Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104808 articles
Browse latest View live

Mkuu wa Mkoa agoma kumlinda Diwani wa CCM

$
0
0

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela, amemwagiza Mkuu wa Polisi Wilaya ya Ukerewe kumkamata Diwani wa Kata ya Bwisya, Dismas Busanya (CCM) pamoja na aliyekuwa mtendaji wa kata, Ladslaus Mabagala, kutokana na kuhusika na ubadhirifu wa Sh milioni 6 za ujenzi wa nyumba ya watumishi.


Akizungumza juzi akiwa Kisiwani Ukara, ambako alikwenda kukagua miradi ya maendeleo, Mongela alisema ameshangazwa na taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali kueleza pia kuwa nyumba wa watumishi iliyoanza kujengwa mwaka 2012 imekamilika, wakati haijaezekwa hata paa.


Alisema nyumba hiyo ambayo ilijengwa kwa Sh milioni 17 ilikuwa haijawekewa lenta wala kuezekwa, lakini katika taarifa zao wamekuwa wakieleza kuwa zikamilika na baada ya kufuatilia alibaini kuwa kiasi cha Sh milioni 6 ziligawanywa na diwani na mtendaji huyo ambao aliagizwa wakamatwe.


Akitoa maelekzo kwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Ukerewe (OCD), alisema diwani na mtendaji huyo wakamatwe kueleza zilipo fedha kiasi cha Sh milioni 6 pamoja na vifaa vya kuezeka ambavyo ni mabati na mbao vilivyonunuliwa kwa Sh milioni 9 na kubanwa warejeshe fedha walizokula.


Alisema nyumba hiyo, ambayo ilijengwa mwaka 2012, haijamazika na kwamba kutokamilika kwake kunakwamisha watumishi kuishi katika nyumba hiyo, jambo ambalo limekuwa likiwakosesha huduma wananchi.


“Unajua huku kwa sababu ni kisiwa watu walikuwa wanajifanyia wanavyotaka, nataka watambue kuwa, kwa sasa tumeamua kuwekea macho Ukerewe na tutashughulika na wabadhirifu na kwa kuanza naomba OCD kamata hawa watoe maelezo ya fedha zetu zilipo na wakirudisha waachie,” alisema.

KUTANA NA SHEKH SHARIFU SIMBA mtabibu wa nyota Tanzania na duniani kote

$
0
0

KUTANA NA SHEKH SHARIFU SIMBA mtabibu wa nyota Tanzania na duniani kote,

✨SHEKH SHARIFU SIMBA anatoa shukrani kwa wote mnaopiga simu mlioko ndani na nje ya Tanzania, wanatoa shukrani na wale wenye matatizo, pia anawashukuru wote wanaomshirikisha na kutoa shuhuda jinsi tiba zake zinavyo wasaidia.
✨Bado ujachelewa piga simu na uweze kusaidiwa, SHEKH SHARIFU SIMBA yupo kwaajili ya kutatua matatizo yote yanayo wakabiki wanadamu,

🦅SHEKH SHARIFU SIMBA ni mtaalamu wa tiba mbalimbali za asili anatumia kitabu cha QUR'AN, dawa za asili, dawa za kiarabu na majini,

✨je umeachwa na Mme/ mke, mchumba au umpenzi wako? SHEKH SHARIFU SIMBA anauwezo wa kurejesha mahusiano yako ndani ya masaa (72)
✨je umahangaika kupata mtoto bila mafanikio?
✨je mikosi inakuandama na umekuwa mtu wa kilia kila siku bila kupata msaada wowote?
✨je madeni yanakuandama?
✨je umesimamishwa kazi au kushushwa cheo bila sababu? SHEKH SHARIFU SIMBA anatoa kisomo na kusafisha NYOTA na kung'arisha, ili ung'ae upya kwa kila mtu na mahali popote,
💍SHEKH SHARIFU SIMBA anatoa Pete za bahati zilizoambatana na jini Mali,
✨Anazo dawa za mapenzi, nguvu za kiume chango kwa kina mama, ngizi na n.k, pia anatibu miguu kuuma na kufa ganzi, tumbo kujaa gesi na kuunguruma na magongwa mengine ya siri,
🇺🇸pia anatibu kwa njia ya simu kwa wale walioko mbali au nje ya nchi,
📞SHEKH SHARIFU SIMBA anapatikana BAGAMOYO, kwa wale walio nje ya nchi tumia WhatsApp no +255 719361792, kwa wale wa ndani ya nchi piga simu no: 0719-361792 au 0689-476132 na 0745-281712.

SIMBA Maji ya Shingo...Wakubali tu Kombe ni la Yanga Msimu Huu

$
0
0

Si vibaya ukisema wamekubali kiana! 

Maana kipigo cha mabao 2-1 walichokitoa Yanga kwa Mbeya City kinawafanya wabakize ushindi wa mechi moja tu kubeba ubingwa na kesho wanacheza dhidi ya Toto African jijini Dar es Salaam. 

Watani wao Simba sasa wanaonekana kukubali kwamba hawana ujanja wa kuwazuia Yanga ambao ni mabingwa watetezi kubeba tena ubingwa. 

Kama Yanga wakiutwaa ubingwa msimu huu, maana yake ni kwamba watakuwa wameutwaa kwa mara ya tatu mfululizo, na kuleta tafsiri kwamba wametawala soka la Tanzania kwa sasa. 

Yanga ilirejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa kuichapa Mbeya City mabao 2-1. Imefikisha pointi 65 sawa na Simba lakini imebakiza michezo miwili wakati Msimbazi wamebakiza mchezo mmoja. 

Kwa michezo ambayo Yanga imebakiza dhidi ya Toto na Mbao, hata kama itapoteza mchezo mmojawapo, halafu ikashinda mwingine, na Simba kupewa pointi tatu za mezani ilizopanga kuzifukuzia Fifa, Yanga bado watakuwa mabingwa kwa kuwa wana uwiano mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa. 

Kama kwa vyovyote vile wakilingana pointi, Simba italazimika ishinde mabao kuanzia 11-0 katika mchezo wake wa mwisho dhidi ya Mwadui jijini Dar. 

Yanga ambayo juzi Jumamosi iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City, kwa sasa ipo kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ikiwa na pointi 65 sawa na Simba, lakini ina uwiano mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa. 

Kesho Jumanne, Yanga itacheza na Toto Africans kwenye Uwanja wa Taifa, Dar, na kama ikiibuka na ushindi, basi itatangaza ubingwa kwani itakuwa imeiacha Simba kwa pointi tatu nyuma, huku timu zote zikibakiwa na mchezo mmojammoja. 
Mayanja amesema walikuwa wakisubiri kuona Yanga wakiteleza mbele ya Mbeya City, lakini matokeo ya ushindi waliyoyapata yanawafanya kuamini kwamba wapinzani wao hao wanaenda kuwa mabingwa. 

MIKOPO ya Chuo Bado Kitendawili...Wanafunzi Wengine Kukosa Fedha

$
0
0

BUNGE limeishauri serikali kuongeza bajeti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) baada ya kubaini wanafunzi wengi watakosa fedha hizo mwakani kutokana na bajeti ndogo iliyotengwa.


