Sikiliza Au Download Wimbo Mpya wa Chid Benz Feat Diamond na AY
For Sure Chid Benz is Back in da Game..Embu sikiliza Wimbo wake Mpya Uliotoka leo Ambao Amemshirikisha Diamond na AY
View ArticleMwimbaji Rose Muhando Aburuzwa Polisi Kwa Utapeli
MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando anasakwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kijitonyama ‘Mabatini’ jijini Dar baada ya mchungaji mmoja wa Kinigeria anayefanya shughuli zake nchini DR...
View ArticleDiva:Sijampenda Gk Sababu ya Pesa Au Umaarufu Nampenda Yeye Kama Yeye
Ile hatua ya U boifriend na U girlfriend ikiwa imepita na kuingia katika hatua ya uchumba wa mahaba kedekede, dada yetu Diva alijikuta anamwaga chozi baada ya watu mbalimbali kumtupia maneno kwamba...
View ArticleWe Mwanamke Kitandani Mvivu Alafu Unaajiri Mdada wa Kazi Mrembo
Eti mwanamke anajijua yeye mvivu kunako sita kwa sita alafu siku anakuja kukusuprise kwa kukwambia baba nanii nimepata mdada mpya wa kazi anaitwa fulani.Ukiangalia mtoto wa kitanga shanga Kiunoni,...
View ArticleDiamond:Sasa Naoa Rasmi, Harusi Naweza Ifanyia Uwanja wa Taifa Kila Shabiki...
Msanii huyo ghali zaidi nchini kwa sasa, ametamka hayo alipozungumza na Mwanaspoti nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam juzi Jumatano. Alisema kuna mambo mengi yaliyomchelewesha kufikia hatua...
View ArticleMimi Binti wa Kitanga Niliyefundwa Mme Wangu Kwa Style Hizi Huwa Achepuki
Admin Udaku Specially Kila siku nasikia vilio vya wanawake wakilia Waume zao wanachepuka kwa hilo naweza sema wanayataka wenyewe, natamani niwafunde siku moja kidogo mjue kuwa akili ya Mwanaume ni kama...
View ArticleMimi Ni Mzuri Najikubali, Napenda Siku Moja Nami Niwe Super Staa wa Bongo...
Najikubali sana mimi, pia nina Confedence ya Kutosha Mbele za Watu , Napenda niwe Mwingizaji Maarufu Kama Dada yangu Irene Uwoya ila sijui pa kutokea..Admin nisaidie Kupata Mchungo picha yangu...
View ArticlePeter Msechu na Baba Levo Walilia Kupata Show za Fiesta , Waenda Kwa Mganga...
Peter Msechu na Baba Levo ni wasanii kutoka mkoa wa Kigoma na wote wawili wana sifa ya kuwa wachekeshaji sana. Wasanii wengi wanajua kwamba ukipanda tour bus na wawili hawa basi ni kama unaangalia show...
View ArticleMwanamke Amchana Mwanaye kwa Wembe Aweze Kujisaidia, Alikuwa Hana Sehemu ya...
Mkazi wa Kata ya Kitangiri katika Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, Anastazia Ngilitu, amemchana kwa wembe mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili na wiki mbili baada ya mtoto huyo kuzaliwa bila kuwa na...
View ArticleMjumbe wa CCM ‘Ajiunga’ UKAWA
Juzi ilikuwa kama sinema pale viongozi wa Kamati Namba Moja ya Bunge Maalumu walipojikuta wakibishana na mjumbe wao mbele ya waandishi wa habari, huku siri za mambo ya ndani ya vikao zikianikwa...
View ArticleJux Afunguka:Kweli Jack Patrick Alikuwa ni Mpenzi Wangu
Na Musa MatejaMALOVEE! Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, staa wa Bongo Fleva anayetamba na wimbo wake wa Nitasubiri, Juma Khalid ‘Jux’, kwa mara ya kwanza amevunja ukimya na kufungukia penzi lake na...
View ArticleHamisa Mabeto Akanusha Vikali Umbea Kuwa Ana Mabwana Wengi Wanao Mweka Mjini
Mrembo wa Haja Hamisa Mabeto Amekanusha Vikali tetesi zinazoongolewa Kwenye Mitandao ya Kijamii Hasa Instagram Kuwa Ana Msululu wa Mabwana Wanao Mweka Mjini, Hivi Karibuni Kuna Tetesi zilizuka kuwa...
View ArticleIs It For Sale or Just a Pose? Why This Girls Hujibinua Like This To Show Off...
Is It For Sale or Just a Pose? Why This Girls Hujibinua Like This To Show Off Their Asset?
View ArticleGodbless Lema Amshushia Waraka Mzito Jakaya 'Heri Kuitwa Mpumbavu Kwa Ajili...
Mh Rais , bila shaka utakuwa unaifahamu vizuri historia ya FaraoMh Rais nakusalimu .Ni usiku wa manane wakati naanza kuandika waraka huu , nimetoka kuangalia historia ya maisha ya Dr Martin Luther Jr...
View ArticleMtoto wa Miaka Nane Apigwa Risasi ya Kichwa na Majambazi Arusha Akiwa na...
Kumradhi kwa picha ya Malaika huyu " Hii imetokea arusha jana saa tano usiku jamaa yuko na mke na watoto wao wawili wa kike wanatoka dinner wanarudi nyumbani mara jamaa wa toyo wawili wakasimamisha...
View ArticleAunty ezekiel: Wema Hana Msaada Wowote kwangu na Wala Mimi Sio Mbeba Mikoba Yake
Staa wa kike wa filamu bongo, Aunt ezekiel, ambaye ni shoga mkubwa wa miss tanzania 2006 wema sepetu ameibuka na kutamka bayana yeye si mpambe wa mrembo huyo, wala sio mbeba mikoba wake na wala haishi...
View ArticleClouds FM Yapewa Onyo na Kupigwa Fine Kwa Kukiuka Kanuni za Utangazaji
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo pamoja na kutoza faini ya takribani Sh milioni 5 kwa kituo cha redio na televisheni cha Clouds, kwa kukiuka kanuni za utangazaji za mwaka 2005....
View ArticleWhat’s Is Wrong With This Family Photo?..One Word Please
Picha ya Familia On Facebook ...Look Closely and Niambie What’s Is Wrong With This Family Photo?..One Word Please
View ArticleApandishwa Kizimbani kwa Kumnajisi Binti yake wa Kumzaa
Mkazi wa kijiji cha Nyangae, Kata ya Bukumbi wilayani Uyui, Shimba Kajolo ameburuzwa mahakamani akituhumiwa kumnajisi binti yake wa miaka 12.Imeelezwa mahakamani kwamba alifanya kitendo hicho kwa...
View ArticleVideo: Angalia Msichana Akikata Mauno ‘Akitwerk’ Ndani ya Gari wimbo wa...
Paki gari, weka wimbo wa Diamond ‘Kizaizai’, mpe camera rafiki yako arekodi, anza kukata viuno!!! Hicho ndicho kilichofanyika kwenye video hii unayokwenda kuishuhudia.Hutaona sura yake lakini...
View Article