Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo


Lulu Diva afunguka kushea Penzi na Shangazi Yake!

$
0
0

Ubuyu wa kutisha! Jipu limepasuka mjini kuwa muuza nyago na msanii wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amekiri kushirikiana ‘kushea’ penzi la bwana mmoja na shangazi yake pamoja na shosti yake wa karibu. 

Kwa mujibu wa Lulu Diva, jambo hilo limekuwa likimtesa moyoni lakini kwa kuwa anataka kuwa huru, basi ameona ni vyema akalipasua. 

MSIKIE LULU DIVA 

“Kila mtu anapitia mambo mengi sana kwenye uhusiano wa mapenzi na maisha kwa jumla. Nimeamua kufunguka kuhusu jipu nililonalo moyoni mwangu. Ni kuhusu jamaa mmoja ambaye nilikuwa ninampenda sana katika maisha yangu. 



UKIMSEMA VIBAYA… 

“Kwa jinsi nilivyokuwa ninampenda yule jamaa, yaani ulikuwa ukiniambia kitu kibaya kuhusu yeye, basi ujue ni lazima nitaenda kumwambia na kukutaja. Nilikuwa sisikii wala siambiliki kwake. 

AENDA KUMTAMBULISHA 

“Kutokana na kudumu kwenye mapenzi kwa muda mrefu na kumuelewa, nilimuomba aje home (nyumbani) ajitambulishe ili tuwe huru, akafanya hivyo. 

KUMBE ALISHA-DATE NA SHANGAZI 

“Nilishangaa nilipomfi kisha pale nyumbani, watu wote wanamfahamu kama bwana’ke shangazi yangu. “Nilichoka sana kusikia vile, yule shangazi yangu, umri ni kama wangu kwa sababu tunatofautiana kama miaka minne au sita. 



NDUGU WAMKATALIA 

“Kutokana na hali hiyo, ndugu walikataa katakata mimi kuwa na uhusiano na mwanaume huyo kwa sababu ya kuwa na uhusiano na shangazi yangu. Familia yangu ilikataa kabisa nisiwe na uhusiano naye. 

AZIBA MASIKIO 

“Kiukweli nilikuwa ninampenda sana yule jamaa, niliumia, lakini nikaziba masikio na kuwaambia kuwa mimi ninampenda na siwezi kuishi bila yeye.

AVISHWA PETE 

“Basi nilivyowachomolea kuachana naye, jamaa alinivisha pete ya uchumba na tukaendeleza penzi letu. 

ACHEZEA KICHAPO 

“Pamoja na upendo niliokuwa nao kwa jamaa, lakini bado alikuwa akinidunda sana, nilikuwa nalia, nilivumilia kwa kuhisi labda ni sehemu ya mapenzi, lakini jamaa alikuwa ananipa kichapo. 

AMFUMANIA NA SHOSTI WAKE 

“Nahisi jamaa alikuwa kicheche sana kwani siku moja nilimkuta anazini na rafi ki yangu, tena kwenye kitanda changu. Niliumia kwani yule rafi ki yangu alikuwa ni kila kitu kwangu, nilimuamini na kumpenda kwa dhati. 

JAMAA AFUNGWA 

“Baadaye yule jamaa alipata matatizo akafungwa nchini Israel, tangu kipindi hicho sijawahi kuonana wala kuwasiliana naye. 

MIAKA 2 BILA KUCHEPUKA 

“Kutokana na maumivu yale na misukosuko ya mapenzi, niliamua kukaa kwanza bila kujiingiza kwenye uhusiano hadi miaka miwili ilipofi ka. 

HANA RAFIKI WA KIKE 

“Kutokana na kile kilichotokea nikawa sina imani tena na marafi ki kwani wao wanaweza kukuharibia maisha yako, ndiyo maana mimi sina rafi ki kihivyo,” alifunguka Lulu. Lulu ambaye kwa sasa amegeukia kwenye Bongo Fleva, anatamba na Wimbo wa Malele na Usimwache. 

