Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109450 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unaambiwa Hii Ndio Nguo Atakayo Vaa Diamond Kwenye BET Awards...Imetengenezwa...

BET Awards zinakaribia kufanyika na Diamond Platinumz anaelekea huko kwasababu amekuwa nominated kwenye kipengele cha Best African Act. Diamond atapita kwenye Red Carpet itakayo tumiwa na wasanii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tabia za Mama Mkwe Ndio Tabia za Mkeo..Chukua hiyo Kubali Au Kataaa

Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya nimegundua kwamba tabia za mama mkwe ndio tabia za mkeo upende usipende.kwahiyo kama una mpango wa kuoa usiishie kumchunguza mchumba wa kike ambaye wakati wa uchumba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kenya Airways Reports Second-Half Loss as Attacks Scare Visitors

Kenya Airways Ltd., sub-Saharan Africa’s third-biggest carrier, posted a second-half loss after attacks by Islamist militants in the country and a fire at the main airport in the capital scared off...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Werema Adaiwa Kumtishia kifo Kafulila Bungeni Dodoma

Mwanasheria mkuu wa serikali jaji Fredrick Werema ametuhumiwa kumtishia kifo mbunge wa Kigoma Kusini mh David Kafulila,Imedaiwa kuwa jaji Werema alimtolea maneno hayo ya vitisho mh Kafulila jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukiwa na Mpenzi Mwenye Haiba hii, Kujenga Uhusiano Imara ni Mashaka

Wataalamu wa tabia na mienendo ya binadamu wanasema, kuna Makundi kadhaa ya haiba. Wana maana kwamba, binadamu wamegawanyika katika Makundi kitabia.Je, wewe uko kwenye kundi lipi?Hiki ndicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee wa Kanisa Aaibika, Kisa Vibinti Under 18, Achomoliwa Gesti Apelekwa...

Stori: Richard Bukos na Issa MnallyTumekwisha! Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya kukurupushwa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakati Hata Arobaini Bado Mke wa Marehemu George Tyson Ataka Mali zake

Stori: ShanI Ramadhani na Mayasa MariwataWakati hata siku arobaini hazijatimia, mke wa marehemu George Otieno ‘Tyson’, Beatrice Shayo juzi alicharukia mali zake baada ya kuamua kutinga nyumbani kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'Mwezi Mtukufu Huu ni Kutulia na Kujipodoa tu, Mkorogo Utanikoma' Maimartha...

Mtangazaji ambaye pia ni mjasiriamali, Maimartha Jesse amesema anafurahia ujio wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwani kazi yake itakuwa ni kutulia na kujipodoa tu.Akipiga stori na Ijumaa Mai alisema mwezi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diva Loveness'Huwa Mnahisi niko na Fimbo nini? Nina Mguu, Nina Hilo Tako...

DIVA Shows Off Her  Body Mtakoma Mwaka Huu.....Team Nanilii Mpo? Hakuna kuedit Hapo kitu kipo real Kabisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hali ya Jack Gerezani Macau Nchini China Siyo Nzuri

UNAWEZA kusema ni majanga juu ya majanga yanazidi kumkumba modo wa Bongo, Jacqueline Patrick ‘Jack’ baada ya wiki iliyopita kushindwa kupanda kortini kufuatia kutetereka kwa afya yake bila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Jokate na Pozi Lenye Utata..Shanga na Kiuno

Mwanamitindo maarufu na mbunifu wa mavazi nchini, Jokate mwegelo (pichani) akiwa kwenye pozi lenye utata..Watu na Viuno vyao Shanga pale kati

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Samuel Misago(EA Radio/TV) vs B-Dozen(Cloudz FM) nani zaidi?

1.SAM MISAGO vs B-TWELVE2.ADAM MCHOMVU vs ABDALA(dulla wa planet bongo)*hawa jamaa wanaendana sana kiutangazaji bila kusahau 'swaga' na wote wako hot kiukweli(wanajua),yupi anakukosha zaid kati yao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni Watanzania Wangapi Wamefungwa Brazil Mwaka Huu kwa ishu za Dawa za...

January 2014 balozi wa Tanzania nchini China aliongea kwenye exclusive interview na millardayo.com na kusema Watanzania wanaoshikiliwa kwenye magereza mbalimbali nchini humo hawazidi 200 lakini idadi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msikilize Nuhu Mziwanda na Shilole Wakiongea Kuhusu Penzi leo na Kuhusu Ndoa

Wapenzi wanaotoka kiwanda cha muziki Tanzania Nuh Mziwanda na Shilole leo walikua kwenye kipindi cha Leo tena ambapo walikua kama wageni kwenye kipengele cha Hekaheka,sasa yameibuka mengi ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk Salim: Sina Mpango na Urais 2015, Sifikirii Tena, Hii ni Zamu ya Kizazi...

Asema alipogombea 2005 alibaini kwamba mbali na rekodi ya utendaji, kuna mambo mengine yanayohitajika katika kinyang’anyiro hichoDar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema hana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanachama 34 CUF wawakataa Seif, Lipumba

Wanachama 34 wa Chama cha Wananchi (CUF), wamepiga kura za kuwakataa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad.Hata hivyo, pamoja na idadi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Werema: Nina watoto halafu natukanwa?

TAFRANI iliyojitokeza bungeni juzi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick Werema kumuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila(NCCR Mageuzi) tumbili, naye kumjibu kwa kumuita mwizi imeingia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yapiga Marufuku tabia ya Trafiki kujificha Vichakani kuvizia magari...

Serikali imepiga marufuku tabia ya askari Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kuvizia magari katika barabara kuu wakiwa na kifaa cha kupima mwendo kasi wa magari.Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amina Maige akana Shitaka la kumchoma Pasi na Kumng’ata Hausigeli...

Mkazi wa Mwananyamala, Amina Maige(42) anayetuhumiwa kumng’ata mfanyakazi wake wa ndani,  amepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali baada ya upelelezi wa kesi hiyo kukamilika. Amina  alisomewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mungu Hashindwi Hatimaye Flora Mbasha na Mumewe Wapatana

HAKUNA neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa! Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana, Risasi...

View Article
Browsing all 109450 articles
Browse latest View live