MOVIE YA SIWEMA WA NEY WA MITEGO BADO YAENDELEA INSTAGRAM...DOUGIE MASTA13...
Huko Instagram kuna Jamaa Anajiita Dougiemasta13 sijui Siwema ambae ni mchumba wa Ney wa Mitego kamkosea nini Maana madogo anayomshushia...Duuuhhh ...Baada ya Jana Kuweka Video ya Wema akivishwa pete...
View ArticleUMBEA WA INSTA:CATHERINE SHAWA APEWA USHAURI KUACHA KUUZA MADAWA YA KULEVYA
Catherine shawa mamaa Ya sembe , sister duu muuza sembe aliebakia baada Ya beach baby kukamatwa (jacky Cliff) na walikua mabeste kabla Ya ugomvi wao maana Catherine ndio alimpa mchongo jacky baada Ya...
View ArticleSINTA SAHAU SIKU NILIYOLALA NA MKE WA MTU
Nikiri kwamba hakuna kitu nilichowahi kufanya kikanikosesha amani kama kulala na mke wa mtu.Ilikua hivi,huyo mwanamke alikua mpangaji mwenzangu,mme wake alikua yupo huko mikoani,alikua mara kwa mara...
View ArticleJAJI AKATAA MAOMBI YA KUFUTA KESI INAYOMKABILI CHRISS BROWN
Kesi ya Chris Brown itaendelea kuunguruma baada ya jaji Patricia Wynn wa Washington kukataa maombi ya wanasheria wa mwimbaji huyo yaliyomtaka amfutie kesi inayomkabiri.Mwanasheria wa Chris Brown, Mark...
View ArticleDULLY SYKES" DIAMOND HAENDI KWA WAGAGA ..HII NDIO SIRI YA MAFANIKIO YAKE"
Jina la Diamond Platinumz mtoto wa Tandale mwenye historia ya kuishi maisha ya ukata, sasa hivi ni moja kati ya majina makubwa kimuziki barani Afrika huku akishiriki kwenye project kubwa kama One...
View ArticleMZUNGU KICHAA AMPONDA ALI KIBA KWA KUDANGANYA ANGELIPWA MIL 100 KWA SHOW MOJA...
Kati ya vitu ambavyo husaidia kuongeza thamani ya msanii katika macho ya mashabiki ni pamoja na watu kuona akipata dili kubwa na kulipwa pesa nyingi katika shows.Lakini kumekuwepo baadhi ya wasanii...
View ArticleKAMA BADO UNATUMIA WINDOW XP KWENYE COMPUTER YAKO HII HABARI INAKUHUSU
Are you still using Windows XP as your operating system? From today Microsoft will no longer offer support their operating system Windows XP. I am one of those culprits who have refused to upgrade...
View ArticleKIKWETE AKUBALI KUONGEZA MUDA BUNGE LA KATIBA
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuongeza muda wa Bunge Maalumu la Katiba katika mazungumzo aliyofanya na mwenyekiti wake, Samuel Sitta.Hayo yalisemwa na Mwenyekiti huyo wakati akijibu swali la waandishi...
View ArticleCHADEMA ARUSHA WAZIDI KUMONG'ONYOKA
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kimeendelea kumeguka baada ya jana vigogo wake wanne wakiwemo wenyeviti wawili wa wilaya kutangaza kujiuzulu nyadhifa zao pamoja na uanachama...
View ArticleYANGA..AZAM UKILALA UMELIWA
YANGA na Azam FC leo zinaendelea na mchuano wao mkali wa kuwania ubingwa wa soka wa Tanzania Bara wakati zitakaposhuka dimbani katika viwanja viwili kuwania pointi tatu muhimu.Vinara Azam FC watasafiri...
View ArticleLINAH KUNA STAA ALITAKA TUFANYE USAGAJI
Makala: Joseph ShaluwaNIKISEMA msichana huyu ni kati ya mastaa wa Bongo Fleva wanaofanya vizuri nitakuwa sijampa sifa za bure! Ni kweli anaweza. Sauti yake, anavyoweza kutawala jukwaa ni kati ya mambo...
View ArticleGODBLESS LEMA AMWANDIKIA RAIS KIKWETE WARAKA ..USOME HAPA
Mh Rais Nakusalimu . Wakati mwingine unapaswa kupewa pole na kuombewa na kufanyiwa dua kwani wewe ndie unatumikia ofisi kubwa kuliko zote Nchini na wakati huo huo unapaswa kupewa hongera kufikia...
View ArticleRAIS KIKWETE ACHAGULIWA KIONGOZI BORA AFRIKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amechaguliwa kuwa Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo Barani Afrika kwa mwaka 2013 .Heshima hiyo kwa Rais...
View ArticleTUWEKE USHABIKI PEMBENI..CCM INAMGOMBEA GANI WA URAIS ANAYEKUBALIKA ZAIDI YA...
Ni wazi wote humu jamvini kuna wanachama na wakereketwa wa vyama mbali mbali na vilevile ni wazi wote tunawafahamu viongozi wote wa chama cha mapinduzi.Sasa ningeomba kwa hekima na busara tuweke...
View ArticleKENYA AIRWAYS WAMENUNUA DREAMLINER 6, ATC WANAKODI KANDEGE KA MOJA KA KWENDA...
Ndugu zanguni,Jana wenzetu wakenya wameshuhudia historia mpya katika sekta ya biashara ya anga nchini mwao pale Rais wao alipozindua ramsi ndege ya Boeing 787 DREAMLINER. Ndege hii ni moja kati ya...
View ArticleKAJALA,WEMA HEBU NISIKILIZENI KIDOGO!
KWENU,Mastaa wa filamu Bongo, Kajala Masanja na Wema Sepetu. Poleni kwa tifu linaloendelea kati yenu. Hongereni kwa kazi za kila siku za kujipatia kipato. Tuweke mambo yote pembeni, mimi kama kaka...
View ArticleLADY JAY DEE ATOA NAFASI YA MASHABIKI KUHUDHURIA BURE UZINDUZI WA WIMBO WAKE...
Lady Jay Dee anatarajia kuzindua audio na video ya wimbo wake mpya unaoitwa ‘Nasimama’, Jumamosi, April 12. Lakini anahitaji kuwa na mashabiki ambao watapata nafasi ya upendeleo kutokana na kufuatilia...
View ArticleDIANA"SIWEZI KUMVULIA NGUO NA KULIWA URODA NA MWANAUME ALIYETEMBEA NA LULU...
Msanii wa bongo movie Diana Kimaria ameibuka na kukanusha vikali kuwa kamwe hawezi kuliwa uloda na mwanaume aliyempitia rafiki yake Lulu Michael kwa sababu kwani wao ni zaidi ya rafiki.Akizungumza na...
View ArticleDUDU BAYA AKANA TAARIFA ZILIZOZAGAA KUWA AMEMKATA MAMA YAKE MASIKIO
Siku ya leo zimesambaa habari katika mitatandao kuwa Mwanamuziki Dudubaya Amemkata Mama yake Masikio na amekimbia na kujificha huku Polisi wanamtafuta, Dudubaya Amehojiwa na Gossip Cop na kusema hata...
View ArticleWADADA WALIOKUWA WANAFANYISHWA BIASHARA YA NGONO CHINA WARUDISHIWA PASSPORT ZAO
Wiki iliyopita kupitia kipindi cha XXL na Gazeti la Makorokocho online niliweka hewani ule waraka wa wazi wa sauti uliosomwa kutoka China na Mwanadada Candy kwa niaba ya Wanadada wenzake wa Kitanzania...
View Article