Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

SALUTI: MOURINHO AIKUBALI ARSENAL...ILA PIA AIONYA

$
0
0
Kocha machachari na mwenye majigambo Mourinho wa Chelsea amejitokeza na kuipongeza team ya Arsenal ambayo inaonekana ni mwiba katika ligi hiyo ya England ..Amesema Arsenal kwa sasa Wamejipanga na wanastahili kushika number moja katika msimamo huo wa ligi ....Ili pia ametoa onyo na kusema Ubingwa wa Ligi huwa ni Mwezi May na sii December so wasijione ndio wameshashinda.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>