DIAMOND AWACHANA BASSATA..BAADA YA KUONDOA NYIMBO KADHAA KATIKA KILL AWARDS
Baada ya nyimboz ya SNURA (MAJANGA), TEMA MATE TUWA CHAPE ya MADEE na JUX (UZURI WAKO) kuondolewa katika KILI Awards hiki ndicho alicho kisema msani Nassib Abdul A.k.A DIAMOND PLATNUMZ…. “ikiwa kweli...
View ArticleLIPUMBA SNUBS SITTA'S APPOINTMENT
Dodoma. In what appears to be the opposition’s discontent with developments in the Constituent Assembly (CA), the national chairman of the Civic United Front (CUF), Prof Ibrahim Lipumba, stunned...
View ArticleINASIKITISHA WATOTO WATEKETEA KWA MOTO WAKIWA WAMELALA TABORA
Watoto hao walipokuwa wamelala na kuteketea kwa moto ambao chanzo chake inadhaniwa kuwa ni hitilafu za umeme.Miili ya watoto wawili wa familia moja Daniel Paul(8)na mdogo wake Emmanuel Paul(3) ambao...
View ArticleANGALIA VIDEO SHABIKI WA MAN U AKIMTUKANA MOYES BAADA YA KUFUNGWA JANA NA MAN...
"You've lost the fans tonight, you don't deserve the fans,"'He's the biggest fool in Manchester': Watch Man United fan slam David Moyes after derby defeat
View ArticleKWANINI WANAWAKE WANAPENDA KUCHORA TATOO NYUMA YA KIUNO ?
Tujuzane Jamani kama unajua ina Maana Gani......
View ArticleYANGA NA AZAM WAZIDI KUKABANA KOO..WOTE WASHINDA LEO
Vilabu vya Azam FC na Yanga SC leo vimeendelea kukabana koo katika mbio za ubingwa wa ligi kuu Vodacom baada ya vyote viwili kupata ushindi kwenye michezo yao waliyokuwa wakicheza leo hii.Azam FC ikiwa...
View ArticleMLINZI WA OBAMA AFUKUZWA KAZI KWA KULEWA CHAKARI AKIWA KAZINI
Jarida la Washington Post nchini Marekani limeripoti kwamba askari watatu ambao ni walinzi wa president wameachishwa kazi kwa muda na kurudishwa nyumbani ili uchunguzi ufanyike.Askari mmoja kati ya hao...
View ArticleKUNA NJAMA YA KUVURUGA BUNGE LA KATIBA
Kuna njama. Maneno haya mawili ndiyo yametumiwa na pande mbili zinazopingana ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, kuelezea hali iliyojitokeza jana wakati wa kikao cha Bunge hilo kuhusu mvutano wa...
View ArticleVITUO VYA TELEVISION VYA TANZANIA VINAKOSA UBUNIFU
Sijui ni kutokuwa na ubunifu wa vipindi au ni Uvivu, nakereka sana na hizi chaneli zetu kuonesha chaneli za nje mfanotbc_cctvitv_bbc, aljazeerastar tv_dwchanel ten_sky newsna wakati hizo chanel zote...
View ArticleMWANAMUZIKI H-BABA AKUTWA KITAA AMEMBEBA MTOTO WAKE MGOGONI
Mwanamuzi Maarufu wa Bongo Flava H-Baba Hivi Karibuni amekutwa amembeba mtoto wake mgogoni kwa kutumia mbeleko kama wabebavyo wamama huku akiwa hana habari na mtu alipoulizwa alisema yeye anapenda...
View ArticleWEMA SEPETU "ALL I NEED IN THIS LIFE I SWEAR. JUST ME AND MY BABY"
She shared this pic on Instagram with a caption "All I need in dis life I swear, jus me nd my baby....."
View ArticleHATIMAYE COLONEL MUSTAPHA AWAOMBA RADHI WANAWAKE WA AFRIKA MASHARIKI
Baada ya Nyota Ndogo wiki iliyopita kufanya maandamano na wanawake wengine mjini Mombasa Kenya kupinga kile walichokiita ‘udhalilishaji dhidi yao’ uliofanywa na rapper Colonel Mustafa na kumtaka...
View ArticleOSTAZ JUMA AKAZIA UCHUMBA KWA JOHARI
Na Gabriel Ng’oshaPENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi.Habari zilizolifikia Amani...
View ArticleUKWELI KUHUSU TREY SONGZ KUWA SHOGA!
Jana katika mitandao mbali mbali ya kijamii ilionyesha snap inayodaiwa kupigwa katika akaunti ya msanii Trey Songz na kudai kuwa amekubali mbele ya jamii kwa yeye ni "Shoga", katika snap hiyo...
View ArticleALI KIBA AUKANA WIMBO WAKE MPYA"SIFAHAMU LOLOTE KUHUSU HUO WIMBO WANGU MPYA"
Siku kadhaa baada ya kusambaa wimbo ulioaminika kuwa ni wa Ali Kiba ukiwa na jina la Rosa, mwimbaji huyo ameukana wimbo huo na kudai hafahamu lolote kuhusu wimbo huo na hata hajawahi kuusikia.“Nyimbo...
View ArticleSNURA"NITAPUNGUZA VIUNO KATIKA VIDEO ZANGU ILA KWENYE SHOW NITAZIDISHA MAUNO"
Mwimbaji wa bongo flava ambaye pia ni muigizaji wa filamu za kitanzania, Snura amesema kuwa amepunguza viuno kwenye video za nyimbo zake kutokana na kukosolewa na hata kutolewa kwenye baadhi ya...
View ArticleVICTORIA KIMANI" SIDHANI KAMA KUNA KITU KAMA FREEMASON AU ILLUMINATI"
Victoria Kimani, mwimbaji aliye chini ya usimamizi wa Chocolate City yenye makao makuu nchini Nigeria ameeleza kile anachoamini kuhusu uwepo wa freemason au Illuminati kwenye muziki muziki wa Kenya na...
View ArticleTUHUMA NZITO DHIDI YA WAZIRI MKUU NDANI YA BUNGE LA KATIBA
Dar es Salaam. Hali ya hewa jana ilichafuka kwenye Bunge la Katiba baada ya mjumbe Ezekiel Wenje kuwatuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda na baadhi ya mawaziri kuwa waliwahonga baadhi ya wajumbe wa kundi...
View ArticleKUNDI LA UKAWA LAWA TISHIO BUNGENI..LAPANGWA KUSAMBARATISHWA
KUNDI la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalowashirikisha wanasiasa wa vyama vya upinzani, maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limekuwa mwiba mkali kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
View ArticleBABA MDOGO AMEINGIA GHAFLA CHUMBANI KWANGU NA KUNIKUTA UCHI NIKIVAA NGUO,...
Baba mdogo wangu ananitaka kimapenzi, alikuja gafla chumbani kwangu na kuingia bila kupiga hodi kuniambia kwamba mama amezimia gafla kutokana na ugonja wa kifafa unaomsumbua.Bahati mbaya wakati...
View Article