Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

WALIO SEMA WEMA KAPENDELEWA NA GLOBAL..HAPA TUNASHINDANISHA UPYA..PIGA KURA

$
0
0
Baada ya Global Kumtangaza Wema Kuwa ni Ijumaa Sexiest Girl na Kuwapiga Chini Wenzake Kina Jokate, Lulu , Nelly na Jack Wolper Kumezuka Minongono Mtaani kuwa Kapendelewa....Haya Sasa Hii ni Nafasi Nyingine ya Kupiga Kura ili tuone kama Alipendelewa kweli ama Laa.....Andika Jina la Unae ona anafaa kuwa Sexiest Girl.....Kesho Saa Nne tutahesabu nani Kapata Kura Nyingi.....

1.NELLY KIMWELU
2.LULU MICHAEL
3.JACK WOLPER
4.WEMA SEPETU

AL-SHAABAB WATOA TISHIO JINGINE LA KUILIPUA KENYA

$
0
0
Tishio la kigaidi lina kodolea macho taifa la Kenya baada ya kundi la kigaidi lililo na makao yake makuu nchini Somalia kuachia video nyingine kwenye mtandao wa Al-Kataib wakitishia kutekeleza mashambulizi nchini Kenya wakati wowote.
kwenye kanda hiyo msemaji wa alshabaab aliye jifunika uso anasema kwamba hawaoni lolote litakalo wa zuia kuingia Kenya hasa baada ya kufanikiwa kutekeleza mauaji katika jengo la west Gate. mwaka uliopita>>’tumekuwa tukisema tutafika Kenya lakini hivi tayari tushafika si eti westgate ndio tosha bado kuna mamia na mamia ya watu wanaongojewa mahala kama hiyo insha Allah’alisema msemaji huyo.
Huku wakiimbia tutawalipua hadi tuwamalize wanamgambo hao wamesema kwamba wameamua kuungana na wasomali kutetea dini ya Allah,Wadadisi wa maswala ya kiusalama wanahoji kwamba huenda hawa ni baadhi ya vijana kutoka kwa mataifa ya Afrika mashariki walipewa mafunzo ya itikadi kali na baadaye kupelekwa somalia kujiunga na Alshabaab kutokana na wanavyozungumza lugha ya Kiswahili kwa ufasaha kwenye video hiyo.
Ispekta mkuu wa polisi nchini Kenya bwana David kimaiyo amesema uchunguzi umeanzishwa kubaini chanzo cha video hiyo na taarifa kamili kutolewa punde tu watakapo pata habari zaidi kuhusiana na video hiyo.

BIDHAA IMETENGENEZWA KABLA YA MUDA WAKE-TBS MPO?

$
0
0
Hii Ndio Tanzania Yetu hakuna umakini wa kila jambo, kwasababu tbs ndo wenye jukumu la kuweka hizo tarehe je nao wamekosea tarehe ya utengenezaji jiulize ni bidhaa ngapi sasa wamekosea tarehe ya mwisho ya kutumika bidhaa husika. nikiwambia hawa watu wauwaji mnabishia.TBSCCM MTATUMALIZA

SITTA AIFUATA UKAWA ZANZIBAR KUNUSURU BUNGE

$
0
0
Wakati viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiweka kambi Zanzibar, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana naye alitumia siku nzima visiwani humo akikutana na baadhi ya viongozi wa Serikali, katika kile kinachotafsiriwa kuwa kulinusuru Bunge hilo.

Habari zilizolifikia gazeti hili kutoka Zanzibar zinasema Sitta alikutana na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Rais Mstaafu, Aman Karume na mwanasiasa wa siku nyingi wa CCM, Mzee Hassan Nassor Moyo.

Zanzibar kwa sasa ndiyo moyo wa upatikanaji wa Katiba Mpya kutokana na wajumbe wake katika Bunge kutegemewa ama kuipitisha au kuikwamisha kwa kuwa kila upande kati ya mbili zinazovutana, hauna uhakika wa kupata theluthi mbili za kura.

