Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

MWAKYEMBE Airejesha Miss Tanzania Jukwaani..!!!

$
0
0

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe ameliagiza Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kusimamia mashindano ya urembo ya Miss Tanzania kwa ufanisi na kuhakikisha waandaaji wanazingatia kanuni za mashindano hayo kikamilifu.

Mwakyembe alisema hayo jana mjini Dodoma wakati alipokutana na Kamati ya Miss Tanzania iliyoongozwa na Hashim Lundenga na kuwataka kusimamia vyema shindano hilo ili kupata washindi wenye viwango vinavyotakiwa kimataifa.

“Nawaagiza Basata simamieni shindano hili ili tupate washindi wenye viwango watakaosaidia Tanzania kujitangaza kimataifa katika tasnia ya urembo,” alisema Mwakyembe.

Kwa upande wake Katibu Mtendaji Basata, Godfrey Muingereza, alimuahidi waziri huyo kuwa atasimamia kwa karibu na kwa ufanisi shindano hilo ili lifanyike kwa ubora utakaowezesha nchi kupata mwakilishi atakayefanya vyema kwenye mashindano ya dunia.

Naye Lundenga aliahidi kushirikiana na wizara hiyo kuboresha shindano la Miss Tanzania ili kuwa na mvuto ambao utaliletea taifa heshima.

Lundenga na wajumbe wengine wa kamati hiyo ambao ni pamoja na Bosco Majaliwa ( Katibu) na Deo Kapteni wanatarajia kuendesha shindano hilo mwaka huu kuanzia ngazi za awali hadi taifa.

CUF ya Maalim Waendelea Kulia na Jaji Mutungi..Wadai Jaji Mutungi ni Mwanachama Mwaminifu wa CUF ya Lipumba..!!

$
0
0

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema Msajili wa Vyama Vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, ndiye chanzo cha yanayoendelea ndani yake kwa kuasisi makundi maovu.

CUF imedai Msajili huyo ni chanzo cha makundi ya mazombi, Mungiki, wavamizi, wabeba bastola na mapanga yaliyoshiriki matukio ya utekaji wanachama, viongozi wao, hata watu wa chama hicho kupigwa visu mahakamani.

Hata hivyo, alipotafutwa Msajili kuzungumzia tuhuma hizo hakupatikana, lakini Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano katika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Monica Laurent alisema ofisi yake haiwezi kusema lolote, kwani anachojua suala la CUF liko mahakamani na kinachosubiriwa ni Mahakama kutenda haki.

Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari jana na Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Uhusiano wa Umma wa chama hicho upande wa Maalim Seif Sharif Hamad, Salim Bimani alimtaja Jaji Mutungi kuwa aliyesababisha pia mlezi wa vitendo hivyo vya kihalifu ikiwamo kuvamiwa kwa Ofisi Kuu ya Chama ya Buguruni Dar es Salaam Septemba 24 mwaka jana.

“CUF haikubaliani na inalaani tamko la kinafiki la Jaji Mutungi na tunamtaka avunje ushirikiano hasi wa kuhujumu chama alioujenga kati yake, Profesa Ibrahim Lipumba na Jeshi la Polisi,” alidai Bimani.

Alitaja orodha ya matukio na dosari katika tamko la Jaji Mutungi, akisema kiongozi huyo alifanya makusudi ili kuchochea vurugu ndani ya CUF kwa kilichodaiwa kuwa ni kwa maslahi binafsi au waliomtuma.

Alisema Jaji Mutungi amekuwa mfuasi wa Profesa Lipumba na mkereketwa kuliko wana CUF wenyewe na kwamba, wakati timu ya Profesa Lipumba inakiri kuwa Juma Mkumbi ni Mwenyekiti wa Wilaya ya Kinondoni na Mjumbe wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa, Mutungi hajui na hataki kukubali.

Aliongeza kuwa Jaji Mutungi alimwandikia Mkuu wa Polisi–IGP, ampe ushirikiano wa kila hali Lipumba kila unapohitajika na asikilizwe kwa kila anacholielekeza Jeshi hilo, akidai kuwa ushahidi wa yanayoendelea hauhitaji tochi.

