Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live

Simulizi ya Kusikitisha Jinsi Adolf Hitler Alivyowaua Wayahudi Milioni 6 Katika Kambi za Siri Ujerumani..!!!

$
0
0


"Nina uhakika wote kuwa tukio lile litakuwa la mwisho kutoka kwenye ubongo wangu. Watu walishangilia nilipoinama kuzoa damu ya mama'ngu sakafuni. Nilishuhudia kwa macho wakichinjwa vibaya. Nilikuwa na miaka 8, sasa nina miaka 96 wala sijasahau hata chembe". Mwanamama Myahudi Abigael aliongea kwa uchungu mbele ya Camera katika video fupi iliyopata views milioni 62 ndani ya masaa 42. "Baba, mama na ndugu wengine walichinjwa mbele yangu, natamani nami ningeungana nao, lakini niliishia kuzoa damu zao sakafuni" Abigael aliendelea.
[​IMG]

Tuendelee...

Kwa ustadi na uweledi wa hali ya juu kuanzia 1941-1945 katika kila wayahudi watatu wawili waliuwawa katika mauaji ya kikakatili zaidi katika uso wa dunia. Wayahudi zaidi ya milioni 6 waliuwawa kinyama.

Mwanaume mmoja aliyetua duniani kwa kishindo alifurahi kuona mifereji inatiririsha damu ya binadamu. Adolf Hitler aliongoza utawala wa Nazi katika kuteketeza vichwa vya Wayahudi milioni 6 ambao yeye aliwaita magugu katikati ya wanadamu.

Mauaji haya ya kutisha ambayo leo yanajulikana kama 'Holocast' yalikuwa ni jawabu tosha la kitendawili kilichomtesa Hitler juu ya nini afanye kuangamiza damu yote ya kiyahudi katika uso wa dunia.

Yote yalianza baada ya kuamrisha kutungwa sheria ya 'Neremberg' ambayo ililenga kusafisha kizazi cha Wajerumani ambapo hakuna Mjerumani aliyeruhusiwa kuoa/kuolewa na Myahudi. Na kwamba Wayahudi wote walitambulika kama wakimbizi katika taifa la Ujerumani.

Pole pole Wayahudi wakaanza kufukuzwa kutoka kwenye miji mikubwa ya Ujerumani, wakaanza kupokonywa nyumba na biashara walizomiliki.

Lakini ilionekana hawa wayahudi walikuwa na uwezo mkubwa sana katika kufikiri na kutatua changamoto, waliweza kutengeneza network kubwa ya media ili kupaza sauti dunia nzima ijue nini Hitler anakusudia kufanya. Hivyo ilikuwa ngumu sana kwa Hitler na Utawala wake kudeal nao kwa njia za kawaida, sasa Hitler akaja na mbinu mbadala ya kuisafisha Ujerumani.

Kazi itakuweka huru kuelekea kuzimu

Kuanzia mwaka 1937 katika mapori manene yaliyopo katika vitongoji vya Poland, utawala wa Nazi ulianza ujenzi wa kambi, hazikuwa kambi za kawaida bali 'kambi za mkusanyiko' (Concentration camps). Kambi nyingi zilijengwa lakini kubwa zilikuwa tano zikiwemo Majdanek, Chelmno, Belzec, Treblinka na kambi maarufu zaidi ya Sobibor.

Miundombinu ndani ya kambi za KIFO

Kambi hizi zilijengwa katikati kabisa ya misitu minene. Kambi zote zilizungushwa na fensi 3 tofauti, uzio wa senyenge za tetenasi, uzio wa ukuta mrefu pamoja na uzio wa umeme. Kambi zilikuwa na ulinzi mzito sana ambapo kulikuwa na minara ya ulinzi 19-25 (watchtowers). Kwa wakati mmoja, kambi 1 ilipaswa kuhifadhi mateka 45,000-50,000, lakini baadae Wanazi walirundika hadi wafungwa 300,000 kwa pamoja.
[​IMG]

Kambi hizi zilijengwa zikiwa na sehemu tatu kubwa;-
■ Sehemu ya mapokezi
Hapa ndipo wafungwa walifikishwa kwa mara ya kwanza. Walikaribishwa kwa shangwe na bashasha na kupewa maelekezo ikiwepo kutengwa katika vikundi kiumri, kiuweledi, kijinsia, nk.

■ Sehemu ya utawala
Hapa ndipo palikuwa na ofisi pamoja na makazi ya askari na viongozi wa kijeshi. Kulikuwa na anasa nyingi ikiwemo Kulewa, unyanyasaji wa kingono nk.

■ Sehemu ya maangamizi (extermination section).
Huku ndipo yalikuwepo makazi ya mateka, kulikuwa na kumbi kubwa nyingi ambazo zilikuwa na madirisha madogo sana kwa juu kabisa na milango ya chuma, sakafu ya kokoto kubwa kubwa.
[​IMG]
Gas chambers
Kulikuwa na sehemu za kificho ambapo kulitengenezwa vyumba vidogo mithili ya mabafu ambapo ilikuwa special kwajili ya kunyonya gesi ya oxygen, (mateka wasingeweza kujua hatma yao), kulikuwa na mifereji ya kifo (death trenches) ambazo zilitumika kama machinjio. Ndani humo kulikuwa na vyumba vya mateso makali na majiko yenye masufuria makubwa sawa na matenki ya ujazo wa lita 100,000.
[​IMG]

Maisha ndani ya kambi za kifo.

Wayahudi walisafirishwa hadi kambini kwa usafiri wa treni, waliwekwa ndani ya mabehewa ya mizigo kutoka nchi mbalimbali kama Czechoslavakia, Ujerumani, Austria, Uholanzi na Poland. [​IMG]

Baada ya kufika kambini walipelekwa mapokezi, kisha kukaribishwa kwa furaha kabisa na kupewa maagizo ya kuandikia ndugu zao barua kuwaambia kuwa wamewasili salama (Barua hizi zilitumika kama ramani kuwatambua na kuwakamata wayahudi wengine).
[​IMG]

Wanawake na wanaume walitengwa, na watoto waliruhusiwa kujichanganya na mama zao.

Mateka wote walipewa taarifa kuwa safari yao itaendelea keshowe, lakini lazima wapate kuoga na kukabidhi nguo zao ili zipulizwe dawa ya kuuwa wadudu (disinfectants). Maji ya kuoga yote yaliwekwa sumu kali yenye kuwasha na kusababisha maumivu ya ngozi, na nguo zilipulizwa sumu ya vipele na vidonda.

Vyakula viliwekwa sumu isiyouwa bali inayosababisha maumivu, michubuko na uvimbe kwenye mdomo na ulimi. Midomo ya Wayahudi ilibabuka mno, hivyo wasingeweza kuzungumza wenyewe kwa wenyewe.