Baada ya kuondoka bungeni na kutangaza kususia vikao vya Bunge hilo Aprili 16, mwaka huu, siku mbili baadaye viongozi wa Ukawa waliingia Zanzibar wakitaka kufanya mikutano ya hadhara kuwaeleza wananchi sababu za kufanya hivyo, lakini wakazuiwa na polisi na hadi jana walikuwa wanasubiri kibali.

Safari ya Sitta

Katibu wa Bunge Maalumu, Yahya Khamis Hamad pamoja na kuthibitisha ziara ya Sitta Zanzibar kuwa alikuwa akutane na Dk Shein, alisema hafahamu lolote kuhusu mkutano wake na Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF.

“Sifahamu malengo ya safari wala walichokwenda kuzungumza, ila ni kweli kwamba alifika Zanzibar leo (jana) na alitarajiwa kuondoka jioni kurejea Dodoma,” alisema Hamad na kuongeza:

“Hilo la kuonana na Maalim Seif silifahamu ila ninachojua aliniambia nimfanyie miadi ya kuonana na Dk Shein na nikaifanya kama alivyoelekeza.”

Mapema habari zilizolifikia gazeti hili kutoka Zanzibar zilisema, Sitta baada ya kukutana na Karume, Shein na Mzee Moyo alitarajiwa kukutana na Maalim Seif saa 9:00 alasiri.

Katibu wa Maalim Seif, Issa Kheri Hussein alithibitisha kwamba Sitta alikutana na kiongozi huyo nyumbani kwake, Mbweni saa 9:30 alasiri jana, lakini alidai kutokuwa na taarifa za mazungumzo hayo.

“Hilo naweza kulithibitisha kwamba mkutano huo umefanyika lakini mazungumzo yenyewe yalikuwa ya faragha na mimi baada ya Sitta kufika niliondoka, hivyo sikuweza kufahamu kilichozungumzwa kwa undani, pengine mpaka nizungumze na Maalim mwenyewe,” alisema Hussein.

Ziara ya Sitta kwenda Zanzibar imekuja wakati ambao kumekuwa na wasiwasi mkubwa wa kukwama kwa vikao vya Bunge hilo kutokana na msimamo wa Ukawa.

SABABU ZA UGOMVI BAINA YA MAPACHA WA P-SQUARE ZAFAHAMIKA, SOMA HAPA

$
0
0
Taarifa juu ya ugomvi ulioibuka wiki iliyopita baina ya ndugu mapacha wa kundi la P-Square Peter na Paul na kaka zao zimewashtua mashabiki wao walioko pande mbalimbali za dunia. Chanzo kimoja cha karibu na ndugu hao kimeelezea sababu na kile kilichotokea.

Inadaiwa kuwa ugomvi wa wanandugu wa familia ya Okoye ulianzia kwa wasaidizi wao binafsi, ‘Personal Assistants’ (PA’s).
 Ripoti kutoka katika vyanzo mbalimbali vya Nigeria zinasema kuwa ‘PA’ wa kaka yao mkubwa Jude aitwaye Wande alimpatia ‘PA’ wa Peter aitwaye Shege, pesa ili akamsajilie gari lake, lakini inasemekana ‘PA’ wa Peter badala ya kutumia pesa hizo kwa kazi aliyoelekezwa alizitumia kwa kitu tofauti. 
 Baada ya hapo inadaiwa kuwa ‘PA’ wa Jude alikasirika baada ya kugundua kuwa pesa alizompa ‘PA’ wa Peter hazikufanyiwa kazi aliyoelekeza. Alipoenda nyumbani kwa Okoye’s ‘Squareville’ ili kukabiliana na ‘PA’ wa Peter ndipo ugomvi ulizuka baina ya wasaidizi hao wawili wa ndugu.
 Chanzo kinaendelea kusema baada ya ugomvi kuanza Peter aliingilia na kutaka kumpiga msaidizi wa Jude hadi Paul alipoingilia kwa lengo la kuwaachanisha, lakini badala yake Peter alijikuta akimpiga ngumi pacha wake Paul na kuanguka chini japo inadaiwa kuwa Paul hakumrudishia ngumi kaka yake, na badala yake kaka yao mwingine aitwaye Tony naye aliingilia na kuanza kupigana na Peter. Wakati haya yote yanatokea mke wa Paul Anita alikuwa akishuhudia.
 Chanzo kiliongeza kuwa Peter anataka awe mhusika mkuu wa maswala ya fedha za kundi au apate mgao mkubwa zaidi, huku upande wa pili inadaiwa Paul anataka kaka yao mkubwa ambaye pia ni meneja wao Jude aendelee kuwa msimamizi mkuu wa maswala ya fedha zao kama ilivyokuwa miaka yote iliyopita, lakini mpaka ilifikia hatua ya kutaka wagawane mali kila mtu awe na chake.
 Baada ya habari za ugomvi baina ya wana ndugu hawa kuenea, hii ni post ya Paul aliyoiandika juzi kupitia ukurasa wake wa Facebook. 
 “After the storm comes the calm. Hoping for better days ahead as one family. God’s intervention.”
BONGO 5