Alitaja matukio mengine kuwa ni pamoja na Jaji Mutungi kufanikisha wizi wa fedha za ruzuku Sh milioni 369 na kwamba hilo lilifanyika huku Mutungi akijua mwajibikaji katika masuala ya fedha ni Katibu Mkuu.

Bimani alimshutumu pia Jaji Mutungi kuwa alipanga na Profesa Lipumba kuundwa Baraza Kuu bandia kisha kuteua Bodi bandia ya Wadhamini baada ya kuona kesi imewakalia vibaya mahakamani.

Alidai kuwa kutokana na hali hiyo, kwa mtazamo wao Jaji Mutungi amepoteza hadhi ya kuwa Jaji na anaivunjia heshima nafasi hiyo, kwani amepoteza uadilifu na kamwe CUF haitakubaliana na uovu aliouasisi na kuusimamia.

Alisisitiza kuwa CUF haitakubaliana na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kwa chochote kitakachokuwa kinyume na matakwa ya sheria.

Aliongeza kuwa CUF ni taasisi imara ya kisiasa nchini yenye viongozi makini, itakayoendelea kujenga uhusiano na ushirikiano mwema na wadau wenye dhamira ya dhati ya kustawisha na kuchochea misingi ya demokrasia ya kweli nchini, utawala wa sheria, kulinda na kutetea haki za binadamu, amani na kuunganisha Watanzania wote.

Mume na Mke Waliooana Miaka 69 Wafariki Pamoja Marekani

$
0
0
Wanandoa wawili katika jimbo la Illinois, waliokuwa wameoana kwa miaka 69, walifariki wakiwa wameachana kwa saa moja pekee, jamaa zao waliambia vyombo vya habari Marekani.

Isaac Vatkin, 91, alikuwa amemshika mkono mkewe Teresa, 89, alipofariki kutokana na ugonjwa wa Alzheimer Jumamosi, gazeti la Daily Herald.

Isaac alifariki dakika 40 baadaye. Jamaa zao walisema walifarijiwa kwamba wawili hao walikuwa pamoja hadi mwisho.

"Hungelipenda kuwaona wakituacha," alisema mjukuu William Vatkin, "lakini hungetaka zaidi ya hilo."


"Upendo wao kwa kila mmoja ulikuwa mkubwa sana, mmoja wao hangeweza kuishi bila mwenzake," binti yao Clara Gesklin alisema wakati wa mazishi yao.

"Walipendana sana, hadi mwisho. Hadi sekunde ya mwisho," alisema Rabbi Barry Schechter, aliyeongoza ibada ya wafu katika eneo la Arlington Heights, viungani mwa mji wa Chicago.

Wafanyakazi katika hospitali ya Highland Park wamesema waliwapata Bwana na Bi Vatkin wakiwa wanatatizika kupumua Jumamosi na wakaamua kuweka vitanda vyao vikiwa vimekaribiana.

Jamaa zao waliweka mikono yao pamoja. Wanandoa hao walikuwa na watoto watatu ambao waliwalea katika eneo la Skokie, Illinois.

Aidha, walikuwa na uhusiano wa karibu sana na wajukuu wao. Bw Vatkin alikuwa mwuzaji nyama naye Bi Vatkin mtu wa kupamba nyumba na kmtunzaji mikono na kucha.

Shemeji yetu kwa Flora Mbasha Huyu Hapa

$
0
0
Kama Basi ulisikia kuwa Flora Mbasha anaolewa tena baada ya kuachana na Emmanuel Mbasha basi inasemekana huyo hapo ndio shemeji yetu mpya wakiwa katika picha ya Pamoja,...

Maoni yako Tafadhali

MWISHO wa Bashite Umewadia..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 28/4/2017..!!!

Kikwete ni Rais Bora au Watu Wanamkomoa Rais JPM?

$
0
0
Kikwete amekuwa kipenzi cha watu ghafla, kila anapoonekana hushangiliwa na kusifiwa, ilianza pale Msigwa alipotamka bungeni kuwa wamemmiss, ikaja alipoingia bungeni kumsindikiza mkewe, lakini pia hata juzi alipokuwa akiingia uwanjani katika sherehe za Muungano.

Marais wastaafu hatukuwahi kuona wakishangiliwa, si MKAPA, wala MWINYI hata Baba wa taifa sikumbuki kuona akiingia sehemu baada ya kustaafu na watu wakaanza tu kumshangilia bila sababu. Mara nyingi mzee Nyerere alishangiliwa hasa wakati wa speech zake tamu na zenye kugusa.

