benson Bana na Profesa Kitila Mkumbo ambaye pia ni Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo. Mwingine ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Profesa Mwesiga Baregu.

Maoni ya viongozi wa dini Akizungumza na gazeti hili jana kwa njia ya simu, Askofu Kilaini alisema jambo walilolifanya viongozi hao ni la kuungwa mkono na Watanzania wote.

“Jambo hili tumeliona na tumelifurahia sana na inatupa funzo kwamba tunapofanya siasa, tusisahau utu wetu. Siasa tuiache kama siasa… pia tumejifunza kwamba siasa si uhasama kwa sababu viongozi hawa wameweza kukutana na kupeana mikono,” alisema.

Alisema; “Mtu unapopeana mkono na mtu na kuangaliana usoni inaonesha kwamba hakuna uadui kati yenu hivyo kwa viongozi hao wameonesha kwamba wanakinzana katika siasa tu...” alisema.

Askofu Kilaini alisema, wanaamini kwamba kukutana kwa viongozi hao ambao wana mrengo tofauti ni mwanzo mzuri wa maridhiano ya pande zote mbili ambazo zimekuwa na misuguano ya kisiasa.

“Nawashauri Watanzania wenzangu kwamba kama viongozi wetu wakuu wameweza kukutana na kupeana mikono na kusalimiana tena na kupiga picha ya pamoja wakiwa karibu basi na sisi wafuasi wao tusijengeane chuki bali tupendane… tusiendelee kusigana na kupigana maana viongozi wetu wenyewe wanaelewana ila wanatofautiana tu katika siasa,” alisema.

Kwa upande wake, Askofu Gadi alisema kwa viongozi hao kukutana wanaamini kwamba maombi wanayoyafanya yanazidi kuimarisha umoja, amani na mshikamano wa nchi.

“Watanzania tuzidishe maombi maana yana nguvu na kupitia maombi hata yasiyowezekana yanawezekana, viongozi wa dini tuombe sana na tuhamasishe watu waombe maana hata hawa viongozi wetu ni waumini wetu na ni washiriki wazuri wa nyumba za ibada na tunashika nafsi zao,” alisema.

Aidha alisema viongozi hao wameonesha kwamba ni watu wanaomuogopa na kumheshimu Mungu kwa kusalimiana kwa upendo na kusisitiza kwamba maombi huleta upatanisho na kubadilisha jamii.

Alisema kupitia kanisa hilo, wamekuwa wakifanya huduma ya maombi mara kwa mara ambapo kwa sasa wameanza maombi ya siku 1,001 na wiki iliyopita walifanya maombi wilayani Chato mkoa wa Geita kwa ajili ya kumuombea Rais Magufuli katika utendaji wake.

Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa alisema tukio hilo ni la heri, kwa kuwa watu walikuwa wakiwatazama viongozi hao kama maadui, hivyo kwa kupeana mikono wameithibitishia jamii kwamba wanatofautiana tu katika siasa.

“Walichokifanya viongozi wetu wameonesha kwamba, siasa si uadui na tunaomba kukutana huko kuwe heri na waendelee kukutana mara kwa mara kwa ustawi wa Taifa letu,” alisema.

Wasomi nao wafunguka Katika hatua nyingine, wasomi nao walieleza kupongeza kitendo hicho kilichowakutanisha walikuwa wapinzani wa karibu wakati wakigombea urais katika Uchaguzi Mkuu uliopita, Rais Magufuli na Lowassa.

Kwa namna ya pekee wasomi hao walipongeza pia kitendo hicho cha kizalendo, ambacho viongozi hao walikionesha kwa kushikana mikono, kutabasamu na kuonekana wakiteta kwa nyuso za tabasamu.

Profesa Baregu mbali na kupongeza uzalendo huo, alisema kukutana na kuzungumza kwa Rais Magufuli na Lowassa ichukuliwe kuwa ni fursa kwa viongozi hao, ambayo wanapaswa kuitumia kufanya mazungumzo ya kuimarisha amani.