BAADA YA KIMYA KIREFU HATIMAYE MASOGANGE ATOBOA SIRI KUMHUSU JAMAA ALIYEMPA MADAWA ALIYOKAMATWA NAYO SOUTH

$
0
0

‘VIDEO queen’ wa Kibongo, Agness Gerald, ‘Masogange’, amefunguka  kuwa aliyempa mzigo wa unga  na akakamatwa nao nchini Afrika Kusini, alikuwa amevalia kininja, hali iliyomfanya ashindwe kumtambua.

 Taarifa za uhakika kutoka vyanzo vyetu makini katika kikosi kazi cha kuzuia na kudhibiti madawa ya kulevya nchini (Task Force), zinasema kuwa  mwanadada  huyo alipofika katika nchi hiyo, alipigiwa simu na mtu ambaye hamjui aliyemwambia kuwa atapewa mzigo, hivyo ajiandae kuupokea.

“Alidai kuwa kuna mtu aliyevalia kininja alifika eneo alilokuwepo uwanjani pale ambaye hakumsemesha badala yake alimpatia mzigo wa unga ambao ulikuwa kilo 150 ambao hapa kwetu ni madawa ya kulevya na kuondoka kusikojulika,” kilisema chanzo.
 Kwa upande wake, Kamanda wa Kudhibiti na Kupambana  na Madawa ya Kulevya nchini,  Godfrey Nzowa alipohojiwa na gazeti hili alithibitisha kuwa Masogange aliwaeleza polisi wa Afrika Kusini kuwa aliyempa unga ule ni mtu aliyekuwa amevalia kininja.

WEMA AWAJIBU WANAOMPONDA BAADA YA KUSHINDA TUZO YA IJUMAA SEXIEST GIRL

$
0
0

Tangu akabidhiwe tuzo yake ya Ijumaa sexiest girl, Mrembo Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' tayari inaonekana ameshakutana na negative comments baada ya kushinda hiyo tuzo.

1
Wema Sepetu ameibuka mshindi katika shindano la Ijumaa Sexiest Girls akiwabwaga Lulu, Nelly, Wolper, Jokate.
Wema ametumia ukurasa wake wa instagram kutoa yaliyo moyoni mwake na ameandika,
“If u got it flaunt it….. Ndo nshashinda…. kama hujapenda kasage chupa kunywa…. maana naona sasa its too much khaaaaaaaa.!
Ebu mnitue mie mtoto wa watu… And again much love to y’all dat support me… nawapenda sana…. nimemaliza…. Award yangu ndo hiiiiiiiiooooooooo…… next year tusubiri mwingine.
Nalala zangu…. tukutane kesho…. najua wengi mnanipenda ni wachache wenye vijiba vyao vya roho…. Wema atabaki kuwa Wema tu… Bhaaaaas.”

HII KALI..KUMBE ULE UPORAJI WA BARCLAYS BANK KINONDONI HAUKUWA WA KWELI

$
0
0
Dar es Salaam. Last week’s “robbery” at Barclays Bank’s Kinondoni branch, where armed gangsters reportedly grabbed Sh300 million, was faked, The Citizen can authoritatively report.


Impeccable sources close to the ongoing investigation into the incident confided in The Citizen that the “raid” by three men was planned and executed to cover up the theft of tens of millions of shillings that had previously taken place at the branch.



Some employees at the branch are said to have colluded with rogue police officers to fake a robbery in an attempt to hide the truth about the theft. The workers, including a senior official at the branch, are among those being held for questioning.



