Vitu Vinavyofanya Wadada wa Kibongo Wapende Wanaume wa Kizungu
Kuna dada leo nilikuwa naongea naye ananiambia yeye anatamani sana aolewe na mzungu kwani ameshaona mambo yafuatayo ambayo a waname wengi wa kibongo hawana,-Wanaume wengi wa kibongo anadai wanapenda...
View ArticlePicha: Mtunisi Awachana "LIVE" Diamond na Wema Sepetu
Msanii mkongwe wa filamu nchini, nice mohamed aka mtunisi amewapa makavu live mastaa wenzie ,diamond pamoja na hawara yake wema sepetu aka mama ubaya ,kwa kitendo alichokifanya staa huyo wa...
View ArticleMange Asutwa live na Mtandao wa Trebellawigs Baada ya kuiba Kazi zao na...
Bi dada huyu amekuwa akiposti bidhaa zake kwenye account ya Insta inayoitwa @hollywoodshopaholics anazodai anaziproduce yeye na kuziwekea price tag za madolare ya maana. Kumbe bwana sio bidhaa zake,...
View ArticleIrene Uwoya Azua Timbwili Kwa Mume wa Mtu
NYOTA wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya amesababisha tena ! Safari hii amekinukisha nyumbani kwa mwanaume aliyewahi kuwa mpenzi wake ( jina tunalo) kufuatia jamaa huyo kufunga ndoa na mwanamke...
View ArticlePenny:Jamani Msinishangae Mimi Kufunga Ramadhani Wakati ni Mkristo
MMTANGAZAJI wa Redio EFM aliyewahi kuanguka kimahaba na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amewafungukia wanaomshangaa kuhusu kufunga mwezi wa Ramadhani na...
View ArticleBaby Madaha'Naomba Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Uishe Maana sina Namna ya...
Na Rhoda JosiahSTAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani umembana kiuchumi kwani kumbi nyingi za starehe zimefungwa kwa hiyo anashindwa...
View ArticleHabari Njema Katika vita Dhidi ya Ugonjwa wa Ukimwi
Kuna uwezekano kuwa janga la ukimwi huenda likadhibitiwa ifikapo mwaka 2030, kulingana na ripoti iliyotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ukimwi.Ripoti hiyo imesema kuwa idadi ya visa...
View ArticleWarembo: Kope za Bandia Zinaweza kusababisha Upofu
Mapokeo ya urembo wa kisasa katika nchi zinazoendelea ni sehemu ya mchango wa urembo na mvuto tunaouona kwa baadhi ya wasichana na wanawake ambao kwa hakika unaleta hamasa ya kuangalia.Hata hivyo,...
View ArticleBaada ya Kombe la Dunia FIFA Yatoa Orodha ya Viwango vya Ubora kwa Mwezi JULY
Shirikisho la soka duniani FIFA, hii leo limetangaza orodha ya viwango vya ubora wa soka, ikiwa ni juma moja baada ya kukamilika kwa fainali za kombe la dunia za mwaka 2014 huko nchini Brazil.Orodha...
View ArticlePost ya Hasheem Thabeet Kuhusu Wanaombeza Nakudhani Amesahau Lugha ya Kiswahili.
Hasheem Thabeet ame-post kwenye ukurasa wake wa facebook kuhusu baadhi ya watu wanaodhani kwamba amesahau lugha ya kiswahili. Sasa hiki ndicho alichoandika Hasheem kwenye ukurasa wake wa facebook.Quote...
View ArticleMaskini Happiness Magese Atumia Mipira Kupata Haja ndogo Baada ya Kibofu Kuwa...
Happiness Magese anasihi wanawake kucheki afya zao mara kwa mara wasije wakakutwa na tatizo kama lake la ugumba ambalo limeharibu na kibofu chake na kupelekea hata kushindwa kukojoa kwa njia ya kawaida...
View ArticleMARTIN KADINDA Afunguka Kuhusu Wanaume Wanaommemzea Mate Wakidhani ni SHOGA
Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema kuwa amekuwa akikutana na changamoto kutoka kwa wanaume wengi wanaodhani kuwa yeye ni shoga na kufikia hatua ya kumtumia ujumbe wa kumtaka...
View ArticleAlikiba Asema Hana Chuki na Diamond, Ampongeza Lakini…’Sifikirii Kuongea Naye’
Wiki Ijayo Alikiba atakuwa mgeni katika kipindi cha runinga cha The Sporah show. Katika promo ya mahojiano yake na Sporah inayoendelea kurushwa kupitia Clouds TV, Alikiba amemzungumzia Diamond Platnumz...
View ArticleKesi ya Mbasha imesomwa Tena Leo na Hiki Ndicho Kilichoamuliwa na Mahakama
Mume wa mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Frola Mbasha,Mr.Emanuel Mbasha leo amepandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka mawili yanayo mkabili ya ubakaji.Katika...
View ArticleEXCLUSIVE!! Irene Uwoya Afunguka Juu ya Tuhuma za Kufanya Fujo Nyumbani Kwa...
NYOTA wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya amefunguka juu ya tuhuma za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu zilizoripotiwa na mitandao mbalimbali ya habari nchini hivi karibuni.Akizungumza exclusively...
View ArticleNdege Nyingine ya Malaysia Yaanguka Ikiwa na Watu 295
Ndege ya Malaysia, Boeing 777 iliyokuwa inatoka Amsterdam kwenda Kula Lumpur imeanguka Mashariki mwa Ukraine karibu kabisa na mpaka wa Russia, leo, July 18.Kwa mujibu wa CNN, waziri wa Malaysia...
View ArticleMange Vs Chagga Bibie:Hili ni Beef Baya Sana Mange Atumiwa Picha za Utupu za...
Haya jana yeye ndo alikuwa na raha na kicheko akishangilia anguko langu akajua kanimaliza nitarudiupareni kulima…… Wapenzi hizi picha sijatumiwa na mwanamke, hizi picha nimetumiwa na mwanaume, imagine...
View ArticleMchungaji Mtikila Amfunguliwa Kesi Askofu Mokiwa Kwa Kumshika Makalio
Mchungaji Christopher Mtikila amefungua kesi katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kumshitaki Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican Tanzania Dk. Valentino Mokiwa.Msingi wa kesi ni kwamba Askofu Mokiwa...
View ArticleSiyo Bure Diamond Platnumz Kwa Hili Utakuwa Umelaaniwa, Huwezi Kumfanyia Baba...
Stori: Erick Evarist na Gladness MallyaOooh! Nooh! Wakati akimpa mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’ gari la Sh. milioni 38 huku akitawanya mamilioni ya fedha kwenye matukio mbalimbali, staa wa Bongo...
View ArticleNape Kudhihaki Wanasiasa Wenzake kwa Kutumia Uzee Wao Sio Maadili ya Kiafrika...
Kila mara nyingi sasa nimemsikia Nape Nnauye katibu wa propaganda, itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi akidhihaki wanasiasa wa upinzani kwa uzee wao. Malengo yake ukiyachambua yamelenga...
View Article