Golkipa mkongwe wa hapa Tanzania Ivo Mapunda Ambae Anaichezea Team ya Gor Mahiya ya Kenya kama mchezaji wa kulipwa Jana kwa sasa ni kama Lulu Kwa Team Kongwe za Yanga na Simba ...Jana Aliziirishia Tanzania Kuwa Yeye bado yumo Baada ya Kudaka Penati Tatu na Kuiwezesha Tanzania Kutinga Nusu Fainali za Kombe La Challenge Huko Kenya ...Ivo Mapunda anakaribia Kumaliza Mkataba wake na Gori Mahiya, Japo Gori wameonyesha nia ya kumuongezea mkataba lakini Simba na Yanga nao Wanamdondoshea Mate ..
↧