Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUHUSU TAARIFA YA JOHN MNYIKA KUJIUZULU

Jana mitandao ya kijamii ilijazwa taarifa kwamba jana jioni, John Mnyika (Mb) alimwandikia barua ya kujiuzulu Katibu  Mkuu wa CHADEMA.Ofisa Habari Mwandamizi wa CHADEMA, Tumaini Makene (0752 691569)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASOGANGE: NAOGOPA MUME WA MTU

Na Imelda MtemaVIDEO Queen mwenye figa matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amesema anaogopa kama ukoma kutembea na mume wa mtu kama wafanyavyo baadhi ya watu.Akizungumza na paparazi wetu, Agnes...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AL SHABAAB WAPIGA MARUFUKU WANANCHI WA SOMALIA KUTUMIA INTERNET NCHINI HUMO

Wanamgambo wa Al Shabaab wenye uhusiano na Al-Qaeda, wamesema kuwa wamepiga marufuku raia wanaoishi katika maeneo wanayodhibiti kutumia internet.Wapiganaji hao wametoa onyo kwa kampuni zote zinazotoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ISABELA" AMROPOKEA SINTAH KWA KUPENDA KUFATILIA NA KUCHUNGUZA MAISHA YA WATU

ISABELA Mpanda ambaye ni mwanamuziki na muigizaji wa filamu nchini ameonekana kuwa katika beef na Sintah kwa kumchana live kupitia mtandao mmoja wa kijamii. Hata hivyo sababu ya Bella kumtolea uvivu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA TANZANIA CHINA HAUNA TAARIFA ZOZOTE KUHUSU KUKAMATWA JACK CLIFF NA...

Mwezi December 2013 taarifa zilitoka kwamba kuna binti wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28 aliekamatwa na dawa za kulevya huko Macao China ambapo baadhi ya taarifa zilizoripotiwa na Waandishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTO WAMWAKIA PROFESA TIBAIJUKA NI BAADA YA KUZOMEWA NA WANANCHI

Viongozi wa vyama vya siasa na wanaharakati wa masuala ya ardhi, wamesema kuzomewa kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ni matokeo ya makosa yanayowafanywa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO "SITAKI MALUMBANO NI MUDA WA KUTUMIKIA WAPIGA KURA SASA"

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuanzia sasa hataki malumbano na mtu. Kauli ya Zitto, imekuja siku moja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kupiga marufuku chombo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASOGANGE ANASWA NA BWANA WA JACK

VIDEO Queen, Agnes Jerald ‘Masogange’ hivi karibuni alibambwa maeneo ya Sinza Kamanyola jijini Dar akijiachia na anayetajwa kuwa ni mpenzi wa Jack Patrick, Juma Khalid ‘Jux’.Wawili hao walibambwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SANDRA NA RUSHWA YA NGONO BONGO MOVIE

Stori: Mayasa MariwataSTAA wa filamu Bongo, Salma Salmini ‘Sandra’ amesema kuwa tangu ajiunge Bongo Movie hakuna manufaa aliyoyapata kwa kuwa chama hicho kinaendekeza ubaguzi kwa kuthamini rushwa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI NOMA! WEMA APOST VIDEO YA DIAMOND AKIWA KITANDANI KIFUA WAZI

Leo mwanadada wema sepetu amezidi kuudhihirishia ulimwengu wa fans wake kuwa kijana raisi wa wasafi aka Diamond Platnumz ndio mahabuba wake baada ya kupost video ya mwanamuziki huyo akiwa kitandani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PENNY ATOA YA MOYONI "SINTA MKASHIFU DIAMOND HATA KAMA HAYUPO NA MIMI"

MTANGAZAJI wa Kituo cha Televisheni cha DTV, Peniel Mungilwa a.k.a PennyAmbaye ni zilipendwa wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’ amesema katika maisha yake haitatokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOYES SIO KOCHA SAHIHI WA MAN UNITED

Kwanza ni declare interest mimi ni shabiki wa man u na haya ninayoongea hapa ni kwa mtizamo wangu sio lazima ufanane na wa kila mtu.Nionavyo mimi moyes sio kocha sahihi wa man utd na timu isipoangalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YAYA TOURE AULA ACHAGULIWA KUMWA MWANASOKA BORA 2013

Mchezaji wa Manchester City ambaye pia hucheza nafasi ya kiungo cha kati katika timu ya Ivory Coast, Yaya Toure ndiye mwanasoka bora zaidi mwaka 2013 barani AfrikaToure alikabidhiwa tuzo la (caf) mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAADA WAHITAJIKA..JINSI YA KUACHA KUPIGA PENYETO KWA MSICHANA

Habari zenu wana MMU. Poleni na uchovu wa kazi. Mimi ni mdada nimezoea sana huu mchezo wa punyeto kwa sababu sipendi kuwa kwenye mahusiano sababu yameniumiza sana.Nikaamua kujiridhisha mwenyewe. Naomba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI AINA YA TOYOTA GAIA INAUZWA KWA BEI NAFUU ..BEI MAELEWANO PIGA SIMU...

 Toyota Gaia, Silver ,1900 cc, 4WD, 8 Seater,  Alloy Wheels, Low mileage, Six month valida insuarance , 1 year Road tax...Bei kuanzia Milion 9.5 Maelewano yapo piga simu 0686129299Udaku Specially Blog

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMAA MMOJA AFUFUKA AKIWA CHUMBA CHA KUIFADHIA MAITI

Hii ni kutoka kwa majirani zetu ambapo tunaambiwa Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya kuzinduka kwa mwanaume mmoja aliyedhaniwa kuwa amekufa ambapo alizinduka akiwa kwenye chumba cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUNGAJI GWAJIMA AVAMIWA NA MAJAMBZI USIKU NA KUNUSURIKA KUUAWA MARA TATU

ILITOKEA lakini haikuandikwa kwa sababu haikudakwa! Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lenye makazi yake kwenye Viwanja vya Tanganyika Perkas, Kawe jijini Dar, Josephat Gwajima alinusurika kuuawa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WALIO KAMATWA CHINA NA MADAWA YA KULEVYA WAFIKIA MIA NA KITU

Ni taarifa nyingi ambazo zimekua zikipokelewa na Watanzania kupitia Magazeti, mitandao na hata redio wakati mwingine ambapo moja ya stori ambazo siwezi kuzisahau kwa 2013 ni ile ya Watanzania hamsini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI ZA MIMBA YA NICK MINIJ NI YA LIL WYNE..SOMA ZAIDI

Taarifa zinaendelea kusambaa kwenye mitandao mingi kwamba nicki minaj ana mimba. Na unaweza kujiuliza nani atakua baba? Sio mwingine bali Lil Wayne. Nicki minaj alionekana akiwa na kitumbo kidogo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BATULI AWEKA WAZI "SIPO KWENYE MAHUSIANO YOYOTE I'M STILL SEARCHING"

Akizungumza na mtandao wa Swahiliworldplanet, Batuli amesema ingawa yupo ‘single’ mwaka huu anatarajia kwenda kusoma ili kuongeza maarifa.“Sipo kwenye mahusiano bado nipo single and I’m still...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>