Ushauri huo ulitolewa bungeni mjini hapa juzi na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ilipokuwa ikiwasilisha taarifa yake kuhusu utekelezaji wa bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi na makadirio ya wizara hiyo kwa mwaka ujao wa fedha.


Akiwasilisha taarifa hiyo, mjumbe wa kamati hiyo, Hussein Bashe, alisema wamebaini wanafunzi wengi watakosa mikopo mwaka ujao wa fedha licha ya kuwa na ufaulu mzuri.


Alisema mwaka huu wa fedha wanafunzi 48,502 walijaza fomu kwa ukamilifu lakini 25,555 tu ndiyo walipata mikopo na hivyo kuacha wengine 22,947 wakiwa hawana mikopo kutokana na bajeti iliyotengwa ya Sh. bilioni 427.5 kutotosheleza mahitaji.


Bashe ambaye pia ni Mbunge wa Nzega Mjini (CCM), alisema mwaka ujao wa fedha HESLB imeombewa Sh. bilioni 427.5 (sawa na bajeti ya mwaka huu) ilhali ufaulu wa wanafunzi waliohitimu kidato cha sita umeongezeka kutoka asilimia 88 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 99 mwaka huu.


"Kamati inaona kwamba, suala la elimu ya juu ni haki ya msingi kwa watu wenye sifa," alisema.


"Kamati inashauri serikali kuongeza bajeti ya HESLB ili wanafunzi wengi zaidi wanaostahili waweze kupata mikopo kwa maendeleo ya taifa letu."

Mapya yaibuka mauaji ya kada wa CCM...Kamanda wa Polisi Ataja Ujumbe Waliouacha baada ya Mauaji

$
0
0

Siku moja baada ya Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Bungu wilayani Kibiti, Alife Mtulia, kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake, imeelezwa kuwa wauaji hao waliacha ujumbe wakidai marehemu alikuwa akidhulumu watu.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Onesmo Lyanga alisema mauaji hayo yalifanyika usiku wa kuamkia jana, huku akiahidi kutoa ufafanuzi wa kina leo.


Mauaji ya askari Polisi, viongozi wa Serikali za Mitaa na raia yamekuwa yakifanyika mara kwa mara katika wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani Pwani.


“Mtulia aliuawa akiwa anaelekea bafuni kuoga. Walimvamia wakampiga risasi na kupoteza maisha. Hili tukio limetokea kweli ameuawa. Ila marehemu hakuwa  katibu wa chama wa tawi, alikuwa kiongozi miaka ya nyuma sielewi alistaafu lini,” alisema.


Alibainisha kuwa sababu za mauaji hayo hazijafahamiaka, licha ya wauaji hao kuacha ujumbe wa maandishi.


“Katika ujumbe huo wauaji walidai kuwa marehemu alikuwa mtu wa kudhurumu. Ila hawakusema alidhulumu lini na alimdhulumu nani,” alisema.


Alisema Jeshi la Polisi linaendelea na msako wa watu waliofanya mauaji hayo, mpaka jana jioni hakuna mtu aliyekamatwa.


“Tunaendelea na msako. Nawataka tu wananchi kuwa watulivu katika kipindi hichi ambacho tunaendelea kuwasaka wauaji,” alisema.


Hivi karibuni Jeshi la Polisi liliwaua watu wanne wanaosadikiwa kuhusika na mauaji ya askari polisi wanane na uporaji wa silaha katika eneo la Mkengeni, Kata ya Mjawa, Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani. Tukio hilo lililotokea takribani wiki mbili zilizopita.


Jeshi hilo lilieleza chanzo cha mauaji ya askari polisi kujirudia mara kwa mara katika maeneo hayo ya Mkuranga, Rufiji, Ikwiriri na Kibiti kuwa ni eneo hilo kuzungukwa na pori.


Akizungumza kuhusu tukio hilo katika Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, Nsato Mssanzya alisema baada ya majambazi hao kuwaua askari hao walipora bunduki saba na kutokomea kusikojulikana.


Alisema baada ya tukio hilo polisi walifanya operesheni na kufanikiwa kutambua maficho ya muda ambapo katika majibizano ya risasi walifanikiwa kuwaua watu hao wanne pamoja na kupata silaha nne mbili zikiwa ni za askari waliouawa na mbili za majambazi hao.

It’s Time For Uhuru Jubilee To Take Responsibility for His FAILED POLICIES Including Escalating UNGA Prices

$
0
0

By Jackson Omondi

In the wake of public outcry and angst occasioned by stratospheric costs of basic commodities, the Jubilee misleaders are passing the buck. The deputy President’s incredible political somersault on the issue of maize importation is classic Jubilee. Taking responsibility is strictly verboten.

An all-white division two American football college team was a having year like no other. They turned each opponent into minced meat as they steamrolled to the finals. Sporting a clean, undefeated record, they had the misfortune of facing a much more athletic, agile and stronger opponent in the finals. The opposing team comprised an all black roster with damn near professional comportment.

The game turned out to be a gigantic mismatch as the all-white team got it’s clock cleaned and the unbelievable season came to an unbelievable end. When it came time to address the media, the losing coach was blunt: I failed. Pressed by the sports journalists to layout more specifics, the clearly dejected coach said: ” we need to get the black athlete, they were stronger and faster.” “You can’t coach size and speed,” he continued.

Predictably, the coach’s comments drew the ire of minority and civil rights advocates who thought the comments had racial undertones. The coach later apologized for “offensive remarks,” but stood by his assertion that he failed as a leader.

Jubilee can learn a thing or two from the coach. When reality catches up with a make-believe Cinderella story like Jubilee’s PR- laden regime, its time to do some soul searching. Jubilee has been in power for over four years, meaning that they have been pushing the levers of power, making decisions on behalf of the Kenyan people and as a consequence, everything that’s happening now is a direct function of the misleaders’ policies.

The political pulse of the nation is clocking higher decibels because the people are angry, hungry, poorer, sicker, unemployed and frustrated because Jubilee has failed them. But if you listen to the bellicose duo running the country, you would think that somebody else is in charge of the country’s affairs.

If the President is not blaming global warming for his dwindling political fortunes, the DP is shifting the blame to the opposition! To these two misleaders, NASA leaders are not supposed to remind Kenyans that Unga prices are high. It’s a taboo. They have a problem with NASA’s message.

How about just owning up and taking responsibility for misleading the nation for close to five years? Admitting failure can be therapeutic and will go along way in humanizing these two soon-to-be former President and Deputy President. They will need a little bit of that in the impending NASA-induced retirement.

Breaking News: Hanspope Amefuta Uamuzi wake Kujiuzulu Simba

$
0
0

"Hanspope amefuta uamuzi wa kujiuzulu ndio maana fans wetu nawaomba mtulie hakuna kitakachoharibika ni upepo mbaya ulipita" Haji Manara

Haya Hapa Mambo 6 Yakujiepusha Nayo Unapotembelea Nchi Hizi

$
0
0

Utamaduni ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuhifadhi hadhi na heshima ya mtu na kumfanya atambulike kila mahali. Mbali na hayo, lakini zipo tamaduni ambazo zinabaki kuwa za sehemu moja pekee na haziwezi kusambaa sehemu nyingine.