KUTOKA KWA MHARIRI 

Yapo mambo mengi mabaya na mazuri ambayo yanafanywa na watu wengi kila siku, ingawa kuna mengine yanatesa kubaki moyoni hadi pale mtu anapoamua kuyatoa na kuwa huru kama alivyofanya Lulu.

Rais Jacob Zuma azuiwa kutoa hotuba ya mei mosi Afrika Kusini

$
0
0

Rais wa Afrika Kusini anayekumbwa na kashfa Jacob Zuma, ameondoka kwenye mkutano wa siku ya kimataifa ya wafanyazi baada ya kukemewa na wafanyakazi wanaomtaka ajiuzulu. 

Fujo zilizuka kati ya wafuasi wa Bwana Zuma na wapinzani na kusabababisha hotuba yake kufutwa. 
Chama kikuu cha wafanya kazi Cosatu, kilimtaka Bwana Zuma ajiuzulu mwezi uliopita baada ya kumfuta kazi waziri wa fedha alijekuwa akiheshimiwa sana. 

Bwana Zuma ameapa kusalia ofisini hadi muhula wake ukamilike mwaka 2019. 

Alionyeshwa na runinga akiondoka jukwaani kwa hasira na kuondolewa na magari kutoka kwa mkutano ulioandaliwa mjini Bloemfontein 

Maafisa wa vyeo vya juu wa ANC nao walikemewa kwenye mkutano uliofanyika mjini Durban. 

Shinikizo za kumtaka Zuma ajiuzulu zimekuwa zikoongezeka tangu amfute kazi waziri wa fedha Pravin Gordan mwezi Machi.

BAADA ya Ndoa ya Pili Flora Afunguka Haya..!!!

$
0
0

Msanii wa nyimbo za injili Tanzania Flora ambaye alikuwa mke wa Emmanuel Mbasha jana amefanikiwa kufunga ndoa yake ya pili na kijana Daudi Kusekwa baada ya ile ya kwanza kuvunjika na kupeana talaka na Emmanuel Mbasha.

Baaada ya kufunga ndoa hiyo jana Flora alisema yeye ana amani ya moyo licha ya watu kuendelea kusema maneno juu yake na maisha yake.

Flora amesema yeye hajali jinsi gani watu wanamtazama kutokana na maamuzi yake hayo bali yeye anachoangalia ni furaha yake na kusema kwa sasa yeye ana amani na furaha ya moyoni na hayo maisha mapya, ambayo ameamua kuwa nayo.

"Unapofanya maamuzi na kuhisi kwamba unaamani na uko sawa sawa just do it, kwa sababu wanadamu tumeubwa kusema hata huyo ambaye umekaa naye karibu hapo anaweza kuonyesha kukufurahia, hata mtu ambayo yupo karibu na wewe anaweza kuwa anakuchekea ukajua kama ni rafiki yako kumbe ni adui yako mkubwa, kwa hiyo unapokuwa unataka kufanya jambo na kuhisi una amani ya moyo bora ufanye maana wanadamu hawachoki kuzungumza" alisema Flora 

Flora Henry jana jijini Mwanza alifunga ndoa yake ya pili na kijana anayefahamika kwa jina la Daudi Kusekwa ambaye ni mwenyeji wa jiji la Mwanza na baada ya ndoa hiyo Mume wa Flora, Daudi Kusekwa alifunguka na kuwataka Watanzania sasa watambue kuwa Flora si mke wa mtu mwingine bali ni mke wake yeye halali

KAMANDA Sirro Hili Genge la Polisi Vibaka Unalitambua..!!?

$
0
0

Naamini hapa kuna wadau mbali mbali ikiwepo hata watu wakaribu au wanaofanya kazi chini ya kamanda siro .

Jana usiku kuna kundi la polisi lilivamia kibamba usiku wa manane kwenye mida ya saa nane usiku kwenye makazi ya watu na kuwanyanyasa ikiwa na kuiba fedha. 