Mapigo na mateso ndani ya kambi yalianza baada ya siku 2 tangu kuwasili. Siku ya 4 na kuendelea Wayahudi makundi kwa makundi waliinguzwa ndani ya gas chambers, watu 500 kwa pamoja wangeingizwa kwenye vyumba vidogo na kunyimwa oxygen kwa kuingiziwa Carbon monoxide hadi kufa.
[​IMG]

Wengine waliingizwa kwenye mifereji ya mauwaji kisha kuchinjwa shingoni kama kuku. Damu ilitiririka hadi kilomita 1 kuelekea kwenye mashimo yaliyejengwa kama matenki ya chuma. Damu hizi ndiyo ilitumika kufua umeme asilia ambao ulitumika katika makazi ya askari wa Nazi kambini. Mashimo haya waliitwa 'ziwa tamu'.

Baadhi ya mateka waliuwawa kwa vipigo vikali ndani ya vyumba vya mateso, ambapo wangekatwa pole pole kuanzia vidole, viganja, mikono, miguu, shingo hadi kifo. Hili ni lile kundi la mateka watata na wasumbufu zaidi.
[​IMG]

Kuna Wayahudi wengine walitupwa kwenye vyumba vya barafu, hivyo wangepigwa baridi, wagande hadi kufa.
[​IMG]

Kuna wengine walitumbukizwa kwenye masufuria ya maji yaliyotokota na kuachwa wachemke hadi kufa.

Wayahudi wengine waliingizwa kwenye kumbi kubwa na kufungiwa humo bila mafanikio ya kutoka na kuachwa bila huduma yoyote kwa siku 8. Wengi walikufa kwa kukosa hewa, joto kati, baridi, njaa na kiu.
[​IMG]

Kuna wayahudi waliuwawa kwa sumu ya maumivu ya tumbo.
[​IMG]

Wengine hawa walemavu na wanawake walitumika kama shabaha katika mafunzo ya wanajeshi ya kupiga risasi.

Baadhi ya wafungwa walifukiwa wazima kwenye mashimo makubwa. Ili kuficha ushahidi miili yote ilifukiwa mashimoni na mingine kuchomwa moto hadi majivu (cremation).
[​IMG]

Kila baada ya wiki 2 waliletwa wafungwa wengine ambao wangeuwawa kwa staili kama hizo.

Kidume LEON: Escape from the Sobibor.

Kukikuwa na majaribio mengi sana ya kutoroka kutoka kambi za vifo, hakuna hata jaribio moja lililofanikiwa. Waliojaribu kutoroka ndio wale waliouwawa vifo vya kikatili zaidi kama kuchomwa moto wakiwa wazima, kuchemshwa kama supu na kukatwakatwa vipande.

Mwaka 1943 msimu wa kiangazi (summer), mateka wengi walifikishwa katika kambi 1 maarufu ya Sobibor. Hili kundi lilikuwa alikuwemo Leteni wa Kirusi mwenye damu ya Kiyahudi Leon. Jamaa alikuwa genius sana mwenye uwezo mkubwa sana katika maswala ya kivita.
[​IMG]

Siku ya kuwasili pale mapokezi aliweza kwa asilimia 100 kujifanya kichaa, hivyo hakuna Mnazi aliyemtilia shaka wala hakuna mlinzi aliyemshtukia.

Akiwa kambini alifanya vikao vya siri sana na mateka wenzie, akateuwa viongozi na kikosi kazi. Aliwashawishi mateka wenzie chini chini kwa maneno haya "Hakuna kushindwa, tupo hapa kwajili ya kufa, kifo ni lazima lakini si kufa kama mzoga mikononi mwa mjerumani".

Jamaa alikuwa vizuri kwenye kuchora ramani za utekaji na uvamizi. Aliwateua mateka watatu na kuwapa jukumu la kulegeza mlango wa ukumbi ambapo yeye na makamanda wake wengine waliishi. Mpango wa kulegeza mlango ulifanikiwa ndani ya siku moja kwa kuvunja kwa siri kuta za pembeni kwa vyuma vidogo vidogo.

Jembe Leon akasuka ramani ya kuwateka walinzi wa kuwapora silaha.

Usiku wa mashambulizi, Leone akiwa front line pamoja na mateka wachache waliweza kuvamia minara ya walinzi 23 yote na kuwateka walinzi watatu waliokuwa katika kila mnara, wakawauwa na kuwapora silaha. Jumla ya Walinzi Wanazi 44 waliuwawa na mapambano yakaanza. Kumbi zote za kulala mateka zikafunguliwa na mateka wakaamriwa wafanye kila wawezalo kutoroka kambini.

Baada ya Utawala kugundua wakaamuru askari washambulie, kina Leone walipambana sana sana, mateka wengi waliuwawa wakijaribu kutoroka.

Bwana Leone hakurudi nyuma, alipambana sana hadi kupigwa risasi mkono wake wa kulia hakurudi nyuma, alizidi kupambana kiume, alitumia mkono wake wa kushoto mpaka risasi zilipomuishia. Akapiga magoti, akaweka mikono mfukoni kisha akasema "Nimefurahi sana kuja huku, naomba mnionyeshe njia ya kuelekea kuzimu". Hapo alitandikwa risasi 17 hadi kifo.

Wayahudi waliuwawa sana. Lakini zaidi ya 300 walifanikiwa kutoroka wakiwa hai.

Baada ya uvamizi wa Escape from Sobibor

Hitler akiwa na hasira sana aliamrisha kambi ya sobibor iwe vumbi mara moja. Ndani ya muda mfupi sobibor iliteketezwa yote na eneo lote likalimwa na kupandwa mazao ya chakula kisha shamba likatelekezwa.

Mataifa makubwa duniani yakapata siri ya kambi za mauwaji za Wanazi lakini bado hawakuweza kung'amua locations ya kambi hizi.

June 1944, Marekani, Uingereza, Canada na Vikosi huru vya Ufaransa vilivamia maeneo yote yaliyotekwa na Ujerumani. Leo hii uvamizi huu unajulikana kama 'D-Day invasion'.[​IMG]

Ndani ya siku chache Ujerumani alitandikwa vibaya mno, Hitler akaamua amuuzie kesi Kamanda wake Gerd Rund aongoze vita hiyo, kisha yeye akaingia mafichoni kwenye handaki la siri.

Hadi July 1944 Ujerumani alikuwa nyang'anyang'a, alikuwa tayari kapokonywa eneo lote la ulaya aliloliteka awali. Kambi ya kwanza ya mauwaji ilipatikana, japo mateka wote walikuwa wametoroshwa kuelekea magharibi zaidi ili kupoteza ushahidi lakini chembe za mifupa ya wayahudi ilipatikana.