1: Usiache kusalimia uwapo Ufaransa

Kila unapotembelea nchi ya Ufaransakumbuka kusalimia. Neno “Bonjour madame, monsieur” lazima liwe la mwanzo kutoka kinywani mwako, vinginevyo utachukuliwa kuwa unawadharau watu.


2: Usipige honi wakati unaendesha gari ukiwa Norway

Kama kuna jambo unalotakiwa kuwa makini uwapo Norway ni hili, kutopiga honi ukiwa unaendesha gari. Katika nchi ya Norway honi hutumika wakati wa dharura tu, hivyo kupiga kwako honi kutasababisha taharuki.

3: Usitumie mkono wa kushoto ukiwa India

Kwa mujibu wa utamaduni wa India ni kuwa mkono wa kushoto si salama. Hivyo jitahidi kila mara uwapo katika nchi hii kutumia mkono wa kulia kusalimia watu.


4: Usimalize chakula kwenye sahani ukiwa China

Nchini China, wageni waungwana hawamalizi chakula chote kwenye sahani. Kufanya hivyo hutafsiriwa mwenyeji wako hakukupa chakula cha kutosha. Sanjari na kubakisha chakula kwenye sahani, unaruhusiwa kubeua kama heshima kwa mpishi.


5: Usizungumze na mtu mikono ikiwa mfukoni uwapo Ujerumani

Unapanga kutembelea Ujerumani?Jihadhari na kuzungumza na mtu wakati mikono yako ikiwa mfukoni, kitendo hicho kuchukuliwa kama jeuri. Pia ni utamaduni wa nchi hiyo kuweka mikono juu ya meza wakati wa kula.


6: Marufuku kutabasamu mbele ya mgeni ukiwa Urusi

Upo usemi unaosema; “Tabasamu, na ulimwengu utatabasamu nawe”. Uwapo nchini Urusi usemi huu hauna maana yoyote. Warusi wanaona kutabasamu ni ishara ya karibu, ikionesha mshikamano baina yao. Kama utatabasamu mbele ya mgeni hukuchukulia kama mnafiki.

Gigy Amchefua Wema Ukumbini

$
0
0

Muuza nyago kwenye video za nyimbo za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’anadaiwa kumtia hasira na kumchefua staa wa sineza za Kibongo, Wema Isaac Sepetubaada ya kukutana ukumbini kwenye bethidei ya meneja wa wasanii wa muziki.

Ubuyu wa motomoto ulidai kuwa, baada ya kukutana, Gigy alidaiwa kucheza muziki kihasarahasara na mmoja wa ‘mazilipendwa’ wa Wema, jambo ambalo mlimbwende huyo hakupendezwa nalo.

Ishu hiyo ilichukua nafasi kwenye Ukumbi wa Hyatt Regency The Kilimanjaro Hotel uliopo Posta jijini Dar ambapo mastaa kibao walikuwa wageni waalikwa kwenye shughuli hiyo iliyotawaliwa na mavazi ya kizamani.

Kwa mujibu wa shushushu waWikienda aliyekuwa ndani ya shughuli hiyo, awali Wema alionekana mwenye bashasha tele akiwa na wapambe wake, lakini Gigy alipoanza makeke yake ndipo bibie huyo akapoa kama maji ya mtungi.

“Mwanzoni Wema hakuwa na tatizo kabisa na Gigy, lakini baada ya mwanadada huyo kwenda kucheza kihasara na zilipendwa wa Madam (Wema) hapo ndipo balaa likaibuka, akanywea na kumkata jicho la hasira, hata wale wapambe wake (Wema) wakaanza kumvimbia Gigy baada ya kuona anataka kuharibu shangwe za mama la mama.

“Gigy alionekana ni mwenye furaha tele, kwani alikuwa amepiga maji ya kutosha (pombe) hivyo hakujali hata kidogo kama anamkwaza mtu, isitoshe kilichoharibu zaidi ni baada ya jamaa kunogewa na manjonjo ya Gigy na kumzawadia wigi lake alilokuwa amevaa,” aliongeza sosi.

Baada ya kuinyaka ishu hiyo,Wikienda lilimtafuta Gigy na kumuuliza kulikoni kumkera Wema kwa kumchezea vibaya bwana wake wa zamani ambapo bila hiyana alifunguka:

“Ni kweli nilicheza na huyo mtu tena kwa kujinafasi kwa sababu ilikuwa ni sehemu ya furaha, sikuona sababu ya kujivunga eti kwa sababu nitamuudhi Wema au mtu yeyote yule.

“Kwanza yeye ameshaachana naye kitambo kama bado ana wivu naye atajijua mwenyewe,” alisema Gigy.

Jitihada za kumpata Wema hazikuzaa matunda baada ya simu yake kuita bila kupokelewa na hata alipotumiwa chatting kupitia WhatsApp zilionesha kupokelewa lakini hakujibu.

Imeandikwa na Mayasa Mariwata na Gladness Mallya

JE, Dada Unapenda Kuwa Mrembo na Kaka Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa?

$
0
0

JE, DADA UNAPENDA KUWA MREMBO? NA KAKA UNAPENDA KUWA MTANASHATI NA KURUDISHA HESHIMA YA NDOA? Tumia Bidhaa halisi za MARKSON kwa mafanikio ya uhakika na bila madhara.
Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kuthibitishwa kiafya.
🍉🌿🍓🍒🎄🍍🍀🍓🍉
Pata hizi 👇👇👇👇👇👇

1. kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @120,000/=
2. Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa (a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge @180,000/=
3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:- (1)Mafuta @120,000/=
(11)Vidonge @150,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5. Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a) Gely ya kupaka @130,000/=
(b) Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari @130,000/= (c)Handsome up original @200,000/=
6. Kuondoa mvi milele zisiludi tena @120,000/=
7. Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula @120,000/=
8. Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a) Dawa ya kunywa au kupaka @120,000/=
(b) Mkanda wa kawaida @100,000/=
(c) micro-computer belt unaovaibret @250,000/=
9 .Kupunguza maziwa na kuyasimamisha @120,000/=
10. Kushepu miguu na kuwa minene na kuondoa migimbi @120,000/=
11. Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @100,000/=
12. kubana uke na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke @120,000/=

NB: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Wasiliana nasi :-
(+255) 0767447444 na
0714335378
Follow us on instagram @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr

HIVI Kumbe Kweli Clouds FM Ndo Kila Kitu Kwa Wanamuziki...Yupo Wapi Ruby wa Yule?

$
0
0
Mambo zenu wadau.
Ningependa kujua yule mwanadada machachari kabisa aliyetamba na kibao chake cha "Na yule"amepotelea wapi maana naona hasikiki kabisa siku hizi toka alivyotangaza kutoka mikononi mwa Clouds Media,ni kwamba amebuma kabisa kutokana na ukosefu wa promo au bado anajipanga kuja kumshinda Nandy!

