REMIX: Nick Minaj AJAMBA VIBAYA Kwenye video yake ya ANACONDA…..Bofya hapa...
Video ya Nicki Minaji ambayo ni booty-shaking imefanyiwa cheeky remix ikiwa na addition ya sauti ya kujamba aka ushuzi!!!.Team ya comedy ya South Africa and the Sunday Blues wali-share ngoma hiyo...
View ArticleLady Jay Dee Akanusha Tuhuma za Kutoka Kimapenzi Na ‘Serengeti Boy’
Lady Jaydee ameamua kujibu habari iliyoandikwa kwenye gazeti la udaku la Risasi kuhusu kuwa na uhusiano na aliyewahi kuwa mtuma salamu maarufu kwenye redio, Meddy Ahmed aka ‘Mtoto wa Vitoto’.Kwenye...
View ArticleUraia Pacha Wabezwa Bunge Maalumu la Katiba
Suala la uraia pacha limeonekana ‘kupigwa chini’ na serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba baada ya wote kukubaliana zaidi juu ya hasara za kuruhusu uraia huo, ikiwemo hofu ya usalama wa taifa...
View ArticleMajambazi Watano Wauawa kwa Kuzamishwa kwenye Maji ya Mto Mara
Watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi, wamepigwa kwa mawe hadi kufa wakijaribu kutoroka nguvu za umma kwa kutumia Mto Mara, wilayani Tarime huku wakiwa na bunduki mbili zinazotumika vitani aina ya...
View ArticleRais Kikwete Iga Mfano wa Uhuru Kenyata Mapambano Dhidi ya Madawa ya Kulevya
Hakika raisi wa kenya ni mfano wa kuigwa:Ni raisi ambaye awali sikufurahishwa na siasa zake lakini baada ya kuanza kuitumikia kenya anaonekana kuwa ni kiongozi makini na mwenye uzalendo wa kweli kwa...
View ArticlePombe Sio Chai Jamaa Bia Mbili Tu Kaanza Kuvua Nguo na Kuweka Mapozi ya...
Pombe usipoweza kuicontrol basi matokeo yake ita Control wewe ! Huyu Jamaa Alinawa na Kamera za Udaku Specially Katika Baa Moja Maarufu Mitaa ya Sinza , Inasemekana Alikuwa na Wenzake wanakunywa Baada...
View ArticleLady Jaydee: Hata Ndoa Yangu ikivunjika Haimaanishi Mnitafutie Story za...
Lady Jay Dee, jana (August 30) kupitia Instagram alijibu kwa ufupi habari iliyoandikwa na gazeti la Risasi yenye kichwa cha habari ‘Jide, dogo dogo gumzo mjini’, Jana kupitia ukurasa wake wa Facebook...
View ArticleDully Sykes atoa ushauri muhimu kwa Diamond na Alikiba
Msanii wa longtime kwenye familia ya Bongo Flava ambaye hujiita muasisi wa muziki huo, Dully Sykes amewataka Diamond na Alikiba kuweka tofauti zao na kufanya kazi pamojaDully amedai kuwa Alikiba na...
View ArticleHussein Machozi aelezea ukweli wa habari ya kufumaniwa na mke wa mwanasiasa...
Star wa bongo Hussein Machozi hatimaye amezungumzia tukio lililotokea mwezi uliopita na kupelekea vyombo vingi vya habari nchini Kenya kuripoti kuwa amekamatwa akizini na mke wa mwanasiasa maarufu...
View ArticleAudio: Diamond Aonjesha Kipande cha Wimbo wake Ambao Haujatoka ‘Nitampata wapi’
Ni mara nyingi Diamond Platnumz huwa anasema kuwa ana nyimbo nyingi sana alizoisha rekodi na bado anaendelea kurekodi kila kukicha, lakini sio nyimbo zote alizonazo zitapata nafasi ya kutoka kama...
View ArticleDiamond Aponea Chupu Chupu Kushushiwa Kipigo na Mashabiki wa Ujerumani,...
Usiku wa Jumamosi ya Tarehe 30.Augost 2014, majira ya saa 10 alfajiri, Mwanamuziki nyota wa Bongo Flava Nasib Abdul 'Diamond Platnumz' alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi mjini...
View ArticleHuddah Monroe Awasalimu Mashabiki Wake wa Bongo Kwa Kutupia Picha za Nusu Uchi
Huyu ni mwanadada kutoka Kenya, kwasasa yupo hapa Dar....(amekuja kula bata...PICHA ZAKE AKILABATA MCHANA HAPA akiwa Hyatt Regency Dar Es Salaam, The Kilimanjaro.. )..sasa usiku jana Alitupia Picha...
View ArticleKwa Utajiri Alionao Kajala Sasa Anaweza Kumwajiri Wema Sepetu
AMA kweli fedha mwanaharamu! Kama bado ulikuwa ukiamini kwamba Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu anayependelea kuitwa Madam ana mtonyo (fedha) kumzidi aliyekuwa shosti wake, mwigizaji Kajala Masanja...
View ArticleRais Kikwete 'Nimetimiza Ahadi Zangu Kwa Asilimia 80' Ya Kweli Hayo?
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo juzi katika Kijiji cha Gulwe, Mpwapwa mkoani Dodoma, alipokwenda kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja.MpwapwaRais Jakaya Kikwete amesema zaidi ya asilimia 80 ya...
View ArticleKikao Cha Kikwete na Wapinzani, Kinastahili Pongezi? Au Kubezwa?
Kwa maoni yangu, kikao kati ya Rais Jakaya Kikwete na Wapinzani wakiwemo UKAWA, kinastahili pongezi na sio kubezwa, na huu ukimya wa matokeo ya kikao hicho, ni Ukimya Dawa!, yaani "silence is...
View ArticleShilole Akiri live Kutotumia Condom Katika Mapenzi
Mwigizaji na Mwanamuziki Maarufu Bongo Shilole Amesema Kwake Matumizi ya Condom huyu yanamyima raha ya Mapenzi Hivyo alilazimika kwenda kupima ngoma na mpenzi wake ili wasitumie mipiraShilole Amezidi...
View ArticleWanawake Wanataka Ndoa Lakini Hawapati, Ni Kweli Hamna Waoaji?
Kuna kitu kinanichanganya ni kweli hamna waoaji siku hizi au wanawake wanachagua sana?Sasa hivi hili limekuwa kama janga la Taifa.Single ladies wengi sana unakuta mwanamke mpaka miaka 33 hana hata...
View ArticleDiva Athibitisha Kutoweka Magodoro Kwenye Makalio Yake , Awajibu Wanao Mponda...
Baada ya mtu anejiita TotoLaKimanga huko INSTAGRAM..Kumuandama mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Malinzi aka DIVA kuwa hana shepu na huwa anavaa nguo za ndani zenye vigodoro ili kukuza makalio...
View ArticleWema Sepetu: Simlishi Mpenzi Wangu Diamond Viporo na Wala Siweki Chakula...
MAHABATI! Beautiful Onyinye wa Bongo,Wema Sepetu ‘ Madam’ amedhihirisha kuwayeye ni mwanamke tayari wa kuwekwa ndanibaada ya kusema anajitahidi kila siku katikasuala la mapishi ili asimlishe...
View ArticleMume wa Mtu Sumu, Look at What Happened to This Cute Lady
She was Caught Redhanded on Top of Mume wa Mtu, Luckly She Managed to Escape Through the window and that was the picture we managed to Capture during the ambush...Ukiamua Kuiba Mume wa Mtu Hakikisha...
View Article