Swali linaloumiza kichwa, Je huyu Kikwete aliyelaumiwa kila kona wakati wa miaka yake ya URAIS ni kweli kwamba hatukutambua ubora wake wakati huo, au tunamshangilia ili tu kumuudhi na kumkomoa JPM ambaye amejipambanua kuhakikisha anarekebisha yale yaliyofanywa na kikwete?

Nimeshindwa kung'amua kimsingi hasa shangwe za wananchi kwa Kikwete, au wanamuinjoy tu, kama wasemavyo waswahili??

Ni Kweli Kuwa Hamisa Mobeto Ameinunua Rangi yake ya Ngozi?

$
0
0

Iwapo hauna habari kuwa Hamisa Mobeto ni mmoja wa warembo ambao wanawafanya wengi wakose usingizi, basi sasa hivi umejua. Mrembo huyu kutoka bongo ni model na video vixen ambaye amefanya kazi na wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz na hivi sasa hakuna anayefikia urembo wake.

Hata hivyo kuna wengi ambao wanadai kuwa rangi yake ya mwili ni ya kununua kwani hakuzaliwa akiwa mweupe. Tetesi hizi zimeambatanishwa na picha zake za kitambo kabla ya ‘filters’ kutokea.

Iwapo tetesi hizi zina ukweli, basi kunauwezekano kwamba Hamisa Mobeto amekuwa akizitumia tembe au mafuta ya kugeuza rangi kuwa nyeupe.

Warembo wengi kwa sasa watumia vitu vingi ilikujibadilisha hata baada ya kujua madhara yao. Kwa sasa hatuna uhakika kwamba Hamisa ni mmoja wa watumizi wa tembe hizi.

Tazama picha hizi mbili za mobeto.

Yusuph Mlela Atoboa Siri Kali Kuhusu Msanii Nay wa Mitego

$
0
0
Baada ya mama ya mtoto wake kutokea mitandaoni na kueleza Nay hashughuliki na mtoto wake na ila anatafuta kiki naye, muigizaji mkali Yusuph Mlela pia amejitokeza kukashifu Nay wa Mitego.

Akizungumza na global TV alieleza ya kwamba Nay wa Mitego alikuwemo Chokoraa miaka iliyopita na kuna mambo mbalimbali ya aibu iliyotokea wakati humo ambayo utayapata kwenye hii video:


UFAHAMU Undani wa Faida za Nanasi Kiafya..!!!

$
0
0

Nanasi ni tunda lenye vitamini mbalimbali ikiwa ni pamoja na vitamin A, B na C, lakini pia tunda hili linasifika kwa kuwa na madini ya chuma (iron),calcium, manganes, copper na phosphorus.

Tunda hili husaidia kutengeneza damu na mifupa, meno pamoja na nerves na misuli.

Faida zaidi za nanasi

Husaidia kutuliza matatizo mbalimbali ya tumbo, magonjwa ya bandama, ini, homa pamoja na magonjwa ya midomo (vidonda) na magonjwa ya koo (throat).

Pia tunda hili husaidia kwa wale wenye shida ya kupoteza kumbukumbu yaani kusahausahau.

Nanasi pia husaidia kwa wenye shida ya kukosa choo , rheumatism na arthritis.

Pamoja na hayo yote pia tunda hili husaidia kuthibiti matatizo fulani ya kike ambayo husababishwa na upungufu za hormones au makosa fulani katika sehemu ya yai.

Makubwa!!! Ndoa ya Nuh Mziwanda Kufungwa Upya

$
0
0
Ni siku moja tu imepita tangu staa wa Bongo Fleva Nuh Mziwanda kupitia account ya Instagram kupost picha ya mtoto wake aliyebarikiwa katika ndoa yake, inadaiwa ndoa hiyo kuingia katika mvutano.

