Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO WAGANDA WALIVYOTAKA 'KUMUUA' ANKO NGASSA LEO MOMBASSA

Mfungaji wa mabao mawili ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars katika sare ya 2-2 na Uganda, The Cranes kwenye Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge, Mrisho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GOLKIPA IVO MAPUNDA AWA LULU YANGA NA SIMBA ZAMMEZEA MATE BAADA YA KUIBUKA...

Golkipa mkongwe wa hapa Tanzania Ivo Mapunda Ambae Anaichezea Team ya Gor Mahiya ya Kenya kama mchezaji wa kulipwa Jana kwa sasa ni kama Lulu Kwa Team Kongwe za Yanga na Simba ...Jana Aliziirishia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALUTI: MOURINHO AIKUBALI ARSENAL...ILA PIA AIONYA

Kocha machachari na mwenye majigambo Mourinho wa Chelsea amejitokeza na kuipongeza team ya Arsenal ambayo inaonekana ni mwiba katika ligi hiyo ya England ..Amesema Arsenal kwa sasa Wamejipanga na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOB JUNIOR ADAIWA KUVAA NGUO ZA MKOPO

Msanii wa Music ambae pia ni Producer wa Muziki na Mmiliki wa Studio ya Sharobaro Records Bob Junior ameingia katika Aibu Ingine baada ya Duka Moja la nguo Kujitokeza na Kudai Linamdai Msanii huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA MANCHESTER UNITED AKALIA KUTI KAVU-ASISITIZA NI LAZIMA ASAJILI...

Nchini England mabingwa watetezi wa Ligi ya nchi Hiyo Manchester United wameendelea na mwanzo mbaya wa ligi hiyo baada ya hii leo kukubali kipigo cha bao moja bila toka kwa Newcastle United .Bao pekee...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANYE WEST AZINGUANA NA RAIS OBAMA WA MAREKANI

Rapper Kanye West amemtolea Uvivu Rais Barack Obama wa Marekani kwa kumzuia kutaja jina lake popote na wala la Mpenzi wake Kim Kardashian...Hii inakuja kama ni kujibu mapigo baada ya raisi wa marekani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE AMSHAURI RAIS KIKWETE KUMG'OA WAZIRI MKUU PINDA ADAI HAWAJIBIKI NI...

Dodoma. Rais Jakaya Kikwete, ameshauriwa kumng’oa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ikielezwa sababu kuwa ndiye kikwazo katika utendaji wa Serikali na kwamba akiachwa ataipeleka pabaya Serikali na CCMKikwete...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SINTASAHAU HUYU MDADA NIMEMVULIA KOFIA

Mambo niaje wakuu..sijui hata nianzie wapi?...hawa wanawake...!! basi tu!!basi bwana nmekua nikimdate dada mmoja mwenyeji wa iringa .sio siri kwa haraka haraka nlijua huyu ananipenda kwa dhati, mie...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU MANCHESTER UNITED ILIPOSHUSHWA DARAJA

Ni mashabiki wachache wa Manchester United wanaikumbuka siku ile ambayo timu yao ilishushwa daraja. Ilikuwa msimu wa 1973/74 na mechi ya mwisho ya ligi ilikuwa tarehe 27 Aprili 1974. Kwa mashabiki wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGA:WACHINA WAWEKEZA HADI KWENYE BIASHARA YA KUGAWA URODA (UCHANGUDOA)

Amini Usiamini Wachina sasa Wameamua kuwekeza mpaka kwenye Ukahaba , Kama unataka kushuhudia hilo basi tembelea hotel za hapa dar zilizopo katika fukwe za bahari ya hindi ukajionee wadada wa kichana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUJIUA NA KUUA KWA BASTOLA KWA WAPENZI KUNAANZIAGA HAPA

Mapenzi ni kitu kingine kabisa chali yangu usisikia mtu kaji Ufosaroo aka kujiua na Bastola ukadhani ni uchizi tu ..hiyo tunaita ni dhuluma ya penzi...Inauma sana jamani..Unakuta upo mapenzini na Binti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAANI MAARUFU "KELLY ROWLAND " KUTOKA MAREKANI AKIWA KATIKA MITAA YA UWANJA...

Msanii maarufu wa Marekani Kelly Rowland, ametinga uwanja wa fisi Manzese Dar es salaam jana jioni baada ya kusikia sifa za maeneo hayo ya Uswahilini tangu akiwa USA. Msanii huyo ametua nchini kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA ZA MKE MTARAJIWA WA MBWANA SAMATA ANAECHEZA MPIRA KATIKA KLABU...

Huyo Ndio Shemeji yetu kwa Mbwana Samatta ..She is Cute No Doubt

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASKINI MTOTO SULEMANI RAJAB ALIYE KUWA ANASUMBULIWA NA UVIMBE WA MIGUU AFARIKI

Yule mtoto Suleiman Rajab aliyeteseka muda mrefu akisumbuliwa na uvimbe mkubwa mguuni huku mamia ya Watanzania wakijitolea kuchanga fedha kwa ajili ya matibabu nchini India amefariki dunia ghafla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO "SHILINGI 2 BILLION HUTOROSHWA NA KUPELEKWA NJE YA NCHI KWA KUKWEPA KODI"

Bunge limeelezwa zaidi ya Dola za Marekani 1.25 bilioni sawa na Sh2 trilioni hutoroshwa na kupelekwa nje ya nchi kila mwaka kwa lengo la kukwepa kodi. Taarifa hiyo imetolewa wakati wingu zito likiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA MAZISHI YA RAIS WA ZAMANI WA AFRIKA YA KUSINI NELSON MANDERA...

Hili ni Banda linaloendelea kujengwa katika eneo la makazi ya Hayati Nelson Mandera kwa ajili ya maandalizi ya shughuli za maziko yanayotarajia kufanyika mwishoni mwa wiki hii, ambapo zaidi ya viongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAUME WAWILI MASHOGA WAPATA VYEO VIKUBWA SEREKALINI...MMOJA NI WAZIRI MKUU...

Hii itakua ya kwanza duniani kwa wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kupata vyeo vikubwa kwenye serikali kuu ya nchi.Makundi mengi yenye maoni tofauti yamekuwa yakipinga mapenzi ya jinsia moja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII MKUBWA WA HIP HOP TOKA MAREKANI AJICHORA TATTOO KUBWA YA NELSON MANDELA

Hakuna mtu yoyote ambaye hajaguswa na kifo cha Mzee Nelson Mandela kutokana na historia ya pekee aliyoiacha kiongozi huyu wa Afrika Kusini.Kuanzia mataifa ya Asia,Ulaya,Marekani, wanamichezo,waigizaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI DOCTOR ULIMBOKA YUPO WAPI? KAAMUA KUNYAMAZA AMA KANYAMAZISHWA?

Naomba kupata updates za Dr. Ulimboka:1. Je, bado ndie mwenyekiti wa madktari Tz?2. Je, yupo nchini?3. Vijana walopoteza kazi kwa misimamo yake inakuaje?4. Je, kaamua kunyamaza au kunyamazishwa?Mwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKALI YA KILIMANJARO STARS YAIPA TEAM YA KENYA MCHECHETO-LAZIMA WAKAE

KENYA imeingia mchecheto na makali ya Kilimanjaro Stars na sasa imebainika kwamba Kocha Adel Amrouche ndiye aliyesisitiza mechi ikachezwe Machakos badala ya Mombasa.Kenya itacheza na Stars kesho...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>