Hilo linanifanya nianze kuamini kuwa Clouds Media ndio kila kitu kwa Wanamuziki hapa Bongo ukiwa diss umejichimbia kaburi lako mwenyewe...Au Unaonaje Mdau?

UVCCM yajibu Mapigo ya Lowassa.."Lowassa Alisukumwa na Hasira na Hili Hapa Ndio Kosa Kubwa Alilolifanya"

$
0
0
Umoja Wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi ( Uvccm ) umemtaka aliyekuwa waziri mkuu wa zamani na mjumbe wa kamati kuu ya chadema Edward Lowassa kufuta fikra ya kuwa Chadema itaibwaga CCM hata kama kutakuwa na UKAWA.

Kauli hiyo imezungumzwa na kaimu katibu mkuu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi taifa (UVCCM) Shaka Hamdu Shaka na kusema kuwa.

“Kwa bahati mbaya Lowassa amesukumwa na hasira na kujikuta akijitoa CCM mwaka 2015 kama mtu aliyekuwa anacheza ngoma kwa kwenda upinzani huku akiwa na matumaini ya kuukwaa urais.Alisema kama kuna kosa kubwa ambalo Lowassa amelifanya ni kitendo chake cha kuhama CCM na kwenda upinzani hasa Chadema ,Kwa sababu yeye mwenyewe alishawahi kutamka hadharani akihutubia mkutano wa hadhara mwaka 2006 akilinganisha upinzani ni watoto wanaokimbilia mdundiko”.Lowassa asikubali kucheza tombola katika siasa,Siasa ni hesabu na ina formula zake.Nafikiri amekurupuka kujiondoa CCM ameupanda mkenge kwenda Chadema ajue kuwa si Ukawa wala Udeta wenye ubavu wa kuiondoa CCM madarakani alisema Shaka.

Alimtaka Lowassa kujua kuwa hata viongozi na wanachama wa upinzani hawamwafiki mwanasiasa huyo kwa asilimia kubwa,kwani wapo viongozi aliowakuta ambao wametoa jasho jingi kuvijenga vyama vyao hivyo hawapo tayari kumpisha agombee tena urais.

Pia Kaimu katibu mkuu Shaka alifafanua kuhusu kauri iliyotolewa na Lowassa kwa kusema kuwa Tanzania kuna ukandamizwaji wa demokrasia..Shaka alisema

“ Haiba ya demokrasia iliyopo Tanzania huwezi kukutana nayo popote Afrika mashariki,Afrika na duniani kwa ujumla,Ila uamuzi wa serikali ya awamu ya tano ni kuwahimiza wananchi kufanya kazina kuzalisha mali viwandani na mashambani.Uhuru wa demokrasia au watu kujitawala bila shibe na maendeleo ya kisekta ni upuuzi.

Alisema kwa msisitizo ndugu Shaka.Pia aliendelea kusema kuwa

“Tumemaliza kampeni na uchaguzi mkuu kila mmoja sasa afanya kazi, kukusanya watu kwenye makongamano na kuwapa bahashishi ni kuwapumbaza kiakili ikiwa bado ni Maskini" alimaliza kusema ndugu Shaka.. 

Source
Gazeti la Mtanzania la mei 15,2017 toleo Na.8546
Ukurasa wa 8.

UGUMU wa Maisha Unachochea Ongezeko la Upungufu wa Nguvu za Kiume

$
0
0
Habari wanajamii. Unaweza kujiuliza ni jinsi gani ugumu wa maisha unawezaje kuhusiana na upunguvufu wa nguvu za kiume? Basi ngoja nikufafanulie hili,
Upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ni tatizo kubwa linaloikumba jamii kwa sasa.
Tafsiri halisi ya upungufu wa nguvu za kiume: Ni ile hali ya mwanaume/mwanamke (ambaye amesha balehe/kukomaa kimaumbile) kushindwa kumudu ipasavyo tendo la ndoa ikiwa ni pamoja na kushindwa kusimamisha uume vizur, kuwahi kufika kileleni, kushindwa kurudia tendo, kutofurahia tendo na mengine mengi yanayo fanana na hayo.

JINSI GANI UGUMU WA MAISHA UNAWEZA SABABISHA TATIZO HILI.
Kutokana na hali ya maisha ya sasa, yani maisha kuwa magumu kwa maeneo mengi nchini yaliyosababishwa na vitu vifuatavyo.

1. Mfumuko wa bei za bidhaa mbali mbali, 2. Tatizo la ukosefu wa ajira,
3. kutokuwa na ongezeko la mishahara kwa wafanyakazi,
4.kupanda kwa gharama mbali mbali za huduma kama vile Afya, Usafir na Makazi.
5. Kupunguzwa na kufukuzwa kwa wafanyakazi umma na sekta binafsi.
Hivyo basi kutokana na haya yote..watu wengi wamekuwa na stress za maisha (msongo wa mawazo ) ambao husababisha mambo yafuatayo ambayo kwa ujumla wake husababisha tatizo hili.
1. Kukosa furaha wakati wote. Hivyo ni vigumu kupata hamu ya tendo.
2. Familia kufarakana kutokana kutotimiza majukumu yao ya kila siku.
3. Unywaji wa pombe kupita kiasi wakiamini kwamba ni njia sahihi ya kupunguza mawazo.
4. Kutopata lishe bora hvy kusababisha miili kukosa nguvu ya kutosha kuratibu mambo mbali mbali mwilini ikiwa ni pamoja na shughuliki via vya uzazi.

ANGALIZO.
Tunaiyomba serikali iweze kuliangalia tatizo hili kwa jicho la tatu. Kwani kuna uwezekano mkubwa wa kupungua kwa ongezeko la watoto wanaozaliwa nchini hali ambayi huleta mambo yafuatayo:-
1. Taifa kukosa nguvu kazi ya kesho ambalo ndio maendeleo ya taifa kwa miaka ijayo.
2. Nchi yetu bado ni changa mapori ni mengi kuliko makazi hivyo ili kuweza kupata maendelea hatuna budi kuzaliana kwa wingi ili kuweza kutumia ipasavyo maeneo yaliyo baki.
3. Kukosekana kwa wataalamu wa baadae kama vile madaktari, wakandarasi, wanauchumi n.k
4. Kukosa vipaji vipya kwani vipaji ni zawadi toka kwa Mungu ambavyo huvipata katika uzao..hivyo ni chanzo cha kudumaa na kuzolota kwa taifa hili masikini.
Maoni yenu wadau...

NANI Anataka Kumuua Rose Muhando?

$
0
0
MWANAMAMA Rose Muhando ni staa mkubwa wa Nyimbo za Injili Bongo. Rose ana sauti kali, lakini ya kuvutia watu, yenye kupenya vilivyo kwenye ngoma za masikio ya msikilizaji na kuibua hisia na msisimko wa aina yake.

Rose ambaye amezaliwa mwaka 1976 huko Kilosa mkoani Morogoro anajulikana kwa utunzi wa mashairi ya kumtukuza Mungu. Midundo ya nyimbo zake ni za kuchezeka kwenye ‘Disko la Yesu’.