Inasemekana kuwa ndugu wa Nuh Mziwanda hawakuridhia ndoa ya ndugu yao iliyofungwa miezi kadhaa iliyopita kwa kuwa Nuh alibadili dini kufuata dini ya mke wake ambapo kupitia U-heard  ya XXL ya Clouds FM April 28 2017 mtangazaji Soudy Brown ameinasa sauti ya mke wa Nuh Mziwanda akimzungumza mama mkwe wake:

“Nilimwambia mama unachelewa, mwambie aniache. Na anajua kuwa mimi sijaolewa na mwanawe, ila anajua nimezaa tu na mwanawe. Kwenye sherehe ya harusi hakuwepo, alikuwa kwenye msiba. Yule mama ni mzee wa Kanisa, alikuwa anataka niende kanisani nibadili dini ndio niolewe.” – Mama ANYA

IMEVUJA:Kumbe Silaha za Korea Kaskazini ni Bandia

$
0
0

Korea kaskazini inaluamiwa kwa kuonyesha silaha bandia katika maonyesho ya hivi majuzi ya ubabe wake wa kijeshi.

Afisa wa zamani wa masuala ya ujasusi anasema baadhi ya bunduki na makombora yaliyotumiwa kwenye maonyesho hayo yalikuwa bandia.

Michael Pregent alikiambia kituo cha runinga cha Fox kuwa baadhi ya bunduki zilizokuwa kwenye maonyesho hayo zilikuwa ni za kujekesha

Lakini maonyesho kama hayo kuonyesha ubabe wa kijeshi yametumiwa kwa miongo kadha.

Kwa sasa msukosuko ni mkubwa kati ya Marekani na Korea Kaskazini.

Hii ni baada ya rais wa Marekani kuapa kuwa ni lazima atakabiliana na tisho la Korea Kaskazini.

"Sio kuwa Korea kaskazini inafikiri kuwa itashinda Marekani lakini kile itafanya ikiwa itashambuliwa," bwa Pregent alisema.

KWANINI Kihio Walimvua Ubunge ikiwa Sifa ya Mbunge ni Kujua Kusoma na Kuandika?

$
0
0
Wadau tangu tarifa itoke kuwa viongozi wa nafasi ya kisiasa sifa kuu ni kujua kusoma na kuandika, kwanini sasa mahakama ilimvua ubunge bwana kihio aliyeshinda nafasi ya ubunge Temeke mwaka 1995 ikiwa sifa ni kujua kusoma na kuandika?

kwanini walimvua nafasi yake kwa kosa la kudanganya elimu yake kwanini wasingempa adhabu nyingine ikiwa sawa na kufoji vyeti baadala ya kumvua ubunge bado nawaza tu

By Utandu

UNATATIZO la Nguvu za Kiume..Soma Hapa Ujue Jinsi Gani Mbegu za Tikiti Maji Zinavyoweza Kukusaidia..!!!

$
0
0

Tikiti ni moja ya matunda ambayo hupendwa na watu wengi na yamekuwa na faida zake kiafya, lakini leo naomba tuzifahamu hizi faida za mbegu zake za tunda hilo.

1. Husaidia kulinda afya ya moyo.
Hii ni kutokana na kuwa na madini ya kutosha ya magnesium ndani ya mbegu hizo.

2. Husaidia kwa wenye chunusi
Unapotumia mafuta ya mbegu za tikiti huweza kuwasaidia wale wenye tatizo la chunusi. Ambapo mafuta hayo utapaswa kuyapaka kwa kutumia pamba kwenye sehemu zilizoathirika.

3. Husaidia kuimarisha kinga za mwili
Kutokana na kuwa na madini ya magnesium ya kutosha hiyo husaidia kuimarisha kinga zako za mwili na kufanya kutokumbwa na maradhi mara kwa mara.

4. Huboresha mfumo wa uzazi kwa wanaume
Wanaume wanaotumia mbegu hizi huwa katika hali nzuri kwenye tendo la ndoa na uzalishaji kwa ujumla.

5. Husaidia kuzuia tatizo la nywele kukatika
Mbegu hizi zina utajiri wa fatty acid ambayo husaidia kuboresha afya ya nywele

FANYA Haya Baada ya Kununua Simu Mpya..!!

$
0
0

Mara nyingi tumekuwa tuki-chaji simu mpya kwa muda wa masaa sita huku wengine wakiacha simu kukesha kwenye chaji.

