Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Ahoji Wingi wa Kesi za Ponda:Nani Yuko Nyuma ya Kesi Zako?

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemtaka katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda aeleze sababu za kuwa na kesi nyingi, huku akihusishwa na matukio mbalimbali ya uhalifu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nuh Mziwanda wa Shilole alikopi kwa Nick Cannon na Mariah Carey Kuweka...

Mwimbaji wa Bongo Flava, Nuh Mziwanda aliwashitua wengi baada ya kujichora tattoo yenye jina la mpenzi wake ‘Shilole’, tattoo ambayo haifutiki daima. Kitu ambacho kiliwashitua wengi.“Mimi nimefanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tetesi Mpya Kuhusu Kajala Kutoka Kimapenzi na Mwanamuziki wa Bongo Flava

Hii ni post ya Quick Rocka wiki nne zilizopita ambapo aliandika >>> #LatePost…Paula’s graduation. @new_kajala @lamataleahKama zitakua ni stori za kweli inaweza ikawa ni uhusiano mwingine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maskini Zitto Kabwe Azidi Kuchoreshwa na Diva Baada ya Zitto Kumakana...

Kuwa uyaone mengi sio maghorofa bali ni vituko vya binaadam katika hii dunia just imagine Zitto anavyoabika sasa hivi daaah, hivi kweli kuna mwanaume aliekuwa mahabani na Diva naye akasema nina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utafiti: Wanawake Wanene ni Mafundi Jikoni Kuliko Wembamba

Duniani kuna tafiti nyingi na mara nyingi wataalamu wa masuala mabalimbali huja na tafiti tofauti tofauti...Moja ya tafiti ambayo imenivutia kiasi cha kuja hapa jamvini ni utofauti wa ufundi wa jikoni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Najuta: Nilioa Mke Kwa Kuvutiwa Sura na Umbo Lake

Nilidhani nimepata kumbe nimepatikana! Mwaka jana mwezi wa tatu nilifunga ndoa na mke wangu. Tumejaaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume. Kitu kikubwa kilichosababisha nikamuoa ni sura yake ya kuvutia,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe: Mimi ni Kisiki cha CHADEMA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikabidhiwa fomu na makada wa chama hicho na kumtaka awanie tena kiti hicho, ombi ambalo alilikubali na kufungua milango...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtuhumiwa Kinara wa Mauaji ya Wanawake jijiini Arusha Anaswa na jeshi la polisi

Mtu mmoja ambaye inadaiwa kinara wa kuua na kujeruhi wanawake maarufu, wafanyabiashara na wenye vyeo katika ofisi mbalimbali jijini Arusha, Adamu Mussa (30) mkazi wa Majengo Juu jijini Arusha ametiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yanga na Mchezaji Okwi Hapatoshi..Hivi Huyu Mchezaji ana Matatizo Gani ?

Klabu ya Young Africans imemshitaki mchezaji Emmanuel Okwi kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kuwasilisha nakala kwa shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) na shirikisho la soka duniani (FIFA)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sababu Inayosemekana ya Babu Tale kumsimamia Shilole kikazi kwa Sasa ni Hii.

Manager wa Tip Top Connection na Diamond Platnumz Babu Tale inasemekana anamsimamia kwa sasa Shilole kama msanii wake kwa kile ambacho kimeelezwa na Soudy Brown kuwa deni alilokua anadaiwa Shilole.Deni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pochi Yamsitiri Kajala Masanja Kukaa Nusu Utupu

Msanii wa filamu, Kajala Masanja, hivi karibuni alijikuta akiwa kwenye wakati mgumu baada ya kukaa kwenye kiti na kuachia sehemu zake nyeti kiasi cha kuwatoa udenda baadhi ya wanaume.Tukio hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Penzi la Mainda Lagombewa na Wanaume Wenye Uchu

Staa  wa  Filamu  za  Kibongo  aliyeamua  kumpokea  Yesu, Ruth Suka  ‘Mainda’  amesema  amekuwa  akipata  wakati  mgumu  kumjua  mwanaume  wa  kweli  ni  yupi  ambaye  anaweza  kumuoa  na  ndoa  yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukweli Kuhusu Kifo cha Betty Ndejembi, Unyanyasaji Kwenye Mitandao ya Kijamii...

Ninaandika makala hii nikitambua bayana kuwa itamuudhi kila mtu anayeingia mtandaoni kwa minajili ya kuwanyanyasa watu wengine. Lakini siku zote ninaamini katika busara hii: kuuchukia ukweli hakuufanyi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Model Maarufu wa Rasta za Darling Afariki Dunia Kwa Ajali ya Gari, Alimwaga...

Former Miss Mwanza Number Two Model na Mtangazaji wa tangazo la biashara la Nywele za Rasta za Kampuni ya Darling (Inasemekana ndio rasta maarufu zaidi Tanzania), harusi yake ilikuwa njiani kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lady Jay Dee Adaiwa Kuopoa Ka Serengeti Boy , Picha Zanaswa

Na Musa MatejaOHOOO! Siku chache baada ya ndoa ya Legendary wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na mtangazaji mahiri nchini, Gardner Gabriel Habash ‘G Habash’ kudaiwa kuvunjika, gumzo limeibuka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je Wewe ni Mbaya? Jua Dalili za Mdada Mwenye Shepu na Sura Mbaya

1.Ukiona umejipiga ‘selfie’ au hata picha yoyote ukaiweka kwenye facebook nakutag watu mia ukapata ‘likes’ mbili tu ni dalili ya wazi kuwa we mbayaaa.2.Ukiona wakaka wanapenda sana kampani yako lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manji: Tutapigania haki ya kusaka chetu kwa Okwi mpaka kieleweke

Siku moja baada ya Wekundu wa Msimbazi Simba kutangaza kumsajili mshambuliaji kutoka nchini Uganda Emmanuel Arnold Okwi, hii leo uongozi wa Dar es salaam Young Africans ukiongozwa na mwenyekiti Yusuph...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wasanii Kenya Wacharuka Waandamana Nusu Uchi Ili Nyimba zao Zipigwe Redioni

Siku hizi ishu ya kuvua nguo kuonyesha msisitizo au kulipigia kelele jambo flani imekua kawaida, yani wengi wameitumia hii njia kufikisha malalamiko yao na mfano mzuri ni hivi karibuni kwa Wanafunzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diva na Aunt Ezekiel Washikana Mashati kisa Ujauzito wa Aunt

Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amemvaa prizenta wa Kipindi cha Ala za Roho cha Redio Clouds FM, Lovennes Malinzi ‘Diva’ kwa madai kwamba amemtangaza mitandaoni kuwa amepachikwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchumba wa Agness Masogange Waingia Mdudu

SIKU chache baada ya kupata uraia wa Afrika Kusini, uchumba wa Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ na mpenzi wake, Louis Dolnard umetibuliwa.Hali hiyo ilijiri kutokana na madai kuwa kuna wanaume...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live