Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 109660 articles
Browse latest View live

Mke Wangu Alinipiga Kila Mara, Nilinyimwa Hata Lungula Wakati Mwingine

$
0
0



Ama kwa hakika ndoa hua rahisi kwa mtu ambaye hajawahi ingia kwenye ndoa. Kwa ufahamu wangu swala zima la ndoa ni ngumu sana haswa ukipata mpenzi asiyekuelewa kwa vyovyote vile ama aliye na kazi nzuri kukuliko wewe kama mume. 

Mapenzi huwa na mambo mbalimbali ambayo watu wengi huwa hawazungumzii kwa undani kwa kuogopa kuchekwa na marafiki wao wa karibu wao husahau kwamba wanapozungumza msaada unaweza kuja kwa wakati wowote. Kati yao nilikuwa mwadhiriwa.

 Niliishi na mke wangu Cate kwa furaha hadi wakti ambapo alianza kuninyorosha makonde nisijua hata pa kukimbilia kila usikua. Alikuwa ni mwanamke wa kiluhya ambaye mwili ulikuwa umemkubali ajabu. 

Alikuwa ni askari jela na mimi nilikuwa ni dalali wa kuuza maji mjini Kakamega. 

Marafiki zangu walinikataza wakati moja kwamba mwanamke yule angeniangisha lakini yote yalipata sikio la kufa. 

Mapenzi yalkikuwa yamenoga na hakuna chochote nilikuwa nasikia isipokuwa Cate.

Kila mara alipotoka kazini nalifika nyumbani na kuanza vurugu. Kwa vile nilikuwa na mwili mdogo alinizaba nisijue hata la kufanya kwa vile ningekimbilia kwa majirani wangenicheka na kuniita mwanaume bwege. Maisha yale ya ndondi yalikuwa yamenifikisha ukingoni na sikuwa na chochote cha kufanya kwani upendo wangu kwa mke wangu ulikuwa kwenye wimbi lingine. 

Wakati mwingine hata alininipa nguo zake nimfulie na hapo nilitilia maanani na kuzifua zikiwemo hata nguo zake za ndani. 

Wakati mwingine majirani walimsifia kuwa alikuwa keshapata mume mzuri ambapo kwa mara nyingi waliniona hata nikufua mavazi ya mke wangu bila hata ya uoga na nisingefanya vile usiku ule ningelala kwenye baridi kali. 

Mgeni alipoingia nyumbani mimi ndiye nilikuwa namwajibikia kupika chain a hata kumkaribisha nyumbani jambo lilikuwa kinyume na matarajio ya mila na desturi za waafrika. 

Ama kwa hakika Cate alikuwa amenikalia chapatti na sikuwa na lolote la kufanya ili kujikwamua kutoka kwenye minyororo ile kwa ajili ya mapenzi yangu kwake.
Jambo lililonikosesha usingizi kabisa ni mke wangu kuninyima hata haki yangu ya tendo la ndoa. Alikuwa samba na kila mara nilipomuuliza alifoika kweli na kichapo kingefuatia. 

Hali hii iliniweka mimi kuanza kutamani wanawake wa watu na hata wakati mwingine nilichukua hatua mikononi mwangu na kujitosheleza kwa kutumia sabuni na mafuta ya nywele kwani nilikuwa nimekumbwa na tama ya kula uroda. Sikuwa na nafasi hata ya kwenda kuona mpira na marafiki wangu kwani siku moja niliona cha mtema kuni aliponipiga kitutu niliporejea nyumbani nikiwa nimechelewa sababu ikiwa nilikuwa nimetoka kuangalia mchuano maridhawa kati ya Manchester united na Chelsea. Sitasahau siku ile kwani uso wangu ulijaa makovu ya ndondi alizoninyorosha. 

Siku moja nilimtembelea rafiki yangu Kanini na kumweleza shida nilizokuwa napitia kwenye ndoa ile. Hakusita na kusema yeye pia alikuwa na shida sampuli ile lakini daktari Kiwanga aliizika kwenye kaburi la sahau. 

Siku iliyofuatia nilifunga safari na kuelekea kwa daktari Kiwanga kwa ajili ya usaidizi. Niliilezea shida nikizokumbana nazo na bila ya kupoteza muda wowote alinishughulikia na hapo akaniruhusu nirejee nyumbani. Nilifahamu fika kwamba ningepigwa na mke wangu kwani nilikuwa nimechelewa kwani ilikuwa ni sa nne usiku nilipokuwa naingia kwenye nyumba.

Nilishangaa kwani alinifungulia mlango kwa upole na kunikaribisha. Aliniandalia maji ya kuonga na hapoi nilipotoka maliwatoni chakula chajio kilikuwa tayari. Alikuwa amevalia sketi fupi iliyonipa msukumo wa kumrukia na kuanza shughuli nzima. Ama kwa hakika daktari Kiwanga alikuwa kasha nipa mwamko mpya kwenye ndoa yangu. 

Baada ya chajio mapenzi yalinoga ajabu na hapo nilipata haki yangu ya ndoa na kutoa njaa ya miezi mine niliyokuwa nayo ya kushiriki uroda. Baadaye mke wangu aliniomba msamaha na maisha yetu yakawa ya kutamaniwa na majirani. 

Daktari Kiwanga ni mwanamitishamba ambaye ana uwezo wa kukabili azma za uchawi, mizozo ya kimapenzi kama niliyokuwa nayo, kuongeza nguvu za kiume na mengineyo. Anauwezo wa kutibu magonjwa kama vile ugonjwa wa kisukari, msukomo wa damu na kifafa kwa siku tatu pekee. 