Mbali na sifa hizo, pia ana uwezo mkubwa wa kumiliki jukwaa. Kubwa kuliko ni kwamba ana nyimbo nyingi zinazoimbika kwa watu wa rika mbalimbali bila kujali imani za kidini. Baadhi ya nyimbo zake ni Nibebe, Utamu wa Yesu, Jipange Sawasawa, Chineke, Sitanyamaza, Nipe Uvumilivu, Facebook na nyingine kibao.

KWA NINI ROSE?

Kinachonifanya kuandika makala haya ni mahojiano ya Gazeti la Ijumaa Wikienda na Rose wiki iliyopita ambayo yalijaa maswali mengi hasa nikitaka kujua ni kwa nini Rose amekuwa katika hali aliyokuwa nayo yenye kusikitisha mno?

Rose mwenye umri wa miaka 41 alilieleza Wikienda namna anavyotishiwa kuuawa na mtu aliyekuwa akimlazimisha kufanya mambo asiyoyataka na kwamba hali ni mbaya, akitamani kuhama nchi ili kuinusuru roho yake.



NI KWELI ROSE NI TEJA?

Lengo la mahojiano hayo lilikuwa ni kupata ukweli kuhusiana na skendo inayomtafuna Rose juu ya kuwa teja. Madai yalikuwa ni kwamba Rose anatumia madawa ya kulevya ambayo yamemfanya kuwa mgonjwa, kukongoroka na kudhoofu mwili kiasi cha kutokuwa na tofauti na mateja wengine mitaani.

AANGUA KILIO

Kabla ya kujibu swali hilo, mara tu baada ya Wikienda kujitambulisha, Rose alianza kuangua kilio kwa uchungu na sauti ya juu akilalamika kuwa anaumwa sana na ameshahangaika na maisha haya bila msaada wowote na kwamba ameshatumika sana kutajirisha watu.

Ili mahojiano hayo yafanyike kwa utulivu, ilibidi kumtuliza kwanza Rose aliyeonesha kuwa na jazba mno.

Baada ya kutulia kidogo huku akiendelea kulia kwa kwikwi na kuombwa kunyamaza kila dakika, aliulizwa kinachomsibu ambapo alisema kuwa, anateswa na Ugonjwa wa Typhoid (Homa ya Matumbo) na mwili kuuma na kukosa nguvu hivyo kujiuguza mwenyewe nyumbani kwake, Ipagala, nje kidogo ya Mji wa Dodoma bila msaada.

ATISHIWA KUUAWA

Rose akasema muda mrefu sasa amekuwa akitishiwa kuuawa huku akipokea kichapo cha polisi ambacho humsababisha kuzimia, kwa kile alichodai kukataa kulala kwa maana ya kufanya ngono na mtu huyo.

Kwa mujibu wa Rose, amefikia hapo alipo kwa sababu alikataa kutekeleza jambo hilo kwa kuwa mhusika ni mume wa mtu na kwamba hata kama angekuwa si mume wa mtu, lakini huwa hana muda na mambo hayo.

Rose, bila kumtaja mhusika, anasema kuna mtu aliwahi kumsaidia kuingia studio kurekodi baadhi ya albamu zake, kwa sharti la kulala naye, lakini alipokataa ndipo manyanyaso na vitisho dhidi yake kutoka kwa mtu huyo vikaanza.

ANYANG’ANYWA MALI

Kwa mujibu wa Rose, mtu huyo aliwahi kudiriki kumnyang’anya mali zake, yakiwemo magari na vitu vingine vya thamani.

Rose alikaririwa:
“Kwa kuwa anafahamiana na polisi, wakuu wa vituo vya polisi na viongozi wa dini, inakuwa rahisi kunisingizia mambo mengi machafu.

“Situmii madawa ya kulevya na sitatumia. Kama aliona ndiyo skendo itakayo-nimaliza, najua atashindwa, anayefanya hivyo ni mtu anayetaka kunimaliza, alitaka niwe mtu wake wa ngono na kumfanyia kazi, nikakataa.

“Sijawahi kujiingiza kwenya madawa ya kulevya na anavyozungumza, nasikitika kwa sababu anaiumiza familia yangu kisaikolojia.

“Mimi ni mama wa watoto watatu (Gift, Nicolas na Maximilian) na nina ndugu zangu, nasingiziwa mambo hayo kwa sababu sina mtetezi lakini ni vyema akajua mtetezi wangu ni Mungu.

“Lakini hii yote ni kwa kuwa nimekataa kulala naye. Napigwa hadi nazimia, wanaume walinizalisha na kunitelekeza, wameniumiza sana, afadhali ningefanyiwa mambo hayo na wanawake wenzangu, sasa natishiwa kifo, natamani hata kuhama nchi, hivi kweli akiona ninaishi nchini Kenya, ndiyo furaha yake?

“Lakini Mungu yupo na mbingu zitafunguka. Amekuwa akinizushia maneno makali, wakati mwingine nashinda porini, nikitetea maisha yangu.

“Kiukweli nimechoka jamani, acheni nipumzike, lakini namuachia Mungu, mbingu zitafunguka.”

MASWALI SAKATA LA ROSE

Baada ya hayo ndipo yakaibuka maswali juu ya sakata la Rose. Kama Ijumaa Wikienda tukawa tunajiuliza;

Je, ni nani huyo mwenye ubavu wa kutishia kutoa uhai wa binadamu mwenzake, achilia mbali Rose ambaye ni staa mkubwa kwenye jamii? Ni kosa gani alilolitenda Rose ambalo adhabu yake ni kifo?

Je, sababu ni hiyo pekee ya kumkataa kimapenzi au kuna sababu nyingine? Na je, mwanamke kumkataa mwanaume adhabu yake ni kifo? Nani kasema? Anamtishia kivipi? Kwa simu? Uso kwa uso? Wakiwa wapi?

Rose anasema amechoka kupelekwa kwenye vituo vya polisi ambako huko huwa anapigwa hadi anazimia, je, ni vituo gani vya polisi vilivyomfanyia hivyo ambavyo anaogopa kuvitaja kwa usalama wake?

Mara kadhaa Rose amekuwa akiripotiwa akidaiwa kutapeli watu kwa kuchukua fedha kisha kuingia mitini na kushindwa kufika kwenye matamasha. Kuhusu hilo Rose anahoji mbona hawajawahi kumfikisha mahakamani na aka-hukumiwa kama siyo kumchafua? Kama ni kweli huwa anatapeli, ina maana kesi zote wahusika humsamehe au hazifikishwi mahakamani?

HAPA KUNA TATIZO

Hapa kuna tatizo kubwa ambalo Rose anapaswa kuwa wazi ili kupata ufumbuzi na kumfanya aishi kama binadamu wengine na siyo kukimbilia porini ili kunusuru roho yake kama anavyosema. Ikumbukwe kuwa kila binadamu ana haki ya kuishi na siyo kuwindwa.

EXCLISIVE..Hivi Ndivyo Mbunge Lazaro Nyalandu Alivyowadanganya Wazungu na Kukomba Fedha Zote za Ufadhili wa Kusomesha Wanafunzi Jimboni Mwake..!!!!