Walikuwa wakifika wanagonga mlango ukifungua watu wote mnatakiwa kutoka nje hata kama ni nyumba ta wapangaji wote mnatolewa nje na kulazwa chini harafu wao wanaingia ndani na kuanza kusachi watapekua kila mahali na vyakubeba vitabebwa hasa pesa ndio haziachwi hapo.

Wanavunja mali za watu kama makabati yanavunjwa,milango inavunjwa tena milango inavunjwa na risasi za moto.

Wakigonga ukakataa kufungua wanavunja mlango na wakiingia ndani unachezea kichapo sana.
Risasi za moto zinapigwa hovyo usiku mpaka ndani kwenye makazi ya watu usiku watu wamelala tena na watoto wadogo wagonjwa lakini wao wanapiga tuu kwanza wengi wamelewaa.

Madai yao makuu wanadai wenzao wana uliwa sisi raia tunafurahia na ndio tunawaficha hao majambazi.

Kwa style hii wanayoitumia polisi ni ngumu sana kupata ushirikiano kutoka kwa raia wema.

Pesa zetu mnazichukua kinguvu mnaharibu mali zetu harafu mnataka tuwape ushirikiano?

Haya mambo ndio yanalichafua sana jeshi letu na kuweka uhasama kati ya polisi na raia wake.

Tunakuomba sana kamanda siro ulitolee ufafanuzi jambo hili.

Polisi wanatuonea sana.

RAY C - Naliaga Nikiambiwa Wimbo Wangu Mbaya..!!!

$
0
0

Msanii mkongwe anayetamba kwa sasa na wimbo wa 'Unanimaliza', Rehema Chalamila ' Ray C' amefunguka kuwa machozi huwa yanamdondoka pindi anapomsikilizisha mtu wimbo ambao anaamini utafanya vizuri alafu akajibiwa hautokuwa 'hit'.

Ray C amefunguka hayo leo kwenye Planet Bongo wakati akitambulisha wimbo wake mpya na kueleza kuwa kabla hajapeleka wimbo kwenye Radio huwa anasikilizisha watu na anapopata majibu tofauti na alivyofikiria huwa yanamuumiza na kumfanya atengeneze ngoma nyingine  kali akiwa na machozi.

"Kabla sijatoa  wimbo nina tabia ya kuwasikilizisha watu wa chache ambao naamini wana sikio la muziki. Huwa sichukii nikiambiwa wimbo ni mbaya lakini machozi huwa yananitoka kwa sababu mimi naamini nimetengeneza hit alafu mtu anakwambia hamna kitu. Hata huu wimbo wa unanimaliza ndio ulipita kati ya nyimbo tano nilizotengeneza na nyingine zilizobaki wamenishauri nisiziweke kwenye albam"- Ray C alifunguka.

Aidha Ray C amewataka wasanii wengine kutojiamini kupitiliza kiasi cha kuchukua wimbo studio na kuupeleka kwa mashabiki  pasipokupata ushauri kwani kufanya hivyo  ndicho chanzo cha nyimbo kupoteza ladha mapema.

BAADA ya Kipogo Manara Awachana Yanga..!!!

$
0
0

Baada ya Yanga kukubali kipigo cha 1- 0 dhidi ya Mbao FC na kutolewa kwenye nusu fainali iliyopigwa kwenye uwanja wa CCM kirumba, Haji Manara amefunguka na kuwataka Yanga kwa sasa waendelee kusubiri kubebwa tu kwani wameshindwa kushindana uwanjani.

Haji Mnara aliyasema hayo jana kupitia ukurasa wake wa Instgram na kusema washukuru wametoka katika hatua ya nusu fainali kwani wameingia fainali na kukutana na Simba wangepigwa bao 5-0 na Wekundu wa Msimbazi 

"Kimenasia kimoko, dadadeki, na hiyo ndio salama yenu mngeingia fainali tungewapa tano, haya subirini mbeleko zenu nyingine" alisema Haji Manara 

UNABISHA na Hili Pia..Kwa Tanzania Mtu Mwenye Digrii ni Mzigo Kuliko Anaejua Kusoma na Kuandika Tu...!!!

