Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Karibu ACT-TANZANIA, wewe ndio mbadala wa CHADEMA na CCM

Chama kilichovunja rekodi kwa kupata usajili wa kudumu miezi michache mara baada ya usajili wa muda; ACT-TANZANIA leo ndio kimekabidhiwa cheti chake cha usajili wa kudumu rasmi na masajili wa vyama vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND "Behind Every Man's Success There is a Strong Woman, Now These are my...

Diamondplatnumz12 hours agoThey say Behind every Man's success there is a strong Woman... Now these are my Starrings...without forgetting my all luvyly and Beautiful, Aunties and sisters 👊👊👊👊...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Team Lemutuz Watupiana Maneno na TeamUkwelinaUwazi Instagram Kisa Ugomvi wa...

Ilianza Hivi:Teamukwelinauwazi3 days agoHuyu Lemutuzi nae ni mbulula wa kwanza Tanzania kama wewe kweli hawa ni superfriends zako unashindwaje sasa kuwaweka chini ukaongea nao na ukajua chanZo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CUF: Wasiotaka Serikali ya Umoja wafukuzwe

Zanzibar. Chama cha Wananchi (CUF) kimesema wanasiasa wanaojadili suala la kuendelea au kutokuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), wanastahili kujiuzulu au kufukuzwa ndani ya vyama vyao.Kauli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la Bajeti Laanza Leo kwa Posho Mpya

Dodoma. Bunge la Bajeti linaanza leo mjini Dodoma huku wabunge wakitarajiwa kuanza kulipwa viwango vipya vya posho, ambazo ni Sh300,000 kwa siku sawa na kiwango wanacholipwa wajumbe wa Bunge Maalumu la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mange Kimambi Afunguka Kuhusu Mpoki Kuzidisha Utani Siku ya Tuzo za Kilimanjaro

Watu Wengi Wamekosoa na wengine kusifia Alichofanya Mpoki siku ya Tuzo za Kilimanjaro Music Kwa Kile Alichokuwa Akifanya Jukwaani kwa Kutania Matani ya Live Live kwa Wahuzuriaji na Wasaniii Siku hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa Haina Mwenyewe Bana...Kama Unabisha Angalia Watu Wanao Oa na Kuolewa

Ukitaka Kujua NDOA HAINA mwenyewe angalia watu wanaoolewa na kuoa...Ni wale usiowategemea kabisaaaaaaaaNdoa haina Kanuni...Kwamba ukifuata Stage 1,Ukavuka Stage 2 basi unaqualify...WALAAAAKuna watu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urembo Kwa Mwanamke Mazoezi ni Muhimu

Mwanamke Ukitaka kuonekana Mrembo na Mwenye Afya Njema Basi Siku Moja Moja Kupiga Mazoezi itakuongezea Muonekana Mzuri Mbele za Watu, Piga Mazoezi Chumbani Mwako sio lazima uende Gim, ila Kama Pesa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mganga wa Diamond Aibuka na Mapya Baada ya Tuzo Saba

Yule mganga maarufu wa mastaa nchini ambaealiwahi kutangaza kuwa amekuwa na ukaribu namwanamuziki Diamond ameibuka na kusemakuwa tuzo hizo saba alizozipata zinamaanakubwa sana kwenye kazi zake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamuzi wa Kenya Jaquar Aanza Maringo Agomea Mwaliko wa Kill Awards..Kisa...

Post hii ni maalum kwa staa wa muziki wa Kenya anaetajwa kuingia kwenye TOP 5 ya Wasanii matajiri wa muziki wa kizazi kipya Afrika Mashariki huku orodha hiyo ikiwa na watu wengine kama Jose...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Meninah-Mwanamke Mrembo Katika Tasnia ya Bongo Flava

Hakika ni Mrembo wa Haja Anayewakilisha Vyema Wanawake katika Tasnia ya Music wa Bongo Flava....Nani mwingine anakutia uzuri wake kati ya waimbaji wa Kike wa Bongo Flava?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chungu Anayoipata Waziri Nyalandu Hata Kaa Aisahau

MACHUNGU wanayokutana nayo mawaziri wanaopewa kuiongoza Wizara ya Maliasili na Utalii, siyatofautishi na yale yatajwayo kupatikana jehanamu mahali kunakotajwa kuwa ni kwenye mateso ya watenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu Mwanamke Kanishangaza Sana..Haridhiki !!

Nina mpenzi wangu anayefanya kazi Morogoro, mwezi march alikuja kunitembelea sababu alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2 na siku 3 tangu afike. Alishikwa na malaria kali ikabidi niombe ruhusa kazini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Napenda Mwanamke Mwenye Matiti Makubwa ila Wenzangu Wanaponda

Wadau naomba kuuliza!Mwanzoni wakati naanza mahusiano ya kimapenzi nilikuwa napenda sana wasichana wenye chuchu ndogo,but as time went on nikajikuta napenda wenye matiti makubwa Kinachonichanganya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Duh! Achana na Azam kwa Mambo ya Fedha

AZAM Tv imefanya kufuru kwa kutoa udhamini wa Sh 361.6 milioni kwa ajili ya kurusha ‘live’ mashindano ya mpira wa kikapu ya Miji Mikuu ya Afrika Mashariki na Kati, ambayo yanaanza leo Jumanne Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Arsene Wenger Asingedumu Hispania Kama Angekuwa Kocha kwenye Ligi Hiyo

KOCHA Mkuu wa West Brom, Pepe Mel amesema kocha Arsene Wenger kushindwa kutwaa mataji kwa muda mrefu huku akiwa na kikosi imara kama cha Arsenal ana bahati sana kwa sababu kazi yake anafanya England na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbeya City: Simba Imekula Kwenu

MBEYA City imewaambia Simba kwamba wamebugi kwa wanachokifanya kwa straika wao, Saad Kipanga na kwamba wao hawamuachii kwani wana mkataba naye.Mchezaji huyo alizungumza na Mwanaspoti na kuihakikishia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C Hoi Kitandani, Adaiwa Kuugua Ugonjwa Mpya

Nimepata Habari kuwa Mwanamuziki Ray C yupo hoi Kitandani Akiugua Ugonjwa Mpya Unaojulikana kama Homa ya Denge...Inasemekana Baada ya kutoa tuzo ya Kill  Siku ya Jumamosi Kesho yake alianza kuumwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fid Q "Nilistahili Kushinda Tuzo ya Kill, Kila Mtu Amefurahi Baada ya...

Msanii Fid Q amehabarisha kuwa kila mtu amefurahi kwa yeye kushinda Tuzo ya Mwana Hip Hop Bora wa Mwaka , Amesema hiyo inajidhihirisha hata kwenye Social Media kila mtu anasifia na kukubali ishindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr Mwakyembe"Madereva wa Malori ya Kwenda Nje ya Nchi Wanatutia Aibu wa...

Dr Mwakyembe Akiwa njiani kwenda Congo Kufungua Kituo cha Bandari ya Tanzania ambacho kitasaidia Malipo kwa Wafanya Biashara wa Wanaopitishia Mizigo ya Bandari ya Dar es salaam aliweza kuona hali...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>