$
0
0

HIGH VOLTAGE INTELLIGENCE:Mbunge wa Singida kaskazini na waziri wa zamani wa maliasili na utalii katika serikali ya awamu ya nne, Lazaro Nyalandu anatajwa kuhujumu wananchi wake jimboni kwa kujipatia fedha toka kwa wafadhili kwa kigezo cha kusomesha Wanafunzi wa Sekondari jimboni kwake jambo ambalo sio la kweli na hakuna mwanafunzi hata mmoja anayesomeshwa na mbunge huyo. 

Hujuma za Mbunge huyo dhidi ya watu wake zimethibitika mapema Wiki iliyopita ambapo Msaidizi wake wa karibu aliyetajwa kwa jina la RUBEN akiambatana na wazungu 4 wa kimarekani walifika Jimboni kwa ajili ya kutembelea shule na kuwaona wanafunzi wanaolipiwa fedha na wafadhili hao ambao wanadaiwa kutoa fedha nyingi kila mwaka ili kusomesha wanafunzi wa O level na A level. 

Ilikuwa ni tarehe 5/5/2017 msaidizi wa mbunge huyo alianza kupiga simu kwenye baadhi ya shule akiwapa taarifa kwamba waandae taarifa za wanafunzi wanaosomeshwa na Wamarekani kwa kuwa wapo Singida na wanahitaji kuonana na wanafunzi wanaowafadhili, Ruben ananukuliwa akitoa maelekezo kwa walimu waandae hata taarifa za kupika ili kuwapooza wazungu wale maana mbunge ndio amemtuma awalete jimboni, mambo yalizidi Kuwa magumu baada ya walimu kusimama kidete na kudai hakuna mwanafunzi hata mmoja anayesomeshwa na ofisi ya mbunge hivyo wasingeingia kwenye mtego huo wa Udanganyifu, mfano ni mwalimu wa shule mojawapo alipiga simu kwa Mkurugenzi wa Halmashauri akimdokezo kuhusu mchezo huo wa mbunge Lazaro Nyalandu, Mkurugenzi aliwaonya walimu wasihusike na Udanganyifu huo.

Ruben akiambatana na wazungu 4 alifika shule ya Sekondari Ilongero mnamo siku ya Ijumaa tarehe 5/5/2017 na alionekana akiingia ofisini kwa walimu na kuzunguka zunguka shule hiyo akiwazuga wale wazungu na baadae waliondoka kuelekea Kijota kwa lengo hilohilo kutembelea wanafunzi hewa wanaosomeshwa kwa ufadhili wa wazungu hao, ni katika shule ya sekondari kijota Mkuu wa shule alipigwaa butwaa kusikia kwamba kuna wanafunzi wa shule yake wanasomeshwa na Mbunge kwa ufadhili wa wamarekani. "Hapa shuleni kwangu hakuna wanafunzi wanaosomeshwa na mbunge na hakuna taarifa za namna hiyo hapa shuleni kwangu " alisema mkuu huyo wa shule. 

Kwa taarifa za uhakika toka Idara ya Elimu ni kwamba hakuna mwanafunzi hata mmoja anayesomeshwa na Mbunge huyo wala na wafadhili hao, inawezekana wafadhili wanatoa fedha nyingi lakini haziwafikii walengwa.

Mbunge wa Singida kaskazini kwa muda mrefu amekuwa akilalamikiwa na wananchi kwa kuwadanganya kuwasomesha wanafunzi na amekuwa hafanyi hivyo, kuna kipindi aliorodhesha majina ya wanafunzi ambao wazazi hao hawana uwezo kwa ahadi ya kusomeshwa bure na hakuwahi kutekeleza badala yake wazazi walisubiri kwa matumaini bila mafanikio na baadhi ya wanafunzi walishindwa kuendelea na masomo. 

Wale wazungu wa Nyalandu waliondoka Singida siku ya Jumamosi kuelekea Arusha na ndio walewale walionekana kwenye picha za ajali ya wanafunzi wa *Lucky Vicent* waliopata ajali na kupoteza maisha.

ROSE Muhando Afunguka ya Moyoni Kuhusu Kutumia Madawa ya Kulevya..Adai Kuna Mtu Anamtishia Kumuua..!!!

$
0
0

MWANAMAMA Rose Muhando ni staa mkubwa wa Nyimbo za Injili Bongo. Rose ana sauti kali, lakini ya kuvutia watu, yenye kupenya vilivyo kwenye ngoma za masikio ya msikilizaji na kuibua hisia na msisimko wa aina yake.

Rose ambaye amezaliwa mwaka 1976 huko Kilosa mkoani Morogoro anajulikana kwa utunzi wa mashairi ya kumtukuza Mungu. Midundo ya nyimbo zake ni za kuchezeka kwenye ‘Disko la Yesu’.

Mbali na sifa hizo, pia ana uwezo mkubwa wa kumiliki jukwaa. Kubwa kuliko ni kwamba ana nyimbo nyingi zinazoimbika kwa watu wa rika mbalimbali bila kujali imani za kidini. Baadhi ya nyimbo zake ni Nibebe, Utamu wa Yesu, Jipange Sawasawa, Chineke, Sitanyamaza, Nipe Uvumilivu, Facebook na nyingine kibao.

KWA NINI ROSE?

Kinachonifanya kuandika makala haya ni mahojiano ya Gazeti la Ijumaa Wikienda na Rose wiki iliyopita ambayo yalijaa maswali mengi hasa nikitaka kujua ni kwa nini Rose amekuwa katika hali aliyokuwa nayo yenye kusikitisha mno?

Rose mwenye umri wa miaka 41 alilieleza Wikienda namna anavyotishiwa kuuawa na mtu aliyekuwa akimlazimisha kufanya mambo asiyoyataka na kwamba hali ni mbaya, akitamani kuhama nchi ili kuinusuru roho yake.

NI KWELI ROSE NI TEJA?

Lengo la mahojiano hayo lilikuwa ni kupata ukweli kuhusiana na skendo inayomtafuna Rose juu ya kuwa teja. Madai yalikuwa ni kwamba Rose anatumia madawa ya kulevya ambayo yamemfanya kuwa mgonjwa, kukongoroka na kudhoofu mwili kiasi cha kutokuwa na tofauti na mateja wengine mitaani.

AANGUA KILIO

Kabla ya kujibu swali hilo, mara tu baada ya Wikienda kujitambulisha, Rose alianza kuangua kilio kwa uchungu na sauti ya juu akilalamika kuwa anaumwa sana na ameshahangaika na maisha haya bila msaada wowote na kwamba ameshatumika sana kutajirisha watu.

Ili mahojiano hayo yafanyike kwa utulivu, ilibidi kumtuliza kwanza Rose aliyeonesha kuwa na jazba mno.

Baada ya kutulia kidogo huku akiendelea kulia kwa kwikwi na kuombwa kunyamaza kila dakika, aliulizwa kinachomsibu ambapo alisema kuwa, anateswa na Ugonjwa wa Typhoid (Homa ya Matumbo) na mwili kuuma na kukosa nguvu hivyo kujiuguza mwenyewe nyumbani kwake, Ipagala, nje kidogo ya Mji wa Dodoma bila msaada.