Aug 1944 kambi kubwa zaidi ya mauwaji ilipatikana, Wayahudi 8203 walikutwa wakiwa hai, wengi walikuwa ni watoto wadogo.[​IMG]

Wasovieti walivyozidi kuelekea Magharibi waligundua kambi za mauwaji zaidi ya 112. Waandishi wa habari walirecord matukio yote kama mateka walivyosimulia, documentary ilirushwa kwenye masinema mengi ya Ulaya. Mauwaji haya yaliliza dunia nzima.[​IMG]

Keshowe asubuhi jembe Churchill-waziri mkuu wa Uingereza akatangaza kipaumbele chake namba moja ni kichwa cha Hitler. Hitler akawa adui namba 1 wa dunia nzima.

Kufika April 1945 Ujerumani ilitandikwa chakari hadi majeshi wakaamua kusurrender. Na Hitler ikasemekana aliamuwa kujiuwa yeye pamoja na mkewe. (lakini nina recommend usome uzi wangu wa nyuma wa 'Mein Kampf' ).
[​IMG] mabaki ya miili ya mateka wa holocaust.

Ukweli Mtupu :Acha Kumchezea, Kama Humtaki ..!!!

$
0
0

Habari za leo wapendwa wasomaji wa safu yetu hii inayozidi kujizolea umaarufu. Ni imani yangu kuwa mambo yanakwenda sawa na kila mmoja wenu anaelewa kuhusu mada mbalimbali ninazowaletea.


Mara nyingi nimekuwa nikizungumza zaidi kuhusu wanawake wenzangu, lakini leo nimeona acha niwageukie akina baba kidogo, kwa sababu yale yote tunayoelekezana kila siku yanalenga kuimarisha ndoa na uhusiano wetu, ambao wanaoubeba ndiyo hawa wenza wetu tunaopenda kuwaita kichwa cha nyumba.

Hapa nizungumzie kuhusu uhusiano. Tunatambua kuwa huwezi kuwa mke au mume bila kwanza kuanza na mwenzi wako katika urafiki, uchumba na hatimaye ndoa. Lakini ukiangalia maisha ya sasa, hasa mijini, kati ya wanaoishi chumba kimoja, kwa maana ya kupika na kupakua zaidi ya asilimia 75 ni ambao hawajaoana.

Yaani wanaishi kwa miaka mingi kama marafiki tu, kisingizio kikubwa cha kinababa wengi ni kuwa hawajajipanga, eti wakiwa tayari watafunga ndoa, kana kwamba kuoa kunahitaji mamilioni ya shilingi.

Akina baba wengi wamekuwa wakijifikiria wao tu, kwani ni ngumu kwao kujua kuwa kadiri penzi 
linavyochukua muda mrefu ndivyo pia umri unavyozidi kuwa mkubwa na kwetu sisi wanawake, tunavyokua wakubwa kiumri ndivyo uzuri wetu nao unapungua.

Hivi, kama kweli unampenda mpenzi wako na mko pamoja kwa miaka kibao, kuna tatizo gani kumuoa? Huoni kama kwa kukaa kwako kimya kwa muda mrefu unamkosesha mwenzio bahati yake?

Lakini hata hivyo, tatizo la wanaume kukaa muda mrefu na wanawake bila kuwaoa linachangiwa kwa kiasi kikubwa na sisi wanawake wenyewe. Tuko rahisi sana kukubali kusubiri bila kujua kuwa kadiri tunavyoendelea, ndivyo na thamani yetu kama akina dada inaisha.

Inavyoonekana, hatujui kama kuna hasara ya kuendelea kusubiri ndoa. Ukiwa na mwanaume kwa muda mrefu ni rahisi kukuchoka, hasa kama mtakuwa na migogoro. Hapo unampa kisingizio cha kukuacha kwa kile wanachosema, eti labda baada ya kukupima anakuona hufai.

Wakati mwingine hiyo hutokea anapokuwa  amepata kimada huko pembeni ambacho kikiwa makini anaweza kumuoa na wewe kuendelea kuwa kimada mzoefu.

Pia wanawake tuna tatizo la uvumilivu kupita kiasi na wepesi kusamehe, ndiyo maana tunakubali kukaa na maumivu ya kutoolewa kwa kipindi kirefu bila kuelewa jambo hilo linatumiwa na wanaume kutuadhibu.

Ninachowaomba wanaume, ni kuweka imani yao ya kidini mbele, wawe na muda mfupi na wenza wao ili waamue kama ni kufunga nao ndoa au la ili kuwapa nafasi ya kufanya mambo mengine.

Kaa na ujiulize utajipanga mpaka lini, lakini pia kama unampenda kwa dhati mpe nafasi auone upendo wako kwa kumuoa.

Warembo Wapanga Foleni Studio kwa Diamond Usiku wa Manane

$
0
0
Wakati mzazi mwenza wa mkali wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akiwa bize na malezi ya mtoto wao wa pili, Nillan Nasibu ‘Chibu Junior’, habari zilizovuja kutoka kwenye studio za mkali huyo wa Ngoma ya Salome, WCB zilizopo Sinza- Mori, ni kwamba warembo wamekuwa wakipanga foleni nje ya studio hizo kumsubiri Diamond mpaka usiku wa manane.

Kwa mujibu wa taarifa zilizofika kwenye dawati la Gazeti la Risasi Jumamosi, warembo wa kila aina wamekuwa wakipigana vikumbo nje ya studio hiyo, kila mmoja akitaka kuonana na Simba, huku kila mmoja akikataa kuelewa waziwazi sababu ya kutaka kuonana na msanii huyo.

Taarifa zaidi zikazidi kueleza kwamba, kwa kawaida Diamond na kruu yake ya WCB hupendelea kuzama studio usiku kwa ajili ya kurekodi, hivyo wakati mwingine, warembo hao huonekana kwa wingi mpaka mishale ya usiku mnene.

Chanzo chetu kilizidi kutung’ata sikio kwamba inapotokea Diamond amemaliza kurekodi na anatoka, tayari kwa safari ya kurejea nyumbani kwake, Madale au kwa mama yake, Tandale, warembo hao huanza kumgombea, kila mmoja akitaka kupata nafasi ya kuzungumza naye.

Ikadaiwa kwamba, wakati mwingine kama wewe si mwenyeji wa mitaa hiyo, ukipita unaweza kudhani kuwa akina dada hao wanafanya biashara haramu ya kuuza miili yao kwani si kawaida kukuta warembo wakiwa wamejipanga nje, tena usiku wa manane.

“Unajua kama ukipita pale Wasafi usiku halafu ukawa ni mgeni unaweza ukadhani kuna danguro la akina dada wanaouza miili.
 "Lakini ukweli ni kwamba wale ni wanawake ambao wanakuwa wanamuwinda Diamond, akiingia au akitoka maana wanajua muda wake,” kilisema chanzo chetu na kuongeza kuwa wakati wengine wakimgombea Diamond, wengine husambaa kwa memba wengine wa kundi hilo, wakiwemo Rich Mavoko, Rayvanny, Harmonize na mastaa wengine.diamond-8

Baada ya kupata ubuyu huo, kikosi kazi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM), kama kawaida yake, kilitinga eneo la tukio, WCB ili kudodosa ukweli wa taarifa hizo ambapo baada ya kufika kilikutana na mlinzi aliyekuwa zamu katika studio hizo (picha tunazo).

