NAY WA MITEGO NA MPENZI WAKE MAMBO MOTO MOTO AMNUNULIA MKOKO WA NGUVU
True Boy Aonyesha upendo alio nao kwa mpenzi wake kwa kumnunulia gari .....check hapa chini:
View ArticleARUSHWA GOROFANI BAADA YA KUFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI
Mzee mmoja mwenye hasira kali, Deji Kamoru, amejikuta akitiwa mbaroni baada ya kumfuma binti yake Aishat chumbani kwake na kuuamua kumrusha kupitia dirishani ghorofa ya 3, mkasa huo kwa mjibu wa...
View ArticleBABY MADAHA AKIRI UCHAWI UPO BAADA YA KUPIGWA JUJU NA KUSINGIZIWA KUJIUZA
Mwanamuziki na muigizaji baby Joseph madaha amefunguka na kusema kuwa kweli ameamini uchawi na kupigana juju vipo kwenye gemu kwani mambo yaliyomtokea hivi karibuni haelewi hata imekauje.Chanzo...
View ArticleWEMA SEPETU AWASHANGAA WANAO MPONDA JOKATE..
Mwigizaji Wema Sepetu, amewashangaa wanaomponda Jokate Mwegelo kwa kumaliza tofauti baina yao akisema kuwa hawatendi haki na wanaingilia uhuru wa wasanii hao.Kauli ya Wema imekuja siku chache baada ya...
View ArticleTASWIRA YA TANZANIA YACHAFUKA NCHINI UINGEREZA
Wakati Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kwenda London Uingereza kuhudhuria mkutano wa kuokoa viumbe vilivyo hatarini kutoweka duniani ukianza wiki hii, tatizo la ujangili limeweka wingu zito kwa...
View ArticleTATHMINI YA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MADIWANI BAADA YA CCM KUIBUKA KIDEDEA JANA
Hakika nimepata mshituko mkubwa kuona matokeo ya uchaguzi wa udiwani katika kata mbalimbali yameenda ndivyo sivyo kwa upande wa chadema. Katika kata 27 ukitoa 1 zinabaki 26.Katika kata hizi CHADEMA...
View ArticleNI SAHIHI KUMUOA X-GIRL WA RAFIKI YAKO WA KARIBU
Nilitokea kumpenda sana binti mmoja lakini sikuwa na uwezo wa kuingia kwenye uhusiano naye kipindi hicho na najua alijua kuwa nampenda lakini kulikuwa na vizuizi flani flani.Binti alikuwa anakaa hostel...
View ArticleWALIO TANGAZA NIA CCM KIKAANGONI
Baadhi ya makada wa CCM ambao wataitwa mbele ya Kamati ya Maadili na Usalama ya chama hicho, wanakabiliwa na shtaka la kutoa rushwa kwa lengo la kushawishi kukubaliwa kwao, Mwananchi limebaini.Makada...
View ArticleJOKATE AFICHUA SIRI YA KUPATANA NA WEMA
THE big boss wa Kidoti, Jokate Mwegelo ambaye pia ni staa wa sinema na Bongo Fleva, amefichua siri ya kupatana na Wema Isaac Sepetu akisema kuwa sababu ya yeye kuonekana kwenye jukwaa moja na aliyekuwa...
View ArticlePENZI LA RAY NA CHUCHU SI SIRI TENA...WENYEWE WAITANA BABY FACE
Penzi kati la waigizaji wawili maarufu ndani ya bongo movie, Vicent Kigosi – Ray na Mwanadada Chuchu Hans limekuwa sio siri tena baada ya hivi majuzi mwanadada Chuchu hans kuweka picha mbalimbali za...
View ArticleLULU AAMUA KUVUNJA UKIMYA BAADA YA STORY KUSAMBAA KUWA KAPATA MCHUMBA
BINTI anayeshikilia Tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike ya Ziff 2013, Elizabeth Michael maarufu Lulu ameweka wazi kuwa amepata mchumba na kwamba taratibu za kujitambulisha na mahari vitafuata...
View ArticleKLYNN AWEKA PICHA YA FAMILIA YAKE MTANDAONI..ATOA UJUMBE MZITO
See beautiful Message to her Family ...Very Niceeee
View ArticleRAY AFUNGUKA"MASHABIKI WANGU MNANICHANGANYA HIVI MNATAKA NIWE MNENE AMA...
Ray C aomba Ushauri ....Embu Soma Message yake hapa chini:
View ArticleJAYDEE AOMBA USHAURI KUBADILISHA JINA LA BAND YAKE, HATAKI TENA MACHOZI
Muimbaji wa kike wa muziki wa kizazi kipya nchini Lady Jaydee afikiria kubadilisha jina la band yake kutokana na machozi yaliyokuwa yakimliza kipindi hicho yameshafutika.Amefikiria kubadilisha jina...
View ArticleSIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MPYA WA AY-ASANTE
Si vibaya, siku moja ukikaa na umpendae na kumwambia asante kwa yote alokufanyia, mko wote long time mnapendana, mnaheshimiana, hayo ni maneno ya AY yakisikika kwenye intro ya wimbo wake Brand new...
View ArticleMELI ILIYONASWA NA ‘UNGA’
Stori: Waandishi WetuWIKI iliyopita Jeshi la Polisi Kikosi Kazi cha Wanamaji Tanzania, walikamata shehena ya madawa ya kulevya ‘unga’ wenye thamani ya mabilioni ya shilingi zikiwa ndani ya...
View ArticleHEE.... VIP TENA MCHUNGAJI MASANJA MKANDAMIZAJI NA DEMU WA PREZZO
Masanja Mkandamizaji Akiwa na Starlisha Aka Chaggabirbie....Wamependezajeee....Mwee Prezzo Akizengua Masanja Kamata mzigo ..hahaha
View ArticleNAPE"CHADEMA NI MZIGO KWA TAIFA"
Chama ca Mapinduzi (CCM) kimewashukuru watanzania kwa kukiamini na kukipatia ushindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani uliofanyika katika kata 27 na kushinda kata 23.Kimesema siri ya kuimwaga CHADEMA ni...
View ArticleSTEVE NYERERE"WASANII WENGI WA BONGO MOVIES HAWAJITAMBUI"
Mwenyekiti wa kundi la Bongo Movie Unity, Steven Mangere ‘Steve Nyerere’ amesema wasanii wengi wa filamu hawajitambui, mbumbumbu na wabinafsi katika kila kitu, jambo linaloleta ugumu katika harakati...
View ArticleUKWELI KUHUSU TELEX FREE KUTOKA WIKIPEDIA..BRAZIL KIMENUKA
Mimi sina mengi wala siandikii mate Mange Jana Kaandika about TelexFree Watu wamemjia juu kuwa ni uongo ..ila ki ukweli hiyo Kitu ina walakini ....Embu jisomee hapa kutoka Wikipedia..Jinsi...
View Article