Kitaalumu zaidi, yawzekana wanaotuambia huenda hawafahamu vizuri masuala ya Teknologia ya vitu hivyo, hali inayopelekea kuharibu betri ya simu pasipo kutambua kwamba kama unaiharibu betri yako ambayo ingeweza kudumu muda mrefu kwa matumizi ya simu yako.

Zifuatazo ni njia zakufanya ukisha nunua simu yenye betri mpya ama betri mpya:

a) Hakikisha unaiwasha kwanza simu hiyo na kujua ina aslimia ngapi. Kama utaiwasha na kuikuta ina chaji asilimia 49% na kushuka chini, unashauriwa uizime na uichaji simu hiyo kwa muda wa masaa matatu. Kwa kuchaji muda huo, itasaidia betri kujaa vizuri zaidi.

b)Endapo umewasha na ukakuta betri asilimia 50% na kuendelea juu, unashauriwa kuitumia simu hiyo mpaka chaji ifike asilimia 10% na kisha uichaji kwa masaa matatu ili iweze kujaa vizuri zaidi.

c)Kila ifikapo asilimia 10% ya chaji ni muhimu kukumbuka kuichaji simu yako, unashauriwa kuichaji simu yako hiyo ikiwa imezimwa kwa masaa mawili. Kwa kuzingatia hayo Betri ya simu yako itadumu kwa muda mrefu.

Epuka kuchaji simu yako mara kwa mara kwa kuhofia chaji kwani kufanya hivyo humaliza nguvu ya betri yako kwenye simu. Pia usiweke simu yako karibu na vitu vinavyoweza kuua nguvu ya betri.

HIVI Ndivyo Utofauti Ulipo Kati Ya Mwanaume na Mwanamke Katika Hisia Za Kimapenzi....!!!

$
0
0

Katika ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia inasadikika hakuna kitu ambacho kina nguvu sana kama mahusiano ya mapenzi, hata hivyo kutokana na nguvu hiyo ya mahusino, watu wengi hufikiri mwanaume ndio ambao wanaathiriwa kwa kiwango kikubwa na nguvu hiyo.

Watafiti wa masuala ya mahusiano wanazidi kusema ya kwamba, mwanaume kila baada ya dakika tano ni lazima awaze masuala ya kimapenzi, hii ni kutokana wanaume wengi hupenda zaidi jinsia ya kike kwa kuona kwa macho. Ndio maana ukichunguza kwa makini wanaume huwa wanakuwa wanazingatia zaidi katika kutazama jinsia hii ya kike mahali popote walipo.

Hivi hujawahi ona wanaume wamekaa mahali wanapiga stori ghafla akapite mwanamke mzuri mbele ya macho yao ghafla stori zile zikasimama kwa muda? Bila shaka umewahi kuona. Utawasikia wakisema kwa minong'ono aaah angalia kifaa hicho, wapo wengine utawasikia wakisema mcheki chura huyo. Hii ina maana ya kwamba macho ya mwanaume ndio chanzo kikubwa cha kuingia katika mahusiano kabla ya kumjua tabia aliyonayo mtu huyo.

Lakini ukweli ambao upo nyuma ya pazia ni kwamba wanaume wengi  huingia katika matamanio ya kimahusiono kwa kuona kwa macho zaidi tofauti na mwanamke. Hata hivyo mahusiano ya kimapenzi aliyonayo mwanaume ni matokeo ya macho yako. Kwa maneno mengine tunaweza kusema matamanio ya hisia za mwanaume yapo katika kuona zaidi kuliko kitu chochote.

Lakini ukienda upande wa pili wa shilingi, mwanamke huwa yupo tofauti sana ukilinganisha na mwanaume katika suala zima la kuingia katika mahusiano. Hisia za mwanamke huwa zipo zaidi katika maneno na mguso katoka kwa mwanaume. Hisia za mwanamke huwa hazipo katika kuona kwa kiwango kikubwa ukilinganisha na mwanaume.

Mwanamke huamini sana katika maneno ambayo ataambiwa na mwanaume,  kwa mfano mwanamke akiambiwa anapendwa zaidi ya kitu chochote katika dunia hii mwanamke huamini hivyo,hivyo maneno ya mwanaume yana nafasi kubwa katika kuziteka hisia za mwanamke.