Bila kujitambulisha kuwa ni waandishi waliokuwa hapo kwa kazi maalum, OFM walianza shughuli yao ya upelelezi kwa kupiga stori na mlinzi huyo ambaye alijikuta akiingia kwenye kumi na nane na kusimulia ishu nzima.

“Ni kweli warembo huwa wanajipanga hapo usiku inakuwa ni ishu kabisa hata rais (Diamond) anapokuwepo. Tukiwafukuza huwa wanasema wanamsubiria Diamond, si unajua tena bwana mkubwa anafanya kazi zake za studio zaidi usiku?
“Sasa akishamaliza kufanya yake, akitoka ndipo anapokutana nao kila mmoja akitaka  aondoke naye, wengine wanasema huwa wanasikia ni sukari ya warembo hivyo nao wanataka kuona kama hiyo sukari ni sukari ya aina gani,” alisema mlinzi huyo.

Mlinzi huyo aliendelea kumwaga mchele kwenye kuku wengi kuwa, warembo hao huwa wanakasirika wanapomuona akitoka na mrembo (anataja jina la staa wa kike ambaye aliwahi kudaiwa kutoka na Diamond kimapenzi) ambaye ilielezwa kwamba hupenda kuja kumchukua jamaa huyo na kusepa naye.

“Si hao tu wanaojipanga, wapo hata wale mademu ambao vyombo vya habari vimekuwa vikiwaandika mara kwa mara kuwa wanatoka naye kimapenzi, huwa wanamfuata hapa na kuondoka naye,” alisema mlinzi huyo akirekodiwa sauti.

Baada ya makachero wa OFM kumalizana na mlinzi huyo, walianza kazi maalum ya kumtafuta Diamond ambaye hakuwemo studio lakini hadi usiku mnene hakutokea. Kama hiyo haitoshi, siku iliyofuata, makachero wetu walitinga tena kwenye studio hizo majira ya mchana na kupiga kambi kumvizia lakini hakuonekana, kwa sababu alikuwa nchini Gabon kwenye uzinduzi wa Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON).

GPL

Stereo Akutana na Chemical live..Ampigia Magoti na Kumpa Maneno ya Kumtoa Nyoka Pangoni

$
0
0
Rapa Stereo ambaye siku za karibuni aliweka wazi nia yake na hisia zake juu ya kuhitaji kwa udi na uvumba penzi la Chemical jana wameweza kukutana live kupitia kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV kila Ijumaa kuanzia saa tatu usiku.

Rapa Stereo akipiga magoti kumuomba Chemical akubaliane na ombi lake.
Rapa Chemical na Stereo walikutanishwa pasipo wao kujua hivyo Stereo ilibidi aitumie nafasi hiyo kueleza hisia zake moja kwa moja kwa Chemical

Tazama video hii hapa uone jinsi mgumu Stereo anavyotema sumu kwa Chemical 

Ajimilikisha Ziwa kwa Kujifanya ni Mtoto wa Waziri wa Kilimo na Uvuvi..!!!

$
0
0

MKAZI wa Sumbawanga Mjini mkoani Rukwa, Richard Mwananzila anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kujimilikisha Ziwa Sundu lililopo katika Kata ya Sundu Wilaya ya Kalambo, huku akiwatisha wavuvi kuwa yeye ni mtoto wa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Charles Tizeba.


Amri ya kukamatwa kwake ilitolewa jana na Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Julieth Binyura, ambaye alimwagiza Mkuu wa Polisi wa Wilaya hiyo (OCD) kumsaka mtu huyo kwa udi na uvumba na kumfikisha mahakamani.

Mbali ya kujimilikisha Ziwa, Mwananzila anashutumiwa pia kwa kuuza zana haramu za uvuvi na kuwatapeli wavuvi fedha zao.

Mkuu huyo wa wilaya alisema mtu huyo huwatishia wavuvi wanaovua katika ziwa hilo kutovua bila kumpa fedha kwa vile ziwa hilo ni mali yake na kuwataka pia kununua zana haramu za uvuvi kutoka kwake na wanaogoma huwazuia akisema yeye ni mmiliki halali wa ziwa hilo.

“Kama vile haitoshi nimeelezwa pia kuwa mtu huyu anajigamba kuwa hakuna kiongozi yoyote wa serikali mwenye ubavu wa kumkamata kwa kuwa yeye ni mtoto wa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Charles Tizeba,” alisema Mkuu huyo wa wilaya.

Pamoja na kuagiza kukamatwa kwake haraka, Binyura pia alitoa amri ya kuteketezwa kwa zana haramu za uvuvi za mfanyabiashara huyo zilizokakamatwa kufuatia doria maalumu zilizofanyika katika ziwa hilo na zile zilizokamatwa katika Kijiji cha Kasanga kilichopo kwenye mwambao wa Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo.

Aidha aliwaagiza askari wa kikosi cha doria kuendelea kuwasaka wavuvi wengine wanaotumia zana haramu za uvuvi na kuteketeza raslimali zinazopatikana katika Ziwa Sundu na Ziwa Tanganyika yaliyopo wilayani humo kwa kufanya doria za mara kwa mara na za kushtukiza.

“Nakuagiza OCD wa Kalambo hakikisha mfanyabiashara huyu (Mwananzila) atatafutwa popote pale alipo mkamateni ili aweze kufikishwa kwenye vyombo vya dola ili sheria iweze kuchukua mkondo wake. “Isitoshe nawaagiza askari wa kikosi cha doria muendelee kuwasaka wavuvi wanaotumia zana haramu za uvuvi kwa kufanya doria za mara kwa mara na za kushtukiza ili kuzilinda raslimali zilizopo katika Ziwa Sundu na Ziwa Tanganyika,“ aliaagiza.

Wakizungumza  kwa nyakati tofauti kwa masharti ya kutoandikwa majina kutokana na kumuhofia Mwananzila, baadhi ya wavuvi walidai wanamfahamu mfanyabiashara huyo kuwa ni mkazi wa Sumbawanga mjini.

“Huyu mfanyabiashara anaitwa Richard Mwananzila ni mkazi wa mjini Sumbawanga amekuwa akitutishia sisi wavuvi wageni tunaomiliki leseni za uvuvi kwamba tusiponunua zana haramu za uvuvi kutoka kwake basi hataturuhusu kuvua samaki katika Ziwa lake la Sundu kwa kuwa ana hati miliki yote ya ziwa hilo huku akitishia kuwa yeyote atakayemfuatilia atakiona cha moto kwa kuwa ni mtoto wa Waziri Dk Tizeba,” alisema mmoja wa wakazi hao akiwa na hofu kubwa ya kugunduliwa.