Wasiliana naye kwa nambari ya simu +254 769404965, 

barua pepe kiwangadoctors@gmail.com 


Haya Mambo Yafuatayo Huwafanya Wanawake Wengi Kushindwa Kuingia Katika Ndoa (Kuolewa)

$
0
0


Pamoja na kuwa kuna wanawake husita kuolewa, lakini jambo hili si kubwa sana kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume. Kwa kiasi kikubwa katika suala la kutaka kuingia ndani ya ndoa, wanawake ni wengi ambao hutaka kufunga ndoa kuliko ilivyo kwa wanaume. Hilo tunaliona wazi tokana na shamra shamra awazo nazo mwanamke wakati wa maandalizi ya shughuli za Ndoa na Harusi.

Hata hivyo, kwa wale wanawake wachache ambao husuasua kuolewa hizi ni baadhi ya sababu zinazopelekea kusuasua huko. (Izingatiwe hii ni kwa wanawake ambao hawajawahi kuolewa kabisa)

Vigezo vilivyopitiliza viwango (hasa kwa muonekano)
Wanawake wengi hasa wa umri mdogo (lakini unatosha kuolewa) hutumia muda mwingi katika kuchagua aina ya mwanaume ambaye angependa awe mume wake. Wanawake hawa hujiamini zaidi na kusimamia sifa zile ambazo huamini ni muhimu mwanaume wa kumuoa awe nazo.  Vigezo hivyo huwa hata kwa misingi ya muonekano wa mwanaume huyo – kuna wale ambao hutaka mwanaume huyo wa kumuoa awe na sifa kama vile, mrefu, aliyejazia kifua, mtanashati, sauti nzuri n.k. Inaweza kuwa kama mzaha na ikaonekana ni kipengele kidogo sana lakini bado kuna wale ambao anaweza kuwa tayari kuolewa ila hataki sababu tu huyo mwanaume hafananii vile ambavyo yeye anataka mumewe awe.

Kutaka mwanaume tajiri
Kuna wanawake ambao tayari wameshajiwekea akilini kuwa hatakubali kuolewa na mwanaume yeyote yule ambaye hana pesa nyingi. Yupo tayari kuolewa ila si kwa mwanaume mwenye uwezo wa kawaida – hata ikitokea mwanaume ana uwezo kidogo wa kuweza kujitosheleza, yeye bado huona huyo mwanaume hamfai hadi pale tu atakapo pata yule ambaye anahisi ataishi maisha ya kifahari. Hivyo hukazana kusubiri na kujitahidi kuwinda aina ya mwanaume ambaye atakuwa na uwezo mkubwa, bila kujalisha kama huyo mwanaume kampita sana umri.

Kutompata Mwanaume Ampendae
Hili ni kama tu vile ilivyo kwa wanaume ambao huamini ndoa haiwezekani na haifai bali tu hadi pale umpatapo yule ambaye unampenda na unaamini anakupenda pia.  Wengi katika kundi hili huamini kuwa mafanikio ya ndoa kigezo kikubwa ni kupendana tu na mengine hufuata kwenye sababu ya upendo. Kuna wanawake vigezo vya mwanamme awe vipi havina umuhimu kabisa katika kutaka kuamua kuolewa. Yeye kikubwa anataka ampate mume ambaye atampenda kwa dhati na huku akiwa na matumaini kuwa huyo mume atampenda na yeye pia kwa dhati.  Huyu mwanamke anaamini msingi bora wa ndoa ni mapenzi ya dhati kati ya yeye na mmewe basi! Hana haraka hadi pale atakapompata mwanaume akampenda ndipo atakapokuwa tayari kuolewa.

Kuchagua mno Wanaume wa Kumuoa
Kuna wale wachache ambao akili hubadilika kama kinyonga; wasioridhika wala kujitambua ni nini wanataka ama mwanaume wa aina ipi wanataka. Akija wa mwenye uwezo atasema nataka wa kuchuma nae, akija asiye na uwezo atatoa sababu tu hata kama kumlaumu kuwa inaonyesha hajitumi kutafuta maendeleo. Akija wa kabila hii, atasema hapana hao wana tabia hii mimi siitaki! Yaani kwa ufupi ni mtu asiyeisha kutoa kasoro za wale ambao wanajitokeza kutaka kumuoa. Hatimaye inaweza tokea muda wa kuolewa ukapita na akaishia kupunguza uchunguzaji lakini ikiwa hata wanaume wa umri wa kufaa kumuoa kutokuwepo tena katika soko.

Kujiona ni mzuri sana
Kuna wanawake ambao ni kweli Mwenyezi Mungu kawajaalia uzuri hasa (uzuri wa muonekano), anakuwa ni mzuri kiasi kwamba wake kwa waume wote wanamkubali kwa uzuri huo na hata wote kumtamani. Hata hivyo hapo hapo kuna wale ambao huwa ni wazuri kawaida – ila kwa mtazamo wake hujiona ni mzuri mno hakuna mfano kama yeye; kitendo ambacho kwa wachache kwenye kundi hili hufanya kujiona yeye ni yeye na kuwa kwa yeyote kuwa na yeye huyo mtu anatakiwa atambue kuwa ana bahati sana. Kitendo hiki hukuza nyodo za hali ya juu ya mwanamke mwenye mtazamo huu, kiasi kwamba wanapojitokeza wanaume kutaka kuoa – anaweza onyesha tabia kama maringo, dharau na kiburi.

