Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAUSTADHI Watembeza Kichapo cha Mbwa Mwizi kwa Makahaba Wanaojiuza Kipindi...

MAUSTADH jijini Dar es Salaam wamefikia uamuzi mzito wa kutembeza bakora kwenye vijiwe korofi vya warembo wanaojishughulisha na biashara haramu ya kuuza miili almaarufu kama machangudoa au machangu kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tarajia Kumuona VJ Penny Kama Mtangazaji Kwenye Show Kubwa ya TV

Mambo yanazidi kumnyookea Ex wa Diamond Platnumz, Penniel Mungilwa aka VJ Penny kwakuwa licha ya kuvishwa pete na kumponya kidonda alichoachiwa na hitmaker huyo, ameendelea kupata deals baada ya deals....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamuzi Bob Junior Naye Afikiria Kutembelea Nyota ya Diamond Platnumz

Msanii wa muziki na producer, Bob Junior amesema kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kolabo na msanii aliyemtoa, Diamond Platnumz.Akizungumza na Bongo5, Bob Junior aliyetayarisha nyimbo za Diamond...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrembo Huddah Monroe Azidi Kutafuta Kick Kwa Kutupia Picha za Utupu Mtandaoni

Kwa Kile Kinachoonekana Mchuano mkubwa wa warembo wenye umaarufu Kenya kupitia maumbo yao mrembo huddah Monroe wa Kenya ambae siku za nyuma alikuwa Gumzo katika Mitandao Ameamua Kutupia Picha akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchambuzi: ‘Kwenu Vipi’ ya Stamina na Nay wa Mitego ni ‘Part 2′ ya ‘Muziki Gani’

Muziki Gani ya Nay wa Mitego na Diamond Platnumz iliwakilisha majibizano kati ya wasanii wanaofanya hip hop na wale wanaofanya Bongo Flava. Lakini kwakuwa majibizano kama hayo yanaendelea kila siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Ajali ya Malaysia Airline…Hii ni Taarifa ya Ndege Nyingine Kutoka...

Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiyo ambayo ilikuwa imebeba wanajeshi 6 wa Marekani wakitoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alichoandika Peter wa P Square Baada ya Kuipotezea Harusi ya Kaka Yake.

Kama kaka yake ambavyo hakuhudhuria harusi yake, basi Peter Okoye na yeye amepotezea harusi ya kaka yake Jude Okoye. Ndugu hao walionekana  kwamba wamemaliza tofauti zao lakini baada ya Peter kupotezea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hivi Chadema nani Kwenu hajawahi Kuitwa Msaliti?

Prof Baregu mulimtukana sana  kwa matusi ya wazi kabisa pale alipotoa ya moyoni juu ya mwelekeo wa chadema na siasa zake! Mlimshambulia huyu Mwl wangu na roho iliniuma sana kwa maana namjua msimamo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuna Siri Gani Wanawake (Wasichana Wengi) Kuwapenda Wanaume za Watu?

Hili suala najiuliza sana hivi inakuaje?au ni justification ya ule usemi ,"Raha ya mwanaume muwe watano"? Kwa My experience rafiki zangu wengi sana ambao wameoa inakua rahisi sana kuopoa msichana bomba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tapeli Lililojidai Kishoka wa Tanesco Ladakwa Live Mlimani City

TAPELI lililokubuhu kwa masuala ya kulaghai watu kwa njia ya kujifanya kishoka washirika la Umeme Nchini, Tanesco, jana asubuhi limedakwa baada ya kuwekewa mtego walipokuwa wakitaka kutapeli kwa mmoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukikutana na Mwanamke wa Aina Hii Ukaingia Naye Mapenzini na Kuoa Basi Unalo

Kuna mdada mmoja nilisoma naye chuo miaka fulani hapo nyuma, sasa jana katika pilikapilika zangu mjini, tukakutana ghafla maeneo fulani, kwa hiyo tukaanza kusalimiana na tukaona ni vizuri tusogee...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kahaba wa Kitanzania Aeleza Alivyosambaza UKIMWI

MWANAMKE mmoja wa Kitanzania aliyefanya ukabaha kwa miaka 18 katika miji mbalimbali ya Tanzania, likiwemo Jiji Kuu la kibiashara la Dar es Salaam na mingine ya Namibia, ameibuka na kueleza jinsi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uongozi YANGA wamchana Ridhiwani KIKWETE…wadai sio Mwanachama wao

Uongozi wa Yanga umesema Mwenyekiti wa Kamati ya ujezi wa jengo la Mafia, Ridhiwani Kikwete siyo mwanachama wa klabu hiyo kwa kuwa hajalipa ada yake kwa miezi sita mfululizo.Katika taarifa yake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rose Ndauka na Charlz Baba "BIFU" Zito

Ni dhahiri kuwa sasa , staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka na Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘ Chaz Baba ’ wapo kwenye bifu zito. Habari kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa ,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Florah Mbasha na Mumewe "NGOMA NZITO"

Imebainika kwamba waimbaji wa muziki wa Injili nchini, Flora Mbasha na mumewe, Emmanuel Mbasha hawajapatana kama ilivyodaiwa awali na taarifa zinasema kuwa mwanadada huyo ameanza maisha yake kivyake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Flora Mbasha kunasa Mimba Gwajima Akimbia Nchi…Waumini Sasa...

Kufuatia  sakata  la  Flora  Mbasha  na  mumewe  likumuhusisha  moja  moja  kiongozi  wa  kiroho  Mchungaji  Gwajima, habari  tulizozipata  ni  kwamba  mchungaji  huyo  amekimbia  nchi….Habari  toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aunt Ezekiel: Sijawahi kumvulia Chupi Diamond na Sifikirii Kumtongoza

Wakati  ikidaiwa  kuwa  mwanadada  Aunt  Ezekiel  anamzunguka  Wema  Sepetu  na  kula  Penzi  la  shemeji  yake  Diamond, sasa  ameamua  kufunguka  na  kudai  kuwa  kamwe  hawezi  kumsaliti  Wema  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mr. Tanzania Adata na penzi la Jack Wolper

Modo  wa  Tanzania  anayejulikana  kwa  jina  la  Calisah  ambaye  amewahi  kushiriki  Mr.Tanzania  2013-2014  ameandika  picha  za  kimahaba  katika  picha  za  msanii  maarufu  wa  filamu, Jackline...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

“Hata kama ni Mwezi wa Ramadhani, Haki ya Tendo la Ndoa lazima Nipewe”….Mume...

Mume  wa  mcheza  filamu  za  kibongo  Jack  Pantezel, Gadna  Dibibi  amesema  kuwa  mwezi  mtukufu  wa  Ramadhani  ni  haki  kwake  kufanya  jambo  lolote  kwa  mke  wake  kwani  wao  ni  wanandoa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muigizaji wa The Vampire Diaries aliyemtumia rais Obama Barua yenye sumu...

Muigizaji wa kike maarufu, Shannon Guess Richardson, jana (July 18) amehukumiwa kifungwa cha miaka 18 jela baada ya kukutwa na hatia ya kumtumia rais wa Marekani Barack Obama barua yenye sumu.Muigizaji...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>