Rasmi: Lowassa Aanza kumkosoa Rais Magufuli Hadharani kwa hoja Nzito..!!

$
0
0
 
WAZIRI Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Kamati ya Kuu ya Chadema, Edward Lowassa, amemtaka Rais John Magufuli, kutafakari hoja na ukosoaji wa wananchi na wapinzani dhidi yake.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu Maalum wa Chadema wilayani Misenyi mkoani Kagera uliyofanyika jana katika eneo la Bunazi, Lowassa alimtaka Rais Magufuli kutozipuuza hoja zinazotolewa kuhusu masuala mbalimbali ya nchi.

“Tunamuomba Rais atafakari kwa ungwana hoja za watu wengine. Tunamuheshimu ni Rais, lakini tunamuomba atafakari hoja hizi watu wasiendelee kuumia sana,’’ alisema Lowassa.

Kuhusu na hali ya ukame nchini, Lowassa alisema kuwa hali ya chakula nchini hivi sasa ni mbaya.

"Eneo moja ambalo hakika Rais anatakiwa kusikia hoja za watu wengine ni suala la njaa. Nimeshuhudia mwenyewe pale Longido na maeneo mengine. Hali ya mvua ni mbaya, hali ya chakula ni mbaya, watu wako hoi bin taaban halafu wanaambiwa hakuna kuwapelekea chakula,” alionesha mshangao Lowassa.

Akizungumzia madhila na waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera, Lowassa alielezea kushangazwa kwake na hatua ya Rais kuamua kutopeleka misaada kwa waathirika hao akisema hata Mungu anashangaa.

"Mimi nakaa nasema mfano kama ni mama yako pale kijijini, halafu amekumbwa na janga hili, anaambiwa ajisaidie mwenyewe si atakushangaa hata Mungu atashangaa,’’ alisema kwa masikitiko.

Kwa upande wake Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare (Chadema), alisema hali ya chakula katika mkoa wa Kagera ni mbaya.

Lowassa akiambatana na wajumbe wengine wa Kamati Kuu ya Chadema, akiwemo Profesa Mwesiga Baregu, ameendelea na ziara katikia mkoa wa Kagera ya kuimarisha chama chao.

Huu Ndiyo Msimamo wa Chadema Baada ya Mbowe na Lissu Kumuona Lema Gerezani..!!!

$
0
0

Chadema imeamua kuja na mpango mpya wa kuhakikisha Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema anatolewa mahabusu.


Lema amekuwa mahabusu tangu Novemba mwaka jana, lakini chama hicho kimesema sasa kinataka apate haki ya kisheria na kuwa huru kwa kuwatumia wanansheria katika kesi mbalimbali zinazomkabili.

Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amesema hayo baada ya yeye, mwenyekiti wake, Freeman Mbowe pamoja na viongozi wengine kumtembelea Lema mahabusu anakoshikiliwa tangu Novemba 2, mwaka jana kwa tuhuma za kutoa lugha za uchochezi dhidi ya Rais John Magufuli.

Lema amekuwa akikwama kupata dhamana kutokana na sarakasi za kisheria zilizosababisha upande wa utetezi uende hadi Mahakama Kuu katika kuhakikisha anapata haki hiyo, lakini hadi sasa bado vita hiyo ya kisheria haijaisha.

Lissu amewaambia waandishi wa habari mjini Arusha kwamba wataongeza nguvu ya mawakili wa Chadema katika kesi hiyo kila itakapokuwa ikitajwa mahakamani.

Pia, watakiandikia Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) barua rasmi kukitaka kitoe tamko kwa namna yoyote ili kiseme katika kesi ya Lema kipo upande upi na kama kikisema hakihusiki, basi hakutakuwa na chama cha wanasheria nchini na wakiona kuna hoja, basi watawataka watoe mawakili waliopo Arusha kusaidia kesi zinazomkabili Lema.

 “Hawa wanasheria wasijidai hamnazo wakati mbunge wao yupo mahabusu. Tutawaambia wawepo mahakamani kwa kuwa wananchi  wa kawaida hawaruhusiwi kuja kusikiliza kesi hiyo, basi wajae wanasheria,” amesema Lissu.

Awali, Mbowe amesema chama na viongozi waliamua kwenda kumuona Lema na familia yake kwa kuwa yupo mahabusu kinyume na haki za binadamu.

“Lema ana moyo mkuu sana na amejifunza mambo mengi kwa mujibu wa maelezo yake. Anasema wapo mahabusu asilimia 70 wenye makosa yanayostahili kupewa dhamana, lakini

Inasikitisha Sana: Hivi Ndivyo Mshiriki Miss Tanzania 2016 Alivyokatwakatwa Mapanga na Vibaka ,Tazama Hapa Livee..!!

$
0
0
miss-tz-1 

Na Richard Bukos,
DAR ES SALAAM: INASIKITISHA SANA! Mrembo aliyefahamika kwa jina la Queen Nazil aliyeshiriki mashindano ya Miss Tanzania 2016 akitokea Wilaya ya Ilala jijini Dar, hivi karibuni alikumbwa na janga kubwa baada ya kuvamiwa na watu waliodaiwa ni vibaka kisha kumpora vitu mbalimbali kabla ya kumjeruhi kwa mapanga, Risasi limelinyaka tukio zima.

miss-tz-4Majeraha sehemu za kichwa cha mrembo Queen Nazil.
Rafiki wa karibu wa Queen aliyeomba jina lake lisitajwe gazetini alisema kuwa, tukio hilo lilitokea usiku wa wikiendi iliyopita maeneo ya Mwenge-Mpakani jijini Dar wakati mrembo huyo akitokea kwenye mishemishe zake.

“Ilikuwa usiku wakati anatoka kwenye mambo yake, sasa aliposhuka kwenye gari ya rafiki yake kisha ile gari kuondoka, yeye alibaki getini akigonga ili afunguliwe lakini ghafla ikatokea bodaboda iliyokuwa na watu wawili ambao walimpora mkoba wake.miss-tz-3

“Sasa kwa kuwa ule mkoba ulikuwa na simu aina ya iPhone 6, pesa shilingi laki mbili na vikorokoro vingine, Queen alijikuta akijitetea na ndipo mmoja wa wale watu alipomkata mapanga kichwani, akadondoka chini na kuanza kuvuja damu,” kilidai chanzo hicho.

