Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109613 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maelfu Wajitokeza Kumsindikiza Freeman Mbowe Polisi Alipoitwa Kuhojiwa Kuhusu...

MAMIA ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), asubuhi hii wamejitokeza kumsindikiza Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kuelekea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi yaliyopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jide na Gadner Sasa ni Kama Paka na Panya, Kila Mmoja Atinga Ukumbini na...

Stori: Richard BukosPAMOJA na kutumia nguvu nyingi kukanusha kwenye mitandao kwamba ndoa yao haijavunjika, mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Habash ‘G. Habash’ na ‘mtalaka’ wake, Judith Wambura...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makubwa:Mwanafunzi Aamua Kujinyonga kwa Kukosa Huduma Hospitalini

Mwanafunzi wa kidato cha 5 shule ya sekondari Ihungo(19) Ameamua kujinyonga kwa kutumia shuka lake katika hospital ya mkoa wa Kagera baada ya kulazwa hospitalini hapo bila kupata huduma ipasavyo, Kabla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mishahara Hewa Kwa Watumishi wa Serekali Sasa Basi, Mwigulu Nchemba Noma Sana

Serikali imeagiza watumishi wote wa umma walipwe mishahara moja kwa moja kupitia akaunti zao sahihi za benki ambazo zitatumika kupitishia mihahara yao.Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama wa Mtoto wa Maajabu Aliyepanda Ndege Bila Kugundulika Mpaka Zanzibar...

Stori: Richard BukosMTOTO Happiness (10) (pichani) ambaye mwishoni mwa wiki iliyopita  alizua kizazaa mjini Zanzibar baada ya kuonekana akizungumza na viumbe wa ajabu na wanyama, ametua jijini Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kama Mbowe yuko huru basi na Sheikh Ponda aachiwe

Kutokana na kauli ali iyotoa mwenyekiti wa chadema mh.mbowe ya kuitisha maandamano nchi nzima tena yasiyo na kikomo.nilitegemea kwa kauli ile mbowe alitakiwa awe ameshakamatwa siku ile ile.lakini cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu Jamaaa Ndio Ataiwakilisha Tanzania kwenye Nyumba ya Big Brother Afrika...

Mpiga picha, Idris ni mmoja wa wawakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa mwaka huu.“Idris is a photographer from Tanzania, filled with positive energy. He admits to having a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mambo Ambayo ni Diamond na Wema tu, Ndio Wanaoweza Kufanya Hapa Bongo!

Hivi ni vitu ambavyo inabidi tu tuwaachie Diamond na Wema waendelee kufanya yao, wengine wabaki watazamaji tu, afterall siyo kila mtu yuko kwenye movie yao ambayo bado inaendelea, hii ni moja ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Global Publishers Yawaomba Radhi Zitto Kabwe na Diva Loveness

Kupitia gazeti la Amani la Septemba 11-17, 2014, kulichapishwa habari ukurasa wa mbele iliyosomeka: “DIVA: ZITTO NI MUME WANGU.” Ikikolezwa na dondoo ‘Adai ni mke anayetambulika kisheria’ na ‘Asema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anti Ezekiel na Kassim Mganga Wahusishwa Kuwa na Uhusiano wa Kimapenzi

Gazeti la Makorokocho ambalo mhariri wake ni Soudy Brown kutoka XXL ya Clouds Fm leo kwenye ukurasa wa mbele kabisa kuna stori inayomhusu Anti Ezekiel pamoja na Kassim Mganga.Stori hii imeanzia wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msichana Aelezea Jinsi Wasichana wa Bongo Wanavyodanganywa Kwenda Kufanya...

Ushuhuda wa huyu dada inawezekana ukakufumbua macho na kujua wapi sehemu sahihi ya kuelekea na kujua nini unachotakiwa kukifanya kama umeshaanza kujiandaa safari ya kwenda Dubai.Wimbi kubwa la ukosefu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Kufunga Ndoa, Lucy Komba "AWALIPUA" Wabaya Wake

Msanii maarufu wa filamu nchini, lucy komba, ambaye ivi karibuni alifunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa siku nyingi, ambaye ni raia wa denmark. Msanii huyo amewatupia dongo la haja wabaya wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Martin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake?...

Katika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa kuwekwa na manager...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti Huyu Ametupanga Wanaume Kumi na Moja na Wote Anatupa Uroda Bila...

Ukimuona kwa macho utasema huyu ndio mwanamke kumbe ni bonge la kimeo…ilikuwa mida ya jioni natoka zangu kazini mara ikaingia massage..baby uko wapi nimekumiss…nikamjibu ndo natoka kazini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAJALA Akwama PESA ya Kumtoa Mumewe Jela

Licha ya mkwanja kumtembelea, msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekwama kupata pesa ya kumlipia faini mumewe Faraji Chambo ili aweze kutoka jela.Akizungumzia ombi la mumewe huyo kumtaka kutofuja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Dada wa Mwanamuziki Diamond Platnumz Esma Afunga na Petit man

Ni habri mpya ya mjini kwa sasa,ndoa ya Dada wa Diamond na kipenzi wa Wema petiti man wakuache,amabapo uhusiano wao ulioanza kama utani hatimae  umezalisha kile amabcho wengi hawakukitgemea kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Mez B Aingia Katika Kashfa Nzito Baada ya Kuwalazimisha Warembo Kupiga...

Msanii wa kitambo wa Bongo Fleva aliyewahi kutamba na Kundi la Chamber Squad na ngoma yake ya taifa ya Kama Vipi, Moses Bushagama ‘Mez B’ anadaiwa kuwaaibisha ma-miss kwa kuwalazimisha kupiga nao picha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cathy:Kujiuzulu Kwa Steve Nyerere ni Pigo Kubwa Bongo Movie, Hakika Kundi...

Stori: Gladness MallyaMSANII wa filamu ambaye pia ni mweka hazina msaidizi wa klabu ya Bongo Movie Unity, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kwamba anaona kundi hilo linakwenda kufa na halitakuwepo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz Aingizwa Mkenge na Promotor Huyu, Atoa Onyo kwa wa Bongo wa UK

 Mwanamuziki Diamond Platnumz Asubuhi hii Amepost Picha ya huyu jamaa juu akitoa onyo kwa Wabongo waishio UK Kwambo huyo Jamaa ni Tapeli kwa kusema, Mnaposikia Kaandaa Show ni Vyema Kuziepuka , Jisomee...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Azidi Kujiharibia Yamkuta Tena Huko London Usiku wa Kuamkia Leo Jumamosi

Haya promota VICTOR aliye Andaa Show ya Diamond London kashikiliwa na polisi, walionunua ticket kuona show yake wamegoma kuondoka hadi warudishiwe pesa na wamerudishiwa.Diamond hakuonekana ukumbi wa La...

View Article
Browsing all 109613 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>