Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Kilichotokea Baada ya Diamond Kupelekwa Kwenye Show Saa Kumi...

Mmiliki wa hit single ya ‘mdogo mdogo’ Diamond Platnumz anahusika tena kwenye zile habari zinazoongelewa sana ambapo time hii imetokea Stuttgart Ujerumani.Alitakiwa kufanya show weekend iliyoisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Licha ya Skendo, Flora Aja na Jipya

Msanii wa muziki Florah Mbasha, Baada ya kufunguka mengi kuhusiana na matatizo katika ndoa yake wiki hii, ameweka wazi kuwa shughuli zake za muziki bado zinaendelea huku akiwa na albam mpya kabisa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Martin Kadinda: Wema Sepetu Hana Pesa Ya Kunilipa Mshahara

Martin Kadinda ambaye ni meneja wa Wema Sepetu ameibuka na kusema kuwa Wema Sepetu aliyekuwa akimwaga pesa vilivyo kwasasa hana pesa ya kumlipa bali yeye Martin anahangaika kwa issue zake binafsi ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndege ya Kenya Yaanguka Tanzania na Kuwateketeza Watu Wote Waliokuwa Katika...

Ndege ya Kampuni ya Safari Express Limited imeanguka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuwateketeza watu watatu waliokuwamo ndani.Ndege hiyo yenye namba za usajili 5Y-SXP iliruka kutoka Uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukichukua Fedha Benki Bila Ulinzi Sasa ni Roho Mkononi

Ni roho mkononi. Hayo ndiyo maneno matatu yanayofaa kuelezea hali ilivyo jijini Dar es Salaam na maeneo kadhaa nchini kwa sasa, hasa pale mtu anapobeba fedha nyingi.Matukio ya ujambazi kwa kutumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Babu Tale: Fujo Kwenye Show ya Diamond Ujerumani ilipangwa Itokee

Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale, anaamini kuwa fujo kwenye show ya msanii wake huyo jijini Stuttgart nchini Ujerumani ilipangwa itokee.“Sisi tumefanya kazi na promoter wa Nigeria, wao wenyewe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makalio Fake Yamuumbua Live Staa Huyu Mjini Kweupe

Oops! wahenga walisema ajali haina kinga........ Blac Chyna ni rafiki yake kipenzi kim kardashian  na pia ni mama mtoto wa rapper Tyga. Mdada huyo ambaye zamani alikuwa ni stripper, amekuwa ni gumzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Promoter Britts Events Wafunguka Juu ya Kashfa Nzito ya Kuharibu Shoo ya...

MY PEOPLE FIRST OF ALL, I WOULD LIKE TO EXPRESS MY HEART BY TELLING THE GENERAL PUBLIC AND THE FANS OF DIAMOND PLATNUMZ, THAT WE FROM BRITTS EVENTS MANAGEMENT IS VERY SORRY FOR WHAT HAPPENED LAST...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yule Jamaa Alielawitiwa na Watu Sita Kwa kesi ya Kutoka na Mke wa Mtu Sasa...

Hatimaye yule mwanaume aliyedaiwa kufumaniwa na mke wa mtu na hatimaye kufanyiwa usodoma na  watu sita, akiwemo mume wa mwanamke huyo amefungukia mchezo mzima.Hivi karibuni mwanaume huyo (jina tunalo)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FBI na Apple watoa tamko kuhusu picha za utupu za watu maarufu zilizovujishwa...

Kitengo maalum cha upelelezi cha Marekani FBI, na kampuni ya Apple wametoa tamko baada ya kuvujushwa kwa picha za utupu za wasanii maarufu wa kike akiwemo muigizaji maarufu Jennifer Lawrence, Kate...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sikiliza na Download Wimbo Mpya Ambao Diamond Amerap Badala ya Kuimba-Diamond...

Kipaji ni Kipaji Tu , Uwezi Amini ila ndo Hivyo Mzee Mzima Diamond Platnumz Kumbe na Upande wa Kurap Ama Kuchana yupo Vizuri Sana , Kina Nay Wasipoangalia Wataondolewa Kwenye Game.....Sikiliza Wimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utetezi wa Kitoto wa Promoters wa Disaster la Dimaond Platnumz Ujerumani

Wengi najua Mtakuwa Mmeusoma Utetezi wa Promota Ambaye aliandaa show ya Diamond Ujerumani , kwa Upande wangu ki ukweli Bado Huyo Promota Hajanishawishi Kitu kwa sababu utetezi wake umekaa Kitoto sana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umeipata Hii ya Matonya Kunusurika Kushambuliwa Kisa ‘Mchepuko’ ?

You heard ni sehemu ya show ya XXL ya CloudsFM ambayo inahusu stori kadhaa za mastaa ambazo mara nyingi huwa ziko chinichini sana na huwa sio stori zinazoandikwa au kufikia sana vyombo vya habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Marufuku Kufanya Show Ujerumani Ni Baada ya Show Iliyosababisha...

Kufuatia vurugu zilizoibuka ukumbini alfajiri ya Jumapili iliyopita baada ya msanii Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kucheleweshwa kupanda stejini kwenye Ukumbi wa Sindelfingen uliopo Mji wa Stuttgart,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kajala Masanja Angalia Yasikukute ya Wema Sepetu, Kuonyesha Jeuri ya Pesa...

Kwako Kajala Masanja. Bila shaka ni mzima wa afya. Binafsi mimi niko poa na ninaendelea na majukumu yangu kama kawaida.Leo nimekukumbuka kupitia safu hii, nataka kuzungumza na wewe, na hasa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aibu:Waziri Lukuvi Azomewa Mbele ya Kikwete

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi amejikuta katika wakati mgumu mbele ya Rais Jakaya Kikwete baada ya kuzomewa hadi kukatisha hotuba yake akipingwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Fire Destroys Big Brother Africa House, Show Put On Hold

As you read this, the Big Brother Africa House at Sasani Studios in Johannesburg has been burnt to the ground. This unfortunate incident has forced organizers of the reality show to consequently...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jinsi Jumba la Big Brother Africa Lilivyoungua Kwa Moto na Kuteketea Lote

JUMBA lililokuwa limeandaliwa kwa ajili ya washiriki wa shindano la Big Brother Africa (BBA) 2014 limeteketea kwa moto jana eneo la Sesani Studios jijini Johannesburg nchini Afrika KusiniKuteketea kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baba Amnyonga Mtoto Wake na Kumzika Mwenyewe Kwenye Kibanda Chake

Mtoto  mwenye umri  wa mwaka mmoja na miezi miwili , Regina Geofrey ameuawa kikatili kwa kunyongwa  na baba yake mzazi Geofrey Kilngwa ‘Simbaiwe” (27) kwa kuwa alizaliwa  akiwa ameatanguliza makalio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sheikh Ponda Aiomba itumie Busara Kusimamisha Kesi ya Uchochezi inayomkabili

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameiangukia Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa kuiomba itumie busara kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili mkoani...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>