Kujiona ana Umri mdogo
Binti yeyote wa miaka 18 na kuendelea anaruhusiwa kuolewa endapo tu karidhia kuolewa. Wanawake wametofautiana mipangilio yao ya kimaisha, kuna wale akiwa katika umri wa kuolewa hutamani sana kuolewa na kuna wale ambao hupenda kuolewa wakiwa wakubwa zaidi. Katika kundi hili umri kuwa mdogo hutegemeana, kuna mwingine anakuwa na umri wa miaka 25 na bado akajiona mdogo na hali kuna mwingine anakuwa na miaka 20 na akajiona ni mkubwa na anafaa kuolewa. Hii pia ni kwa wanawake wale ambao huwa na malengo ya kutotaka kuharakisha katika ndoa. Anapokuwa na umri ambao anaweza kuolewa lakini yeye hayupo tayari kwa muda huo, huwa ni kikwazo kwake kuingia katika ndoa.

Maradhi hasa UKIMWI
Hili kama lilivyo kwa wanaume -  Pamoja na kuhamasishwa kwingi na wataalamu wa maradhi ya HIV/AIDS kuwa mtu hata ukiwa umeathirika unaweza kuwa na mahusiano na hata kuoa na kuwa na watoto; bado haisaidii sana kwa vijana wanaojitambua kuwa ni waathirika wakiwa bado ni wadogo, hawajaoa/olewa ama kuwahi kuwa na mtoto.  Wengi sana hukata tamaa na huona ni kheri kubaki walivyo kuliko kuingia katika ndoa, hasa tokana na imani kuwa wanawake wakizaa wakati ni waathirika; afya hudhoofika zaidi.

Kutaka maisha ya Tamthilia (Ndoa za kuishi kwa furaha milele)
Kutokana na kukua kwa idadi ya tamthilia nyingi ambazo huonyesha maisha ya kimagharibi zaidi; kumekuwa na dhana kwa baadhi ya wanawake kutaka hayo maisha ya tamthilia yawe na kwao pia. Hilo linafanya vigezo ambavyo mwanamke huyo anatumia kuchagua ama kukubali mwanaume kumuoa kutotimiza yale ambayo yeye binafsi anatarajia.  Wengi hushindwa kutambua kuwa hakuna maisha ya furaha milele, na hasa kuwa maisha ya maigizo yapaswa kuchanganya na zako kuweza kufanya maamuzi ya kipi kiigwe na kipi kiachwe kama kilivyo.

Kuona taasisi ya Ndoa kama Utumwa
Mtazamo huu kwa wanawake wenye msimamo huu, huchangiwa na baadhi kama haya:
- Usomi: Aina ya usomi ambao hupelekea kwa baadhi kuwa na tafsiri tofauti juu ya ndoa, haki, majukumu na mengine mengi.
- Kushuhudia ndoa mbovu: Hii inaweza kuwa ya wazazi/walezi wake wenyewe (pengine mama aliteswa sana), na hata ndugu wa karibu kama vile kushuhudia kila ndoa ya ndugu yake anayoijua mwanamke huishi kwa mateso, manyanyaso na maisha ya taabu na kuonewa.
- Kuwa na uwezo sana wa kujitosheleza ambao unaweza kumtimizia na kufanya lolote lile ambalo anataka katika maisha. Kwake kuwa na mwanaume kama mume kwake anaona kama ni utumwa.

Kutokuwa kabisa na mshipa wa hisia za kufanya mapenzi
Kuna wanawake wale wachache waliozaliwa hivyo. Hawana hisia yoyote ile ya kimwili ya kuweza kupata hisia za kuweza kujisikia ama kutamani kufanya mapenzi. Wengi wa aina hii ya wanawake huwa ni waoga sana wa kuwa karibu na mwanaume, na kwa wale ambao wamewahi hata jaribu baadhi huona kama kitendo cha ndoa ni kero, unyanyasaji na uchafu.  Hivyo wazo la kuwa akiolewa anatarajia kufanya kitendo cha ndoa mara kwa mara kinamvunja kabisa hamu ya kutaka kuolewa.


Familia Wafunguka Kuhusu Picha Aliyopost Profesor Jay "Ilipostiwa Kwa Bahati Mbaya"

$
0
0

Saa chache zilizopita kwenye ukurasa wa Instagram wa Mkongwe wa Bongofleva Profesa Jay @professorjaytz upande wa Insta story kulipostiwa picha yake akionekana na Mke wake wakihojiwa kwenye red carpet, kitendo kilichoamsha furaha ya Mashabiki wengi kuona Mkali huyo ameimarika kiafya na wengine kuamini ameanza kuhudhuria matukio mbalimbali.

Msemaji wa Familia ya Haule @blackchatta aliyepatikana kuzungumzia hilo ameiambia AyoTV kuwa ni kweli post hiyo (ipo kwenye swipe) ilichapishwa na Profesa Jay mwenyewe lakini kwa bahati mbaya kwa sababu anatumia simu zake zote kwa sasa na huwa anaingia kwenye mitandao kuperuzi japo hajawahi kupost chochote toka January 23 2022.

“Anatumia simu zake zote sasa hivi na anaingia kwenye social media, anasoma anaona matukio yote lakini mambo ya kupost haya kwa sasa bado, anaruhusiwa kutumia simu kuangalia vitu, ile ni picha ya siku nyingi alipost kwa bahati mbaya iliteleza kwenye mikono yake lakini yuko fresh tunamshukuru Mungu”

“Watu wasiwe na hofu kama tuliyokuwa nayo mwanzo sasa hivi yupo nyumbani anaendelea na mazoezi” ——— amemalizia @blackchatta

Mwimbaji Jay Melody Apanic Baada ya Kupewa Makavu na Shabiki Kisa Kuimba Amapiano

$
0
0


Umekuwa ni muendelezo wa mastaa wa Bongo siku hizi kuwa na majibu makali kwa watu wanaocomment kwenye post zao hata kama Comments hizo ziko positive kwenye upande wa kushauri. Jay Melody amejikuta anapaniki baada ya shabiki wa muziki wake kumpa ushauri kuhusu wimbo wake mpya alioutoa aina ya Amapiano unaoitwa #achawivu

Shabiki huyo amemtaka Jay Melody kustick kwenye aina ya muziki ambao amekuwa akiufanya siku zote ambao umempatia hadi hits kadhaa kuliko kufanya amapiano ambazo si aina yake ya muziki na uwenda ni Marioo ndiye msanii pekee anaye upatia zaidi muziki huo. Jay Melody ameishia kutukana kwamba Amapiano yake sio Amapiano ya bwana ake na shabiki (Marioo), na uwa hapangiwi nini cha kufanya.

