LULU MICHAEL"JAMANI WASICHANA TUINUKE TUACHANE NA MAMBO YA KUHONGWA NA MATAJIRI"
ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amewaasa wasichana wenzake kujitahidi kujishugulisha na kazi mbalimbali kuingiza ‘chapaa’ na wasiendekeze kuhongwa fedha na mapedeshee kwani ni aibu.Akistorisha na paparazi...
View ArticleSIMBA YABANWA KAITABA..ASHANTI WAISHIKA MBEYA CITY
WAKATI klabu ya Mbeya City ikibanwa jijini Dar es salaam na Ashanti United kwa kutoka sare ya kutofungana, mdudu wa sare aliibukia pia uwanja wa Kaitaba wakati kagera Sugar na Simba zilipofungana...
View ArticleTETESI ZA MJINI:NASIKIA MZIRAY NA MKEWE CHALI...MALI ZOTE KWISHNEY
Tetesi kutoka Jamii Forums...."Juzi kati niko mitaa ya kati nang'arisha buti nikaambulia hizi story kwa watu wanaodai kuwa wanawafahamu sana hawa jamaa. Nilichoskia ni kuwa walikua wakikaa kwenye...
View ArticleMAKOSA YA KAKOBE KUMWANDIKIA BARUA RAIS KIKWETE HAYA HAPA
Wewe kama mtumishi wa Mungu hukutakiwa kuandika barua ikulu kwa sababu zifuatazokwanza kabisa kama mtumishi wa Mungu mzoefu ulitakiwa kukaa chini na kufikiri kabla ya kuandikaPili unamuandikia barua...
View Article"BABY KAMA HUWEZI KUJA KUNICHUKUA NAKUJA NA TAX, UTALIPA, KAMA HUWEZI BASI...
''Baby,kama huwezi kuja kunichukua nakuja na taxi utalipa,kama hutaki basi,mi siwezi kupanda Daladala Iam a DIVA''''Okay Baby,gari haina mafuta na sina hela ya taxi,kama huwezi kupanda daladala basi,I...
View ArticleNIMESHINDWA KUELEWA HAWA WANAFANYA NINI
Nimeshindwa kuelewa, hivi hawa wanafanya nini??? Au Wanacheza Ngololo ama Skelewuu....Embu Mdau tusaidiane....
View ArticleHUYU NDIO MSHIKAJI ANAYE LIFAIDI PENZI LA NICK MINAJ
American rapper Nicki Minaj and her boyfriend Sfree Samuels have been in a relationship for the past 10 years. The boyfriend actually has two tattoos of her face across his chest.These love birds spend...
View ArticleEMBU MPE ZA USO HILI NJEMBA...NIMESHINDWA KUMWELEWA
Huyu Nadhani atakuwa na Akili za matope ....Mtoto anang'atwa na mbu yeye kajisokomeza kwenye net ya mtoto....mmhh Kubwa jinga....Kamtangazeni..
View ArticleMZUNGU KICHAA AKANUSHA KUWA NA UHUSIANO WA KIMAPENZI NA SALAMA JABIR
Msanii wa Denmark aliyeishi Tanzania muda mrefu, maarufu kama Mzungu Kichaa amezungumzia uvumi uliowahi kusambaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji wa kipindi cha ‘Mkasi’, Salama Jabir.Mzungu...
View ArticleNI ZAIDI YA LAANA!! MWANAUME AFUMWA AKIMRA URODA MBWA WA JIKE
KATIKA hali ambayo ni ya kushangaza, mkazi wa Kata ya Majengo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kukutwa akifanya ngono na mbwa.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz,...
View ArticleTANZANIA GRABS CHANCE AFTER KENYA TERROR DENT.."NOW ITS A SAFER DESTINATION"
Tanzania grabs chance after Kenya terror dentIn SummaryTanzania has however grabbed the chance, marketing itself in its neighbour’s strongholds as a safer destination.The officials are worried that the...
View ArticleYANGA YAFANYA MAUAJI UWANJA WA TAIFA
TIMU ya Yanga imefanya mauaji baada ya kuishushia kipondo cha bao 5-1 timu ya JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iliyochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam hivi punde. Mabao ya...
View ArticleMAUZAUZA IRINGA: CHUNGU CHA AJABU CHAIBUKA JUU YA KABURI KIKITOKA DAMU
MAUZAUZA yametokea katika kaburi la mtoto Agnes Mlawa (8) mkazi wa Ilala katika Manispaa ya Iringa aliyezikwa mwaka jana baada ya baba wa mtoto huyo kukuta chungu cha ajabu chenye damu, maini...
View ArticleTIMU YA WATOTO YA TANZANIA IMEINGIA FAINAL KOMBE LA DUNIA LA WATOTO WA MITAANI
Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imefanikiwa kuingia fainali za mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuifunga Marekani goli 6-1 katika mchezo wa kwanza wa nusu...
View ArticleMTU WA AJABU ANAYEKULA MAWE NA MATOFALI KAMA MLO WAKE WA KILA SIKU
Mama yake huwa anamuandalia kuku kama chakula cha siku lakini anakataa na kutaka apewe vipande vya matofali.Kwa siku moja anakula vipande kadhaa vya matofali ambapo kwa makadirio huwa anakula kilo 3...
View ArticleNILITAKA ANIGONGE TU KISHA ASEPE ZAKE...ILA KANING'ANG'ANIA..MWEE
Hi guys,i got a situation here...Ila i must say,am not a believer of TRUE LOVE and stuff like that (i used to believe zamani,nkaona ujinga)...There's this guy i had quite a 'good chemistry' with,and...
View ArticleWE..MWANAUME FANYA HAYA KAMA UNATAKA KUEPUKA KUCHUNWA NA MADEMU
Naongea na wale ambao tayari wamesha jitegemea kimaisha, ambao hawaishi na wazazi wao, wanaokumbana na mkono wa Mama/Baba mwenye nyumba kila baada ya miezi sita mitatu au mwaka..Wanaoishi ki-bachelor...
View ArticleCCM KUPITIA KWA MGOMBEA WAKE RIDHIWANI YASHINDA KWA KISHINDO
Imekuwa ni furaha kubwa kwa wana ccm pande zote za tz kwa kuwabwaga chadema vibaya bila kuwaonea huruma even if walianza kutapatapa kwa kusema hawakutaka kushinda nia ilikua ni kukitangaza chama pwani...
View ArticleMILIONI 13 ZAZUSHA TIMBWILI LA HATARII,WEMA NA KAJALA NGUMI NONDO NJE NJE...
Stori: Imelda Mtema na Musa MatejaNI shida! Zile shilingi milioni 13 alizotoa Wema Isaac Sepetu kumlipia msanii maarufu wa sinema Bongo, Kajala Masanja asitupwe gerezani, bado ni tatizo ikidaiwa kuwa...
View ArticleHENRY KILEWO AFYATUKA"RIDHIWANI HATA KAMA BABA YAKO NI RAIS HUWEZI KUKOSA...
Riziwani hata kama Baba yako ni Rais huwezi kukosa Adabu kiasi hiki na kufikia hatua ya kumtukana na kumdhalilisha Mzee Warioba kiasi hiki... Tunakuhakikishia Heshima ya Mzee warioba haiwezi kuvunjwa...
View Article