Taarifa tulizozipata muda mfupi uliopita zinasema kuwa Waziri wa Fedha Dk William Mgimwa Amefariki Dunia leo Asubuhi. Tunaendelea kutafuta ukweli wa jambo hili.
Tutazidi kuwapa taarifa Kadri tunavyozipata kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ikiwemo serikali ya Tanzania ili tuweze kujua kama Taarifa za Kifo ni za kweli fununu zisizo kweli.
Updates :
-------------
Waziri wa Fedha William Mgimwa amefariki dunia leo katika hospitali ya Mediclinic Kloff nchini Afrika Kusini alipokuwa akitibiwa.
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue, ambaye amesema Mgimwa amefariki majira ya saa 5:20 saa za Afrika Kusini ambapo ni sawa na saa 6:20 kwa majira ya Tanzania
Tutazidi kuwapa taarifa Kadri tunavyozipata kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ikiwemo serikali ya Tanzania ili tuweze kujua kama Taarifa za Kifo ni za kweli fununu zisizo kweli.
Updates :
-------------
Waziri wa Fedha William Mgimwa amefariki dunia leo katika hospitali ya Mediclinic Kloff nchini Afrika Kusini alipokuwa akitibiwa.
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue, ambaye amesema Mgimwa amefariki majira ya saa 5:20 saa za Afrika Kusini ambapo ni sawa na saa 6:20 kwa majira ya Tanzania