According to our inquiries, detectives are also looking for a police officer from Oyster Bay Police Station, who disappeared as investigators zeroed in on him.

The officer vanished after learning that one of the suspects had told detectives about the stage-managed “raid” and the role of the fugitive.



Yesterday, Dar es Salaam police boss Suleiman Kova declined to give details about the progress of the investigation, saying he would do so today at a news conference.

Asked about the whereabouts of the fugitive police officer, Mr Kova said: “We are still gathering and receiving more information and will give a comprehensive statement at a media briefing later.”



Earlier, Kinondoni Regional Police Commander Camillius Wambura told The Citizen that briefings on the incident would henceforth be provided by Mr Kova.



Contacted for comment yesterday, Barclays head of Marketing and Communications Neema-Rose Singo told The Citizen that she had nothing to say as it was a public holiday.



According to eyewitnesses, the “robbery” took place at around 9.30am last Tuesday and involved three men, who had arrived at the bank on a motorcycle. One remained outside while his accomplices entered the branch and walked out a few minutes later with a big bag that was purportedly stuffed with hundreds of millions of shillings.



The three men jumped on their motorcycle and sped away. Police arrived at the scene about 20 minutes later.

No shot was fired and the casual manner of the “robbers” raised eyebrows.


A day after the incident, some employees at the bank and several other people were arrested and their mobile phones confiscated by police as part of the investigation.



The source said the suspects were questioned separately in the presence of Mr Wambura and other senior police officers.



According to the source, drama unfolded when one of the bank’s employees volunteered to spill the beans as soon as he entered the interrogation room.



“He pleaded with investigators not to be too hard on him as he was ready to reveal the truth.

“At that juncture, one of the police officers (name withheld) asked to be allowed to leave the room, saying he was not feeling well.



“As soon as the officer had left, the Barclays employee said the officer who had just gone out knew everything about the plot,” the source said.



The employee told investigators that a huge amount of money had already been stolen at the branch and the “robbery” was a way of covering up the theft. He said the police officer in question knew everything beforehand.

Noticing that the officer was taking too long to return to the interrogation room, his boss telephoned him, only to be told by the officer that he had gone home because he was not feeling well.



When his bosses decided to trace him to his home, the officer was nowhere to be seen, and the gun he was carrying was found abandoned at a corner of the police building.



Last week, Ms Singo said the bank and its employees would cooperate with police in their endeavour to get to the bottom of the incident. The branch re-opened a day after the “raid”.



Police are under the spotlight again after a gang raided the Kariakoo branch of Habib Bank and reportedly made off with Sh1 billion last August.

Police have yet to arrest a suspect after what Mr Kova said was an incident that had all the hallmarks of an inside job.

Source: THE CITIZEN TODAY

MAKOSA WANAYOFANYA WANAUME WALIO KWENYE NDOA

$
0
0
1- Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati
kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa
taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike
kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali
atajisikiaje.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika

10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege

11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife
awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi

TANZANIA NA WASOMI WASIO KUWA NA MAADILI..WANAO IFILISI NCHI

$
0
0
Tunatumia fedha nyingi sana zisizolingana na uwezo wetu kuwasomesha watu wachache, ili baadaye na wao walete faida kubwa kiasi hicho hicho katika nchi.

Tunatumia fedha kutafuta faida katika akili ya mwanadamu...tunatarajia mwanafunzi tuliyemsomesha Chuo Kikuu aje kutusaidia kiasi kikubwa zaidi katika kazi za maendeleo kuliko yule ambaye hakupata bahati hiyo.

Tunatoa vingi kumpata mwanafunzi aliye chuo kikuu ili baadaye tuweze kupokea vingi zaidi kutoka kwake.”

Haya ni maneno ya Mwalimu Julius Nyerere aliyoyasema miaka mingi iliyopita.

Ili fikra za Mwalimu Nyerere na malengo ya elimu yafikiwe kuna kitengo muhimu katika mfumo wa elimu ambacho kinamjenga mtu awe kamili na afanye kama jamii inayotarajia.

