Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRISHO NGASA AMWAGIA SIFA KEDEKEDE MCHEZAJI WA SIMBA

Kwa mara nyingine tena katika kipindi cha wiki mbili, winga machachari wa klabu ya Yanga Mrisho Khalfan Ngassa amemsifia mshambuliaji wa timu mahasimu Simba Mburundi Amiss Tambwe.Akitumia akaunti yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUPITA NYONG'O MAKES HISTORY BY BECOMING THE FIRST AFRICAN TO WIN OSCAR!

Lupita Nyong'o Makes history By Becoming The First African To Win An Oscar!Lupita Amondi Nyong'o made history by becoming the first African woman to win an Academy Award. The rising starlet who has...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA YA MSANII LORD EYEZ AKIWA MBALONI KWA TUHUMA YA WIZI

Msanii kutoka kundi La Weusi ‘Lord Eyez’ amekumbwa na Tuhuma ya wizi wa Laptop aina ya ‘Dell’ ikiwa ndani ya gari.Utafiti huo ulimbaini msanii huyo akiwa na wenzake waliovunja kioo cha gari katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA ANATAKA NIOLEWE ILI APATE NG'OMBE WAKATI MIMI NI MLEMAVU NA NINA UMRI...

Moshi Hussein ambaye ni mlemavu wa viungo anayeishi nyumbani kwa baba yake mzazi huko katika kijiji cha Magiri wilaya ya Uyui mkoani Tabora,binti huyu ana umri wa miaka 13 hajawahi kupelekwa Shule kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA AMHARIBIA PASTOR MYAMBA

STAA wa filamu mwenye jina kubwa nchini, Wema Sepetu hivi karibuni alimuharibia siku Emanuel Myamba maarufu kama Pastor Muyamba, kwa kushindwa kufika kwenye hafla iliyokuwa imeandaliwa na chuo chake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI WA WEUSI AFUTA AIBU KWA KUMWENGUA LORD EYEZ KATIKA KUNDI BAADA YA...

Kiongozi wa kundi la weusi NIKKI WA PILI ametangaza rasmi kumwondoa msanii LORD EYEZ katika kampuni ya weusi kufuatiwa  tuhuma za uharibifuwa gari na uporaji  wa laptop.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEUSI HUU NI WAKATI WA KUWA BEGA KWA BEGA NA LORD EYEZ NA KUMSAIDIA NA SI...

Baada ya Weusi Kutangaza kumwondoa Lord Eyez kwenye kundi la Weusi kwa sababu ya tuhuma za uwizi wa laptop huko Arusha watu wengi walijitokeza kwenye instagram kuponda uamuzi huo baadhi ya message ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIMBI LA KUIBIWA PASSWORD ZA FACEBOOK ACCOUNTS NA KUTUMIKA KATIKA UTAPELI...

Jamani kuweni makini na Accounts zenu za Facebook kwani siku hizi kumeibuka mtindo wa wezi wa mitandao ambao wana iba passwords za Facebook za watu na kisha kuzitumia katika utapeli kwa kuandika status...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAHABA ANASWA AKIJIUZA NDANI YA GESTI HUKO SINZA..ADAIWA KUPANGA CHUMBA...

Zuena akiwa na mteja wake chumbani mara baada ya kunaswa na polisi. KABANG! Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni jijini Dar kwa kushirikiana na Oparesheni    FichuaMaovu (OFM) ya GPL wamemnasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LINAH: SIPENDI KUTUMIA KINGA

Stori: Gladness MallyaMSANII wa kike anayetesa kwenye Bongo Fleva, Esterlina Sanga ‘Linah’ ametoa mpya baada ya kuibuka na kueleza wazi kuwa, awapo faragha hapendi kutumia kinga.Linah alisema hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAANA YA KANGA MOKO YAINGIA MPAKA KWA WACHEZA SHOW ZA JUKWAANI

Toka umeingia huu mtindo wa lile kundi la khanga moko siku hizi kamezuka kamtindo ka wacheza show za jukwaani nao kuvaa khanga na kuonesha sehemu kubwa za maongo yao ikiwemo kufuli walizo vaaa...Hii ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI KIKWETE ATAFUTA UBUNGE WA CHALINZE ASHINDA KURA ZA MAONI CCM

Matokeo:Ridhiwani Kikwete kashinda kwa kupata kura 758 kati ya kura 1321,Ilikuwa hivi:_1.Ridhiwani Kikwete kura 7582.Shaban Iman Madega kura 3353.Athuman Ramadhan Maneno kura 2064.Changwa Mohamed...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOUSE GIRL HUYU ANANILETEA DRAMA ZA KUNIHAMASISHA..SIJUI NIMFANYEJE?

Nina miaka 37 , nina mke wangu niliefunga nae ndoa kwa miaka mitano sasa na tumebahatika kupata watoto wawili. Recently, Nilitoa onyo hapa nyumbani kwangu kuwa hakuna mtu kuwasha taa kwenye chumba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MPYA WA JUX-NITASUBIRI

Namkubali sana huyu Mwanamuziki, naona katoa wimbo mpya embu ngoja niusikilize alafu nione kama ni hii itakuwa hit song.....Kama na wewe unataka kuusikiliza ama kudownload basi ndio huu hapa chini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C AOMBA MPENZI WAKE WA ZAMANI LORD EYEZ ABADILIKE...AMKARIBISHA KWENYE...

Aliyekuwa mpenzi wa rapper Lord Eyez, mwanamuziki Rehema Chalamila aka Ray C amezungumzia kuhusu sakata la wizi linalomkabili rapper huyo ambaye ni member wa group la Nako 2 Nako Soldiers.Kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMPENDA SANA HUYU KAKA MPAKA NAONA NAJIPENDEKEZA

Habari wadau, mimi ni msichana mwenye umri wa 26yrs. Nina mpnzi wangu ambaye nampenda sana, kiasi kwamba tukitofautiana kauli huwa inanipa shida sana,najihisi hadi kuumwa, ila kwake yeye huwa naona...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIKO OUT NA MREMBO MMOJA KAVAA VIKUKU MIGUU YOTE MIWILI ETI INAMAANISHA NINI?

Wadau hapa niko out na mrembo mmoja tulikutana facebook miezi miwili hivi imepita leo ndio tumeonana live tupo chobingo moja hivi siri yangu tunapata moja moja, kaja  amenivalia kimini na chini amevaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIJIFICHE KAMA HUJARIDHIKA MWELEZE MPENZI WAKO AWAJIBIKE

Usijifiche kama hujaridhika mweleze mpenzi wako "awajibike"Mara nyingi uhusiano wa kimapenzi kwa watu wengi unafikia kikomo, kutokana na kutoelezana ukweli.Haya mambo ya kuficha kama umeridhika katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

T.B JOSHUA ALITABIRI VITA VINAVYOENDELEA HUKO URUSI (RUSSIA)

They say seeing is believing, but sometimes even having seen it with your own eyes still you might find it hard to believe. On the 29th of december 2013, the controversial Nigerian clergymann T.B...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMEUPENDA WIMBO MPYA WA MAD ICE-FAITH -USIKILIZE HAPA

"Faith" is more of a gospel but without religious bounds. This song is a special dedication to all those going through hard times in their lives. Listen and get inspired!Composed, arranged and produced...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live