“Hiyo itafsiriwe kuwa ni fursa ambazo huwa inajitokeza katika mazingira tofauti, aidha kwa kupangwa au bila kupangwa, lakini kikubwa watumie fursa hiyo vilivyo,” alisema Profesa Baregu. Alisema kukutana kwa Rais Magufuli na Lowassa ni fursa nzuri kwani walikuwa hawajawahi kukutana tangu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba, mwaka jana.

Alisema mambo machache ambayo viongozi hao walizungumza juzi katika muda mfupi, yataweza kutumika vizuri kutatua mambo ya kisiasa ambayo yanaendelea hapa nchini kwa sasa na kufungua njia nzuri.

“Na hii inaweza kuwa njia nzuri kuzungumzia masuala ya kisiasa, demokrasia na pia Katiba mpya ambayo ndio kilio kikubwa cha Watanzania ili tuweze kupata Katiba mpya,” alisema Profesa Baregu.

Msomi huyo alisema pia fursa hiyo itumike kuleta amani kwa wananchi na kwa maana ya kupatikana maridhiano katika masuala ya kisiasa.

Profesa Mkumbo alimpongeza Mkapa kwa kitendo hicho cha kuwakutanisha viongozi hao na pia kuwapongeza Rais Magufuli na Lowassa kwamba pamoja na walikuwa katika mchuano mkali katika Uchaguzi Mkuu uliopita na mwisho Rais Magufuli kupata ushindi, lakini wameonesha bashasha ya aina yake.

“Huo ndio utanzania ambao Watanzania wanautaka, tunaweza kutofautiana bila kugombana, utanzania wetu haujali dini, kabila wala kitu kingine chochote,” alisema Profesa Mkumbo.

Aidha alisema muonekano pia wa viongozi hao wawili, ulionesha wazi walikuwa katika hali ya amani, “hata muonekano wao uliweza kuona kabisa ilikuwa safi, na Rais wetu kama tunavyomjua si mtu wa kuficha jambo lakini walicheka na kuzungumza vizuri.”

Kwa upande wake, Dk Bana alisema kwa muonekano ambao walionesha viongozi hao wawili jana ilionesha changamoto za kisiasa zilizokuwepo, hazitaendelea kuwepo tena kwani viongozi hao walionekana kuteta kwa upendo.

“Ile inaonesha kabisa harakati za Ukuta (Umoja wa Kupambana na ‘Udikteta’ Tanzania) hazipo tena na jana (akimaanisha juzi) zilizikwa pale, walionekana kunong’ona na kupeana mikono kwa amani kabisa na inaonesha wote ni wamoja katika kujenga nchi yenye amani,” alisema Dk Bana.

Alisema nasaha ambazo zilitolewa pia viongozi wa dini katika hafla ile, zitumike pia vizuri katika kuondoa masuala yote ya kisiasa, ambayo yamekuwa yakileta mvutano na badala yake kujenga upendo na amani. Alisema uwazi wa Rais Magufuli na maneno aliyozungumza, yalikuwa ya busara.

Waziri Nape Avifungia Vituo Viwili vya Radio, Radio 5 Arusha na Magic Fm Dar

$
0
0
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ametangaza kuvifungia kwa muda usiojulikana vituo vya Radio 5 ya Arusha na Magic FM ya Dar es Salaam kwa sababu za uchochezi.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Waziri Nape amesema kuwa vituo hivyo kwa nyakati tofauti zilitangaza habari ambazo ndani yake zina uchochezi.

“Adhabu hii ya kuvifungia kwa muda vituo hivyo viwili inaanza leo (Agosti 29 2016) hadi pale kamati itakapomaliza kazi yake,” alisema Nape.

Aidha, amesema kuwa ameiagiza Kamati ya Maudhui ya vyombo vya habari kuviita vyombo hivyo na kuvihoji kwa kina kisha kumshauri hatua zaidi ya kuchukua.