$
0
0

Wanaojua kusoma na kuandika tu wako mstari wa mbele kupambana na maisha
Wa degree anasugua benchi na miguvu Tele akisubiri ajira imuangukie

Anaejua kusoma na kuandika tu, anaweza kujiendeleza na kuwa na maarifa kila sekta
Wa degree mjivuni akidhani anajua kila kitu

Anaejua kusoma na kuandika tu sio muoga wa maisha na kujaribu
Wadegree ni muoga kuliko mfano...

Wanaojua kusoma na kuandika tu ni wasikivu na sio walalamishi
Wabishi na wanaoongoza kwa malalamiko ni watu wa degree

Kwa tanzania mtu mwenye degree ni mzigo kuliko anaejua kusoma

Taadhari : in every general formula there are exceptional cases

VYETI Feki Vyaua..Wengine Waugua Ghfla ..Habari Katika Magazeti ya Leo Tarehe 2/5/2017..!!!

RAIS Magufuli Awasha Moto Mpya kwa Watumishi Umma...!!!

$
0
0

RAIS Dk. John Magufuli amesema serikali itawachuguza na kuwachukulia hatua baadhi ya wafanyakazi ambao wamebadili umri wao ili waendelee kuwepo kwenye ajira serikalini.

Akizungumza jana kwenye sherehe ya sikukuu ya wafanyakazi dunia zilizofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi mkoani Kilimanajaro, alisema wapo wafanyakazi ambao wamebadilisha umri wao na wanaendelea kuwepo kwenye ajira licha ya kwamba wamezeeka na walistahili kustaafu.

“Wapo watumishi ambao wamebadilishi umri wao wa kuishi wamebadilisha miaka yao, unakuta ni mzee kabisa lakini yeye hastaafu tu huyo naye hana utofauti sana na mfanyakazi hewa, kwa sababu ameshamaliza muda wake hataki kutoka kazini awaachie wengine nao wafanye kazi anaendelea kukaa pale kubadilisha miaka,”alisema.

“Mimi hapa nilipo nilikuwa nimebakiza miaka miwili tu kustaafu lakini hebu kaangalieni kwenye maofisi yenu wapo watu ambao ni wazee kuliko mimi bado wanafanya kazi na wanasema ndio wakati umefika, hawa nao dawa yao tunaichunguza” Rais Magufuli alisema kimsingi kazi ya kuondoa wafanyakazi hewa imeenda vizuri na limefikia asilimia 98 lakini bado halijaisha.

Aliongeza kuwa katika fedha tu za watumishi hewa, ukichukulia tu mshahara serikali ilikuwa inapoteza Sh. bilioni 19.8 kwa mwezi na kwa mwaka ni zaidia Sh. Bilioni 230.

ZITTO Atoa Mapendekezo Haya Kwa Wafanyakazi..!!

$
0
0

Wakati wafanyakazi jana walisherehekea Siku ya Wafanyakazi Duniani ‘Mei Mosi’,  Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo,  Ziito Kabwe, ameleeza  kilio chake makato ya  mifuko ya hifadhi ya jamii, pamoja na kampuni zinavyopoteza asilia 5 la pato la taifa.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini ameeleza haya yafuatayo;

1. Serikali ifanye marekebisho ya sheria mbalimbali za kodi zinazohusisha makampuni ya kimataifa (MNCs) ili kuzuia kumomonyoa wigo wa kodi ( Base Erosion and Profit Shifting) kunakofanywa na kampuni hizi. Hili linawezekana kwa Serikali kuchukua hatua ya kupitia mikataba ya kikodi (double taxation treaties) ambayo Tanzania iliingia na nchi nyingine duniani.

