Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama wa Kizungu Atoka Rwanda Kuja Bongo ili Diamond Amwimbie Happy Birthday...

Kama Diamond Platnumz angekutana na Eiden usiku wa kuamkia Jumamosi ya leo, huenda angemfanya mwanamke huyo wa kizungu kuwa mwenye furaha kuliko watu wote duniani. Mwanamke huyo ambaye usiku huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kimenuka Yanga, Mastaa Wapukutishwa

YANGA iko kwenye taratibu za kuachana na wachezaji wake mahiri ambao kuna uwezekano mkubwa wakatua Simba kwani baadhi yao wameshafanya mazungumzo ya awali Msimbazi. Wachezaji hao ni kiungo mwenye nguvu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afia Kaburini Baada ya Kunaswa na Kitu Akijaribu Kufukua ili Aibe Fuvu

Vyombo vya habari vya Nigeria vimeripoti habari ya mtu mmoja aliyekutwa amefia kaburini kwamba  alikubwa na umauti wakati akifanya jaribio la kufukua kaburi ili aibe fuvu la marehemu kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Producer Mtanzania Anaedaiwa Kuwa Mpenzi Mpya wa Nazizi Aeleza Jinsi...

Suala la 'nani ni mpenzi mpya wa Nazizi baada ya kuachana na mmewe' lilipata jibu pale ambapo mtayarishaji wa muziki wa Homeboyz records, mtanzania Hery Sappy alipotuma picha zilizojieleza kuwa yeye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian sasa Kufungwa Italia na si Ufaransa

Ripoti mpya zinadai kuwa harusi ya rapper Kanye West na mama wa mwanaye Kim Kardashian sasa itafanyika Italia na sio Paris, Ufaransa kama ilivyodhaniwa awali.Entertainment Tonight imeripoti kuwa wageni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Mpaka Sasa Anaongoza Kwa Kura BET Awards..Piga Kura Hapa Sasa Hivi

Ni siku chache tu zilizopita toka Diamond Platnumz ametangazwa kuwania tuzo za kituo cha Television cha Marekani BET akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki kuchaguliwa kuwania tuzo hiyo huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picture of The Day..Studio Time With My Producer

Can you Guess who is This Gal ? Tip: Ni Mbongo Flava Akiwa Studio Akifanya Yake..

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Jose Mourinho is a fool for questioning my age' - Samuel Eto'o

Well, Sameul Eto'o can talk now because his contract with Chelsea is finished. He's finally responded to his former coach Jose Mourinho's comments about him being older than 33. Speaking with reporters...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Masogange Ayatikisa Makalio Yake Kwa Makusudi Mbele ya Wazungu

Kwa mara nyingine tena mwanadada Agnes Masogange amerekodiwa na watu wake akiwa anatembea kwa kuyatingisha makalio yake akiwa nchi za mbele....Hii sio mara ya kwanza kufanya hivi...alishafanya VIDEO...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sahau kuhusu Vera Sidika, Corazon Kwamboka, Risper Faith na hata Agnes...

Hapa East Africa kuma ma Model wasiozidi wa tano ambao wanatikisa mitandaoni.....ambao ni Vera Sidika, Corazon Kwamboka, Risper Faith hawa wote kutoka nchini Kenya...Nakwahapa bongo tunajivunia Agnes...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daktari Asahau Kitambaa Tumboni Wakati Akimfanyia Mzazi Operation..Kizazi Chaoza

MKAZI wa wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Mwamini Adamu ametolewa mfuko wa kizazi na kukatwa sehemu ya utumbo baada ya mganga wa idara ya upasuaji katika wilaya hiyo kusahau kitambaa tumboni kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanaouza na Kuwafanyisha Biashara ya Umalaya Wasichana China Wanaswa

BAADA ya kuwepo malalamiko ya wasichana wadogo wa nchini kusafirishwa kwenda China kutumikishwa katika biashara ya ngono pamoja na dawa za kulevya, sasa serikali imenasa mtandao huo.Waziri wa Mambo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kufa kufaana, Tanzania itumie Wakati Huu wa Machafuko Kenya Kujitangaza Utalii.

Kama mjuavyo, majirani zetu wanasumbuliwa na magaidi wa alshabaab ambao wako bize kulipua mabomu kila sehemu Kenya na kuifanya nchi hiyo kutokuwa salama tena.Inasikitisha sana, lakini nadhani ni wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr Slaa: 2015 Upinzani Tutamsimamisha Mgombea Mmoja Urais

Akihutubia maelfu ya wakazi wa jiji la arusha mapema jana katika mkutano wa [ukawa]katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo,chadema,dr wilbod slaa, alisema,tumefikia makubaliano kama [ukawa]...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpenzi Wangu Ananinyonya Nyuma..Sipendi Nashindwa Nimzuie Vipi..Ushauri Please

Mimi nimeolewa miaka 8 iliyopitanna watoto watu na mume wangunnampenda na yeye ananipendaniliolewa nikiwa na miaka 19 nihadith ndefu naomba uchukuwemuda kuisoma, aliniona throughfamily friend...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Alipigwa Marufuku Kuendesha Harambee, Sitta Anagawa Pikipiki na...

Mh. EL alipigwa stop na chama chake shughuli mbalimbali za kijamii ikiwamo ya kuendesha harambee kwa tafsiri kuwa, ni dalili za rushwa kwa ajili ya kusaka uraisi. Je mbunge wa Irambo, Waziri wa Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marekani Kuhamishia Shughuli Zake Tanzania Kutoka Kenya!

Serikali ya Marekani imesema itapunguza wafanyakazi katika ubalozi wake nchini Kenya kutokana na kitisho cha ugaidi.Marekani imechukua hatua hiyo baada ya vitisho na mashambulizi ya kigaidi kuzidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majanga:Bango la Matangazo Barabarani Laangukia Gari Round About Kawe

Serikali ipige marufuku makampuni ya kutengeneza Mabango kuweka mabango karibu na Barabara ya wekwe mbali na barabara mita 20 kutoka Barabara kuu hili limeanguka Round about ya Royal Oven njia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Updates: Kwanini Shabiki wa Diamond Platnumz Hutomwezesha Ashinde Tuzo za BET

Bila shaka umeshakutana na tweets au picha kwenye Instagram inayoonesha upigaji kura wa tuzo za BET ambapo kwenye kipengele cha Best International Act: Africa, Diamond anaonekana kuongoza. Well, ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mapenzi ya Rihanna na Drake Yadaiwa Kwenda Likizo kwa Mara Nyingine

Imeripotiwa kuwa Drake na Rihanna ambao walionekana kurudisha mapenzi yao kwa miezi michache iliyopita, inasemekana wawili hao wamerudi tena likizo ya mapenzi.Chanzo kimeiambia US Weekly kuwa Riri na...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>