ATISHIWA KUUAWA

Rose akasema muda mrefu sasa amekuwa akitishiwa kuuawa huku akipokea kichapo cha polisi ambacho humsababisha kuzimia, kwa kile alichodai kukataa kulala kwa maana ya kufanya ngono na mtu huyo.

Kwa mujibu wa Rose, amefikia hapo alipo kwa sababu alikataa kutekeleza jambo hilo kwa kuwa mhusika ni mume wa mtu na kwamba hata kama angekuwa si mume wa mtu, lakini huwa hana muda na mambo hayo.

Rose, bila kumtaja mhusika, anasema kuna mtu aliwahi kumsaidia kuingia studio kurekodi baadhi ya albamu zake, kwa sharti la kulala naye, lakini alipokataa ndipo manyanyaso na vitisho dhidi yake kutoka kwa mtu huyo vikaanza.

ANYANG’ANYWA MALI

Kwa mujibu wa Rose, mtu huyo aliwahi kudiriki kumnyang’anya mali zake, yakiwemo magari na vitu vingine vya thamani.

Rose alikaririwa: “Kwa kuwa anafahamiana na polisi, wakuu wa vituo vya polisi na viongozi wa dini, inakuwa rahisi kunisingizia mambo mengi machafu.

“Situmii madawa ya kulevya na sitatumia. Kama aliona ndiyo skendo itakayo-nimaliza, najua atashindwa, anayefanya hivyo ni mtu anayetaka kunimaliza, alitaka niwe mtu wake wa ngono na kumfanyia kazi, nikakataa.

“Sijawahi kujiingiza kwenya madawa ya kulevya na anavyozungumza, nasikitika kwa sababu anaiumiza familia yangu kisaikolojia.

“Mimi ni mama wa watoto watatu (Gift, Nicolas na Maximilian) na nina ndugu zangu, nasingiziwa mambo hayo kwa sababu sina mtetezi lakini ni vyema akajua mtetezi wangu ni Mungu.

“Lakini hii yote ni kwa kuwa nimekataa kulala naye. Napigwa hadi nazimia, wanaume walinizalisha na kunitelekeza, wameniumiza sana, afadhali ningefanyiwa mambo hayo na wanawake wenzangu, sasa natishiwa kifo, natamani hata kuhama nchi, hivi kweli akiona ninaishi nchini Kenya, ndiyo furaha yake?

“Lakini Mungu yupo na mbingu zitafunguka. Amekuwa akinizushia maneno makali, wakati mwingine nashinda porini, nikitetea maisha yangu.

“Kiukweli nimechoka jamani, acheni nipumzike, lakini namuachia Mungu, mbingu zitafunguka.”

MASWALI SAKATA LA ROSE

Baada ya hayo ndipo yakaibuka maswali juu ya sakata la Rose. Kama Ijumaa Wikienda tukawa tunajiuliza;

Je, ni nani huyo mwenye ubavu wa kutishia kutoa uhai wa binadamu mwenzake, achilia mbali Rose ambaye ni staa mkubwa kwenye jamii? Ni kosa gani alilolitenda Rose ambalo adhabu yake ni kifo?

Je, sababu ni hiyo pekee ya kumkataa kimapenzi au kuna sababu nyingine? Na je, mwanamke kumkataa mwanaume adhabu yake ni kifo? Nani kasema? Anamtishia kivipi? Kwa simu? Uso kwa uso? Wakiwa wapi?

Rose anasema amechoka kupelekwa kwenye vituo vya polisi ambako huko huwa anapigwa hadi anazimia, je, ni vituo gani vya polisi vilivyomfanyia hivyo ambavyo anaogopa kuvitaja kwa usalama wake?

Mara kadhaa Rose amekuwa akiripotiwa akidaiwa kutapeli watu kwa kuchukua fedha kisha kuingia mitini na kushindwa kufika kwenye matamasha. Kuhusu hilo Rose anahoji mbona hawajawahi kumfikisha mahakamani na aka-hukumiwa kama siyo kumchafua? Kama ni kweli huwa anatapeli, ina maana kesi zote wahusika humsamehe au hazifikishwi mahakamani?

HAPA KUNA TATIZO

Hapa kuna tatizo kubwa ambalo Rose anapaswa kuwa wazi ili kupata ufumbuzi na kumfanya aishi kama binadamu wengine na siyo kukimbilia porini ili kunusuru roho yake kama anavyosema. Ikumbukwe kuwa kila binadamu ana haki ya kuishi na siyo kuwindwa.

RIPOTI Kamili Ya Mchungaji Aliyeoa Mke wa Muumini..Mengi Yafichuka...!!!

$
0
0

Tukio la Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo, Japhes Josephat kudaiwa kumuoa mke wa muumini wake kwa madai ya kuoteshwa na Mungu wake, ndiyo habari ya mjini ya kushangaza na Risasi linakupa ripoti kamili. Mtumishi huyo wa Mungu alifanya jambo hilo hivi karibuni kwenye Kijiji cha Ndama, Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera na kuushangaza umma kwani mwanamke aliyemuoa, Domina Damian ni mke halali wa muumini wa mchungaji huyo aliyefahamika kwa jina la Donath Appolo.

RISASI LACHIMBA

Kutokana na habari hiyo kuonesha kuvuta hisia za watu wengi, gazeti hili lilifika Kijiji cha Ndama kwa njia ya mtandao na kuzungumza na mchungaji mwenyewe pamoja na watu mbalimbali ambao walionesha kushangazwa na uamuzi wa ‘mchunga kondoo’ huyo huku mwenye mke akionesha kukubaliana na maono yake.

WADAKWA NA POLISI, WAACHIWA

Ilielezwa kuwa, Jeshi la Polisi wilayani Karagwe lilimkamata mchungaji huyo pamoja na wenzake wawili lakini baada ya kohojiwa waliachiwa kwani hakukuwa na mlalamikaji kufuatia mume wa Domina kubariki mtumishi huyo amchukue mkewe na yeye Mungu atamjaalia atapata mwingine.

WANANCHI WACHARUKA

Baada ya kubainika kuwa mtuhumiwa ameachiwa huru, wanakijiji wa Ndama waliweka kikao na kuazimia kuwa mchungaji huyo ahame kijiji chao kwani kawaaibisha. “Tuliiomba serikali kupitia mkuu wa wilaya kumhamisha mchungaji pale kijijini kwa sababu wananchi walikuwa wana hasira sana, waliona ni jambo la aibu ambalo haliwezi kuvumiliwa,” alisema mmoja wa wanakijiji aliyefahamika kwa jina la Johnson.

MWANAKIJIJI MWINGINE

“Tulipokea kwa mshangao sana tukio zima la mchungaji huyo pamoja na waumini wake, kwani tuliamini makanisa ya kilokole yanakataza maovu mbalimbali sasa inakuwaje mchungaji anamuoa mke wa muumini wake tena akiwa hai? “Watu wamehamaki sana, kama mkuu wa wilaya asingekuja naamini kungeweza kutokea jambo baya zaidi, watu walikuwa wana hasira sana kwa yale yaliyofanywa na mchungaji,” alisema Peter.