Tafiti mbalimbali katika eneo hili zinaonyesha kuwa Tanzania hupoteza 5% ya Pato la Taifa kutokana na vitendo vya kampuni kubwa kukwepa kodi kwa kutumia mbinu za kihasibu (tax planning measures). Serikali yetu inapaswa kushirikiana na Serikali nyengine za nchi mbalimbali duniani katika kampeni ya kimataifa ya haki za kodi (International Tax Justice Movement).

Vyama vya Wafanyakazi nchini vinapaswa kuwa mbele kuishinikiza Serikali kushiriki kwenye kampeni hizi na pia kufanya mabadiliko makubwa kwenye sheria zetu za kodi ili kulinda wigo wetu wa kodi.

2. Serikali itazame upya michango ya wafanyakazi kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Viwango vya michango Kwa Tanzania vipo juu mno na vinapunguza kipato cha mfanyakazi na kuongeza gharama kwa waajiri. Michango ya Hifadhi ya Jamii ishushwe mpaka jumla ya 12% ya mshahara; kwa Waajiri kuchangia 7% na Wafanyakazi kuchangia 5% ya mishahara yao.

Hii itasaidia kupunguza gharama za kuajiri kwa Waajiri. Vile vile Tozo ya mafunzo SDL ishushwe mpaka 3% . Eneo hili ni muhimu liangaliwe kwa muktadha wa kukuza ajira nchini hivyo ajira zinapoongezeka mapato kwenye maeneo haya yanaongezeka pia.

3. Serikali idhibiti mfumuko wa bei kuhakikisha inapunguza gharama za maisha kwa wafanyakazi. Katika wakati kama huu ambao bei za vyakula zimepanda zaidi ya mara 2 kipato cha wafanyakazi wengi nchini kimebaki palepale, hali hii inaongeza ugumu wa maisha kwao. Ni muhimu Serikali kuchukua hatua mahsusi kudhibiti mfumuko wa bei za vyakula nchini.

Mwisho, Wafanyakazi wa Tanzania, nawakumbusha kuwa kuna mahusiano chanya kati ya maslahi yenu na aina ya uongozi wa kisiasa uliopo kwenye nchi. Msikae pembeni kwenye harakati za mabadiliko ya kisiasa nchini. Vyama vya Wafanyakazi vina nguvu zaidi ya kuhamasisha na kuweka mazingira mazuri ya kidemokrasia na utawala wa kikatiba nchini.

PAPA Francis Atoa Ya Moyoni Mgogoro Wa Marekani Na Korea..!!!

$
0
0

Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis ametaka mjadala wa kimataifa uandaliwe wa kususluhisha mvutano unaozidi kutokota kati ya Marekani na Korea kaskazini akisema kwamba swala hilo limekuwa kaa la moto.

Papa Francis amewaambia wanahabari kwamba mzozo baina ya mataifa hayo huenda ukazua vita vitakavyoangamiza watu wengi.

Awali manowari ya kivita ya Marekani iliwasili karibu na rasi ya Korea, saa chache baada ya Korea Kaskazini kufanya jaribio la kombora ambalo lilitibuka.

Rais wa Marekani Donald Trump ameishutumua Korea Kaskazini kwa kuiokosea heshima jirani wake China na rais wake.

Hivi majuzi Trump alimulika rais wa China Xi Jinping na kumpongeza kwa kujitahidi kutatua mzozo wa Korea Kaskazini.

Jaribo la kombora la Korea Kaskazini lilijiri saa chache baada ya baraza la ulinzi la Umoja wa Mataifa kujadili mpango wa nuklia wa Korea Kaskazini

UTAFITI: ‘Smartphone’ Kudhibiti Kisukari..!!!

$
0
0

Simu moja aina ya smartphone imechukua jukumu muhimu katika majaribio ambayo huenda yakasaidia mamilioni ya watu duniani ambao wanakabiliwa na ugonjwa wa kisukari ili kuweza kuthibti kiwango cha sukari.

