Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

10 DEAD and 70 Injured In Gikomba Market Twin Blasts - AL SHABAAB May Be...

At least 10 people have been confirmed dead after multiple blasts in Gikomba Market on Friday.Initial reports indicate that the first blast went off inside a 14-seater matatu while the second explosion...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jina Kabula Amteka Kimapenzi Madee Wanaongozaja kama Kumbi Kumbi

Siku za Karibuni Mwigizaji wa Sinema za Kibongo Jina kabula inasemekana amelinasa penzi la Mwaimbaji maarufu wa Bongo Flava Madee , Habari zilizozagaa ni kuwa huwa jamaa wanaongozana kila mahali kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu Ndio Mpenzi wa Hashim Thabit Aliye Zaa Nae..Jokate Upo!

Mtanzania anayecheza mpira wa kikapu katika timu kubwa ya ‘Thunder aka OKC’ katika jijini laOklahoma, Marekani Hasheem Thabeet aka Hasheem The Dream wiki sita zilizopita amepata mtoto wa kiume(Baby...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Messi Akubali Kubaki Barcelona, Sasa Amzidi Ronaldo Kwa Mkwanja

LIONEL Messi amekubali kusaini mkataba mpya katika klabu yake ya Barcelona na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani ambapo atakuwa anavuta mkwanja wa paundi milioni 16.3 kwa mwaka.Baba yake, Jorge,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu na Aunt Ezekiel Wamwingiza JB Mkenge

IMEKULA kwake! Wauza nyago kwenye sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wamemuingiza mkenge staa mwenzao, kaka mkubwa Jacob Steven ‘JB’ baada kukubali mwaliko kisha kumkatalia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaburi la Shehe Yahya Lajengwa Kikristo, Familia Yang'aka na Kusema Haya

MAKUBWA! Kaburi la aliyekuwa Mnajimu Mashuhuri Afrika Mashariki, marehemu Shehe Yahya Hussein limejengwa tena baada ya hivi karibuni kubomolewa na watu wasiojulikana, lakini sasa limedaiwa kujengwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sasa ni Wakati wa Wachezaji wa Taifa Stars Kuwafuta Machozi Watanzani

Na Baraka MbolemboleBrazil inaweza kuwa nchi pekee katika soka ambayo waandishi wake wa habari wanaweza kuungana na wachezaji katika kushangili ushindi wa timu na kuhoji wachezaji inapotokea wachezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu: Sheria Gani ilimruhusu Salma Kikwete Kufanya Mkutano wa Siasa...

Mh. Tundu Lissu mbunge na mwanasheria mashuhuri akichangia hoja katika wizara ya mambo ya ndani ameulizia sheria ambayo imemruhusu Salma Kikwete kufanya mikutano ya kisiasa Mtwara wakati jeshi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujana Maji ya Moto, Msaada Kwenye Tuta Tafadhali...

Habari watu wa humu ndani,Mimi ni kijana nina mpenzi wangu tangu tupo advance(secondary school) ,almost ni kama miaka nane hivi tupo ndani ya mahusiano.Tukafanikiwa kupata mtoto, pande zote mbili za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke Wangu Anakojoa Kitandani...Kila Siku Anavaa Pampasi Usiku

The situation is so embarrassing that she wears diapers to sleep. She blames it on the 3 kids we have but I do not believe this. True she was not like this when we got married, the first time she wet...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yashikwa pabaya bungeni

Dodoma/Dar es Salaam. Kashfa ya zaidi ya Sh200 bilioni za Akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imechukua sura mpya baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kudai kuwapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Njaa Yaisukuma Familia Kula Nyama ya Paka

Siyo rahisi kwa mtu ambaye anapata chakula kutwa mara tatu, kuamini kuwa kuna binadamu ambao wanaweza kuishi hata siku tatu bila kupata hata mlo mmoja.Hata hivyo ni ukweli usiopingika kuwa wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGIZAJI na Muongozaji Filamu Adam Kuambiana Amefariki Dunia

MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya kuamkia leo. Marehemu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miss Atupia Picha Za Nusu Utupu Instagram, Ni Rehema Fabian Aambulia Matusi!

MAJANGA! Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian ameonekana hamnazo baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii wa Instagram kisha kuambulia mvua ya matusi.Picha hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Itazame Video Mpya ya Ommy Dimpoz Hapa – Ndagushima

Mwanzoni wimbo huu ulisikika wakati wa utoaji wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2014,ni kutoka kwa Ommy Dimpoz unaitwa Ndagushima,ni wimbo ambao umeanza kuzungumziwa muda mrefu sasa hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Rwakatare acharuka Bungeni! Ngoma za Vigodoro Chanzo

Akichangia hoja ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Watoto Bungeni leo; ameomba kwa uchungu, Watanzania kukemea ukeketaji, ngoma za kudhalilisha kama vile kangamoko na Vigodoro na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WANGU: Amezaa Mtoto Mzungu

Jamani jumatano majira ya saa tisa usiku mke wangu amejifungua.Si masihala, amezaliwa mtoto mzungu kabisaaa ila amefanana kila kitu na mimi (copy kabisa).Hii ni hali ya kawaida? Ukoo wetu hamna mzungu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Arsenal Bingwa FA, Baada ya Miaka 9 Bila Kombe

Arsenal wametwaa kombe la FA baada ya kukaa miaka tisa bila kombe lolote. Wametwaa ndoo hiyo kwa kuifunga Hull City bao 3-2 katika muda wa nyongeza baada ya sare ya 2-2 katika muda wa kawaida kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Atletico Madrid Bingwa Ligi ya La Liga

TIMU ya Atletico Madrid imetwaa kombe la La Liga baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Barcelona kwenye Uwanja wa Nou Camp. Kwa ushindi huo wamefikisha pointi 90 wakati Barcelona wakiwa na pointi 87 sawa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mume Amkata Mkewe Sehemu za Siri Baada ya Mke Kusema Amepata Bwana Mwingine Bora

UNYAMA wa kutisha! Gasto Edward (32) amemkata mkewe Mwelu Raymond sehemu zake za siri, Risasi Jumamosi lina simulizi hii ya kusikitisha. Tukio hilo lilitanguliwa na kumpiga mkewe huyo na kipande cha...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>