Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamani Kibamia Kitamu Asikwambie Mtu Looh!!!

Habari zenu wapendwa, Hapa nilipo niko nje ya bongo safari flani hv ya kizushi, na safari hiyo niko huku tangu mei mosi, saa bana ile ninefika tuu hotelini si mnajua mambo yetu yale, daaah nikanasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake Hufurahishwa na Vitu Vidogo Vidogo Sana Hakuna Haja ya Gharama

kawaida mtu kutumia pesa nyingi labda kumpeleka mpenzi wake kwenye mahotel makubwa au kumnunulia vitu vya thamani ili kumuonyesha mapenzi, ila ukweli ni kwamba unaweza ukafanya hayo yote ukajiingiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je, Unadhani ni Kwanini Wanaume Wengi Hawawaridhishi Wanawake wao Katika...

Je, unadhani ni kwanini wanaume wengi wamekuwa wakishindwa kuwaridhisha wanawake wao katika mapenzi?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nay wa Mitego Aongea Kuhusu Kusambaa kwa Picha ya Mchumba wake Akivishwa Pete...

Hatimaye Nay wa Mitego amezungumzia scandal iliyokuwa ikimhusu mchumba wake aitwaye Siwema ambaye mwezi uliopita ilisambaa video na picha kwenye mtandao wa Instagram inayomuonesha akivishwa pete na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dida’s Fashion,Aliyekuwa Mke wa Ndoa wa Q Chillah Aelezea Sababu ya Kuachana...

Mwanadada Hadija Seif (Dida’s Fashion) aliyekuwa mke wa ndoa wa msanii wa muziki Q Chillah amefunguka kisa kilicho afanya waachane pamoja na jitihada alizozifanya kumnusuru msanii huyo na wimbi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoto "mpya" ya kakobe yaitesa ukawa!

 Kama ilivyo kawaida kwa askofu Kakobe kuota ndoto mbalimbali kuhusu mambo yanayohusu mstakabali wa taifa letu. Askofu Kakobe ameota ndoto nyingine ambayo inawahusu UKAWA na harakati zao za kudai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema aache umaarufu wa kubebwa na scandal.

MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity,Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameibuka nakumuonya Wema Sepetu kupiga kazi na kuepukaumaarufu bila kazi.Nyerere amemtaka Wema aachane na skendo zakila kukicha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Stevie Nyerere Analazimisha Ustaa?

Huyu Stevie Nyerere mbona mwenzenu simuelewi,namuona tu na kimbelembele chake na kujikwezakweza aonekane na yeye yumo.Hivi anafanya kazi gani ya kuonekana inayomfanya ajione yumo kiasi hicho au fans...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti Mrembo wa 1992 Akiri Kuwa na Mahusiano ya Kisagaji na Star wa Bongo Movies

Siwezi kumwacha, nikimwacha ntakufa” ni maneno makali kutoka kwa binti mdogo wa 1992 ambae amekiri kua yuko kwenye mahusiano sasa na binti mwenzake.Chanzo cha habari kutoka ndani ya familia ya binti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manchester City Win Premier League Title

Manchester City have won the Barclays Premier League title with a 2-0 defeat over West Ham United at home.Goals either side of half-time from Samir Nasri and Vincent Kompany saw City capture the title...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa Mtu Asiyejulikana Umeokotwa Mto Mzinga Kongowe

Kamera yetu leo hii imenasa mwili wa mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake ukielea ndani ya Mto Mzinga maeneo ya Kongowe jijini Dar es Salaam.Mwili wa mtu huyo ulipatikana baada ya wakazi wa eneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chris Brown Aongezewa siku 131 za Kukaa Jela

Uhuru wa Chris Brown kwa sasa bado ni ndoto sababu Ijumaa iliyopita (May 9) jaji wa mahakama ya Los Angeles alimhukumu mwimbaji huyo kifungo cha mwaka mmoja jela (siku 365), baada ya kukiri kuvunja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke kanisusia nyumba, kaniacha na house girl Huyu

Kaondoka siku tatu sasa zimepita. Simu hapokei wala hajibu sms, kaenda Kigamboni kwa rafiki yake.Nimeongea na rafiki yake anasema mke wangu kaenda kubadilisha upepo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kama Ulikuwa Hujui Unaambiwa Ugomvi ni Afya kwenye Mapenzi..Soma Hapa

Ukimuuliza binti yeyote akutajie mambo 10 asiyopenda kusikia au kuyaona katika ndoa yake, mojawapo litakuwa ni ugomvi. Ugomvi unaumiza, kiakili na kimwili. Ugomvi si ustaarabu, zaidi sana ugomvi si...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nisha Afunguka Sababu ya Kuachana na Ney wa Mitego Japo Alipenda Kuolewa Naye

Msanii wa maigizo Salama Jabu maarafu kama Nisha amefunguka na kueleza sababu kubwa iliyomfanya kusitisha penzi lake na mwanabongo flava Nay wa Mitego. Akiongea  Nisha alisema" Unajua Nay ndiye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haiwezekani Nataka Kupima DNA Nimestuka!! Wanangu Hawajafanana na Mimi

Mwenzenu jamani nahisi nmechakachuliwa,nina mke wangu tumezaa watoto wawili mmoja yuko na miaka mitano na wa pili miwili,kati yetu mimi na mke wangu nahisi kuna kitu kinaendelea na nimefanya uchunguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Staa wa Kike Bongo Atupia Mtandaoni Picha ya Utata..Je waweza Mtambua ni Nani?

NI STAA GANI HUYU? Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua staa mmoja wa kike nchini anaejihusisha na ugizaji wa filamu za kibongo ameachia picha kimitego mtandai na kuzusha mjadala mzito. Habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrema Aiombea heri Ndoa ya Chadema, CUF, NCCR

MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP ) ametaja ushirikiano wa vyama vitatu vinavyounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwamba ni ndoa ambayo kama wahusika wangekuwa na nia njema, ungeanza siku nyingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ngorongoro Heroes Yapigwa Kipigo cha Mbwa Mwizi

TIMU ya taifa ya soka ya vijana wa chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, jana walianza vibaya kampeni ya kuwania kufuzu kwa Fainali za Afrika kwa umri huo baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-0 kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lugola: Serikali ya CCM Inaendeshwa Kisanii

Mbunge machachari wa Mwibara, Alphaxard Kangi Lugola, amedai kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo yeye ni mbunge wake, inaendeshwa kisanii.Lugola ambaye katika Bunge lililopita aliwaongoza...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>