Lakini pia kama hiyo haitoshi mwanamke hupata hisia zaidi pale anapoguswa na mwanaume, hivyo ndio maana kama utakutana na msichana kwa mara ya kwanza ataka usimguse katika mwili wake, hii ina maana mguso wa mwanaume una nguvu sana katika kuamsha hisia mwili wa mwanamke.

Hivyo kama ndivyo hivyo basi hii ni utofauti mkubwa ulipo kati ya mwanaume na mwanamke katika kuamsha hisia za kimapenzi. Na kitu kikubwa ambacho huongoza hamasa na kudumu katika mahusiona ya kimapenzi ni "mawasiliano", mawasiliano ndiyo chachu kubwa katika mahusiano yenu. Hivyo kila wakati ili muweze kudumu katika mahusiano yenu hakikisha unakuwa na mawasilino bora kati yako na mwenzi wako.

PICHAZZ...Huu Ndio Muonekano Mpya wa Diamond Platnumz..!!!

$
0
0

Mwanamuziki Diamond anatarajia kuonekana kivingine baada ya kubadilisha staili yake ya nywele.Pichani hapo juu ndiyo staili yake ya nywele kwa sasa.

HABARI Picha: Lowassa Alivyotembelewa Na Wabunge, Machifu Kutoka Kenya...!!!

$
0
0
 Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ametembelewa na wageni kutoka Kenya wakiongozwa na wabunge 13 wa nchi hiyo Kijijini kwake Monduli.

Ugeni huo pia ulijumuisha Madiwani, Machifu na Maleigwanan kutoka Kenya.

SHILOLE Unayoyafanya Instagram Mwanao Ajifunze nini...!!!?

$
0
0

 ZUWENA Mohammed, ni jina la binti mmoja mwenye simulizi ya kusisimua, akidai kubakwa akiwa kinda na kupewa mimba, ambayo kwa hali ngumu, alimudu kuishi nayo kwa miezi tisa na akajifungua mtoto mzuri  wa kike.

Lakini Shishi Baby au Shilole, ni msanii mwenye jina kubwa katika muziki wa kizazi kipya na uigizaji.

Hawa siyo watu tofauti, isipokuwa ni mtu mmoja aliyeishi katika mazingira mawili tofautitofauti, kutoka yale ya manyanyaso na dhiki kubwa, hadi ya kula atakacho, kufanya anachojisikia na kumudu mbwembwe zote za watoto wa mjini. Ninamfahamu kidogo Shilole, maana Zuwena sikuwahi kukutana naye.

Ni mwanamke jasiri, asiye na aibu katika kuhitaji kile anachokitaka na anafahamu, ili apate kila anachokitaka, ni lazima apambane yeye kama yeye. Katika hili, anasimama pale juu miongoni mwa wanawake wapambanaji.

Ni mcheshi pia huyu mdada. Ni aina ya mwanamke ambaye ni vigumu kumaliza kikao naye pasipo kufurahi, kwa sababu ya swaga zake, anapenda watu wafurahi na ndiyo maana ukimfuatilia sana, ni mwingi wa vituko vya kuchekesha. Umewahi kusikia kiingereza chake? Anajua anaongea ‘broken’ lakini hajali, ili mradi wale wanaojifanya wanajua, wanaelewa alikuwa anataka kusema nini.

Na akiwa jukwaani, ni mwanamuziki hasa, kwa sababu anaimba vizuri na anawajibika vyema katika kucheza na mashabiki wake kiasi kwamba hivi sasa, ni miongoni mwa mabinti wanaoishi kwa jasho lake mwenyewe.

Tatizo moja kubwa ambalo ninaweza kulizungumzia linalomhusu, ni namna anavyoshindwa kuyaishi majina yake mawili mazuri. Usisahau, Zuwena alipobakwa, akapata mtoto ambaye leo analelewa na Shilole.

Siku chache zilizopita, Shilole katika ubora wake, aliachia ‘clip’ moja katika akaunti yake ya mtandao wa Instagram, ikimuonyesha akijipapasa papasa mwilini, akijifunuafunua kuonyesha sehemu ya maungo yake, kana kwamba ni mtu anayehamasisha hamu ya kufanya mapenzi.

Huenda ni swaga zake kama nilivyosema pale mwanzo, lakini unapokutana na mtu ambaye tayari ni mzazi na isitoshe ni mwenye jina kubwa katika jamii yake, baadhi ya mambo si mazuri kuyafanya hadharani.