Waziri huyo ameeleza kuwa Serikali inaendelea kutambua mchango mkubwa wa vyombo vya habari katika kuleta amani na ushirikiano nchini na sio vinginevyo.

Hivi karibuni, Nape alitahadharisha kuwa vyombo vya habari vitakavyoripoti taarifa ambazo ni za uchochezi vitakumbwa na rungu la kuhusika kwa uchochezi pia.

Jose Mourinho Ampiga Mkwara Rashford

$
0
0
MWACHENI Jose Mourinho na kiburi chake aisee. Ungeweza kudhani angetoa maneno ya kufariji kwa kinda Marcus Rashford baada ya juzi kuibuka na ushujaa wa dakika za mwisho katika pambano gumu dhidi ya Hull City ugenini. Mourinho bado hajalainika kirahisi hivyo.

Rashford alitokea katika benchi akichukua nafasi ya Juan Mata katika dakika za mwisho za pambano hilo la kusisimua lililopigwa Uwanja wa KCOM jijini Hull na dakika chache baadaye akaifungia Man United bao la ushindi.

Rashford bado hajaanza mechi yoyote chini ya Mourinho licha ya kutamba katika msimu uliopita akiwa na Kocha aliyetimuliwa, Louis van Gaal kiasi cha kuitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya England kilichoshiriki michuano ya Euro nchini Ufaransa.

Kwa sasa ametoswa na kocha mpya wa England, Sam Allardayce kwa sababu hiyo hiyo ya kutochezeshwa na Mourinho huku akimpeleka katika kikosi cha timu ya taifa ya England chini ya umri wa miaka 21.

Hata hivyo, licha ya kufunga bao muhimu jana, Mourinho amedai kwamba bao hilo halijamshawishi kuanza kumpanga Rashford tangu mwanzo kwa sababu inabidi afanye kazi kwani, wachezaji wanaoanza wamekuwa wakifanya kazi nzuri.

“Sio kwa sababu amekuwa mshindi wa mechi basi nitabadili mawazo. Huwezi kutompanga mchezaji mwingine wakati wanaoanza wanacheza vizuri. Mshambuliaji wetu namba moja (Zlatan Ibrahimovic) ni mchezaji hatari. Si tu kwamba ni mfungaji lakini anacheza vyema kitimu.

Anatengeneza nafasi,” alisema Mourinho.

 “Ni kweli tunaweza kuanza na mchezaji mwingine mbele ya Zlatan lakini inabidi utawale sana uwanjani ili ulingane naye. Rashford anaweza kucheza au kukaa katika benchi. Hata hivyo, atacheza mechi nyingi msimu huu. Najua alikuwa mzuri msimu uliopita na sasa nafanya naye kazi kila siku na nafikiria hivyo. Alitupa mbinu tofauti alivyoingia.”

Mourinho alikiri kwamba timu yake ilikuwa imeshinda katika dakika za Sir Alex Ferguson, lakini aliamini kuwa bao lilikuwa njiani linakuja huku pia akiipigia saluti safu ya ulinzi ya Hull City ambayo ilicheza kwa ushirikiano mkubwa ndani ya dakika 90 mpaka Rashford alipofunga bao la ushindi kwa krosi fupi ya Wayne Rooney.

“Sir Alex Ferguson ni mtu anayeheshimika katika klabu hii na nina furaha kusema kwamba tulishinda katika muda wa Fergie. Nina furaha sana kusema hivyo,” alisema Mourinho ambaye anajulikana kwa tabia yake ya kumheshimu kocha huyo mkongwe wa Scotland.

“Najua tunapofunga mwishoni watu watasema kuna bahati kidogo lakini ukweli ni kwamba tulistahili, sana sana katika kipindi cha pili. Tulitawala sana mechi, tulicheza kwa nguvu kasi tukishambulia na niliamini kuwa bao lingekuja tu,” alisema Mourinho.