Watafiti wa China katika jarida la sayansi wanasema walivumbua seli za insulini na kuzidunga ndani ya panya ili kufanya kazi wakati zinapoangazwa na mwanga wa LED.

Mwanga huo ulizalishwa na programu ya simu hiyo aina ya smartphone baada ya kupokea data kutoka kwa kifaa cha kupimia damu ilio na sukari ndani ya panya huyo.

Kwa sasa watu walio na kisukari hupimwa damu ili kubaini ni wakati gani wanahitaji sindano za insulini.

ROMA: Kamwe Sina Nidhamu ya Uoga..!!!

$
0
0

Staa asiyechuja wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ amefunguka kuwa katika maisha yake ya kimuziki, hajawahi kuwa na nidhamu ya uoga kama ambavyo baadhi ya watu wanavyomponda.

Roma alifunguka hayo wikiendi iliyopita alipokuwa akipiga stori na Uwazi Showbiz kufuatia maneno kutoka kwa mashabiki wake kuwa muziki wake utachenji kutokana na hofu, tofauti na alivyozoeleka kuwa na mashairi makali ya kuikosoa serikali.

“Kamwe sijawahi kuwa na nidhamu ya uoga maishani mwangu, kinachotokea kwa sasa ni mabadiliko tu ya muziki wangu, siwezi kuimba siasa kila siku, ukweli ni kwamba kwa kuimba siasa kila siku zinafanya muziki wangu usiwe wa kimataifa na uwe ni muziki wa ndani,” alifunguka Roma ambaye bado hajapona makovu aliyoyapata

DIAMOND Platnumz Awashukia Wanaojifanya Wajuaji wa Muziki na Kumkosoa Kila Anapotoa Mziki Mpya

$
0
0

Msanii Diamond Platnumz Jana Mei mosi ameamua kuwatumia ujumbe wasanii wenzake kwenye bongofleva kwa kuwaandikia kupitia ukurasa wake wa Instagram ushauri wake kwao ili waweze kufanya vizuri kwenye masoko ya nje.

"Leo ningependa nitoe ujumbe huu kwa wasanii wenzangu pendwa... Siku hizi mjini kila mtu anajifanya yeye soko la Muziki analijua sana na bingwa wa kuelekeza na kukosoa nyimbo za watu....pasipo kujua kuwa kila nyimbo ina soko lake na kila mwanamziki anapotoa nyimbo anakuwa na malengo ama plan ambayo kaidhamilia...leo ntakupostia baadhi ya nyimbo ambazo wakati nazitoa zilidharauliwa, zilipingwa sana na wanaojifanya wajuaji wa Muziki... pasipo kujua kuwa dhamira ama nini yalikuwa malengo yangu....kwakuwa nilikuwa na imani na kufahamu nikifanyacho basi nikawa nawaekea tu neno #MALENGO na leo hii nyimbo hizo ndio sababu kubwa ya mimi kuwa na Show za nchi ambazo kiukweli sijawai tegemea fika na kufanya show za Uwanjani..... sababu yangu kubwa leo ni kuwasihi wasanii wenzangu kuwa mnapokuwa na kitu ambacho mnamalengo ama target nacho msiogope kukisimamia...lakini pia kuwajuza kuwa kila kanda ina maadhi ya muziki wake ambao unaupenda, hivyo ukitaka kufanikiwa kushika kanda zote usiogope kufanya Muziki tofautitofauti ili kuongeza Mashabiki ila ukiogopa kufanya muziki wa mahadhi flani kisa wabongo wataongea na kuamua tu kutoa kina "UKIMUONA" Basi hatutafanikiwa kuteka Masoko na chi zingine... #SimbaInZambia

MBUNGE na Meya Wazuiwa Getini Ikulu Kwenda Kumuona Rais Magufuli

$
0
0
Mbunge wa Moshi Mjini, Jaffar Michael na Meya wa Mji wa Moshi, Raymond Mboya wameeleza namna walivyozuiwa kuingia Ikulu ya mjini Moshi kuzungumza na Rais John Magufuli.