MCHUNGAJI AFUNGASHA VIRAGO

Kutokana na wanakijiji kuja juu, imeelezwa kuwa juzikati mchungaji huyo aliamua kufungasha virago vyake na kuhamia kijiji kingine ambacho hakiko mbali sana na sehemu aliyokuwa akitolea huduma.

ATEMWA UCHUNGAJI

Kwa mujibu wa mchungaji kiongozi wa   kanisa hilo, ngazi ya wilaya, Denis Bilalo mchungaji huyo licha ya kuhama eneo hilo pia wamemsimamisha kutoa huduma ya kiroho. “Sisi kama uongozi wa kanisa ngazi ya wilaya tumetengua uchungaji wake, kwa hiyo Japhes siyo mchungaji tena wa kanisa letu na hatakiwi kutoa tena huduma. “Kitendo alichokifanya ni kinyume na maandiko matakatifu, ni kinyume kabisa na mipango ya Mungu,” alisema kiongozi huyo.

DIWANI ATIA NENO

Diwani wa Kata ya Ndama, Edward Mpaka alikiri kutokea kwa tukio hilo na kudai ni jambo la kushangaza sana kwa kiongozi wa dini kufanya kitu kama hicho. “Ninachokiona mimi labda ni kupitiliza kwa imani lakini pia kuwepo kwa tatizo la kisaikolojia kwa wahusika kwa sababu haiwezekani mwenye mke akaunga mkono mkewe kuolewa. “Ushauri wangu kwa jamii ni kuwa makini na baadhi ya viongozi wa dini kwani hata
Biblia inatuambia kuwa manabii wa uongo watakuja,” alisema.

MSIKIE MCHUNGAJI Gazeti la Risasi Jumamosi lilifanya jitihada za kuwasiliana na mchungaji ‘aliyechafua hali ya hewa’, Japhes ambapo hakuwa na maneno mengi zaidi ya kusema kwamba kwake yameisha na anachofanya ni kusikiliza alichoambiwa na Mungu wake. “Sina wakati wa kuyazungumzia hayo sasa kwa sababu yameisha, kama hukupata nafasi ya kuwasikia wenzako basi, namsikiliza Mungu wangu,” alisema mchungaji huyo.

MCHUNGAJI ANA MKE NA WATOTO WATANO

Risasi limetonywa kuwa, mchungaji huyo aliwahi kuwa na mke ambaye alizaa naye watoto watano.

NDOA YA MUUMINI INA WANNE

Aidha, mke ambaye amemuoa kwa madai ya kuoteshwa ana watoto wanne kwa mumewe ambaye anaunga mkono maono ya mchungaji wake.

MAUAJI..Kada wa CCM Auawa kwa Kupigwa Risasi bele ya Familia Yake Mkoani Pwani ,Kibiti..!!!

$
0
0

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Bungu wilayani Kibiti, Alife Mtulia ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Onesmo Lyanga amesema mauaji hayo yamefanyika usiku wa kuamkia leo (Jumapili) katika Kijiji cha Nyambunda.

Amesema Mtulia aliuawa na watu hao alipokuwa anakwenda kuoga.Kamanda amesema mwili wa marehemu umepelekwa kituo cha afya cha Kibiti kwa uchunguzi.

Mauaji ya askari Polisi, viongozi wa Serikali za Mitaa na raia yamekuwa yakifanyika mara kwa mara katika wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani Pwani.

Jumanne wiki hii akiwasilisha bungeni bajeti ya wizara yake, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba aliliambia Bunge kuwa Serikali itaanzisha mkoa mpya wa kipolisi katika wilaya za Kibiti, Rufiji, Mkuranga na Mafia. Utaitwa mkoa wa kipolisi Rufiji.

LEMA Afunguka ya Moyoni Baada ya Nyalandu Kujihusisha na Ajali ya Wafunzi wa Shule ya Luck Vicent..!!!

$
0
0

Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Goodbless Lema amemshukuru Mbunge Lazaro Nyalandu kwa kufanikisha safari ya Marekani ya watoto watatu ambao walinusurika kifo katika ajali ya basi la shule ya Lucky Vicent iliyotokea Karatu na kusababisha vifo vya watu 35.

Mh. Nyalandu alikuwa bega kwa bega na kufuatilia kila hatua kuhakikisha watoto hao pamoja na wazazi wao na daktari wanasafiri kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kupata matibabu zaidi. 

"Mh Lazaro Nyalando , Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri ya kusaidia watoto waliopatwa na ajali hapa Arusha, jitihada zako Mungu atakulipa" alisema Godbless Lema 

MWANAMKE Ajioa Baada ya Kukosa Mchumba..!!!

$
0
0

Mwanamke mmoja ambaye anaugua saratani ya matiti amejioa mwenyewe baada ya kusubiri mchumba kwa muda mrefu.

May Chen mwenye umri wa miaka 28 kutoka Taiwan ameambia BBC kwamba anaugua ugonjwa huo lakini hajakubali sababu hiyo kuhujumu ndoto yake ya kuolewa.

''Nimekuwa nikisubiri mtu kujitokeza na kusema kwamba angependa kufunga ndoa nami mbali na kupiga picha za harusi nami aliambia BBC .

Anasema kwamba wakati unapohisi kwamba huna miaka mingi ya kuishi huna budi kujifanyia maswala ambayo yamekuwa ndoto yako.

Anasema kwamba ameamua kuafikia ndoto yake kupitia kupiga picha za harusi. Alijichagulia marinda yote manne na vito alivyovaa.

Anasema kuwa wapiga picha walimshauri kupiga picha katika studio lakini yeye akawaambia kwamba anataka picha sawa na zile za harusi.

Hivyobasi alikodisha gari na kwenda kupiga picha hizo katika maandhari ya harusi.

''Nilipovalia rinda la harusi nilijawa na hisia mpaka nikahisi kulia''.

Anasema kwamba alihisi kana kwamba ameafikia ndoto yake ya miaka mingi.

Kwa sababu yeye huugua saratani ya matiti hulazimika kwenda hospitali mara tatu kwa wiki ili kudungwa sindano mbali na kutibiwa kwa kutumia kemikali.

Anaongezea kwamba kwa muda mrefu hakuweza kusimama kwa miguu miwili na kuvaa suruali ndefu, ''nilikuwa nikitembea kwa kiti cha magurudumo''.

Anasema kwamba hakuweza kutembea na kwamba nywele alizo nazo sio nywele zake asilia.
Habari ya mwanamke huo imewagusa watu wengi ulimwenguni.

Anasema kwamba anatumia habari yake kuwapa moyo wanaougua kwamba maisha sio mabaya sana.
''Mbali na maisha na kifo mambo mengine yote ni madogo''.

Anasema kwamba watu wengi wanaougua huwa na wasiwasi wataishi kwa muda gani na lini watafariki ama iwapo matibabu wanayopata yanafanya kazi.

''Lakini mimi nawashauri kwamba usiwe na wasiwasi kwa sababu hujui, kwa hivyo kwa nini usijiliwaze''?

Chanzo - BBC
Viewing all 104808 articles
Browse latest View live


Latest Images