Haijalishi una ujuzi na maarifa gani, kama huna maadili kwa ukamilifu wake huwezi kuisadia jamii au nchi, badala yake utakuwa mzigo wa nchi na jamii, yaani mmoja wa watu wanaoipora na kuifilisi nchi.

Maadili ya mtu yanazaliwa kwenye vipaji mahsusi vya utambuzi wa hisia za mwanadamu na kwenye vitendo na tabia za mtu za ndani ya roho na moyo wake. Udanganyifu hauko akilini uko rohoni. Wizi hauko akilini uko moyoni, chuki haiko akilini iko rohoni

Hivyo, maadili hubeba tunu kama uaminifu, amani, busara, hekima, uwazi, heshima, kujituma, haki, hamasa ya kazi, uzalendo, utu, wema, uadilifu. Hata kujitambua na kujiamini ni maadili kwenye kitengo cha weledi wa kiroho.

Matukio ya ufisadi na ubadhirifu wa mabilioni ya pesa za umma, kwa asilimia karibu 99 yamekuwa yakifanywa na wasomi.

Ripoti za chenji za rada, Richmond, uuzwaji wa wanyama, kughushi malipo hewa, kampuni bandia, matusi na kejeli bungeni, kufadhili uharamia na ujangili, wizi wa benki kuu na mamia ya matukio ya wizi mkubwa wa mali ya umma yanafanywa na wasomi.

Wananchi wa kawaida huko vijijini wametulia kimya wakiendeleza jitihada zao za kutafuta riziki kwa njia halali huku wakibinywa kwa kodi na Serikali, ili wasomi wanufaike.

Chuki inayopandikizwa sasa katika nchi yetu inafanywa na watu waliosoma wenye malengo dhalimu. Kuporomoka kwa uchumi wa nchi na hata kuanguka kwa elimu yetu sababu kuu ni wasomi waliojivika sura tofautitofauti kulingana na ofisi au mahali wanakofanyia kazi.

UMUHIMU WA KULA MBOGA MBICHI

$
0
0
Katika maisha ya binadamu karibu kila jambo zuri linatakiwa kufanywa kwa tahadhari au kuchunga miko yake. Bila ya kufanya hivyo, faida ya jambo hilo haitapatikana na badala yake maafa yatachukua nafasi.

Ulaji wa mboga mboga zikiwa katika hali ya ubichi au zikiwa hazijapikwa una faida kubwa kiafya. Hata hivyo, ulaji huo bila ya kuchukua tahadhari utasababisha magonjwa yanayoenea kutokana na kula vyakula vichafu.

Moto unaharibu

Ni ukweli wa miaka mingi kuwa kupika au kutumia moto katika kuandaa vyakula kuna haribu virutubisho vinavyopatikana katika mboga mboga.

Mboga za majani ambazo hazijakomaa na mbichi ni chanzo kikubwa cha vitamini na madini ya aina mbalimbali. Mboga hizo endapo zitakamuliwa na kutumiwa kama juisi, faida yake kiafya itakuwa kubwa hasa kwa wagonjwa.

Mboga mboga zinaondoa tindikali inayozalishwa wakati vyakula vingine vikisagwa tumboni kama vile nyama na jibini.

Mboga za majani za kijani ni chanzo kikubwa cha carotene ambayo inabadilishwa mwilini na kuwa vitamini A.

Mboga mboga pia, ni chanzo kizuri cha vitamini C.

Vitamini A ina kazi kubwa ya kuimarisha macho ili yaone vizuri hasa wakati wa giza.

Inasaidia pia ukuwaji na ufanyaji kazi wa chembehai na kuimarisha kinga ya mwili.

Vitamini C ina kazi nyingi ikiwemo kuimarisha ufanyaji kazi wa chembehai, inaimarisha kinga, kuponya mafua na vidonda.

Baadhi ya mboga mboga zina protini na wanga. Kwa mfano, maharage na kunde ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma na protini. Viazi mviringo na viazi vitamu ni chanzo kikuwa cha wanga.

Wito

Siku hizi kuna kuongezeka kwa tabia ya watu kutumia mboga zikiwa mbichi kutokana na wengi kutambua umuhimu wake.

Tunawahimiza watu watumie mboga mbichi kama vile saladi na kachumbari. Wanaweza kuzitumia zikiwa zimekatwakatwa au kusagwa ili kupata juisi, lakini ni lazima kuzingatia usafi.

