Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109439

WEUSI HUU NI WAKATI WA KUWA BEGA KWA BEGA NA LORD EYEZ NA KUMSAIDIA NA SI KUTANGAZA KUMFUKUZA

$
0
0

Baada ya Weusi Kutangaza kumwondoa Lord Eyez kwenye kundi la Weusi kwa sababu ya tuhuma za uwizi wa laptop huko Arusha watu wengi walijitokeza kwenye instagram kuponda uamuzi huo baadhi ya message ni hizi hapa chini kutoka Instagram


stigoxz

Cjapend uamuzi wenu eyes anahtaji Masada na co kutengw km mlivofanya cjapenda nlikukubali sn kk tangu hujatka bt now umenikwaza kwani laptop bei gani mshindwe kumaliza kesi unesheni unit yenu tuone km kweli mnacare fikirien mara2 situation ambyo anafeel right now eyes mkimsadia ntaona utu wenu bt now hate u all weusi

gdwalize
Naona bora Peke yangu maana rafiki wakweli c mjuii a got 2 many fek people my people!!!!!??

rudolfrodney
Anaweza akawa amekiuka masharti ya kampun but sii fair kumtenga mchukulieni kama ndugu kwa kumpa ushauri na kama kuna ishu nyingine ambazo anazifanya aziko sawa mwekeni kwenye mstari itakuwa poa zaidi @joh_makini #teamweusi

bintiandengenye
@joh_makini msaidieni plssss mungu atawabariki mno

dorricy
we love him and ana kipaji why msimsaidie aachane na madawa mbona ray c kaweza! .. plz @joh_makini @gnakowarawara msaidieni lord

denismushi
Wengi wanadhani mmemfukuza lord kwa sababu ya kilichotokeaa. Ila naamin weusi hamjafanya hivyo,n kipind kigumu kwa jamaa now ila hata kama hamtakuwaa masemaji kwa kilichomtokeaa lord kama alivyosema Niki kwenye media, ni sawa ila pls jamaa anaitaji support yenu hasa ktk hichi kipindi kigumu alichokuwa nacho.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 109439

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>