EXCLUSIVE: Brand New Video By Shetta ft Diamond Platnumz - Kerewa Bonyeza
Listen and share Kerewa by Shetta and Diamond Platnumz! SHETTA is a Bongo Flava artist from Tanzania.
View ArticleMwanariadha Mwenye Ujauzito wa Miezi Nane Akimbia Mita 800 kwa Dakika 2
Alysia Montano, mwanariadha wa kike na mshiriki wa Olympic aliyewahi kushinda mara tano mashindano ya riadha ya Marekani ambaye hivi sasa anaujauzito wa miezi 8, bado anashiriki riadha na hali...
View ArticleBen Pol Atoa Wimbo Mpya..Unaitwa Upendo..Sikiliza na Download Hapa
Ben Pol Atoa Wimbo Mpya..Unaitwa Upendo..Sikiliza na Download Hapa chini:
View ArticleMaswi: Zitto na Kafulila ni Washenz* na wala rushwa...! Asisitiza Kafulila ni...
SAKATA linalohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), limechukua sura mpya baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, kuwashambulia kwa maneno...
View ArticleMbowe na Dr Slaa sasa kwisha; kushtakiwa rasmi na wajumbe Baraza Kuu!
Mhe Mbowe, ambae ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa, na katibu mkuu wa chama hicho, Dr Slaa, wamekumbwa na pigo kubwa baada ya wajumbe wa baraza kuu kuwakalia kooni vigogo hao wawili wa CHADEMA.Itakumbukwa...
View ArticleKuvimbisha Nyonyo na Kuyanyanyua ni Urembo au Mitego?
Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa , wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku wakiwalaghai...
View ArticleKila Akikolea Kwenye Tendo Uniuliza ''Mpenzi wangu Unataka nini Nikupatie''...
Mpenzi wangu wakati wa mechi ; uwa mkimya lakini muda ukizidi kukolea akizdiwa wakati waUanza kuniuliza kwa kelele ''mpenzi wangu unataka nini nikupatie'' mimi uwa nashindwa jibu la kumpatia.Kwa vile...
View ArticleLulu Michael: Natongozwa na Wanaume Wengi sana Mpaka Nabadili Namba Kila...
Wakati wanawake wengine wakionekana kubembeleza penzi na kujinyenyekeza kwa wapenzi wao ili wasiachike, Lulu Michael anasema hana muda huo kwani uzuri wake unatosha kuwavuta...
View ArticleSHEHE Mkuu Amcharukia Jackline Wolper
TABIA ya staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kubadilibadili dini mara kwa mara imeonekana kuwakera watu mbalimbali akiwemo Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum ambaye...
View ArticleMtoto wa miaka 13 aikoa Nigeria Kulipuliwa na bomu kubwa
Siku chache baada ya kutokea shambulizi kubwa la bomu katika soko kubwa ‘Mall’ jijini Abuja, Nigeria mtoto mwenye umri wa miaka 13 amesaidia kuwaokoa raia wa Nigeria kushambuliwa na bomu kubwa baada ya...
View ArticleMsichana aliyemuua mama yake kwa kumchoma visu mara 151 akwepa jela
Taarifa kutoka Colorado, Marekani zinaeleza kuwa Msichana mwenye umri wa miaka 19, anaefahamika kwa jina la Isabella Yun-Mi Guzman ambaye alimchoma mama yake visu mara 151 ameachiwa huru.Mahakama...
View ArticleFull time ya Brazil vs Chile na Colombia vs Uruguay
Hatua ya mtoano katika michuano ya kombe la dunia imeanza rasmi leo kwa michezo kati ya Brazil vs Chile na Colombia vs Uruguay.Kwenye mchezo wa kwanza, waaandaji wa Michuano Brazil wametinga Robo...
View ArticleUKATILI: Mkasa wa Binti aliyebakwa na Baba yake na kuambukizwa UKIMWI
“Amini usiamini hizi ni zama za mwisho mwanangu, mimi hili suala bado haliniingii akilini kabisa, kwani nilizoea kusikia kama hadithi kuwa mzazi ana uhusiano wa mapenzi na mwanawe, lakini leo hii...
View ArticleMa-handsome Na Wenye Pesa Hawana Lolote Kitandani
Kundi la kwanza: Ma-handsome boys, hawa kitandani ni hovyoo kabisa, wanadhani watapendwa kwasababu ya sura zao pekee na si kugegeda.Kundi la pili: Wanaume wenye pesa, hawa wanadhani watapendwa kwa pesa...
View ArticleDr Slaa Aikalia Kooni Serikali Ufisadi wa Fedha za ESCROW
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amevunja ukimya na kuitaka serikali iache porojo kuhusu ufisadi mkubwa wa Fedha Escrow.Dr Slaa ambaye kwa sasa ndiye kiongozi mashuhuri zaidi wa upinzani nchini...
View ArticleLaiti CHADEMA wangezingatia ushauri wa Zitto Kabwe kisingekufa kwa style hii
Bado nazid kukihurumia sana chama hiki.Chama kilichokawa kinachukua kasi ya kusambaza mabadiliko na kuichallange CCM lakin migogoro isiyokwisha na uchu wa madaraka wa viongoz wa juu wa chama hiko...
View ArticleBoko Haram waanza kuadhibiwa Kichawi......Nyoka wa Ajabu na Nyuki Wawatoa...
Wanajeshi wa Boko Haram wanaofanya mashambulizi na kuua raia wasio na hatia huko Nigeria wamedaiwa kuanza kukimbia msitu baada ya nyoka wenye sumu kali na nyuki kuwashambulia.Habari hizi zilielezwa na...
View ArticleWema Sepetu na Kajala Masanja Wamaliza Tofauti zao.
Habari mpya kama sio njema ni kuwa Wema Sepetu na Kajala Masanja wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘beef’ lao lilichukua week kibao sasa. Kwa mujibu wa taarifa mpya mitandaoni ni kuwa mastaa hao...
View ArticleE FM Radio Yaendelea Kunyakuwa Watangazaji Maarufu Bongo..Huyu Mwingine...
Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo amejiunga na Radio ya Efm ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana na...
View ArticleKimenuka Ndoa ya Tatu ya Dida Yavunjika Siku Chache Kabla ya Mwezi Mtukufu
KIMENUKA! Siku chache kabla ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuanza, ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ na mumewe anayepiga mzigo TV1,...
View Article