Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109490 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aibu! Vunja Jungu yamtokea Puani Njemba…Anaswa akila URODA na Mke wa Mpangaji...

Vunja jungu! Saa kadhaa kabla ya kuanza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, jamaa aliyetajwa kwa jina moja la Lugali ameibua sekeseke kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti), kisa kikidaiwa ni mchepuko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliye Kuwa Akizuia Magari Yasikanyage Maiti Barabarani Nae Agongwa na Gari na...

WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi akiwamo Emmanuel Ndahani (39) mkazi wa Kibamba, aliyegongwa na gari na kufariki dunia alipokuwa akiweka alama za matawi kuzuia gari zisikanyage...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bongo Billionaire Le Mutuz Aopoa Kifaa cha Uganda Billionaire Zari ?

Bongo Billionaire Le Mutuz Aopoa Kifaa cha Uganda Billionaire Zari Really? Bilionaire

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jina la Diamond Laandikwa Kwenye Hollywood Walk of Fame

Diamond yupo jijini Los Angeles Kuhudhuria utoaji wa tuzo za BET jpil trh 29..na moja ya kitu ambacho itakua ni arama na kumbukumbu kubwa kwake,ni jinalake kuandikwa kwenye sakafu ya HOLLYWOOD WAKE OF...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtangazaji Regina Mwalekwa Aikimbia Clouds FM, Apata Deal la Nguvu Redio Kubwa

Leo Asubuhi Mtangazaji wa Clouds FM Mwanadada Regina Mwalekwa Ametangaza wazi kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM kuwa anaacha kazi rasmi katika kituo hicho alichofanya kwa muda mrefu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzuri Wooote...Kilichonitumua ni Harufu Mbaya ya Ikulu

Washkaji wote chuo walikuwa wanamtolea macho huyu dada,alikuwa ni mzuri sana,yaani kwa ukubwa na shape ya makalio yake alibandikwa jina la ''MARKING SCHEME''..yaani makalio yake yanasahihisha makalio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ni listi mpya ya Forbes ya most powerful celebrities na pesa walizoingiza...

Forbes mtandao unaoaminika kwa kutoa list mbalimbali za uhakika hivi sasa wametoa list ya most powerful celebrities pamoja na pesa walizoingiza tangu June 2013 hadi June 2014.Beyonce amefanikiwa kunaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili: Mbowe, Dk Slaa Hawana Sifa Kugombea Uongozi Tena Chadema Baada ya...

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema  Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk Willibrod Slaa hawana sifa za kugombea tena uongozi wa chama hicho kwa kuwa wanabanwa na katiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHAGUZI MKUU SIMBA: Aveva apata ushindi wa kimbunga

Evans Aveva ameula baada ya kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa klabu ya Simba katika uchaguzi mkuu uliofanyika juzi kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la Polisi, Oysterbay jijini Dar es Salaam.Aveva alipata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABY MADAHA: Siolewi kwa kufuata Mkumbo…Pesa Ndiyo Kila Kitu Kwangu

STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema anaishi katika staili ya kivyake hivyo kamwe hawezi kuolewa kwa kufuata mkumbo kama ilivyo kwa wasanii wengine.Akipiga stori na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Henry kilewo 'Hebu Msajili wa Vyama Tumia Akili Yako Acha Kukubali...

Nimesikitika sana siku ya leo kwakuona taarifa juu ya msajili na chama changu cha chadema, hivi msajili umekubali kuitumikia akili yako kwa kuiweka mfukoni ili uisaidie ccm 2015? Kama katiba ya 2006...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATNUMZ...Has Really Changed This Game na Anastahili HESHIMA Kama...

TUMHESHIMU HUYU MTU:NALETA HOJA TASHTITI ALFAJIRI NA.MAPEMANazidi kuchimba na najiuliza tu maswali...Walisema anatumia Ndumba...Je,Ndumba inavuka bahari??TUTAZAME HISTORIA KIDOGOMWAKA 2011 tuzo ya BET...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tid Amtukana Ray C 'Bitch Leave Me Alone' ni Baada ya Ray C Kumuomba Wazungumze

Harakati za Rehema Chalamila aka Ray C kukiokoa kizazi cha Tanzania katika janga la matumizi ya madawa ya kulevya si rahisi kama unavyodhani.itihada za kutaka kumuokoa muimbaji mwenzie, TID anayedaiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwanini Diamond Alimuacha Wema Sepetu Tuzo za BET?

Kama unakumbuka vizuri kwenye tuzo za MTVMAMA...Msanii diamond aliongozana na KIJIJI..yani ni kundi kubwa la watu, kuanzia kina tale, Fella, Aunt Ezekiel, na wengine kibao akiwepo mama la mama yani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watangazaji watanzania mjifunze kutoka kwa Regina Mwalekwa

Kwanza Hongera Kwa Kupata Kazi Mpya BBCYaani hakuna watu wananikera kusikiliza kama hawa vijana ambao wanajiita "wanavipaji" vya utangazaji na mbaya zaidi hawana taaluma ila wanaishi kwa kudra za Mungu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

E. Mbasha kwa Nini Hukujibidisha Upate Hela Zako?

Pole kwa yaliyokukuta but cha kujiuliza pamoja na kuwa kwenye game zaid ya miaka 10 (kwa ufadhili wa Flora) iweje leo unalia lia tu kwenye media kuwa Flora kakuacha? Kwani huna kisomo, nguvu na maarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanaume kama hujui kutunza utaishia kuitaga shemeji

Sasa leo nataka niseme kitu kimoja kwenu wanaume,Mwanamke mzuri anahitaji pesa jamani,usitegemee utampata mwanamke mzuri kwa sasa hivi kama hauna mkwanja mrefu,hilo sahau kabisa,Vinginevyo utaishia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Touching Story:Mchungaji wa Kanisa Aamua Kumuoa Kahaba

Hili ni simulizi la  kweli linalomhusu mwanamke  mmoja ambaye alikuwa ni kahaba  wa makahaba......Mwanamke  huyu  alijitambua  vyema  na  kukiri  ndani ya  nafsi yake kuwa hawezi  kuolewa  na maname...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyekuwa Mume wa Dida Edzen Afunguka Sababu za Kuachana na Kupeana Talaka

Baada ya ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu 'Dida' kudaiwa kuvunjika, mumewe anayepiga mzigo TV1, Ezden Jumanne amefunguka mengi kuhusu sababu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee wa Upako Anthony Lusekelo Adai Kuteswa na Misukule

 MBALI na Askofu wa Kanisa la Full Gosple Bible Fellowship, Zacharia Kakobe kuteswa na misukule inayodaiwa kufufuliwa na baadhi ya makanisa ya kiroho nchini, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Anthony...

View Article
Browsing all 109490 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>