Ikadaiwa kuwa, baada ya kujeruhiwa walitokea wasamaria wema ambao walimchukua mwanadada huyo aliyetajwa kuwa ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Kitivo cha Sheria, Chuo Kikuu cha Tumaini kilichopo Mwenge jijini Dar, wakamkimbiza kwenye hospitali moja iliyopo jijini Dar kwa ajili ya matibabu.
miss-tz-2 

Risasi ndani ya Tumaini
Baada ya kuwepo kwa madai kuwa, Queen ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini tawi la Dar, waandishi wetu walifika chuoni hapo na kufanikiwa kuzungumza na Waziri wa Mawasiliano na Habari wa serikali ya wanafunzi, Grey Paul aliyekiri kumtambua na kwamba kweli alipatwa na balaa hilo.

“Ni kweli Queen ni mwanachuo wa hapa, kwa mujibu wa taarifa nilizozipata alivamiwa na watu ambao wanadaiwa ni vibaka, wakampora simu na pesa.

“Inasemekana alikuwa karibu na nyumbani kwa dada yake aliposhushwa kwenye gari ya rafiki yake na kabla hajafika getini alivamiwa na kuporwa vitu hivyo pamoja na kupigwa panga,” alisema Grey.

Hata hivyo, kiongozi huyo wa wanafunzi alisema kuwa, kwa muda huo alikuwa hajui alikokuwa akiishi Queen baada ya kutoka kwenye hosteli za chuo hicho zilizopo Mwenge.

Risasi lilifanikiwa kupata namba ya simu ya Queen lakini kila ilipokuwa ikipigwa ilikuwa haipatikani huku dada mmoja aliyedai ni rafiki yake wa karibu akisema:

“Queen ni rafiki yangu mkubwa ila siwezi kuwapeleka alipo, mwenyewe hataki hili tukio likuzwe kwani litawapa presha wazazi wake.

“Ila in short (kwa kifupi) baada ya tukio lile alipatiwa matibabu na sasa anaendelea vizuri,” alisema rafiki huyo wa Queen aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini.

Pichazz: Hivi Ndivyo Mshiriki wa BSS ,Miriam Alivyomwagiwa Mikojo Wakati wa Kusherekea Sikuku Yake Ya Kuzaliwa..!!!

$
0
0
miriam-7 RICHARD BUKOS, RISASI
DAR ES SALAAM: Mwa n amu z i k i wa Taarab, Mar­iam Mohammed Uwesu ‘Mariam BSS’ Jumapili aliyopita alijikuta akimwagiwa kojo wakati wa sherehe ya kum­bukumbu ya siku yake ya kuzaliwa ‘bethidei’ iliyofan­yika huko Manzese katika baa inayojulikana kama Bar Mpya, jirani na Friends Cor­ner Hotel.

miriam-2Katika hafla hiyo iliy­osindikizwa na Kundi la Taarab la Diamond Clas­sic Modern usiku huo, mshiriki huyo wa zamani wa shindano la kusaka vi­paji la BSS, alimwagiwa pombe, maji machafu, soda na ndoo ya chooni iliyokuwa na mikojo wakati wa tukio la kufungua shampeni, am­balo kwa desturi mpya ya sasa, mhusika humwagiwa kinywaji hicho, sambamba na maji na vinywaji vingine laini.
miriam-3Mambo yalienda vizuri hadi mshereheshaji ka­tika tukio hilo, Mc An­damakopa alipotangaza kuwa wakati wa kufun­gua shampeni umefika na mara tu baada ya kinywaji hicho kufunguli wa, wageni wa alikwa walianza kummwa­gia kwa staili ya kumuogesha.
miriam-4Kitendo hicho kiliamsha shamra kwa watu walioku­wepo, wakiwemo ‘masela’ ambao nao walimvamia na kuanza kummwagia vimim­inika mbalimbali zikiwemo pombe kali, soda na maji machafu.
miriam-5Wakati hayo yakiende­lea, wanaosadikika kuwa masela, walienda chooni na kuchukua ndoo ya maji yali­yochanganyika na mikojo na kwenda kummwagia mwilini hali iliyosababisha baadhi ya wasamaria wema kumcho­moa katikati ya kundi hilo baada ya kushtukia harufu kali ya mkojo.
miriam-6Baada ya kuchomolewa alikimbizwa chooni kwenda kuoga ndipo mambo men­gine yakaendelea huku mwanamuziki huyo akiwala­lamikia waliomfanyia kiten­do hicho akisema hakikuwa cha kiungwana.miriam-1
“Ukweli suala la kumwa­giana shampeni au maji ni la kawaida, lakini kitendo walichonifanyia cha kun­imwagia maji machafu yanayonuka harufu ya mikojo si cha kiungwana.
miriam-8“Ile ndoo wa­meitoa chooni na si unajua vyoo vya baa, walevi wengine wak­ienda kukojoa hawaangalii, wanakojolea hata maji ya kunawa , ” alilalamika Mariam.

News: Pitia Vichwa Vya Magazeti ya Leo Jumapili 15/1/2017

$
0
0
1234567891011121314151617181920212223242526272829303132333435363738 
Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumapili, Januari 15, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari motomoto zinazotokea kila kona ya dunia.

Rasmi:Samia Suluhu Aagiza Walioisaliti CCM kufukuzwa Mara Moja..!!!

$
0
0

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa CCM katika Mkoa Kaskazini (A) Unguja, kuwachukulia hatua stahiki wanachama ambao wanakisaliti na kuhujumu shughuli za kujenga CCM mpya.

Samia alitoa kauli hiyo wakati anafungua mafunzo maalum ya viongozi na watendaji wa CCM na jumuiya zake wapatao 556 katika ngazi ya matawi, wadi/tarafa na majimbo katika Mkoa wa Kaskazini (A) Unguja.

Alisema kuwa hatua hiyo itasaidia chama kuimarisha shughuli zake kwa sababu kitakuwa na watu waadilifu na wenye nia ya kukisaidia kusonga mbele na kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi ujao.

Alisisitiza kuwa wanachama na viongozi wa CCM kote nchini waendelee kuweka mipango na mikakati imara itakayowezesha chama kuendelea kupata ushindi mkubwa na kushika dola.

Mjumbe huyo ambaye pia ni Mlezi wa CCM katika Mkoa wa Kaskazini A Unguja alisema umoja na mshikamano miongoni mwa wananchama na viongozi ndio silaha madhubuti itakayowezesha chama hicho kuimarisha shughuli zake na kuongeza maradufu idadi ya wanachama nchini.

Alisema kwa sasa viongozi wanatakiwa kujielekeza katika kufufua na kuimarisha jumuiya za chama ambazo katika baadhi ya maeneo hazifanyi kazi vizuri ili zianze kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia kanuni na taratibu za chama.

Wolper Awatolea Povu Mastaa Wenzake,Adai ni Washamba,Kisa Ni...!!!

$
0
0

STAA wa filamu za Bongo, Jackline Wolper, amesema sasa hivi ameamua kuanza maisha ya kistaa kwa kutoanika mambo yake binafsi kwenye mitandao ya kijamii, kwani aliyokuwa anafanya mwanzo ilikuwa ni ushamba.