“Inabidi niseme kwamba Hull City walifanya kazi ya ajabu na walijilinda sana kwa kila namna. Hawakuweza kufanya mashambulizi ya kushtukiza kwa sababu naamini tulijilinda vizuri sana. Hongera kwao na kama ningekuwa Mwenyekiti wao ningempa kazi ya kudumu kocha Mike Phelan haraka sana.”

“Kila mtu anaona kwa macho yake, wachezaji wanatoa kila walichonacho kwa ajili yake. Wasingeweza kufanya zaidi ya kile walichofanya na hongera sana kwa Mike na vijana wake,” alisema Mourinho ambaye kwa ushindi huo United yake inakuwa na pointi tisa baada ya kushinda mechi zote tatu za mwanzo dhidi ya Southampton, Bournemouth na Hull City juzi usiku.

Hata hivyo, mtihani wa kwanza halisi kwa United unatazamiwa kuwa dhidi ya Manchester City katika pambano lijalo la Ligi Kuu baada ya mechi za kimataifa zinazotazamiwa kuchezwa wikiendi ijayo.

Pambano hilo litachezwa Septemba 10 huku likitazamiwa kuwakutanisha makocha wawili mahasimu wa muda mrefu, Jose Mourinho na Pep Guardiola wa Manchester City.

WALIMU 22 Azania Sekondari Waondolewa Baada ya Shule Kuwa ya Mwisho Matokeo Kidato cha Sita

$
0
0
Walimu 22 wa Shule ya Sekondari ya Azania Manispaa ya Ilala, akiwamo Mwalimu Mkuu, wamehamishwa kwa kile kilichodaiwa ni kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha sita.

Chanzo hicho cha habari kiliongeza kuwa kati ya walimu hao, 17 walikuwa wanafundisha kidato cha tano na sita huku wanne kidato cha kwanza hadi cha nne na mmoja aliyekuwa mkuu wa shule hiyo.

Taarifa hizo ziliongeza kuwa kati ya walimu 17, wengi wao walikuwa wanafundisha mchepuo wa ECA ambao wote wamehamishwa na kupangiwa shule nyingine huku wengine wakihamishiwa shule za kata na kupangiwa kufundisha kidato cha kwanza, pili na tatu. Awali, walimu hao walikuwa wakifundisha kidato cha tano na sita.

Hivi karibuni Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), lilitangaza matokeo ya kidato cha sita na shule hiyo kongwe ikajikuta imo katika kundi la shule 10 za mwisho zilizokuwa na matokeo mabaya.

PICHA: Diamond Avunja Rekodi Meru, Kenya

$
0
0
Diamond Platnumz ana miaka mingi ya kuvuna mapesa kutokana na show zake. Kutoka kwenye mapokezi yaliyovunja rekodi, Meru nchini Kenya hadi kuangusha show iliyohudhuriwa na makumi kwa maelfu ya mashabiki wenye kiu, staa huyo ameendelea kujiweka kwenye ligi yake mwenyewe.

 Ilikuwa ni show ya mtu mmoja na kwa picha alizoweka kwenye page yake ya Instagram, inaonesha jamaa alihama na kijiji. Tazama picha hapo chini.


Nisamehe ya Barakah Da Prince na Alikiba Kuanza Kuonyeshwa MTV Base

$
0
0
Wimbo wa Barakah Da Prince na Alikiba ‘Nisamehe’ utaachiwa wiki hii.

Video na wimbo vyote vitatoka pamoja, kwa mujibu wa Barakah.
“Video itatoka kwenye exclusive MTV Base kabla ya kituo chochote,” Barakah alimweleza mtangazaji wa Jembe FM, JJ.
Hivi karibuni Alikiba pia alishoot video yake mwenyewe na ile aliyoshirikishwa na Ommy Dimpoz nchini Afrika Kusini.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images