Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUCTA "KIMA CHA CHINI CHA MFANYAKAZI KIWE 750,000"

Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kuhutubia wafanyakazi katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WA BONGO NA WANASIASA NAO WALA NDIZI KUPINGA UBAGUZI WA RANGI

Mtangazaji wa MKASI TV Salama Jabir kupitia page yake ya instagram @ecejay amepost picha ya mastaa kadhaa wa bongo wakiwemo wasanii D-Knob, Godzilla Producer Marco Chali na wengine wakiungana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LE MUTUZ AFANYA KWELI KWA YULE KIJANA ALIYE SAMBAZA PICHA NA VIDEO ZA UCHI ZA...

HUYU NDIYE KIJANA WA MIAKA 27 ANAYEITWA ELIMRINGI MOSHI MWANAFUNZI WA MWAKA 3 IFM ALIYEMREKODI KWA SIRI BILA KUJUA MSICHANA WAKE ANAYESOMA NAYE NA KISHA KUTOA PICHA NA VIDEO YA UCHI WA MNYAMA WA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHINDI WA NGORONGORO HEROES NI KAMA ZALI LA METANTALI

TIMU ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ juzi Jumapili ilivuka hatua ya awali ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana lakini timu hiyo haikubahatika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA NA DIAMOND WAPEANA MAHABA LIVE BARABARANI..DENDA NJE NJE

Wema Sepetu na Mpenzi wake Diamond Platnumz walionekana maeneo ya Bamaga wakipeana mahaba niuwe live live , Wema alikuwa nje ya gari huku diamond akiwa ndani ya gari Wema alikuja Dirishani na Diamond...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU GANI HAPA BONGO HUWEZI KUISHABIKIA HATA SIKU MOJA?

Timu gani hapa Bongo huwezi kuishabikia hata siku moja?A: Mbeya CityB: YangaC: SimbaD:AzamE: Nyingineyo, itaje

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO BONGO, WALIO TIMULIWA MALIASILI WARUDISHWA KAZINI

VIGOGO wa Wizara ya Maliasili na Utalii, waliotimuliwa kazi hivi karibuni na Waziri Lazaro Nyalandu, wamerejeshwa kazini.Taarifa za ndani ya Wizara zilizofikia gazeti hili jana, zilieleza kuwa vigogo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"HAIWEZEKANI BADO TUNAMUHITAJI DIDIER KAVUMBAGU YANGA" CHARLES MKWASA

KOCHA Msaidizi wa Yanga Charles Mkwasa amesema aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo Didier Kavumbagu amefanya haraka kusaini Azam kwani alipaswa kusubiri hadi uongozi wa klabu hiyo kumpa nafasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNDANI VIFO VYA WATOTO 3 NDANI YA BWANA LA KUOGELEA LANDMARK HOTEL

KUFUATIA vifo vya watoto watatu waliokufa kwa pamoja ndani ya bwawa la kuogelea ‘swimming pool’ kwenye Hoteli ya Landmark, Mbezi Beach jijini Dar, undani  wa vifo hivyo umejulikana, Amani lina kisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI NDIO AINA TATU ZA MICHEPUKO HAPA BONGO

1. Mchepuko wa Lami: huu ni ule ambaohauombi pesa, upo njema unajua designerzote, katulia hana mapepe, uwe nae usiwenae maisha yake yanaendelea.2. Mchepuko wa Vumbi: huu ni ule ooh sinapesa, naomba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WOLPER: NATAKA SERIKALI MBILI, SERIKALI TATU MZIGO

MWIGIZAJI staa Bongo, Jacqueline Wolper ameifungukia rasimu ya katiba mpya ambayo ipo bungeni kujadiliwa kwa sasa akisema yeye matakwa yake ni kuwepo kwa serikali mbili na si tatu wala ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WA CBE DOM WACHAFUANA KWA PICHA CHAFU NA MATUSI JUU INSTARGRAM

Baadhi ya wanafunzi wa CBE Dodoma  wamekerwa na kitendo cha kuchafuliwa kwenye mtandao wa Intagram  na mtu ambaye hawajamfamu kwa jina ingawa baadhi yao wanadai kuwa ni mwanafunzi mwenzao ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI LA GURUMO ALILO PEWA NA DIAMOND LAZUA UTATA KWENYE FAMILIA

AMA kweli asiyekuwepo na lake halipo! Lile gari la aliyekuwa mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi aliyefariki dunia hivi karibuni, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo alilopewa na nyota wa Bongo Fleva, Nasibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUHUSU MLELA KUWA TEJA LA MADAWA YA KULEVYA..

NYOTA wa filamu za Kibongo, Yusuph Mlela amedaiwa kugeuka teja (mbwia madawa ya kulevya) hali inayomsababishia ashindwe kujichanganya na wasanii wenzake katika shughuli mbalimbali.Kikizungumza na Amani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACHENI BWANA MATITI YAKO KAMUONYESHE MUMEO HUKOOO ALAHAAA

Hivi haka kamtindo ka kuacha maziwa watu wayachungulie mnavyofanya wakina dada mna maana gani? Yaani utakuta mtu hadi wa ofisini matiti kayaacha nje au wengine wamevaa nguo zenye V yaani maziwa kila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIPOTI:IMEBAINIKA KUWA WAWINDAJI HALALI NDIO WANAO UA TEMBO

 Ongezeko la kasi ya ujangili nchini limedaiwa kusababishwa na vitendo vya rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na mfumo dhaifu wa usimamizi wa sheria katika Wizara ya Maliasili na Utalii.Kwa mujibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISAIDIE WAFANYA KAZI

Kumekuwa na vyama vingi vya wafanyakazi, lakini kero za wafanyakazi bado zinaendelea kuwapo.Kwa mfano kuna vyama vya wafanyakazi vyenye lengo la kutetea walimu, hata hivyo bado walimu wengi wanaendelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA ZANZIBAR INATISHA WAITEKA ZANZIBAR KIWANJA CHA KUBANDA MAITI

WAKAZI WA KUTOKA KISIWA CHA TUMBATU WALIFIKA KWENYE UKAWA NA MABANGO YAOKIWANJA CHA KIBANDA MAITI MUASISI MZEE NASORO MOYOALIFIKA KWENYE UKAWAMAKAMU WA KWANZA WA ZANZIBAR MAALIM SEIF SHARIFF HAMADI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO HII NI AKILI AU MATOPE-KUFUNGA NYAYA JUU YA MTI BAADA YA NGUZO...

Nguzo iliyovunjikaNjia Mbadala Baada ya Nguzo kuvunjikaKutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni   jijini Dar es salaam ambapo mvua hizo zimesababisha uharibifu mkubwa wa mali na  miundo mbinu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGOGO USALAMA WA TAIFA AUWAWA KINYAMA DAR

Ofisa mwandamizi wa idara ya Usalama wa Taifa nchini Bwana Silvanus Mzeru ameuwawa na watu wasiojulikana katika mazingira ya kutatanisha. Mauwaji hayo ambayo taarifa zake zimeibua hofu kubwa, yalitokea...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>