Viongozi hao ambao wanatokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), walikumbana na kadhia hiyo jana saa 6:00 mchana wakati wakiwa katika foleni ya ukaguzi wa maofisa usalama.

Mbunge Michael alisema aliamriwa kuondoka akiwa katika foleni Ikulu, lakini akasema awali alijulishwa na Meya Mboya kuwa walihitajika katika kikao hicho. Muda huo Rais alikuwa amepanga kukutana na viongozi wa dini, alkini haieleweki ilikuwaje mbunge na meya wakaenda ikulu pasipokuwa na mwaliko.

Mbunge Michael alipotafutwa kuzungumzia tukio hilo alikiri kuamriwa kuondoka akiwa katika foleni ya ikulu.

“Ni kweli nikiwa kwenye foleni alikuja ofisa usalama mmoja akaniambia kistaarabu tu kuwa mimi sikuwa natakiwa nilijaribu kumwambia mimi ni Mbunge lakini akasisitiza siruhusiwi,” alisema Mbunge huyo.

Mstahiki Meya Mboya alisema alijulishwa na viongozi wa halmashauri na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kuwa wangehitajika.

“Niliambiwa Mkurugenzi wangu alifanya mawasiliano na Ras (Katibu Tawala wa mkoa) na wote wakaona ipo haja ya sisi kama wenye mji kuwapo lakini ndio hivyo tulizuiwa,” alisema.

Juhudi za kuwapata maofisa wa serikali na Ikulu ndogo ya Moshi kutoa ufafanuzi zilishindikana kutokana na ama simu zao kutokupatikana na wengine kusema hawakuwepo eneo la tukio.

Chanzo: Mwananchi

DAR: Kamanda wa Polisi Amlipisha Askari Faini Kwa Kumbambikizia Dereva Kosa

$
0
0
Kamanda wa Polisi cha Usalama Barabarani wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Awadh Haji amemuamuru askari wake kulipa faini ya shilingi 30,000 baada ya kudaiwa kumbambikizia kesi dereva.

Askari huyo aliyejulikana kwa jina moja la Beatrice anadaiwa kufanya kosa hilo kwa dereva wa gazeti la Jamhuri, Leonce Mujumizi.
Kamanda Haji alisema tukio hilo lilitokea juzi katika mataa ya makutano ya barabara za Uhuru na Msimbazi, Kariakoo.

Alisema dereva huyo alikuwa akitokea Mnazi Mmoja kwenda Ilala na alipofika katika taa hizo alisimama kwa kuwa taa nyekundu ilimzuia kuendelea. Ilipowaka taa ya kijani aliendelea na safari yake na baada ya kuvuka na kufika katikati alisimamishwa na askari huyo huku akimweleza kuwa hakufuata ishara yake wakati yeye (askari) ndiye aliyekuwa anaongoza magari.

“Hata hivyo dereva alimweleza askari huyo kuwa hakumuona bali alifuata maelekezo ya taa” alisema kamanda haji.

Alisema kuwa kuliiibuka mvutano kati yake na dereva huyo na mwishowe askari huyo alimwandikia dereva faini ya shilingi 30,000 kwa kosa la kutofuata ishara yake.

Kamanda Haji alisema dereva huyo hakukubaliana na hatua hiyo na kuwa hakupewa fursa ya kujitetea.

Alisema baada ya kusikiliza pande zote, alibaini kuwa askari wake hakufuata taratibu zinazotakiwa pindi anapomkamata dereva hivyo kuamuru alipe faini hiyo.

“Siku zote hata mahakamani lazima mshatakiwa apewe nafasi ya kujitetea ili akubali kosa au la ndipo uamuzi utolewe na jaji au hakimu. Mimi kama kiongozi sipo tayari kuona mtendaji wangu anafanya makosa na kuyafumbia macho. Ni lazima nichukue hatua ili kila mmoja ajue wajibu wa kazi,” alisema Kamanda Haji.