“Hii ni experience mpya so usipagawe, Amapiano kafanya Burna Boy, Diamond, Mbosso, Nandy, Damian Sol so huu sio mziki wa huyo bwana ako kwahiyo kaa kwa kutulia, pia hakuna mtu ananipangia wimbo wa kutoa hivo” Jay

Ifike hatua mastaa wa Bongo waache utoto kuona ni sifa kuwajibu watu hovyo na kutaka sifa za kinafiki, usifiwe wimbo mzuri, nyuma yako watu wanadiss. mtu anafuatilia kazi zako na ndiye huyo huyo ukiwa kwenye media unamtaka hasiache kukusupport, ifike hatua mastaa waache kuziona zaidi roho mbaya kwenye mawazo ya watu kuliko kuuona wema kwenye hayo mawazo, shabiki kashauri vizuri tu,jamaa anapaniki na kinacho muuma zaidi ni kuona msanii mwenzie ndiye kapendekezwa kwenye hiyo midundo, lazima akubali hawawezi fanana.

Jay Melody sikiliza watu, ushauri sio lazima uuchukue, bora uachane nao kimya kimya kuliko kuonyesha uwezo wako wa kufikiri ulivyo kwenye public, Hits Tatu zisikufanye ujione umeikamilisha safari, shabiki ana nia njema na wewe kuona unatengeneza utawala wako.🚮


Offer ya Viwanja, Bunju B na Mapinga, Bei Rahisi

$
0
0

 


Ofa ofa ofa...

Tunauza Viwanja bunju mwisho upande wa Mapinga km 4 kutoka main road.kwa sh 12000 tu kwa2 sqm moja sawa na sh 4,800,000 kwa kiwanja cha 20/20

Wahi haraka sana upate kiwanja na ujenge.

Piga simu namba 0758603077 kwa Maelekezo zaidi


Note: Kuja kuona Viwanja ni Bure kabisa



UZA, inalipa! E-commerce company launches product to boost youth entrepreneurship

$
0
0

Inalipa (https://www.inalipainc.com) today launched a new innovative product that promises to be a much needed tool to reduce youth unemployment.


inalipa is a prominent e-commerce company based in Tanzania that has gained accolades across Africa for its mission to build a new route to market for consumer FMCG goods in Africa. inalipa is one of the few Tanzanian companies to attract international investment from renowned venture capital firms backing the most promising technology businesses.


The core vision of inalipa is to see an Africa where large consumer goods brands can easily access and supply the market, get valuable data and insight and have better visibility of their customers.


inalipa believes that MSMEs, small retailers and Dukas are critical stakeholders in the development of the retail sector.


Today, inalipa launched uza, a novel sales app that allows anyone to register and be their own boss by selling consumer goods in wholesale. uza is an exciting product which provides instant rewards to its users, has a competitive leaderboard for sellers to earn prizes and more.


"We believe in the power of young people to drive Tanzania's development and lead us into the future. We have a million young people enter the job market every year. Smart, capable and entrepreneurial but not provided the right support to earn an income for themselves. uza is our answer to this and we believe that it can be transformational for the sector " says Hafiz Juma, CEO of inalipa.


inalipa adds uza to their existing product suite of inalipa JUMLA a wholesale e-commerce app and inalipa an e-commerce app for end consumers.


With the innovation of companies like inalipa, the future is bright for Tanzania's youth. 








Kampuni ya biashara mtandaoni ya inalipa yazindua programu ya UZA kukuza ujasiriamali kwa vijana


Kampuni ya biashara mtandaoni ya Inalipa (https://www.inalipainc.com) leo imezindua programu mpya ya kibunifu ya uza ambayo inatazamiwa kuwa chombo kinachohitajika sana kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana. 


Inalipa ni kampuni maarufu ya biashara mtandaoni iliyopo nchini Tanzania ambayo imefanikiwa kupata sifa toka pande zote Afrika kwa dhamira yake kujenga mfumo mpya na bora kufikia soko la bidhaa mbalimbali ndani ya Africa. Inalipa ni moja ya kampuni chache za kitanzania zilizoweza kuvutia uwekezaji wa kimataifa kutoka kampuni maarufu za uwekezaji wa ubia unaolenga kampuni zenye muelekeo chanya kiteknolojia. 


Dira ya msingi ya inalipa ni kuona Afrika ambayo kampuni kubwa za bidhaa za walaji zinapata urahisi wa kusambaza bidhaa katika soko, kupata taarifa muhimu ambazo zitawasaidia kuwa na ufahamu mzuri wa wateja wao. 


Inalipa inaamini wauzaji wa kati, wauzaji wadogo na maduka ni wadau muhimu katika maendeleo ya sekta ya rejareja. 


Leo inalipa imezindua uza, ambayo ni programu (app) ya mauzo ambayo inaruhusu mtu yeyote kujiunga na kuwa bosi binafsi kwa kuuza bidhaa kwa jumla. Uza ni bidhaa yenye mfumo wa kusisimua ambao unatoa zawadi za papo hapo kwa watumiaji wake, ina ubao utakaoonyesha msimamo wa wanaoongoza wenye ushindani kwa wauzaji kupata zawadi na zaidi. 