Akizungumza , Wolper alisema kwa muda mrefu ameishi maisha ya kishamba kwa kuanika mambo yake binafsi kwenye mitandao badala ya kuitumia kutangaza kazi zake za filamu.

“Kiukweli sasa nimeelimika na nimejijua kama mimi ni staa na ninapaswa kuishi kistaa, sitarusha chochote kile kinachohusu maisha yangu kwenye mitandao ya kijamii,” alisema Wolper.

Msanii huyo alisema mastaa wa Kibongo wamekuwa washamba na mitandao hiyo kwani wameshindwa kuitumia kibiashara kama wanavyofanya wenzao kutoka nchi nyingine duniani.

Inasikitisha Sana: Amuua Mtoto Wake wa Kumzaa Kwa Kosa la Kutoroka Shuleni..!!!

$
0
0

MKAZI wa Nsumba katika Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza Joyce Mathayo (33), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kumpiga mtoto wake Mathayo Manisi (12) na kumuua kwa kosa la utoro shuleni.


Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza Ahmed Msangi akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini hapa jana alisema tukio hilo lilitokea Januari 11, mwaka huu saa 4 asubuhi.

Alisema Mary alikamatwa na polisi baada ya kumpiga fimbo mtoto wake huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tatu sehemu mbalimbali za mwili na kumsababishia kifo, kitendo ambacho ni kosa la jinai.

Kamanda Msangi alisema siku ya tukio, mtoto huyo alimkatalia mama yake kwenda shule na kusema hataki shule tena, ndipo mama huyo alipopatwa na hasira na kuanza kumpiga fimbo sehemu mbalimbali za mwili na kumsababishia kifo muda mfupi baadaye.

Alisema baada ya mtoto huyo kufa, wananchi waliamua kutoa taarifa Kituo cha Polisi na polisi walifika mapema kwenye eneo la tukio na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa.

"Mtuhumiwa yupo katika mahojiano na polisi, pindi uchunguzi utakapokamilika atafikishwa mahakamani, mwili wa marehemu umefanyiwa uchunguzi na timu ya madaktari kutoka Hosipitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure na tayari umekabidhiwa kwa ndugu wa marehemu kwa ajili ya maziko,” alisema.

Kufuatia tukio hilo la kusikitisha, Kamanda Msangi ametoa wito kwa wazazi kuwalea watoto wao katika maadili mema na nidhamu kwa kuwaelimisha mambo mazuri na mabaya ili kuepusha kutoa adhabu za vipigo kwa watoto kwa kujenga familia bora isiyo ya ukatili.

Cheka Kidogo: Jamaa Ashusha Maombi ya Kufunga Ibada Wakati Ndio Kwaaza Inaanza..!!!

$
0
0

Kulikuwa na familia moja ya wacha Mungu vizuri tu pale Dar es salaam. Walikuwa wakisali kanisa moja la kilokole.  Mwanaume alikuwa na tabia ya kulala usingizi kila akiingia ibadani.


 Siku moja mke wake akagundua dawa ya kumfanya jamaa aache kabisa tabia hiyo mbaya ya kulala kanisani. Unajua ni dawa gani hiyo?

Kukiwa tu ndo ibada imeanza, jamaa alianza kuuchapa usingizi na mke bila kukawia akamminya kwa haraka akamwambia,

Mke: “Mchungaji amekuteua ufunge ibada kwa maombi”
Mwanaume akasimama haraka na kuanza kushusha maombi makali ya kufunga ibada

Mume:“Baba katika jina la Yesu tunakushukuru kwa ibada nzuri, Asante kwa ujumbe wa leo kutoka kwa mtumishi wako Mchungaji, Asante kwa miujiza ya uponyaji. Tunaomba ututangulie tunapokwenda majumbani kwetu kupumzika, Kanisa  woote tuseme Amen”

HAKUNA ALIYESEMA AMEN badala yake baada ya kumaliza sala tu, alilishuhudia kanisa nzima likimkodolea macho huku wengine wakicheka sana, na wengine wakiwa midomo wazi na wengine wakiinama kwa aibu kwani ibada ndo tu ilikuwa imeanza na jamaa anashusha sala ya kufunga ibada!

Nimesikia kuwa huyo bwana aliacha hiyo tabia ya kulala lakini sikujua mahusiano yake na mke wake yaliendelea kuwa mazuri au la.

Hatarii..! Wema Sepetu Aaamua Kulianzisha Kwa Mashoga Zake,Apanga Kuwaumbua Mmoja Baada ya Mwingine

$
0
0

MALKIA wa filamu na mrembo wa taji la ‘Miss Tanzania’ (2006), Wema Sepetu, amesema atawaumbua mashoga zake wote wenye tabia za kinafiki watakaojaribu kumsogolea kwani ameshawabaini kwa yale wanayomsema.


Wema amesema kwamba, baadhi ya mashoga zake wa karibu wamekuwa wakimchafua kwa kusema kwa sasa hana lolote na amefulia kiuchumi.

Alisema ameamua kukaa kimya bila kuwajibu ili kujipa muda wa kutafakari yaliyomtokea mwaka uliopita kwani amepitia mambo mengi magumu ingawa watu wanajidanganya kwamba amefulia wakati hakuna ukweli.

“Sijafulia na anayefikiria hivyo imekula kwake, natafakari niliyopitia wanafiki nimeshawajua na mwaka huu atakayenisogelea sitaacha kumpasulia ukweli kwani kuna watu wamekuwa wakinitumia kama daraja la kupatia ustaa,” alisema Wema.

Mkakati Mpya wa Kumtoa Godbless Lema Gerezani

$
0
0

Chadema imeamua kuja na mpango mpya wa kuhakikisha Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema anatolewa mahabusu.


Lema amekuwa mahabusu tangu Novemba mwaka jana, lakini chama hicho kimesema sasa kinataka apate haki ya kisheria na kuwa huru kwa kuwatumia wanansheria katika kesi mbalimbali zinazomkabili.


Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amesema hayo baada ya yeye, mwenyekiti wake, Freeman Mbowe pamoja na viongozi wengine kumtembelea Lema mahabusu anakoshikiliwa tangu Novemba 2, mwaka jana kwa tuhuma za kutoa lugha za uchochezi dhidi ya Rais John Magufuli.


Lema amekuwa akikwama kupata dhamana kutokana na sarakasi za kisheria zilizosababisha upande wa utetezi uende hadi Mahakama Kuu katika kuhakikisha anapata haki hiyo, lakini hadi sasa bado vita hiyo ya kisheria haijaisha.


Lissu amewaambia waandishi wa habari mjini Arusha kwamba wataongeza nguvu ya mawakili wa Chadema katika kesi hiyo kila itakapokuwa ikitajwa mahakamani.


