Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mdomo Wamponza Kafulila…..IPTL Yamdai Fidia ya sh. Bilioni 310

Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sumaye Anusurika Kifo Baada ya Injini Moja ya Ndege ya Precision Air Kuzimika...

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amenusurika kifo hivi karibuni baada ya ndege ya shirika la Precision Air, iliyokuwa ikitoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kupata hitilafu ya injini.Ndege hiyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

January Makamba Akomalia Urais 2015..Awashangaa Wanaombeza

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema hatakatishwa tamaa na hatorudi nyuma katika harakati zake anazoziita za fikra mpya na mawazo mapya za kushika dola na kwamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Brazil Wamtupia Virago Kocha Scolari Baada ya Kichapo cha Saba Moja

Hatimae shirikisho la soka nchini Brazil CBF, limemjibu kocha mkuu wa timu ya taifa ya nchi hiyo Luiz Felipe Scolari, kwa kumuarifu halitomsainisha mkataba mpya.CBF wametoa tamko hilo, baada ya Scolari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C asema alivamiwa na kupigwa na Chid Benz ‘amechanganyikiwa na madawa’

Msanii wa muziki na mmiliki wa Ray foundation, Rehema Chalamila aka Ray C amefunguka kwa kusema kuwa alhamisi (july 10) alivamiwa na kupigwa na msanii Chid Benz.Akizungumza na bongo5 leo ,Ray C amesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani Ataja 11 Wanaotosha Kugombea Urais 2015

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete ametaja majina 11 ya wanachama wa CCM wanaofaa kuwania urais kurithi kiti cha baba yake, Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake mwakani.Ridhiwani (35), ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ballali Hakuwa Mgonjwa Wakati Akienda Marekani

Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania, Marehemu Daudi Ballali hakuwa mgonjwa wakati akiondoka na aliugua kwa takriban miezi kumi kabla ya kukutwa na mauti, Mei 16, 2008 nyumbani kwake, Washington...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwarabu Amliza Wema Sepetu Shilingi Million 5

KUNA STAA wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘ameingizwa mjini’ na mhariri wa filamu Bongo mwenye asili ya Kiarabu aliyejulikana kwa jina moja la Chidy kwa kuingia mitini na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukweli Kuhusu Edward Lowassa na Urais 2015

Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote 1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni Aibu kuwa na Waziri kama Membe Wizara ya Mambo ya Nje

Mimi na watanzania wenzangu tunasikitishwa sana na kauli za kujirudia rudia za Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe akitumbukiza Tanzania katika LAANA. Mara hii Membe ananukuliwa na Vyombo vya Habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Epuka Kuingia Katika Mahusiano ya Ndoa kwa Sababu Hizi

Furaha ya maisha ya ndoa haiji kwa bahati, ni matokeo ya juhudi umakini na kushirikisha imani uliyonayo.Katika mambo unayopaswa kuyaepuka unapotaka kuruhusu maisha ya ndoa ni haya yafuatayo....KULIPIZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtuhumiwa wa Kesi ya Tindikali Zanzibar Atiwa mbaroni

Makachero wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja, Alawi Mohammed Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Mtu huyo anatuhumiwa kuhusika na tukio la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vigogo Mamlaka ya Bandari Wapandishwa Kizimbani Jijini Dar Kwa Matumizi...

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya  Bandari (TPA) na Msaidizi wake, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hausigeli wa Miaka 8 Ajeruhiwa Vibaya na Bosi Wake

Mtoto Miseto (8), anayedaiwa alikuwa akifanya kazi za ndani  kwa mama mmoja aliyejulikana kwa jina la  Mary Jerald mkazi wa Kijiji cha Busurwa, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara ameokotwa ufukweni mwa Ziwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa Darasa la Sita Akutwa Kambi ya Machangudoa Akijiuza

Mwanafunzi wa darasa la sita anayesoma shule ya msingi (jina linahifadhiwa kimaadili) amekutwa kwenye kambi ya machangudoa akidaiwa kujihusisha na biashara haramu ya kuuza mwili.Tukio hilo lilijiri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wastara 'Wanaume Wengi Wanataka Wanioe ili Wanitumie Tu' Wadau Imekaaje Hiii?

Msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kuwa tangu mume wake Juma Kilowoko ‘Sajuki’ afariki dunia, wamekuwa wakijitokeza wanaume kibao wakitaka kumuoa lakini amegundua wengi wana nia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Joyce Kiria: Ushauri wa Bure kwa Akina Bushoke Majumbani Mwetu Tumewachoka

Nimekunwa mnoooooo na hii post ya Mange huko www.u-turn.co.tz hii post nimecopy Kirohoo Safi ukitaka orijino ya Mange nenda www.u-turn.co.tzMANGE ''Hivi siku hizi ndo imekuwa fashion ndoa zikiharibia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Le Mutuzi:Ndugu Zangu Sio Kila Kinachonga'aa ni Dhahabu Kuishi Majuu Sio Mchezo

Leo naomba mnipe nafasi nijaribu kuwasaidia baadhi ya ndugu zangu Wabongo ambao hawajafika Majuu na wanaota kufika huko, kwenda kutafuta maisha maana wanaamini kule ni Paradise.Binafsi nilikuwa na hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Watoa Tamko Zito Kwa Rais Kikwete

Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imetoa tamko zito ikieleza kushangazwa na kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kupinga mapendekezo yaliyomo katika Rasimu ya Katiba iliyotokana na maoni ya Watanzania na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe Matatani Wilayani Hai..Ana Kesi ya Kujibu Mahakamani

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>