Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Ugomvi wa Ray C na TID, Ray C Umejitakia Mwenyewe Kutukanwa

$
0
0
Jana kwenye Mitandao mbali mbali hasa blogs na Insta Kulienea habari kuwa Tid Amemtukana Ray C matusi ya Nguoni Baada ya Ray C Kupost kwenye Picha aliyopost TID Instagram Akimwomba Waongee.......Ni Ukweli Usiopingika kwamba TID alikasirika baada ya Kuambiwa Hivyo Hadharani Kwani Ray C Kwa sasa anajaribu kuwashawisha wasanii mbali mbali wanaotumia Madawa ya Kulevya ili Waache kwa Kuhudhuria Hospitalini , Hivyo kauli hiyo ilikuwa ni mwiba kwa Msanii TID na Badala ya Kujibu Vizuri naye alianza kuporomosha matusi ....

My Take:
Najiuliza Kwanini Ray C hakutafuta hata number yake ya simu ama kumtafuta Face to Face na Kuongea na Kumshawishi, Ndio tunajua kwamba TID anatumia ila Si kumwambia Hadharani Kiasi Kile Tena Kwenye Profile yake ya Instagram , Hata kama Hakumwambia Direct ila Ile Kauli si nzuri kwa mtu Ambae Tayari Ameathirika...So Nadiriki Kusema Ray C Alijitakia Mwenyewe!

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>