Tahadhari

Kwa ushahidi wa kutosha wa kisayansi, ulaji wa vyakula vibichi ambavyo havikuoshwa vizuri ni chanzo kikubwa cha magonjwa ya kuambukiza kama vile homa ya matumbo, kipindupindu, tumbo la kuhara, kuhara damu, kupata minyoo na amweba.

Kwa sababu hiyo, watu wanashauriwa kuosha vizuri mboga mboga kwa kutumia maji safi na salama. Pia, watu wale saladi na wanywe juisi ya mboga mbichi ili kupata virutubisho vingi.

Mboga mboga kama matango, nyanya na karoti, zitumike kutengeneza juisi bila ya kuondoa maganda yake. Kwa sababu maganda yana madini na protini kwa wingi.

Tahadhari nyingine

Watu wawe makini kujua mahali zilipozalishwa mboga mboga wanazizonunua. Miaka michache iliyopita, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kiliwahi kufanya tafiti mbalimbali kuhusu ubora wa mboga mboga zinazozalishwa kando kando ya barabara zinazopita gari na zile zinazozalishwa katika bonde la mto Msimbazi, Jijini Dar es Salaam.

Tafiti hizo zilibaini kuwa baadhi ya mboga zilikuwa hazifai kuliwa na binadamu wala wanyama kutokana na kuwa na kemikali zinazodhuru afya.

DAVIDO AONYESHA JEURI YA PESA..ANUNUA GARI MPYA YA MWAKA 2014..ICHEKI HAPA

$
0
0
Show za kimataifa anazofanya Davido na utajiri wa familia yake unamweka kwenye nafasi nzri na kupata kila atakacho kwenye maisha. Ni Hit maker mkubwa Africa kwa sasa na Ukifuatilia radio na tv kwa siku hutokosa kukutana na nyimbo wa Skelewu ama Aye za Davido.
Ametumia Instagram yake kuonyesha gari mpya aliyoagiza na kwamba inakaribia kufika. Gari hii ni ya mwaka 2014 aina ya Mercedes Benz S63 AMG ambayo thamani yake kwa sasa ni dola140,905 ambazo nikama milioni 200 za Tanzania.


MPIGA PICHA WA DIAMOND" DIAMOND HE IS MY BEST BOSS OF ALL TIME"

$
0
0
Siku zote napenda kujifunza vitu vipya,nisivyovifahm kuhakikisha navifahamu.
na kwa kila hatua ya ufahamu ninayoipiga sisahau kumkumbuka Diamond,mtu ambaye siku zote amekuwa akinitia moyo na kuwa naweza ,kutonikatisha tamaa ninaposhindwa ndiyo kumenifanya .sijasoma upigaj picha,leo ni mpiga picha wake mzuri kwa sababu yake..yeye ndie kanishape siku zote amekuwa akiniambia..HAKUN ALOZALIWA ANAWEZA,sijasoma graphics,sikuwa nafaham chochote leo japo cijabobea but i can do anythn concerning graphics,iwe matangazo,iwe poster,ma kugeuza picha kuwa vile nitakavyoO PIC JUU.. KAMA HIY...yote ni sababu yake.
He is ma best boss of all time.jion njema

MTANGAZAJI JERRY MURO YUPO WAPI ?

$
0
0
Hivi mwandishi huyu yupo wapi kwa sasa? au ndio ameshamalizwa na kufifishwa katika shughuli zake za uandishi? Ninapenda kujua toka kwenu wadau, nini kinaendelea.

ALLY KIBA NA BARNABA NIKIWAFANANISHA NA DIAMOND...

$
0
0
Mwenzenu nikiangalia uwezo hasa sauti za hao waimbaji watatu mbona naona diamond haingii hata kidogo. cha kushangaza nyimbo za domo nazikubali ila nikikaa nikatulia na kulinganisha naona mmh!! hataa! .hivi ni kwa nini hawa hawafiki mbali kama domo? Ukizingatia kwa kuangalia sauti zao wanauwezo mkubwa sana wa kuperform kwa kutumia band kama wanavofanya p square na wasanii wengine wa mbele. Haya ni mawazo yangu binafsi sijui wenzangu mnasemaje.?