“Tunaamini katika nguvu ya vijana kuendesha maendeleo ya Tanzania na kutuongoza kwa siku za usoni. Tuna vijana milioni moja wanaohitimu na kuingia katika soko la ajira kila mwaka. Vijana hawa wana uwezo wa ujasiriamali ila hawana usaidizi unaofaa kujipatia kipato. Uza ni jibu letu katika hili na tunaamini italeta mapinduzi katika sekta” amesema Hafiz Juma, CEO wa inalipa. 


Inalipa inaongeza uza katika kundi la bidhaa zao ambazo ni pamoja na inalipa JUMLA ambayo ni programu (app) inayohusika na mauzo ya bidhaa za jumla na inalipa ambayo ni programu (app) ya biashara ya mtandaoni ya bidhaa za rejareja kwa walaji. 


Kwa ubunifu wa makampuni kama inalipa, kuna uelekeo mzuri wa mustakabali wa siku za usoni kwa vijana wa Tanzania. 




















Meneja wa Bidhaaa Bertha Shao na Mwenyeji Millard Ayo wakizungumza na wanahabari/Product Manager Bertha Shao and Host Millard Ayo speaking to the press


A picture containing text, person, person, indoor  Description automatically generated

Mkurugenzi Mkuu Hafiz Juma akiongea na wageni/CEO Hafiz Juma speaking to guests


Meneja wa Bidhaa Bertha Shao akielezea jinsi aplikesheni ya uza inafanya kazi/Product Manager Bertha Shao presenting how uza works


Mweneyeji Frederick Bundala akiongea na wanahabari/Host Frederick Bundala speaking with the press



Zitto Kabwe: Hatujafunga ndoa na CCM

$
0
0


KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameeleza kuwa chama hicho ni tofauti na Chama Cha Mapinduzi (CCM), pamoja na vyama vingine vya siasa vya upinzani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Mwanasiasa huyo ametoa kauli hiyo katika mahojiano yake na Kituo cha Televisheni cha ITV, yaliyorushwa mubashara jana Jumatatu kuhusu madai ya ACT-Wazalendo kuwa mshirika wa CCM.

“Kwenye siasa kuna mitizamo tofauti na ni wajibu wa chama kuhakikisha kinasimamia yale malengo ambayo kinataka kuyafikia, sisi ni tofauti na CCM, Chadema, CUF na vyama vingine vyote. Tunafanya siasa zetu kwa mujibu wa maamuzi yetu. Kama kuna mtu ambaye anatutazama kwa hivi unavyosema ni mtizamo wake na sisi ni wajibu wetu kumuonyesha hapana sisi tuko tofauti,” alisema Zitto.

Katika hatua nyingine, Zitto alisema ACT-Wazalendo hakina mgogoro na chama chochote cha siasa nchini, na kwamba wanachama na viongozi wake wanajibu hoja za wanachama wa chama kingine, pale ambapo shabaha na malengo ya chama chao yanapoingiliwa.


“Kama utaona kuna mahala ambako wanachama wetu wanajibizana na wanachama au viongozi wa chama kingine, ni pale ambapo tumechokozwa au tunaingiliwa kwenye shabaha na malengoi yetu. Lazima tuheshimu kwamba kuna njia tofauti za kufanya siasa na tukiheshimiana naamini hawataona ugomvi na majibizano yanayotokea. Tatizo linatokea pale ambapo mtu mmoja anavyotaka wengine wamfuate, hiyo siyo demokrasia,” alisema Zitto.

Alipoulizwa kwamba ACT-Wazalendo kinatofautiana vipi na vyama vingine vya siasa, Zitto alijibu “jambo kubwa ninaloliona ni tofauti na vyama vingine na inanifanya nishawishi watu wengine wajiunge kwenye chama ambacho kinabeba matumaini ya Watanzania, ni uwezo wetu wa kuangalia mbele na kutoka kwenye siasa za kulalamika kwenda kwenye siasa za kuibua masuala na mapendekezo ya kuyatatua.”

Aidha, Zitto amesema chama chake kinaendelea kukua kwa kasi, huku akijigamba kuwa kina nguvu Tanzania Bara na Zanzibar.


“Tuna chama ambacho kinakua kwa kasi, kinapata wanachama wengi, kinaimarika kitaasisi, ni chama ambacho kina nguvu pande zote mbili katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, upande wa Tanganyika na Zanzibar. Chama ambacho kina viongozi mahiri ambao wamesambaa pande zote,” alisema Zitto.

Dharau Yaiponza Yanga...Yachezea Kichapo Kutoka Timu ya IHEFU..Rekodi Yavunjwa

$
0
0



HATIMAE klabu ya Ihefu imevunja rekodi ya Yanga ya kutokufungwa katika mechi ya 50 kwenye mechi za ligi kuu Tanzania bara baada ya kufungwa kwa mabao 2-1, mchezo ambao ulipigwa Mbarali mkoani Mbeya.

Yanga Sc ilianza kupata bao kupitia kwa Yannick Bangala kabla ya Never Tigere kusawazisha kwa kupiga mpira wa adhabu uliomshinda kipa wa Yanga na kutinga nyavuni moja kwa moja.

Bao la pili Ihefu Fc limefungwa na Kissu na kufanya matokeo kuwa 2-1.

Ewe Mwanamke Hekima na Unyenyekevu Vitakayokusaidia Kuolewa Mapema, Kiburi na Ujuaji Utaishia Kuwa Nungayembe

$
0
0

 


Kama ndoto zako ni kuolewa na mwanaume wa ndoto zako basi unatakiwa kujifunza kuwa lugha nzuri kwa watu wanaokuzunguka. 


Unatakiwa kuwa na lugha nzuri kwa sababu wapo baadhi ya watu humtasfiri mtu kutokana na kile amabacho unakizungumza. 


