Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109439

Clouds FM ni Noma Imeingia Katika Oradha ya Radio Bora Kumi Barani Afrika

$
0
0
Kituo cha radio cha Tanzania, Clouds FM kimetajwa kuwa miongoni mwa Radio Bora za Afrika kwa kuingia kwenye orodha ya ‘Top 20 Best Radio Stations In Africa,’ iliyotolewa na mtandao wa Network Africa. 
Clouds FM imeshika nafasi ya saba kwenye orodha hiyo na kuwa radio pekee ya Tanzania iliyoingia. Radio Citizen ya Kenya ndio inayoongoza katika nafasi ya kwanza, huku radio nyingine ya Afrika Mashariki iliyoingia ni Radio Simba ya Uganda iliyokamata nafasi ya nane.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109439

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>