Ninamtazama mtoto wake ambaye sasa amefi kia umri wa kuweza kuperuzi katika mitandao, au ana marafi ki ambao wameshaanza kupitia mitandao, wanapoona picha kama ile wanapata wazo gani la ghafla?

Pengine kwa sasa anaweza kuona ni jambo la kawaida na inawezekana kabisa anafanya hivyo mbele ya mtoto wake kwa vile kwake ni kama burudani, lakini madhara ya jambo kama hilo ni makubwa kwa siku za baadaye kwa mtoto

wake, ambaye bahati mbaya, naye atajikuta akiishi kwa kuiga kutoka kwa mama yake.
Atapenda kujua mtu mwenye kujishikashika vile anamaanisha nini, anayetazama mtu akifanya vile anapatwa na hisia gani na vitu kama hivyo. Shilole amezidiwa na ustaa, kiasi kwamba anajisahau.

LIPUMBA: Kuna Matukio Yanapangwa Nje ya Chama cha CUF Ili Kifutwe kwa Vurugu..!!!

$
0
0

Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF anayetambulika na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini Prof. Ibrahim Lipumba amesema ameandika barua maalumu kwa jukwaa la wahariri kuonesha kusikitishwa kwake na vurugu zilizotokea hivi karibuni katika mkutano wa CUF na kusababisha waandishi kufanyiwa fujo.

Prof Lipumba ameliomba jeshi la polisi kufanya uchunguzi juu ya tukio hilo ameyasema hayo katika mahojiano na mwandishi wa habari wa Azam Two na pamoja na mambo mengine amemtaka katibu mkuu wa CUF Maalim Seif wakae wazungumze ili wamalize tofauti zao na wakae wakijenge chama..

“Baada ya kulisikia hilo niliamua kuchukua jukumu la kuwaandikia Jukwaa la wahariri barua ambayo ipo mbioni kwenda kwenye ofisi zao kwamba mimi binafsi kama mwenyekiti wa CUF nalaani kitendo cha kupigwa kwa waandishi wa habari na ni jambo ambalo hatulikubali kabisa, hatuwezi kujenga Demokrasia ikiwa waandishi wa habari hawafanyi kazi yao katika hali ya amani na utulivu”.

“Vile vile kijana wetu amekatwa kisigino kwa panga na anavyo elewa yeye kijana aliyemkata anaitwa Mohamedi Mgonvi na taarifa hii imepelekwa kwenye vyombo vya dola kwa hiyo vyombo vya dola vinalishughulikia na tulitoa wito ambao ulitolewa na Mkurugenzi wetu wa habari na uenezi”

“Mimi toka awali nimeeleza kwamba nataka tumalize tofauti za kisiasa kwa mazungumzo tupate suluhu tuheshimu katika ya chama chetu na nimekuwa nikimuita Maalim Seif aje ofisi bugurudi aweze kuzungumza afanye kazi zake kama katibu mkuu na mimi nimemfahamu Maalim Seif mwaka 1973 tukiwa wanafunzi wa chuo kikuu Dar es Salaam kwahiyo hatuna sababu ya sisi kuwa na mgogoro huu na kuuruhusu kuendelea”

“Hivi sasa kupitia taarifa zetu za kiuchunguzi zinaonesha kwamba kuna mbinu ya kutaka chama hiki kiweze kufutwa kwa hiyo kuna matukio yanapangwa nje ya chama ili paweze kutokea vurugu na zikishatokea waseme chama hiki hakifai kuendelea kuwa chama cha siasa na utakuta kuna vyama vingine vya siasa vinashabikia na kutoa wito ili chama hiki kiweze kufutwa” Prof. Lipumba

HUYU Hapa Mtu Aliyevunja Record ya Kujichua (Masturbation) kwa Muda Mrefu Dunian. (10 hours)..!!!!

$
0
0

A man by the name of Masanobu Sato attended the 2009 World Masturbate-a-thon held by the Center for Sex & Culture in San Francisco and set the world record for longest session by jerking it for 9 hours and 58 minutes. 

He came all the way from Japan just for the event, armed with a wide variety of sexual aids, and the record he was beating was his own. Last year he set the record with 9 hours and 33 minutes.
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images