Wanaume wengi hushusha thamani ya mwanamke hususani suala la mwanamke huyu kutamka matusi mengi kwenye kinywa chake. 


Hivyo ikiwa una nia njema ya kutaka kuolewa unapaswa kuwa na heshima sana hususani kwenye suala la uzungumzaji. 


Ijenge thamani zaidi kwa kuzungumza lugha yenye kukujengenea taswira chanya kwa wale wanakusikiliza.  


Jifunze kuwa mnyenyekevu kwenye suala la kuzungumza, lugha yako nzuri ndiyo itakayowafanya watu wengine waone thamani yako. 

Hakika Kiburi na Ujuaji Utaishia Kuwa Nungayembe wakupigwa na kusepa

DIAMOND kumsaidia ANJELLA? BABA LEVO aahidi hili kutimia '''Lazima atamsaidia ANJELLA''

$
0
0




 DIAMOND kumsaidia ANJELLA? BABA LEVO aahidi hili kutimia '''Lazima atamsaidia ANJELLA''

VIDEO:

Idriss Sultan Hakumhonga WEMA Sepetu Pesa Alizoshinda Big Brother Africa..Zilipotea Hivi

$
0
0

 


Baada ya Idris Sultan kushinda Big Brother, alizawadiwa zaidi ya Million 600.


Wengi walitegemea Idris atafanya jambo la maana kupitia pesa hiyo, lakini ukweli ni kwamba hakufanya lolote la maana zaidi ya kununua Gari la Million 30.


Hela nyingine zilipotea kwenye mazingira ya kutatanisha, Alijaribu kifungua biashara lakini hazikuzaa matunda, hivyo ndani ya muda mfupi jamaa akaishiwa hela kabisa, akakosa mpaka hela ya kodi na akaanza kutangatanga hapa Dar.


Alipata ahueni baada ya Ruge kumpa Ajira, kisha akajiongeza akatafuta Kampuni moja ambayo alifanya nayo Patnership ya kufungua biashara ya viatu.


Note: Idris hakuishiwa hela kisa kumhonga Wema bali ziliisha alipokuwa akijaribu kuwekeza kwenye biashara ambazo hazikuzaa matunda.

By Hopetyga

CCM yachukizwa na udhalilishaji wa Heche

$
0
0


CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimelaani vikali kitendo cha Mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kuonekana katika video katika Mitandao ya kijamii akimnyima fursa ya kufanya kazi mwananchi moja kwa sababu alikuwa amevaa fulana ya CCM na kusema tukio hilo ni kuvuja katiba ya nchi.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma ambapo amesema tukio hilo licha ya kuvunja katiba linarudisha nyuma juhudi za Rais Samia na viongozi wa vyama vya siasa katika kuleta maridhiano na kusema vyombo vya Dola vinapaswa kumshughulikia.

Kauli ya Shaka imekuja baada ya ‘video clip’ baada ya kusambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyomuhusisha mwanachama wa Chadema Mwalimu Chacha Heche kaka wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema John Heche dhidi ya mzee mmoja mkoani Mara.

Video hiyo inamuonyesha Chacha akimlazimisha mzee huyo kuvua fulana yenye nembo ya CCM aliyoivaa kwa mapenzi yake binafsi.


“Kijana huyo ameonekana akimtweza na kumlazimisha kuvua fulana hiyo ya CCM ili kuweza kumpa ajira mzee huyo na asipofanya hivyo basi angemfukuza, kitendo hicho ni ukiukwajji wa haki za binadamu na uhuru wa mtanzania kuamini katika itikadi aitakayo ya chama cha siasa kwa mjuibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 3 (1) na Ibara ya 20 (1) na sheria namba 5 ya vyama vya siasa na marekebisho yake ya mwaka 2018.”Amesema Shaka

Shirikisho la Soka Nchini Ureno Kuwasilisha Ushahidi Ronaldo Ndio Aliyefunga Goli

$
0
0

Shirikisho la Soka Nchini Ureno linapanga kuwasilisha ushahidi unaoonesha kuwa Cristiano Ronaldo aliugusa mpira wa krosi wa Bruno Fernandes uliozaa bao la uongozi katika ushindi wa 2-0 katika mchezo wa duru ya pili ya hatua ya makundi dhidi ya Uruguay.

Mwanaharakati Aliyevamia Uwanja Qatar na Bendera ya Ushoga Kufukuzwa Nchini Humo

$
0
0

Mwanaharakati aliyevamia Uwanja wakati wa mechi kati ya Ureno na Uruguay hatochukuliwa hatua za kisheria bali anafukuzwa Qatar.

Mario Ferri (35)aliingia kwenye Uwanja wa Lusail jana huku akipunga bendera yenye rangi za upinde wa mvua.

Mafuta ya Kuvuta Pesa za Majini au Jini wa Utajiri (Money Drawing Oil)

$
0
0


Haya ni mafuta Mapya kutoka Kampuni inayoshughulika kutengeneza Vifaa mbalimbali vya Nguvu za Asili na Za Kimiujiza vyenye uwezo mkubwa wa kumsaidia Binadamu kufikia malengo yake yawe Hasi ama Chanya

Wanaitwa Lord's Divine wanapatikana Katika Maktaba Kuu kwenye baadhi ya Nchi 14 Duniani Kwa Uchache sana Africa

Kazi ya mafuta haya ni Nyingi ila Nitaanisha baadhi kwa Uchache..