Pia, watakiandikia Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) barua rasmi kukitaka kitoe tamko kwa namna yoyote ili kiseme katika kesi ya Lema kipo upande upi na kama kikisema hakihusiki, basi hakutakuwa na chama cha wanasheria nchini na wakiona kuna hoja, basi watawataka watoe mawakili waliopo Arusha kusaidia kesi zinazomkabili Lema.


 “Hawa wanasheria wasijidai hamnazo wakati mbunge wao yupo mahabusu. Tutawaambia wawepo mahakamani kwa kuwa wananchi  wa kawaida hawaruhusiwi kuja kusikiliza kesi hiyo, basi wajae wanasheria,” amesema Lissu.


Awali, Mbowe amesema chama na viongozi waliamua kwenda kumuona Lema na familia yake kwa kuwa yupo mahabusu kinyume na haki za binadamu.


“Lema ana moyo mkuu sana na amejifunza mambo mengi kwa mujibu wa maelezo yake. Anasema wapo mahabusu asilimia 70 wenye makosa yanayostahili kupewa dhamana, lakini hawajapewa,” amesema.

Mpenzi Halindwi na Alarm wala Hawekewi Tracker, Analindwa na Mahaba na Care Unazompa

$
0
0

Mpenzi halindwi na Alarm wala hawekewi Tracker,analindwa na Mahaba na Care unazompa.

Ukimpa Mahaba Niue Nife Nayo basi atakuwa wako daima dumu,atajilinda mwenyewe na hataenda nje maana hakuna kipya kule ambacho kwako hapati,

Ukimpa Mahaba ya Kibaba cha Mafuta shallow,basi atatafuta mtu wa kujazilizia kwenye gepu!

Usipoteze muda kukaba nyendo za mpenzi wako kama beki wa Yanga, Invest kumridhisha Mpenzi wako kwenye kila idara ya Penzi lenu ili Mahaba yenu yabaki salama lasivyo jiandae kuwa mlinzi wa KK Security Night Shift bila gwanda!

Trump Aiga Kila Kitu Kutoka kwa Magufuli,Haya Hapa Mambo Manne Aliyoyaiga Harakaharaka..!!!

$
0
0

Rais mteule Marekani ameonekana kufuata nyayo za Magufuli katika kuwatumikia wananchi.Rais John Pombe Magufuli ni rais anayekosa usingizi kwa kupigania maisha ya wanyonge bila kutaka kuwafurahisha baadhi ya watu.Tabia hii hata Trump anayo.


Kuna maeneo mengi misimamo ya viongozi hawa inafanana.Hii ni mifano michache..

1.KUBANA MATUMIZI
Viongozi wote hawa wameonesha nia ya kubana matumizi.JPM; ameokoa pesa nyingi holela kama safari za nje, posho, sherehe zisizo na tija na matumizi mengine holela, pesa hizi zimeelekezwa kwenye maendeleo .Trump; amezuia pendekezo la kununua ndege mpya ya rais yenye thamani ya trillion 8 za Kitanzania , pia anafikiria USA kuacha kutoa pesa kwa majeshi ya NATO.

2.UCHOCHEZI WA VYOMBO VYA HABARI
Viongozi wote hawa wanakerwa na uzushi na uchochezi wa vyombo vya habari katika nchi zao.Tumeona JPM alivyokerwa na magazeti mawili yanayohatarisha mustakabali ya amani yetu akiwa ziarani Shinyanga.Hali hiyo pia tumeiona kwa Trump alipokuwa anaongea na waandishi wa habari kwa kukituhumu kituo cha televisheni cha CNN kwa kutoa HABARI za uongo na uzushi.

3.KUSIMAMIA UKWELI NA KUJIAMINI.
Viongozi wote hawa hawana unafiki wala hawafanyi kazi ili wapendwe.Mara nyingi husimamia haki na ukweli.JPM ; amejitoa kupigania maisha ya Watanzania masikini, amekuwa mkweli siku zote na wala haongozi nchi kuwaridhisha mafisadi wachache na kuwaumiza wananchi wengi.Siku zote yeye husema ukweli.Trump; yeye pia hataki ujinga amekuwa akitoa kauli zenye ukweli kwa mustakabali wa Wamarekani.

4.VIWANDA NA UWEKEZAJI
Viongozi wote hawa wana nia thabiti ya nchi zao ziwe na viwanda vingi.JPM; ameweka mazingira rafiki kwa wawekezaji kujenga viwanda vingi , vile vile kuwa na mipango ya kuzuia kuingia bidhaa kuingia nchini kiholela .Trump; amepinga hatua ya wawekezaji kujenga viwanda Mexico ili wapate cheap labour na kuifanya Marekani soko la bidhaa zinazotengenezwa Mexico.

Kwa hiyo inabidi viongozi hawa wawe karibu sana kwani wote wana sifa zinazofanana katika kuwatumikia wananchi wanyonge.

Hatarii:Mtoto wa Miaka Mitano Afariki Dunia kwa Kukeketwa na Bibi Yake..!!!

$
0
0

MTOTO mchanga wa siku tano amefariki dunia baada ya kufanyiwa kitendo cha ukeketaji na bibi yake aliyejulikana kama Longida Naingola mkazi wa Kijiji cha Naibera, wilayani Simanjiro, Mkoa wa Manyara.


Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Wilbroad Mutafungwa, kichanga hicho kutoka kabila la Wamasai kilifanyiwa kitendo hicho cha kikatili Desemba 30, mwaka jana katika Kijiji cha Naibera, wilayani Simanjiro.

“Mtoto alizaliwa Desemba 25, 2016 na Desemba 30, 2016 saa 4:00 asubuhi, bibi huyo alimkeketa na baada ya kitendo hicho hali ya mtoto ilikuwa mbaya kutokana na kutokwa na damu nyingi sehemu zake za siri,” alisema Mutafungwa.

Mutafungwa alisema ilipofika Januari 11, 2017 mtoto huyo alifikishwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC akiwa na mama yake mzazi, Fatina Joshua (14).

Alisema baada ya kufikishwa hospitalini hapo madaktari waliompokea walimkagua na kukuta mtoto huyo akiwa ameharibika vibaya sehemu zake za siri na ilipofika Januari 13, mwaka huu alifariki dunia.

Kamanda Mutafungwa, alisema baada ya kupata taarifa hiyo waliwatafuta watuhumiwa na kumkamata bibi pamoja na mama wa kichanga hicho.

Alisema mwili wa kichanga hicho umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC huku uchunguzi ukiendelea ili kuchukua hatua zaidi za kisheria.

Aidha, Kamanda Mutafungwa alisema jeshi hilo pia linaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi mkoani Manyara kutokana na tukio hilo kufanyika huko.

Matokeo ya Kidato cha Pili Yatangazwa, St. Franscis, Kilimanjaro Islamic na Kaizerege Zaongoza

Viewing all 104809 articles
Browse latest View live




Latest Images