VIDEO:CHEKI YALIYOMTOKEA DEREVA MBISHI WA LORRY HUKO MOROGORO DARAJA...
Huyu Dereva alionywa asipite yeye akajifanya comando John akawasha gari na kujaribu kupita ...kifika katikati lorry lote likazama ...hata sijui kama alipona huyu...angalia hii video ujionee
View ArticleNADIRIKI KUSEMA VIDEO YA NJE YA KUMI NA NANE YA JOHN MAKINI FEAT NICK WA PILI...
Hii video ni noma jamani tuseme ukweli embu iangalie alafu uniambie na wewe....Imetengenezwa na Jamaa anaitwa Nisher
View ArticleTETESI:DIAMOND PLATINUMZ NA HAMISA MOBETO WANADAIWA KUWA WAPENZI WA MUDA SASA.
Hamisa Hassan Mobeto ambaye ni model na actress anayesusua katika tasnia ya filamu nchini anadaiwa kuwa mapenzini na Diamond Platinumz a.k.a Sukari ya warembo huku uhusiano wao ukidaiwa kuwa wa muda...
View ArticleMSANII WA BONGO MOVIE ASIMULIA ALIVYO HONGWA TSH MILION 5 ILI AFANYE MAPENZI...
Msanii anayeuza nyago kwenye filamu zaKibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’amefunguka kuwa analaani mastaawanaokubali kutumiwa kimapenzi kinyume namaumbile akidai kuwa wapo ambaowamekuwa wakifanya kitendo...
View ArticleMGOGORO MZITO MIRATHI YA MAREHEMU MOSES KULOLA
Stori: Waandishi WetuHALI ni tete! Familia ya aliyekuwa muasisi wa imani ya kilokole nchini na Askofu wa Kanisa la Evangelist Assembles of God Tanzania (EAGT), marehemu Dk. Moses Samuel Kulola (83),...
View ArticleDIAMOND PLATNUMZ JANA ALITEKA JIJI LA NAIROBI, AHOJIWA NA VYOMBO VYA HABARI...
Hii ni sehemu ya pili,ya mahojiano na media mbali mbaliHapa Nairobi,baada ya kufanya mahojiano na Tuva wa Mambo mseto..nilifanya mahojiano naKiss Tv kisha nikafanya na waandishi kutoka vyombo vingine...
View ArticleAJABU:KUTANA NA MWANAMKE MFUPI KULIKO WOTE DUNIA...AVUNJA RECORDS
Meet The World's Shortest Woman, Jyoti AmgeWhen Ranjana Amge was in the final months of her fifth pregnancy, she feared that she’d never hold that baby in her arms.The doctor’s exams didn’t go well....
View ArticleWASTARA ASHINDWA KUVUMILIA AWEKA PICHA AKIWA AMEKUMBATIWA NA MWANAUME NA...
Leo majira ya asubuhi msanii wa Bongo movie aliweka picha huku akiwa amekumbatiwa na mwanaume na kusema kuwa "nimemisi kumbatio la huba" kutokana na kauli hiyo wadau wameweka maswali mengi na kuuliza...
View ArticleHATIMAYE BABY MADAHA AFICHUA SIRI"BOSI WANGU JOE NI ZAIDI YA MANEJA"
For the past few weeks, there have been widespread rumours that sexy Tanzanian actress and singer, Baby Joseph Madaha, may in fact be bangin’ her manager at Candy n Candy, Joe Kariuki. This is after...
View ArticleMAUNGO YANGU YA MWILI YANANIPA TABU,NATONGOZWA KILA KUKICHA
Ninakutana na vishawishi vingi kila siku, yani sina amani kila mwanaume anatamani anione nilivyo nikiwa mtupu, tena wanakuja kwa njia za pesa na magari lakini namuheshimu mume wangu. Wanawake wenzangu...
View Article"PRADO MPYA DIAMOND ALIYOPIGA NAYO PICHA NI YANGU SI YEKE"CHIEF KIUMBE
Pedeshee Maarufu ajulikanae kwa jina la Chief kiumbe ameibuka na kuzua jambo kuwa lile Prado Diamond alilopiga nalo picha week kadhaa zilizopita na kusema ni gari yake mpya kuwa si ya Diamond bali ni...
View ArticleHATARI:WANAFUNZI WA KIKE SHULE MOJA BAGAMOYO WANASHIRIKI MAPENZI YA JINSIA MOJA
Shule moja ya sekondari ya wasichana iliyopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imelalamikiwa na wanafunzi pamoja na wazazi kuwa mabinti wanajihusisha na vitendo vya ngono vya jinsia moja...
View ArticleUSHAURI KUTOKA KWA KING ZILLA KWENDA KWA WAPENZI AMA WANANDOA
USHAURI kutoka kwa King Zilla wa SalasalaUnapogombana au anapokukosea girlfriend wako au boyfriend (mpenzi,mwenza) ,usimshtakie kwa wazazi wako sababu baadae mnaweza mkasamehana kwa misamaha ila wazazi...
View ArticleDIAMOND AFUNIKA KENYA...DIAMOND IMEKUWA DIAMOND KWELI.
Hatuna Jinsi lazima tumuandika coz ndio msanii pekee mwenye headlines nyingi kutokana na mafanikio yake..hapa alikuwa Kenya jana ..cheki picha alivyopagawisha kwenye show iliyoandaliwa na kampuni ya...
View ArticleTANZANIA YAKATAA MPANGO WA VIZA MOJA YA UTALII AFRICA MASHARIKI
Samuel Sitta (right), Tanzania’s minister for East African Affairs and Zamaradi Kawawa, deputy director of Information Services. Mr Sitta said a single visa system will compromise Tanzania’s security...
View ArticleCHADEMA WAFUNIKA MBEYA.ILA STAILI YAO MPYA YA KUBEBA MAJENEZA YAACHA WATU...
Hii Staili ya kubeba majeneza sijui wameitoa wapi....kwa upande wangu naona si sahihi na inatisha sana....mweee je wewe unasemaje ...Siasa na majeneza wapi na wapi?
View ArticleHATIMAYE DJ CHOKA NAYE AAMUA KUONYESHA BASTOLA HADHARANI
Kila mtu na bastola yake siku hizi kasoro mimi tu ..Hivi ni fasheni ama? Mbona mimi Sina maadui wa kuwanunulia mguu wa kuku ....
View ArticleMWANAMAMA WA MIAKA 48 ASHIKILIWA NAPOLISI KWA TUHUMA YA KUFANYA NGONO NA...
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Aretas Joseph, (48), mkazi wa kijiji cha Lesoroma tarafa ya Useri, wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amehojiwa na polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kufanya...
View ArticleMAFURIKO DUMILA YAMUUMBUA MKE WA MTU AKISALITI NDOA GESTI
Jambo limezua jambo! Mvua zilizonyesha na kusababisha mafuriko maeneo ya Dumila mkoani hapa, zimemuumbua mke wa mtu ambaye jina lake halikupatikana, akiwa anasaliti ndoa gesti.Mafuriko hayo...
View ArticleDIAMONDI APEWA MAKAVU NA BONGE LA NYAU KISA KIKIWA NI MAISHA YA ALIKIBA
Huu ndio ujumbe aliouandika msanii bonge la nyau kupitia page yake ya facebook DIAMOND TAKE CARE WACHA KASHFA.Guys hivi huyu domo Diamond anamtaka kitu gani msanii Alikiba? Tokea juzi amekua...
View Article