👉kuwa na uwezo wa kuvuta Pesa kwa wingi na hivyo kuweza kukupatia Utajiri kwa haraka

👉Kukufanya uwe MVUTO na BAHATI kubwa sana ktk kila jambo lako utakalofanya linafanikiwa

👉Kukufanya uwe na mvuto na heshima kubwa katika Kazi, Kwa Wachungaji, Wanasiasa, Wasanii, au Mtu yoyote Maarufu

Kwa wanayoyafahamu wanajua faida zake. Haya ni mafuta yanayotumiwa sana katika kuvuta pesa za majini ama kuita Jini wa Utajiri. Ni mafuta yenye kazi nyingi za umuhimu na kimaendeleo, shida ni kwamba hayapatikani kiurahisi sana kwa ajili ya umuhimu wake na mafanikio yake..

MATUMIZI YAKE KWA WALE WANAOTAKA PESA ZA MAJINI :

Andaa Chumba ( Kisiwe na Vitu Vingi)Tafuta kitambaa cheupe mita moja kitandike katikati ya sakafu ndani ya chumba, kisha nyunyuzia Poda katika kitambaa chote.
Chukua Noti ya Pesa ya nchi yoyote iweke katikati ya kitambaa hicho
Dondosha tone moja la mafuta ya Shantar
Washa mshumaa warangi ya njano mbele ya kitambaa hicho.
Nuwia ukitakacho huku ukiwa umefumba macho takribani dakika 10 kisha fumbua Toka Nje Kisha Baada ya.... KWA MAELEKEZO YA ZAIDI TAFADHALI TUWASILIANE

Pia Dr Mfumu Anatoa LIMBWATA -- MRUDISHE MPENZI WAKO NDANI YA MASAA 6 TU
NGUVU ZA KIUME
Zindiko ya Nyumba/ Kinga ya Mwili
Hurudisha Mali zilizopotea au Kutapeliwa(Nyumba, Viwanja Gari Pesa nk.
Magonjwa Sugu, Kisukari, UTI sugu, Miguu Kufa Ganzi...
Njoo Umuone dr Mfumu na Ujue yanayo Kusibu... Tiba Ni Kwa Dini na Imani Zote..
Kwa mahaitaji ya mafuta haya piga ☎️ +255 743 746 397

Muigizaji Mzee wa Squid Game Ashtakiwa kwa Unyanyasaji wa Kingono

$
0
0


Muigizaji wa Squid Game, O Yeong-su amefunguliwa mashtaka ya unyanyasaji wa kingono kitendo alichofanya mwaka 2017.

Mwendesha mashtaka wa Korea Kusini amesema kuwa, O Yeong-su mwenye umri wa miaka 78 anatuhumiwa kwa kumgusa isivyofaa mwanamke mmoja mwaka 2017.

O Yeong-su mwezi Januari alitangazwa kama Mkorea Kusini wa kwanza kutwaa tuzo ya Golden Globe.

ODDS za Leo Meridianbet ziko kama Hivi

$
0
0

 

Ni siku nyingine tena ya kushuhudia mbungi ikipigwa kwenye viwanja mbalimbali Qatar, ni mechi za kufunga mwezi Novemba na kuukaribisha mwezi wa Sikukuu Desemba. Jumatano tulivu ya kumtazama Kylian Mbappe, Messi na Robert Lewandowsk,pia ni Alhamis njema kabisa ya kuziona Ubelgiji, Hispania, Ujerumani na Croatia zikitoa burudani ya mocho na roho. Usiwe nyuma burudika ukibeti Meridianbet.



                                                           Jumatano 30 Novemba 2022


Unaweza kusema kwamba imeisha kwa Ufaransa ambayo ndio timu ya kwanza kufuzu hatua ya 16 bora, ila haijaisha kwa Tunisia ambaye anahitaji ushindi ili afuzu, hap ani patamu sana lolote linawezekana kwenye mpira wa miguu. Jambo ni moja nataka nikwambie sehemu salama na rahisi kubeti ni Meridian ambao wanakupa ODDS kubwa kabisa na machaguo special ya kila aina chungulia hapa.


Robert Lewandowsk atakuwa na jukumu la kuibakiza Poland kwenye kombe la dunia pale ambapo watakutana na Argentina ambao hakuna namna wanahitaji ushindi tu ili kufuzu, endapo Argentina atatoa sare na Saudi Arabia akishinda dhidi ya Mexico, itakuwa ni mwisho wa kumuona Messi kwenye michuano hiyo, unadhani Poland vs Argentina itakuaje, Beti na kitochi Meridianbet. Kuona odds kubwa na bomba kutoka machaguo special bofya hapa.


Machaguo special ya kombe la dunia yatakuwa na machaguo mengi Zaidi kwenye mechi zote, haswa pale ambapo Australia atakipiga na Denmark, unaweza kubeti idadi ya pasi, nani atatoa pasi ya goli, mchezaji gani atatangulia kufunga, kona zitakuwa ngapi kwenye mchezo. Ukiamua kubeti kipindi cha kwanza hakuna kadi yeyote ya njano itakayotolewa kwa timu yeyote, ina ODDS ya 3.52 na kama zitatoka kadi tatu ina 7.09, kufahamu zaidi mchanganuo wa machaguo special bonyeza hapa.


Alhamis 01 Desemba 2022

Ni Alhamis ya kwanza ya mwezi Desemba ni mwisho wa mwaka huu, hii ni siku yenye mechi kubwa kwa sababu inakutanisha miamba yenye rekodi nzuri kombe la dunia, ni Ubelgiji ambao mwaka 2018 waliishia nusu fainali, wanakutana na Croatia waliocheza fainali za WC mwaka 2018 na kupoteza dhidi ya Ufaransa.


Meridianbet wanakupa nafasi ya kuchagua ni timu gani kati ya hizi zitafika nusu fainali au hata fainali na kuchukua kabisa. Ukibeti kama Croatia watakuwa wa miwsho kupata goli ina ODDS ya 2.04 huku Ubelgiji akiwa na 2.03 wakati sare tu ina ODDS ya 10. Hii ni hela kabisa mtu wangu usikubali ikupite. Bonyeza hapa kubeti.