Mhariri Mtendaji wa gazeti la Jamhuri, Dogratus Balile alisema: Tunamshukuru ACP Awadh kwa kutetea na kusimamia haki bila uonevu. Tunaamini WP Beatrice na mkuu wa trafiki kituo cha Msimbazi, Inspekta Bihemo kuanzia sasa watafanya kazi kwa weledi na kutenda haki kwa kila mmoja.

TLS ya Sasa ina Sura ya Tawi la Chama Cha Siasa

$
0
0
With due respect, kila mtu mwenye akili timamu anajua pasi na shaka ya kwamba TLS ya sasa ni tawi la chama cha siasa mojawapo hapa TZ. TLS hii hii imeacha kushughulikia WELLFARE za wanachama wake ambao wanachangamoto nyingi, sasa imekuwa ni MDOMO wa chama cha siasa. This is unprecedented.

Ajenda zote zilizotolewa na chama cha siasa BUNGENI na zikashindikana: sasa TLS imezibeba kwa nguvu zote na kwa gharama ya hali ya juu na kuweka mikakati ya kuzidai kupitia MAHAKAMA. Ni copy and paste.

TLS ikumbuke ya kwamba Code of Ethics zao zinawataka wawe "impartial" muda wote(TLS Code of conduct and Ettiquette rules). Kwa msingi huo TLS imeiacha barabara kuu na kuingia kwenye mchepuko.

Such misconduct should not be left to prevail. Ni busara ya wakati kuwa TLS ifutwe kisheria na bunge, kwasababu TLS Act inapingana kabisa na nia,makusudio,matamanio, matendo na mikakati ya TLS sasa. I have very serious doubt on the unfolding strategies of the current TLS leadership.

By Moma2k/JF

Unakubaliana na Mdau hapo Juu au Unampinga?

I Love My Boyfriend But I Enjoy Having S3x With Strangers

$
0
0

I know my romantic boyfriend is planning some Valentine’s treat but whatever it is, it won’t thrill me as much as having séx with strangers.

I’m 24 and he’s 25. We met in school and we both work in tourism. He’s a really nice guy and we’ve been together five years. We’ve been happy for most of that time but lately I’ve realised I’m totally bored with my life.

He worked late one night and I went to the bar with a friend. I was up at the bar when this really cool guy started flírting with me. When I sat down he kept turning to look and then giving a smile. It made me feel séxy and hot.

My friend had a cold and soon phoned for a cab. I said I’d walk home as it wasn’t that far. That guy was still there at the bar and I wanted to see what would happen.

What happened was that we flirtéd some more and then we went back to his car and had séx. It was great and I felt like a wild child or something who lives for the moment and isn’t afraid to have fun.

That was the first time I did it but last month it happened again, this time with a guy I met on a training course. I’d never seen him before and I’ve no wish to see him again but the thrill was imménse.

Last night I had sé.x with a stranger I met in a club. I know that it’s wrong but it’s thrilling and risky and fun. I don’t like telling lies but if I told my boyfriend the truth it would destroy him.

Sarah Lyimo


Please Advice Her

MBUNGE Kingu Awafungukia Wanaodai Anatoka Kimapenzi na Mwanamuziki Vanessa Mdee

$
0
0

Unakumbuka story ya Vanessa Mdee Kutoka na Mbunge????...


Mbunge Afunguka haya:

"Hekima na utulivu wako vinadhihirisha kuwa umekomaa.walimwengu sio wazuri hukumu yao ni batili lakini siwezi kuacha kujali kuwa ur my close friend na una nidhamu na heshima acha wahukumu wajuavyo ila ninakupenda kama mtu wa karibu na rafiki wa kuamimi. ."
.
.
TOA MAONI YAKO HAPA -
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live




Latest Images