CHUCHU PIGA, UA LAZIMA RAY ATANIOA!

$
0
0
Stori: Imelda Mtema
LICHA ya hivi karibuni gazeti dada la hili, Risasi kumnukuu mcheza filamu mahiri Vincent Kigosi ‘Ray’ akikana kuwepo kwa mpango wa kumuoa mpenzi wake Chuchu Hans, dada huyo ambaye pia ni msanii wa fani hiyo, ameibuka na kusema piga ua lazima wataoana.

Akizungumza na gazeti hili juzikati, Chuchu alisema hana uhakika kama mpenzi wake huyo alimaanisha kile kilichoandikwa gazetini kwa vile ana mapenzi ya dhati kwake.

“Kiukweli mimi moyo wangu unakataa kama alisema maneno hayo kwa vile ni mtu ambaye namjua ana mapenzi ya dhati kwangu,” alisema.

Mwanadada huyo aliongeza kuwa, anahisi kuna kidudu mtu mwenye nia ya kuleta mtafaruku ndani ya uhusiano wao kwa kuchochea fitina ili mapenzi yao yavurugike.

“Unajua kuwa kuna uwezekano kabisa kuna kidudu mtu ambaye anataka kuleta mtafaruku ili tugombane bila sababu na hilo mimi sikubaliani nalo,” alisema.

SAKATA LA NEY WA MITEGO KUMTEKA MSICHANA ILI ASEMA NANI ALIPOST PICHA ZA WEMA INSTAGRAM

$
0
0

Kupitia You heard ya jana April 24 alisikika dada mmoja ambaye alisema alitaka kutekwa na rafiki wa Ney wa Mitego ambapo leo Ney wa Mitego mwenyewe kahusishwa kwenye sakata hili ambalo bado refu hadi sasa,sikiliza dada huyu akiendelea kusimulia hapa.

Bonyeza play kusikiliza.

HALIMA: KWA DIAMOND, NIPO TAYARI KUFA

$
0
0
Stori: Imelda Mtema
DADA wa hiyari wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Halima Kimwana amejichora tatuu ya jina la staa huyo na kudai anampenda na yupo tayari kufa kwa ajili yake.

Alisema ukaribu wake ni wa kawaida lakini yupo tayari kufa badala yake (Diamond).
“Nipo tayari kufa kwa ajili ya Diamond, nimechora tatuu ya jina lake mkononi kuonesha msisitizo, namkubali” alisema Halima.

JB APONGEZWA KUMWANIKA MKEWE

$
0
0
BAADA ya kuishi kwenye ndoa muda mrefu, msanii wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ kwa mara ya kwanza amemwanika mkewe, Irene na kumwagiwa pongezi.

JB alipongezwa na mastaa tofauti mara baada kumuanika mkewe huyo katika mitandao ya kijamii.
“Mh! Leo JB ameamua kweli maana tangu afunge ndoa hatujawahi kumuona mkewe, hongera sana, Mungu awajalie,” alisema Mayasa Mrisho ‘Maya.

MTOTO WA KAJALA AUMIZWA NA UGOMVI WA MAMA YAKE NA WEMA "NAMPENDA SANA WEMA"

$
0
0
Kutokana na ugomvi unaoendelea kati ya Wema Sepetu na Kajala Masanja,mtoto wa Kajala aitwaye Paulette amesema anaumizwa na ugomvi huo na kwamba amekuwa akimtumia ujumbe Wema kumweleza anavyompenda.

Paulette alikuwa akizungumza na ‘Movie Leo’ ya kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.

Vimekuwa vinaniuma sana ila hata kama wakisema vitu vyote ataendelea kuwa mama yangu,” alisema. 

Mimi naona mama yangu hana makosa yoyote wanavyomtukana,mimi nakuaga najisikia sana vibaya.

"Namwambia (Wema) mama yangu hata kama amekosea kitu chochote amsamehe kwasababu mimi nampenda Wema kama aunt yangu na ninampenda mama yangu tena sipendi nikiona wanatukanana wala nini napenda wawe marafiki,nataka nimwambie Wema nampenda sana,” alisema. Paula.
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images