Hispania nao wenye damu changa, watakipiga na Japan ambao wapo moto sana, Hispania huenda wakaiona gemu hii ni daraja la kuwapatia alama 3 muhimu ambazo zitawafanya kuendelea kuwa sehemu salama Zaidi, Unahisi Japan atakubali kuwa daraja la kumpitisha Hispania? Majibu yaweke pale Meridianbet ni rahisi sanabofya hapa utafurahi na roho yako. 

Ujerumani wana wakati mgumu sana, lakini timu kubwa hufanya mambo makubwa muda wowote, watashuka dimbani kukipiga na Costa Rica, ili Ujerumani afuzu hatua ya 16 bora atahitaji kushinda na si vinginevyo. Huu mchezo unaupa matokeo gani, meridianbet wana machaguo special ambayo yatakurahisishia kazi yako y kubeti, Tazama hapa, na kama huna bando unaweza kubeti na kitochi ni rahisi piga *149*10#


Je wewe hucheza Kasino Mtandaoni na umekuwa ukijiuliza ni mchezo gani rahisi na mzuri kwa ushindi? Basi Usihangaike Aviator ni rahisi zaidi kucheza na kushinda, kingine cha zaidi ni kwamba Aviator Bonanza imerudi tena cheza zaidi ujiweke kwenye nafasi ya kushinda Samsung A23.


CHEZA HAPA


Senegal yafuzu 16 bora Kombe la Dunia

$
0
0



YAMETIMIA!! Baada ya takribani miaka 20, hatimaye Senegal imefuzu hatua ya 16 bora ya mashindano ya Kombe la Dunia, kufuatiwa ushindi wa mabao 2-1 waliopata dhidi ya Ecuador. Imekuwa timu ya kwanza Afrika kutinga hatua hiyo.

Mwaka 2002 Senegal ikiwa chini ya kocha mfaransa, Bruno Metsu walipita hatua hiyo hadi robo fainali na kupoteza mchezo bao 1-0 dhidi ya Uturuki, bao lililofungwa na Ilhan Mansiz mturuki mzaliwa wa Ujerumani.

Mabao ya Senegal yamefungwa na Ismail Sarr kwa penalty na Koulid Koulibaly kwa akiunganisha mpira wa kona. Wakati bao la Ecuador likifungwa na Moise Caicedo kiungo kutoka Brighton Hove Albion ya England.

Kuanzia Kombe la Dunia la mwaka 2006 mpaka 2014, Senegal haikupata nafasi ya kufuzu, 2018 ilifuzu na kuishia hatua ya makundi, ambapo katika kundi H, Senegal ilipangwa na Colombia, Poland na Japan, na Senegal kumaliza akiwa na pointi nne.

Baada ya Senegal sasa, timu nne zimebaki kutoka Afrika, Morocco ambao wako kundi F wakiwa na pointi nne, sawa na vinara wa kundi hilo, Croatia, wengine ni Ghana mwenye pointi tatu katika kundi H, Ureno wakiongoza kwa pointi sita.

Kundi G Cameroon wana pointi moja, mchezo wa mwisho wanamaliza na Brazil, Tunisia wana pointi moja mchezo wa mwisho wanamaliza na Ufaransa


Mwanamuziki na Rekodi Hii Mpya...Aingiza Bilioni 3 Kwenye Show Moja

$
0
0




 Hakika Burna Boy ni habari nyingine.. na hilo analithibitisha mwenyewe, hii ni baada ya #BloombergMarket kuitaja show yake aliyolifanya Jijini New York, nchini Marekani mwezi Aprili mwaka huu, katika ukumbi wa Madison Square Garden, unaoingiza takribani watu elfu 20,789 iliingiza zaidi ya Bilioni 3.7 za Kitanzania kupitia mauzo ya Tiketi.


Burna Boy ama “African giant” aliweka rekodi ya kuwa mwanamuziki wa kwanza toka Nigeria na Afrika kwa ujumla kuuza tiketi zote (sold out) za show hiyo aliyoiita ‘One Night In Space’ ambapo aliungana na wanamuziki wengine Duniani waliowahi kufanya hivyo katika ukumbi huo kama Michael Jackson, Elvis Presley, The Beatles, Adele, Rihanna, Jay-Z, Justin Bieber na Mariah Carey.


Fahamu, Burna Boy alitumia zaidi ya saa 3 akiwa jukwaani pamoja na band yake kwa kutoa burudani iliyokata kiu ya mashabiki waliokuwa wakiimba nae mwanzo mwisho kwenye show hiyo.


Zifahamu Faida 6 za Juisi ya Tangawizi, Halafu Nenda Kajaribu Uone Ajabu Yake..!!!

$
0
0

Tangawizi ni kati ya viungo mahili vinavyochochea ladha nzuri katika vyakula vya aina mbalimbali na hivyo kuwavutia walaji kula chakula husika.

Tangawizi pia inapowekwa kwenye vyakula vigumu kama nyama huifanya ilainike na hivyo kuweza kuiva kwa haraka zaidi.

Leo nataka kukueleza msomaji wangu kuhusu hizi faida nyingine za kutumia juisi ya tangawizi kama ifuatavyo:-

1. Hutumika kama kituliza maumivu.

2. Husaidia kuboresha mmeng'enyo wa chakula tumboni

3. Huthibiti shinikizo la damu

4. Huboresha afya ya kinywa

5. Hukinga matatizo ya ngozi hasa chunusi

6. Husaidia kukuza nywele (kulinda afya ya nywele)
Viewing all 109660 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>